Namna ya Kutibu Majeraha ya Ukewenza - Ukht Khadija Idd
Part 2 ya sehemu ya Tatu ya Mada ya Ukewenza na Ukht Khadija Idd
Жүктеу.....
Пікірлер: 273
@fatmahaji76613 ай бұрын
Mawaidha mazuri mnoooooo mashallah mashallah mashallah.... Allah atupe subra kwenye ndoa zetu za uke wenza
@nuruddin5074 Жыл бұрын
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHERI ISHALLAH AKHUT
@user-pf9yz1rt6s Жыл бұрын
Yaan ukhtyy natamann mke wangu asikilize mawaidha yako ili nistarehh na mm .ila dahh .mungu akupe umri mreff uzidi kuwaelimisha ukewenza
@FatnaAlly-go7ytАй бұрын
Allah akujaalie utupe elimu zaidi inshallah
@fatumabungara6307 Жыл бұрын
Aoe wawili kwa pamoja siku moja kwakua Mw.mungu ameanza na wawili,watatu,wanne ukishindwa mmoja hakuanza na mmoja.Tatizo linakija pale munapopata shida na mume baadae mmefanikiwa eti anaoa mwingine inatakiwa tupate shida wote.
@khadijamohamedkibabi3625
2 ай бұрын
Ha ha ha ha a a a a hicho Ndo kinachowaumaga wanawake wengi , Ila c Wote walioandikiwa Shida Wengine n Raha
@fatmahamdoun744 күн бұрын
Inauma sana ukewenza maana kuna na ushirikina na maradhi
@aisha-rj6uc Жыл бұрын
Mashaallah''' ukhti yangu nakupenda kwa ajili ya Allah. Mada ni nzuri na imeeleweka almuhim kuifanyia kazi ili ndoa zetu zidumu.
@user-hz7gm6ye4y8 ай бұрын
Asante sana hii video imeniponya maana ndo nilichokuwa napitia kwa sasa..nataman kupata no ya huyu ukty nahitaji sana darasa kutoka kwakee
@khadijahidd3678
5 ай бұрын
Alhamdulillah
@Rkim-em3td Жыл бұрын
Mashaa Allah dadaake Allah akuhifadhi duniani na kesho a akhera
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Aaamin
@khadijahidd3678
Жыл бұрын
Amiin
@malak-lz6kx Жыл бұрын
Mashaallah hyu ndio wakumskiliza maana anamaneno mazur yakutuliza moyo.
@fettysaidy86216 ай бұрын
MASHAALLAAH MANENO YENYE MAZINGATIO NA YENYE LADHA NDANI NIMEJIFUNZA MAMBO MAPYA NA MAZURI ALLAAH AKULIPE KHERI NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAAH ❤
@chonghoswe6255 Жыл бұрын
Mungu akupeni ushind ktk kuwaelimisha wanawke wakislam
@zubedatatu7852 Жыл бұрын
Masha Allah Shukran Jazaqallah kher Mungu Akujazie Dadaa
@aishaomar9621 Жыл бұрын
Mashaa Allah tabaraka Allah Allah akuzidishie Kwa kutujuza
@halimambarouk4612 Жыл бұрын
Huu kweli ni mtihani ndugu zanguni subhanallah
@azzamahamdu7039 Жыл бұрын
SHUKRAN HABIBTY WANGU ❤❤❤JAZAKHALAUKHER🙏mume wangu kaoa niko miaka 13 ya ndoa nae.lkn baada ya kusikia hii UMEJUA KUNIJENGA MASHALAAH mengi nmejfunza ukhty khadja. ALLAH AKUHIFADHI🙏
@khadijahidd3678
5 ай бұрын
Amiin, Atupe lenye sote
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Mashallah tabaraka llah Ukhty wajina Wang Allah akuwekeye wepesi paliopo uzito na akupe mwisho mwema Ukhty ❤️❤️❤️
@amirnkokoo3083
Жыл бұрын
🛑🛑maashaalah wakumbushe ukhtiy ili nasi tupate nafasi ya kupeperusha bendera ya kuoa Nathan WA thulaathaa WA rubaagha
@husnaally7964 Жыл бұрын
Nakuombea kwa Allah mtukuf akumiminie khairaat za dunia na akhera.na ma ukhty wenzako ukhty Fatma mdidi nawe unajitahid
@farhiaisabella3166 Жыл бұрын
Mashallah barakala Mwenyezi Mungu akutunze Bi Hadija
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Akutunze nawe pia
@buhitexmohamed4785
Жыл бұрын
@@kalamuMedia waleikum slm ya ustadha shukran kwa mawaidha . Na wenye kusukumwa na kuoa na mavia ?
