Sheikh wangu said Bafana nakupenda kwa ajili ya ALLAH
@JUMARAJABUKACHEPA-jp3nc9 ай бұрын
Umezungumza maneno matam sana Allah akuhifadhi
@user-gp1rj2hp2uАй бұрын
Nilichogundua masheikh wakianswar au ahlu Sunna waljamaaa.....wanajielewa na wanajuwa wanachofanya Masha.ALLAHOOO....bafana
@user-wd7vl2df8u9 ай бұрын
Maashaallah shekhe Allah akuhifadh
@user-gp1rj2hp2uАй бұрын
Namshkuru ALLAHU.....nimezaliwa Baba angu ni answari. Ahlu Sunna waljamaaa
@AbdullyHamid9 ай бұрын
Mashallah habib mwenye kuskia n mweny mazingatio atazingatia allah ata tuongoza kwa ujumla inshallah
@sir-lymwethebest10289 ай бұрын
Shukran sheikh said bafafa ALLAH AKUHIFADHI
@OmarAlly-iz8ot9 ай бұрын
Maashaa Allaah Shekh kwenye hii dkk ya 6 umeongea kitu muhimu sana kwa watu ili wakijuwe, kwani huu ndio ukweli unao waweka wazi hawa wazushi na kuthibitisha kua lengo lao kwenye hii Dini ni uchafuzi nasio kufwata kile kilicho thibiti
@user-xn3kz4mc4v
9 ай бұрын
Nenda kasome acha kupelekeshwa 😅😅😅😅😅😅
@shanimpenike75689 ай бұрын
Umenena vzr shekh bafana...mtoto wa bachu yuko sawa
@user-gp1rj2hp2uАй бұрын
God bless you ustadh Masha.ALLAHOOO
@Ukhtyzuhura8 ай бұрын
Ma Shaa Allah Darsa lenye manufaa
@AbdallahsalehjafferElchunu9 ай бұрын
Sheikh bafana may ALLAH protect you from jinn and bad mankind
@farakhanmohamed9 ай бұрын
Swadakta ya sheikh bafana
@hasanulbaswari68049 ай бұрын
الله يعطيك العافية والسلام في ٱمور حياتك يا شيخنا الفاضل❤️
@fatimahirakoze73119 ай бұрын
ManshAllah cheikh wangu mwishi wa Dunia njia tuaona maulid yanavunja rekodi zamani maulid yanakua ni balaa tupu
@Semayoteyote9 ай бұрын
JazakaAllah Sheikh said Allah akuhifadhi..... naomba unifanyie dua??
@user-wy8zq9fj9b9 ай бұрын
Marshallah nimefatilia mbaka mwisho Alhamdhulillah nitashikana na Sunnah
@mohammedwedding6530
9 ай бұрын
Kumsalia mtume ni Fardhi au Sunna?
@mwanakomboabdala-bt4po9 ай бұрын
Naaam
@HarunIsmail-bi8lk3 ай бұрын
بارك الله فيك
@yusufadanmoha3119 ай бұрын
Asante Sheikh wetu
@oruko477323 күн бұрын
Alhamdulillah
@arafatshaban92176 ай бұрын
Thank you good massage may Allah reward
@naswiharashid71665 ай бұрын
Masha Allah sheikh wangu asante sn
@abdallahsiraji99199 ай бұрын
Inna lillah wainnaa ilaihi Raajiuun.Hawa... Tuweni wakweli mashekh zetu... Kuweni na Inswaaf... Shekh Bachu aliinuka akaawacha Mjadala we unasema kijana kashindwa kwenda Mbele jamani tusiwe warongo... Bachu angejibu ili yule Saidi aende mbele...
@nassleydady5783
9 ай бұрын
Said alijibiw ila yy alitak ajibiw anavotak yy mana kambiw jibulake halipo kweny vitab ila km angeuliza vzur angejibiw kwa akil ya mt ndio mana aliambiw mfano kazaliw leo ng'ombe anavichwa 7 alaf ww umulize shekhe nn hukmu ya huyu mnyama mwenye vichwa7 kupitia vitabu apo shekh atajib halipo kweny vitab. Ss yy alitak aseme cjui ss ndio nn km lipo ww c litaj ndio mana kagandia pale
@user-fc4vl8zi4r5 ай бұрын
Mashaallah mashaallah shekhe wangu Allah akuhifadhi
@shaibuyahayaupette43516 ай бұрын
Mashaalah ,sheikh Allah akulinde
@user-ir5ec5jn3w9 ай бұрын
Na baada ya ule mjadada WATU wa Maulidi wakawa wanasherehekea kwa istzahi hili kumfanyia vitimbi Bachu May Allah guide us all
@costerhoshan67559 ай бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah
@ukuvukiland23879 ай бұрын
Maulidi sasa hivi yamekua disko dancer,........
