MTOTO WA BACHU AENDELEA KUUCHEZEA MOTO WA SHEIKH ALHATIMY | MPAKA HAWA MAIMAMU WOTE HAWAFAI KWAKO

Пікірлер: 199

  • @kenyakwanza254
    @kenyakwanza254 Жыл бұрын

    Umerekebishwa ki aqeeda What you do best is to challenge his knowledge then why argue with an ignorant man? Sheikh Mohammed bachu May Allah (Sw) preserve him and those on the right aqeeda.

  • @mawaidha386
    @mawaidha386 Жыл бұрын

    Hii imeshajibiwa ... Na Al akhi Muhammad bachu

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    Жыл бұрын

    Hawa masufi wanajitia pambani,

  • @zumrasaidi6600
    @zumrasaidi6600 Жыл бұрын

    Mungu amsamehe mhamadi bacho Sifa ya msomi ni hekma allh ampe hekma

  • @mussabinyussuf945
    @mussabinyussuf945 Жыл бұрын

    Allah amhifadhi sheikh wangu sheikh muhammad bachu na aendelee kuwapa mawaaidha masufi hao

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    acha ujinga

  • @mussabinyussuf945

    @mussabinyussuf945

    Жыл бұрын

    Ujinga gani

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    hilo sufi kulipata wapi? mtume kaliacha hilo

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    Na atufundishe yeye kama nani? kwa kua ana elimu sana ulamaa mwanachuoni wa kujitegemea? hatuna haja na kufundishwa na mtu ambae hana akhlaq, hana adabu na ilimu, twafundishwa na watu wenye adabu zao na inswaf zao, huyo mwambie akufundishe wewe usokua na ilimu na adabu km yeye,,,, na uache dharau

  • @anwarsaid7627

    @anwarsaid7627

    Жыл бұрын

    Huna makosa ukisema hivyo ikiwa shekh uhali hii wanafunzi wa Hali gani? Anao Sema sio anayo fanya sabasi al kubra ndio amjua vizuri na anajua mambo yake amenitia shaka hapo omba mungu asiitoe maana licha yy hata nyie mashushu wake mutaaadhirika

  • @sadcommpalestina4530
    @sadcommpalestina4530 Жыл бұрын

    ili uweze kupata elimu na uafaidike zaid ifungue akil yako pia msikilize vizur shehe mohamed bachu kuanzia sehem ya kwanza had ya sita utafaidika zaid inshallah

  • @mohamedumri4176
    @mohamedumri4176 Жыл бұрын

    Assalam alaikum Sheikh Muhammad bachu waislam na waumini wanawategemea lkupata da awah. Unapomuona sheikh mwenzako kakosea mfuate kwa utulivu muelimishane.

  • @bongorashidy5930

    @bongorashidy5930

    Жыл бұрын

    Yaa nikweli mwanadam sio mkamilifu unapohisi nduguyako mwislam amekosea unapaswa kuangaria namnagani ya kukaa na kumanasihi na sio kurushiana maneno kama kupigana vijembe ni makosa makubwa mbele ya allahusubuhana huwataalla

  • @abdikadirshariif5311
    @abdikadirshariif531110 ай бұрын

    Masha Allah.

  • @muniraboud2705
    @muniraboud2705 Жыл бұрын

    Mrongoooooo sanaaaaaa sallalaaah.. SUBHANALLAH

  • @kenyakwanza254
    @kenyakwanza254 Жыл бұрын

    Barazanji inatoshaa ijmaa ya waislamu kuwa ni kufru mgawanyiko ni mkubwa sana Allah (sw) atuepushe kufata shahawat.

  • @jamalsalum8726

    @jamalsalum8726

    Жыл бұрын

    Ijtimaa au Mawahabi?

  • @mussabinyussuf945

    @mussabinyussuf945

    Жыл бұрын

    Nyinyi munaizarau barazanji shekh wangu muhammad bachu nampenda wala msimseme vibaya

  • @kenyakwanza254

    @kenyakwanza254

    Жыл бұрын

    @@jamalsalum8726 maana ijtmaa utolewa na mawahabi au waislamu?

  • @jamalsalum8726

    @jamalsalum8726

    Жыл бұрын

    @@kenyakwanza254 Hakuna ijtimaa iliyosema maulid ni kufru, mpk mkuu wa Mawahabi ibn taymia anasema maulid ni kheri na wanapata malipo wanaofanya

  • @fahadothman9554
    @fahadothman9554 Жыл бұрын

    Mzeee bora nyamaza mana huna lakusema huna elimu zaidi ya maneno yako ya kichwani jibu hoja

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Жыл бұрын

    Hadithi mbovu naitikadiwa ma masufi na mashia رسول الله صلى الله عليه وآله: خلقني الله نورا تحت العرش قبل أن يخلق آدم عليه السلام باثني عشر ألف سنة، فلما أن خلق الله آدم عليه السلام ألقى النور في صلب آدم عليه السلام فأقبل ينتقل ذلك النور من صلب إلى صلب حتى افترقنا في صلب عبد الله بن عبد المطلب وأبي طالب، فخلقني ربي من ذلك النور لكنه لا نبي بعدي. (2) 7 - ع: إبراهيم بن هارون، عن محمد بن أحمد بن أبي الثلح، (3) عن عيسى بن مهران، (4) عن منذر الشراك، عن إسماعيل بن علية، عن أسلم بن ميسرة العجلي، عن أنس بن مالك، عن معاذ بن جبل أن رسول الله صلى الله عليه وآله قال: إن الله خلقني وعليا و فاطمة والحسن والحسين من قبل أن يخلق الدنيا بسبعة آلاف عام، قلت: فأين كنتم يا رسول الله ؟ قال: قدام العرش، نسبح الله ونحمده ونقدسه ونمجد، قلت: على أي مثال ؟ قال: أشباح نور، حتى إذا أراد الله عز وجل أن يخلق صورنا صيرنا عمود نور، ثم قذفنا في صلب آدم، ثم أخرجنا إلى اصلاب الآباء وأرحام الامهات، ولا يصيبنا نجس الشرك، ولا سفاح الكفر، يسعد بنا قوم ويشقى بنا آخرون، فلما صيرنا إلى صلب عبد المطلب أخرج ذلك النور فشقه نصفين، فجعل نصفه في عبد الله، ونصفه في أبي طالب، ثم أخرج الذي (5) لي إلى آمنة، والنصف إلى فاطمة بنت أسد، فأخرجتني آمنة،

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Жыл бұрын

    Hii shekh Muhammad Bachu tayari ameshaijibu, hem tuwekeeni basi nyinyi masufi.

