Follow Us On: INSTAGRAM: / miladu_tv FACEBOOK: / babdeo miladu/ TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan... KZread: / @babdeomiladu
Жүктеу.....
Пікірлер: 344
@hafsalonlinetv10510 ай бұрын
Masalafi, Mawahabi, maanswari Sunnah tatizo lao ni moja tu: Wanajibiwa kisomi zaidi ila wao wana khiari wajibiwe kwa masemango, mashekhe zetu ni wenye hekma hawajibu kwa kutovukwa na adabu, Allaah amewapa hekma na busara nyingi katika kuendesha mambo. Jibu limepatikana hapo ila kwa kua Allaah ametia vizibo katika nyoyo zao na macho yao hawawezi kuona lolote hapo. Allaah awabaarik mashekhe zetu. Ila sheikh waleed ni kiboko elimu anayo Alhamdu lillaah. Allaah amsidishie elimu yenye kheri na dunia yake na akhera yake Allaahumma aamiiin,,,,,,,
@AndulHida-hs5py11 ай бұрын
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri
@user-cv8kw8kd4k11 ай бұрын
Shekhe Walid uko vizuri. ALLAH akupe zaidi elimu., ILA HOJA 19. NAKUOMBA uzijibu ww, hakuna kuzunguka .. ni mwezi sasa hakuna hoja ata moja iliiyo pata majibu.
@Seng522
11 ай бұрын
Ameen, akhy hizo hoja 19 sio hoja hata kidogo mie binafsi ninauwezo WA kuzivunja moja baada ya nyingine ila kama kweli unasimamia Haki kabla ya kuvunja moja baada ya nyingine niambie Kwanza unafahamu kua shekhe wako alimzulia shekhe jaafari ktk miongoni mwa hizo hoja 19 alizozijenga Sasa wewe niambie kama kweli umsomi WA Dini naunafatilia Haki nasio ushabiki niambie Katika hizo hoja 19 ni hoja zipi ambazo kweli nimaneno ya jaafari na niyapi sio ya jaafari ila nishekhe wako ndio kamzulia
@mohd39789
11 ай бұрын
@@Seng522wanashindwa wapumbavu wakubwa wa kisufi utaweza wewe dagaa mdogo?
@mohd39789
11 ай бұрын
Tatizo la masufi wanatetea upuuzi wa madhehebu yao lakini uongo na shirk katika kitabu cha barzanj upo wazi wazi
@khadiaally9192
11 ай бұрын
@@mohd39789Sasa wewe unayetukana bila hekima nyie mawahabi vitsbu vyeni vipo koleki tu
Maashaallah shukran sheikh Waleed Allah azid kukuongoza tunufaike n elimu yako
@ibra.mstudingfile858410 ай бұрын
Wallah sheh nakupenda bure kusoma na kutambua kunitji umakin wa hali ya juu san tumekufam shekh mung akupe hekm zaid ya kutoa mwangaza zaidi n somo kubwa ilo
@OmaryKitwana-vo5do10 ай бұрын
Wallahi nimestafid sana Allah akulipe shekh waliid
@jimjam-xg7rv11 ай бұрын
MASHA ALLAH 💚 .
@mohamedkibwana75589 ай бұрын
Umri Taweel Sheikh wetu 🤲
@mbjunior16611 ай бұрын
Aiseeh naona hoja 19 bado ni mwiba wa koo! Maulidi yote hoja ni mtoto wa Bachu tu lakin anaejib hoja hakuna😂😂😂! Sasa masheikh wote wakisufi wenye elimu yenye sanadi waliosomeshwa na sio kujisomea wenye maulidi yao na vitabu vyao kama wangegawana zile hoja 19 japo mbili mbili si wangekua weshazijibu zote hivi umma umenufaika na kuelewa😀
@user-ql7xr4gq3c
10 ай бұрын
بارك الله فيك ايهاالشيخ وليد فليتعلم محمد باشو منه وليأ خذ العلم منه ويتفقه البرزنجي منه
@omaryhunte
9 ай бұрын
Kwa ni wewe umesoma watu wakafaidika na elimu yako kama shekh walid alhad ? Au unaleta tu ushabiki .
@bimumaulid117117 күн бұрын
Mashaalah ulipo tupo
@maryamhashim853611 ай бұрын
Mashaa Allah 🤲
@SalehSaleh-re1ud10 ай бұрын
Subhanallah, kajisomea mwenyewe tu lakini kapiga maswali 19 tu ya uongo ulio ndani ya barzanji lakini masufi wanashindwa kuyajibu. Hivi angesoma kwa masheikh wakubwa ingekuaje??? قال يونس بن عبد الأعلى: سمعت الشافعي يقول : (لو أن رجلا تصوف أول النهار لم يأت عليه الظهر إلا وجدته أحمق). رواه البيهقي في "مناقب الشافعي" (٢/ ٢٠٧) بإسناد صحيح
@sadickmguruka
10 ай бұрын
Kumbe alijisomea mwenyewe
@twahirburhan3726
9 ай бұрын
Sasa hao mashekh zenu wa BAKWATA mbona mpaka leo wameshindwa kumjibu bad ala yake wanamshambulia tu,wamjibu kwanza na si kutetea BIDAA ya MAULIDI am a yo ni uzushi tu
@twahirburhan3726
9 ай бұрын
YAANI ETI MASHEKH WA BAKWATA WANAIJUA DINI KULIKO MASWAHABA WA MTUME S.A.W!! KITUKO CHA DUNIA
@maimunashariffathman20739 ай бұрын
MashaAllah tabarakallah
@abuuadil40709 ай бұрын
Sheikh Walid sema kweli KUHUSU kitabu Cha barzanji makosa na URONGO mwingi na munanyamaza isipokuwa ndungu bachu amejitoleya kuzungumza UKWELI ndiyo watwariki masheikh wameksirika KWA UKWELI wa bachu MUNGU amlinde bachu KWA msimamo wake wa UKWELI KUHUSU dini kesho Kila mtu ataulizwa msimamo wako wa dini sikufuhata maslah ya duniya
@serengetishipping219611 ай бұрын
Mashallah sheikh walid tumestafid
@hafsalonlinetv10510 ай бұрын
Allaaahu Akbar,,,
@barzaqtradingcompany854111 ай бұрын
Hawa masufi vile wamebabaika na nukta 19 ndani za qasidah za uongi na ushirkina itafikiria wadungwa na kisu cha sumu wamebakia na maneni tupu hakuna aliojibu hoja moja kati za 19 basi maneno za projo tu
@mbjunior166
11 ай бұрын
Aisehh kumbe wameshikwa pabaya sana😂😂😂
@nurdinmfamau3493
11 ай бұрын
Nibora Yamtu Kuwa Mjinga Utajifunza. Lakini Ukijaaliwa Kuwa Mpumbavi Huo Niuogonjwa Usiopona Milele. Eti Maswali 19. Kusoma Nikitu Kingine. Nakuelewa Nikitu Kingine.
@barzaqtradingcompany8541
11 ай бұрын
@@nurdinmfamau3493 hio nimsemi waki mashia walipo saydina Ali ni mungu someni kuwa vitabu zao vile munayo sema mandishi kitu kingine nakuelewa ni kingine, ebo nitafsirie وَلَا تَدْعُ مِن دُونِ ٱللَّهِ مَا لَا يَنفَعُكَ وَلَا يَضُرُّكَ ۖ فَإِن فَعَلْتَ فَإِنَّكَ إِذًا مِّنَ ٱلظَّٰلِمِينَ nitafsirie vile kuwa mandishi kingiye nakuelekwako kingine vile unadai
@hassanabdulrahman1899 ай бұрын
Ma sha Allah Allah akuhifadhi na hassad 🤲🤲🤲
@ShaibmbaroukHemed-mi5rf11 ай бұрын
Shekh walid mm nazifuata sana darsa zako Allah akuzidushie kheri sasa tatizo bachu katoa nukta zake zipatiwe jibu kwanni kama munaona bachu hana hoja kuhusu barazanji hazijibiwi kilasiku munamsema bachu kakashifu barazanji nawanachuoni lkn hatuoni jawabu yakile alichosema nishirki nakatoa ushahidi wake ilikua nyiewasomi mumjibu kielimutu ingekua tatizo limepatiwa ufumbuzi lkn kumsema sematu bila kujibiwa alichokitilia shaka mutaonekana usomiwenu umefeli nabachu hata mukimsemavipi bado yuko sawa nacc tunajua bachu yuko sawa kwasabbu hamuna jibu lakumjibu mumebaki nalawamatu nukta 19 zipo palepale
@Seng522
11 ай бұрын
Akhy vip ww? Ajibiwe kwani yeye aliuliza ni clip gani ambayo bachu aliuliza zaidi ya kuhukumu kua watu niwashirikina Tena anaowahukumu wameshatangulia mbele ya Haki, Ama kuhusu hizo hoja 19 alizo muuliza sabas niyeye na sabas hakuumuuliza alhadi na istoshe mcheni Allah na kama kweli ninyi ni wasomi WA Dini sio mashabiki tu fatiliene ukweli WA hizo hoja 19 amezijengea ktk maneno ya jaafari kweli kama anavyo mtuhumu Ama amemzulia halafu unambia kua zimebaki ngapi ambazo nikweli nimaneno ya jaafari mimi wallah nitakujibu zote
@khadiaally9192
11 ай бұрын
Tatizo hata yeye hatoa hoja kupitia wana vyuoni Bal kauliza maswa kwa kukosa kuelewa yeye Sasa hiyo c hoja anashida ya kuelewà so Ange ena kusomeshwa ingekua bola nawe nikupee chaleji nipe nukuluu yoyote kutoka kwa wanavyuoni aliye wahii kuuliza nukuta hata mmoja Kama hamna sasa c hoja niufup was kuelewa kwake
@seifsalah6843
11 ай бұрын
Mimi naona umezungumza kwa hekima sana
@eddieeddie2755
11 ай бұрын
Kweli kabisa, hawawezi kujibu hata nukta 1, ni lawama tuuu, Bachu hivi Bachu vile, jibuni hoja zake km nyinyi ni wakweli.
@mody-guyngido2792
11 ай бұрын
Maulidi sio Ibada,hiyo iko hivyo Tu kama ni sherehe sherehekeeni Tu Masheikh wetu
@abdallahsaid112710 ай бұрын
Ass alkm, mashekhe mnazunguka sana kutafuta majibu ya kumjibu Muhammad bacho, mnafanya makusudi kuwacha msingi aliotulekeza Allah kwenye sura ya 4 Aya 59 au ni hawaa tu za nafsi. Hebu waislamu tuwache kufuata matamanio ya nafsi, ALLAH ATUONYESHE HAKI NA ATUWEZESHE KUIFUATA, NA ATUONYESHE BATILI NA ATUWEZESHE KUIEPUKA.