@Ukhtyzuhura
8 ай бұрын
Mtihan hakika
@Nuru_ya_sunnah.official9 ай бұрын
shaikh bafana Allah protect you ❤❤
@rehemamahamudu1181
9 ай бұрын
Mashaalah
@user-ou1dh2sb2t9 ай бұрын
Nyiye ahlu Sunnah
@user-pg3ez4uo1z4 ай бұрын
Shekh Allah akuifadhi na akujaliie mwisho mwema inshaallah
@shanimpenike75689 ай бұрын
مشاالله
@shanimpenike75689 ай бұрын
shekh waongea swahihi kabsa
@user-jk7sm1dl7p7 ай бұрын
Shukran sana sheikh tumelewa sana bidah ni mbaya sana
@twahirburhan37269 ай бұрын
JAZAAKA LLAAHU KHEIR SHEKH,ALLAH AKUBAARIK SHEKH NA UMRI WENYE KHERI
@AbdallahKabury-ig7kk9 ай бұрын
Swahihi
@omarsirleem71059 ай бұрын
Sema watu bid'aa wakiambiwa ukweli huwa wanaumwa sana......wengine wakishajua ukweli wanaona kukubali haki ni hali ya kushindwa
@fadhilizomboko4599 ай бұрын
Mash'allah
@twaibumikidadi73779 ай бұрын
Mashallah mashekh zetu Bidaaa hii itaondoka tu kama ilivyoondoka 40 katk umisiba. Leo hakuna 40 na khitma ! hii n kaz za Ahlu sunnah kaz zenu zina manufaaa
Je saa za mazishi huletwa ustada atoe darsa nusu watu chini wengine mbali kilio watu walizana hakuna asikiaye jee waqti wa mitume na maswahaba ilikuweko? Lakini kukisomwa Qur'ani kuka khitimishwa na kisha ma tawasul na kumswalia Mtume watu wote watikia kwa umoja mpaka alofiliwa hupunguza kuliya nae atikiya kimyaa watu
@rahmaMohamed-op9mk9 ай бұрын
Mashallah,ukovizuri,mnajitambua
@barjah11849 ай бұрын
Watu wa maulid musiwashangae wakihalalisha kaumu lut. Hawa na mayahudi hawana tofauti Chinja wao woooote
MASHA ALLAH NGOJA HAKI IBAINISHWE ALLAH AKUJAZE KHERI SHEKHE WETU
@SharifuHamisi-yw1dx7 ай бұрын
Hamjui mtume huuyuu ufahamu nao nirizki tumswalieni mtumeee sanaa
@user-md5rj6oo8l9 ай бұрын
Sheikh wallah hawa watu wanajua ukweli lakini wanashindwa kutetea hakika ni vibur tu allahu mustaan allah awaongowe na awaonshe njia ya haki
@Filamumaridhawa
9 ай бұрын
Tatizo kama ndio mila zao
@HusnaTanga9 ай бұрын
Ewe allah nifanye niwe mwenye kufata haki na kuicha batwr
@jabirkasunzu68414 ай бұрын
Quran na Sunna ♥️♥️
@mohdhilaly79009 ай бұрын
Ustath said amewanyoosha hawa mawahabi imewauma sana
@OmarAbdulrahman-uk2fh5 ай бұрын
Wewe saidi hujitambui kubwa zima hujielewi
@innocentmusa7660
3 ай бұрын
Jadili hoja, wacha uburukenge haumjui mwenyezi Mungu na haki zake juu yako wewe na wala haki zake Mtume (s.a.w) juu yako yeye huzijui Je elewe mwanzo!
@Buddy90729 ай бұрын
Shekhe....wasema hiyo Nuru imetoka mahali ya aibu, yaani Mtume alikuwa kwenye sehemu aibu, ama kweli fahamu zikiwa saqimu fikra huwa ndogo. Ama kweli Nuru ilienea kwa mazazi yake Bwana mtukufu mpaka Shaam lakini masikitiko Nuru hiyo haikuwafika mawahabi. Maskini wasikitisha
Kutokuelewa ni shida maaa maneno hayo ni kwa barzanji peke yake,Allah atuongoze
@Buddy9072
9 ай бұрын
@Babinho huyo Barzanji mwamjua lakini ama mwamsikia Bafana na Bachu wakimtaja na nyinyi mwamtaja tu?
@abdallahkambangwa72159 ай бұрын
sheikh upo sahihi masahaAllah
@abdulkhalfan85869 ай бұрын
SHEIKH MSELEM ALIWAAMBIYA NYINYI MAWAHABI HAMUTAKI KUSOMA MWATAKA KUTUKANA WATU
@nassleydady5783
9 ай бұрын
Likowap tuc apo au ukwel ndio tuc saiv
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
9 ай бұрын
@@nassleydady5783ukweli mchungu 😂😂😊
@abubakarramadhan17169 ай бұрын
Laaaaaailaaaaaaha illallaaahu dini imekosa watu waluiongelea kiudilifu ila lila mtu anataka kujulikana nakundi lake liipate kua juu mungu tusaidie
@seifabdulwahid4579
9 ай бұрын
We fafanuwa km wanavofafanuwa wenzio usiseme kundi tu
@mgazamhina840
9 ай бұрын
Kasema wewe ukiijua haki igaganie mpaka tone la mwisho
@SeifRupatu9 ай бұрын
Wewe jamaa unajioonaa unaweza kumteteaa bachu. Jamaa wametoaa nafasi uende wewe au uwaalike popootee watajuaa wakina ustdh saidii
@mohammedwedding65309 ай бұрын
Yaumu na Leila na kiyama ni siku tofauti. Yaumu ni mchana wa siku ya arafa kwa mujibu wa muandamo wa mwezi. Leila ni usiku usiojulikana 21,23,25,27 Kiyama ni kisimamo na kadri yake anaijua Allah.