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Жыл бұрын

    Hadithi sahihi الحمد لله والصلاة والسلام على رسول الله وعلى آله وصحبه أما بعد: فقد روى البخاري في صحيحه عن عائشة رضي الله عنها : أن رسول الله صلى الله عليه وسلم عندما حضرته الوفاة كان بين يديه ركوة فيها ماء فجعل يدخل يديه في الماء فيمسح بهما وجهه ويقول: لا إله إلا الله، إن للموت سكرات، ثم نصب يده فجعل يقول: في الرفيق الأعلى حتى قبض ومالت يده.وفي الصحيحين وغيرهما عن ابن مسعود رضي الله عنه قال: دخلت على رسول الله صلى الله عليه وسلم وهو يوعك وعكًا شديدًا، فقلت: يا رسول الله، إنك لتوعك وعكًا شديدًا. فقال رسول الله صلى الله عليه وسلم: إني أوعك كما يوعك رجلان منكم. قلت: بأن لك أجرين؟ قال: نعم. ثم قال: ما من مسلم يصيبه أذى شوكة فما فوقها إلا حطَّ الله عز وجل عنه خطاياه كما تحط الشجرة ورقها. وفي البخاري عن أنس رضي الله عنه قال: لما ثقل النبي صلى الله عليه وسلم جعل يتغشاه، فقالت فاطمة -رضي الله عنها-: واكرب أباه. فقال لها النبي صلى الله عليه وسلم: ليس على أبيك كرب بعد اليوم. فلما مات قالت: يا أبتاه أجاب ربًا دعاه، يا أبتاه في جنة الفردوس مأواه، يا أبتاه إلى جبريل ننعاه. فلما دفن قالت فاطمة - رضي الله عنها - : يا أنس أطابت أنفسكم أن تحثوا على رسول الله صلى الله عليه وسلم التراب.أما ما ذكره السائل من طلب النبي صلى الله عليه وسلم من ملك الموت أن يرفق به فلم نقف عليه في شيء من كتب السنة الكثيرة، وما نظن أنه ثابت، إذ لو ثبت لنقل من وجه ما، فإن توفر الدواعي إلى نقله كثيرة، ومما يبعد احتمال ثبوته أنه لا وسيلة لنقل الغيب إلا ما ثبت عن طريقه صلى الله عليه وسلم، ومن كان مكابدًا سكرات الموت ليس فارغ البال حتى يقص على الناس ما جرى بينه وبين ملك الموت. والله أعلم.

  • @salimmapande4668
    @salimmapande4668 Жыл бұрын

    Ulijibiwa kihoja umeshindwa kujibu kwa dalili ku justify uongo wako. Hadithi uliyoitowa haijibu hoja pia sio ileile aliyeipinga sheikh Muhammad Bachu.

  • @sassboy9360
    @sassboy9360 Жыл бұрын

    Hujatoa sababu bado unalinganisha kwa mtazamo wako ulichokoselewa ni kwamba kuzungumza vitu ambavyo havijaandikwa kweye qur an au hadithi kwahyo hutakiwi kutia chumvi kwenye dini maana dini ilishajitosheleza

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Жыл бұрын

    Si hadithi ni uongo حديث: ((يوم وفاة نبيِّنا محمد عليه الصلاة والسلام، عندما رأى ألَمَ الموت تعرفون ماذا قال؟! قال: اللهم ثقِّل في سكراتي, وخفِّف في سكرات أمتي!)). الدرجة: ليس بحديث

  • @user-hb9mk1mg2n
    @user-hb9mk1mg2n9 ай бұрын

    Namuamini sana mtoto wabachu ila nyote hamtumii maneno ya ghekma

  • @ibrahimrashid951
    @ibrahimrashid951 Жыл бұрын

    wewe umeshindwa lile umeleta jengine bachu uko juuu

  • @abuukauthar525
    @abuukauthar525 Жыл бұрын

    jaman huyu Sufi keahajibiwa au

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Жыл бұрын

    Uyu Bachu Sijui mwalimu wake Nani na hasimuite Kipenzi chetu Kama Kama semeji yake .Eti mtume kafa . Mtume kafariki .Anaekufa mnyama ,Ndege , Binadamu Amefariki.Yani wewe Bachu msomi almaruhumu baba Yako msomi Hata siku moja ujamuona kwenye ndito .Jua kabisa wewe hunampinga baba Yako baina mashariki na magharibi.Muombe Allah akuongoze njia iliyonyoka .Unapotea.

  • @user-sf6lp9vt5g
    @user-sf6lp9vt5g Жыл бұрын

    Assalamwalaikum,wamaatakum rasulu fakhudhuhu Wana nahakum anhu fantahu na Kuna hadithi yasema yoyote atakae nizulia mm urongo basi ajiandalie makalio yake ni motoni

  • @rashidhussein3711
    @rashidhussein3711 Жыл бұрын

    Hapa tutapata Elmu kubwa kupitia watu hawa wawili (ALLAH S.W anataka kuondoa Shirki)fatilieni in shaa Allah Kheri inakuja.

  • @yahyasabil921
    @yahyasabil921 Жыл бұрын

    Allah na malaika zake wanamsaliya mtume saw

  • @ordinarycitizen4260
    @ordinarycitizen4260 Жыл бұрын

    Assalam alaykum Kuna tabia sku hiz masheikh wetu kudhalilishana hadharani naona inazid, kitu ambacho kwa uislam siamin kama inafaa, kila sheikh Allah kampa elimu kwa kiasi chake kwann wasiheshimiane na kusaidiana kuukomboa uislam na zama hiz tulokua nazo kuna mttzo mengi?ikhtilaf ktk dini zpo tangu zaman, mbona masheikh wetu wanatuangusha, haya makundi wanayoyagawa siku ya kiama washaandaa majibu kwa Allah? Tumuombe Allah atupe mwisho mwema.

