HAKI ZA MUME KWA MKE || MUME ATARAJIE NINI KWA MKE WAKE"SHEIKH DIMOSO.
#MwlDimoso #Zvponlinetv #Tabora
Жүктеу.....
Пікірлер: 110
@nelsonnikodem110024 күн бұрын
Mashallha 🎉🎉🎉
@faizaahamd20522 жыл бұрын
Mashaalah. Mashaalah. Nzuri sana Mungu akubariki shehe wetu. Kwa darasa zuri
@aminangalunda8348 Жыл бұрын
MashaALLAH baaraka llah fiikum
@noorynmohammedy60632 жыл бұрын
Masha Allah Mwenyez Mungu akuifadh zaid sheikh wetu.
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@biubwamohd6089
2 жыл бұрын
Warithi washekhe nyundo
@mutomubaya2 жыл бұрын
Shukrani Mwalimu. Haya Masomo yanatufaidi jamii kuweza utekelezaji wa mambo ya ndoa. Ni muhimu kila imaam akumbushwe umuhimu wa kuwaelimisha raiya wake ujumbe wa Allah. Kwa hivyo, tuelimishane kuanzia ilmu ya Tawhid ambayo ndio msingi wa imaan na ilmu ya Fiqh ya Ibadah ..hadi tufikie kuwawezesha jamii kujua umuhimu wa kujenga vyema maisha ya ndoa. Lakini ikiwa imaam atakuwa hajihusishi kuwanasihi raiya wake kwa kuwa anakuja Msikitini kuswalisha kisha anaondoka jamii itakosa kuelekea njia sahihi kisha masuuliya yake juu ya maamumah yatabaki kuwa ataulizwa. Na tuwakumbushe pia wazazi wajue wana jukumu la kuelimisha Raiya wao.
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah
@DaaishaommyDaaishaommy2 жыл бұрын
Ma sha Allah.
@yasalaam5902 жыл бұрын
Swalla llwahu alayhi wasallam
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Naam
@user-si2mp2io9t6 ай бұрын
Mashaallah 🥰
@MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын
Masha Allah natamani izo darsa za wtsp
@tawasamshabani16062 жыл бұрын
Masha Allah
@yasalaam5902 жыл бұрын
Mashallah sheykh dimoso mjomba angu wewe dimoso elimu hii mke kama hakuyafahamu huyo kichwa chake sjui vipi
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah
@najatrashidi66472 жыл бұрын
Napenda shehe huyu kwa ajili ya Allah
@mshamsan4338
2 жыл бұрын
Shekhe ni msheshii saanaa anafungua mengi 🤣🤣🤣🤣🤣
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Mtihani huo mungu atunusuru kwa hilo
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Kabisa
@HalimaHalima-id2cb2 жыл бұрын
Mashallah shekhe wetu mashallah
@khalfaniibrahim2012 жыл бұрын
Mashaallah
@saudahassan66672 жыл бұрын
Mashaaallah sheikh somo zuuuriiiii kabsaaa
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@bentybenty23432 жыл бұрын
🤣🤣😁😁Masha ALLAH TABARAKALLAH..hadi rahaa👌
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@Saudaboshori-ie7en11 ай бұрын
Kweli kabisa shekh unachoongea.tubadilike wanawake kuipata pepo nirahisi Sana tuache usasa😢
@ayubuiddi85632 жыл бұрын
mashaallah tabarakala ❤️
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@maryamayitsa61812 жыл бұрын
Japo mm si mwisalamu,hayo mafunzo ya nanifaa, nakuskiza nikiwa kenya 🇰🇪
@omaniomani643
2 жыл бұрын
Shukrani karibu katk uisilamu
@abuuchampion
2 жыл бұрын
Mashallah Mary amayitsa karibu Katka uisilam 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@husnabibikhadidjaomari9427
Жыл бұрын
Silimu sasa ndugu yng
@YussufSaid-ok4pu
10 ай бұрын
Allah akujalie uwe muislam Allaah atuongoze ktk njia ya haki
@sophianyangalio37962 жыл бұрын
Walaikum salam warahmatullah wabarakatuh
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Naam
@jamillahkheir65362 жыл бұрын
Takbiiiiirrrr
@ladhiarajab68322 жыл бұрын
Nakukubali dimoso
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@azizakussaga9632
2 жыл бұрын
Mashallah alhamdulillah sheikh unatupa somo zuri hapo kwenye kumtii mume wengi mwalia Sana lkn nyie wenyewe mnatutengenezea mazingira ambayo ambayo yanafanya mtuone hatutii nanyi mjitathmin
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Mashaalah shekhe
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@omarkaundu50682 жыл бұрын
Verry nice
@user-br3sc8bm4t2 жыл бұрын
Shukran sana nimekuelewa uko Sawa
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@yasalaam5902 жыл бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajiuna
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Msiba mzito
@yasalaam5902 жыл бұрын
Subhanallah
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Walhamdulillah
@kinyovukilongola5620
2 жыл бұрын
999ø
@mohamedmarzuoq242 жыл бұрын
Assalam alaykum. Sheikh Una nambari ya simu unayoweza patikana Kwa Sisi tulioko Kenya kuwasiliana nawe kando.
