UKIMALIZA TENDO LA NDOA TU USIFANYE MAMBO HAYA | NIHATARI SANA | YATAKULETEA MADHARA | SHEIKH OTHMAN

Пікірлер: 99

  • @ramayasly4584
    @ramayasly45842 жыл бұрын

    Asalaam aleykum Athuman Michael Allah akulinde na wachawi na mashetwani kakangu. Mie kupenda sababu zangu ni kwamba huna uchoyo wa elimu

  • @lilianomamo9210
    @lilianomamo92102 жыл бұрын

    Hata sisi wakristo tuko hapa

  • @Tatafati-uk8vy

    @Tatafati-uk8vy

    Жыл бұрын

    Karibu Lilian tupate mawaidha

  • @alislam3967

    @alislam3967

    7 ай бұрын

    You are welcome

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa72292 жыл бұрын

    Shukran sana sheik Jazakka Allahu kher.Niliahidi moyo wangu hdi nikuone au tuwasiluane In Sha Allah Mola akupe umri uzidi kuokia umma wake Muhamma( S. A. W)🙏.

  • @ashanassoro6492
    @ashanassoro64922 жыл бұрын

    Masha Allah sheikh

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii16762 жыл бұрын

    Masha Allah💕

  • @ayshmem9924
    @ayshmem99242 жыл бұрын

    Maa shaa Allah shukrni sana Shekhe Allah akujaalie umri mrefu uzidi kuelimisha waislam in Shaa Allah

  • @naimajuma3577
    @naimajuma35774 ай бұрын

    Shukran JazakaahAllah kherah ❤ ila ss wa Saudia tunazipataje

  • @zumrasaidi6600
    @zumrasaidi66002 жыл бұрын

    Jazakalah khaira

  • @shamsaazhar3473
    @shamsaazhar34732 жыл бұрын

    Maashallah 💖

  • @shamymhmazan7778
    @shamymhmazan77782 жыл бұрын

    Mashallah shukran Allah akuzidishie umri mrefu azidi kukufungulia na tiba zingine Mashallah shukran

  • @AshaAsha-ng1ug
    @AshaAsha-ng1ug2 жыл бұрын

    Shukran shehe wetu kwakutufunza yenye faida ktk maisha haya ya duniani

  • @fatmanassor664

    @fatmanassor664

    2 жыл бұрын

    Mashallah jazzaka llah kher

  • @mohamedelzobery7194
    @mohamedelzobery71942 жыл бұрын

    Shukran sheikh

  • @ramadhaniathumanibatumnwa1842
    @ramadhaniathumanibatumnwa18422 жыл бұрын

    Mashalah amina

  • @joeloileoile4786
    @joeloileoile4786Ай бұрын

    Tunaomba hizo dawa mulete zaidi za Kenya kwanzia Nairobi ,kisumu Busia bungoma etc asante

  • @user-vl4md8rj6i
    @user-vl4md8rj6i6 ай бұрын

    Mashaallah mola akuzidishiye elmu na akuhifathi

  • @ashashaban6484
    @ashashaban64842 жыл бұрын

    Mashallah.Allah.akulipe.kila.la kheri.inshallah

  • @sulekhaosman8357
    @sulekhaosman83572 жыл бұрын

    MashaAllah shukran Sana sheikh wetu Allah Akulipe Kila la kheri

  • @mariamahmad8261
    @mariamahmad82612 жыл бұрын

    maa shaa Allah

  • @aminamichael5023
    @aminamichael50232 жыл бұрын

    Shukran

  • @geerleebmuhamed8301
    @geerleebmuhamed83012 жыл бұрын

    Mashaa llah Allah bariik fii Allah akulipe kwa darsa tunaelimika Sana

  • @farhatbates9302
    @farhatbates93022 жыл бұрын

    Mashaa allahu, tabarakah allahu,hasbiya allahu, Allah amuhifandi shekh wetu,amin

  • @zabibumusa9605
    @zabibumusa96052 жыл бұрын

    Mashallah shekhe allah akupe umri mlefu

  • @ismailmustafa2649
    @ismailmustafa26492 жыл бұрын

    Sheh, shukran kwa ilimu hiyo muhimu illa kwa BAHATI mbaya sisi huku tuko mbali na hatuna uwezo kukufikiya kwani hapa hatujaona wajuzi kama nyinyi maradhi nimengi mmoja wapo Niko nakijana myaka takriban 28 alikumbwa jinni kaafir upenda sana ka chooni ,hana chochote anachopenda illa kulala Paso sijapata usaidizi {maalim Ismail mustafa Hoima Uganda