  • @alliyrubea5731

    @alliyrubea5731

    Жыл бұрын

    Ni kweli Masheik wanapolumbana ni shida lkn kuna mambo ktk dini yakienda sivyo ni haki kuyasemea kwa ukali kidogo maana yanaleta madhara ktk jamii,kama hili la Barzanji!watu wanawaaminisha wengine kwamba hii ni sehemu ya ibada sasa huu ni mtihani kwa wafanyao na wale wajuwao kama si ibada kama watanyamaza

  • @user-dg9pn5tl2d

    @user-dg9pn5tl2d

    10 ай бұрын

    Shk wallahi hakuna kitu kibaya ktk DINI kama kumzushiya Bwana MTUME Mohamed s.a.w sasa ikiwa hakuna wa kurekebisha sisi tutaona ni ya kweli kumbe ni Uzushi Tu TAFAKARI Ndugu.

  • @saidhamad9723
    @saidhamad9723 Жыл бұрын

    Kwa iyo sheikh huna ushahidi wa hadithi sahihi ni kwamba unalinganisha tu kwamba mitume waliopita walifika daraja fulani na mtume s.a.w atakuwa daraja kubwa zaid ya mitume wote waliopita ndio ukakisia kwamba wote walipga safu mpk mbigu ya saba ...ni hatar sana

  • @ibn_maleeqqeibraheem_188
    @ibn_maleeqqeibraheem_188 Жыл бұрын

    Huyu muhammad al hatimy hajielewi

  • @mudybeka6698

    @mudybeka6698

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @muhammadkhamis9396
    @muhammadkhamis9396 Жыл бұрын

    Me naona shekhe wangu kiswahili chakupiga chenga, shekh bacho haipingi hiy hadidhi ila kaulizako ndo zatatiza pale uliposema malaika wote, je kuna dalili ya kuwa malaika wote au kuna vitu waongezea wewe binafsi

  • @fauznuhu9981

    @fauznuhu9981

    Жыл бұрын

    Kwa hivyo kwanza hadidhi ina thibiti?hhhh mna tabu mawahabi

  • @mussabinyussuf945

    @mussabinyussuf945

    Жыл бұрын

    Masufi ndo wenye tabu na baadhi ya fisa vyao vimejaa uongo

  • @JabirBakar-ys8dw

    @JabirBakar-ys8dw

    Жыл бұрын

    Kweli nimeamini uwahabi n ukafiri

  • @JabirBakar-ys8dw

    @JabirBakar-ys8dw

    Жыл бұрын

    Soma balagha ilmu hamna

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w11 ай бұрын

    Tena qur ani yenyewe ishashema kabisa wacha hadithi.moja kwa moja allah kasema kwa kitabu chake kitakatifu.innalladhiina qallu rabbunnallah thummah staqqamu tattanazzallu alayhimul malaika ala takhafu walla tahzanu wa abshirhum biljanna lattii quntum ta aduun.kisha malaika watamwambi hakika sisi tulikuwa katika maisha ya dunia na vile tutakuwa vipenzi vyako huku peponi ni sherehe ililoje.kwa haka kakija kana.mpinga hadi allah sw. Ikiwa wacha mungu wale wenye misimamo wakifa malaika huwazungunga sembise mtume wetu saw.mawahabi wacheni ujinga.

  • @mdoekibai5063
    @mdoekibai506311 ай бұрын

    shekhe wang chukua maneno ya imamu shafi kwamaba ukibisha na mjinga atakushinda kwasababu hajui unachokiongea lkn ukubisha na mwelevu mtamshinda icho kitt cha bachu kipuuzi ndomana kinasubutu kumtiya motoni mpaka babake

  • @suuahmed71
    @suuahmed7111 ай бұрын

    Huyu Bachu ana wivu na chuki na MTUME s.a.w.

  • @muniraally4091
    @muniraally409111 ай бұрын

    C akae kimya tuuu ajifungie guniani ajifite hata jua lisimwone mpotoshaji jamii iko kama urongo anaumbiwa yey

  • @issajuma910
    @issajuma91010 ай бұрын

    Malaika woote duh!!!😂😂😂😂😂😂 sheikh punguza huu ni uwongo sasa na hdithi haiyelezei na hoja unayojitetea ni vi2 viwili tofauti

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Жыл бұрын

    Uongo ndioo malaika walipiga lain wapi malaika wote wote wanagombania hivi nikuwadhalilisha malaika eti wanagombania yani pakawa niugomvi tafrani .malaika hawafanyi jambo ila wameamrishwa na Allaahu. Kwahiyo Allaahu aliwaambia wagombanie?????? TUWE NA MIPAKA KATIKA KUZUNGUMZA

  • @hashimshariff2743

    @hashimshariff2743

    Жыл бұрын

    Kasome ndio useme urongo hukmu za swala zenyewe kuzipata tabu

  • @umbopaday

    @umbopaday

    Жыл бұрын

    Swadakta akhi sulaiman

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    Жыл бұрын

    @@hashimshariff2743 huo ni uongo wa kisufi ulio wazi kabisa. Mazuzu kama wewe ndio mtadanganywa. Ametakiwa atoe dalili ni wapi iliandikiwa malaika walipanga safu kutoka nyumbani kwa mtume saw hadi mbinguni, anaenda kutoa hadith iliyokuwa haihusiani na uongo wake

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696

    @sanoureyaliwadoakaroyo1696

    Жыл бұрын

    @@hashimshariff2743 Uyoo Sheikh wako wa Maulidi Ni Muongo Tena Muongo Sana Masheikh wa Maulidi Ni Waongo kweli kweli