@jumajumanne14552 жыл бұрын
Mashallah
@RashidjumaSaid-gc5qq Жыл бұрын
😮
@salmamrembo43602 жыл бұрын
Mashallah sheikh tunaomba uwaambie na wanaume kuwa sisi wanawake hatupaswi kufanya kazi za ndani km kupika kuosha vyombo kufua na nk sisi kazi yetu nikuwastarehesha nyie tuu uwaambie pia hats kunyonyesha wanapaswa watulipe pia hill sheikh sijawahi kulisikia kwa sheikh yoyote akilisema hilo ktk mawaidha yake
@shamsaalrahbi5573
2 жыл бұрын
He 🤣🤣🤣unauvivu ww sibure
@dulashaibkheri3470
Жыл бұрын
tutaliongelea inshaalah
@omarymuhidini97582 жыл бұрын
Saw
@sofiyabakari9730 Жыл бұрын
😂 hahaha yan mim hoi
@nasirmohamed15897 ай бұрын
Ongelea na haki za mke kwa mume make mke pia ana haki acha kuongelea wanawake tu kila siku
@user-si2mp2io9t6 ай бұрын
😂 shukra 😂 sana 🙏 shekh 😂 wetu 🙏
@yasalaam5902 жыл бұрын
Ya sheykh nna ombi langu kwa waume skuizi wamejiacha sana huo ubosi wao shekhe yaani hawawatizami wake zao kwa jicho la huruma wala hawajui majukumu ya kuwatafutia wake hususan hao waume vijana tunsomba jumuiya za kiislam mnoshughulika na maswala ya sheria tuaomba Mueke mkakato kijana asiozeshwe mpaka awe na cheti chskuisoma ndoa na majukumu yake katikanusimamizi Kina mama leo hii hio aya ya arrijalu wawwamuna ala nnisai Waume wenginwao wameibadilisha wameifanya annisau qawwamuwna alarrijali astaghfirullwah Leo hii mke ndio ende akachore watu hina aw akauze nyanya aw mitumba aw kilomo n.k ili amsomeshe mtoto amvishe mtoto amlishe mtoto jee hii kweli ni haki ? Tatizo mnawaozesha bila ua elimu yakutosha mke mume lazima wende chuo kwa uchache miexi mitatu na afaulu maana mtamuuliza chonjo kabla jamjamkabidhi cheti kikowapi na mumuulize nini haki za mke na familia watakayoipata biidhni llah .jukimu ni lanani wakijibu na wakiwa na cheti chakumalizs darsa za ndoa ndipo mumuozeshe aw muwaozeshe nadhani hapo asa kheri allah akajaalia wakaweza kuvumiliana na kuombana misamaha nasi kupeana mitalaka kilasiku ikisha wakaausia watoto kwa konamama
@mutomubaya
2 жыл бұрын
Vijana waelimishe wasipoteze umri wao kwenye mambo ya upuuzi au mambo ya haramu kama anasa za ulevi na porojo nk. Bali watumie wakati kwa ibadah za Swalah na kuhudhuria vikao vya elimu na kutafuta riziki ya halali na kuwasaidia masikini na Daawa na kila kheri na wajiepushe na marafiki wabaya miongoni mwa wapotoshi.nk.