@uthmanmaalim26807 ай бұрын
inategemeya umeelewa aje
@user-ou1dh2sb2t9 ай бұрын
Nyie sio ahlu sunnah
@jabirhussein41809 ай бұрын
Msaidie bas kujibu swali la bachu wacha kutuletea balbala zako
@diagfinamix1861
9 ай бұрын
Bado hamja zi jibu hata zile za Tanga mnadai kujibiwa ka kwenu ka moja tu ,
@Auf-uh3jq9 ай бұрын
Wewe shekhe kusema msikiti mbele yangu simakosa kwa ilmu mantiqia Nafkiri hujasoma mantiq Munatushangaza kweli mukoshasoma kiarabu mushakua maustadh
@aminaali51399 ай бұрын
Jua pia ni moja tu tena lina muanga na twafuata jua kuswali kwanini tusiswali ulimwengu mzima soteniii kibla ni hichohicho 😂😂😂 mwapotezwa na mitandao wazuka wakubwa zamani watu walikua na utulivu hakuna fitna za mitandao kasomeni jamaniiii hatari sanaa mtu hana ilmu ajifanya ana ilmu huyu ni fitna ulimwengu mzima
@abdallamohammed60699 ай бұрын
Mungu awaongoze mawahabi
@thabitisaidi6334
9 ай бұрын
Acha kukurpka ongea kwa hoja acha kuwaita watu wasunna mawahabi kwa sbabu wahabu niktika majina ya allaha acha kumkosea mula wako adabu
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
9 ай бұрын
@@thabitisaidi6334utakuwa mzee wa maulid 😂😂
@user-jk7sm1dl7p
7 ай бұрын
Amin amin amin Nimeitikia amin Kwasababu ulipo sena mungu awaongoze mawahabi Mungu najuwa ulikusudia Allah, Na mimi nawaombeya dua watu wa bidah Na Nyinyi watu wa bidah Allah Awaongoze muache bidah za maulid na zingine Mje kwanye suna
@mansulesuleyman62179 ай бұрын
Swali liko pale pale sema sijui
@saleherashid22629 ай бұрын
kashindwa Muhammad Bachu si angejibu halafu aone elimu ambayo ingetolewa halafu hao mnaowahukumu hamuwakuti hata robo na ni Mashekh ambao washatangulia mbele za haki mkiwasema watajirekebisha lini
@issayunus23959 ай бұрын
Ustadh, soma na usome saana ustadh.
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
9 ай бұрын
Wewe uliesoma mbona huongei??😂😂😂
@Buddy90729 ай бұрын
Jee shekhe....hizo aya za adhabu na za minyororo, ukizisoma zinayo thawabu kwa kila herufi....ama hizo aya hazina thawabu, maana kuna mushkil hapo....
@ahmadmadaai13579 ай бұрын
Nyue ht mssem nin tushakushttukien mnalipw na mayahudi muuchafue uislam
@barzaqtradingcompany85419 ай бұрын
Ushirikina ndani za kwasidah za almighrania suudaniyah كرَّ صلّى اللَه عليك يا بني يا مزيل الغمِّ والكربى كلُّ هم أنت تفرجهُ إن وفا للعجم والعربي وإذا ما الخطبُ أمَّ لنا زحتهُ أيضاً كذا النكبى فاغث يا خير غوثٍ بدا واجل كربا عمَّ من حقبى وارحنا من عنا سيّدي من عنا الدنيا والأخرى يا بني واجعل الأوقات جمعاً صفا صحبةَ الأهل وصحباً حبى وباخرنا انل راحةً بزحامٍ لاعنا نصبى وانحنا من هولها سندى وإلى الجنّات سُق طلبى ومقاما بالجوار نل لك يا طه وذا مطلبى وصلاةُ اللَه تغشاك مع الك الصحب ومدا ما صبى هام فيكم وانشدَ المرغنى كرَّ صلّى اللَه عليك يا بني شرح ومعاني كلمات قصيدة كر صلى الله عليك يا بني قصيدة كر صلى الله عليك يا بني لـ محمد عثمان الميرغني وعدد أبياتها أحد عشر. عن محمد عثمان الميرغني
@KhuluudHamouda23809 ай бұрын
Kapige magoti uisome Lugha ya kiarabu upate kuelewa mambo vzr.
@user-zr3pq4sg7j9 ай бұрын
Wallah ikiwa upo kwa lengo la kujfunza utayaelewa haya maneno ila ukiwa ni mshabiki hutayafaham
@Buddy9072
8 ай бұрын
فقد روى الإمام أحمد في مسنده عن العرباض ابن سارية، عن النبي صلى الله عليه وسلم، قال: إني عبد الله في أم الكتاب لخاتم النبيين، وأن آدم لمنجدل في طينته، وسأنبئكم بتأويل ذلك: دعوة أبي إبراهيم، وبشرى عيسى قومه، ورؤيا أمي التي رأت أنه خرج منها نور أضاءت له قصور الشام، وكذلك ترى أمهات النبيين صلوات الله عليهم. ورواه الحاكم وصححه، ووافقه الذهبي. Naomba mtafute Bafana akueleze hii hadithi au akudhaifishie pia ni sawa. Kisha ndio upime munayoelezwa na hawa watu yapo ama ni uzushi??? Hayo aibu ni yapi ama urongo ni upi???