  • @user-pc8fv2vd7q
    @user-pc8fv2vd7q Жыл бұрын

    Asalam mwalaikum warahmatullay wabarakatuhu shekh mimi nilianguka chooni ila namshukuru Allah mpaka sasa Niko Salma Japo nimebaki mlemavu wamguu natembeya n'a magongo naomba nambayasimu maana nipo mbali shekh

  • @aminamganga4991
    @aminamganga49912 жыл бұрын

    Shkrn shekhe

  • @biassnachindoro4549
    @biassnachindoro4549 Жыл бұрын

    Asalamu alykum. Naitwa biassna nasumbuliwa sana nagadzi yamikono sana shekhe

  • @NaimaSalim-hv6bd
    @NaimaSalim-hv6bd9 ай бұрын

    Asalam aleikum shekhe MashaAllah tabarakllah darsa nzuri Sana MashaAllah ila mmi nipo na mmangu asumbuliwa na presha hadi hupoteza fahamu je yawezekana kupata dawa

  • @amenaallahawazidishieumrin6235
    @amenaallahawazidishieumrin62352 жыл бұрын

    Shukuran baraqa Allah fiq

  • @chikujuma9228
    @chikujuma92282 жыл бұрын

    Shukuran shekhe

  • @billibnli8844
    @billibnli88442 жыл бұрын

    mashaAllah,niko kenya na nilikuwa nataka dua uniombe jia zangu zifunguke inshaAllah na mi nitakukumbuka.

  • @charitylulu8872
    @charitylulu8872 Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @emmy85sweetie99
    @emmy85sweetie992 жыл бұрын

    Shukran shekhe othman. Napenda sana saut yako shekhe, inanifanya nielewe somo kwa urahisi wallah. Allah akulipe kheri kwa darsa lako in shaa Allah

  • @user-lw6mg2he7b

    @user-lw6mg2he7b

    2 жыл бұрын

    شكرن يا أستاذ وبركAllah akujaalie pepo inshaAllah kw elimu yako.

  • @maryamabdulrahman8226

    @maryamabdulrahman8226

    2 жыл бұрын

    Swauti wardi hahaha...wanawake jamani haya,,,Allah amlipe kheri sheikh wetu

  • @naomikatope8458
    @naomikatope84582 жыл бұрын

    Allah akulipe kheri Kwa darsa lako

  • @fatumanuribrahim7627
    @fatumanuribrahim76272 жыл бұрын

    Mashaallah sheikh Osman Allah akupe umri mrefu uendelee kutufunza dawa ni Hela ngapi

  • @wemaabdalla-qb8yl
    @wemaabdalla-qb8yl Жыл бұрын

    Mashallah

  • @user-bu7er2qv8d
    @user-bu7er2qv8d Жыл бұрын

    Mola akupe umri mtefu sheikh

  • @siyamaibrahim2773
    @siyamaibrahim27732 жыл бұрын

    Mashaallah sisi wengine tuko mbali kweli

  • @zumrasaidi6600
    @zumrasaidi66002 жыл бұрын

    Allh akupe miaka mingi shehe utibu watu wengi

  • @kavumohemedi871
    @kavumohemedi8712 жыл бұрын

    👍

  • @zuhramwavyoni8400
    @zuhramwavyoni84004 ай бұрын

    ❤❤

  • @user-jh6uu1td1i
    @user-jh6uu1td1i5 ай бұрын

    Nakupenda sana wewe ni mkarimu

  • @user-nh3hq5ku8z
    @user-nh3hq5ku8z9 ай бұрын

    Asalam alleykum shekhe nilikuwa nauliza maana ya neno ijama Mimi sijui maana yake

