Namna ya Kutibu Majeraha ya Ukewenza - Ukht Khadija Idd

Part 2 ya sehemu ya Tatu ya Mada ya Ukewenza na Ukht Khadija Idd

Пікірлер: 273

  • @fatmahaji7661
    @fatmahaji76613 ай бұрын

    Mawaidha mazuri mnoooooo mashallah mashallah mashallah.... Allah atupe subra kwenye ndoa zetu za uke wenza

  • @nuruddin5074
    @nuruddin5074 Жыл бұрын

    MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHERI ISHALLAH AKHUT

  • @user-pf9yz1rt6s
    @user-pf9yz1rt6s Жыл бұрын

    Yaan ukhtyy natamann mke wangu asikilize mawaidha yako ili nistarehh na mm .ila dahh .mungu akupe umri mreff uzidi kuwaelimisha ukewenza

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7ytАй бұрын

    Allah akujaalie utupe elimu zaidi inshallah

  • @fatumabungara6307
    @fatumabungara6307 Жыл бұрын

    Aoe wawili kwa pamoja siku moja kwakua Mw.mungu ameanza na wawili,watatu,wanne ukishindwa mmoja hakuanza na mmoja.Tatizo linakija pale munapopata shida na mume baadae mmefanikiwa eti anaoa mwingine inatakiwa tupate shida wote.

  • @khadijamohamedkibabi3625

    @khadijamohamedkibabi3625

    2 ай бұрын

    Ha ha ha ha a a a a hicho Ndo kinachowaumaga wanawake wengi , Ila c Wote walioandikiwa Shida Wengine n Raha

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun744 күн бұрын

    Inauma sana ukewenza maana kuna na ushirikina na maradhi

  • @aisha-rj6uc
    @aisha-rj6uc Жыл бұрын

    Mashaallah''' ukhti yangu nakupenda kwa ajili ya Allah. Mada ni nzuri na imeeleweka almuhim kuifanyia kazi ili ndoa zetu zidumu.

  • @user-hz7gm6ye4y
    @user-hz7gm6ye4y8 ай бұрын

    Asante sana hii video imeniponya maana ndo nilichokuwa napitia kwa sasa..nataman kupata no ya huyu ukty nahitaji sana darasa kutoka kwakee

  • @khadijahidd3678

    @khadijahidd3678

    5 ай бұрын

    Alhamdulillah

  • @Rkim-em3td
    @Rkim-em3td Жыл бұрын

    Mashaa Allah dadaake Allah akuhifadhi duniani na kesho a akhera

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    Aaamin

  • @khadijahidd3678

    @khadijahidd3678

    Жыл бұрын

    Amiin

  • @malak-lz6kx
    @malak-lz6kx Жыл бұрын

    Mashaallah hyu ndio wakumskiliza maana anamaneno mazur yakutuliza moyo.

  • @fettysaidy8621
    @fettysaidy86216 ай бұрын

    MASHAALLAAH MANENO YENYE MAZINGATIO NA YENYE LADHA NDANI NIMEJIFUNZA MAMBO MAPYA NA MAZURI ALLAAH AKULIPE KHERI NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAAH ❤

  • @chonghoswe6255
    @chonghoswe6255 Жыл бұрын

    Mungu akupeni ushind ktk kuwaelimisha wanawke wakislam

  • @zubedatatu7852
    @zubedatatu7852 Жыл бұрын

    Masha Allah Shukran Jazaqallah kher Mungu Akujazie Dadaa

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 Жыл бұрын

    Mashaa Allah tabaraka Allah Allah akuzidishie Kwa kutujuza

  • @halimambarouk4612
    @halimambarouk4612 Жыл бұрын

    Huu kweli ni mtihani ndugu zanguni subhanallah

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Жыл бұрын

    SHUKRAN HABIBTY WANGU ❤❤❤JAZAKHALAUKHER🙏mume wangu kaoa niko miaka 13 ya ndoa nae.lkn baada ya kusikia hii UMEJUA KUNIJENGA MASHALAAH mengi nmejfunza ukhty khadja. ALLAH AKUHIFADHI🙏

  • @khadijahidd3678

    @khadijahidd3678

    5 ай бұрын

    Amiin, Atupe lenye sote

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын

    Mashallah tabaraka llah Ukhty wajina Wang Allah akuwekeye wepesi paliopo uzito na akupe mwisho mwema Ukhty ❤️❤️❤️