@yahkiwera3611
Ай бұрын
Wewe nimshabiki wasini km mpira wewe sio muislamu mwenye kutaka kujua Diniyako😊
@mikekhalifaali751010 ай бұрын
Sasa kama walimu ndio nyinyi heri ajisomee tu mwenyewe, Maulid ni upuuz mtupu tena sio ibaada
@arafatally3723
10 ай бұрын
Naomba Mummad Bachu ajisomee pia kama uko ufaradhi wa kurudisha ukhilafa Kwa manhaj ya Mtume(s.a.w).
@abdurahimabdulkadir392611 ай бұрын
Clip nyingi ni ooooh mtoto wa bacho hivi mtoto wa bacho hivi na vile yoote hayo yaletwa na kuwa anapinga maulidi sasa sabas amewaangusha ndio hasira zoote hizi lkni sharif Abdulkadir Al Ahdal ndie aliyamaliza kwa kumkataa sabas mbele ya camera sababu alishindwa kujibu
@mikekhalifaali7510
10 ай бұрын
Kwan hao wamejibu , hawawez
@hidayaramadhani1833Ай бұрын
Njaa za mawahabi nimtihani mno hawampendi mtume wala mwenyezi mungu wapenda Saudia kwaajili ya misaada wamefikia mpaka mwezi kutoka Saudia niwakimataifa jamani innalillah wainnaillaihrrajiuuun
@ashamngindo802310 ай бұрын
Mashallah shekh wetu. Mungu akuhifadh
@Captainome11 ай бұрын
Mkipindisha tunayoosha hakuna stry za shekh mkuu wala shekh mdogo hapa unapotosha ummaa kwa ajili ya maisha yenu.
@safinamakoto2747
11 ай бұрын
Pinga hakuna shida chunga kisije KIBRI kikawa KATIKA kifua chako.
@Captainome
11 ай бұрын
@@safinamakoto2747 usijali my bro amini unacho kisoma kikusaidie hapa Duniani na kesho akhera.
@fikafikan8484
11 ай бұрын
Mawahabi ndivo mulivo itakuwaje hakuna cha shekhe mkubwa hakuna wanazuoni na mtume s a w alisema musiwatukane maswahaba wake na wanazuoni leo bachu sijui ilimu kaitowa wapi kuwapotosha wanazuoni kumuhukumu mpaka mamayake mtume s a w
@fikafikan8484
11 ай бұрын
Bachu atasapotiwa na machizi wenzie
@Captainome
11 ай бұрын
@@fikafikan8484 tunaongelea hao washekh zenu mashekh ubabwa yaani yiyi masufii yaani hamjui tu vile mmepotezea watu mda urongoo urongoo ybabaishaji wenu roundy hii Allah atawafedhesha moja moja.
@nafisa-399911 ай бұрын
Jibuni hoja 19
@nadyasalim7956
11 ай бұрын
hawana jibu
@khamisfarouk9493
11 ай бұрын
Hatutak mtatufnya nn
@yahkiwera3611
Ай бұрын
Huwenda ukawa kijikafiri kijidogo dogo wewe ninashaka na Elimu yako km umesoma
@issicajosefu968111 ай бұрын
Jibuni hizo hoja 19 kwanza Halafu ndoo tujue hizo chuki zeni kwa shk Mohammad bachu ni za kweli
@nassibnassib2078
11 ай бұрын
Ukijisomea utakua kama mtoto wa bacho....hakuna hoja hapo zote dhaifu.. ukisema mtoto wako ni kisu anakua kisu kweli?..... Someni KWA wajuzi msijisomee....
@abuuwandi1354
11 ай бұрын
Bachu hamna kt ukitaka kujuwa hamna kitu mpeleke kwenye mambo y mwez
@mbjunior166
11 ай бұрын
@@abuuwandi1354 Mwezi wa nn sasa😂😂😂
@sleemhamoud4394
10 ай бұрын
@@nassibnassib2078khawariji huyo Bachu kafukuzwa znz anatapa tapa Tanga na Mombasa kwa wahuni wenziwe 😅
@rogertuga007
10 ай бұрын
@@nassibnassib2078hao wajuzi ndio wajibu Sasa hizo ili na nyie wafata upepo mpate kuelewa mnachokifata.
@user-pr1lh1lv8m11 ай бұрын
Jibuni hizo hoja mwanzo ndo museme chochote mtakachotaka
@twahirburhan372611 ай бұрын
MSAIDIENI YULE MWENZENU ALIYESHINDWA KUJIBU ZILE HOJA 19 ZA BACHU NA SI KUPONDA TU
@fikafikan8484
10 ай бұрын
Asaidiwe nn bachu ndio afaa asaidiwe uwelewa wake mdogo
@wazirihamisi648410 ай бұрын
فقد ثبت في الحديث الصحيح أن النبي صلى الله عليه وسلم قال: افترقت اليهود على إحدى وسبعين فرقة، وافترقت النصارى على اثنتين وسبعين فرقة، وستفترق هذه الأمة على ثلاث وسبعين فرقة كلها في النار إلا واحدة، قيل: من هي يا رسول الله؟ قال: من كان على مثل ما أنا عليه وأصحابي
@ummurahma7597
9 ай бұрын
Wa hadhihi firka firka AHLU SUNNAH NOMOSKAR WAL JAMAA
@user-pr1lh1lv8m11 ай бұрын
Kama mwadharau elimu zake mbona mwashindwa kuzijibu hoja zake tangu zamani bila shaka mumeshindwa masheikh wote wa tanzania na wa kenya hamutoshi jama ni simba marara
@mbjunior166
11 ай бұрын
Wamebaki na porojo mipasho na mapovu tu😂😂😂
@abuujibriltv5233
11 ай бұрын
Mawahabi mnadhiki sana ya mashekh yaani hata bachu mnaona nishekh ana elimu. Eti hoja 19😂😂😂😂
@user-pr1lh1lv8m
11 ай бұрын
Mumeshindwa kujibu maswali ya mtu ambaye Hana elimu mchoro huo
@ummy-vo6sp11 ай бұрын
Aliye muongoa mungu hakuna wa kumpoteza
@nadyasalim7956
11 ай бұрын
Naam
@user-pr1lh1lv8m11 ай бұрын
Maneno mengi hayamalizi maneno jibuni hoja ili munaqasha isonge mbele
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de
11 ай бұрын
Ajibu nini hapo Kuna Cha kujibu hapo,bachu ni kishaa Sasa kichaa anajibiwa.
@@SaidimaulidiMaulidi-lf9denyinyi masufi mumeregea kwann hamumchukulii hatuwa Hutu Bachu mbona zanzibar kachukuwa hatua kali ya kutojihusisha na daawa
@salemshaban241311 ай бұрын
Fanya darsa ukifundishe kitabu cha barzanji upinge nukta 19
@JamalMohamedibnusaalim
10 ай бұрын
Jamaa mnateseka sana na maulid bas tutabadilisha jina worry out
@rahmahsaidomar91119 ай бұрын
Kujusomea ndio kujua. Msiwe kama manaseara wasomewa bibilia na kufwata tu. Kwani hatuna uwezo wenyewe kujua yaliomo. Watu wana akili wakujisomea kisha kujua. Kusomeshwa ndio kupotozwa. Mambo mengine akili tu. Sheikh waijua ndani ya moyo wako kua maulid haufai mbona kuwapotosha watu kwa yakini. Muogope Allah ndani mwako wayajua.
@michaelthobias9967
8 ай бұрын
Elimu ya manaswara ni kubwa kuliko unavyo fikiri
@kibavumrisho349510 ай бұрын
Nawaomba sana masheikh muache hayo anaetaka majibu akasome itamtosha kuwa ni jibu sahh atafuata kuliko haya yanayoendelea endeleeni mtupe faida hao wenye minakash waendelee
@rahmahsaidomar91119 ай бұрын
Kama kweli maulidi yapo na munafaa basi muitetee na mutoe majibu 19 mulizoekewa. Ni kejeli tu na hamuna jibu. Allah awaongoze na atuongoze sote.
@SaidMkashari11 ай бұрын
Assalamualaikum jamani naona kejeli nyingi za majibu nyinyi waache mashekh kwa mashekh wamalizane jamani dini haijaja kugombanisha jamani tuacheni tumuogope mungu kila moja ana mwalimu wake na ufahamu wake na uelewa wake kama ww mwalimu wako bacho fata yale aliyokufundishwa sio mwalimu wako bachu acha nayo
@user-bo1ew3xq6w
10 ай бұрын
Hapa ndugu yangu hatutaeza kuwaachia wavuta bangi na wakula unga wakimawahabi kututuakania masheikh wetu lazima wakule vimondo.
@hajimgwami522410 ай бұрын
HATA WASKRISTO NA WAYAHUDI WANATAFUTA MAKOSA KWENYE QUR AN NA ANAYAPA KUTOKANA NA KUSOMA KWAO BILA KUSOMESHWA NA IKIFIKA WAKATI AKISOMESHWA WANAELEWA NA KUIFUATA HAKI NDIO MAANA LEO WANAREVERT KWENYE UILSLAM KAMA NZIGEEEEE. UKITAKA KUKIELEWA KITABU SOMESHWAAAAA
@mohd3978911 ай бұрын
Tatizo la masufi ni wapumbavu sana, masufi wengi wanatetea upuuzi wa madhehebu yao na kulinda maslahi/matumbo yao. Tuseme haya shekh Muhammad Bachu hakusomeshwa au hakusoma kama mnavyoaminisha wapumbavu wenzenu je na nukuu alizozitoa za wanavyuoni wakubwa tena wazamani nao hawakusoma, mmesoma nyinyi tu wapumbavu wa kisufi?
Jafary kiboko ya mawahabi aliaacha mwiba sana Allah khery kwa sadaqat jaria aliyoiacha ambayo mpaka leo wanaopanga kumdogesha mtume wanamdogesha vipi ili hali kuna kitabu kinachomsifia kwa sifa kem kem
@rogertuga007
10 ай бұрын
Sifa hadi za kuzusha 😂😂😂😂kweli ni kem kem
@kundeigang3879
9 ай бұрын
@@rogertuga007 sifa gan za kuzusha
@rogertuga007
9 ай бұрын
@@kundeigang3879 wanyama na ndege kuzungumza kuhusu mimba ya Mtume ni mojawapo.
@salemshaban241311 ай бұрын
Sasa kiwa barzanji ni sahihi mbona basi msijibu hoja 19 ndio tujue yeye kasoma.mwenyewe muelimisheni basi ndio ajue na sisi tujue
@eddieeddie275511 ай бұрын
Jibuni hoja za Bachu km ni wakweli mpaka leo hamjajibu hata moja 19-0
@shamisahmed4806
10 ай бұрын
Hata wale wanaopinga uwepo wa Allah mtukufu zile sababu wanazozitoa kuthibitisha ilo wanaloliamini wao wanaita ni hoja za msingi.... ..izo 19 ni hoja kwako,kwetu sisi sio hoja izo bali umajnuni tu ndio mana hatupotezi muda kushughulishwa na hilo!! Maulidi tutayasoma mpaka Peponi in shaa Allah!!!