  • @suleymansalim5732

    @suleymansalim5732

    Жыл бұрын

    @@hashimshariff2743 kusoma kitu gani? Sasa hapo hukum za sala zimeingiaje katika hili . Usitete uongo kwa kumpenda mtu . Shusha hadithi au aya kuonesha malaika walipiga laini nyumbani mpaka mbinguni wakigombania roho. Hiyo hadithi aloitoa haiendani na maelezo yake na kama kuna wanazuoni walielezea kuichambua hivi tuoneshe tujue

  • @abusihaa6396
    @abusihaa6396 Жыл бұрын

    Administrators wa channel hii mbona muna muumbua Alhatimy na kutua clip nyingi ya maneno hayo kwa hayo kuonesha uchache wa elimu yake badala ya kuegemea dalili ana egemea logic sasa yeye ndio ajiulize kama he's OK na asitumie chro na heshima ya mtime alayhi Salaam na kubandika maneno yake

  • @JabirBakar-ys8dw

    @JabirBakar-ys8dw

    Жыл бұрын

    Hadithi hiyo hiyo angeitumia bachu ungesema sheikh kasema kweli allah akuhurumie bali ukafir umekuangamiza

  • @JabirBakar-ys8dw

    @JabirBakar-ys8dw

    Жыл бұрын

    Hadithi hiyo hapo imewekwa wazi na huitaki sasa wew utamtaka nani kaafir wew

  • @nassirmohd2851
    @nassirmohd2851 Жыл бұрын

    Huyu Bacho sio shekh ni Mufsid tu

  • @halimakihame1744
    @halimakihame1744 Жыл бұрын

    Mashekhee acheni kuhadidiana tuelimiseheni kwa ajili ya kumcha Ally

  • @jordan.3109
    @jordan.3109 Жыл бұрын

    MALEMBA HII TYR USHAJIBIWA TUNKUNGOJEA UJIBU TU TUONE UTAKAVO KARAGAZWA.

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    jibu wewe

  • @lemalisipilali
    @lemalisipilali Жыл бұрын

    Kwa kauli tako hii ya malaika wote iyo ni ukafiri mkubwa mana wahai umepokea wewe muongo kweli wewe sheikh

  • @user-ro5wf3xx2h
    @user-ro5wf3xx2h Жыл бұрын

    Al hatimy kasha tupa chuma pembeni hawezi kujibu chochote zaidi ya mambo ya uzushi tu.

  • @hajjijm9935
    @hajjijm9935 Жыл бұрын

    Nyinyi mtoro tv kama kweli nia yenu ni kuonesha haki na batili bas weken na video za muhammad bachu anazomjibu alhatimy ili waislamu waone nan yupo katika haki na wala musifate matamanio ya nafsi zenu muogopeni sana mungu na muiepushe fitna.

  • @abubakarahyan9515
    @abubakarahyan9515 Жыл бұрын

    Mm nasem ikh'tilaaf zipo wal hziondoki mpk kiama maan mtume alisem mwsh wa dunia atakaeish mpk zam hzo atajionea ikh'tilaaf nyingi, ndio hy ya sasa amesem kwl bwna mtum s.w.a, na akasm ytajitokeza makund 12 kil kund litajiona yy bora na yp sahihi, ila akatoa dwa kma tunazozna turud ktk kitab cha mngu na hadithi za mtume kuangalia tunachozozana kipo

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
    @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Жыл бұрын

    Cjui kwann Masheikh wa Maulidi Ni Waongo Sna Ya Mambo Mengi Katika WanA Zusha Ndio Maana mim Sipendi Kusikiliza Mawaidha Ya Masheikh Wanao Piga Maulidi Sisikilizi. mim Nasikiliza Mawaidha Ya Masuuni Pekee Haoo Wengine Ni Bidaa Tupu. Sheikh Mohammad Bachu Tupo Pamoja na Wewe Allah Akuifadhi

  • @bisharabilali6976

    @bisharabilali6976

    Жыл бұрын

    Ww pia huna akili kama bachu

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696

    @sanoureyaliwadoakaroyo1696

    Жыл бұрын

    @@bisharabilali6976 Wacha Nisiwe Na Akili Ila Siwezi Kusaport Masheikh Wa Kupiga Maulidi Mim Kabla Ya Niwe Suni Nilikuwa Mcheza Maulidi Na sio Mpiga Maulidi Tu Madrasa Yangu Nilio Soma Nimesoma Madrassa Ya Wapiga Maulid Toka Alifu Adi Sura BaQRa Nimesoma Kwa Wapiga Maulid Ila Nilipo Amua Kutaka kujua Yupi Yupo Sahihi Nikagundua Suni Ndio Wako Sahihi Kuliko Wapiga Maulid

  • @mohammadissa7706
    @mohammadissa7706 Жыл бұрын

    Tafuteni njia vipi mutaleta jamii ya waislamu pamoja vipi mutafikisha dini mahali hazijafika wacheni kudharaulisha dini ya kiislamu hakika hata Quran imesema kila mtu afwate dini yake watu wa bidaa wa sunnah kesho mbele ya Allah kila mmoja atakua hukmu zake.

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Жыл бұрын

    Acheni kushadidia uongo wa huyo sufi mpumbavu mwenzenu Alhatmy. Hivi na nyinyi mmekuwa mazuzu kama huyo beach boy? Kama kweli nyinyi ni waadilifu wekeni na clips za Muhammad Bachu anavyomjibu huyo mpumbavu mwenzenu. Kweli usufi ni upumbavu kama alivyosema imaam Shafy

  • @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
    @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm9 ай бұрын

    Mtapata shida sana enyi watu wa maulidi sunna itabaki pale pale hakun mtu wa sunna atakeye kuja kwenu kweny upotevu mtupu

  • @omaryhunte
    @omaryhunte Жыл бұрын

    Kila kitabu kinachotutwa na kufundwishwa kina mtu alokitunga na tafsri yake usipo Soma tafsiri ya aliyetunga kitabu ukatafsir Kama wewe unachotaka hata waarabu wanaojua kiarabu watatafsri Quran Kama wanavyojua wao musome vitabu na tafsiri zao mkitafsiri vitabu msivyo kuwa na elim navyo mtapoteza watu kwa ujinga wenu wa kutokusoma.