  • @user-et2kg6dm1h

    @user-et2kg6dm1h

    4 ай бұрын

    Hijama nikutolewa damu mbovu wengine huchanjwa na kijembe Kisha damu ikavutwa kwa pembe but cku hizi Kuna mashini zakufanyia hijama

  • @shanihamimu5288
    @shanihamimu52882 жыл бұрын

    Allha.akupe.umri.mrefu

  • @user-eq9yi7pz4i
    @user-eq9yi7pz4i Жыл бұрын

    Ameen

  • @user-sb8vo7jj2c
    @user-sb8vo7jj2c9 ай бұрын

    Alla akuongoze

  • @zaynabjaabir1791
    @zaynabjaabir1791 Жыл бұрын

    Sheikh hauna dawa ya matatizo ya uzaz kwa akina mama

  • @zaitunibunu8769
    @zaitunibunu87692 жыл бұрын

    Asalam aleykum warahmatullah wabarakatu, sukran kwa kutuelimisha lakini Niko na shwahili ni hivi umesema tusiingie chooni kichwa wazi je kama unataka kuonga tuna fanya vipi kichwa? Shukran.

  • @maryamalli9090

    @maryamalli9090

    2 жыл бұрын

    Yaani wakati unapingia chooni tu unajifunika lakini ukianza kuoga au haja nyengine unajifinua haimaaninishi muda wote ujifunike kichwa

  • @Zainab-gs4mz
    @Zainab-gs4mz2 жыл бұрын

    Mashallah Allah akupe mda mrefu

  • @rehemarashid9829
    @rehemarashid98292 жыл бұрын

    Asalam alaikum warahmathullah wabarakatuh

  • @mwanakomboomary7609
    @mwanakomboomary76092 жыл бұрын

    Assalamu Alykum kunamtu ananiambia kila binadamu anajini je sheikh nikweli

  • @thulythatmustf3535
    @thulythatmustf35352 жыл бұрын

    Asalaamu alaikum doctor Nina dada yangu alipata tatizo la kutoweza kuongea hafla maneno hayafahamiki ni Zaid ya mwaka wa Tano Sasa maneno hayatoki vizuri hafahamiki akiongea..Naomba unifahamishe naipata vip hiyo dawa. Nipo Zanzibar

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib10 ай бұрын

    Sana ata mimi nampendaga

  • @mkomoremkomore-hy3xj
    @mkomoremkomore-hy3xj Жыл бұрын

    Vzr

  • @NaimaSalim-hv6bd
    @NaimaSalim-hv6bd9 ай бұрын

    MashaAllah tabarakllah Allah akuzidishie ukarimu uliokuwanao na Allah akuzidishie elimu uzidi kutufunza inshaAllah dawa pesa ngapi ya kenya

  • @AshaHamisi-jz5mk
    @AshaHamisi-jz5mk Жыл бұрын

    Shkh samahn m nna mtt wa miaka mitatu ila anatatz upnde wa kulia umepooz wte hlo tatz alikuw nalo toka alipo kuw na miez sita je hzo daw zinawez kumsaidia?

  • @salamabakar5288
    @salamabakar528810 ай бұрын

    Assalm alykum kwema shekh ugetoa number yko maana Kuna maswalii tunataka kuliZa Kwa Siri tukupte mwenyewe

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri65242 жыл бұрын

    Mashaalah

  • @faridabakari7730
    @faridabakari77302 жыл бұрын

    Asalam alaykum

  • @ramayasly4584
    @ramayasly45842 жыл бұрын

    Watu niwagonjwa Sheikh lakini inakuja kwa matibabu yanayo mpendeza Allah niyale yameamlishwa na Allah ni Yale alio yatumia bwana Mtume Mohammad rasulullah?