@halidim.yahaya3949 ай бұрын
Alhabib Walid
@salemshaban241311 ай бұрын
Munamkashifu bachu tuu lakini mlishindwa kujibu hoja 19
Hakuna anayemiliki elimu Shekh Walid. Nyie mliopewa Elimu kwa kusomeshwa na masheikh sawa tu. Lakini kuna watu wamefanya jitihada na kuhifadhi Quran kwa usaidizi mdogo sana kutoka kwa watu wa kawaida. Kama hawa mtasema hawana elimu kwa sababu hawasomeshwa na Sheikh Mohammad Ayoub mnataka kusema elimu ya dini ina trade mark ambayo ili upate kufaidiki lazima uipate kwa mwenye nayo. Sio sawa Sheikh Walid. Hiyo haikubaliki. Sheikh Mohammad Bachu ametoa hoja zake juu ya Brazanji. Nyie masheikh wenye ithibati basi njooni muwafahamishe umma kwamba hoja zake si sahihi. Lete zenu zilizo sahihi. Lakini kama mna sema juu juu tu eti hakusoma, hana elimu, haijibu masiala ya msingi kuwa Barazanji ina uwongo na ushirikina. Tusaidieni masheikh
@seifsalah6843
11 ай бұрын
Naam
@khadiaally9192
11 ай бұрын
Ipo hiv Kama hadidhi Zina silisila he nakuuliza elim ya dini Haina yaweza kua hujui silisila kwa mfano kwenye hadithi huwa twauliza he hadithi hiyo kapokea Nani paka ifike kwa mtume ndo ninakua sahihi Sasa Kama ni hiyo he elimu nikujisomesha tu chubani au lazima tijue aliye kusomeshwa ili tujue wewe unayoyasema Yana ilim Dani yake
@abdallahkabuto83929 ай бұрын
Mashaallah,(a physiian who treats himself ,has a fool for a physician) kujisomesha huwa hufai.
@nurdinmfamau349310 ай бұрын
Pia Ukiona Haya Maneno Huyaelewi. Basi Ujue Maneno Haya Siyako. Unashida Natafsiri Yamaneno Haya Waone Wenye Maneno Yao. Usikurupuke.
@niffonlinetz721411 ай бұрын
JIBUNI HOJA ZA BACHU ALAFU BACHU ANAWASUBILI KWA MUNAQASHA ASA HATUWAELEWI MNALUKA LUKA TU 😂
@JamalMohamedibnusaalim
10 ай бұрын
Ww elimu ni sanad nenda ukapige goti kwa mashekhe ndo utaelewa.
@JamalMohamedibnusaalim
10 ай бұрын
Wacha kufata mkumbo ndg tafuta elimu achana na masheikh social media
@fakihassani39 ай бұрын
Mbona hamukukaa mukamsaidia majibu Bachu km munaona yuko sahihi kazi yenu kujiona sahihi t kwa kuvaa kanzu fupi hamuna lolote zaidi kibri hamutaki kisoma ubaguzi ndio kz yenu na kila mtu kwenu hana elimu
@RamadhaniRamadhani-yd4hq11 ай бұрын
Huyu shekhe ana hekima sana ila kachomekewa hoja nzito nayeye ni MTU wa twalika lazima aegemee upande wake ila barazanj ilikosewa kidogo ingelekebishwa na mtunzi aedelee kuenziwa na kumsifu
@AlhajiIssa-jb9hr
10 ай бұрын
Wapi imekosewa kaka Ramadhani.
@Hussein-qq2uy11 ай бұрын
Mawahabi wengi humu wanazungumzia hoja 19 eti masheikh wa kisufi wameshindwa kuzijibu kisha wanatamba na kutangaza ushindi kama alivyojitangaza kinara wao mtoto wa bachu mimi naomba niwashauri muachane na hizi hoja 19 maana si pahala pake kwa sasa kwanini nasema hivyo? sheikh wenu bachu hakuwa tayari kwa munaqasha wa kielimu bali yeye alikuwa anataka ajibiwe kama anavyoamini yeye na hiyo ndo pwenti aliyoizungumzia sheikh walid hakuna elimu ya kujisomea bali ni kusomeshwa,,,,na kwa Bahati mbaya bachu haliamini hilo na ndo maana ziko fani nyingine ambazo yeye hazijui na hasa fani za lugha ya kiarabu na aruudh,,,,, ambazo kwa asilimia kubwa zinahitaji upige goti kwa mwalimu usomeshwe na siyo ujanja ujanja,,ifike pahala bachu lazima akiri kuwa barzanji ni kitabu kilichojaa bahari za mashairi,fani za balagha na mantwiq,,,,,anapozitakaa fani hizi kwa kuwa tu hazijui ,,,basi atambue kuwa hata hizo hoja zake kumi na tisa hazijibiki na kwa mantiki hiyo hana sifa ya.kushiriki minaqasha na masheikh wenye elimu zao akapige goti asomeshwe kwanza akumbuke bachu huu siyo mjadala wa tawhiid wala fiqhi hii ni barzanji ni kitabu cha sira kilichoandikwa kwa mfumo wa mashairi yaliozingatia bahari mbalimbali pamoja na mushabbihaat na mafumbo mbalimbali ambazo utatuzi wake huupati ispokuwa kwenye fani za lugha namuomba asome kwanza kisha ndo ajibiwe hizo hoja zake 19 kwa sasa hazijibiki ajijibu mwenyewe tu
@rogertuga007
10 ай бұрын
Sabas alitakiwa ajibu Sasa kielimu kumuonyesha wapi hakuelewa lakini alisema dakika 20 hazitoshi kujibu hoja. Japo alijinasibu kuwa atajibu kwa dk 5. Kwahiyo baada ya kutolewa hoja hizo alitakiwa kuchambua moja moja kielimu ili kumuelimisha na abiria wengine pia wapate kuelimika. Lakini mwisho wa siku alikimbia akaulizwe marehemu mwenyewe alikusudia nini.
@user-lo5jm1nr8e10 ай бұрын
Jibuni hoja sio kumsema mtuu ni dalili za wazi kua maulidi ni shirki
@makhanguwakhutu240811 ай бұрын
tatizo mnahepa jibu
@husseingitonga89219 ай бұрын
Wazushi hamna haya ata kidogo. Kama wakristo wanavyo sema biblia lazima uwe na roho kuielewa nyinyi ni ma swad na madhuma ata warabu hawakosei herufu? Wazushi siku zenu zimekwisha Allah araonyesha wapi kuna haki
@user-re9xu2qj7q11 ай бұрын
Suala sio maulid laaaaaaa!!!! Suala ni kwamba kisomo cha maulid kimeguzwa biashara za watu wachache
@nurdinmfamau3493
10 ай бұрын
Kama Ilivyo Misikiti Nibiashara Tusiswali. Wanaopeleka Hija Watu Nibiashara Tusihiji. Wanaosomesha Watu Nibiashara Tusisome.
@mikekhalifaali7510
10 ай бұрын
@@nurdinmfamau3493hoja ya kipuuz kabisaa, Maulid sio ibaada
@nurdinmfamau3493
10 ай бұрын
@@mikekhalifaali7510 Aliyekwambia Maulid Ni Ibada Nani.
@mikekhalifaali7510
10 ай бұрын
@@nurdinmfamau3493 swali gani Hilo kwan Maulid yamo katika Quran au Hadith, hakuyafanya mtume wala maswahaba zake, au nyie ndio mnaifahamu dini sana zaidi ya mtume na maswahaba? Maulid ni bidaah bwana haina Dalili yoyote
@user-sx9br8mi9x9 ай бұрын
Shek walid uko sawa but sio sana vile, hapankwa maulidi vipi, tunasubiri majibu ya maswali 19 ya mwalimu bachu. Hacheni ujanja pls toeni majibu. Tumechoka kusubiri 😂😂
@hidayaramadhani1833Ай бұрын
Bachu hajijui hajielewi napia hakuanza yeye atatulia sio muda mawahabi ktk uislamu wakweli hawamo nandio maana wanaongoza kwabidaa
@FatmaSeif-ek8ks9 ай бұрын
Sijauona ushekh wa bachu.Kwani bwana mtume alibishana kwenye uislamu wake.ukimuona mtu analeta vurugu na mabishano ndani ya dini yake huyo anakasoro.Mimi naomba mashekhe wetu na maulamaa mwacheni huyo .
@babayaoyega254010 ай бұрын
Tupe dalili maulidi haqqi ubabaifu tu wamaneno bila dalili
@samsiakassakangeta178010 ай бұрын
Sheikh Walid Asalam Alaykum warahmatullah wabarakatuh! Tunakutaka wewe upange munaqasha na uusimamie haswa baina ya hawa watoto wako wa wili: Mtoto wako wa Twariqa na huyu Mtoto wako mwengine Mohommad Bachu anaye wawakilisha watoto wa Sunnah! Wewe mzazi wao uwasimilize live hoja zao,kisha mwisho usuluhishe ni mtoto yupi kapatia hoja na yupi ameshindwa,ili watakaoshindwa wawe wanawaheshimu wenzao! Huwezi kuikata kesi hii kwa wewe kusemea nje ya pazia tu!
@RamadhaniRamadhani-yd4hq11 ай бұрын
Alietunga kitabu cha maulidi nibinaadamu nae anakoseapia anatakiwa alekebishwe au kwakua ni muarabu hatakiwi kurekebishwa
@user-bo1ew3xq6w
10 ай бұрын
Hakuna mahali alikosea mwanachuoni wetu isipo kuwa mahasidi wakiwahabi wamekuwa na husuda juu ya harakaati za huyo mwana chuoni kwa bidii yake ya kuongoza katika kuisimamisha dola ya kiislamu ya twarika ambayo kwa sasa ndio inaongoza kote ulimwenguni juu ya ikhlas ya kumpwekesha allah na sifa za mtume wetu sheikh barzaji allah azidi kulitia nuru na miangaza kaburi lake.
@omarymakange844910 ай бұрын
Alhamdulillah.. Allah atuepushe na uwahabi pandikizi la wamagharibi wanatuharibia dini yetu tukufu..
@MohammedOmar-wt3vg
10 ай бұрын
Astagh firullah
@mwinyiulalawi4202
10 ай бұрын
Unakielewa unachoandika au je unajua waitwao wahabi ni kina nani na hao wamagharibi wanawafadhiri ili wafaidike Nini?
Aaa sheikh wacha kutaja juju, kama upo na haki elimisha waislam hiyo barzaji kama ni kweli
@suleymansalim573211 ай бұрын
HII NI AIBU YANI KILA MTU AKISIMAMA ANAMLAUMU BACHU LKN HASEMI KUHUSU ZILE HOJA 19 BACHU HIVI MARA VILE MARA SIJUI MWEHU MLEVI MVUTA BANGE JAHILI MPUMBAVU MUHUNI...NK ALAFU MKIMALIZA MNAKUJA KUSEMA YEYE NDO KATUKANA. LKN UKITAFUTA MATUS YAKE HUYAPATI NYIE NDO MNAO MTUKANA
@MbarakaMakamba-bx3nn11 ай бұрын
Hajaanza kupinga yy waliping wakubw na wamekubali wakubwa vilevile
@michaelthobias99678 ай бұрын
Bado hamjasema baado jibu hoja 19 za bachu punguzeni porojo
@kavumohemedi87111 ай бұрын
Bidaa ni mbaya acheni
@feiz318011 ай бұрын
Maulidi ni barzanji. Sote tunajuwa hilo. Kubabaisha na kubabaika haisaidii kitu. Wakimbieni mashia. wao ndio wakuu wa maulidi.
