KUMBE HILI NDILO AMBALO LILIMSHINDA BACHU | WENGI WAMESHANGAZWA NA UMARIDADI WA UST SAID KATIKA HILI

Ойын-сауық

#subscribe #like #share #comment #ulipotupo ‪@KHAIRIYYAONLINETV‬

Пікірлер: 292

  • @abassyakoub1464
    @abassyakoub14643 ай бұрын

    Mungu atupe Ufahamu wenye Maslah kwa Umma wa Kiislamu na sio kujifakharisha Kitaaluma ili kuonekana Sheikh fulani anajua sana. Qibri hasa katika Uislam ni DHAMBI iliyotiliwa Mkazo kwamba Haifai kwa Muslamu yoyote kuwa na QIBRI kwa hilo ni VAZI la ALLAH (sw). Masheikh zetu rudini kwa ALLAH na muache kujifakharisha Kielimu kwa walikuwepo MAIMAM wakuu lakini hawakufanya mnayoyafanya nyinyi sasaivi. Allah awaongoze nyinyi na sisi kwa ujumla.

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork9 ай бұрын

    Ni dhahiri Bachu hajapata bado wakujadili naye hii mada.... Hii ilikua nafasi ya dhahabu ya Saidi kuokoa maulid kwa kuitetea na kutangaza na kudhihirisha UKWELI wake lakini masaa karibu matatu, Bachu amekuwa akifundisha peke yake mbele yao wakiwa kimya kabisa. Alhamdulillah... Ukweli umedhihirika

  • @fadhilimusa9732

    @fadhilimusa9732

    9 ай бұрын

    Saidi elimu anayo yenye baraka kwa Allah ndiomana ametulia.bachu elimu yenye baraka hana aharibu muda kwakubwabwanya jibu aliliona lakusema sijui lakini hasemi kwakua amezoea uongo mnasihini aende mamburui akasomeshwe bure hatalipa chochote

  • @waziiralmaal7263
    @waziiralmaal72639 ай бұрын

    Mtume wetu s.a.w amesema hii umma Yake itagawanyika katika vikundi 73 na kundi 1 Tu ndio itaingia peponi, maswahaba wakamuuliza ni lipi Hilo kundi 1 la kuingia peponi, Mtume s.a.w akawajibu ni wale ambao wako juu ya Yale ambao leo hii Mimi Niko juu Yake pamoja na maswahaba zangu. Mtume wetu s.a.w hajafanya maulidi na maswahaba pia hawajafanya maulidi sasa wewe msoma maulidi uko katika kundi lipi Kati ya hizo kundi 73 . Jambo la msingi hapa ni kutambua Hilo kundi 1 la kuingia peponi alafu ujiangalie wewe kama unalingana na hilo kundi. Assalamu Aleikum.

  • @LASSUH4947
    @LASSUH4947Ай бұрын

    Wallhy kusoma raha sana bachu kapata funzo kubwa sana hatosahau maisha yake yote hichi kidonda mpk kufa kwake hii ni aibu ya miaka ndo mana hata speed yake imepungua hatumuoni tena skuhizi akituma clip zake yuko kmyaaa kma sio yy

  • @eshaaly5404
    @eshaaly54049 ай бұрын

    Shekh SAID nakuomba mtukue bachu mpeleke CHUONI kwahisani yako

  • @giltaemi4017

    @giltaemi4017

    9 ай бұрын

    Unaropoka sana. Akamfundishe ushirikina wenu huo wa maulidi. Ama nini. Amfundishe ibada za kishia. Ibada za watu wa itikadi za kuabudu makaburi😂😂😂😂😂😂😂

  • @zulfajuma3115
    @zulfajuma31159 ай бұрын

    Barzanji katumia hadithi za urongo na yy ni mrongo No need kutoa ushahidi Tena na ww ushajua urongo upon katika maulidi

  • @medimisi6930
    @medimisi69309 ай бұрын

    shekhe wa twarika anakuambia hata mashekhe wake hatowasikiliza. sasa kuna nini hapo ww ushakubali kua hadithi ni mbovu sasa upewe ushahidi gn na mada imesha isha kua shairi hilo ni UONGO. walitaka tu kuharibu ila dunia imeelewa kua ktk mAulid kuna uwongo. sasa atakaesoma ni yeye tu. ila haki imefika.

  • @RayRey-ji1em
    @RayRey-ji1em9 ай бұрын

    WALLAHI NIME AMINI MAULID SIO KITU KIBAYA KAMA NI KWELI SHEHE WETU BACHO ANGEJIBU ILI TUSONGE MBELE ILLA KASHINDWA KUJIBU NITASOMA MAULIDI TOKA LEO INSHAALLAH NA MIMI PIA NAKUPENDA MTUME WA MUNGU NA NITAMSIFU INSHAALLAH

  • @giltaemi4017

    @giltaemi4017

    9 ай бұрын

    Pole sana Allah akuhifadhi. Mteyeaji wa maulidi mwenyewe kakubali riwaya hiyo ni mbovu maneno hayo ni machafu hayafai hata kutumiwa. Na wewe unakusudia kumshirikisha Allah.......!!!!

  • @giltaemi4017

    @giltaemi4017

    9 ай бұрын

    Kashindwa wapi. Acha kua mnafiki. We kama unakusudia kumshirikisha Allah Kazi kwako. ila Dunia nzima hakuna mwenye uwezo wa kutetea maulidi na kama hamna wa kuweza tetea uongo na ushirikina huo na wewe unakusudia maisha yako yote kuyaweka katika kumzushia mtume na kumshirikisha Allah ukifa katika itikadi hiyo ya kishirikina usimlaumu mtu bali moto ndo stahiki yako. Ushahidi huu hapa. { إِنَّ ٱللَّهَ لَا یَغۡفِرُ أَن یُشۡرَكَ بِهِۦ وَیَغۡفِرُ مَا دُونَ ذَ ٰ⁠لِكَ لِمَن یَشَاۤءُۚ وَمَن یُشۡرِكۡ بِٱللَّهِ فَقَدِ ٱفۡتَرَىٰۤ إِثۡمًا عَظِیمًا } [Surah An-Nisāʾ: 48] Huna msamaha mbele ya Allah katika ushirikina. Na uzushi kumzushia mtume. Mtume amesema Katika mafuhumu ya hadithi kua. Ujiandalie makazi motoni. Nasaha zangu. Tengua nia yako ya kumzushia mtume na kumsifu kwa uongo na kumshirikisha Allah. Yote hayo yapatikana katika maulidi

  • @madrassatulihyaa-ilislaami2911

    @madrassatulihyaa-ilislaami2911

    9 ай бұрын

    Ikiwa kumswifu mtume ni kumshirikish mungu bas acha tumshirikishe

  • @hassancharo1332

    @hassancharo1332

    9 ай бұрын

    wew ulikuwa taari mtu wa twarika acha unafik

  • @Fear_Allah394

    @Fear_Allah394

    9 ай бұрын

    Km unampenda sana si bora ukamswalia na kufuata maamrisho yake ni bora zaidi kuliko kufanya kitu chenye khitilafu wengine wanasema kinafaa na wengine hakufai. Akhera usije kujikuta ni mzushi. Au ww unapata faida gani kusoma maulid ambayo faida hio ukikaa peke ako au nawatu ukamswalia Mtume kwa kusoma “duruud Sharif/Ibrahim” utakikosa???