Masha Allah ukhty hadija hakika nimepona yamenikuta Ila nilisubir piaah Ila umeniongezea Tina Allah akuongoze katka kuwapa wengne tiba kwa ajili ya allah
Mi dada nikuambie kitu. Hao wanaosema kua hawawezi tena ukewenza, ajabu nikua: Wao wakiachwa huenda kuingia katika kuolewa na mwanaume mwenye mke. Nyinyi shida yenu hua hamtaki kuongezewa, lakini hua mnataka muongezwe. Nyinyi kua wake wa 2-3-4 hua hamuoni shida, shida yenu nikuongezewa tu. Mbaya zaidi, saivi wake zetu wanaona nibora mumewe AKAZINI wanavumilia, lakini hawezi kuvumilia mumewe akioa. TUNAMUOMBA ALLAH ATUONGOZE TU LKN NICHANGAMOTO.
@aishajuma18
3 ай бұрын
Tatizo lenu sio waadirifu
@fifo262
12 күн бұрын
Kabla yakuongeza mke jitasmini huyo 1 ulonae unafika walau nusu ya mahitaji yake? Alafu sasa fanya maamuzi
@zuenamsonga5274 Жыл бұрын
Mashallah Mwenyezi Mungu akulipe
@user-js2kq9xo6q10 ай бұрын
Shukran ukhty Allah akulipe umeniongezea Tiba niseme umeniponya
@khadijakhamis2082 Жыл бұрын
Mashaallah! Shukran kwa darsa
@twahamachozi8018
Жыл бұрын
Naomba taratibu za kumpata dada huyu tumpe mwaliko aje singida kwa ajili ya dawa
@abushawalihamisi2649 Жыл бұрын
Allah akuzidishie elimu umefikisha ujumbe mzuri sana ambae hatoelewa atubu kwa mwenyezimungu
@aishasaid7067 Жыл бұрын
umenichekeeeesha sana ,worth sharing
@hidayarubibi4224 Жыл бұрын
Ma shaa Allah!!!! Somo limeeleweka. Shukraaan mwl Khadija!!!!
@SociedadeSust1234 Жыл бұрын
Shukran jaziilan
@nadhifahassan168 Жыл бұрын
Allah akulipe kheri Maashallah
@JuniJuni-ki9vkАй бұрын
Mashallah mashallah
@husnaally7964 Жыл бұрын
Ukhty Khadija Maashaa Allah maashaa Allah dada etu umejitahid Sana Sana sisi ndugu zenu mnatufariji Sana zidini kutupa njian za kujikombo ktk mitihan tuna Iman kubwa Sana na yaqin kua haya mbo ni Qadar yake Allah s.w na ni kipimo Cha Iman zetu. uhibbuk fii llah dada Khadija.
@khadijahidd3678
Жыл бұрын
Akupende zaidi Mola wetu mlezi, habibty
@kitengenyembo4223
Жыл бұрын
Maa shaa Allah waache kuumia hayo Ni maamrisho ya Allah,Mimi mke wangu aliniambia nimuoe Rafiki yake awe mke wa pili,nili fanya hivyo ,na bado Ni marafiki
@majutoyussuf6191
Жыл бұрын
@@kitengenyembo4223 Ma shàa Allah Allah awape upendo wa dhati
@zulfashabani4890
Жыл бұрын
Allah akubariki ww na familia yako
@husnaally7964
Жыл бұрын
@@kitengenyembo4223 Maa shaa Allah.Allah awazidishie mapenz nawe uzid kuwaombea Dua wake zako
@fatushayaan8316 Жыл бұрын
salalahu calayhi wasalam ♥️
@kholaabdulrahman1750 Жыл бұрын
MashaAllah Mungu akujaalie afya na uzima nimepitia mengi zaidi yako lkn niombee uvumilivu zaidi ya hapo. Ni miaka 13 saa hii niko ndoani. Allah atuezeshe. Ameen.
@johasaidy1471
Жыл бұрын
Mashallah Mashallah barakallah ❤❤
@khadijahidd3678
Жыл бұрын
Alhamdulillah Allah akulipe kheri dear na akuongoze katika wema
@azzaalmaamry5817 Жыл бұрын
Maa shaa Allah jazakallah kheir
@azizadjumadazuu2731 Жыл бұрын
Maa shaa Allah bi Khadija umenijenga kwakwel Allah akulipe kheir
@khadijahidd3678
5 ай бұрын
Alhamdulillah
@a.856 Жыл бұрын
Jazakallah khayran
@fatmahemed2189 Жыл бұрын
Masha Allha wajina Allha akuzidishie kila lakheli tunazidi kujifunza mengi
@rehemamustapha364 Жыл бұрын
MashaAllah asante kwa darasa nzuri
@yusufumindu-mc6uh Жыл бұрын
Jazakallah khyra!!!!
