SISI KWA MTUME MAFALA | BABA YANGU ALIMTAFUNA MWANAMKE JUU YA MTI AKATUBU - SHEIKH ANUARI JONGO

Ойын-сауық

SISI KWA MTUME MAFALA | BABA YANGU ALIMTAFUNA MWANAMKE JUU YA MTI AKATUBU - SHEIKH ANUARI JONGO

Пікірлер: 35

  • @Marjeby
    @Marjeby Жыл бұрын

    Jamaa anatoa mawaidha vizuri sana unapata hamu ya kumsikiliza tuu

  • @maalimjawzatulhindiiytamr3489
    @maalimjawzatulhindiiytamr3489 Жыл бұрын

    Maashallah sheikh nakuelewa sana

  • @jumakadamila8794
    @jumakadamila87944 ай бұрын

    Allahuma Salli Ala Sayyidna Muhammad Ya Rabbi Salli aleyhi Wasaliim

  • @swaumusuleemani7430
    @swaumusuleemani7430 Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi sikutegemea kukuona tena nimelia shekh nilikusikiza toka nasoma mpaka leo ninakazi ndoa na watoto ila basi ulianza daawa kijana sana shekh maana nilitegemea kwa sasa utakua mzee bastaajabu bado unanguvu

  • @alhilaltvonline

    @alhilaltvonline

    Жыл бұрын

    Unamkumbuka kwenye kisa Cha mfalme wa Sham.... Na sauti yake kwenye mashairi.... Zamani sana dada yangu

  • @swaumusuleemani7430
    @swaumusuleemani7430 Жыл бұрын

    Maashaallah umefikisha kwa ufupi ila ujumbe umetawala nyoyo na akili za watu watakao ibada ya allah

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline Жыл бұрын

    MaashaaAllah, mwamba wa kusimulia na mashairi yenye sauti.......

  • @khamiskiandiko2965
    @khamiskiandiko29659 ай бұрын

    Mashaallah mwenyezi Mungu akupe umri mrefu sheikh wetu mimi mpaka nimedanlod mawaidha yako hasa kisa cha B Mariam

  • @maulidmohammed2762
    @maulidmohammed2762 Жыл бұрын

    Nimezingatia sana aliekufa kwa kiu cha kiangazi ndie aliepona zama za mvua ya masika

  • @miambayankeba1084
    @miambayankeba1084 Жыл бұрын

    Allah ukulipe Kila la heri ustazi wetu Nakupenda sana Kwa ajili ya Allah

  • @allythabiti8150
    @allythabiti815010 ай бұрын

    Sijui kwann mnaweka vichwa vya habar vya hovyo, vina maneno ya kihuni.

  • @faiditv5535
    @faiditv5535 Жыл бұрын

    Ila vichwa vya habari ni vya upuuzi mnashusha heshima ya maustadh mnafanya vitu Kama makafiri bwana

  • @rashidikanyama7227
    @rashidikanyama7227 Жыл бұрын

    Ujumbe umefika SHEKHE

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 Жыл бұрын

    Safi sana wasahili hawafichi jambo.

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Жыл бұрын

    maashaallah

  • @mchuzionlinetv9962
    @mchuzionlinetv9962 Жыл бұрын

    Duh kamla mtu juu ya muembe

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Жыл бұрын

    Huyu muhuni sas Maneno gan uliyoandik Mweny hii Chanel????Haifikii kutukanana.

  • @mubaraksaidi6242
    @mubaraksaidi6242 Жыл бұрын

    siyo upuzii huo bali ume fika huo Asnte sheikh

  • @Abuuabdillah259
    @Abuuabdillah259 Жыл бұрын

    Upuuzi mtupu mcheni Allah

  • @hamzaswaibu9470

    @hamzaswaibu9470

    Жыл бұрын

    Mpuuzi ni nani ??

  • @rashidmlawa6548

    @rashidmlawa6548

    Жыл бұрын

    Mwalim tufahamishe upuuzi upowapi ktk hayo aliyoyaongea nasi tupate faida. Shukran

  • @Abuuabdillah259

    @Abuuabdillah259

    Жыл бұрын

    @@rashidmlawa6548 baba yangu alimla mtu juu ya mti mtu mzima mwenye akili zake timamu anaweza akaongea utumbo kama huu mbele ya hadhara watu

  • @rashidmlawa6548

    @rashidmlawa6548

    Жыл бұрын

    Bac allah atujaalie uckivu kamahuu tulonao wakuckia makosa y watu tuckie namema pia kisha tuyafuate na tuwe wakweli ktk nafsizetu.

  • @Abuuabdillah259

    @Abuuabdillah259

    Жыл бұрын

    @@hamzaswaibu9470 huyu sheikh wenu anaebwabwaja

  • @mussahussein3583
    @mussahussein3583 Жыл бұрын

    Kwakweli sio Maneno ya busara hata kidogo eti kuyaongea mbele ya hadhara kma hivi. Ndio mawaidha gani hayo ya style hiyo? Lakini then unaelezeamaovu yamtu tena ujajaribu kuwafahamisha watu ili wamjue nimtu gani eti kwasababu alikufata wewe anataka kutubu. Mhh

  • @selemankishema5780

    @selemankishema5780

    Жыл бұрын

    Alafu kilioni analeta maskharamaskhara tu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Жыл бұрын

    Hivi jamani mbona wahadhiri wengi wapumbavu wapumbavu msibani alafu unaleta mawaidha ya comedian alafu vitu gani unaongea wewe unajitambua kweli? Heee uislam umevamiwa na wahuni kweli

  • @allythabiti8150
    @allythabiti815010 ай бұрын

    Sijui kwann mnaweka vichwa vya habar vya hovyo, vina maneno ya kihuni.

Келесі