  • @usseneandurabe9733
    @usseneandurabe97339 ай бұрын

    Kueli watu wamepumbazua na awa masufi,nikuambieni masufi ni watu hatar sana Ila nyinyi wafuasi wa kisufi amujui na amulioni Ilo ,awa jama wameweka taratibu zao kwamba mtu akifiwa analazimishua awapikie chakula bala ya wao kumsaidiya aliefiwa,sasa awa masufi ni tatizo kubua sana katika jamii yetu ya kiisilam

  • @maulidmaulid2106
    @maulidmaulid21065 ай бұрын

    Muhammed bachu yupo sahihi kabisa.mtume akusherehekea siku yake ya kuzaliwa wala maswahaba awakusherehekea.maulid itabaki kuwa uzushi nanidhambi kusherehekea kitu ambacho mtume muhammad swalallahu alayi wasalam akuruhusu kifanyike.ACHENI KUSHEREHEKEA MAULID,ACHENI KUFATA MKUMBO.SHEIKH SAID MUOGOPE ALLAH, KWENYE QURAN AMNA SEHEMU ALLAH AZZA WA JALLA AMERUHUSU MAULID...

  • @AliIbrahim-lv5cq
    @AliIbrahim-lv5cq9 ай бұрын

    Muogopeni Allah .. mtaenda kuulizwa kwa uzushi wenu maulidi hayafai hilo lielewekeee...

  • @awadhsalim2680

    @awadhsalim2680

    9 ай бұрын

    Haifai kwani wakisoma huwa wanatukana ?

  • @HabibuHemed-hy5qr

    @HabibuHemed-hy5qr

    9 ай бұрын

    Tupe dalili

  • @awadhsalim2680

    @awadhsalim2680

    9 ай бұрын

    Kwan kumtaja mtume vibaya?

  • @AliIbrahim-lv5cq

    @AliIbrahim-lv5cq

    9 ай бұрын

    @@HabibuHemed-hy5qr mimba ya mtume SAW ilipoingia wanyama walizungumza,je niyaukweli? Nani alokua akitafsiri hao wanyama kwenye kitabu cha barzanji?

  • @awadhsalim2680

    @awadhsalim2680

    9 ай бұрын

    @@AliIbrahim-lv5cq kwani kumtaja mtume vibaya ?

  • @abumaryam6909
    @abumaryam69099 ай бұрын

    Nyie mnapenda kufuata shubha! Swali liloulizwa halina mashiko ndio majibu aliompa bachu kama majaz ameng'ang'ania majahazi majahazi! Badala ya kusonga mbele

  • @nassoro5341
    @nassoro53419 ай бұрын

    Watu wa bidaa washapigwa miuli hata siku moja hawajubali ukwelii japo kua wanaelewa

  • @user-rq7hr8ee7i
    @user-rq7hr8ee7i9 ай бұрын

    Dah huyu ustadhi mwengine kumbe pasua mm kichwamaji nimemfahamu bachu

  • @MuhammadMuhammad-gr2qv
    @MuhammadMuhammad-gr2qv9 ай бұрын

    USTADH SAIDI SIBANDUKI KAONA KIBOKO KIMOJA KIMEMUHARISHA AKAAMUA ASIBANDUKE KWAMANA KESHA AZIRIKA MAPEMA ANGEJARIBU KUBANDUKA ANGEHARA AKACHAFUA MAZINGIRA YA TWARIKA LEO KIMENUKA HATARUDIA TENA KUMCHEZEA BINGWA SHEKH BACHO

  • @rashidswalehmwanjama3404

    @rashidswalehmwanjama3404

    9 ай бұрын

    Ebu skia point 😂😂😂😂 acha ushabiki soma 😂😂😂😂😂

  • @allylassuh4947

    @allylassuh4947

    9 ай бұрын

    Heheheheehe sasa bachu kma kidume alikua aseme tu cjui kisha uone wanyama walitamka au laa lkn hataki kujibu swali la kwnza tutaenda vp la pili wakati la kwanza bado hehehehehe bachu ametia aibu fedheha alikua hataki kusema hajui ameona bora aseme hajawah kuona lkn kusema hajui ameshindwa sasa hapo nani kakimbia hoja tumeona bachu ni zero

  • @user-rt6lx1mp3c
    @user-rt6lx1mp3c9 ай бұрын

    Huna hoja mana hujaweza kutetea hoja yako ya kusema kwa wanya munadanganya watu na hupotosha watu ila mungu anawaona nakama ni utashi wenu huo mujue akhera mutalipa

  • @user-ws7fb8ph9q
    @user-ws7fb8ph9q9 ай бұрын

    Bacho muhammad allah akuhifazi kwakilahatuwa ukosahihi mahulidi aramu

  • @user-sw8qk6cw8o
    @user-sw8qk6cw8o9 ай бұрын

    Huyo said amewekwa hapo kumtetea sharif abdulkadir ame karirishwa kuwa hoja yoyote ikitolewa asema hivo na asiachilie msikani...kwasababu ya kuepuka aibu ya kushindwa kujibu.... BACHU ameshajibu kuwa hicho kitu hakuna sasa yeye ndio alikuwa asema hayo maneno ni kweli wanyama walitamka kiarabu ama ni urongo....hii inaonesha dhahir kuwa watu watwarika wataka kutia watu motoni......maulid sisomi tena after huu mjadala

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi4 ай бұрын

    Bachu nakua nakufatilia sana lakini leo umebanwa hufurukuti hamna kitu leo

  • @user-gb6ny3ct7r
    @user-gb6ny3ct7r9 ай бұрын

    Kutoka msumbiji nasikitshwa sna na walinganizi wengi wapotevu kutoka TZ na Kenya kumtiya makosani mtume wa Allah kwa kitendo chao cha kuitakidi maulid kuwa ni ibada! Kwasababu iyo inaonesha kuwa mtume amefanya khiana katka da'wa yake na hali ya kuwa mwenyewe anasema katka hadiith kwamba akuna khery yeyote ispokuwa mimi nimeifikisha kwenu!