@heyumi2340
2 жыл бұрын
waume wenyewe hajui majukum yake halafu wao wataka watiiwe mwanamke ndio anatafuta pesa ya chakula nk yy kabki kuzalisha tu ndio wanajua
@mutomubaya
2 жыл бұрын
@@heyumi2340 hata kina dada wasipoeilimishwa wanakuwa watu wasiojua yanayohitajika kutekelezwa sio tu kwenye ndoa bali hata katika mambo ya ibadah nyenginezo.
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@mutomubaya inabidi watu tusome hata unapooa au kuolewa kila mmoja atajua thaman ya mwenzio na nn mungu anataka hata ibada wengi hawaswali c wadada c wakaka ni mtihan sana
@icepackgiffted77802 жыл бұрын
Mbona ma 3mason tena
@user-ji6kb4qj6n2 жыл бұрын
Zote point nzuri.lkn ukisema una darasa za watsap za KUFUNDA.pengine kufunda bwana harusi lkn mwari??haiwezekani maana kuna mambo lzm uwende deep.
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mh
@yasalaam5902 жыл бұрын
😃
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Naam
@mamamuu82172 жыл бұрын
Uyu shekhe anatoa mawaidha mazuri , lkn mawaidha yake kama ! Ninyamaze Mie 🙄🙄🙄
@farhadhassansaid88302 жыл бұрын
Yani sheikh hii ndoa sai mm naona sio ile ndoa nilipokuwa na mke wangu mda wa nyuma kwa kweli yani mke anakujibu na ukimwambia anakujibu venye anataka yy
@Namanda425
Жыл бұрын
Tafuta ushauri kwa kadhi
@icepackgiffted77802 жыл бұрын
Wacha kuiga nyndo wacha kukopi sasa ume kua comedian
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Wapo wanawake wlikuwa hasikii wanatoka bila ya ruhusa ndiyo hivyo
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mtihani Wallah
@farhadhassansaid88302 жыл бұрын
Sheikh wangu, yani unampa ruksa mke kwenda sehemu alafu unakaa masaa manne badae aunamuuliza yupo wapi kumbe kaunganisha sehemu nyengine nilimuuliza mbne huku niambia hapo jibu niliyopewa ni imekuwa issue hiyo ni kweli sheikh wangu, alafu mpaka dadake aliwai kuja nitukana na kunikejeli mpaka niliamuwa nifute namba yake
@imansaid8020
2 жыл бұрын
Pole sana farhad
@farhadhassansaid8830
2 жыл бұрын
@@imansaid8020 shukran sana @Iman Said, yani swala la ndoa kabla hujaingia inakuwa mnaongea uzuri tu ila kadri siku,miezi,mwaka na miaka inavyoenda ndipo utajuwa ni nn maana ya kuoa ama kuolewa manake hapo unaeza ambiwa maneno ya kukejeliwa ama kuongeleshwa za ovyo
@imansaid8020
2 жыл бұрын
@@farhadhassansaid8830 daaa mtihan je mkeo ni mtu mweny dini kimwonekano
@farhadhassansaid8830
2 жыл бұрын
@@imansaid8020 ndio ni watu wa dini, ila unajuwa tabia na dini ni vitu viwili tofauti manake dadake wife kasoma madrasa ya kiislam na dini ila yy ndio mkorofi yy ndie aliniambia mmbo ya kunikejeli na mwisho kuniambia laiti angelijuwa hangelikubali nimuoe dadake ambae ndio mke wangu ila mm niliamuwa kufuta namba yake kuepuka issue flani manake hiyo siku alivyoniambia maneno hayo sikumjibu kitu chochote kile na sms zenye tulichat niliscreenshot nikamtumia wife azione na yy venye dadake alinijibu manake aliniita mnafiki na bahili wakati mm nipo na dadake ambae ni mke wangu ss yy ananijuwa uzuri ama dadake
@heyumi23402 жыл бұрын
matumizi hakuna udi anautoa wapi lotion hakuna mavaz hakuna vip atapendeza tatizo hamjui kununua hata nguo ili mkeo apendeze kilichobaki kusifia wasichana wa nje
@mutomubaya
2 жыл бұрын
Lakini kuhusu tabia hazinunuliwi. Kwa nini kina dada hawaelimishani kuhusu njia kama hizo Sheikh anazozitaja kuhusu mambo ya ndoa?