@user-fy4op1sw2f
11 ай бұрын
Mwenye akili hashindani na mjinga Nyie ni mashabiki wa ujinga na endeleeni kushabikia na hoja zake za kijinga
@sadickmguruka
11 ай бұрын
Mashia wana ukuu gani wa barazanji wakati maulidi barazanji yenyewe imeandikwa na jafary albarazanji ambae amekuwa imamu na Muft wa maka na madina au na yeye alikuwa mshia?
@feiz3180
10 ай бұрын
@@sadickmguruka wanatumia pesa kuendeleza maulidi. Mombasa, Dar, Tanga, Lamu etc wao ndio watowao pesa kuwabeba Qadiria kwa hali na mali kuendelea uzushi.
@user-sx9br8mi9x9 ай бұрын
Chaajabu kumbe mnakubali kuna hadith munkar kwenye barzanj. Lakn mbona bado mnazitumia kumsingizia mtu uongo?? Nataka jibu pls
@RamadhaniRamadhani-yd4hq11 ай бұрын
Aaaa? Kijana mdogo kawasumbua akili. Haya tujibuni basi anaefuta madhambi ni mtume au muumba?
@abdullatiframadhani5059
10 ай бұрын
Ndugu yangu tujengeni dini yetu tusimesheni watoto dini yetu, bora maulidi kuliko baadae watoto wetu watakuja kujibadisha kujigeuza wanawake dunia imeshakwisha tushikamane tusigombanie vitu vitakavyotugawa
@RamadhaniRamadhani-yd4hq
10 ай бұрын
@@abdullatiframadhani5059 hahahaaaa ushoga na usagaji. Mungu atuhurumie
@jumamajid755711 ай бұрын
Hahah ujumbe umefika
@pavillioncry524111 ай бұрын
Kamba 19 zimekaaaa koooni Taaaabani Huna uwezo wa kujibu hata hojja mojja kieleimu
@rjqaasam4587
11 ай бұрын
Zile ni HOJA kwa Mtu Mjinga kama wewe mbele ya wenye Elimu pale hakuna hoja
@user412
11 ай бұрын
Hapana hoja pale.
@abdulmanaf514411 ай бұрын
Nmeamn sheikh wa bongo ni sawa na mlevi pemba
@wamsalsuyuwtwiy9229
10 ай бұрын
Samahan akhi kama nitakuudhi kwa haya nitakayoyasema "jaribu kufikiri mwisho wa chochote au lolote unalotaka kulisema na kulifanya uliyoyazungumza hata sidhani kama we we mwenyewe yakiwa yamesemwa upande wako Yang's kudu ravish a samahani akhi
@muftiahmadimahmudulemba191810 ай бұрын
Nikweli tatizo nikusomea nasio kusomeshwa
@Mariam99-ld4gw11 ай бұрын
Hoja gani wewe wazijibu. M unazidi kumchetua. Huo bachu mwenzenu. Anabeba. Mzigo mkubwa
@hometownke.96589 ай бұрын
UZUSHI MWISHOWE MOTONI TU
@fakihassani39 ай бұрын
Mumeona wapi hoja 19 au ndio nyie vilaza?
@user-wy7om5ln7l10 ай бұрын
hao wanaojiita mawahabi na salafiy niwatu wa ajabu sana ivi inawezekana kweli waislam wote wawafate wanavotaka wao tu?au wao tu ndio mashekh hakuna shekh zaidi ya salafiy
@mafiatv547911 ай бұрын
Mi nasema tumekubali kashinda si basi... sisi tutaendelea nayo kama kawaida Ila asiwatie watu ktk makosa pengine yeye ndo hajaelewa kilichoandikwa maskini ila ajihadhari yasije mtokea km walopita
@user-ek3zk4bx5j10 ай бұрын
Uko sawa sheikh.hao mawahabi wanashindana kukufuru
@MohammedOmar-wt3vg
10 ай бұрын
Astagh firullah
@JamalMohamedibnusaalim10 ай бұрын
Mashekh zangu ugomvi hauna nafasi kati ya yetu waislam ilimu ni pana mno wote mnajua hilo alaf kua na ilmu co sababu chakuzingatia ktk hiyo elimu kunae manufaa? Je hikma ipo? Ko msipate taabu ktk hilo masheikh zangu, usitumie jazba kubwaa akat ilmu enyewe haina manufaa wala hikma allah keshasema man yuutwiil hikmata faqad uutiya khayran kathiiraa.. faqatw.
@makhanguwakhutu240811 ай бұрын
sheikh wa mkoa pia umekosa kujibu hoja za kijana wa bachu hakuna cha sufi wa wahaabi tunachosubiri ni majibu kamili sio kuhepa hepa
@FATEHEWASAPA
9 ай бұрын
Nikweli mtoto wabachi nichizi anaweza kusikia manenohaya akabisha au akaporomosha mitusiyake
@FATEHEWASAPA
9 ай бұрын
Mambo mazito hayo
@user-wy7om5ln7l10 ай бұрын
wewe unaetaka hoja 19 zijibiwe mbona huna uelewa kama uyo bachu mwenyewe zijibiwe mara ngapi
@anyeresa92811 ай бұрын
Sheikh bacho anamadhaifu yake kama mimi na nyie.. Ila kawazidi kielim
@abubakarmohamed4783
11 ай бұрын
Huko ni kuitweza ilimu ni kama kusema kamba yachinja kuliko kisu
@abubakarmohamed4783
11 ай бұрын
bachu kwa Sheikh Walid Al Hadi ni kama jiwe kwa Dhahabu
@mohd39789
11 ай бұрын
Hakika
@abubakarmohamed4783
11 ай бұрын
Nyama za wanazuoni zina sumu waislamu wenzangu tuacheni ushabiki wanazuoni wenyewe walikuwa wakisema ikhtilafu beina ya wanazuoni ni rehma wao ni kama njia yoyote utakayemfuata utafika utakapo
@mohd39789
11 ай бұрын
@@abubakarmohamed4783 kwahiyo kama kuna mwanachuoni kasema uongo aachwe tu? Hivi nyinyi masufi na mashia mnawatukana mashekh wanaopinga bid'aa?
@Chalazatz10 ай бұрын
Maneno adhimu kabisa aya
@Seng52211 ай бұрын
Mie ninachopenda sana nikuona miwahabi inawafatalia sana mashekhe zetu. Tena wanawafatilia vyema sana Sasa Hua najiuliza kama mashekhe zetu niwabidaa kwann mawahabi hawatosheki na mashekhe zao Wakasoma Dini ila utakuta Katika kila clip yoyote Ile ya mashekhe zetu utawakuta Hawa watu ila trust me Hua hawana Muda WA kusoma Dini zaidi Hua niushabiki tu nakujifanya Wana elimu kumbe bangi tupu
@Captainome
11 ай бұрын
Hawaezi kuwacha wapitosha umma kwakutaka Dunia yao,tuko na wao bamper the tu bumper wamedangaya watu siku yingi so ukishndwa kuona wakirekebishwa we tizama tu.
@Seng522
11 ай бұрын
@@Captainome Sasa wewe umerekebisha nn au Huyo shekhe wako karekebisha nn? Au huko kutupa kitabu then Kuja kuomba radhi baada ya kusemwa???
@Captainome
11 ай бұрын
@@Seng522 kitabu kutupwa alikiri mwenyewe nikosa na kaomba radhi sasa yy ndio mumefaya topic kwenye misikiti na kwenye magrouo zamaulindi zenye hamna la kuongea kila Asmara bachu bachu,this roundy tutawasnyooshaa na shubhat zenu mustake kutengeneza maisha yenu kupitia waislamu wasiojua kitu.
@Seng522
11 ай бұрын
@@Captainome istoshe nakushauri uende ukakusomeshe kama ndio shekhe wako coz hawezi kumzuia mtu kusimamia alichokua nahakika nacho sana sana atawachota wafuata mkumbo ila sio wasomi wadini Tena walosoma kwa ikhlaswi
Yani hizo hoja 19 na mpaka 30 zilizoulizwa hata mimi nazi jibu, 😅 manake nivichekesho, mawahabi akili zao fupi kweli kweli. Mimi sio sheik wala sijasoma lakini nazi jibu. 😅😅
@user-lz4ku2xh8p
10 ай бұрын
😳😳😳
@user-lz4ku2xh8p
10 ай бұрын
Jibu sasa ufundshe sheikh walid
@tanzania_00110 ай бұрын
Sheikh Walid Kitambi hicho 😅
@suleymansalim573211 ай бұрын
😂😂nakwambiaje😂bado hamjasema😂 mtasema yote😂mpaka visivyobsemwa Bachu tulia tu ushamaliza kazi
@MustafaOyoo-qz7rp10 ай бұрын
Huyu sheikh ni mtu wa uzushi
@fadhilimusa973211 ай бұрын
Maulidi tutasoma mpaka qiyama.wahabi akipinga ndio anayapalilia yazidi kunawiri.
@BuruhaniKitomozi-gb7fb
10 ай бұрын
Dawa yawatuwanaopingahaki pindi inapodhihili nikuchinjwa sasa subirini waislamuwakweliwatapopatanguvu mtachinjwanyoteinshaallah waovuwakubwawaibadanyie allahawaongoze kuwafunguwanyoyo
@user-wt6mr2ds1i9 ай бұрын
Kaulize ww hoja zako
@saidkondo511211 ай бұрын
Walidi hoja za mtoto wa bachu zipo wazi mjibuni,kama kapotosha ,mnazuunguka zuunguka tu,"eti huwezi kuelewa maneno ya barazanji"ilmu ni sanadi tupeni sanadi ya maneno ya barzanji,
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de
11 ай бұрын
Kwahiyo wewe bachu unamuona anaelimu sana eeh,wewe bachu ni jazba tu ni debe tupu tu kelele nyingi hamna elimu Wala hekma Wala adabu ni mpuuzi tukwetu upo.😅😅😅
@abuushakiraddausiy8666
11 ай бұрын
Kama Hana elimu jibun hoja zake acha uzuzu
@mzamilomocho6531
11 ай бұрын
Bachu hana elimu zaidi upotoshaji TU.