@damandokondoko1787 Жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah mwenyezi Mungu akubariki uendelee hivyo hivyo kutupa darasa nzuri
@RonicahWilson
Ай бұрын
Mungu akulinde pamoja nafamilia yako uzidi kutupoza vidonda
@jumabakari4277 Жыл бұрын
Mashallah, Allah akullipe kheri inshallah
@zainabolenga2829 Жыл бұрын
A w w ahsante sana dada mwenyrzi mungu akulipe mashaallah
@neemafatu471 Жыл бұрын
NAKWELI KABISA, ALLAH NDIO AWE KIPENZI CHAKO ZAIDI, KISHA MTUME, KISHA MENGINE.
@user-yr5lh3mp8v11 ай бұрын
Allah akuhifadhi ukhtih uke wenza unauma ila umenifariji
@amirnkokoo3083 Жыл бұрын
Wafikishie MAANA wanamaradhi Sana ya USUMBUFU
@khadijahidd3678
5 ай бұрын
Ujumbe ni wa wote. Tujielimishe
@fatushayaan8316 Жыл бұрын
masha allah
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Mungu akutongoze siku zote umenisaidia Sana🙏🙏
@VivianYombayombaАй бұрын
Mungu anipe moyo kama wako sijui nitaweza mume wangu anawake wanne naisi kufa
@user-cq5nw6vi7t3 ай бұрын
Assalam alykm Dada iyo Mada ninzuri Sana ila Kanahawa wake wadogo ndo wanao sababisha matatizo
@aminaabebe205 Жыл бұрын
Shukren..
@remaz-tf6zh Жыл бұрын
Shukrani ukhty
@zainabuseiphu-pq4kp Жыл бұрын
Mashaallah umenijibu maswali niliyo kuwa najiuliza mume akiingia akitoka neno hata ongeza mkee
@al-hidayahonlinetv3447 Жыл бұрын
MASHAALLAH
@mejumaamwachirero7324 Жыл бұрын
Shukran San Anty
@zainabubwa9569 Жыл бұрын
Mshlah jazzakaAllah khairah
@umurengeramwanaidi6915 Жыл бұрын
Mansha allah allah awazidishiye
@sabiha8869 Жыл бұрын
Manshalla maneno mazuri sana
@amonaamona3816 Жыл бұрын
Alhamdhulillah nikweli tutajitahidi mungu atuwezeshe insha'Allah
@zainabdambu7091 Жыл бұрын
Allah akupe pepo ya daraja ya juu ukhty
@khadijahidd3678
5 ай бұрын
Amiin
@sygtamks1643 Жыл бұрын
Masha Allah
@MuhammadHamisi2 ай бұрын
dada uko vizuriiiiiiiiiiii sana
@amirnkokoo3083 Жыл бұрын
ALAH akubaariki Sana ktka DAAWA yako ya uke wenza
@khadijahidd3678
5 ай бұрын
Amiin, Atubariki sote
@halimamfaume1925 Жыл бұрын
MashaAllah ❤❤❤ shukraan habibty
@amirnkokoo3083 Жыл бұрын
Uko vizuri ukhtii
@majutoyussuf6191 Жыл бұрын
Ma shaa Allah Allah akujaze kher
@majutoyussuf6191
Жыл бұрын
Ameen
@ridhiwan8030 Жыл бұрын
Mashallah allah bariki
@user-uf5ye4lj9b3 ай бұрын
We ndo mimi mashaallah hata sim sishiki
@haliyamwijaa649310 ай бұрын
Mashaallah, ukthi umeitendea haki mada
@husnaibrahim2107 Жыл бұрын
Mashaallah shukran kwa darsa nzuri
@ridhiwan8030 Жыл бұрын
Mashallah
@tatusalimmwazizi11608 ай бұрын
Ma Shaa allah naomba namba ya ustadhat in Shaa allah
@hemedabdallah75343 ай бұрын
Mashaanlah
@user-gd6kt9hu3t18 күн бұрын
Asalam alaykum mm muume wng akiowa naenda mpaka harusini wala sina kinyongo chochote kile na tunapenda sana
@user-ri9su4ty3o6 ай бұрын
Allah wQbar
@mimamambo953711 ай бұрын
Mashaallah
@uwimanahamu4583 Жыл бұрын
mashaAllah
@TumaYussuf2 ай бұрын
Ni mazingatio makubwa .... Kiukweli Ndoa ni changamoto kiufupi ni kusema alhamdulillah na kuendelea na maisha
@majutoyussuf6191 Жыл бұрын
Asalam alaykum aky hivyo unavyoongea ndio msimamo nliouchukua alhamdulillah nko na aman wala sibabaiki
@husnaummuhysam375
Жыл бұрын
Naomba namba yako
@abuumohammed4364
Жыл бұрын
Mashaallah Namuomba Allah akulipe gheri atusamehe pale tulipoghafilika
@fathimamohamed684 Жыл бұрын
mwashallah❤
@fatimahirakoze7311 Жыл бұрын
Uko sahihi bi Khadija tuteye nasie tuone kama tutapata ndoa hâta ya uke wenza
@user-xh2ie9rv6l7 ай бұрын
Maallah allah akulipe umenifundisha kitu nikijapata mkemwenza nitajua nn nifanye maana hawa wanaume sasa hawaowei sunnah wanaoaoa tu na hawana uadilifu
@jumanasoro8903 Жыл бұрын
Khadija
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Maneno mazuri kabisa.