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@mutomubaya sasa mambo ya ndoa yanafahamika pia kuna vitu shekhe kataja na wanaume vitu hivyo hawanunui hata kidogo unadhani ndani kutapendeza kutanukia mkeo atapendezaje hali yakuwa hununui ukiona mwanamke kapendeza ujue ana kazi yake anajishuhulisha wengi hatukai bila kazi utanuka shombo bure wanaume wenyewe wako wapi
@heyumi23402 жыл бұрын
Kma mnaataka kulelewa ndio maana hatakuheshim hata chemb maana yy ndio kachukua majukum yako
@adamhashim33522 жыл бұрын
Daa tulimmis huyu jamaa
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah Tumemrudisha Kwa kasi
@TeamKRX
2 жыл бұрын
Kaenda wapi kwani alikuwa jamani nijibuniv
@omaniomani6432 жыл бұрын
Hijabu hatununuliwi sheh
@halimakassimngare4873
Жыл бұрын
uko wapii....waitaji hijab? wasliana nami.
@aishaomarry69962 жыл бұрын
Halafu wanawake wenzangu pia mupungze sauti za vicheko zipo juuu
@hassandinhoosmail6378
Жыл бұрын
Sio wanawake tu, na wanaume pya wanacheka.🤣
@farhadhassansaid88302 жыл бұрын
Sheikh wangu, yani mm nipo na mke ila venye ananijibu mpaka huwa nashangaa tu manake kabla hapo alikuwa hayupo hivo
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Pole
@imansaid8020
2 жыл бұрын
Farhad nakushauli mchunguze kwaz labda kuna kitu umemkosea, kisha mkanye, kama imeshindikana oa mke wapili kama unauwezo!! Mwenda atatulia Inshallaah!!
@farhadhassansaid8830
2 жыл бұрын
@@imansaid8020 kwa kweli Iman yani huyu ni mke wa pili manake nilioa wa kwanza nikaachana nae kisa yy anataka mmbo ya Dunia tu hamna kujipanga mmbo ya maisha manake alikuwa na watoto pacha msichana na mvulana ilipoikia ya kufikia nikaamuwa tu talaka ifwatie huyu wa pili nae shida yake ukimkanya kama venye unaniambia bac inakuwa issue na kama itakuwa mwaongea bac hapo ni kimya kama dakika tano alafu kuniambia badae na siku ya pili bac hamna kuongeleshana kawaida tena mpaka mda wa siku tano ama nne ama mpaka yy atakapo taka kukuongelesha ndipo juzi ilifikia kuniambia nisimletee so toka hiyo juzi hadi wa leo hayupo online tena
@farhadhassansaid8830
2 жыл бұрын
@@imansaid8020 Iman kuoa mke wa pili aisee naona nitapata presha bure kama wa kwanza ni hivi je nikija ongeza wa pili itakueje manake mume anaoa ilimtulizane na kujadili mmbo ya maisha na kesho yake mkija pata watoto mjue kukaa leo hii kama issue ni hivi utaongeza wa pili kweli
@imansaid8020
2 жыл бұрын
@@farhadhassansaid8830 kwa kweli inaumiza ila tafuta mwenye dini, nakuambia uongeze wa pili kwa sababu sisi wanawake tuna viburi sana!! Na hasaa akijua unampenda!!
@rajabhamza46282 жыл бұрын
Mashaallah
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Пікірлер: 110
Mashallha 🎉🎉🎉
Mashaalah. Mashaalah. Nzuri sana Mungu akubariki shehe wetu. Kwa darasa zuri
MashaALLAH baaraka llah fiikum
Masha Allah Mwenyez Mungu akuifadh zaid sheikh wetu.
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@biubwamohd6089
2 жыл бұрын
Warithi washekhe nyundo
Shukrani Mwalimu. Haya Masomo yanatufaidi jamii kuweza utekelezaji wa mambo ya ndoa. Ni muhimu kila imaam akumbushwe umuhimu wa kuwaelimisha raiya wake ujumbe wa Allah. Kwa hivyo, tuelimishane kuanzia ilmu ya Tawhid ambayo ndio msingi wa imaan na ilmu ya Fiqh ya Ibadah ..hadi tufikie kuwawezesha jamii kujua umuhimu wa kujenga vyema maisha ya ndoa. Lakini ikiwa imaam atakuwa hajihusishi kuwanasihi raiya wake kwa kuwa anakuja Msikitini kuswalisha kisha anaondoka jamii itakosa kuelekea njia sahihi kisha masuuliya yake juu ya maamumah yatabaki kuwa ataulizwa. Na tuwakumbushe pia wazazi wajue wana jukumu la kuelimisha Raiya wao.