  • @mbwanaomary4504
    @mbwanaomary4504 Жыл бұрын

    Watu WA Bid'aa acheni kumsingizi mambo mtume WA ALLAH

  • @bisharabilali6976

    @bisharabilali6976

    Жыл бұрын

    Umesom ww

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    ndg acha hizo kauli mbovu, hakuna anaezungumza urongo bali uwelewa, acha bangi

  • @mussabinyussuf945
    @mussabinyussuf945 Жыл бұрын

    Halafu waangalieni wenzetu wanavyoishi saudi arabia lakin sisi mbona hatubadiliki tukafwata njia ya sawa assalafiyya

  • @muniraally4091
    @muniraally409111 ай бұрын

    Hakuna pahali ambapo bin Nassor amemdharau mtume saw

  • @ibnuidrisa3996
    @ibnuidrisa3996 Жыл бұрын

    Hatuoni kwa mtoto wa bachu isipokuwa jeuri na kebehi ALLAH amuongoze

  • @sassboy9360

    @sassboy9360

    Жыл бұрын

    Allah ampe hekma ila anaongea ukweli

  • @muhammadkassim6291

    @muhammadkassim6291

    Жыл бұрын

    Hakika mtoto wa bachu kiburi kimemzidi na wala hana adabu kabisa wala hikma ya kusimulia

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    kila mtu hatoi waadhi atoa urongo, ila ikhtilaf ndg ndg, isishabikie kwa vile wampenda toto la bachu

  • @user-dg9pn5tl2d

    @user-dg9pn5tl2d

    10 ай бұрын

    ​@@muhammadkassim6291hakuna kiburi isipokuwa ni ukweli mtupu Bachu anaogeya wazushi mumezidi Sana.

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma9709 Жыл бұрын

    Awajui daraja ya mtume wakamulize shetani kwa nini alilaniwa nakuwa adui hili aitaji ata kusoma vitabu elfu mia.ibilisi kabla ya kufukuzwa alijua yeye atakuwa karibu na Allah kwa elimu na ibada kubwa aliyo fanya.alipo ubwa bnadm alijuwa iyo nafasi ameikosa ikawa chanzo uwadui . tazama Laa ila aila llah Muhammad rasurulullah aijui baada ya ALLAH nani hapo daraja kubwa

  • @nhamoabdalanze341
    @nhamoabdalanze341 Жыл бұрын

    Kwanini masheikh mnaleteana bifu je katika uislam inafaa kukosoana namba hio? Mimi kutoka Mozambique mocimboa da praia.

  • @wamiujizacholo7413
    @wamiujizacholo7413 Жыл бұрын

    ndio muongo kweli, ata iyo hadithi yako ulio isoma bado haijaonesha kama malaika wanaigombania ,, bali inaonesha inasindikizwa na sio kuigombania

  • @UB40X1
    @UB40X1 Жыл бұрын

    Huna jipya. Haya umejibiwa kwa uzuri. Keti kimya kama huna la kusema

  • @fauznuhu9981

    @fauznuhu9981

    Жыл бұрын

    Nyinyi mawahabi muna tabu someni mpo vipofi vya moyo

  • @omaryissa2562

    @omaryissa2562

    Жыл бұрын

    @@fauznuhu9981 acha uzembe wa kufata fata Embu elewa kwanza sasa huyo shekh wenu ndio kajibu nini apo

  • @haidar438
    @haidar438 Жыл бұрын

    Huyu Sheikh anatumia akili yake zaidi kuliko Maandiko

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa7882 Жыл бұрын

    Yaani mtu keshajuwa kiarabu tu anakuja na fatwa.Sasa kumekuwa mabishano tu hakuna adamu za kumkosoa mtu au hekma na busara tushudia sasa dini yetu inavyokwenda

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa7882 Жыл бұрын

    Mtu akikosea tumieni busara na hekma na adabu za kumulimisha mkosa yake haina maana kumudhiri mbele ya umma

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Жыл бұрын

    Tuambie hadithi number ngapi ?

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Жыл бұрын

    Situ pigane tu na hawa wahabi kwa nini watukane mashekhe wetu huyu mtoto wa bacho ni nguruwe kwanza

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Жыл бұрын

    Roho ya mtu muovu malaika waipisha na wanasema ni Nani mtu huyo .Alkazalika na mwema malaika wanamsogelea na kumuuliza ninani mwema huyo Maana roho inanukia.

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 Жыл бұрын

    Kuweni na inswafu nyinyi Hatimy kama. Ni Sheikh Muhammad pia mwiteni Sheikh hacheni mazarau ama nani kampa Usheikh hyo Hatimy

  • @uiavajiwgav5441
    @uiavajiwgav5441 Жыл бұрын

    Bado hujajibu umeelezea mazishi ya mtu kabila answari tuambie ushahidi kwakumuhusu bwana mtumi mwenyewe ww vipi mbona wachanganya mahindi na maharage

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
    @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Жыл бұрын

    Wacheni Chuki Sna Et Mtoto Wa Bachu Sijui kwann Waislam Tunachuki Wenyewe kwa Wenyewe Kwan Ukimuita Sheikh Mohammad Bachu Utapungungiwa Ni Nin Wakati Haoo Mnao Waita Masheikh Kiukweli Awamfikii Kielimu Yote Hii Sababu Tu Ya Msamamo Wake wa Kuwa Elimisha Nyinyi Watu wa Bidaa 😭😭😭

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    acha ijinga, yeye weblnzake awaita vip? hata jina la aheikh haiti ana majina ya kininga km yy mwenyew, kama afanyavyo ndo atafanyiwa

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696

    @sanoureyaliwadoakaroyo1696

    Жыл бұрын

    @@mafiatv5479 Ndugu Yngu Nakushaur kwa Ajili Ya Allah Serious Achana na Masheikh wa Bidaa Aaaya kma Utaki ni Chaguo Lako

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    @@sanoureyaliwadoakaroyo1696 kwa maana wamenifundisha urongo,,,, معاذاالله...? na wewe nkikwambia achana na uahabi utaridhika?