  • @AshushabuSaidi
    @AshushabuSaidi9 ай бұрын

    Kwani mnafikiri watu wa maulid haujuw ukweli wallah wanajuwa saana tu Masikitiko ni kwa watu wadogo wa dogo masikin wasiyo kitu wana wadanganya wana Fata mkumbo Wallah kwa mwenye burasa bila ujinga wake ameona ukweli uko wapi mimi nimejifunza kitu kwakweli Mtu kitabu chenu na mnakiamini Una ulizwa swali na ww unauliza swali 😢 Ingebidi utunufaishe ukiteteye hadi tuamini ukweli wake.hakika kuelewa ni kwawenye akili

  • @asifznz
    @asifznz9 ай бұрын

    Jamma wa tarika said yeye hajali kwamba kitabu cha barzanji ndani munauwongo yeye anataka tu barzanji asiitwe murongo au muongo 😂😂😂😂😂sasa kitabu kime jaa uongo shirki kibao he doesn't mind what his people are reading is inauthentic he doesn't mind at all 😂😂😂😂😂people are going astray from the right path he doesn't mind 😂😂he wants people to not call jaffer barzanji a liar, kumekucha!!!!waafuasi wake wacha waende mtoni kwakufanya shirki lakini BARZANJI asiitwe MUONGO 😂😂😂yeye KASHINDWA kabisaaaaa kuitete kila kitabu cha BARZANJI Dahhhhh what loss,halafu anarukaruka eti kashinda,hoja hata moja haijajibiwa ,na yule jamma alova miwani anapokea simu za watu wakati mjadala unaendelea mwambie ashikilie hapo hapo😂😂😂😂😂halafu saidi anazugumza kalegeza mikono ,WEEEEEWE,😂😂😂😂😂Eti kashinda😂😂😂😂

  • @sanda960
    @sanda9609 ай бұрын

    Quran na Sunna ndy sahihi. Waislamu tunatetea maneno ya watu badala kutetea maneno ya mtume Muhammad s.a.w

  • @princefeisla3692

    @princefeisla3692

    9 ай бұрын

    Ilipokua bachu yuatusi na kuwavunjia hishMa ilikua hamusemi kama nimekosa Leo kaata mzidi wake kafinywa ndo mnajitetea,?waswahi wasema mcheza pweke hatolewi makosa. Leo kapata Simba 3rd eleven kajikojolea kitini?

  • @rahmasaid7084
    @rahmasaid70849 ай бұрын

    Jamani wakenya wabishi sana wanajifanya wana i'lmu kumbe c chochote nampongeza sana bachu Allah akulinde tokea mwanzo wakenya walikua wanakutafuta kwa baya lkn Allah atakulinda na cc tunaamini kua maulid ni bid' wala usitahayari tuko pamoja na nnnñ

  • @osmanabdifattah4947
    @osmanabdifattah49478 ай бұрын

    Mimi bado ni mwanafunzi wa Bachu tunasoga mbele

  • @MuhidiniNassor

    @MuhidiniNassor

    4 ай бұрын

    Usimuache mkono Mpe moyo

  • @arrisalastriker9813
    @arrisalastriker98139 ай бұрын

    Iblis amewaghuri na maulidi zenu pia sisi tulikua huko ila ukweli ukidhihiri muislam huna budi ukubali tumcheni Allah. Leo amekataa kuyasahihisha yaliyomo kwenye kitabu cha barzanji lakini kwa Allah kesho mutamjibu hao wanyama waliozungumza mumweleze yeye.Muhammad Bachu mutampasua kifua bure suummun bukmun ghumyun

  • @fikafikan8484

    @fikafikan8484

    9 ай бұрын

    Bachu ameshindwa kujibu swali na ameshindwa kuthibitisha kwa wanazuoni said ametoa na dalili ukweli usemwe na ww muogope mungu

  • @arrisalastriker9813

    @arrisalastriker9813

    9 ай бұрын

    Haya anshindwa waambieni masheikh zenu sasa watutengezee mada ya kuzungumzia yaliyoandikwa ndani ya kitabu cha barzanji.haina haja ya debate.yeye sheikh Bhachu kila leo aizungumza barzanji.mbona sijaona hata clip moja ya masheikh wa kisufi kuzungumzia hicho kitabu.mimi kama si sheikh Bhachu nsingejua barzanji ameandika nini tulikuwa twaimba tu mungu atusamehe.sasa ni wajib kwa wanaoitumia hiyo barzanji kuifundisha akhy

  • @giltaemi4017
    @giltaemi40179 ай бұрын

    HIZI CHANNEL ZA WAANDIKAJI WA TITLE ZA KUHAMASHISHA KUTAKA WATU WAANGALIE VIDEO ZAO HAWANA ELIMU YEYOTE MATOKEO YAKE WANABADILI MANENO WANAFIKI HAWA.

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi4 ай бұрын

    Bachu mkaidi kama ndacha ata ukambana kazi ipite ufanye kazi kweli

  • @bellalygeomecky1145
    @bellalygeomecky11459 ай бұрын

    Hpa ni usaniii tu huyu shekh said......kawa km wale mapadri ba mazing3

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh3 ай бұрын

    Bachu alikua sahihi sana

  • @nassoro5341
    @nassoro53419 ай бұрын

    Kwanza swali limejibiwa sema watu wa bidaa hawataki jibu kwasababu hawataki kushindwa

  • @user-gb6ny3ct7r
    @user-gb6ny3ct7r9 ай бұрын

    Mbona aukuthibitisha usahihi wake ewe kijana said?

  • @salimabdalla6290
    @salimabdalla62909 ай бұрын

    Na ni kweli hawakuendelea

  • @djhabib6688
    @djhabib66889 ай бұрын

    Sheikh Said atuelimishe basi dalili gani ama ni mtu gani alishuhudia wanyama wakitamka

  • @zeitunMohammed

    @zeitunMohammed

    9 ай бұрын

    Alaaaa,kaka utakufuru sasa,nkama utauliza pia nani ameshuhudia Kama maiti anaadhibiwa kaburini heri unyamaze

  • @MuhammadMuhammad-gr2qv
    @MuhammadMuhammad-gr2qv9 ай бұрын

    USTADH SAIDI SIBANDUKI AMETUONYESHA SARAKASI TUPU LEO HANA HUJA WALA DALILI HATA MOJA KUTETEA MAULID... AMEAZIRIKA SANA KAMA ALIVYO AZIRIKA MAJAZ AL KUBRA ... HUYO YAKE ILIKUWA KIBOKO KIMOJA TU AKAAMUA ASIBANDUKE ASKILIZIE TU UCHUNGU WA KILE KIBOKO KIMOJA.. MAJAI AL KUBRA ALIJITAHIDI AKAVUMILIA VIBOKO 19

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed51579 ай бұрын

    Tukiachia hili kuna mambo mengi pia ya kujadili kuhusu viiip tutawaleta watu kwenye ya Dini ya ALLAH SUBHANA WATAALA??