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah
Ma sha Allah.
Swalla llwahu alayhi wasallam
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Naam
Mashaallah 🥰
Masha Allah natamani izo darsa za wtsp
Masha Allah
Mashallah sheykh dimoso mjomba angu wewe dimoso elimu hii mke kama hakuyafahamu huyo kichwa chake sjui vipi
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah
Napenda shehe huyu kwa ajili ya Allah
@mshamsan4338
2 жыл бұрын
Shekhe ni msheshii saanaa anafungua mengi 🤣🤣🤣🤣🤣
Mtihani huo mungu atunusuru kwa hilo
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Kabisa
Mashallah shekhe wetu mashallah
Mashaallah
Mashaaallah sheikh somo zuuuriiiii kabsaaa
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
🤣🤣😁😁Masha ALLAH TABARAKALLAH..hadi rahaa👌
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Kweli kabisa shekh unachoongea.tubadilike wanawake kuipata pepo nirahisi Sana tuache usasa😢
mashaallah tabarakala ❤️
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Japo mm si mwisalamu,hayo mafunzo ya nanifaa, nakuskiza nikiwa kenya 🇰🇪
@omaniomani643
2 жыл бұрын
Shukrani karibu katk uisilamu
@abuuchampion
2 жыл бұрын
Mashallah Mary amayitsa karibu Katka uisilam 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@husnabibikhadidjaomari9427
Жыл бұрын
Silimu sasa ndugu yng
@YussufSaid-ok4pu
10 ай бұрын
Allah akujalie uwe muislam Allaah atuongoze ktk njia ya haki
Walaikum salam warahmatullah wabarakatuh
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Naam
Takbiiiiirrrr
Nakukubali dimoso
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@azizakussaga9632
2 жыл бұрын
Mashallah alhamdulillah sheikh unatupa somo zuri hapo kwenye kumtii mume wengi mwalia Sana lkn nyie wenyewe mnatutengenezea mazingira ambayo ambayo yanafanya mtuone hatutii nanyi mjitathmin
Mashaalah shekhe
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Verry nice
Shukran sana nimekuelewa uko Sawa
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Innalillahi wainna ilayhi rajiuna
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Msiba mzito
Subhanallah
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Walhamdulillah
@kinyovukilongola5620
2 жыл бұрын
999ø
Assalam alaykum. Sheikh Una nambari ya simu unayoweza patikana Kwa Sisi tulioko Kenya kuwasiliana nawe kando.
Mashallah
😮
Mashallah sheikh tunaomba uwaambie na wanaume kuwa sisi wanawake hatupaswi kufanya kazi za ndani km kupika kuosha vyombo kufua na nk sisi kazi yetu nikuwastarehesha nyie tuu uwaambie pia hats kunyonyesha wanapaswa watulipe pia hill sheikh sijawahi kulisikia kwa sheikh yoyote akilisema hilo ktk mawaidha yake
@shamsaalrahbi5573
2 жыл бұрын
He 🤣🤣🤣unauvivu ww sibure
@dulashaibkheri3470
Жыл бұрын
tutaliongelea inshaalah
Saw
😂 hahaha yan mim hoi
Ongelea na haki za mke kwa mume make mke pia ana haki acha kuongelea wanawake tu kila siku
😂 shukra 😂 sana 🙏 shekh 😂 wetu 🙏
Ya sheykh nna ombi langu kwa waume skuizi wamejiacha sana huo ubosi wao shekhe yaani hawawatizami wake zao kwa jicho la huruma wala hawajui majukumu ya kuwatafutia wake hususan hao waume vijana tunsomba jumuiya za kiislam mnoshughulika na maswala ya sheria tuaomba Mueke mkakato kijana asiozeshwe mpaka awe na cheti chskuisoma ndoa na majukumu yake katikanusimamizi Kina mama leo hii hio aya ya arrijalu wawwamuna ala nnisai Waume wenginwao wameibadilisha wameifanya annisau qawwamuwna alarrijali astaghfirullwah Leo hii mke ndio ende akachore watu hina aw akauze nyanya aw mitumba aw kilomo n.k ili amsomeshe mtoto amvishe mtoto amlishe mtoto jee hii kweli ni haki ? Tatizo mnawaozesha bila ua elimu yakutosha mke mume lazima wende chuo kwa uchache miexi mitatu na afaulu maana mtamuuliza chonjo kabla jamjamkabidhi cheti kikowapi na mumuulize nini haki za mke na familia watakayoipata biidhni llah .jukimu ni lanani wakijibu na wakiwa na cheti chakumalizs darsa za ndoa ndipo mumuozeshe aw muwaozeshe nadhani hapo asa kheri allah akajaalia wakaweza kuvumiliana na kuombana misamaha nasi kupeana mitalaka kilasiku ikisha wakaausia watoto kwa konamama
