SHEIKH WALID AMALIZA MGOGORO WA MUDA MREFU MSIKITI WA KIGOGO ISLAH, "HAKUNA KUPIGANA MAPANGA TENA"

Ойын-сауық

Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
KZread: / @babdeomiladu

Пікірлер: 63

  • @bentybenty2343
    @bentybenty234311 ай бұрын

    Masha ALLAH sheikh Walid,ALLAH akuhifadh 🤲🤲🤲

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi795011 ай бұрын

    allah ametuamrisha ... 'shikamaneni katika kamba moja ya uislam na wala tusifarakane'

  • @maarufumustwapha3055
    @maarufumustwapha305511 ай бұрын

    shekh warid Allah akupe uumri mrefu

  • @zahorrashid3916
    @zahorrashid391611 ай бұрын

    مَا كَانَ لِلْمُشْرِكِينَ أَنْ يَعْمُرُوا مَسَاجِدَ اللَّهِ شَاهِدِينَ عَلَىٰ أَنْفُسِهِمْ بِالْكُفْرِ ۚ أُولَٰئِكَ حَبِطَتْ أَعْمَالُهُمْ وَفِي النَّارِ هُمْ خَالِدُونَ Haiwi kuwa makafiri ndio waamirishe misikiti ya Mwenyezi Mungu, hali wanajishuhudishia wenyewe ukafiri. Hao ndio ambao vitendo vyao vimeharibika, na katika Moto watadumu. Mtu wa ccm democrasia leo hii ndo kiongozi zaidi ya msiba

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid117111 ай бұрын

    Mashaalah sheikh wetu una bodyguard 👍👍

  • @bentybenty2343

    @bentybenty2343

    11 ай бұрын

    Tabarakallah

  • @mokitaa8750
    @mokitaa875011 ай бұрын

    ALLAH AJALIE HUO MSIKITI WETU UTULIZANE UWE NA AMANI UPENDO KWA VIONGOZI NA WAUMINI MILELE DAIMA INSHAALLAH

  • @bentybenty2343

    @bentybenty2343

    11 ай бұрын

    Allahumah Amiin 🤲

  • @princesaha3262

    @princesaha3262

    11 ай бұрын

    Aaamin

  • @husna34562
    @husna3456211 ай бұрын

    Mashallah tabarakallah

  • @AhmedMohamed-ew5qx
    @AhmedMohamed-ew5qx11 ай бұрын

    Jambo jema ulolifanya kaimu sheikh Wa mkoa Allah akuongoze.

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py11 ай бұрын

    Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu510111 ай бұрын

    Masha ALLAH shukran sheikh

  • @yahya_myemen
    @yahya_myemen11 ай бұрын

    Mashaallah

  • @princesaha3262
    @princesaha326211 ай бұрын

    Allah alete kheri!! Ila msikiti huu njaa zimewajaa watu na si sababu ya kuwa sadaka zinaliwa!! Ila tuu kuna watu Wanataka kuutumia msikiti kwa maslahi yao!! Na ili biashara zao ziende!!

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv11 ай бұрын

    MASHA ALLAH 🇰🇪💚💚💚

  • @bentybenty2343

    @bentybenty2343

    11 ай бұрын

    🇰🇪🇰🇪❤

  • @user-ko4dx7ce8p
    @user-ko4dx7ce8p11 ай бұрын

    inshaallah kher tuone khatma ya msikiti itapofikia amani ndo muhimu ndani ya msikiti watu wapate kuabudu kwa utulivu inshaallah

  • @user-ig3br7jv8t
    @user-ig3br7jv8t11 ай бұрын

    Masha Allah

  • @salminabuhudhaifa4273
    @salminabuhudhaifa427311 ай бұрын

    Allahu baarik🤝

  • @omarisadallah5695
    @omarisadallah569511 ай бұрын

    Mashallah

  • @yahya_myemen
    @yahya_myemen11 ай бұрын

  • @azamajid9530
    @azamajid953011 ай бұрын

    MASHALLAH

  • @MohamedMjenga-vq8vc
    @MohamedMjenga-vq8vc11 ай бұрын

    Kua na mlinzi ni jambo la kawaida ikumbukwe uyo ni kiongozi ngaz ya mkoa pia alikua yupo kutatua mgogolo

  • @fadhiliali4463
    @fadhiliali446311 ай бұрын

    Allah ajalie kher tangu 2009 hata Hadi leo haujatulia

  • @MbarakaMakamba-bx3nn
    @MbarakaMakamba-bx3nn11 ай бұрын

    Ok vizur sn sheet wetu

  • @chaleboymusician528
    @chaleboymusician52811 ай бұрын

    Sadaka zngekuwa znatumika vizur kungekuwa na vyuo vikuu vingi hospitali vyuo vya ufundi lakini zinatumika vibaya wengine wanaokosa mgao ndo unaibuka ugomvi

  • @mwalimuathumani4759

    @mwalimuathumani4759

    11 ай бұрын

    Kwahizi pesa zakofia?