@sulekhaosman8357 Жыл бұрын
Ukewenza sio shida shida Ni mwanaume
@khadijaangore4408 Жыл бұрын
waalykum msaalam waramatulsh wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah ❤❤❤
@ahmedmwakabulufu315 Жыл бұрын
Umeongea pointi pote ila umearibu kunako swala la vikoba na mikopo na kufanya kazi huko kutamshugulisha zaidi akaisahau familia yake na ibada zake na kumfanya awe jeuri katika ndoa . ( ikikupendeza ifanyie taraja kauli hiyo vikoba na kukopa maana vikoba ni miongoni mwa riba na kumshauri mke wa mtu awe bize na kazi siyo ) baraka llah fiykum
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Vikoba na kukopa ni miongoni mwa riba??ni busara kukaa kimya kama huna maarifa juu ya jambo.Si kila kikoba au mkopo una riba .Ukht ameiweka vyema.Amesema vikoba na mikopo ya halali
@ahmedmwakabulufu315
Жыл бұрын
@@kalamuMedia sawa aina shida akisha kopa eende wapi na hizo pesa? Hayo si mafundisho ya mtume Muhammad swalallah allay wasallam wala haipo katika aya wa hadithi kwamba mwanamke akafanye biashara . Ila imekuja kwamba makazi bora na salama kwa mwanamke nikukaa nyumbani kwake. Ila kama una unauelewa zaidi yangu alihamdulillah si vibaya nika stafidi kwako kwa aya na hadithi sahihi..lakini hizo nifikra za ki ekwani musilimun
@aishamohamed9981
Жыл бұрын
Brother ahmed... Asalamu Alaikum warahmatullah wabarakaatuh.... Kufanya kazi ni kujipanga... Wake za Mtume walijishughulisha na kazi za nje pia... Kazi yenyewe ni ibada.. Bora iwe halali.. Bibi khadija alikua mtwiifu.. Wala hajamdharau RASUUL S.A.W. Dharau ni tabia ya mtu binafsi.. Sikipato.. Si vikoba vyote vyenye riba..vyengine twahara
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
Yes binadam atatubu apo
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
@@aishamohamed9981 bibi Aisha alifanya biasha ila hakua biz na nyumba yk km uko kwenda soma unafanya iinda na inadi kwa kua mume ametkeleza agizo la Allah?
@fatmaalnabhani3609 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa, lakini kuna ubaguzi hapo kwa siku zijazo.
@aisharajimbo6784
Жыл бұрын
Kama kipi
@fatmaalnabhani3609
Жыл бұрын
@@aisharajimbo6784 vizazi vijavyo kuhusu watoto yaَ nini kuoa oa kuletesha fitna?
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
@@fatmaalnabhani3609maisha yote ya dunian fitina ww kuepo kwako hp dunian bas fitina kwako na kw wat wengne
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
@@fatmaalnabhani3609 Yani hizi fitina Ni mikakati ya Allah hapa dunian lengo kuchuuja msafi na mchafu
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
@@fatmaalnabhani3609 dada angu tulete istghfar na tusijihisi tuko peke etu na ndo tunastahiki zaid Yale alotufitinia mwenye enz mungu
@salmamshakangoto6285 Жыл бұрын
Innallahmaaswabrin
@rashidyussuf3429 Жыл бұрын
Majeraha ya uke mwenza kumtokea ajali,bado hata kichwa cha habar hakijakaa sawa yaani mimi huwa nafikiria kumpima mwanamke imani yake ya utu na ni katika suala la kuoa mke wa pili
@user-mz8qv1yr1z6 ай бұрын
It's nihatari sana
@ecopoleesube5788 Жыл бұрын
Allah akuzidishie kila lakheri
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Aaamin
@allymakame472
Жыл бұрын
Mashallah, Allah awawezeshe wote mlio fanya darasa hii, Allah awalipe, na iwenuru kwa wengine.