@ukongaaljazeerat1009
11 ай бұрын
@@abuushakiraddausiy8666 nyny ndo mazuzu
@abuushakiraddausiy8666
11 ай бұрын
Sawa Hana ajibiwe hoja zake bhas na sis tupumzike
@mahammoudhaji11 ай бұрын
Mume shika hoja 19 km ni hoja kweli zingeshajibiwa zile ni hoja kwenu mawahabi lkn kwetu sufiyyuna sio hoja kwanza jiulizeni swla 1 tu kwamba hizo mnazoita hoja hem jrbuni kuangalia yyte aliyoitoa kwenye Quran au Hadith lkn it was just rubbish and we put them in the dustbin
@muhidinally3753
10 ай бұрын
Aaaaaa ndugu yangu hoja hizo haziwezi kutoka kwenye Quran au Sunna kwa sababu huko haziko na ndio msingi wa Sheikh Mohammad Bacho nyie Suufia mnatoa wapi?? Usijizime data wewe Suufia bin Shia
@pavillioncry524111 ай бұрын
Tonge imembadilisha mpaka misimqmo ya dini Kutoka kuwa mtu wa sunna hadi kuwa sufiiii Dunia bwana
@hassanisihaka910
11 ай бұрын
Nyinyi hamumjui Walid sisi tuachieni kaka yetu kama nyinyi hamumuelewi tulieeni
@Seng522
11 ай бұрын
Acha unafiki ndugu eti tonge Huyo hajawahi kua wahabi
@jaizaniimamu3880
11 ай бұрын
huyo hajawai kua mvaa kaptula
@alijuju86979 ай бұрын
Sheikh Mohammad Bachu alipaswa kujibu suala aliloulizwa na mwenzake. Lskini Bscho alijifanya yeye first eleven lakini mbona hakijibu swala iloulizwa. Lakini baada kuona hana jibu ndio akajifanya kuuliza swala. Kwa hiyo yeye kwa kuwa hakuweza kujibu hilo swala basi angelisema kuwa hajui. Kwa hiyo na wewe usijifanye mnafiki kwa kuugeuza ukweli na.kutaka iwe uongo.
Пікірлер: 344
Masalafi, Mawahabi, maanswari Sunnah tatizo lao ni moja tu: Wanajibiwa kisomi zaidi ila wao wana khiari wajibiwe kwa masemango, mashekhe zetu ni wenye hekma hawajibu kwa kutovukwa na adabu, Allaah amewapa hekma na busara nyingi katika kuendesha mambo. Jibu limepatikana hapo ila kwa kua Allaah ametia vizibo katika nyoyo zao na macho yao hawawezi kuona lolote hapo. Allaah awabaarik mashekhe zetu. Ila sheikh waleed ni kiboko elimu anayo Alhamdu lillaah. Allaah amsidishie elimu yenye kheri na dunia yake na akhera yake Allaahumma aamiiin,,,,,,,
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri
Shekhe Walid uko vizuri. ALLAH akupe zaidi elimu., ILA HOJA 19. NAKUOMBA uzijibu ww, hakuna kuzunguka .. ni mwezi sasa hakuna hoja ata moja iliiyo pata majibu.
@Seng522
11 ай бұрын
Ameen, akhy hizo hoja 19 sio hoja hata kidogo mie binafsi ninauwezo WA kuzivunja moja baada ya nyingine ila kama kweli unasimamia Haki kabla ya kuvunja moja baada ya nyingine niambie Kwanza unafahamu kua shekhe wako alimzulia shekhe jaafari ktk miongoni mwa hizo hoja 19 alizozijenga Sasa wewe niambie kama kweli umsomi WA Dini naunafatilia Haki nasio ushabiki niambie Katika hizo hoja 19 ni hoja zipi ambazo kweli nimaneno ya jaafari na niyapi sio ya jaafari ila nishekhe wako ndio kamzulia
@mohd39789
11 ай бұрын
@@Seng522wanashindwa wapumbavu wakubwa wa kisufi utaweza wewe dagaa mdogo?
@mohd39789
11 ай бұрын
Tatizo la masufi wanatetea upuuzi wa madhehebu yao lakini uongo na shirk katika kitabu cha barzanj upo wazi wazi
@khadiaally9192
11 ай бұрын
@@mohd39789Sasa wewe unayetukana bila hekima nyie mawahabi vitsbu vyeni vipo koleki tu
@wardalwena5846
10 ай бұрын
@@mohd39789huwezi kufukisha ujumbe mpaak utukane?
Maashaallah shukran sheikh Waleed Allah azid kukuongoza tunufaike n elimu yako
Wallah sheh nakupenda bure kusoma na kutambua kunitji umakin wa hali ya juu san tumekufam shekh mung akupe hekm zaid ya kutoa mwangaza zaidi n somo kubwa ilo
Wallahi nimestafid sana Allah akulipe shekh waliid
MASHA ALLAH 💚 .
Umri Taweel Sheikh wetu 🤲
Aiseeh naona hoja 19 bado ni mwiba wa koo! Maulidi yote hoja ni mtoto wa Bachu tu lakin anaejib hoja hakuna😂😂😂! Sasa masheikh wote wakisufi wenye elimu yenye sanadi waliosomeshwa na sio kujisomea wenye maulidi yao na vitabu vyao kama wangegawana zile hoja 19 japo mbili mbili si wangekua weshazijibu zote hivi umma umenufaika na kuelewa😀
@user-ql7xr4gq3c
10 ай бұрын
بارك الله فيك ايهاالشيخ وليد فليتعلم محمد باشو منه وليأ خذ العلم منه ويتفقه البرزنجي منه
@omaryhunte
9 ай бұрын
Kwa ni wewe umesoma watu wakafaidika na elimu yako kama shekh walid alhad ? Au unaleta tu ushabiki .
Mashaalah ulipo tupo
Mashaa Allah 🤲
Subhanallah, kajisomea mwenyewe tu lakini kapiga maswali 19 tu ya uongo ulio ndani ya barzanji lakini masufi wanashindwa kuyajibu. Hivi angesoma kwa masheikh wakubwa ingekuaje??? قال يونس بن عبد الأعلى: سمعت الشافعي يقول : (لو أن رجلا تصوف أول النهار لم يأت عليه الظهر إلا وجدته أحمق). رواه البيهقي في "مناقب الشافعي" (٢/ ٢٠٧) بإسناد صحيح
@sadickmguruka
10 ай бұрын
Kumbe alijisomea mwenyewe
@twahirburhan3726
9 ай бұрын
Sasa hao mashekh zenu wa BAKWATA mbona mpaka leo wameshindwa kumjibu bad ala yake wanamshambulia tu,wamjibu kwanza na si kutetea BIDAA ya MAULIDI am a yo ni uzushi tu
@twahirburhan3726
9 ай бұрын
YAANI ETI MASHEKH WA BAKWATA WANAIJUA DINI KULIKO MASWAHABA WA MTUME S.A.W!! KITUKO CHA DUNIA
MashaAllah tabarakallah
Sheikh Walid sema kweli KUHUSU kitabu Cha barzanji makosa na URONGO mwingi na munanyamaza isipokuwa ndungu bachu amejitoleya kuzungumza UKWELI ndiyo watwariki masheikh wameksirika KWA UKWELI wa bachu MUNGU amlinde bachu KWA msimamo wake wa UKWELI KUHUSU dini kesho Kila mtu ataulizwa msimamo wako wa dini sikufuhata maslah ya duniya
Mashallah sheikh walid tumestafid
Allaaahu Akbar,,,
Hawa masufi vile wamebabaika na nukta 19 ndani za qasidah za uongi na ushirkina itafikiria wadungwa na kisu cha sumu wamebakia na maneni tupu hakuna aliojibu hoja moja kati za 19 basi maneno za projo tu
@mbjunior166
11 ай бұрын
Aisehh kumbe wameshikwa pabaya sana😂😂😂
@nurdinmfamau3493
11 ай бұрын
Nibora Yamtu Kuwa Mjinga Utajifunza. Lakini Ukijaaliwa Kuwa Mpumbavi Huo Niuogonjwa Usiopona Milele. Eti Maswali 19. Kusoma Nikitu Kingine. Nakuelewa Nikitu Kingine.
@barzaqtradingcompany8541
11 ай бұрын
@@nurdinmfamau3493 hio nimsemi waki mashia walipo saydina Ali ni mungu someni kuwa vitabu zao vile munayo sema mandishi kitu kingine nakuelewa ni kingine, ebo nitafsirie وَلَا تَدْعُ مِن دُونِ ٱللَّهِ مَا لَا يَنفَعُكَ وَلَا يَضُرُّكَ ۖ فَإِن فَعَلْتَ فَإِنَّكَ إِذًا مِّنَ ٱلظَّٰلِمِينَ nitafsirie vile kuwa mandishi kingiye nakuelekwako kingine vile unadai
Ma sha Allah Allah akuhifadhi na hassad 🤲🤲🤲
Shekh walid mm nazifuata sana darsa zako Allah akuzidushie kheri sasa tatizo bachu katoa nukta zake zipatiwe jibu kwanni kama munaona bachu hana hoja kuhusu barazanji hazijibiwi kilasiku munamsema bachu kakashifu barazanji nawanachuoni lkn hatuoni jawabu yakile alichosema nishirki nakatoa ushahidi wake ilikua nyiewasomi mumjibu kielimutu ingekua tatizo limepatiwa ufumbuzi lkn kumsema sematu bila kujibiwa alichokitilia shaka mutaonekana usomiwenu umefeli nabachu hata mukimsemavipi bado yuko sawa nacc tunajua bachu yuko sawa kwasabbu hamuna jibu lakumjibu mumebaki nalawamatu nukta 19 zipo palepale
@Seng522
11 ай бұрын
Akhy vip ww? Ajibiwe kwani yeye aliuliza ni clip gani ambayo bachu aliuliza zaidi ya kuhukumu kua watu niwashirikina Tena anaowahukumu wameshatangulia mbele ya Haki, Ama kuhusu hizo hoja 19 alizo muuliza sabas niyeye na sabas hakuumuuliza alhadi na istoshe mcheni Allah na kama kweli ninyi ni wasomi WA Dini sio mashabiki tu fatiliene ukweli WA hizo hoja 19 amezijengea ktk maneno ya jaafari kweli kama anavyo mtuhumu Ama amemzulia halafu unambia kua zimebaki ngapi ambazo nikweli nimaneno ya jaafari mimi wallah nitakujibu zote
@khadiaally9192
11 ай бұрын
Tatizo hata yeye hatoa hoja kupitia wana vyuoni Bal kauliza maswa kwa kukosa kuelewa yeye Sasa hiyo c hoja anashida ya kuelewà so Ange ena kusomeshwa ingekua bola nawe nikupee chaleji nipe nukuluu yoyote kutoka kwa wanavyuoni aliye wahii kuuliza nukuta hata mmoja Kama hamna sasa c hoja niufup was kuelewa kwake
@seifsalah6843
11 ай бұрын
Mimi naona umezungumza kwa hekima sana
@eddieeddie2755
11 ай бұрын
Kweli kabisa, hawawezi kujibu hata nukta 1, ni lawama tuuu, Bachu hivi Bachu vile, jibuni hoja zake km nyinyi ni wakweli.