@mutomubaya
2 жыл бұрын
Vijana waelimishe wasipoteze umri wao kwenye mambo ya upuuzi au mambo ya haramu kama anasa za ulevi na porojo nk. Bali watumie wakati kwa ibadah za Swalah na kuhudhuria vikao vya elimu na kutafuta riziki ya halali na kuwasaidia masikini na Daawa na kila kheri na wajiepushe na marafiki wabaya miongoni mwa wapotoshi.nk.
@heyumi2340
2 жыл бұрын
waume wenyewe hajui majukum yake halafu wao wataka watiiwe mwanamke ndio anatafuta pesa ya chakula nk yy kabki kuzalisha tu ndio wanajua
@mutomubaya
2 жыл бұрын
@@heyumi2340 hata kina dada wasipoeilimishwa wanakuwa watu wasiojua yanayohitajika kutekelezwa sio tu kwenye ndoa bali hata katika mambo ya ibadah nyenginezo.
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@mutomubaya inabidi watu tusome hata unapooa au kuolewa kila mmoja atajua thaman ya mwenzio na nn mungu anataka hata ibada wengi hawaswali c wadada c wakaka ni mtihan sana
Mbona ma 3mason tena
Zote point nzuri.lkn ukisema una darasa za watsap za KUFUNDA.pengine kufunda bwana harusi lkn mwari??haiwezekani maana kuna mambo lzm uwende deep.
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mh
😃
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Naam
Uyu shekhe anatoa mawaidha mazuri , lkn mawaidha yake kama ! Ninyamaze Mie 🙄🙄🙄
Yani sheikh hii ndoa sai mm naona sio ile ndoa nilipokuwa na mke wangu mda wa nyuma kwa kweli yani mke anakujibu na ukimwambia anakujibu venye anataka yy
@Namanda425
Жыл бұрын
Tafuta ushauri kwa kadhi
Wacha kuiga nyndo wacha kukopi sasa ume kua comedian
Wapo wanawake wlikuwa hasikii wanatoka bila ya ruhusa ndiyo hivyo
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mtihani Wallah
Sheikh wangu, yani unampa ruksa mke kwenda sehemu alafu unakaa masaa manne badae aunamuuliza yupo wapi kumbe kaunganisha sehemu nyengine nilimuuliza mbne huku niambia hapo jibu niliyopewa ni imekuwa issue hiyo ni kweli sheikh wangu, alafu mpaka dadake aliwai kuja nitukana na kunikejeli mpaka niliamuwa nifute namba yake
@imansaid8020
2 жыл бұрын
Pole sana farhad
@farhadhassansaid8830
2 жыл бұрын
@@imansaid8020 shukran sana @Iman Said, yani swala la ndoa kabla hujaingia inakuwa mnaongea uzuri tu ila kadri siku,miezi,mwaka na miaka inavyoenda ndipo utajuwa ni nn maana ya kuoa ama kuolewa manake hapo unaeza ambiwa maneno ya kukejeliwa ama kuongeleshwa za ovyo
@imansaid8020
2 жыл бұрын
@@farhadhassansaid8830 daaa mtihan je mkeo ni mtu mweny dini kimwonekano
@farhadhassansaid8830
2 жыл бұрын
@@imansaid8020 ndio ni watu wa dini, ila unajuwa tabia na dini ni vitu viwili tofauti manake dadake wife kasoma madrasa ya kiislam na dini ila yy ndio mkorofi yy ndie aliniambia mmbo ya kunikejeli na mwisho kuniambia laiti angelijuwa hangelikubali nimuoe dadake ambae ndio mke wangu ila mm niliamuwa kufuta namba yake kuepuka issue flani manake hiyo siku alivyoniambia maneno hayo sikumjibu kitu chochote kile na sms zenye tulichat niliscreenshot nikamtumia wife azione na yy venye dadake alinijibu manake aliniita mnafiki na bahili wakati mm nipo na dadake ambae ni mke wangu ss yy ananijuwa uzuri ama dadake
matumizi hakuna udi anautoa wapi lotion hakuna mavaz hakuna vip atapendeza tatizo hamjui kununua hata nguo ili mkeo apendeze kilichobaki kusifia wasichana wa nje
@mutomubaya
2 жыл бұрын
Lakini kuhusu tabia hazinunuliwi. Kwa nini kina dada hawaelimishani kuhusu njia kama hizo Sheikh anazozitaja kuhusu mambo ya ndoa?