  • @masjidhamzainstitute8890
    @masjidhamzainstitute88909 ай бұрын

    Wacha kugeuza na mcheni Allah mulitaka amxungumze mtu asiye kwepo!?

  • @user-gb6ny3ct7r
    @user-gb6ny3ct7r9 ай бұрын

    Allah amewajaalia macho lakini awaoni,awsikii,awatafakari enyi watu wa maulidi hatta kama mungekusanyika dunia mzima ili muweze kuitetea maulid amuezi kamwe kwasababu amuna burhaani yeyote ile ibada gani mtume aijuwi makhalifa awaijuwi maimamu wanne awaijuwi?

  • @alisharifsalim
    @alisharifsalim9 ай бұрын

    Kuna ayah katika surah nnamli,mwenyizi m'ngu anasema (litakapotimia neno juu Yao tutawatolea mnyama wa ardhini kusemesha watu) sasa atazungumza na watu lugha gani?

  • @khamisali5978

    @khamisali5978

    9 ай бұрын

    Nadhani ht huyo anaetetea maulid hujamfahamu.

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    @@khamisali5978 na anaopinga mauli hatujui nini tatizo lake?

  • @user-du8vn3wp9g
    @user-du8vn3wp9g9 ай бұрын

    Bachu akasome

  • @binmasoud4150
    @binmasoud41509 ай бұрын

    Sasa jaman mbona hatulati taaluma nzuri za kiielmu hapa, tunataka faida za kielmu kwan mnaangalia mtu au jambo lake alozungumza mbona hatujaelewana😊. Halafu naona mnavutia tu upande flani lakin hamna ithbati. Naona bora mngeeka mada makhsus ili tuwaelewe. Salaam

  • @AshaMbwana-hv8po
    @AshaMbwana-hv8po9 ай бұрын

    Assalaam Alaykum Warahmatullaah... Sheikh Bachu anasema kulingana na yeye yaani anamaanisha yeye na nafsi yake ndo anapinga.

  • @IslamTv254

    @IslamTv254

    9 ай бұрын

    Kitbu hicho kip sawa ila mahala pale pakusema minyama .bahar walijua. Hapo sio ukweli ni makosa hapo pekee ila kwa maulidi iko sawa iwapo mtume hakufanya .. sote tuko kufanya ibada hapa sioni mwenye kushinda ila Allah ndiye mushindi. Nasema hyvi sheikh bachu anaeza kusema hyvo kumbe ni makosa . Alaf sheikh omar pia anaeza kua ni wa makosa sote tufanye kile tunacho ona kina thawab .na wanaona. Ile ni mbaya muache. Sote tupatane pale kwa Allah ila maulidi iko sawa kwangu nafanya na sipigi kelele na mtu Allah knows best of it...

  • @salimkhatri8064

    @salimkhatri8064

    9 ай бұрын

    Said kataka aonyeshwe hukumu ya wanazuoni kuwa anayenukuu hadeeth munkari ni muongo. Bachu kajibu kwa kutoa nukta ifuatayo: Wanazuoni wanahukumu MTU iwapo huyo mtu ni mpokeaji wa hadeeth. Hivyo mtu anaposimulia ama kunukuu hadeeth munkari (ambayo Said amekubali kuwa ni kweli hadeeth Munkar), wanazuoni wanatoa hukumu kwa kile kilichosimuliwa ama kunukuliwa. Hiyo ni COMMON-SENSE kwani wanasema akili ndogo hujadili mtu/watu, akili kubwa hujadili wazi/hoja. Sasa unajiuliza kipi kigumu kuelewa hapa? Ama ndiyo kweli huko Mombasa common-sense is not common anymore?

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    @@salimkhatri8064 BACHU KASEMA KUWA " HADITHI MUNKAR MAANA YAKE NI UONGO". ALIPOAMBIWA ATHIBITISHE MADAI YAKE KWA WATAALAMU WA HADITHI, NDIO BACHU AKAJIKOJOLEA NA KUJIULIZA SUALA JENGINE NA AKAJIJIBU ILA HAKUJIBU SUALI ALILO ULIZWA. NAJUA UNA MAPENZI NA BACHU NA UWAHABIYA, LAKINI HAMKUMJIBU SHEKH SAID SUALI ALILO ULIZA.

  • @fakikombo7114
    @fakikombo71149 ай бұрын

    Maulidi yasomwe kwa wingi kumbe huyu bachu hajaona andiko lolote wala hajawahi kuskia andiko popote linalomfanya yeye aseme maulidi hayafai na niuongo, kumbe alikaatu kwaakili yake mwenyewe akaona awatukane mashekhe na awatukane waislam woote wayasomao maulidi sasa nikwambiet kua masuala ya dini hukumu kupitia kur'an hadithi na hata rai za wanazuoni usitowet yakot kichwani......

  • @giltaemi4017

    @giltaemi4017

    9 ай бұрын

    Maulidi yanasomwa na watu wajinga tuuuu sio watu walio na elimu na ujinga sio tusi maana hua hamkawii kupayuka ushahidi Quraani Suratul huud aya ya 45 hadi 47. Mjadala mpaka umeisha watu wa maulidi wameshindwa kutetea kua wanyama walizungumza na wengine wakapeana bishara kua mimba imetungwa huo ni uongo. Lakini imeshindikana kutetea kua ni ukweli. Mashia wameanzisha maulidi na nyinyi mnasema dini. Au ndo walewale mashia ndo mnao comment huku.

  • @giltaemi4017

    @giltaemi4017

    9 ай бұрын

    Maulidi imeanzishwa na Mashia. Haiwezi kua dini.

  • @jumahassan9168
    @jumahassan91683 ай бұрын

    Sheikh said aliukwepa mjadala,,,mjadala ni kuhusu kitabu Cha sheikh barzanji hayo mengine sheikh said Kama wazushi wengine amezua kuukwepa mjadala.

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    Ай бұрын

    Masikio yako yalikuwa yanasikia wapi kaka?! Bacho ndiye aliyeulizwa mwanzo badala ya kujibu akakwepa akauliza swali, hivi utaratibu wa mjadala unapoulizwa swali nawe urudishe swali?! au swali urudishe jibu?!

  • @Munshid_Rajab
    @Munshid_Rajab9 ай бұрын

    unatetea maneno..asa si utetee jaman..mnachosha kweli🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️

  • @khamisikhalfan4720
    @khamisikhalfan47209 ай бұрын

    😢 kama maulidi ni jambo la dini maswahaba wangelifanya

  • @abubakaromar6101

    @abubakaromar6101

    9 ай бұрын

    Na kama kigawanyo cha Tauhid mwanzo wangegawanya Maswahaba na Mashindano ya Quran pia wangelifanya Maswahaba

  • @hashimkhalifa8734

    @hashimkhalifa8734

    5 ай бұрын

    ​@@abubakaromar6101Ahsante😅

  • @MuhidiniNassor

    @MuhidiniNassor

    4 ай бұрын

    Hata usalafi wangelijiita MASWAHABA kwanza

  • @nassoro5341
    @nassoro53419 ай бұрын

    Wallah bachu ana elim kwanza hoja zake hata mtu asipokua na elim Hawa watu wa bidaa hawana elim ndo maana hawajamuelewa

  • @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
    @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm9 ай бұрын

    Thibitisha kuwa wanyama walizungumza?