@madrasatummisalamahibtidai7959
Жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah mawaidha mazuri lakini tuweke madrasah tusomeshe kina mama wana mambo mengi ya dini hawayajui haitoshi ukewenza tu
@boholesomo3163
Жыл бұрын
Allah akulipe nimepata somo kumbwa
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
@@madrasatummisalamahibtidai7959 Safi huu ndio mkakat
@MkiwaJeneto-tp2md Жыл бұрын
Mashallah ukht upo vizuri na.omba namba zako za simu
@humairamajengo6616 Жыл бұрын
Mashallah ukhuty wangu uko vzur lakin mbana unarua Allah alivosma lau ningeamrisha watu wasujudiane ningemmrisha kwanamke amsujudie mume wake mbona hajasema mzazi wala mtoto
@shammyshemkunde9577
4 ай бұрын
Kuna utii na mapenzi, somo ni mapenzi sio utii
@mbanga6759 Жыл бұрын
Mume wangu ndo hasubutu kuongelea kitu ukimuambia tuongee ha utajuta kuzaliwa
@khadijaomar3480
6 ай бұрын
Yaaani kuongelea kuhusu uke wenza ama katika jambo lolote ndugu yangu
@user-vu8ks8co3e10 ай бұрын
Yote kheri Allah atupe wepes⚖️ 22:19
@aminauwimana9976 Жыл бұрын
Natamani nipate nambayako ninamaswalimenge my ukhty
Пікірлер: 273
Mawaidha mazuri mnoooooo mashallah mashallah mashallah.... Allah atupe subra kwenye ndoa zetu za uke wenza
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHERI ISHALLAH AKHUT
Yaan ukhtyy natamann mke wangu asikilize mawaidha yako ili nistarehh na mm .ila dahh .mungu akupe umri mreff uzidi kuwaelimisha ukewenza
Allah akujaalie utupe elimu zaidi inshallah
Aoe wawili kwa pamoja siku moja kwakua Mw.mungu ameanza na wawili,watatu,wanne ukishindwa mmoja hakuanza na mmoja.Tatizo linakija pale munapopata shida na mume baadae mmefanikiwa eti anaoa mwingine inatakiwa tupate shida wote.
@khadijamohamedkibabi3625
2 ай бұрын
Ha ha ha ha a a a a hicho Ndo kinachowaumaga wanawake wengi , Ila c Wote walioandikiwa Shida Wengine n Raha
Inauma sana ukewenza maana kuna na ushirikina na maradhi
Mashaallah''' ukhti yangu nakupenda kwa ajili ya Allah. Mada ni nzuri na imeeleweka almuhim kuifanyia kazi ili ndoa zetu zidumu.
Asante sana hii video imeniponya maana ndo nilichokuwa napitia kwa sasa..nataman kupata no ya huyu ukty nahitaji sana darasa kutoka kwakee
@khadijahidd3678
5 ай бұрын
Alhamdulillah
Mashaa Allah dadaake Allah akuhifadhi duniani na kesho a akhera
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Aaamin
@khadijahidd3678
Жыл бұрын
Amiin
Mashaallah hyu ndio wakumskiliza maana anamaneno mazur yakutuliza moyo.