@user-fc4vl8zi4r
5 ай бұрын
Nikweli kabisa mdogo wangu
@mansulesuleyman62179 ай бұрын
Mzee rudi ukasome
@mohammedwedding65309 ай бұрын
Naam wamezungumza wanyama na anayefahamu jinsi walivyozungumza ni aloandika abyati tunamuamini kwa miaka yote iliyopita na inayokuja sio wewe unayetafsiri na ufahamu wako.
@earthmanhassan656
9 ай бұрын
Sio kwa hasira wala kukejeliana alhabib, naomba hadith swaheeh shekhe langu. Nahofia nisiwe miongoni mwa watu watakomkadhibisha Mtume Wetu Swalla Allaahu Alayhi Wa Sallam ((من كذب علي متعمدا فليتبوأ مقعده من النار)) متفق عليه ((Atakayeniongopea makusudi basi ajitayarishie makazi yake motoni)) [Al-Bukhaariy Na Muslim] Ukiwa umeeneza mambo hayo na hali unajua kuwa si sahihi, basi tambua kuwa ushaingia katika walioelezwa ndani ya Hadiyth hiyo
Na babu yako alikua mzushi maana alikua anafanya maulid au
@omarshaban4735
9 ай бұрын
@@akidahamad142 hata mm nilikua mtu wa maulidi lakini niliacha
@Buddy90729 ай бұрын
س: تخصيص الأموات؟ ج: إذا خصَّهم لا بأس، كان النبيُّ ﷺ كثيرًا ما يُضَحِّي بذبح الشاة عن خديجة، يتصدق بها عن خديجة، ويقسمها بين صواحبات خديجة بعد وفاتها رضي الله عنها. Hizo kwenye fatwa za Binbaz
@saleherashid22629 ай бұрын
Mwenyewe hapo upo kwenye Bida'a hiyo maiki Mtume hakutumia
Saidi bafana naona hata kichefu chefu kukuangalia unaongea utumbo tu ndugu yangu
@khadijaahmed23319 ай бұрын
Jazakallah kher alf marra naomba tupate mtu atutengezee translated copies in kiswahili n English ya kile kitabu cha barzanji😊
@w40589 ай бұрын
Kwani lazima nyie msome kams hamtaki basi loo hamna haya kazi kupotosha watu
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
9 ай бұрын
Sasa leta dalili?ikiwa mtume mwenyewe hakufanya
@casmiliyndunguru61109 ай бұрын
Nyie leo mahabi inaacha kuzungumzia zinaa imekithir mitaani mnazungumzia maulid
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
9 ай бұрын
Hata maulid ni haramu
@user-lu5vg9kc7y9 ай бұрын
Duuu. Kwa kupinga hayo maulid vitu vingi vizur vyapatikana katika maulidi maidha mazur yanatolewa qruani tukufu itasomwa na wanaume wanakaa peke yao na wanawake pekee Wakichangamyika ndo vibaya. Shekh twakupenda kwajili ya ALLAH Waislam wote nawapenda kwajili ya ALLAH bila kubagua dhehebu
@mohamedmasanga91349 ай бұрын
Dini ni ya Mungu umesema kweli na mwenye kujua nani kapatia na nani kakosea ni huyo mwenye DINI yaani Allah SW lakini kila sheikh ukimsikiliza utaona anajivutia upande wake anaoamini na wanao comment pia wameegemea upande wanaoshabikia kumbe sasa Allah ndie HAKIMU kwa aliepatia na aliekosea basi tumwachie Allah ahukumu sio sisi kuwa majaji ni makosa
@babiddi8620
9 ай бұрын
Watu wana takiwa kuelimishana
@omarytobaomary71489 ай бұрын
Mashallah masheh wanaosema ukweli kama wwe ndio tunawaitaji
@user-de4yj3oc1g9 ай бұрын
Hata huyu nae kashatumwa na mayahudu kuja kuharibu dini subhanallah
@user-zt1ov5qy5z8 ай бұрын
Kwakweli naona sheikh wanimalizia banlde langu bila tija, ,
@abdulkhalfan85869 ай бұрын
PAKA WA BACHU AMEZUNGUMZA KWA KUSHINDWA KWAKE NA USTADH SAID
@salimrukago69109 ай бұрын
Unaongelea uzushi huo mjadala wenyewe huon kama ni uzushi ?
@ramarmularr46779 ай бұрын
Sheikh na wee njoo kama unataka ufahamishwe. Wazani kuongea kwa nguvu na kufoka ndio kuwa na 'Elimuu
@omarytobaomary7148
9 ай бұрын
Kaa kushoto tupishe kabsa
@mohammedwedding65309 ай бұрын
Sasa uzuri kwako kuwaelimisha na ukitaka kuelimishwa utaelimishwa barzanji kama ulivyokuwa ukiisoma ulipokuwa unaelimishwa.