  • @swabrianwar1020
    @swabrianwar10209 ай бұрын

    semaa SIJUI!!!

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany85419 ай бұрын

    Uongo kwa Mtume, Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani الكذب على النبي صلى الله عليه وسلم ، منكر عظيم ، وإثم كبير ، وذلك لقوله صلى الله عليه وسلم : " إن كذبا علي ليس ككذب على أحد من كذب علي متعمدا فليتبوأ مقعده من النار" رواه البخاري (1229) ، ورواه مسلم في مقدمة صحيحه (3) دون قوله : " إن كذبا علي ليس ككذب على أحد " . وقوله صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : " لا تكذبوا علي فإنه من كذب علي فليلج النار " رواه البخاري (106). وقوله صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : " من حدث عني بحديث يُرى أنه كذب فهو أحد الكاذبِِينَ" رواه مسلم (1). وقد ذهب جماعة من أهل العلم إلى كفر من تعمد الكذب عليه صلى الله عليه وسلم

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    SIO SUALA ULILOULIZWA WEWE MUWAHABI. HUO NI UJANJA WENU WA KUWAPOTEZA WATU. HUJAAMBIWA UTAJE UONGO WA WATU WANAOMZULIA MTUME SAW. SUALI MLILOULIZWA MAWAHABI. JEE ITTIFAQI GANI YA MUSTALAHU LHADITHI IMESEMA MTU AKITUMIA HADITHI MUNKAR HUWA NI MUONGO AU KITABU HUA UONGO?. JIBUNI KWAZA SUALI. Kisha mtaleta hadithi nyengine tuchambue nayo.

  • @jumaame5606
    @jumaame56069 ай бұрын

    Hamu yetu tulikuwa tunataka kujuwa yaliomo ndani ya barazanji . sio mtu hamjatutendea haki .

  • @waziiralmaal7263

    @waziiralmaal7263

    9 ай бұрын

    Mtume wetu s.a.w amesema hii umma Yake itagawanyika katika vikundi 73, na zote zitaingia motoni isipokua kundi 1 Tu ndio itaingia peponi, maswahaba wakamuuliza ni lipi Hilo kundi 1 la kuingia peponi Mtume s.a.w akawajibu ni wale ambao wako juu ya Yale ambayo Leo hii Mimi Niko juu Yake pamoja na maswahaba zangu. Maulidi mtume hajafanya maswahaba hawajafanya sasa wewe msoma maulidi uko katika kundi lipi Kati hizo 73. Jambo la msingi hapa ni kutambua Hilo kundi 1 la peponi ambao wako juu ya Sunna za mtume wetu s.a.w alafu ujiangalie wewe kama unalingana na hili kundi la peponi. Assalamu Aleikum.

  • @user-gn2xp9yp7t
    @user-gn2xp9yp7t9 ай бұрын

    Jamaa kutamka kwa wanyama si ajabu kwani hmjui kua chungu alitamka wakati wa nabii Sulaiman

  • @khamisali5978

    @khamisali5978

    9 ай бұрын

    Ungefatilia ukajua kinachozngmzwa ndo ukatoa mawazo lkn umechanganya vitu viwili tofauti hapo,ungefatila tena ukafahamu ,dalili ulotaja na dalili alotaja huyo Sheikh ndo utaelewa.

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
    @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh9 ай бұрын

    Leo mpatikana

  • @nassoro5341
    @nassoro53419 ай бұрын

    Shida sio bachu kua na elim shida ni kwamba masheikh wenu wa bidaa barazanj bidaa tupu

  • @Ramadhaniabdallahmohammedi

    @Ramadhaniabdallahmohammedi

    9 ай бұрын

    wewe unaijua bidaaa

  • @areyoureal2723

    @areyoureal2723

    9 ай бұрын

    ​@@Ramadhaniabdallahmohammedi bid'aa si ni haya ya maulidi 😂😂

  • @jumaame5606
    @jumaame56069 ай бұрын

    Tunawapenda kwa sababu. Nyote ni Wailamu .

  • @AsmanMwanza-kr5fw

    @AsmanMwanza-kr5fw

    9 ай бұрын

    Watoaji maoni wee ndio umetoa comment safi na ni kweli hawa wote ni walimu sasa tusiwakashifu wanatufundisha

  • @saidomarkiroboto8229
    @saidomarkiroboto82299 ай бұрын

    Angesema hajui tu angeoa....jibu lingekuja ama laa lakini bachu hakutaka kukubali hilo....angesema.....SIJUI KISHA ANGEONA JIBU...bachu amefili mana mambo yako wazi tu wallah

  • @giltaemi4017

    @giltaemi4017

    9 ай бұрын

    Hamkosagi maneno tuuu. Hapa mnatafuta jinsi ya kujitetea ili kuendeleza uovu wenu wa maulidi ulio Anzishwa na Mashia waovu. Endeleeni na Kufru na ushirikina wenu msipotubia kinawasubiri kibano siku ya mwisho wasio kua na haya kumshirikisha Allah na kuwaunga mkono MASHIA kwaajili ya wali tuuu maskini. Yaaani wali tuuu. Njaaa hizi mmmmmmm.

  • @isaack100
    @isaack100Ай бұрын

    Nmefurahika snaa bhachu kusema hawajadili msimulizi,na clips zake zote alikuwa akisema barzanji no mwingo

  • @silimakhamis7088
    @silimakhamis70889 ай бұрын

    First 11

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe24449 ай бұрын

    Mtoto wa bachu jibu swali

  • @yassinm69

    @yassinm69

    9 ай бұрын

    Swali gani

  • @user-sl7bt2rw1y
    @user-sl7bt2rw1y9 ай бұрын

    Tumefahamu vya kutosha kuwa maulidi yafaa inshallah tusomeni Kwa wingi

  • @timetravellor5367
    @timetravellor53679 ай бұрын

    Waumini barzanji si Quran kuwa na makosa inawezekana ila yanaweza kurekebishika maulidi ya kasomwa kama kawaida

  • @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
    @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm9 ай бұрын

    Shekh mbona Bado husemi unachoulizwa na Bachu?