  • @amirnkokoo3083

    @amirnkokoo3083

    Жыл бұрын

    🛑🛑maashaalah wakumbushe ukhtiy ili nasi tupate nafasi ya kupeperusha bendera ya kuoa Nathan WA thulaathaa WA rubaagha

  • @husnaally7964
    @husnaally7964 Жыл бұрын

    Nakuombea kwa Allah mtukuf akumiminie khairaat za dunia na akhera.na ma ukhty wenzako ukhty Fatma mdidi nawe unajitahid

  • @farhiaisabella3166
    @farhiaisabella3166 Жыл бұрын

    Mashallah barakala Mwenyezi Mungu akutunze Bi Hadija

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    Akutunze nawe pia

  • @buhitexmohamed4785

    @buhitexmohamed4785

    Жыл бұрын

    @@kalamuMedia waleikum slm ya ustadha shukran kwa mawaidha . Na wenye kusukumwa na kuoa na mavia ?

  • @aminauwimana9976
    @aminauwimana9976 Жыл бұрын

    Subhana'allah loe nimesikiya points kilasiku tunataka mawaidha kamahayo masha'allah

  • @halimaissa4
    @halimaissa4 Жыл бұрын

    Masha Allah ukhty hadija hakika nimepona yamenikuta Ila nilisubir piaah Ila umeniongezea Tina Allah akuongoze katka kuwapa wengne tiba kwa ajili ya allah

  • @sabihasaid9164
    @sabihasaid9164 Жыл бұрын

    Mashaaallah

  • @user-zk5kw8pb7r
    @user-zk5kw8pb7r3 ай бұрын

    Asante sana Dada mawaiza Yako yamenijenga kiakili hendelea kutupa mawaiza tuimalike

  • @muhsinsalum8009
    @muhsinsalum8009 Жыл бұрын

    Mi dada nikuambie kitu. Hao wanaosema kua hawawezi tena ukewenza, ajabu nikua: Wao wakiachwa huenda kuingia katika kuolewa na mwanaume mwenye mke. Nyinyi shida yenu hua hamtaki kuongezewa, lakini hua mnataka muongezwe. Nyinyi kua wake wa 2-3-4 hua hamuoni shida, shida yenu nikuongezewa tu. Mbaya zaidi, saivi wake zetu wanaona nibora mumewe AKAZINI wanavumilia, lakini hawezi kuvumilia mumewe akioa. TUNAMUOMBA ALLAH ATUONGOZE TU LKN NICHANGAMOTO.

  • @aishajuma18

    @aishajuma18

    3 ай бұрын

    Tatizo lenu sio waadirifu

  • @fifo262

    @fifo262

    12 күн бұрын

    Kabla yakuongeza mke jitasmini huyo 1 ulonae unafika walau nusu ya mahitaji yake? Alafu sasa fanya maamuzi

  • @zuenamsonga5274
    @zuenamsonga5274 Жыл бұрын

    Mashallah Mwenyezi Mungu akulipe

  • @user-js2kq9xo6q
    @user-js2kq9xo6q10 ай бұрын

    Shukran ukhty Allah akulipe umeniongezea Tiba niseme umeniponya

  • @khadijakhamis2082
    @khadijakhamis2082 Жыл бұрын

    Mashaallah! Shukran kwa darsa

  • @twahamachozi8018

    @twahamachozi8018

    Жыл бұрын

    Naomba taratibu za kumpata dada huyu tumpe mwaliko aje singida kwa ajili ya dawa

  • @abushawalihamisi2649
    @abushawalihamisi2649 Жыл бұрын

    Allah akuzidishie elimu umefikisha ujumbe mzuri sana ambae hatoelewa atubu kwa mwenyezimungu

  • @aishasaid7067
    @aishasaid7067 Жыл бұрын

    umenichekeeeesha sana ,worth sharing

  • @hidayarubibi4224
    @hidayarubibi4224 Жыл бұрын

    Ma shaa Allah!!!! Somo limeeleweka. Shukraaan mwl Khadija!!!!