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 Жыл бұрын

    😁😁😁😁ttzo lko haatimy siifa nyiingi afu waongea utumbo,nakuskilizaga namna unavyoyachambua masaail ya balaagha,wachekesha wallahi,nmna ulivyoyazungumza masaail ya qariinah ktk (عبدك المسكين) Umeonyesha ni kias gani unaudhaifu wa elimu ya balaagha.

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    we ya kwako nzur iwap

  • @adamjutto5849

    @adamjutto5849

    Жыл бұрын

    @@mafiatv5479 sema uelekezwe al haatimy kakosea wapi,sio unauliza maswali ambayo kimsingi hayana faida na ww,wamtetea mtu adi kwenye kuongea makosa,hii dini angepatia tungechukua qauli yake,lkn kakosea lazma awekwe sawa

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    @@adamjutto5849 wewe huyo juha wako hawakosei

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    @@adamjutto5849 hakosei kajiumba huyo bacho

  • @adamjutto5849

    @adamjutto5849

    Жыл бұрын

    @@mafiatv5479 ndo kilichobaki hhh,huna majibu babuu,huyo alhaatimy aliposema mawahabi hawajui kiarabu,yy alikua akijiona ni siibawayhi au? Anamakosa kibao,awage mstsarabu sasa akiwa anakosoa wenzie,yy hajawahi kua na adabu hta kidogo,akibanwa kihoja hua yuakimbilia masaail ya kinahau na balagha,hatimaye anaumbuka sasa

  • @nassirali7499
    @nassirali7499 Жыл бұрын

    Inawezekana Muhammad Bachu anania njema ya kuona mafundisho ya uislam yanakua ni yale yaliothibiti tu lakini lugha anayotumia dhidi ya dai'i wenzake haina tofauti na lugha wanayotumia wavuta unga maskani. Mungu amsaidie aache upuuzi huo, unamwambiaje ust Kiongo yule? Ungettumia lugha ya staha ungepungukiwa na nini?

  • @seifseif5549
    @seifseif5549 Жыл бұрын

    Wewe umefundishwa quraan na watoto wadogo

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 Жыл бұрын

    اللهم شدد علي سكرات الموت ...هذا لم يثبت عن النبي صلى الله عليه وسلم...لم نجده في كتب السنة المعتمدة ...وإن دواعي ثبوته أمر ضروري...فأخبرونا أين وجدتم

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Жыл бұрын

    Sheikh usibishane na wasiyotaka kujua Kizazi Cha Abu jahari mbaka leo kipo .Sifa ya waumini ni kuaminika ghaibu yawe yamesemwa na Allah na Mtume wake.kusimamisha swala kutoa walichopewa.Hawo ndiyo Waumini.Mariam alizikwa na malaika na mwanae Issa yeye anachopinga kitu gani .

  • @lemalisipilali
    @lemalisipilali Жыл бұрын

    Ndio kapinga kwa haki wewe ni mm.bishi mkubwa Tena hufundishi kupitia deen Ya Allah unafundisha Kwajili ya kupotosha Tena Jinz ulifio na elimu yako mbali sana Elimu yako ndogo sana Unamkashif mwenzako kisa kakuambia ukweli au sababu ni pesa kwa deen Ya Allah

  • @omarahmed-3538
    @omarahmed-3538 Жыл бұрын

    Kina clip moja ya Al Kubra niliona akimuuliza huyu mtoto wa Bachu kuwa ameshaacha ule mchezo wake? Sijaelewa ni mchezo gani wa siri anaufanya ambao umepelekea kumuathiri kiakili inawezekana bado hajaacha huo mchezo

  • @taturamadhan5940
    @taturamadhan5940 Жыл бұрын

    Shekhe kweli hapo umeunganisha habari maana hii hali haikuelezwa imetokea ila wewe umejaalia imetokea na bachu nae ana maneno makali hana busara

  • @bisharabilali6976

    @bisharabilali6976

    Жыл бұрын

    Sio ukali tu bali hakufunzwa Akhlaq

  • @fahadtimimy9413
    @fahadtimimy9413 Жыл бұрын

    Toa Dalili ya wazii wapi hadith mtume yeye mwenyewe amesema roho yake imenganganiwa na malaika...toa aya ama hadith kama kweli

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    8 ай бұрын

    ww ni mjinga sana kumbe Hadith inamuhusu mja mwema, alafu ww unataka linatajwa jina, ww unatakiwa kupinga km Mtume c mja mwema Ili uwe sahihi. Lkn km ni mja mwema mtume, Haina haja ya kila mja mwema, km ww ni mja mwema tutafute Hadith ilotaja jina lako ? Mpumbavu mkubwa na huyo bachu wako

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    8 ай бұрын

    Eti lzm kila mja mwema atajwe kwenye Hadith yke nyny kweli majuhaaaa

  • @dulaabdallah6127
    @dulaabdallah6127 Жыл бұрын

    Kwani huyu mtunzi wa barzanji alikuwa akipokea wahyi kabla ya mtume kuzaliwa na baada ya mtume kufa? Mimba ya mtume alijuaje imeingia? Na hizi habari za roho ya mtume kupiganiwa nani alizishuhudia?

  • @alliyrubea5731
    @alliyrubea5731 Жыл бұрын

    Hata mutete vp ktk dini hakuna kitu kinachoitwa maulidi wala kitabu cha Barzanji!hayo yalikuwa mawazo yake na wala hakusema yaadhimishwe!