  • @MohammedAli-fp9vn

    @MohammedAli-fp9vn

    9 ай бұрын

    Jawabu ilikuwa bachu ajibu cz aliitowa hadithi ni yy

  • @MohammedAli-fp9vn
    @MohammedAli-fp9vn9 ай бұрын

    Bachu alikuwa ajuwa jibu alitakali said litamtia matatani so ndio akakimbia kujibu

  • @ramadhanisaidi5449
    @ramadhanisaidi54499 ай бұрын

    Jibu suali Basi Mambo yaendelee

  • @SalumMohammed-kr2do
    @SalumMohammed-kr2do9 ай бұрын

    Bachuuuu akasome aaaache porojoooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @giltaemi4017

    @giltaemi4017

    9 ай бұрын

    Akasome nini sasa. Mpaka mjadala unaisha mteteaji katetea chochote hata kimoja zaidi ya kukubali kua hadithi ni haifai kutumika katika kumsifia mtume kwasababu hadithi ni chafu chafu kabisa. Katetea nini sasa Huyo mtu wa Maulidi zaidi ya kushindwa kuleta hoja hata moja. Ndo walewale kina Sabbas.

  • @BakariSechala
    @BakariSechala9 ай бұрын

    Mwenye akiri kubwa anaelewa anachokisema Bachu ila mbulula wanachanganywa na ujanjaujanja wa walamauridi

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa72159 ай бұрын

    Sheikh bachu upo sahihi sana Allah akuhifadhi

  • @mody-guyngido2792
    @mody-guyngido27929 ай бұрын

    Wacheni unafik sikilizeni hoja na mucomment ukweli kama kweli mumeelewa hoja sio kuzidi kupotosha umma,Sheikh Said ni kama mwanafunzi Kwa Bacchu aseme Tu Alikua anahamu yakukutana nae lakini kihoja bado mchanga Sana.

  • @rashidswalehmwanjama3404

    @rashidswalehmwanjama3404

    9 ай бұрын

    Angekojoa basi😂😂😂😂😂 amekojoa waahabi wenuuuu😂😂😂

  • @mody-guyngido2792

    @mody-guyngido2792

    9 ай бұрын

    @@rashidswalehmwanjama3404 hii ndio elimu muliyonayo watu wakufata mpunga,midomo michafu.

  • @HawaOmary-fb6wo

    @HawaOmary-fb6wo

    9 ай бұрын

    WENYE ELIMU PEKE YAO NDIO WAMEELEWA KWANINI LIMEULIZWA SWALI ILO,BACHU AKABAKI KAMA NDEGE ALIEFUNGWA MABAWA ASHINDWE KURUKA.KRIPU ZAKO TUNAZO ULIZOMWAMBIA MARHUM SAID NABARZANJ,MSHIRIKINA NA MUONGO,,,JIBU SWALI AMA SEMA SIJUI,NALO NI JIBU PIA.

  • @HawaOmary-fb6wo

    @HawaOmary-fb6wo

    9 ай бұрын

    Tunasubiri majibu NI MWANACHUONI GANI?

  • @HawaOmary-fb6wo

    @HawaOmary-fb6wo

    9 ай бұрын

    SWALI HALINA MAJIBU,,,KUMBE MIWAHABI INASOMA VITABU KAMA MAGAZETI

  • @BrotherMasoud
    @BrotherMasoud9 ай бұрын

    Bacho hapo kaongea point ambayo kama hujasoma huwezi kufahamu. Jamanai tukasome kwanza ndipo tutafahamu ukweli wa haya mambo waAllahu Yaalam.

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed79103 ай бұрын

    Kwanza hapo mfunzeni kuongea kimombasa asitumie nguvu 😂😂😂😂 kibri acha bin bachu😂😂😂😂

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan145218 күн бұрын

    Naona bachu Kawa mduuchu Leo FUJO zote zimeisha, Kawa mpoleee maskini

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa97329 ай бұрын

    Bachu kakojolea kiti au jashooo

  • @taiba1784

    @taiba1784

    9 ай бұрын

    Hahah

  • @princefeisla3692

    @princefeisla3692

    9 ай бұрын

    Yale maji mingi alikua akinywa 😂😂😂

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
    @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh9 ай бұрын

    Bachuuu kumbe humo

  • @gongayaigongayai6346
    @gongayaigongayai63469 ай бұрын

    TATIZO NI AKILI NDOGO HADITHI MUNKARI MANENO YA UONGO MMESHINDWA KUYATETEA AAARUN ALAYKUM

  • @saidahmada9118
    @saidahmada91189 ай бұрын

    Huyu kweli muimba tarabu atauzungumzaji wakewaonesha mtu was mipasho

  • @naahla19
    @naahla199 ай бұрын

    Hamjatosheka tu kusema uongo juu ya Maulidi sasa mwasema uongo kumhusu M.Bachu. Acheni urongo sio desturi katika uisilamu! Lol! Nyinyi ni wafalme wa urongo

  • @sheeqassim6274
    @sheeqassim62749 ай бұрын

    bachu debe tupu

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau34939 ай бұрын

    Eti Mimi Nimesoma. Eti Mimi Nimesoma Sijaona. Wewe Ninani. Wewe Umesema.

  • @giltaemi4017

    @giltaemi4017

    9 ай бұрын

    Kama wewe umeona sema hapa kwenye comment tuone ukweli wako upi. Ama na wewe ndo wale wale watu wa maulidi zilizo anzishwa na MASHIA. SHIA WAANZISHE KITU IWE DINI. SUBUTU. Labda kam si dini ya ALLAH.

  • @nurdinmfamau3493

    @nurdinmfamau3493

    9 ай бұрын

    @@giltaemi4017 Kwani Nimjomba Wangu Au Mjomba. Ukae Kwa Kwakutulia.