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 Жыл бұрын

    Shukran jaziilan

  • @nadhifahassan168
    @nadhifahassan168 Жыл бұрын

    Allah akulipe kheri Maashallah

  • @JuniJuni-ki9vk
    @JuniJuni-ki9vkАй бұрын

    Mashallah mashallah

  • @husnaally7964
    @husnaally7964 Жыл бұрын

    Ukhty Khadija Maashaa Allah maashaa Allah dada etu umejitahid Sana Sana sisi ndugu zenu mnatufariji Sana zidini kutupa njian za kujikombo ktk mitihan tuna Iman kubwa Sana na yaqin kua haya mbo ni Qadar yake Allah s.w na ni kipimo Cha Iman zetu. uhibbuk fii llah dada Khadija.

  • @khadijahidd3678

    @khadijahidd3678

    Жыл бұрын

    Akupende zaidi Mola wetu mlezi, habibty

  • @kitengenyembo4223

    @kitengenyembo4223

    Жыл бұрын

    Maa shaa Allah waache kuumia hayo Ni maamrisho ya Allah,Mimi mke wangu aliniambia nimuoe Rafiki yake awe mke wa pili,nili fanya hivyo ,na bado Ni marafiki

  • @majutoyussuf6191

    @majutoyussuf6191

    Жыл бұрын

    @@kitengenyembo4223 Ma shàa Allah Allah awape upendo wa dhati

  • @zulfashabani4890

    @zulfashabani4890

    Жыл бұрын

    Allah akubariki ww na familia yako

  • @husnaally7964

    @husnaally7964

    Жыл бұрын

    @@kitengenyembo4223 Maa shaa Allah.Allah awazidishie mapenz nawe uzid kuwaombea Dua wake zako

  • @fatushayaan8316
    @fatushayaan8316 Жыл бұрын

    salalahu calayhi wasalam ♥️

  • @kholaabdulrahman1750
    @kholaabdulrahman1750 Жыл бұрын

    MashaAllah Mungu akujaalie afya na uzima nimepitia mengi zaidi yako lkn niombee uvumilivu zaidi ya hapo. Ni miaka 13 saa hii niko ndoani. Allah atuezeshe. Ameen.

  • @johasaidy1471

    @johasaidy1471

    Жыл бұрын

    Mashallah Mashallah barakallah ❤❤

  • @khadijahidd3678

    @khadijahidd3678

    Жыл бұрын

    Alhamdulillah Allah akulipe kheri dear na akuongoze katika wema

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 Жыл бұрын

    Maa shaa Allah jazakallah kheir

  • @azizadjumadazuu2731
    @azizadjumadazuu2731 Жыл бұрын

    Maa shaa Allah bi Khadija umenijenga kwakwel Allah akulipe kheir

  • @khadijahidd3678

    @khadijahidd3678

    5 ай бұрын

    Alhamdulillah

  • @a.856
    @a.856 Жыл бұрын

    Jazakallah khayran

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Жыл бұрын

    Masha Allha wajina Allha akuzidishie kila lakheli tunazidi kujifunza mengi

  • @rehemamustapha364
    @rehemamustapha364 Жыл бұрын

    MashaAllah asante kwa darasa nzuri

  • @yusufumindu-mc6uh
    @yusufumindu-mc6uh Жыл бұрын

    Jazakallah khyra!!!!

  • @damandokondoko1787
    @damandokondoko1787 Жыл бұрын

    Mashallah mashallah mashallah mwenyezi Mungu akubariki uendelee hivyo hivyo kutupa darasa nzuri

  • @RonicahWilson

    @RonicahWilson

    Ай бұрын

    Mungu akulinde pamoja nafamilia yako uzidi kutupoza vidonda

  • @jumabakari4277
    @jumabakari4277 Жыл бұрын

    Mashallah, Allah akullipe kheri inshallah

  • @zainabolenga2829
    @zainabolenga2829 Жыл бұрын

    A w w ahsante sana dada mwenyrzi mungu akulipe mashaallah

  • @neemafatu471
    @neemafatu471 Жыл бұрын

    NAKWELI KABISA, ALLAH NDIO AWE KIPENZI CHAKO ZAIDI, KISHA MTUME, KISHA MENGINE.