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Жыл бұрын

    Mashekhe wa kianswari bana yani hekma hawana kabisa huyu toto kauli anae tumia Haifai kabixa

  • @saidmohammed2830
    @saidmohammed2830 Жыл бұрын

    Huna kitu beach boy wa watamu,sio amekata kwamba malaika hawezi ilaa nani kasema kwamba malaika wameshula wote na kupokea roho ya mtume s.w.s............tumejua hakki sasa toa ushahidi kwamba mtume Muhammad SWS amesema kwamba yy roho yake imepokewa na malaika wote.........hemu kuwa na kiwango usifanye ghuluu kupita mipaka

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    boya wewe na juha la znz, acha ufirauni

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    tatizo lenu hamujui ghluu wala majaaz, kwa maana hiyo hata kutafsr kur an hamuezi, kwa sabb hiyo kur aan yenyewe imekuha kimajaaz, kuna aya lazma upate taawil huwezi kuzifasir hivi hivi

  • @saidmohammed2830

    @saidmohammed2830

    Жыл бұрын

    Shukrn ilaa huwa mafirauni wajuana

  • @saidmohammed2830

    @saidmohammed2830

    Жыл бұрын

    @@mafiatv5479 subiri tutakufa na tutafufuliwa hio majazi yenu tutaona mbeya mtume Muhammad wsw siku ya kunyimwa maji kunywa

  • @saidmohammed2830

    @saidmohammed2830

    Жыл бұрын

    @@mafiatv5479 shukrn ilaa huwa mafirauni wajuana

  • @abuabuabdillahi3871
    @abuabuabdillahi3871 Жыл бұрын

    Mohd bachu anawazimu huyo kijana

  • @leymanleyman7426
    @leymanleyman7426 Жыл бұрын

    Wajua kibusara ikiwa mtu kakosea haina haja yakushushuana mitandaoni kwani kila mmoja ana mapungufu na hakuna mkamilifu. Maana hatakama mtu kakosea hawezi kubali kulingana na hali uliyo mkosoa.

  • @umbopaday

    @umbopaday

    Жыл бұрын

    Linalokosewa hadharani hujibiwa hadharani bachu hajakosea hatimy ni ahlul bida'a

  • @leymanleyman7426

    @leymanleyman7426

    Жыл бұрын

    @@umbopaday hayo sio mafunzo ya uislamu hata mtume angeishi hivyo uislamu uisingetufikia, elimu bila busara haina maana.

  • @leymanleyman7426

    @leymanleyman7426

    Жыл бұрын

    Hatuangalii nani kakosewa wala nani kaanza chamsingi tunaangalia mafunzo ya dini yetu yanasemaje maana hata wakati mtume anaishi hakuwa mtu wakujibizana hadharani kama hivi, ikiwa mmoja kaharibu jaribu kutengeza sio useme kwa kuwa kaanza mm namaliza hiyo sio dini.

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Жыл бұрын

    Huyu dogo wa bachu hana hekima wala busara.Huwezi kumwita pembeni na kuelekezana ukweli ulivyo.wote hamna hekima wala busara ni dalili ya elimu ndogo mliyokuwa nayo

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    Жыл бұрын

    Beach boy Alhatmy hana hoja, swali dogo atuambie ni wapi iliandikiwa malaika walipanga safu kutoka nyumbani kwa mtume saw hadi mbinguni? Yeye Alhatmy mpumbavu wa kisufi atuambie alisimuliwa na nani?

  • @badrudinsalum3139
    @badrudinsalum3139 Жыл бұрын

    Kinachowasumbua masufi hamna dalili zenye nguvu za kusimamia katika bid'a zenu ndo maana Shekh Bachu anawanyima raha, shekh akielezea mambo anatoa darasa lenye kueleweka na dalili za kutosha, shida ipo kwenu masufi mkijibu basi mnasimama katk jambo moja tu clip fupi haizidi dakika 20 na dalili zenyewe za kupachikapachika tu mtasumbuka sana kwa weli na siku zote haki lazima ikae juu ya batil

  • @JabirBakar-ys8dw

    @JabirBakar-ys8dw

    Жыл бұрын

    Ndio nyinyi mnaokataa hadithi za mtume allah awnusuru lakini mawahabi ni makafiri

  • @mwinyimohamed9746
    @mwinyimohamed9746 Жыл бұрын

    Wewe wala huelewi mafhum ya hadiith wala hujui kiswahili wala kutetea hoja zako wewe muokota makopo tu" sisi hadithi zote hizo tumezisoma"

  • @fahadtimimy9413
    @fahadtimimy9413 Жыл бұрын

    Kuna tafauti ya kusindikizwa na kungangania shekhee..

  • @JabirBakar-ys8dw

    @JabirBakar-ys8dw

    Жыл бұрын

    Hahahahahahaaha Hamna ilimu ubishi na mawahabi ndio dini yao

  • @iddysufiani4963
    @iddysufiani4963 Жыл бұрын

    Nilichogundua watuhasomiii walichosoma hawatak kuendeleza elimuzao hiiniaibbuu kwa shekh wetu bacho

  • @SalehSaleh-re1ud

    @SalehSaleh-re1ud

    Жыл бұрын

    Nadhani ni kwa alhatimy, maana kajibiwa kirahisi sana.

  • @ahmedmattar4661
    @ahmedmattar466111 ай бұрын

    Hichi kitoto cha bachoro ilimu yake anajua kutukana tu

  • @noffalsalim
    @noffalsalim Жыл бұрын

    Bachu anaugua wazimu

  • @hassanabdalla9688
    @hassanabdalla9688 Жыл бұрын

    Hana ADABU na Hana heshima ya kuongeya.huyo bachu.

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    Жыл бұрын

    Shekh Muhammad Bachu ni kiboko ya wapumbavu wa kisufi kama huyo beach boy Alhatmy

  • @alikhamis6326
    @alikhamis6326 Жыл бұрын

    Je ushahidi uo kama mtume Muhammad Sala na Salam ziwe juu yake ametolewa kwa namna hiyo umeupata wapi tunataka ushahidi wacha kulinganisha huna hoja Alhatimy tunataka hoja hatutaki mfano

  • @aliy4116
    @aliy4116 Жыл бұрын

    GHURABAAA

  • @seifseif5549
    @seifseif5549 Жыл бұрын

    Muongo kweli

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Жыл бұрын

    Huyo mpumbavu mwenzenu wa kisufu ametakiwa atoe dalili ni wapi iliandikiwa malaika walipanga safu kutoka nyumbani kwa mtume saw hadi mbinguni wakati mtume saw alipofariki?

  • @bisharabilali6976

    @bisharabilali6976

    Жыл бұрын

    Kwaiyo hutoelewa mpk usomewe kiarabu

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    mpumbavu wewe na bachu wako

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 Жыл бұрын

    Ukiona. Masheikhe wanafanya malumbano kama haya ni madhara ya kukosa ajenda za kufanya.