@mody-guyngido2792
11 ай бұрын
Maulidi sio Ibada,hiyo iko hivyo Tu kama ni sherehe sherehekeeni Tu Masheikh wetu
Ass alkm, mashekhe mnazunguka sana kutafuta majibu ya kumjibu Muhammad bacho, mnafanya makusudi kuwacha msingi aliotulekeza Allah kwenye sura ya 4 Aya 59 au ni hawaa tu za nafsi. Hebu waislamu tuwache kufuata matamanio ya nafsi, ALLAH ATUONYESHE HAKI NA ATUWEZESHE KUIFUATA, NA ATUONYESHE BATILI NA ATUWEZESHE KUIEPUKA.
@yahkiwera3611
Ай бұрын
Wewe nimshabiki wasini km mpira wewe sio muislamu mwenye kutaka kujua Diniyako😊
Sasa kama walimu ndio nyinyi heri ajisomee tu mwenyewe, Maulid ni upuuz mtupu tena sio ibaada
@arafatally3723
10 ай бұрын
Naomba Mummad Bachu ajisomee pia kama uko ufaradhi wa kurudisha ukhilafa Kwa manhaj ya Mtume(s.a.w).
Clip nyingi ni ooooh mtoto wa bacho hivi mtoto wa bacho hivi na vile yoote hayo yaletwa na kuwa anapinga maulidi sasa sabas amewaangusha ndio hasira zoote hizi lkni sharif Abdulkadir Al Ahdal ndie aliyamaliza kwa kumkataa sabas mbele ya camera sababu alishindwa kujibu
@mikekhalifaali7510
10 ай бұрын
Kwan hao wamejibu , hawawez
Njaa za mawahabi nimtihani mno hawampendi mtume wala mwenyezi mungu wapenda Saudia kwaajili ya misaada wamefikia mpaka mwezi kutoka Saudia niwakimataifa jamani innalillah wainnaillaihrrajiuuun
Mashallah shekh wetu. Mungu akuhifadh
Mkipindisha tunayoosha hakuna stry za shekh mkuu wala shekh mdogo hapa unapotosha ummaa kwa ajili ya maisha yenu.
@safinamakoto2747
11 ай бұрын
Pinga hakuna shida chunga kisije KIBRI kikawa KATIKA kifua chako.
@Captainome
11 ай бұрын
@@safinamakoto2747 usijali my bro amini unacho kisoma kikusaidie hapa Duniani na kesho akhera.
@fikafikan8484
11 ай бұрын
Mawahabi ndivo mulivo itakuwaje hakuna cha shekhe mkubwa hakuna wanazuoni na mtume s a w alisema musiwatukane maswahaba wake na wanazuoni leo bachu sijui ilimu kaitowa wapi kuwapotosha wanazuoni kumuhukumu mpaka mamayake mtume s a w
@fikafikan8484
11 ай бұрын
Bachu atasapotiwa na machizi wenzie
@Captainome
11 ай бұрын
@@fikafikan8484 tunaongelea hao washekh zenu mashekh ubabwa yaani yiyi masufii yaani hamjui tu vile mmepotezea watu mda urongoo urongoo ybabaishaji wenu roundy hii Allah atawafedhesha moja moja.
Jibuni hoja 19
@nadyasalim7956
11 ай бұрын
hawana jibu
@khamisfarouk9493
11 ай бұрын
Hatutak mtatufnya nn
@yahkiwera3611
Ай бұрын
Huwenda ukawa kijikafiri kijidogo dogo wewe ninashaka na Elimu yako km umesoma
Jibuni hizo hoja 19 kwanza Halafu ndoo tujue hizo chuki zeni kwa shk Mohammad bachu ni za kweli
@nassibnassib2078
11 ай бұрын
Ukijisomea utakua kama mtoto wa bacho....hakuna hoja hapo zote dhaifu.. ukisema mtoto wako ni kisu anakua kisu kweli?..... Someni KWA wajuzi msijisomee....
@abuuwandi1354
11 ай бұрын
Bachu hamna kt ukitaka kujuwa hamna kitu mpeleke kwenye mambo y mwez
@mbjunior166
11 ай бұрын
@@abuuwandi1354 Mwezi wa nn sasa😂😂😂
@sleemhamoud4394
10 ай бұрын
@@nassibnassib2078khawariji huyo Bachu kafukuzwa znz anatapa tapa Tanga na Mombasa kwa wahuni wenziwe 😅
@rogertuga007
10 ай бұрын
@@nassibnassib2078hao wajuzi ndio wajibu Sasa hizo ili na nyie wafata upepo mpate kuelewa mnachokifata.
Jibuni hizo hoja mwanzo ndo museme chochote mtakachotaka
MSAIDIENI YULE MWENZENU ALIYESHINDWA KUJIBU ZILE HOJA 19 ZA BACHU NA SI KUPONDA TU
@fikafikan8484
10 ай бұрын
Asaidiwe nn bachu ndio afaa asaidiwe uwelewa wake mdogo
فقد ثبت في الحديث الصحيح أن النبي صلى الله عليه وسلم قال: افترقت اليهود على إحدى وسبعين فرقة، وافترقت النصارى على اثنتين وسبعين فرقة، وستفترق هذه الأمة على ثلاث وسبعين فرقة كلها في النار إلا واحدة، قيل: من هي يا رسول الله؟ قال: من كان على مثل ما أنا عليه وأصحابي
@ummurahma7597
9 ай бұрын
Wa hadhihi firka firka AHLU SUNNAH NOMOSKAR WAL JAMAA
Kama mwadharau elimu zake mbona mwashindwa kuzijibu hoja zake tangu zamani bila shaka mumeshindwa masheikh wote wa tanzania na wa kenya hamutoshi jama ni simba marara
@mbjunior166
11 ай бұрын
Wamebaki na porojo mipasho na mapovu tu😂😂😂
@abuujibriltv5233
11 ай бұрын
Mawahabi mnadhiki sana ya mashekh yaani hata bachu mnaona nishekh ana elimu. Eti hoja 19😂😂😂😂
@user-pr1lh1lv8m
11 ай бұрын
Mumeshindwa kujibu maswali ya mtu ambaye Hana elimu mchoro huo
Aliye muongoa mungu hakuna wa kumpoteza
@nadyasalim7956
11 ай бұрын
Naam
Maneno mengi hayamalizi maneno jibuni hoja ili munaqasha isonge mbele
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de
11 ай бұрын
Ajibu nini hapo Kuna Cha kujibu hapo,bachu ni kishaa Sasa kichaa anajibiwa.
@nurdinmfamau3493
10 ай бұрын
Ukishindana Nakichaa Nawe Utakuwa Kichaaa. Hatuwezi Kushindana Nakichaa.
@sleemhamoud4394
10 ай бұрын
@@SaidimaulidiMaulidi-lf9denyinyi masufi mumeregea kwann hamumchukulii hatuwa Hutu Bachu mbona zanzibar kachukuwa hatua kali ya kutojihusisha na daawa
Fanya darsa ukifundishe kitabu cha barzanji upinge nukta 19
@JamalMohamedibnusaalim
10 ай бұрын
Jamaa mnateseka sana na maulid bas tutabadilisha jina worry out
Kujusomea ndio kujua. Msiwe kama manaseara wasomewa bibilia na kufwata tu. Kwani hatuna uwezo wenyewe kujua yaliomo. Watu wana akili wakujisomea kisha kujua. Kusomeshwa ndio kupotozwa. Mambo mengine akili tu. Sheikh waijua ndani ya moyo wako kua maulid haufai mbona kuwapotosha watu kwa yakini. Muogope Allah ndani mwako wayajua.
@michaelthobias9967
8 ай бұрын
Elimu ya manaswara ni kubwa kuliko unavyo fikiri
Nawaomba sana masheikh muache hayo anaetaka majibu akasome itamtosha kuwa ni jibu sahh atafuata kuliko haya yanayoendelea endeleeni mtupe faida hao wenye minakash waendelee
Kama kweli maulidi yapo na munafaa basi muitetee na mutoe majibu 19 mulizoekewa. Ni kejeli tu na hamuna jibu. Allah awaongoze na atuongoze sote.
Assalamualaikum jamani naona kejeli nyingi za majibu nyinyi waache mashekh kwa mashekh wamalizane jamani dini haijaja kugombanisha jamani tuacheni tumuogope mungu kila moja ana mwalimu wake na ufahamu wake na uelewa wake kama ww mwalimu wako bacho fata yale aliyokufundishwa sio mwalimu wako bachu acha nayo
@user-bo1ew3xq6w
10 ай бұрын
Hapa ndugu yangu hatutaeza kuwaachia wavuta bangi na wakula unga wakimawahabi kututuakania masheikh wetu lazima wakule vimondo.
HATA WASKRISTO NA WAYAHUDI WANATAFUTA MAKOSA KWENYE QUR AN NA ANAYAPA KUTOKANA NA KUSOMA KWAO BILA KUSOMESHWA NA IKIFIKA WAKATI AKISOMESHWA WANAELEWA NA KUIFUATA HAKI NDIO MAANA LEO WANAREVERT KWENYE UILSLAM KAMA NZIGEEEEE. UKITAKA KUKIELEWA KITABU SOMESHWAAAAA
Tatizo la masufi ni wapumbavu sana, masufi wengi wanatetea upuuzi wa madhehebu yao na kulinda maslahi/matumbo yao. Tuseme haya shekh Muhammad Bachu hakusomeshwa au hakusoma kama mnavyoaminisha wapumbavu wenzenu je na nukuu alizozitoa za wanavyuoni wakubwa tena wazamani nao hawakusoma, mmesoma nyinyi tu wapumbavu wa kisufi?
@mbjunior166
11 ай бұрын
Wapuuzi sana hawa😂😂😂
@user-ke5rk8cb9g
10 ай бұрын
Haha wewe mnafika mbali jamani fata unacho kiamini siyo kuongea vibaya kikubwa kumcha mwenyezimungu
@ismailmadenge3818
10 ай бұрын
nyie mnachojua ni kutukana tu sio zaidi ya hapo.😄
Jafary kiboko ya mawahabi aliaacha mwiba sana Allah khery kwa sadaqat jaria aliyoiacha ambayo mpaka leo wanaopanga kumdogesha mtume wanamdogesha vipi ili hali kuna kitabu kinachomsifia kwa sifa kem kem
@rogertuga007
10 ай бұрын
Sifa hadi za kuzusha 😂😂😂😂kweli ni kem kem
@kundeigang3879
9 ай бұрын
@@rogertuga007 sifa gan za kuzusha
@rogertuga007
9 ай бұрын
@@kundeigang3879 wanyama na ndege kuzungumza kuhusu mimba ya Mtume ni mojawapo.
Sasa kiwa barzanji ni sahihi mbona basi msijibu hoja 19 ndio tujue yeye kasoma.mwenyewe muelimisheni basi ndio ajue na sisi tujue
Jibuni hoja za Bachu km ni wakweli mpaka leo hamjajibu hata moja 19-0
@shamisahmed4806
10 ай бұрын
Hata wale wanaopinga uwepo wa Allah mtukufu zile sababu wanazozitoa kuthibitisha ilo wanaloliamini wao wanaita ni hoja za msingi.... ..izo 19 ni hoja kwako,kwetu sisi sio hoja izo bali umajnuni tu ndio mana hatupotezi muda kushughulishwa na hilo!! Maulidi tutayasoma mpaka Peponi in shaa Allah!!!