  • @user-yr5lh3mp8v
    @user-yr5lh3mp8v11 ай бұрын

    Allah akuhifadhi ukhtih uke wenza unauma ila umenifariji

  • @amirnkokoo3083
    @amirnkokoo3083 Жыл бұрын

    Wafikishie MAANA wanamaradhi Sana ya USUMBUFU

  • @khadijahidd3678

    @khadijahidd3678

    5 ай бұрын

    Ujumbe ni wa wote. Tujielimishe

  • @fatushayaan8316
    @fatushayaan8316 Жыл бұрын

    masha allah

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Жыл бұрын

    Mungu akutongoze siku zote umenisaidia Sana🙏🙏

  • @VivianYombayomba
    @VivianYombayombaАй бұрын

    Mungu anipe moyo kama wako sijui nitaweza mume wangu anawake wanne naisi kufa

  • @user-cq5nw6vi7t
    @user-cq5nw6vi7t3 ай бұрын

    Assalam alykm Dada iyo Mada ninzuri Sana ila Kanahawa wake wadogo ndo wanao sababisha matatizo

  • @aminaabebe205
    @aminaabebe205 Жыл бұрын

    Shukren..

  • @remaz-tf6zh
    @remaz-tf6zh Жыл бұрын

    Shukrani ukhty

  • @zainabuseiphu-pq4kp
    @zainabuseiphu-pq4kp Жыл бұрын

    Mashaallah umenijibu maswali niliyo kuwa najiuliza mume akiingia akitoka neno hata ongeza mkee

  • @al-hidayahonlinetv3447
    @al-hidayahonlinetv3447 Жыл бұрын

    MASHAALLAH

  • @mejumaamwachirero7324
    @mejumaamwachirero7324 Жыл бұрын

    Shukran San Anty

  • @zainabubwa9569
    @zainabubwa9569 Жыл бұрын

    Mshlah jazzakaAllah khairah

  • @umurengeramwanaidi6915
    @umurengeramwanaidi6915 Жыл бұрын

    Mansha allah allah awazidishiye

  • @sabiha8869
    @sabiha8869 Жыл бұрын

    Manshalla maneno mazuri sana

  • @amonaamona3816
    @amonaamona3816 Жыл бұрын

    Alhamdhulillah nikweli tutajitahidi mungu atuwezeshe insha'Allah

  • @zainabdambu7091
    @zainabdambu7091 Жыл бұрын

    Allah akupe pepo ya daraja ya juu ukhty

  • @khadijahidd3678

    @khadijahidd3678

    5 ай бұрын

    Amiin

  • @sygtamks1643
    @sygtamks1643 Жыл бұрын

    Masha Allah

  • @MuhammadHamisi
    @MuhammadHamisi2 ай бұрын

    dada uko vizuriiiiiiiiiiii sana

  • @amirnkokoo3083
    @amirnkokoo3083 Жыл бұрын

    ALAH akubaariki Sana ktka DAAWA yako ya uke wenza

  • @khadijahidd3678

    @khadijahidd3678

    5 ай бұрын

    Amiin, Atubariki sote

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Жыл бұрын

    MashaAllah ❤❤❤ shukraan habibty

  • @amirnkokoo3083
    @amirnkokoo3083 Жыл бұрын

    Uko vizuri ukhtii

  • @majutoyussuf6191
    @majutoyussuf6191 Жыл бұрын

    Ma shaa Allah Allah akujaze kher

  • @majutoyussuf6191

    @majutoyussuf6191

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @ridhiwan8030
    @ridhiwan8030 Жыл бұрын

    Mashallah allah bariki

  • @user-uf5ye4lj9b
    @user-uf5ye4lj9b3 ай бұрын

    We ndo mimi mashaallah hata sim sishiki

  • @haliyamwijaa6493
    @haliyamwijaa649310 ай бұрын

    Mashaallah, ukthi umeitendea haki mada

  • @husnaibrahim2107
    @husnaibrahim2107 Жыл бұрын

    Mashaallah shukran kwa darsa nzuri

  • @ridhiwan8030
    @ridhiwan8030 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @tatusalimmwazizi1160
    @tatusalimmwazizi11608 ай бұрын

    Ma Shaa allah naomba namba ya ustadhat in Shaa allah

  • @hemedabdallah7534
    @hemedabdallah75343 ай бұрын

    Mashaanlah

  • @user-gd6kt9hu3t
    @user-gd6kt9hu3t18 күн бұрын

    Asalam alaykum mm muume wng akiowa naenda mpaka harusini wala sina kinyongo chochote kile na tunapenda sana

  • @user-ri9su4ty3o
    @user-ri9su4ty3o6 ай бұрын

    Allah wQbar

  • @mimamambo9537
    @mimamambo953711 ай бұрын

    Mashaallah

  • @uwimanahamu4583
    @uwimanahamu4583 Жыл бұрын

    mashaAllah

  • @TumaYussuf
    @TumaYussuf2 ай бұрын

    Ni mazingatio makubwa .... Kiukweli Ndoa ni changamoto kiufupi ni kusema alhamdulillah na kuendelea na maisha