  • @neemamsabaha8791
    @neemamsabaha87912 жыл бұрын

    Umefanana sana na husen Kato wa tanga

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi33772 жыл бұрын

    Ahsant

  • @salmakarim933
    @salmakarim9337 ай бұрын

    Assalam alaykum nnaomba namba ya sim ya WhatsApp

  • @husseinashol8111
    @husseinashol81112 жыл бұрын

    Assalam Aleykum Sheikh, Niko hapo Kwa HULQUUM napataje? Niko Kenya

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi7962 жыл бұрын

    Aslm Aleikum warramatullahi,nitazipata vp hizo dawa?Bbake rafiki yangu yupo na ugonjwa wa kiharusi

  • @mrfashion1687
    @mrfashion16872 жыл бұрын

    Caption ni tofauti na kilichozungumzwa

  • @khamisoothman5294

    @khamisoothman5294

    2 жыл бұрын

    Kuwa na subra ktk kusikiliza mpaka mwisho,hicho kilichoandikwa ni moja ya maudhui yalioelezwa ktk clip hii

  • @Tatafati-uk8vy
    @Tatafati-uk8vy Жыл бұрын

    Minakitupa hicho chombo😢

  • @jolierazia2432
    @jolierazia24322 жыл бұрын

    Assalam aleikum warhatulah wabarakatuh....kwani sheikh kaowa?

  • @salumusimba9236

    @salumusimba9236

    2 жыл бұрын

    Uyu shekhe kaowa na anawake 2 sjui km kaongeza wengne

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib10 ай бұрын

    Ndio wengi waliodondoka chooni walipata matatizo makubwa ata mama alisema

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa52722 жыл бұрын

    Janjajanja nyingi imaan imepotea

  • @AshaRamadhan-et8ph
    @AshaRamadhan-et8phАй бұрын

    Wap inapaikana

  • @user-mm9ko2jh8o
    @user-mm9ko2jh8o Жыл бұрын

    Yaani ngekua karibu ngechkua iyo dawa..mana nkilala usiku paja lafa ganzi na mkono pia yani uwa sielewi Janga gani

  • @siyamaibrahim2773
    @siyamaibrahim27732 жыл бұрын

    Mimi yangu inapanda

  • @shamsaazhar3473
    @shamsaazhar34732 жыл бұрын

    N shilingi ngapi hijama

  • @MirnaAhmed-op3gx
    @MirnaAhmed-op3gx Жыл бұрын

    Nitapata wapi hayo mafuta Niko lamu

  • @aishandwata2207
    @aishandwata22072 жыл бұрын

    Mimi ndio napotenza hela kila siku mamani.

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    kwa nn

  • @MirnaAhmed-op3gx
    @MirnaAhmed-op3gx Жыл бұрын

    Waitumiaje hiyo dawa mwalimu

  • @rehemarashid9829
    @rehemarashid98292 жыл бұрын

    Sheikh hio dawa ya ulcers nihela ngapi.. mm mwili unamaumivu sana na mgongo mpaka shingo..nachili ya tumbo

  • @arwaal-ismaili2987

    @arwaal-ismaili2987

    Жыл бұрын

    Asalamu aleykum

  • @arwaal-ismaili2987

    @arwaal-ismaili2987

    Жыл бұрын

    Arwa al Ismaili

  • @wahidaabdallah1610
    @wahidaabdallah1610 Жыл бұрын

    Kwa nini shelh huna ndevu

  • @zainabumavura4270
    @zainabumavura4270 Жыл бұрын

    aalamalaykum shekh naumia sana nipo hapa dar lkn nasindwa kuonana na wewr alla akuhifadd na kunijalua mie tizk ya halaln nije kuktana na wewe

  • @husseinhcube1310
    @husseinhcube13102 ай бұрын

    Hijama ni nn ? Shekhe

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman17532 жыл бұрын

    Waliowahi kutumia dawa tunaomba watoe feedback

  • @yasinikalata4572
    @yasinikalata4572 Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @Rahma-cj7wi
    @Rahma-cj7wi Жыл бұрын

    Shukran

  • @faridabakari7730
    @faridabakari77302 жыл бұрын

    Asalam alaykum

  • @mjajukiyahya2790
    @mjajukiyahya27902 жыл бұрын

    Uwe unataja na bei zake kuepusha janjajanja

  • @khamisoothman5294

    @khamisoothman5294

    2 жыл бұрын

    Unaweza kumpigia simu kupitia number hizo kuuliza

  • @yasinikalata4572
    @yasinikalata4572 Жыл бұрын

    Mashaallah

Келесі