Alhabib Walid
Munamkashifu bachu tuu lakini mlishindwa kujibu hoja 19
Shida waislam hasomi tunataka mihemko shekh walid afundisha vizuli
Hakuna anayemiliki elimu Shekh Walid. Nyie mliopewa Elimu kwa kusomeshwa na masheikh sawa tu. Lakini kuna watu wamefanya jitihada na kuhifadhi Quran kwa usaidizi mdogo sana kutoka kwa watu wa kawaida. Kama hawa mtasema hawana elimu kwa sababu hawasomeshwa na Sheikh Mohammad Ayoub mnataka kusema elimu ya dini ina trade mark ambayo ili upate kufaidiki lazima uipate kwa mwenye nayo. Sio sawa Sheikh Walid. Hiyo haikubaliki. Sheikh Mohammad Bachu ametoa hoja zake juu ya Brazanji. Nyie masheikh wenye ithibati basi njooni muwafahamishe umma kwamba hoja zake si sahihi. Lete zenu zilizo sahihi. Lakini kama mna sema juu juu tu eti hakusoma, hana elimu, haijibu masiala ya msingi kuwa Barazanji ina uwongo na ushirikina. Tusaidieni masheikh
@seifsalah6843
11 ай бұрын
Naam
@khadiaally9192
11 ай бұрын
Ipo hiv Kama hadidhi Zina silisila he nakuuliza elim ya dini Haina yaweza kua hujui silisila kwa mfano kwenye hadithi huwa twauliza he hadithi hiyo kapokea Nani paka ifike kwa mtume ndo ninakua sahihi Sasa Kama ni hiyo he elimu nikujisomesha tu chubani au lazima tijue aliye kusomeshwa ili tujue wewe unayoyasema Yana ilim Dani yake
Mashaallah,(a physiian who treats himself ,has a fool for a physician) kujisomesha huwa hufai.
Pia Ukiona Haya Maneno Huyaelewi. Basi Ujue Maneno Haya Siyako. Unashida Natafsiri Yamaneno Haya Waone Wenye Maneno Yao. Usikurupuke.
JIBUNI HOJA ZA BACHU ALAFU BACHU ANAWASUBILI KWA MUNAQASHA ASA HATUWAELEWI MNALUKA LUKA TU 😂
@JamalMohamedibnusaalim
10 ай бұрын
Ww elimu ni sanad nenda ukapige goti kwa mashekhe ndo utaelewa.
@JamalMohamedibnusaalim
10 ай бұрын
Wacha kufata mkumbo ndg tafuta elimu achana na masheikh social media
Mbona hamukukaa mukamsaidia majibu Bachu km munaona yuko sahihi kazi yenu kujiona sahihi t kwa kuvaa kanzu fupi hamuna lolote zaidi kibri hamutaki kisoma ubaguzi ndio kz yenu na kila mtu kwenu hana elimu
Huyu shekhe ana hekima sana ila kachomekewa hoja nzito nayeye ni MTU wa twalika lazima aegemee upande wake ila barazanj ilikosewa kidogo ingelekebishwa na mtunzi aedelee kuenziwa na kumsifu
@AlhajiIssa-jb9hr
10 ай бұрын
Wapi imekosewa kaka Ramadhani.
Mawahabi wengi humu wanazungumzia hoja 19 eti masheikh wa kisufi wameshindwa kuzijibu kisha wanatamba na kutangaza ushindi kama alivyojitangaza kinara wao mtoto wa bachu mimi naomba niwashauri muachane na hizi hoja 19 maana si pahala pake kwa sasa kwanini nasema hivyo? sheikh wenu bachu hakuwa tayari kwa munaqasha wa kielimu bali yeye alikuwa anataka ajibiwe kama anavyoamini yeye na hiyo ndo pwenti aliyoizungumzia sheikh walid hakuna elimu ya kujisomea bali ni kusomeshwa,,,,na kwa Bahati mbaya bachu haliamini hilo na ndo maana ziko fani nyingine ambazo yeye hazijui na hasa fani za lugha ya kiarabu na aruudh,,,,, ambazo kwa asilimia kubwa zinahitaji upige goti kwa mwalimu usomeshwe na siyo ujanja ujanja,,ifike pahala bachu lazima akiri kuwa barzanji ni kitabu kilichojaa bahari za mashairi,fani za balagha na mantwiq,,,,,anapozitakaa fani hizi kwa kuwa tu hazijui ,,,basi atambue kuwa hata hizo hoja zake kumi na tisa hazijibiki na kwa mantiki hiyo hana sifa ya.kushiriki minaqasha na masheikh wenye elimu zao akapige goti asomeshwe kwanza akumbuke bachu huu siyo mjadala wa tawhiid wala fiqhi hii ni barzanji ni kitabu cha sira kilichoandikwa kwa mfumo wa mashairi yaliozingatia bahari mbalimbali pamoja na mushabbihaat na mafumbo mbalimbali ambazo utatuzi wake huupati ispokuwa kwenye fani za lugha namuomba asome kwanza kisha ndo ajibiwe hizo hoja zake 19 kwa sasa hazijibiki ajijibu mwenyewe tu
@rogertuga007
10 ай бұрын
Sabas alitakiwa ajibu Sasa kielimu kumuonyesha wapi hakuelewa lakini alisema dakika 20 hazitoshi kujibu hoja. Japo alijinasibu kuwa atajibu kwa dk 5. Kwahiyo baada ya kutolewa hoja hizo alitakiwa kuchambua moja moja kielimu ili kumuelimisha na abiria wengine pia wapate kuelimika. Lakini mwisho wa siku alikimbia akaulizwe marehemu mwenyewe alikusudia nini.
Jibuni hoja sio kumsema mtuu ni dalili za wazi kua maulidi ni shirki
tatizo mnahepa jibu
Wazushi hamna haya ata kidogo. Kama wakristo wanavyo sema biblia lazima uwe na roho kuielewa nyinyi ni ma swad na madhuma ata warabu hawakosei herufu? Wazushi siku zenu zimekwisha Allah araonyesha wapi kuna haki
Suala sio maulid laaaaaaa!!!! Suala ni kwamba kisomo cha maulid kimeguzwa biashara za watu wachache
@nurdinmfamau3493
10 ай бұрын
Kama Ilivyo Misikiti Nibiashara Tusiswali. Wanaopeleka Hija Watu Nibiashara Tusihiji. Wanaosomesha Watu Nibiashara Tusisome.
@mikekhalifaali7510
10 ай бұрын
@@nurdinmfamau3493hoja ya kipuuz kabisaa, Maulid sio ibaada
@nurdinmfamau3493
10 ай бұрын
@@mikekhalifaali7510 Aliyekwambia Maulid Ni Ibada Nani.
@mikekhalifaali7510
10 ай бұрын
@@nurdinmfamau3493 swali gani Hilo kwan Maulid yamo katika Quran au Hadith, hakuyafanya mtume wala maswahaba zake, au nyie ndio mnaifahamu dini sana zaidi ya mtume na maswahaba? Maulid ni bidaah bwana haina Dalili yoyote
Shek walid uko sawa but sio sana vile, hapankwa maulidi vipi, tunasubiri majibu ya maswali 19 ya mwalimu bachu. Hacheni ujanja pls toeni majibu. Tumechoka kusubiri 😂😂
Bachu hajijui hajielewi napia hakuanza yeye atatulia sio muda mawahabi ktk uislamu wakweli hawamo nandio maana wanaongoza kwabidaa
Sijauona ushekh wa bachu.Kwani bwana mtume alibishana kwenye uislamu wake.ukimuona mtu analeta vurugu na mabishano ndani ya dini yake huyo anakasoro.Mimi naomba mashekhe wetu na maulamaa mwacheni huyo .
Tupe dalili maulidi haqqi ubabaifu tu wamaneno bila dalili
Sheikh Walid Asalam Alaykum warahmatullah wabarakatuh! Tunakutaka wewe upange munaqasha na uusimamie haswa baina ya hawa watoto wako wa wili: Mtoto wako wa Twariqa na huyu Mtoto wako mwengine Mohommad Bachu anaye wawakilisha watoto wa Sunnah! Wewe mzazi wao uwasimilize live hoja zao,kisha mwisho usuluhishe ni mtoto yupi kapatia hoja na yupi ameshindwa,ili watakaoshindwa wawe wanawaheshimu wenzao! Huwezi kuikata kesi hii kwa wewe kusemea nje ya pazia tu!
Alietunga kitabu cha maulidi nibinaadamu nae anakoseapia anatakiwa alekebishwe au kwakua ni muarabu hatakiwi kurekebishwa
@user-bo1ew3xq6w
10 ай бұрын
Hakuna mahali alikosea mwanachuoni wetu isipo kuwa mahasidi wakiwahabi wamekuwa na husuda juu ya harakaati za huyo mwana chuoni kwa bidii yake ya kuongoza katika kuisimamisha dola ya kiislamu ya twarika ambayo kwa sasa ndio inaongoza kote ulimwenguni juu ya ikhlas ya kumpwekesha allah na sifa za mtume wetu sheikh barzaji allah azidi kulitia nuru na miangaza kaburi lake.
Alhamdulillah.. Allah atuepushe na uwahabi pandikizi la wamagharibi wanatuharibia dini yetu tukufu..
@MohammedOmar-wt3vg
10 ай бұрын
Astagh firullah
@mwinyiulalawi4202
10 ай бұрын
Unakielewa unachoandika au je unajua waitwao wahabi ni kina nani na hao wamagharibi wanawafadhiri ili wafaidike Nini?
Masufi maneno kuyapapa wanazani ni dalili
Nyoteni hamuna la kuongea …ni barzanji ilivotupwa thu…wanafiq mbna hamusemi alivoomba msamaha kwa Mungu? Mwataka kuombwa nyinyi misamaha kwakua nnani nyinyi?
Aaa sheikh wacha kutaja juju, kama upo na haki elimisha waislam hiyo barzaji kama ni kweli
HII NI AIBU YANI KILA MTU AKISIMAMA ANAMLAUMU BACHU LKN HASEMI KUHUSU ZILE HOJA 19 BACHU HIVI MARA VILE MARA SIJUI MWEHU MLEVI MVUTA BANGE JAHILI MPUMBAVU MUHUNI...NK ALAFU MKIMALIZA MNAKUJA KUSEMA YEYE NDO KATUKANA. LKN UKITAFUTA MATUS YAKE HUYAPATI NYIE NDO MNAO MTUKANA
Hajaanza kupinga yy waliping wakubw na wamekubali wakubwa vilevile
Bado hamjasema baado jibu hoja 19 za bachu punguzeni porojo
Bidaa ni mbaya acheni
Maulidi ni barzanji. Sote tunajuwa hilo. Kubabaisha na kubabaika haisaidii kitu. Wakimbieni mashia. wao ndio wakuu wa maulidi.