@imamhussein23709 ай бұрын
Ule mlango unaoanza kwa kusema. واول من أمن من الرجال ابو بكر صاحب الغار والصديقية
@AbdulHamid-pu4wt9 ай бұрын
Why continue to fight a loosing Battle
@twalibsaid26148 ай бұрын
Jamani mtume hakumsomea mke wake mama khadija quran alipokufa ! Wewe ni hatari sana hufai kuitwa shekhe , wewe shekhena naile dua inao waombea waliokufa ambao dua yenyewe ni quran inasema , Rambanaa ighfirlanaa wal ikhwaaninaa sabakunaa lil iman , hio ni dua nani quran
@saba-gv3mj9 ай бұрын
Munaogopewa kwa sababu wapotoshaji nyinyi mawahabi
@murkemadmar38405 ай бұрын
Jana nimesikia kisa cha Miraj shekhe flani asema mtume alipofika mbinguni alimuona Allah kama vile mimi na wewe na pia mtume alifika ilipo arsh ya Allah akiwa na viatu na hakuambiwa avue viatu kuonyesha utukufu wake kwa Allah. Watuwa bid
@SeifRupatu9 ай бұрын
Semaa wp wajee
@abdallahsaid49979 ай бұрын
Gaza watu wanapigwa usiku na mchana badala ya kuzungumaa ya muhimu bado mko kwenye maulidi Mashekhe bure kabisa
@user-xk1lu2eq9m9 ай бұрын
Unajivunjia heshima ww sema ukweli
@babiddi8620
9 ай бұрын
Ukweli ndo huo
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
9 ай бұрын
Ukweli mchungu 😂😂😂
@ameirzapy13189 ай бұрын
Elimu ni bahari pana, inafika mwisho kwako endea kujifunza kwa wengine, tujitahid sana kuelezea pale tunapojua tu kuliko kuingia mambo ambayo huna elimu nayo
Пікірлер: 349
Sheikh wangu said Bafana nakupenda kwa ajili ya ALLAH
Umezungumza maneno matam sana Allah akuhifadhi
Nilichogundua masheikh wakianswar au ahlu Sunna waljamaaa.....wanajielewa na wanajuwa wanachofanya Masha.ALLAHOOO....bafana
Maashaallah shekhe Allah akuhifadh
Namshkuru ALLAHU.....nimezaliwa Baba angu ni answari. Ahlu Sunna waljamaaa
Mashallah habib mwenye kuskia n mweny mazingatio atazingatia allah ata tuongoza kwa ujumla inshallah
Shukran sheikh said bafafa ALLAH AKUHIFADHI
Maashaa Allaah Shekh kwenye hii dkk ya 6 umeongea kitu muhimu sana kwa watu ili wakijuwe, kwani huu ndio ukweli unao waweka wazi hawa wazushi na kuthibitisha kua lengo lao kwenye hii Dini ni uchafuzi nasio kufwata kile kilicho thibiti
@user-xn3kz4mc4v
9 ай бұрын
Nenda kasome acha kupelekeshwa 😅😅😅😅😅😅
Umenena vzr shekh bafana...mtoto wa bachu yuko sawa
God bless you ustadh Masha.ALLAHOOO
Ma Shaa Allah Darsa lenye manufaa
Sheikh bafana may ALLAH protect you from jinn and bad mankind
Swadakta ya sheikh bafana
الله يعطيك العافية والسلام في ٱمور حياتك يا شيخنا الفاضل❤️
ManshAllah cheikh wangu mwishi wa Dunia njia tuaona maulid yanavunja rekodi zamani maulid yanakua ni balaa tupu
JazakaAllah Sheikh said Allah akuhifadhi..... naomba unifanyie dua??
Marshallah nimefatilia mbaka mwisho Alhamdhulillah nitashikana na Sunnah
@mohammedwedding6530
9 ай бұрын
Kumsalia mtume ni Fardhi au Sunna?
Naaam
بارك الله فيك
Asante Sheikh wetu
Alhamdulillah
Thank you good massage may Allah reward
Masha Allah sheikh wangu asante sn
Inna lillah wainnaa ilaihi Raajiuun.Hawa... Tuweni wakweli mashekh zetu... Kuweni na Inswaaf... Shekh Bachu aliinuka akaawacha Mjadala we unasema kijana kashindwa kwenda Mbele jamani tusiwe warongo... Bachu angejibu ili yule Saidi aende mbele...
@nassleydady5783
9 ай бұрын
Said alijibiw ila yy alitak ajibiw anavotak yy mana kambiw jibulake halipo kweny vitab ila km angeuliza vzur angejibiw kwa akil ya mt ndio mana aliambiw mfano kazaliw leo ng'ombe anavichwa 7 alaf ww umulize shekhe nn hukmu ya huyu mnyama mwenye vichwa7 kupitia vitabu apo shekh atajib halipo kweny vitab. Ss yy alitak aseme cjui ss ndio nn km lipo ww c litaj ndio mana kagandia pale
Mashaallah mashaallah shekhe wangu Allah akuhifadhi
Mashaalah ,sheikh Allah akulinde
Na baada ya ule mjadada WATU wa Maulidi wakawa wanasherehekea kwa istzahi hili kumfanyia vitimbi Bachu May Allah guide us all
Nakupenda kwa ajili ya Allah
Maulidi sasa hivi yamekua disko dancer,........