MASHAALLAAH MANENO YENYE MAZINGATIO NA YENYE LADHA NDANI NIMEJIFUNZA MAMBO MAPYA NA MAZURI ALLAAH AKULIPE KHERI NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAAH ❤
Mungu akupeni ushind ktk kuwaelimisha wanawke wakislam
Masha Allah Shukran Jazaqallah kher Mungu Akujazie Dadaa
Mashaa Allah tabaraka Allah Allah akuzidishie Kwa kutujuza
Huu kweli ni mtihani ndugu zanguni subhanallah
SHUKRAN HABIBTY WANGU ❤❤❤JAZAKHALAUKHER🙏mume wangu kaoa niko miaka 13 ya ndoa nae.lkn baada ya kusikia hii UMEJUA KUNIJENGA MASHALAAH mengi nmejfunza ukhty khadja. ALLAH AKUHIFADHI🙏
@khadijahidd3678
5 ай бұрын
Amiin, Atupe lenye sote
Mashallah tabaraka llah Ukhty wajina Wang Allah akuwekeye wepesi paliopo uzito na akupe mwisho mwema Ukhty ❤️❤️❤️
@amirnkokoo3083
Жыл бұрын
🛑🛑maashaalah wakumbushe ukhtiy ili nasi tupate nafasi ya kupeperusha bendera ya kuoa Nathan WA thulaathaa WA rubaagha
Nakuombea kwa Allah mtukuf akumiminie khairaat za dunia na akhera.na ma ukhty wenzako ukhty Fatma mdidi nawe unajitahid
Mashallah barakala Mwenyezi Mungu akutunze Bi Hadija
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Akutunze nawe pia
@buhitexmohamed4785
Жыл бұрын
@@kalamuMedia waleikum slm ya ustadha shukran kwa mawaidha . Na wenye kusukumwa na kuoa na mavia ?
Subhana'allah loe nimesikiya points kilasiku tunataka mawaidha kamahayo masha'allah
Masha Allah ukhty hadija hakika nimepona yamenikuta Ila nilisubir piaah Ila umeniongezea Tina Allah akuongoze katka kuwapa wengne tiba kwa ajili ya allah
Mashaaallah
Asante sana Dada mawaiza Yako yamenijenga kiakili hendelea kutupa mawaiza tuimalike
Mi dada nikuambie kitu. Hao wanaosema kua hawawezi tena ukewenza, ajabu nikua: Wao wakiachwa huenda kuingia katika kuolewa na mwanaume mwenye mke. Nyinyi shida yenu hua hamtaki kuongezewa, lakini hua mnataka muongezwe. Nyinyi kua wake wa 2-3-4 hua hamuoni shida, shida yenu nikuongezewa tu. Mbaya zaidi, saivi wake zetu wanaona nibora mumewe AKAZINI wanavumilia, lakini hawezi kuvumilia mumewe akioa. TUNAMUOMBA ALLAH ATUONGOZE TU LKN NICHANGAMOTO.
@aishajuma18
3 ай бұрын
Tatizo lenu sio waadirifu
@fifo262
12 күн бұрын
Kabla yakuongeza mke jitasmini huyo 1 ulonae unafika walau nusu ya mahitaji yake? Alafu sasa fanya maamuzi
Mashallah Mwenyezi Mungu akulipe
Shukran ukhty Allah akulipe umeniongezea Tiba niseme umeniponya
Mashaallah! Shukran kwa darsa
@twahamachozi8018
Жыл бұрын
Naomba taratibu za kumpata dada huyu tumpe mwaliko aje singida kwa ajili ya dawa
Allah akuzidishie elimu umefikisha ujumbe mzuri sana ambae hatoelewa atubu kwa mwenyezimungu
umenichekeeeesha sana ,worth sharing
Ma shaa Allah!!!! Somo limeeleweka. Shukraaan mwl Khadija!!!!
Shukran jaziilan
Allah akulipe kheri Maashallah
Mashallah mashallah
Ukhty Khadija Maashaa Allah maashaa Allah dada etu umejitahid Sana Sana sisi ndugu zenu mnatufariji Sana zidini kutupa njian za kujikombo ktk mitihan tuna Iman kubwa Sana na yaqin kua haya mbo ni Qadar yake Allah s.w na ni kipimo Cha Iman zetu. uhibbuk fii llah dada Khadija.
@khadijahidd3678
Жыл бұрын
Akupende zaidi Mola wetu mlezi, habibty
@kitengenyembo4223
Жыл бұрын
Maa shaa Allah waache kuumia hayo Ni maamrisho ya Allah,Mimi mke wangu aliniambia nimuoe Rafiki yake awe mke wa pili,nili fanya hivyo ,na bado Ni marafiki
@majutoyussuf6191
Жыл бұрын
@@kitengenyembo4223 Ma shàa Allah Allah awape upendo wa dhati
@zulfashabani4890
Жыл бұрын
Allah akubariki ww na familia yako
@husnaally7964
Жыл бұрын
@@kitengenyembo4223 Maa shaa Allah.Allah awazidishie mapenz nawe uzid kuwaombea Dua wake zako
salalahu calayhi wasalam ♥️
MashaAllah Mungu akujaalie afya na uzima nimepitia mengi zaidi yako lkn niombee uvumilivu zaidi ya hapo. Ni miaka 13 saa hii niko ndoani. Allah atuezeshe. Ameen.