  • @majutoyussuf6191
    @majutoyussuf6191 Жыл бұрын

    Asalam alaykum aky hivyo unavyoongea ndio msimamo nliouchukua alhamdulillah nko na aman wala sibabaiki

  • @husnaummuhysam375

    @husnaummuhysam375

    Жыл бұрын

    Naomba namba yako

  • @abuumohammed4364

    @abuumohammed4364

    Жыл бұрын

    Mashaallah Namuomba Allah akulipe gheri atusamehe pale tulipoghafilika

  • @fathimamohamed684
    @fathimamohamed684 Жыл бұрын

    mwashallah❤

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Жыл бұрын

    Uko sahihi bi Khadija tuteye nasie tuone kama tutapata ndoa hâta ya uke wenza

  • @user-xh2ie9rv6l
    @user-xh2ie9rv6l7 ай бұрын

    Maallah allah akulipe umenifundisha kitu nikijapata mkemwenza nitajua nn nifanye maana hawa wanaume sasa hawaowei sunnah wanaoaoa tu na hawana uadilifu

  • @jumanasoro8903
    @jumanasoro8903 Жыл бұрын

    Khadija

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    Maneno mazuri kabisa.

  • @sulekhaosman8357
    @sulekhaosman8357 Жыл бұрын

    Ukewenza sio shida shida Ni mwanaume

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 Жыл бұрын

    waalykum msaalam waramatulsh wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah ❤❤❤

  • @ahmedmwakabulufu315
    @ahmedmwakabulufu315 Жыл бұрын

    Umeongea pointi pote ila umearibu kunako swala la vikoba na mikopo na kufanya kazi huko kutamshugulisha zaidi akaisahau familia yake na ibada zake na kumfanya awe jeuri katika ndoa . ( ikikupendeza ifanyie taraja kauli hiyo vikoba na kukopa maana vikoba ni miongoni mwa riba na kumshauri mke wa mtu awe bize na kazi siyo ) baraka llah fiykum

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    Vikoba na kukopa ni miongoni mwa riba??ni busara kukaa kimya kama huna maarifa juu ya jambo.Si kila kikoba au mkopo una riba .Ukht ameiweka vyema.Amesema vikoba na mikopo ya halali

  • @ahmedmwakabulufu315

    @ahmedmwakabulufu315

    Жыл бұрын

    @@kalamuMedia sawa aina shida akisha kopa eende wapi na hizo pesa? Hayo si mafundisho ya mtume Muhammad swalallah allay wasallam wala haipo katika aya wa hadithi kwamba mwanamke akafanye biashara . Ila imekuja kwamba makazi bora na salama kwa mwanamke nikukaa nyumbani kwake. Ila kama una unauelewa zaidi yangu alihamdulillah si vibaya nika stafidi kwako kwa aya na hadithi sahihi..lakini hizo nifikra za ki ekwani musilimun

  • @aishamohamed9981

    @aishamohamed9981

    Жыл бұрын

    Brother ahmed... Asalamu Alaikum warahmatullah wabarakaatuh.... Kufanya kazi ni kujipanga... Wake za Mtume walijishughulisha na kazi za nje pia... Kazi yenyewe ni ibada.. Bora iwe halali.. Bibi khadija alikua mtwiifu.. Wala hajamdharau RASUUL S.A.W. Dharau ni tabia ya mtu binafsi.. Sikipato.. Si vikoba vyote vyenye riba..vyengine twahara

  • @chonghoswe6255

    @chonghoswe6255

    Жыл бұрын

    Yes binadam atatubu apo

  • @chonghoswe6255

    @chonghoswe6255

    Жыл бұрын

    @@aishamohamed9981 bibi Aisha alifanya biasha ila hakua biz na nyumba yk km uko kwenda soma unafanya iinda na inadi kwa kua mume ametkeleza agizo la Allah?

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Жыл бұрын

    Ni kweli kabisa, lakini kuna ubaguzi hapo kwa siku zijazo.

