SISI KWA MTUME MAFALA | BABA YANGU ALIMTAFUNA MWANAMKE JUU YA MTI AKATUBU - SHEIKH ANUARI JONGO
Жүктеу.....
Пікірлер: 35
@Marjeby Жыл бұрын
Jamaa anatoa mawaidha vizuri sana unapata hamu ya kumsikiliza tuu
@maalimjawzatulhindiiytamr3489 Жыл бұрын
Maashallah sheikh nakuelewa sana
@jumakadamila87944 ай бұрын
Allahuma Salli Ala Sayyidna Muhammad Ya Rabbi Salli aleyhi Wasaliim
@swaumusuleemani7430 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi sikutegemea kukuona tena nimelia shekh nilikusikiza toka nasoma mpaka leo ninakazi ndoa na watoto ila basi ulianza daawa kijana sana shekh maana nilitegemea kwa sasa utakua mzee bastaajabu bado unanguvu
@alhilaltvonline
Жыл бұрын
Unamkumbuka kwenye kisa Cha mfalme wa Sham.... Na sauti yake kwenye mashairi.... Zamani sana dada yangu
@swaumusuleemani7430 Жыл бұрын
Maashaallah umefikisha kwa ufupi ila ujumbe umetawala nyoyo na akili za watu watakao ibada ya allah
@alhilaltvonline Жыл бұрын
MaashaaAllah, mwamba wa kusimulia na mashairi yenye sauti.......
@khamiskiandiko29659 ай бұрын
Mashaallah mwenyezi Mungu akupe umri mrefu sheikh wetu mimi mpaka nimedanlod mawaidha yako hasa kisa cha B Mariam
@maulidmohammed2762 Жыл бұрын
Nimezingatia sana aliekufa kwa kiu cha kiangazi ndie aliepona zama za mvua ya masika
@miambayankeba1084 Жыл бұрын
Allah ukulipe Kila la heri ustazi wetu Nakupenda sana Kwa ajili ya Allah
@allythabiti815010 ай бұрын
Sijui kwann mnaweka vichwa vya habar vya hovyo, vina maneno ya kihuni.
@faiditv5535 Жыл бұрын
Ila vichwa vya habari ni vya upuuzi mnashusha heshima ya maustadh mnafanya vitu Kama makafiri bwana
@rashidikanyama7227 Жыл бұрын
Ujumbe umefika SHEKHE
@abuuazhar3738 Жыл бұрын
Safi sana wasahili hawafichi jambo.
@heyumi2340 Жыл бұрын
maashaallah
@mchuzionlinetv9962 Жыл бұрын
Duh kamla mtu juu ya muembe
@user-qe8xp6ii1u Жыл бұрын
Huyu muhuni sas Maneno gan uliyoandik Mweny hii Chanel????Haifikii kutukanana.
@@rashidmlawa6548 baba yangu alimla mtu juu ya mti mtu mzima mwenye akili zake timamu anaweza akaongea utumbo kama huu mbele ya hadhara watu
@rashidmlawa6548
Жыл бұрын
Bac allah atujaalie uckivu kamahuu tulonao wakuckia makosa y watu tuckie namema pia kisha tuyafuate na tuwe wakweli ktk nafsizetu.
@Abuuabdillah259
Жыл бұрын
@@hamzaswaibu9470 huyu sheikh wenu anaebwabwaja
@mussahussein3583 Жыл бұрын
Kwakweli sio Maneno ya busara hata kidogo eti kuyaongea mbele ya hadhara kma hivi. Ndio mawaidha gani hayo ya style hiyo? Lakini then unaelezeamaovu yamtu tena ujajaribu kuwafahamisha watu ili wamjue nimtu gani eti kwasababu alikufata wewe anataka kutubu. Mhh
@selemankishema5780
Жыл бұрын
Alafu kilioni analeta maskharamaskhara tu
@selemankishema5780 Жыл бұрын
Hivi jamani mbona wahadhiri wengi wapumbavu wapumbavu msibani alafu unaleta mawaidha ya comedian alafu vitu gani unaongea wewe unajitambua kweli? Heee uislam umevamiwa na wahuni kweli
@allythabiti815010 ай бұрын
Sijui kwann mnaweka vichwa vya habar vya hovyo, vina maneno ya kihuni.