@Ukhtyzuhura
8 ай бұрын
Mtihan hakika
shaikh bafana Allah protect you ❤❤
@rehemamahamudu1181
9 ай бұрын
Mashaalah
Nyiye ahlu Sunnah
Shekh Allah akuifadhi na akujaliie mwisho mwema inshaallah
مشاالله
shekh waongea swahihi kabsa
Shukran sana sheikh tumelewa sana bidah ni mbaya sana
JAZAAKA LLAAHU KHEIR SHEKH,ALLAH AKUBAARIK SHEKH NA UMRI WENYE KHERI
Swahihi
Sema watu bid'aa wakiambiwa ukweli huwa wanaumwa sana......wengine wakishajua ukweli wanaona kukubali haki ni hali ya kushindwa
Mash'allah
Mashallah mashekh zetu Bidaaa hii itaondoka tu kama ilivyoondoka 40 katk umisiba. Leo hakuna 40 na khitma ! hii n kaz za Ahlu sunnah kaz zenu zina manufaaa
@user-xn3kz4mc4v
9 ай бұрын
Khitma ipo na zitaendelea kuwepo tatizo hamJa soma Niwatu wakukaririshwa njoo tanga 33:54
@ruzatuntajadin1274
9 ай бұрын
Je saa za mazishi huletwa ustada atoe darsa nusu watu chini wengine mbali kilio watu walizana hakuna asikiaye jee waqti wa mitume na maswahaba ilikuweko? Lakini kukisomwa Qur'ani kuka khitimishwa na kisha ma tawasul na kumswalia Mtume watu wote watikia kwa umoja mpaka alofiliwa hupunguza kuliya nae atikiya kimyaa watu
Mashallah,ukovizuri,mnajitambua
Watu wa maulid musiwashangae wakihalalisha kaumu lut. Hawa na mayahudi hawana tofauti Chinja wao woooote
Sheikh hebu kemea ulevi ,riba ,zinaa ,dhulma,uongo ,itakua vizuri
MASHA ALLAH NGOJA HAKI IBAINISHWE ALLAH AKUJAZE KHERI SHEKHE WETU
Hamjui mtume huuyuu ufahamu nao nirizki tumswalieni mtumeee sanaa
Sheikh wallah hawa watu wanajua ukweli lakini wanashindwa kutetea hakika ni vibur tu allahu mustaan allah awaongowe na awaonshe njia ya haki
@Filamumaridhawa
9 ай бұрын
Tatizo kama ndio mila zao
Ewe allah nifanye niwe mwenye kufata haki na kuicha batwr
Quran na Sunna ♥️♥️
Ustath said amewanyoosha hawa mawahabi imewauma sana
Wewe saidi hujitambui kubwa zima hujielewi
@innocentmusa7660
3 ай бұрын
Jadili hoja, wacha uburukenge haumjui mwenyezi Mungu na haki zake juu yako wewe na wala haki zake Mtume (s.a.w) juu yako yeye huzijui Je elewe mwanzo!
Shekhe....wasema hiyo Nuru imetoka mahali ya aibu, yaani Mtume alikuwa kwenye sehemu aibu, ama kweli fahamu zikiwa saqimu fikra huwa ndogo. Ama kweli Nuru ilienea kwa mazazi yake Bwana mtukufu mpaka Shaam lakini masikitiko Nuru hiyo haikuwafika mawahabi. Maskini wasikitisha
@Buddy9072
9 ай бұрын
وَأَنْتَ لَمَّا وُلِدْتَ أَشْرَقَتِ الأَرْضُ وَضَاءَتْ بِنُورِكَ الأُفُقُ فَنَحْنُ فِي الضِّيَاءِ وَفِي النُّورِ وَسُبُلُ الرَّشَادِ نَخْتَرِقُ ....
@babinhoelninho5416
9 ай бұрын
Kutokuelewa ni shida maaa maneno hayo ni kwa barzanji peke yake,Allah atuongoze
@Buddy9072
9 ай бұрын
@Babinho huyo Barzanji mwamjua lakini ama mwamsikia Bafana na Bachu wakimtaja na nyinyi mwamtaja tu?
sheikh upo sahihi masahaAllah
SHEIKH MSELEM ALIWAAMBIYA NYINYI MAWAHABI HAMUTAKI KUSOMA MWATAKA KUTUKANA WATU
@nassleydady5783
9 ай бұрын
Likowap tuc apo au ukwel ndio tuc saiv
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
9 ай бұрын
@@nassleydady5783ukweli mchungu 😂😂😊
Laaaaaailaaaaaaha illallaaahu dini imekosa watu waluiongelea kiudilifu ila lila mtu anataka kujulikana nakundi lake liipate kua juu mungu tusaidie
@seifabdulwahid4579
9 ай бұрын
We fafanuwa km wanavofafanuwa wenzio usiseme kundi tu
@mgazamhina840
9 ай бұрын
Kasema wewe ukiijua haki igaganie mpaka tone la mwisho
Wewe jamaa unajioonaa unaweza kumteteaa bachu. Jamaa wametoaa nafasi uende wewe au uwaalike popootee watajuaa wakina ustdh saidii
Yaumu na Leila na kiyama ni siku tofauti. Yaumu ni mchana wa siku ya arafa kwa mujibu wa muandamo wa mwezi. Leila ni usiku usiojulikana 21,23,25,27 Kiyama ni kisimamo na kadri yake anaijua Allah.
