PEPO YA MWANAMKE NO: 01 ( RADHI ZA ALLAH ZIPO KATIKA RADHI ZA MUME )
ENDELEA KUFUATILIA CHANNEL YETU HII UJIFUNZE MENGI KATIKA ILMU YA DINI NA SHARIA PAMOJA NA AKHLAAK YAANI TABIA
SOMO HILI LA LEO LINATUELEKEZA NAMNA GANI MWANAMKE AISHI NA MUMEWE ILI APATE RADHI ZA ALLAH NA AINGIZWE PEPONI UKH SHUWEIKHA ANATUFAFANULIA HAYA
USISAHAU KU SUBSCRIBE KU LIKE NA KU COMMENT PAMOJA NA KU SHARE
Пікірлер: 29
Marshall ah Allah akuongeze elim
Dad Mungu anazidishia
Mashallah naomba mawsilino ya ukhty huyu mimi nmafatilia sna shukran
ماشاء الله جزاك الله خيرا
MaashaaAllah dada Allah akuzidishie uzid kutufunza zaid na zaid
Taalau mpya
Maa shaa Allah, tabaaraka Allah. Tumefaidika, Shukran wa jazakillahu khairan
Manshallah safi haya kina mama huyu dada ndio anafundisha hasa ipasavyo vizuri basi jitahidi hii channel muifuatilie achani na wale wanawake wanajiita eti wanasaikolojia na wanajinasibisha na uislam
ما شاء الله تبارك الله Ahsante sana Baarakallah fiikum
MashaaAllah ustadha wetu kpnz Allaah akzdshy elmu Aamiin
Waaleykum Salaam warahmatullahy wabarakatuh sister Nimefurahy sanaa kukuona Kipenzii changu❤
MashaaAllah
Allahu akbar
Maaaasha Allah ukht shuweikha Allaah akubaarik Aaamiina Yaa rabbi
@NusuraShabani
Ай бұрын
😊😊😊😊😊😊
Mashaallah somo zur wanawake watanufaika kwa kujua pepo yao
@fifo262
28 күн бұрын
Na wanaume pia linawahusu ili somo maana hamtekelezi majukumu yenu kisha msubiri wema kutoka kwa mke autoe wapi wema uo? Na iyo pepo mungu atusaidie tu lkn mtihani na nyie waume ndo mtakua 7bu kubwa yakuwakosesha pepo wanawake
Maa shaa Allaah ❤
mashaallah
❤❤❤❤
Asssalamu alykumu sema عن أمِّ Wala siyo أمُّ
@user-dr8qu3gm8b
Ай бұрын
Huyu anasomesha malezi sio nahw
❤❤❤ Masha Allah
Je yafaa mwanamke kutoa mawaidha hivi kwa mitandao?!
Ukhty tafadhali muwe mnaelezea nimume wa aina ipi! Waume wapo lakini" wapo waume aina tofauti tofauti'ukituambia hivyo tuambie na waume wenye tabia hii na hii! Kuna waume mradi jina tu mume! lkn tabia zake hazitofautiani na firauun,sasa nawapa taabu wake kuitafuta pepo kwa mume kama huyu mpaka mke anakufa hatoiona pepo kupitia mume huyu!toeni hadithi na darsa tafadhali
@LeilaWilfred-zc7gn
26 күн бұрын
Ni kweli kabisa wanaume wengine ni mzigo jamn
@aairraahseif5648
25 күн бұрын
@@LeilaWilfred-zc7gn umeona eee!wao wazungumzia mume wa aina ipi? Maana kuna waume wewe waitafuta pepo yako kupitia wao lkn" wao wakuforse kukupeleka mke jahannam! Sasa wafundishwe pia kuwaepuka waume wa aina hio maana hata itafika kufa hutoiona pepo na wao ndo sababu kukupitisha ktk misukosuko hekaheka bila kutegemea kesho yako! Subuhanah Allah itakuwaje? Je wake waanze kuwaepuka mapema kabla ya vifo vyao?
Taalau mpya
MashaaAllah