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@mutomubaya sasa mambo ya ndoa yanafahamika pia kuna vitu shekhe kataja na wanaume vitu hivyo hawanunui hata kidogo unadhani ndani kutapendeza kutanukia mkeo atapendezaje hali yakuwa hununui ukiona mwanamke kapendeza ujue ana kazi yake anajishuhulisha wengi hatukai bila kazi utanuka shombo bure wanaume wenyewe wako wapi
Kma mnaataka kulelewa ndio maana hatakuheshim hata chemb maana yy ndio kachukua majukum yako
Daa tulimmis huyu jamaa
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah Tumemrudisha Kwa kasi
@TeamKRX
2 жыл бұрын
Kaenda wapi kwani alikuwa jamani nijibuniv
Hijabu hatununuliwi sheh
@halimakassimngare4873
Жыл бұрын
uko wapii....waitaji hijab? wasliana nami.
Halafu wanawake wenzangu pia mupungze sauti za vicheko zipo juuu
@hassandinhoosmail6378
Жыл бұрын
Sio wanawake tu, na wanaume pya wanacheka.🤣
Sheikh wangu, yani mm nipo na mke ila venye ananijibu mpaka huwa nashangaa tu manake kabla hapo alikuwa hayupo hivo
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Pole
@imansaid8020
2 жыл бұрын
Farhad nakushauli mchunguze kwaz labda kuna kitu umemkosea, kisha mkanye, kama imeshindikana oa mke wapili kama unauwezo!! Mwenda atatulia Inshallaah!!
@farhadhassansaid8830
2 жыл бұрын
@@imansaid8020 kwa kweli Iman yani huyu ni mke wa pili manake nilioa wa kwanza nikaachana nae kisa yy anataka mmbo ya Dunia tu hamna kujipanga mmbo ya maisha manake alikuwa na watoto pacha msichana na mvulana ilipoikia ya kufikia nikaamuwa tu talaka ifwatie huyu wa pili nae shida yake ukimkanya kama venye unaniambia bac inakuwa issue na kama itakuwa mwaongea bac hapo ni kimya kama dakika tano alafu kuniambia badae na siku ya pili bac hamna kuongeleshana kawaida tena mpaka mda wa siku tano ama nne ama mpaka yy atakapo taka kukuongelesha ndipo juzi ilifikia kuniambia nisimletee so toka hiyo juzi hadi wa leo hayupo online tena
@farhadhassansaid8830
2 жыл бұрын
@@imansaid8020 Iman kuoa mke wa pili aisee naona nitapata presha bure kama wa kwanza ni hivi je nikija ongeza wa pili itakueje manake mume anaoa ilimtulizane na kujadili mmbo ya maisha na kesho yake mkija pata watoto mjue kukaa leo hii kama issue ni hivi utaongeza wa pili kweli
@imansaid8020
2 жыл бұрын
@@farhadhassansaid8830 kwa kweli inaumiza ila tafuta mwenye dini, nakuambia uongeze wa pili kwa sababu sisi wanawake tuna viburi sana!! Na hasaa akijua unampenda!!
Mashaallah
@zvpOnlineTv
2 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@peterbigambo3149
Жыл бұрын
Mashaallah