@user-fy4op1sw2f
11 ай бұрын
Mwenye akili hashindani na mjinga Nyie ni mashabiki wa ujinga na endeleeni kushabikia na hoja zake za kijinga
@sadickmguruka
11 ай бұрын
Mashia wana ukuu gani wa barazanji wakati maulidi barazanji yenyewe imeandikwa na jafary albarazanji ambae amekuwa imamu na Muft wa maka na madina au na yeye alikuwa mshia?
@feiz3180
10 ай бұрын
@@sadickmguruka wanatumia pesa kuendeleza maulidi. Mombasa, Dar, Tanga, Lamu etc wao ndio watowao pesa kuwabeba Qadiria kwa hali na mali kuendelea uzushi.
Chaajabu kumbe mnakubali kuna hadith munkar kwenye barzanj. Lakn mbona bado mnazitumia kumsingizia mtu uongo?? Nataka jibu pls
Aaaa? Kijana mdogo kawasumbua akili. Haya tujibuni basi anaefuta madhambi ni mtume au muumba?
@abdullatiframadhani5059
10 ай бұрын
Ndugu yangu tujengeni dini yetu tusimesheni watoto dini yetu, bora maulidi kuliko baadae watoto wetu watakuja kujibadisha kujigeuza wanawake dunia imeshakwisha tushikamane tusigombanie vitu vitakavyotugawa
@RamadhaniRamadhani-yd4hq
10 ай бұрын
@@abdullatiframadhani5059 hahahaaaa ushoga na usagaji. Mungu atuhurumie
Hahah ujumbe umefika
Kamba 19 zimekaaaa koooni Taaaabani Huna uwezo wa kujibu hata hojja mojja kieleimu
@rjqaasam4587
11 ай бұрын
Zile ni HOJA kwa Mtu Mjinga kama wewe mbele ya wenye Elimu pale hakuna hoja
@user412
11 ай бұрын
Hapana hoja pale.
Nmeamn sheikh wa bongo ni sawa na mlevi pemba
@wamsalsuyuwtwiy9229
10 ай бұрын
Samahan akhi kama nitakuudhi kwa haya nitakayoyasema "jaribu kufikiri mwisho wa chochote au lolote unalotaka kulisema na kulifanya uliyoyazungumza hata sidhani kama we we mwenyewe yakiwa yamesemwa upande wako Yang's kudu ravish a samahani akhi
Nikweli tatizo nikusomea nasio kusomeshwa
Hoja gani wewe wazijibu. M unazidi kumchetua. Huo bachu mwenzenu. Anabeba. Mzigo mkubwa
UZUSHI MWISHOWE MOTONI TU
Mumeona wapi hoja 19 au ndio nyie vilaza?
hao wanaojiita mawahabi na salafiy niwatu wa ajabu sana ivi inawezekana kweli waislam wote wawafate wanavotaka wao tu?au wao tu ndio mashekh hakuna shekh zaidi ya salafiy
Mi nasema tumekubali kashinda si basi... sisi tutaendelea nayo kama kawaida Ila asiwatie watu ktk makosa pengine yeye ndo hajaelewa kilichoandikwa maskini ila ajihadhari yasije mtokea km walopita
Uko sawa sheikh.hao mawahabi wanashindana kukufuru
@MohammedOmar-wt3vg
10 ай бұрын
Astagh firullah
Mashekh zangu ugomvi hauna nafasi kati ya yetu waislam ilimu ni pana mno wote mnajua hilo alaf kua na ilmu co sababu chakuzingatia ktk hiyo elimu kunae manufaa? Je hikma ipo? Ko msipate taabu ktk hilo masheikh zangu, usitumie jazba kubwaa akat ilmu enyewe haina manufaa wala hikma allah keshasema man yuutwiil hikmata faqad uutiya khayran kathiiraa.. faqatw.
sheikh wa mkoa pia umekosa kujibu hoja za kijana wa bachu hakuna cha sufi wa wahaabi tunachosubiri ni majibu kamili sio kuhepa hepa
@FATEHEWASAPA
9 ай бұрын
Nikweli mtoto wabachi nichizi anaweza kusikia manenohaya akabisha au akaporomosha mitusiyake
@FATEHEWASAPA
9 ай бұрын
Mambo mazito hayo
wewe unaetaka hoja 19 zijibiwe mbona huna uelewa kama uyo bachu mwenyewe zijibiwe mara ngapi
Sheikh bacho anamadhaifu yake kama mimi na nyie.. Ila kawazidi kielim
@abubakarmohamed4783
11 ай бұрын
Huko ni kuitweza ilimu ni kama kusema kamba yachinja kuliko kisu
@abubakarmohamed4783
11 ай бұрын
bachu kwa Sheikh Walid Al Hadi ni kama jiwe kwa Dhahabu
@mohd39789
11 ай бұрын
Hakika
@abubakarmohamed4783
11 ай бұрын
Nyama za wanazuoni zina sumu waislamu wenzangu tuacheni ushabiki wanazuoni wenyewe walikuwa wakisema ikhtilafu beina ya wanazuoni ni rehma wao ni kama njia yoyote utakayemfuata utafika utakapo
@mohd39789
11 ай бұрын
@@abubakarmohamed4783 kwahiyo kama kuna mwanachuoni kasema uongo aachwe tu? Hivi nyinyi masufi na mashia mnawatukana mashekh wanaopinga bid'aa?
Maneno adhimu kabisa aya
Mie ninachopenda sana nikuona miwahabi inawafatalia sana mashekhe zetu. Tena wanawafatilia vyema sana Sasa Hua najiuliza kama mashekhe zetu niwabidaa kwann mawahabi hawatosheki na mashekhe zao Wakasoma Dini ila utakuta Katika kila clip yoyote Ile ya mashekhe zetu utawakuta Hawa watu ila trust me Hua hawana Muda WA kusoma Dini zaidi Hua niushabiki tu nakujifanya Wana elimu kumbe bangi tupu
@Captainome
11 ай бұрын
Hawaezi kuwacha wapitosha umma kwakutaka Dunia yao,tuko na wao bamper the tu bumper wamedangaya watu siku yingi so ukishndwa kuona wakirekebishwa we tizama tu.
@Seng522
11 ай бұрын
@@Captainome Sasa wewe umerekebisha nn au Huyo shekhe wako karekebisha nn? Au huko kutupa kitabu then Kuja kuomba radhi baada ya kusemwa???
@Captainome
11 ай бұрын
@@Seng522 kitabu kutupwa alikiri mwenyewe nikosa na kaomba radhi sasa yy ndio mumefaya topic kwenye misikiti na kwenye magrouo zamaulindi zenye hamna la kuongea kila Asmara bachu bachu,this roundy tutawasnyooshaa na shubhat zenu mustake kutengeneza maisha yenu kupitia waislamu wasiojua kitu.
@Seng522
11 ай бұрын
@@Captainome istoshe nakushauri uende ukakusomeshe kama ndio shekhe wako coz hawezi kumzuia mtu kusimamia alichokua nahakika nacho sana sana atawachota wafuata mkumbo ila sio wasomi wadini Tena walosoma kwa ikhlaswi
@saidkondo5112
11 ай бұрын
Hiii dini yetu sote mashekhe zako wakilopoka tunawabainisha,wakitaka wawaiteni chumbani wawaambieni usufi wenu
Yani hizo hoja 19 na mpaka 30 zilizoulizwa hata mimi nazi jibu, 😅 manake nivichekesho, mawahabi akili zao fupi kweli kweli. Mimi sio sheik wala sijasoma lakini nazi jibu. 😅😅
@user-lz4ku2xh8p
10 ай бұрын
😳😳😳
@user-lz4ku2xh8p
10 ай бұрын
Jibu sasa ufundshe sheikh walid
Sheikh Walid Kitambi hicho 😅
😂😂nakwambiaje😂bado hamjasema😂 mtasema yote😂mpaka visivyobsemwa Bachu tulia tu ushamaliza kazi
Huyu sheikh ni mtu wa uzushi
Maulidi tutasoma mpaka qiyama.wahabi akipinga ndio anayapalilia yazidi kunawiri.
@BuruhaniKitomozi-gb7fb
10 ай бұрын
Dawa yawatuwanaopingahaki pindi inapodhihili nikuchinjwa sasa subirini waislamuwakweliwatapopatanguvu mtachinjwanyoteinshaallah waovuwakubwawaibadanyie allahawaongoze kuwafunguwanyoyo
Kaulize ww hoja zako
Walidi hoja za mtoto wa bachu zipo wazi mjibuni,kama kapotosha ,mnazuunguka zuunguka tu,"eti huwezi kuelewa maneno ya barazanji"ilmu ni sanadi tupeni sanadi ya maneno ya barzanji,
@SaidimaulidiMaulidi-lf9de
11 ай бұрын
Kwahiyo wewe bachu unamuona anaelimu sana eeh,wewe bachu ni jazba tu ni debe tupu tu kelele nyingi hamna elimu Wala hekma Wala adabu ni mpuuzi tukwetu upo.😅😅😅
@abuushakiraddausiy8666
11 ай бұрын
Kama Hana elimu jibun hoja zake acha uzuzu
@mzamilomocho6531
11 ай бұрын
Bachu hana elimu zaidi upotoshaji TU.
@ukongaaljazeerat1009
11 ай бұрын
@@abuushakiraddausiy8666 nyny ndo mazuzu
@abuushakiraddausiy8666
11 ай бұрын
Sawa Hana ajibiwe hoja zake bhas na sis tupumzike
Mume shika hoja 19 km ni hoja kweli zingeshajibiwa zile ni hoja kwenu mawahabi lkn kwetu sufiyyuna sio hoja kwanza jiulizeni swla 1 tu kwamba hizo mnazoita hoja hem jrbuni kuangalia yyte aliyoitoa kwenye Quran au Hadith lkn it was just rubbish and we put them in the dustbin
@muhidinally3753
10 ай бұрын
Aaaaaa ndugu yangu hoja hizo haziwezi kutoka kwenye Quran au Sunna kwa sababu huko haziko na ndio msingi wa Sheikh Mohammad Bacho nyie Suufia mnatoa wapi?? Usijizime data wewe Suufia bin Shia
Tonge imembadilisha mpaka misimqmo ya dini Kutoka kuwa mtu wa sunna hadi kuwa sufiiii Dunia bwana
@hassanisihaka910
11 ай бұрын
Nyinyi hamumjui Walid sisi tuachieni kaka yetu kama nyinyi hamumuelewi tulieeni
@Seng522
11 ай бұрын
Acha unafiki ndugu eti tonge Huyo hajawahi kua wahabi
@jaizaniimamu3880
11 ай бұрын
huyo hajawai kua mvaa kaptula
Sheikh Mohammad Bachu alipaswa kujibu suala aliloulizwa na mwenzake. Lskini Bscho alijifanya yeye first eleven lakini mbona hakijibu swala iloulizwa. Lakini baada kuona hana jibu ndio akajifanya kuuliza swala. Kwa hiyo yeye kwa kuwa hakuweza kujibu hilo swala basi angelisema kuwa hajui. Kwa hiyo na wewe usijifanye mnafiki kwa kuugeuza ukweli na.kutaka iwe uongo.