  • @alliyrubea5731
    @alliyrubea5731 Жыл бұрын

    Huyu sheikh kapata wapi uvaaji wa pete mikono miwili?hawa ndio wanaofuata matamanio yao na ndio wanatetea mambo yasiyo na ushahidi hata ile dhaifu!na pia atowe ushahidi kwa hao maimamu aliowataja kama wameadhimisha kitabu cha Barzanji!

  • @abdallahismael3993
    @abdallahismael3993 Жыл бұрын

    Waislamu ikiwa wewe ni msomi na hakuna shekhe anafuraha kua wewe ni mwanafunzi wake umefeli !!!! Mwambieni kijana WA Zanzibar elimu si kutukana wazeee utapotea tumeona wengi wakiwatusi mashekhe mwisho huomba radhi mpeni MDA ata miaka miaka 3 4 atarudi chini na asipo elimu imempoteza....

  • @asrymohd6690

    @asrymohd6690

    Жыл бұрын

    Wewe umesoma kipi nawe kama hujui kaa pembeni

  • @khatibbakhresa7615

    @khatibbakhresa7615

    Жыл бұрын

    Tunafuatilia Maada Jee!Upande wa tokeo la Kifo cha Mtume Muhammad SAW ni nani aliesimulia hiki kifo ilhali Malaika Jibriyl alikuwa ndie mfikishaji elimu kwa Mtume? Jibriyl ilikuwa kwake ndio mwisho wa kufikisha Risala baada ya Mtume SAW kuondoka Duniani?

  • @khatibbakhresa7615

    @khatibbakhresa7615

    Жыл бұрын

    Au upo ushahidi kuwa Rasuulu Allah SAW alilozungumza hili la Mauti yake kabla ya Kifo? Msitupiane maneno Mabaya ila tusomesheni kwa Hoja Qurani Na Sunna sio kwa utashi wa hoja za fikra na mawazo ya Kibin Adamu Allah SW atungoxe ktk Haqqi Allah SW atuepushe na Batil Amiyn

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 Жыл бұрын

    Mkae mfanye MJADALA ili tufaidike sote,,, bila hivyo yupo muoga kati yenu

  • @user-ip5nr5iy2u

    @user-ip5nr5iy2u

    Жыл бұрын

    Muoga ni yeye huyu hatimy kwani kila sheikh bachu anapomrekebisha yuwarudia kumwambia wewe umetaka kunisomesha na mimi niko tayari tukutane unisomeshe ila challenge hiyo ajifanya kama haisikii na hhi clio aloupload yuwamuaibisha sababu ishajibiwa na kiusomi

  • @mohamedally6992
    @mohamedally6992 Жыл бұрын

    ASALAM ALAYKUM. SHEIKH ALHATAMY. HUYU KIJANA HANA HESHIMA ATA KATKA FAMILY YAKE INAJULIKANA ZNZ ATA HESHIM WANA WA ZUON ? . NAIS KIDOGO DISH ALFANYI KAZI .NAOMBA USIKUKAUSHE KINYWA.ACHANA NAE

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696

    @sanoureyaliwadoakaroyo1696

    Жыл бұрын

    wee Mpuuzi Sana Mtiani Sna Nyinyi Watu wa Kupiga Maulidi Uyuuu Sheikh wako Ni Muongo Sna. na Sio Yeye Peke Yake Kifupi Masheikh Wote Wapiga Maulidi Ni Waongo na Niwa Zushi Kwa kuzuwa Vitu Visivyo Ushaid Navyooo . Sheikh Mohammad Bachu Yupo Sahihi Kabisa kataaa Kubali Endelea Na Masheikh Wako wa Bidaa

  • @maalimhamad1297

    @maalimhamad1297

    Жыл бұрын

    Acha ukafiri hio hadithi ni sasahihi ila unachidai ni uongo

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696

    @sanoureyaliwadoakaroyo1696

    Жыл бұрын

    @@maalimhamad1297 Endelean na Bidaa Zenu ila Suni Wapo kwa Ajili ya Kuwakosoa ili Msije Poteza Kizazi Kijacho Pamoja na uma kwa Ujumma Masheikh Wenu Wanao Jiita Masheikh Majini wa Kimataifa Bakwata bhana

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    @@sanoureyaliwadoakaroyo1696 una ushahidi?

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    @@sanoureyaliwadoakaroyo1696 somo lako chafu sawa na huyo na jinga mwenzako

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 Жыл бұрын

    Huyu al hatimy alivomsema kishk nkajuaga ni mtu ana elimu kubwaaaa ila bachu kamdhalilisha. Na bora yake akae kimyaa tuu

  • @bisharabilali6976

    @bisharabilali6976

    Жыл бұрын

    Sasa bachu katoa point gn zaidi ya kutukana

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    acha kibri na bachu wako

  • @eng.saalim8646

    @eng.saalim8646

    Жыл бұрын

    @@mafiatv5479 kibri gani sasa kaka. Hv umefatlia haya majadiliano yao pande zote kiukamilifu?

  • @Dysmedia254
    @Dysmedia254 Жыл бұрын

    Mtoto wa Bachu anapenda sana kukosoa masheikh. Naona ni kama anatefuta umaarufu. kwanza kasoma wapi ???

  • @muniraally4091
    @muniraally409111 ай бұрын

    Nyamaza usiaibike kama ulivoambiwa watafuta nini wewe mmaneno tuuu yasokua na kitwa wa maguu

  • @rashid3562
    @rashid3562 Жыл бұрын

    Hapo hakuna sheikh wote mnakua wajinga kuliko sisi ambao hatukusoma iyo sio Dini ni siasa

  • @nasseralaufi9308
    @nasseralaufi9308 Жыл бұрын

    Bachu anatumiliwa na wahabi kuuwadhalalisha mashekhe wa kweli.Jihadharini na wahaabi na bachu ni mmoja wao.

  • @omaryissa2562

    @omaryissa2562

    Жыл бұрын

    Acha kuongea pumba

Келесі