  • @aisharajimbo6784

    @aisharajimbo6784

    Жыл бұрын

    Kama kipi

  • @fatmaalnabhani3609

    @fatmaalnabhani3609

    Жыл бұрын

    @@aisharajimbo6784 vizazi vijavyo kuhusu watoto yaَ nini kuoa oa kuletesha fitna?

  • @chonghoswe6255

    @chonghoswe6255

    Жыл бұрын

    @@fatmaalnabhani3609maisha yote ya dunian fitina ww kuepo kwako hp dunian bas fitina kwako na kw wat wengne

  • @chonghoswe6255

    @chonghoswe6255

    Жыл бұрын

    @@fatmaalnabhani3609 Yani hizi fitina Ni mikakati ya Allah hapa dunian lengo kuchuuja msafi na mchafu

  • @chonghoswe6255

    @chonghoswe6255

    Жыл бұрын

    @@fatmaalnabhani3609 dada angu tulete istghfar na tusijihisi tuko peke etu na ndo tunastahiki zaid Yale alotufitinia mwenye enz mungu

  • @salmamshakangoto6285
    @salmamshakangoto6285 Жыл бұрын

    Innallahmaaswabrin

  • @rashidyussuf3429
    @rashidyussuf3429 Жыл бұрын

    Majeraha ya uke mwenza kumtokea ajali,bado hata kichwa cha habar hakijakaa sawa yaani mimi huwa nafikiria kumpima mwanamke imani yake ya utu na ni katika suala la kuoa mke wa pili

  • @user-mz8qv1yr1z
    @user-mz8qv1yr1z6 ай бұрын

    It's nihatari sana

  • @ecopoleesube5788
    @ecopoleesube5788 Жыл бұрын

    Allah akuzidishie kila lakheri

  • @kalamuMedia

    @kalamuMedia

    Жыл бұрын

    Aaamin

  • @allymakame472

    @allymakame472

    Жыл бұрын

    Mashallah, Allah awawezeshe wote mlio fanya darasa hii, Allah awalipe, na iwenuru kwa wengine.

  • @madrasatummisalamahibtidai7959

    @madrasatummisalamahibtidai7959

    Жыл бұрын

    Mashaallah Mashaallah mawaidha mazuri lakini tuweke madrasah tusomeshe kina mama wana mambo mengi ya dini hawayajui haitoshi ukewenza tu

  • @boholesomo3163

    @boholesomo3163

    Жыл бұрын

    Allah akulipe nimepata somo kumbwa

  • @chonghoswe6255

    @chonghoswe6255

    Жыл бұрын

    @@madrasatummisalamahibtidai7959 Safi huu ndio mkakat

  • @MkiwaJeneto-tp2md
    @MkiwaJeneto-tp2md Жыл бұрын

    Mashallah ukht upo vizuri na.omba namba zako za simu

  • @humairamajengo6616
    @humairamajengo6616 Жыл бұрын

    Mashallah ukhuty wangu uko vzur lakin mbana unarua Allah alivosma lau ningeamrisha watu wasujudiane ningemmrisha kwanamke amsujudie mume wake mbona hajasema mzazi wala mtoto

  • @shammyshemkunde9577

    @shammyshemkunde9577

    4 ай бұрын

    Kuna utii na mapenzi, somo ni mapenzi sio utii

  • @mbanga6759
    @mbanga6759 Жыл бұрын

    Mume wangu ndo hasubutu kuongelea kitu ukimuambia tuongee ha utajuta kuzaliwa

  • @khadijaomar3480

    @khadijaomar3480

    6 ай бұрын

    Yaaani kuongelea kuhusu uke wenza ama katika jambo lolote ndugu yangu

  • @user-vu8ks8co3e
    @user-vu8ks8co3e10 ай бұрын

    Yote kheri Allah atupe wepes⚖️ 22:19

  • @aminauwimana9976
    @aminauwimana9976 Жыл бұрын

    Natamani nipate nambayako ninamaswalimenge my ukhty

  • @shamilahussein5294

    @shamilahussein5294

    Жыл бұрын

    Mimi pia natumaini no yake

  • @aliathuman8736
    @aliathuman8736 Жыл бұрын

    MAASHALLAH.JAZAAKILLAHU KHEIR.NATAMANI MKEWANGU AWE AMEKUSKIA

  • @chonghoswe6255

    @chonghoswe6255

    Жыл бұрын

    Mpelek darsa

  • @zainabomar5144

    @zainabomar5144

    Жыл бұрын

    Hahahahahah

Келесі