  • @salimkhatri8064
    @salimkhatri80649 ай бұрын

    Acheni UONGO. Mwanzo wa mdahalo Bachu aliweka sawa maudhui na kusema kuwa wako pale siyo kujadili mtu bali kujadili jambo. Shekhe wenu alikuwa anatumiwa vikaratasi na wasikilizaji (kinyume na kanuni za nidhamu ya wasikilizaji). Kwenye video inaonekana kabisa anayetakiwa kuwa mhakiki akiongea na wasikilizaji wengine halafu wanamuambia Said kwa ishara ang'ang'anie asikubali kujibu maswali ya Bachu. Bachu kaeleza waziwazi kuwa Jaffar Barzanji siyo mpokeaji wa hadeeth bali ni msimuliaji wa hadeeth. Nakuna hukumu ya wanazuoni kwa mtu ambaye siyo mpokeaji wa hadeeth bali hukumu inatolewa kwa maneno yaliyonukuliwa ama jambo lililosimuliwa. Baada ya shekhe wenu kuendelea kusisitiza kuwa hatoendelea mbele mpaka aonyeshwe hukumu ya wanazuoni kwa msimuliaji, Bachu akasema basi "tufunge kikao tukapate lunch". Sasa kwa sababu hamna maarifa ya Logic and Critical Thinking na badala yake maarifa yenu ni kwenye utunzi wa mashairi mnaona UTOTO aliyoufanya shekhe wenu ni umahiri. Shekhe wenu alitandaza vitabu si chini ya ishirini na bookmarks si chini ya 3 kwa kila kitabu LAKINI kashindwa kusoma lolote kutoka kwenye vitabu alivyoleta. Sasa unauliza vile vitabu vyote vilivyotandazwa mezani vilikuwa kuleta mbwembe tu? Mlikuwa na fursa nzuri ya kuthibitisha kuwa yanayodaiwa kuwa UONGO na Bachu ni UKWELI lakini mmeshindwa. Mnakumbushwa, makaburini mtaingia mmoja mmoja. Hakutakuwa na mashabiki wala ushabiki. Na kwa Allah pia utasimama peke yako. Sasa rejea Quran 6:70 halafu angalia adhabu anazowaahidi wale waliogeuza dini kuwa no mchezo na starehe ya kushabikia. Muogope Allah. "Waachilie mbali walio ifanya dini yao ni mchezo na pumbao, na uhai wa dunia ukawaghuri. Nawe kumbusha kwayo, isije nafsi ikaangamizwa kwa sababu ya iliyo yachuma, nayo haina mlinzi wala mwombezi ila Mwenyezi Mungu. Na ingatoa kila fidia haitokubaliwa. Hao ndio walio angamizwa kwa sababu ya yale waliyo yachuma. Wao watapata kinywaji cha maji ya moto kabisa, na adhabu chungu." Qur'an 6:70

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    ACHA KUPOROJA, MADA ILIKUWA SIO MWANZO WA MJADALA BACHU KASEMA NINI, MADA ILIKUWA UONGO NDANI YA BARZANJI. NA BACHU ALISEMA SHEKH JAAFAR NI MUONGO NDIO MAANA TUKAMUITA MAMBRUI KWA MADA HIO. SASA KAMA YEYE ANATAKA MADA NYENGINE KWANZA AIMALIZE HII MADA ALIOITIWA. ACHENI KUGEUZA MADA. NA KWANINI MNAOGOPA MADA.

  • @faridsaid60
    @faridsaid609 ай бұрын

    Asalam alekum warahmatullah wabarakatu wale watu wa zamani waliangamizwa kwa kufata mababu kwa mababu megine jiangalie na nabii suleiman ndio alikua akisikia lugha ya wanyama huo wakati mtume alipo zaliwa nani mwengine alikua akisikia luga ya wanyama shekh said ameshindwa kutetea maulid

  • @mbwanasembizi511

    @mbwanasembizi511

    9 ай бұрын

    basi usimfate Imam yyte shekhe na hao maswahaba pia usiwafate kwasbb na wao huingia hko hko kwenye mababu kama watu wazamani dini inataka ushahidi kutoka kwa Quran, hadith , sunnah na kauli za wanachuoni juu ya jambo hisik na ndicho alichulizw shekh wko

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    Kwaio tusifate MABABU zetu waislamu na maswahaba na tuvumbue dini mpya?

  • @RahimaIbrahim-hk9xh
    @RahimaIbrahim-hk9xh9 ай бұрын

    Asalamalaykum wanyama wa kuthibitisha chui lkni mnyama kama nyoka ambae alimsubiri Mtume wetu kipenzi chetu wakati waliingia katika lile pango na khalifa Abubakar na yy alikuwa anaziba zile tundu ile pasitokee. mnyamaa wa kuuwauma na huyo chatu alimuuma saýidna Abubakar r.a sasa bachu atakakubali hii riwaya

  • @user-rf4cz5dy4v
    @user-rf4cz5dy4v9 ай бұрын

    Huk ni kuporomok kwa dini masheikh kwa masheikh wanazozan na wana elimu zao sas sis tulokuw hatun elimu itakuwaj...? Kwa sas ikhtilafu haziondok mpk mwish wa dunia kilobak kila mtu afany lile alolisom. Samhanin masheikh lakn kubishan bor iwe bas

  • @SuleimanSalim-qu9hi
    @SuleimanSalim-qu9hi9 ай бұрын

    Bachu kasome tena

  • @MARSCONGONAUHURU
    @MARSCONGONAUHURU27 күн бұрын

    Huyu bachu ni bado ni mjinga

  • @omarali1053
    @omarali10539 ай бұрын

    Maulidi yafaa bwana Toka zamani tukiyasoma mababu na mababu,

  • @salehmohd5231

    @salehmohd5231

    9 ай бұрын

    Dini sio mila ila uislamu ni sharia

  • @user-ci5wm8fb1x

    @user-ci5wm8fb1x

    9 ай бұрын

    Hilo ndilo tatizo lenu wat wa bidaa acheni ujinga faten ya dini

  • @omarmohammed5157

    @omarmohammed5157

    9 ай бұрын

    Kwan kila walichokifanya mababu wetu wapo sahihi??

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    @@omarmohammed5157 wapo sahihi ndio wakiwa waislamu, la kama walikuwa makafiri basi hawawi sahihi. Sasa jiulize babu zako kundi gani?

  • @HarunaMohamed-ui7nq
    @HarunaMohamed-ui7nq9 ай бұрын

    Wenzenu wanachukua bandarini ninyi mnabishana kuhusu maulidi

  • @issaisandeko6217
    @issaisandeko62179 ай бұрын

    Ukisoma kichwa Cha habari tu inatosha kuelewa hii Channel inaupande inaosimamia, Uislam ni dini Moja ni vema mijadala ikawa wazi ili tujifunze, hii kazi ya ku-edit na kushabikia upande flani haina afya ya kuufanya umma kujifunza

  • @AlhajiIssa-jb9hr

    @AlhajiIssa-jb9hr

    9 ай бұрын

    Hata wao Katika channel zao Hali ni hiyo.

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    Sio tatizo Hilo.

  • @zeitunMohammed
    @zeitunMohammed9 ай бұрын

    Wah,nlikuwa wahabi lakini kwakuwa bhachu nlimpenda kumbe kashindwa na huyu kijana mdogo.wallah ctakosa kusoma maulidi tokea leo.