@johasaidy1471
Жыл бұрын
Mashallah Mashallah barakallah ❤❤
@khadijahidd3678
Жыл бұрын
Alhamdulillah Allah akulipe kheri dear na akuongoze katika wema
Maa shaa Allah jazakallah kheir
Maa shaa Allah bi Khadija umenijenga kwakwel Allah akulipe kheir
@khadijahidd3678
5 ай бұрын
Alhamdulillah
Jazakallah khayran
Masha Allha wajina Allha akuzidishie kila lakheli tunazidi kujifunza mengi
MashaAllah asante kwa darasa nzuri
Jazakallah khyra!!!!
Mashallah mashallah mashallah mwenyezi Mungu akubariki uendelee hivyo hivyo kutupa darasa nzuri
@RonicahWilson
Ай бұрын
Mungu akulinde pamoja nafamilia yako uzidi kutupoza vidonda
Mashallah, Allah akullipe kheri inshallah
A w w ahsante sana dada mwenyrzi mungu akulipe mashaallah
NAKWELI KABISA, ALLAH NDIO AWE KIPENZI CHAKO ZAIDI, KISHA MTUME, KISHA MENGINE.
Allah akuhifadhi ukhtih uke wenza unauma ila umenifariji
Wafikishie MAANA wanamaradhi Sana ya USUMBUFU
@khadijahidd3678
5 ай бұрын
Ujumbe ni wa wote. Tujielimishe
masha allah
Mungu akutongoze siku zote umenisaidia Sana🙏🙏
Mungu anipe moyo kama wako sijui nitaweza mume wangu anawake wanne naisi kufa
Assalam alykm Dada iyo Mada ninzuri Sana ila Kanahawa wake wadogo ndo wanao sababisha matatizo
Shukren..
Shukrani ukhty
Mashaallah umenijibu maswali niliyo kuwa najiuliza mume akiingia akitoka neno hata ongeza mkee
MASHAALLAH
Shukran San Anty
Mshlah jazzakaAllah khairah
Mansha allah allah awazidishiye
Manshalla maneno mazuri sana
Alhamdhulillah nikweli tutajitahidi mungu atuwezeshe insha'Allah
Allah akupe pepo ya daraja ya juu ukhty
@khadijahidd3678
5 ай бұрын
Amiin
Masha Allah
dada uko vizuriiiiiiiiiiii sana
ALAH akubaariki Sana ktka DAAWA yako ya uke wenza
@khadijahidd3678
5 ай бұрын
Amiin, Atubariki sote
MashaAllah ❤❤❤ shukraan habibty
Uko vizuri ukhtii
Ma shaa Allah Allah akujaze kher
@majutoyussuf6191
Жыл бұрын
Ameen
Mashallah allah bariki
We ndo mimi mashaallah hata sim sishiki
Mashaallah, ukthi umeitendea haki mada
Mashaallah shukran kwa darsa nzuri
Mashallah
Ma Shaa allah naomba namba ya ustadhat in Shaa allah
Mashaanlah
Asalam alaykum mm muume wng akiowa naenda mpaka harusini wala sina kinyongo chochote kile na tunapenda sana
Allah wQbar
Mashaallah
mashaAllah
Ni mazingatio makubwa .... Kiukweli Ndoa ni changamoto kiufupi ni kusema alhamdulillah na kuendelea na maisha
Asalam alaykum aky hivyo unavyoongea ndio msimamo nliouchukua alhamdulillah nko na aman wala sibabaiki
@husnaummuhysam375
Жыл бұрын
Naomba namba yako
@abuumohammed4364
Жыл бұрын
Mashaallah Namuomba Allah akulipe gheri atusamehe pale tulipoghafilika
mwashallah❤
Uko sahihi bi Khadija tuteye nasie tuone kama tutapata ndoa hâta ya uke wenza
Maallah allah akulipe umenifundisha kitu nikijapata mkemwenza nitajua nn nifanye maana hawa wanaume sasa hawaowei sunnah wanaoaoa tu na hawana uadilifu
Khadija
Maneno mazuri kabisa.