Пікірлер: 35
Jamaa anatoa mawaidha vizuri sana unapata hamu ya kumsikiliza tuu
Maashallah sheikh nakuelewa sana
Allahuma Salli Ala Sayyidna Muhammad Ya Rabbi Salli aleyhi Wasaliim
Allah akuhifadhi sikutegemea kukuona tena nimelia shekh nilikusikiza toka nasoma mpaka leo ninakazi ndoa na watoto ila basi ulianza daawa kijana sana shekh maana nilitegemea kwa sasa utakua mzee bastaajabu bado unanguvu
@alhilaltvonline
Жыл бұрын
Unamkumbuka kwenye kisa Cha mfalme wa Sham.... Na sauti yake kwenye mashairi.... Zamani sana dada yangu
Maashaallah umefikisha kwa ufupi ila ujumbe umetawala nyoyo na akili za watu watakao ibada ya allah
MaashaaAllah, mwamba wa kusimulia na mashairi yenye sauti.......
Mashaallah mwenyezi Mungu akupe umri mrefu sheikh wetu mimi mpaka nimedanlod mawaidha yako hasa kisa cha B Mariam
Nimezingatia sana aliekufa kwa kiu cha kiangazi ndie aliepona zama za mvua ya masika
Allah ukulipe Kila la heri ustazi wetu Nakupenda sana Kwa ajili ya Allah
Sijui kwann mnaweka vichwa vya habar vya hovyo, vina maneno ya kihuni.
Ila vichwa vya habari ni vya upuuzi mnashusha heshima ya maustadh mnafanya vitu Kama makafiri bwana
Ujumbe umefika SHEKHE
Safi sana wasahili hawafichi jambo.
maashaallah
Duh kamla mtu juu ya muembe
Huyu muhuni sas Maneno gan uliyoandik Mweny hii Chanel????Haifikii kutukanana.
siyo upuzii huo bali ume fika huo Asnte sheikh
Upuuzi mtupu mcheni Allah
@hamzaswaibu9470
Жыл бұрын
Mpuuzi ni nani ??
@rashidmlawa6548
Жыл бұрын
Mwalim tufahamishe upuuzi upowapi ktk hayo aliyoyaongea nasi tupate faida. Shukran
@Abuuabdillah259
Жыл бұрын
@@rashidmlawa6548 baba yangu alimla mtu juu ya mti mtu mzima mwenye akili zake timamu anaweza akaongea utumbo kama huu mbele ya hadhara watu
@rashidmlawa6548
Жыл бұрын
Bac allah atujaalie uckivu kamahuu tulonao wakuckia makosa y watu tuckie namema pia kisha tuyafuate na tuwe wakweli ktk nafsizetu.
@Abuuabdillah259
Жыл бұрын
@@hamzaswaibu9470 huyu sheikh wenu anaebwabwaja
Kwakweli sio Maneno ya busara hata kidogo eti kuyaongea mbele ya hadhara kma hivi. Ndio mawaidha gani hayo ya style hiyo? Lakini then unaelezeamaovu yamtu tena ujajaribu kuwafahamisha watu ili wamjue nimtu gani eti kwasababu alikufata wewe anataka kutubu. Mhh
@selemankishema5780
Жыл бұрын
Alafu kilioni analeta maskharamaskhara tu
Hivi jamani mbona wahadhiri wengi wapumbavu wapumbavu msibani alafu unaleta mawaidha ya comedian alafu vitu gani unaongea wewe unajitambua kweli? Heee uislam umevamiwa na wahuni kweli
Sijui kwann mnaweka vichwa vya habar vya hovyo, vina maneno ya kihuni.