  • @yshabakar-ci3kl

    @yshabakar-ci3kl

    9 ай бұрын

    Alhamdulillaah na mungu akujaalie usiache kusoma maulid mpaka kiyama

  • @OmaryKhalfani-ko8qx

    @OmaryKhalfani-ko8qx

    9 ай бұрын

    Tkbiiiiirrrr asnte sana 😄😄😄😄😄

  • @yassinm69

    @yassinm69

    9 ай бұрын

    Basi we ulikua mnafki

  • @alwysaggaf

    @alwysaggaf

    9 ай бұрын

    @@yassinm69😂 Nyinyi mwajua kukufurisha tuu bila ya dalili. Kusoma muhim sana.😊

  • @areyoureal2723

    @areyoureal2723

    9 ай бұрын

    Dah lau kama ungelikuwa kafiri wewe ungelipoteza watu zaidi 😂

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv9 ай бұрын

    Mwanzo mwisho M.bacho ni msanii 🤣🤣🤣🤣

  • @mohamedturanardan8871

    @mohamedturanardan8871

    9 ай бұрын

    Nawauliza watu wa Bid-aa wapi mmetoa hadithi ya Rasoul (s.a.w) kuwa Wanyama walisema?

  • @wardalwena5846

    @wardalwena5846

    9 ай бұрын

    Toa hadith kwamba wanyama hawakusema

  • @madrassatulihyaa-ilislaami2911

    @madrassatulihyaa-ilislaami2911

    9 ай бұрын

    Ww kazi yko ni kutembelea kila channel kusema wapi wanyama walitamka n je ww toa wapi hawakutamka acha ujaahil

  • @ahmadbadawi9664
    @ahmadbadawi96649 ай бұрын

    Sheikh said kiboko ya bachu

  • @feiz3180

    @feiz3180

    9 ай бұрын

    sio kweli. angalia body language yake.

  • @user-zj3ov6ht8n
    @user-zj3ov6ht8n9 ай бұрын

    Maulidi halali tusomeni kwa wingi maighwa

  • @osmanabdifattah4947

    @osmanabdifattah4947

    8 ай бұрын

    Mimi niko na Bachu

  • @MuhidiniNassor

    @MuhidiniNassor

    4 ай бұрын

    ​@@osmanabdifattah4947pole Mpe moyo kipigo si Cha nchi hii kachezea

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw9 ай бұрын

    Maulid kwenda mbele ee. Utasema mwisho utalala. Simbaaa shekh said 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ShafiiMkawa-yl9du
    @ShafiiMkawa-yl9du7 ай бұрын

    She bachu achana nao hao watakusumbua kichwa kwa sababu washaelewa

  • @MuhidiniNassor

    @MuhidiniNassor

    4 ай бұрын

    Kweli wameelewa swali Moja tu chaliiiiiiii said anaejua munaqash

  • @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
    @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm9 ай бұрын

    Hapo kinachokufanyika wanaopost midaalo hii wote wapo upande wa kuiunga mkono Barazenji na ndo maana wanaopost video kwa kukerza mjishike wanyama waliongea vipi? Ni uzushi tu katika dini

  • @user-nh1xi9vy4s
    @user-nh1xi9vy4s9 ай бұрын

    Bado Muhammed Bachu NI mtoto sanaa kwenye Elimu. Hana Elimu ya kutoa FATUA. BADO AKASOME FAHABI HUYU.

  • @OmaryKhalfani-ko8qx

    @OmaryKhalfani-ko8qx

    9 ай бұрын

    😃😃😃😃😃

  • @shokashara1511
    @shokashara15119 ай бұрын

    Kma sio uongo ushahidi wa maneno hyo ni yapi Ili uwe ni ukweli

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    BACHU ANGEJIBU SUALI UNGEUJUA UKWELI, NA SISI TUMEJUA UKWELI PALE BACHU TU ALIPOSHINDWA KUTOA HUKMU YA HADITHI MUNKAR NA TUKAJUA BACHU KUMBE PURURU NYINGI HANA AJUALO ILA MAKELELE MENGI.

  • @shafa3810
    @shafa38109 ай бұрын

    Bachu kasomeeeeee...mbona hutaki kujibu Hilo swali ...just thibitisha Hilo tu

  • @mohamedturanardan8871

    @mohamedturanardan8871

    9 ай бұрын

    Nawauliza watu wa Bid-aa wapi mmetoa hadithi ya Rasoul (s.a.w) kuwa Wanyama walisema?

  • @user-ci5wm8fb1x

    @user-ci5wm8fb1x

    9 ай бұрын

    Ww na shekh wako saidi hamna kitu hapo

  • @thefoodshaikh811
    @thefoodshaikh8119 ай бұрын

    Bado mpaka sasa barzanji hakuna wa kuitetea, covid 19 iko palepale.

  • @alwysaggaf

    @alwysaggaf

    9 ай бұрын

    Bachu COVID ONE imemshinda itakua 19 😂 Kusoma muhim sana

  • @yassirswaleh7127

    @yassirswaleh7127

    9 ай бұрын

    Mambo ni matatu. Bachu ajibu swali au aseme sijui ama maulid yaendelee kusomwa

  • @OmaryKhalfani-ko8qx

    @OmaryKhalfani-ko8qx

    9 ай бұрын

    hatar sana ww mtoto wa bhachu baba ako anakuskia namna unavyo toka povu

  • @rashidswalehmwanjama3404

    @rashidswalehmwanjama3404

    9 ай бұрын

    Kuandika kwenyew ziro kumbe Hajui utofauti wa ص و س

  • @allylassuh4947

    @allylassuh4947

    9 ай бұрын

    Hahahahahaha 19 zipi kumbe ww uko nyuma sana kwn hukuskia kwamba hizo hoja 19 nyingi sio za barzanji alikosea kanukuu maneno ya mtuwngine hehehehehe pole kaka mpk mnaandika kiswahili maana mkiandika kiarabu makosa kma yote hehehehehe dah

  • @alibinali-zc2of
    @alibinali-zc2of9 ай бұрын

    Halijamshinda hilo silo lengo

  • @salmaali7080

    @salmaali7080

    9 ай бұрын

    Mbona hakujibu swali aliloulizwa

  • @izmamally900

    @izmamally900

    9 ай бұрын

    Kamsaidie mjuzi wewe

  • @AbdillahSOthman

    @AbdillahSOthman

    9 ай бұрын

    Saidi ulitakiw uthibitishe ukweli wa maneno sio mtu. Na ndio hoja za Sabass nyie mlienda na mada yenu kuchafua mnaqasha. Kwani watu walijua unaenda kujibu hoja 19 sa uongo wa kitabu sio mtu.

  • @teedosuleish6155

    @teedosuleish6155

    9 ай бұрын

    atoe dalili kwamba ni uongo hamna wanyama waloongea...mana kapewa hadithi na shekh barzanji kasema waliongea sasa nyie mpingao toeni japo hadithi

  • @AliDaud-si3fg

    @AliDaud-si3fg

    9 ай бұрын

    ​@@teedosuleish6155 ukiamka utajua tu

  • @FarahJey
    @FarahJey9 ай бұрын

    Saidi ni mpiga guitar, hana ajualo

  • @yassirswaleh7127

    @yassirswaleh7127

    9 ай бұрын

    Mambo ni matatu Bachu ajibu swali au aseme sijui au maulidi yaendelee kusomwa

Келесі