Ukewenza sio shida shida Ni mwanaume
waalykum msaalam waramatulsh wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah ❤❤❤
Umeongea pointi pote ila umearibu kunako swala la vikoba na mikopo na kufanya kazi huko kutamshugulisha zaidi akaisahau familia yake na ibada zake na kumfanya awe jeuri katika ndoa . ( ikikupendeza ifanyie taraja kauli hiyo vikoba na kukopa maana vikoba ni miongoni mwa riba na kumshauri mke wa mtu awe bize na kazi siyo ) baraka llah fiykum
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Vikoba na kukopa ni miongoni mwa riba??ni busara kukaa kimya kama huna maarifa juu ya jambo.Si kila kikoba au mkopo una riba .Ukht ameiweka vyema.Amesema vikoba na mikopo ya halali
@ahmedmwakabulufu315
Жыл бұрын
@@kalamuMedia sawa aina shida akisha kopa eende wapi na hizo pesa? Hayo si mafundisho ya mtume Muhammad swalallah allay wasallam wala haipo katika aya wa hadithi kwamba mwanamke akafanye biashara . Ila imekuja kwamba makazi bora na salama kwa mwanamke nikukaa nyumbani kwake. Ila kama una unauelewa zaidi yangu alihamdulillah si vibaya nika stafidi kwako kwa aya na hadithi sahihi..lakini hizo nifikra za ki ekwani musilimun
@aishamohamed9981
Жыл бұрын
Brother ahmed... Asalamu Alaikum warahmatullah wabarakaatuh.... Kufanya kazi ni kujipanga... Wake za Mtume walijishughulisha na kazi za nje pia... Kazi yenyewe ni ibada.. Bora iwe halali.. Bibi khadija alikua mtwiifu.. Wala hajamdharau RASUUL S.A.W. Dharau ni tabia ya mtu binafsi.. Sikipato.. Si vikoba vyote vyenye riba..vyengine twahara
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
Yes binadam atatubu apo
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
@@aishamohamed9981 bibi Aisha alifanya biasha ila hakua biz na nyumba yk km uko kwenda soma unafanya iinda na inadi kwa kua mume ametkeleza agizo la Allah?
Ni kweli kabisa, lakini kuna ubaguzi hapo kwa siku zijazo.
@aisharajimbo6784
Жыл бұрын
Kama kipi
@fatmaalnabhani3609
Жыл бұрын
@@aisharajimbo6784 vizazi vijavyo kuhusu watoto yaَ nini kuoa oa kuletesha fitna?
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
@@fatmaalnabhani3609maisha yote ya dunian fitina ww kuepo kwako hp dunian bas fitina kwako na kw wat wengne
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
@@fatmaalnabhani3609 Yani hizi fitina Ni mikakati ya Allah hapa dunian lengo kuchuuja msafi na mchafu
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
@@fatmaalnabhani3609 dada angu tulete istghfar na tusijihisi tuko peke etu na ndo tunastahiki zaid Yale alotufitinia mwenye enz mungu
Innallahmaaswabrin
Majeraha ya uke mwenza kumtokea ajali,bado hata kichwa cha habar hakijakaa sawa yaani mimi huwa nafikiria kumpima mwanamke imani yake ya utu na ni katika suala la kuoa mke wa pili
It's nihatari sana
Allah akuzidishie kila lakheri
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Aaamin
@allymakame472
Жыл бұрын
Mashallah, Allah awawezeshe wote mlio fanya darasa hii, Allah awalipe, na iwenuru kwa wengine.
@madrasatummisalamahibtidai7959
Жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah mawaidha mazuri lakini tuweke madrasah tusomeshe kina mama wana mambo mengi ya dini hawayajui haitoshi ukewenza tu
@boholesomo3163
Жыл бұрын
Allah akulipe nimepata somo kumbwa
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
@@madrasatummisalamahibtidai7959 Safi huu ndio mkakat
Mashallah ukht upo vizuri na.omba namba zako za simu
Mashallah ukhuty wangu uko vzur lakin mbana unarua Allah alivosma lau ningeamrisha watu wasujudiane ningemmrisha kwanamke amsujudie mume wake mbona hajasema mzazi wala mtoto
@shammyshemkunde9577
4 ай бұрын
Kuna utii na mapenzi, somo ni mapenzi sio utii
Mume wangu ndo hasubutu kuongelea kitu ukimuambia tuongee ha utajuta kuzaliwa
@khadijaomar3480
6 ай бұрын
Yaaani kuongelea kuhusu uke wenza ama katika jambo lolote ndugu yangu
Yote kheri Allah atupe wepes⚖️ 22:19
Natamani nipate nambayako ninamaswalimenge my ukhty
@shamilahussein5294
Жыл бұрын
Mimi pia natumaini no yake
MAASHALLAH.JAZAAKILLAHU KHEIR.NATAMANI MKEWANGU AWE AMEKUSKIA
@chonghoswe6255
Жыл бұрын
Mpelek darsa
@zainabomar5144
Жыл бұрын
Hahahahahah