  • @salma0000

    @salma0000

    11 ай бұрын

    Waumini wa dini nyengine wanaojenga hospitali na vyuo hawategemei sadaka za waumini wao, hua wanagaiwa mabilioni ya shilingi na serikali ya ccm

  • @jumamarley7964
    @jumamarley796411 ай бұрын

    Aslam aleykum?sielewi huyo kijana Sharif ndio amekuwa mlinzi wa sheikh wetu

  • @MohamedMjenga-vq8vc
    @MohamedMjenga-vq8vc11 ай бұрын

    Akuna msikiti mdogo duniani sbb mahali popote pa kumcha mola ni pakuu

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py11 ай бұрын

    1:24 1:26

  • @salhidsalhida4151
    @salhidsalhida415111 ай бұрын

    Huyo mlinzi mbn mfupi anyone khatar ikitokea

  • @user-dz1gd9bv3j
    @user-dz1gd9bv3j11 ай бұрын

    Nauliza to kutaka kujua cna maana tofauti je MTUME S.A.W nayye alikua na bodyguard?

  • @jaymwinyi6957

    @jaymwinyi6957

    11 ай бұрын

    Kiupande mwengne alikua nao wakiwemo maswahaba zke sbbu alikua akiviziwa pia yy

  • @mohamedsultan4658

    @mohamedsultan4658

    11 ай бұрын

    Hata suddes lmam wa makka ana mabodyguard mamb madogo hayo kun mamb mengn yap ya kuuliz unachouliz we ni nongwa tu

  • @mbaroukkhalifa8035

    @mbaroukkhalifa8035

    11 ай бұрын

    Ndy alikua nao kina abu bakar Omar bin khatwab na wengine kwasababu alikua na maadui wengi

  • @silimakhamis7088

    @silimakhamis7088

    3 ай бұрын

    Sayyidna Othman alikua nae

  • @Kalaharidesertstorm
    @Kalaharidesertstorm11 ай бұрын

    mshafanya misikiti kuwa chama 😅😅😅

  • @salma0000

    @salma0000

    11 ай бұрын

    Ccm hiyo

  • @user-gw5tq8hr6f
    @user-gw5tq8hr6f11 ай бұрын

    mwenyezi akuzidishie shekh alhadi umejaliwa hekma

  • @bentybenty2343

    @bentybenty2343

    11 ай бұрын

    Amiin Thumah Amiin

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad646310 ай бұрын

    Mmmmm 🤔🤔Kumbe misikitini nako kunakuaga na masilahi? Hadi watu wanapigana. Jamani kwa الله siku ya mwisho kuna kivumbi kwakweli.

  • @TheAmadoni
    @TheAmadoni11 ай бұрын

    Sheikh Bodyguard wanini ndani ya Msikiti !

  • @binlubawa8387

    @binlubawa8387

    11 ай бұрын

    Kwani hairuhusiwi msikitini kuwa na bodyguard?

  • @user-kd2cl4fw8b

    @user-kd2cl4fw8b

    11 ай бұрын

    Bodyguard lazima maana kunawengin vichaaa

  • @dr.abdallahngenya9780

    @dr.abdallahngenya9780

    11 ай бұрын

    Alienda kuamua ugomvi hapo upande mmoja unaweza usikubali ukaleta shida

  • @imamurawdhwah1035

    @imamurawdhwah1035

    11 ай бұрын

    Tatizo nini kwani

  • @mayaally2512

    @mayaally2512

    11 ай бұрын

    Yaan mtu mmoja aharibu kikao cha kheri na kamuasa subiri ?? Kuna wakubwa kuliko huyo aliyotolewa mbona wametulia ?

  • @PilyAly-ll8fz
    @PilyAly-ll8fz11 ай бұрын

    Msikiti wenyewe mdogo lakini unawatoa roho

  • @mwalimuathumani4759

    @mwalimuathumani4759

    11 ай бұрын

    Ww muislam punguza ukali wamaneno utakwenda kuyakuta kwa allah

  • @PilyAly-ll8fz

    @PilyAly-ll8fz

    11 ай бұрын

    @@mwalimuathumani4759 sasa kwani nimemtukana mtu hapo kweli wangekuwa na msikiti km wakichangani je? SI ingekuwa balaha

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji11 ай бұрын

    WAISLAM MUKO NA MATATIZO NCHI HII MNAGOMBANIA MISIKITI WAGALATIA WAKO PAMOJA KUTENGANISHA UMMA VERY SAD

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    11 ай бұрын

    allah kasema mtawaona makafiri kama wako pamoja kumbe nyoyo zao tofauti hivyo hawawezi kuwa wamoja broo. kikubwa tushikamane waislamu tuacheni mabidaa. kua makni broo na coment za dini.

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    11 ай бұрын

    @@medimisi6930 AFWAN

  • @rahmaabubakarisaanatu1961

    @rahmaabubakarisaanatu1961

    11 ай бұрын

    MUONGO mkubwa ww wagalatia kila kukicha mnafungiana makanisa kwa hz hz sadaka unafikiri bando unalo ww tu . Acha unafiki.

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    11 ай бұрын

    @@rahmaabubakarisaanatu1961 sasA c nimekuambia kua allah amesema hawako kitu kimoja mioyo yao tofauti ni hii ni kauli ya allah sasa mtu anakataa nn na hii ni kauli ya allah

  • @annassuleiman4508

    @annassuleiman4508

    11 ай бұрын

    ​@@medimisi6930hiyo aya umeitafsiri vibaya ndugu. Inahusu vita. Wanapokuwa vitani utadhani kama wako pamoja lakini mioyo yao iko Mbali mbali. Ila Waumini wanapokuwa vitani wanapigana safu safu kama Ukuta mmoja huku na mioyo yao imeshikamana barabara

Келесі