inategemeya umeelewa aje
Nyie sio ahlu sunnah
Msaidie bas kujibu swali la bachu wacha kutuletea balbala zako
@diagfinamix1861
9 ай бұрын
Bado hamja zi jibu hata zile za Tanga mnadai kujibiwa ka kwenu ka moja tu ,
Wewe shekhe kusema msikiti mbele yangu simakosa kwa ilmu mantiqia Nafkiri hujasoma mantiq Munatushangaza kweli mukoshasoma kiarabu mushakua maustadh
Jua pia ni moja tu tena lina muanga na twafuata jua kuswali kwanini tusiswali ulimwengu mzima soteniii kibla ni hichohicho 😂😂😂 mwapotezwa na mitandao wazuka wakubwa zamani watu walikua na utulivu hakuna fitna za mitandao kasomeni jamaniiii hatari sanaa mtu hana ilmu ajifanya ana ilmu huyu ni fitna ulimwengu mzima
Mungu awaongoze mawahabi
@thabitisaidi6334
9 ай бұрын
Acha kukurpka ongea kwa hoja acha kuwaita watu wasunna mawahabi kwa sbabu wahabu niktika majina ya allaha acha kumkosea mula wako adabu
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
9 ай бұрын
@@thabitisaidi6334utakuwa mzee wa maulid 😂😂
@user-jk7sm1dl7p
7 ай бұрын
Amin amin amin Nimeitikia amin Kwasababu ulipo sena mungu awaongoze mawahabi Mungu najuwa ulikusudia Allah, Na mimi nawaombeya dua watu wa bidah Na Nyinyi watu wa bidah Allah Awaongoze muache bidah za maulid na zingine Mje kwanye suna
Swali liko pale pale sema sijui
kashindwa Muhammad Bachu si angejibu halafu aone elimu ambayo ingetolewa halafu hao mnaowahukumu hamuwakuti hata robo na ni Mashekh ambao washatangulia mbele za haki mkiwasema watajirekebisha lini
Ustadh, soma na usome saana ustadh.
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
9 ай бұрын
Wewe uliesoma mbona huongei??😂😂😂
Jee shekhe....hizo aya za adhabu na za minyororo, ukizisoma zinayo thawabu kwa kila herufi....ama hizo aya hazina thawabu, maana kuna mushkil hapo....
Nyue ht mssem nin tushakushttukien mnalipw na mayahudi muuchafue uislam
Ushirikina ndani za kwasidah za almighrania suudaniyah كرَّ صلّى اللَه عليك يا بني يا مزيل الغمِّ والكربى كلُّ هم أنت تفرجهُ إن وفا للعجم والعربي وإذا ما الخطبُ أمَّ لنا زحتهُ أيضاً كذا النكبى فاغث يا خير غوثٍ بدا واجل كربا عمَّ من حقبى وارحنا من عنا سيّدي من عنا الدنيا والأخرى يا بني واجعل الأوقات جمعاً صفا صحبةَ الأهل وصحباً حبى وباخرنا انل راحةً بزحامٍ لاعنا نصبى وانحنا من هولها سندى وإلى الجنّات سُق طلبى ومقاما بالجوار نل لك يا طه وذا مطلبى وصلاةُ اللَه تغشاك مع الك الصحب ومدا ما صبى هام فيكم وانشدَ المرغنى كرَّ صلّى اللَه عليك يا بني شرح ومعاني كلمات قصيدة كر صلى الله عليك يا بني قصيدة كر صلى الله عليك يا بني لـ محمد عثمان الميرغني وعدد أبياتها أحد عشر. عن محمد عثمان الميرغني
Kapige magoti uisome Lugha ya kiarabu upate kuelewa mambo vzr.
Wallah ikiwa upo kwa lengo la kujfunza utayaelewa haya maneno ila ukiwa ni mshabiki hutayafaham
@Buddy9072
8 ай бұрын
فقد روى الإمام أحمد في مسنده عن العرباض ابن سارية، عن النبي صلى الله عليه وسلم، قال: إني عبد الله في أم الكتاب لخاتم النبيين، وأن آدم لمنجدل في طينته، وسأنبئكم بتأويل ذلك: دعوة أبي إبراهيم، وبشرى عيسى قومه، ورؤيا أمي التي رأت أنه خرج منها نور أضاءت له قصور الشام، وكذلك ترى أمهات النبيين صلوات الله عليهم. ورواه الحاكم وصححه، ووافقه الذهبي. Naomba mtafute Bafana akueleze hii hadithi au akudhaifishie pia ni sawa. Kisha ndio upime munayoelezwa na hawa watu yapo ama ni uzushi??? Hayo aibu ni yapi ama urongo ni upi???
@user-fc4vl8zi4r
5 ай бұрын
Nikweli kabisa mdogo wangu
Mzee rudi ukasome
Naam wamezungumza wanyama na anayefahamu jinsi walivyozungumza ni aloandika abyati tunamuamini kwa miaka yote iliyopita na inayokuja sio wewe unayetafsiri na ufahamu wako.
@earthmanhassan656
9 ай бұрын
Sio kwa hasira wala kukejeliana alhabib, naomba hadith swaheeh shekhe langu. Nahofia nisiwe miongoni mwa watu watakomkadhibisha Mtume Wetu Swalla Allaahu Alayhi Wa Sallam ((من كذب علي متعمدا فليتبوأ مقعده من النار)) متفق عليه ((Atakayeniongopea makusudi basi ajitayarishie makazi yake motoni)) [Al-Bukhaariy Na Muslim] Ukiwa umeeneza mambo hayo na hali unajua kuwa si sahihi, basi tambua kuwa ushaingia katika walioelezwa ndani ya Hadiyth hiyo
It's munakasha nawewe tuoneelimu yako
Wewe achaa uongooo. Hujawahii kumuoonaa sheekh Samir Wa Tanga akiwakemeaa mashiaa
Wazushi wa maulidi wamefurunga dini
@akidahamad142
9 ай бұрын
Na babu yako alikua mzushi maana alikua anafanya maulid au
@omarshaban4735
9 ай бұрын
@@akidahamad142 hata mm nilikua mtu wa maulidi lakini niliacha
س: تخصيص الأموات؟ ج: إذا خصَّهم لا بأس، كان النبيُّ ﷺ كثيرًا ما يُضَحِّي بذبح الشاة عن خديجة، يتصدق بها عن خديجة، ويقسمها بين صواحبات خديجة بعد وفاتها رضي الله عنها. Hizo kwenye fatwa za Binbaz
Mwenyewe hapo upo kwenye Bida'a hiyo maiki Mtume hakutumia
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
9 ай бұрын
Mtume alitabiri technology 😂😂. Acha kumzungizia uongo
Sasa ukiongea lazima utie chumvi ili ukubalike
Saidi bafana naona hata kichefu chefu kukuangalia unaongea utumbo tu ndugu yangu
Jazakallah kher alf marra naomba tupate mtu atutengezee translated copies in kiswahili n English ya kile kitabu cha barzanji😊
Kwani lazima nyie msome kams hamtaki basi loo hamna haya kazi kupotosha watu
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
9 ай бұрын
Sasa leta dalili?ikiwa mtume mwenyewe hakufanya
Nyie leo mahabi inaacha kuzungumzia zinaa imekithir mitaani mnazungumzia maulid
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
9 ай бұрын
Hata maulid ni haramu
Duuu. Kwa kupinga hayo maulid vitu vingi vizur vyapatikana katika maulidi maidha mazur yanatolewa qruani tukufu itasomwa na wanaume wanakaa peke yao na wanawake pekee Wakichangamyika ndo vibaya. Shekh twakupenda kwajili ya ALLAH Waislam wote nawapenda kwajili ya ALLAH bila kubagua dhehebu
Dini ni ya Mungu umesema kweli na mwenye kujua nani kapatia na nani kakosea ni huyo mwenye DINI yaani Allah SW lakini kila sheikh ukimsikiliza utaona anajivutia upande wake anaoamini na wanao comment pia wameegemea upande wanaoshabikia kumbe sasa Allah ndie HAKIMU kwa aliepatia na aliekosea basi tumwachie Allah ahukumu sio sisi kuwa majaji ni makosa
@babiddi8620
9 ай бұрын
Watu wana takiwa kuelimishana
Mashallah masheh wanaosema ukweli kama wwe ndio tunawaitaji
Hata huyu nae kashatumwa na mayahudu kuja kuharibu dini subhanallah
Kwakweli naona sheikh wanimalizia banlde langu bila tija, ,
PAKA WA BACHU AMEZUNGUMZA KWA KUSHINDWA KWAKE NA USTADH SAID
Unaongelea uzushi huo mjadala wenyewe huon kama ni uzushi ?
Sheikh na wee njoo kama unataka ufahamishwe. Wazani kuongea kwa nguvu na kufoka ndio kuwa na 'Elimuu
@omarytobaomary7148
9 ай бұрын
Kaa kushoto tupishe kabsa
Sasa uzuri kwako kuwaelimisha na ukitaka kuelimishwa utaelimishwa barzanji kama ulivyokuwa ukiisoma ulipokuwa unaelimishwa.
Ule mlango unaoanza kwa kusema. واول من أمن من الرجال ابو بكر صاحب الغار والصديقية
Why continue to fight a loosing Battle
Jamani mtume hakumsomea mke wake mama khadija quran alipokufa ! Wewe ni hatari sana hufai kuitwa shekhe , wewe shekhena naile dua inao waombea waliokufa ambao dua yenyewe ni quran inasema , Rambanaa ighfirlanaa wal ikhwaaninaa sabakunaa lil iman , hio ni dua nani quran
Munaogopewa kwa sababu wapotoshaji nyinyi mawahabi
Jana nimesikia kisa cha Miraj shekhe flani asema mtume alipofika mbinguni alimuona Allah kama vile mimi na wewe na pia mtume alifika ilipo arsh ya Allah akiwa na viatu na hakuambiwa avue viatu kuonyesha utukufu wake kwa Allah. Watuwa bid
Semaa wp wajee
Gaza watu wanapigwa usiku na mchana badala ya kuzungumaa ya muhimu bado mko kwenye maulidi Mashekhe bure kabisa
Unajivunjia heshima ww sema ukweli
@babiddi8620
9 ай бұрын
Ukweli ndo huo
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
9 ай бұрын
Ukweli mchungu 😂😂😂
Elimu ni bahari pana, inafika mwisho kwako endea kujifunza kwa wengine, tujitahid sana kuelezea pale tunapojua tu kuliko kuingia mambo ambayo huna elimu nayo