UKIMALIZA TENDO LA NDOA TU USIFANYE MAMBO HAYA | NIHATARI SANA | YATAKULETEA MADHARA | SHEIKH OTHMAN
Жүктеу.....
Пікірлер: 99
@ramayasly45842 жыл бұрын
Asalaam aleykum Athuman Michael Allah akulinde na wachawi na mashetwani kakangu. Mie kupenda sababu zangu ni kwamba huna uchoyo wa elimu
@lilianomamo92102 жыл бұрын
Hata sisi wakristo tuko hapa
@Tatafati-uk8vy
Жыл бұрын
Karibu Lilian tupate mawaidha
@alislam3967
7 ай бұрын
You are welcome
@muhinanjowa72292 жыл бұрын
Shukran sana sheik Jazakka Allahu kher.Niliahidi moyo wangu hdi nikuone au tuwasiluane In Sha Allah Mola akupe umri uzidi kuokia umma wake Muhamma( S. A. W)🙏.
@ashanassoro64922 жыл бұрын
Masha Allah sheikh
@fatmakhanii16762 жыл бұрын
Masha Allah💕
@ayshmem99242 жыл бұрын
Maa shaa Allah shukrni sana Shekhe Allah akujaalie umri mrefu uzidi kuelimisha waislam in Shaa Allah
@naimajuma35774 ай бұрын
Shukran JazakaahAllah kherah ❤ ila ss wa Saudia tunazipataje
@zumrasaidi66002 жыл бұрын
Jazakalah khaira
@shamsaazhar34732 жыл бұрын
Maashallah 💖
@shamymhmazan77782 жыл бұрын
Mashallah shukran Allah akuzidishie umri mrefu azidi kukufungulia na tiba zingine Mashallah shukran
@AshaAsha-ng1ug2 жыл бұрын
Shukran shehe wetu kwakutufunza yenye faida ktk maisha haya ya duniani
@fatmanassor664
2 жыл бұрын
Mashallah jazzaka llah kher
@mohamedelzobery71942 жыл бұрын
Shukran sheikh
@ramadhaniathumanibatumnwa18422 жыл бұрын
Mashalah amina
@joeloileoile4786Ай бұрын
Tunaomba hizo dawa mulete zaidi za Kenya kwanzia Nairobi ,kisumu Busia bungoma etc asante
@user-vl4md8rj6i6 ай бұрын
Mashaallah mola akuzidishiye elmu na akuhifathi
@ashashaban64842 жыл бұрын
Mashallah.Allah.akulipe.kila.la kheri.inshallah
@sulekhaosman83572 жыл бұрын
MashaAllah shukran Sana sheikh wetu Allah Akulipe Kila la kheri
@mariamahmad82612 жыл бұрын
maa shaa Allah
@aminamichael50232 жыл бұрын
Shukran
@geerleebmuhamed83012 жыл бұрын
Mashaa llah Allah bariik fii Allah akulipe kwa darsa tunaelimika Sana
@farhatbates93022 жыл бұрын
Mashaa allahu, tabarakah allahu,hasbiya allahu, Allah amuhifandi shekh wetu,amin
@zabibumusa96052 жыл бұрын
Mashallah shekhe allah akupe umri mlefu
@ismailmustafa26492 жыл бұрын
Sheh, shukran kwa ilimu hiyo muhimu illa kwa BAHATI mbaya sisi huku tuko mbali na hatuna uwezo kukufikiya kwani hapa hatujaona wajuzi kama nyinyi maradhi nimengi mmoja wapo Niko nakijana myaka takriban 28 alikumbwa jinni kaafir upenda sana ka chooni ,hana chochote anachopenda illa kulala Paso sijapata usaidizi {maalim Ismail mustafa Hoima Uganda
@user-pc8fv2vd7q Жыл бұрын
Asalam mwalaikum warahmatullay wabarakatuhu shekh mimi nilianguka chooni ila namshukuru Allah mpaka sasa Niko Salma Japo nimebaki mlemavu wamguu natembeya n'a magongo naomba nambayasimu maana nipo mbali shekh
@aminamganga49912 жыл бұрын
Shkrn shekhe
@biassnachindoro4549 Жыл бұрын
Asalamu alykum. Naitwa biassna nasumbuliwa sana nagadzi yamikono sana shekhe
@NaimaSalim-hv6bd9 ай бұрын
Asalam aleikum shekhe MashaAllah tabarakllah darsa nzuri Sana MashaAllah ila mmi nipo na mmangu asumbuliwa na presha hadi hupoteza fahamu je yawezekana kupata dawa
@amenaallahawazidishieumrin62352 жыл бұрын
Shukuran baraqa Allah fiq
@chikujuma92282 жыл бұрын
Shukuran shekhe
@billibnli88442 жыл бұрын
mashaAllah,niko kenya na nilikuwa nataka dua uniombe jia zangu zifunguke inshaAllah na mi nitakukumbuka.
@charitylulu8872 Жыл бұрын
Mashaallah
@emmy85sweetie992 жыл бұрын
Shukran shekhe othman. Napenda sana saut yako shekhe, inanifanya nielewe somo kwa urahisi wallah. Allah akulipe kheri kwa darsa lako in shaa Allah
@user-lw6mg2he7b
2 жыл бұрын
شكرن يا أستاذ وبركAllah akujaalie pepo inshaAllah kw elimu yako.
Mashaallah sheikh Osman Allah akupe umri mrefu uendelee kutufunza dawa ni Hela ngapi
@wemaabdalla-qb8yl Жыл бұрын
Mashallah
@user-bu7er2qv8d Жыл бұрын
Mola akupe umri mtefu sheikh
@siyamaibrahim27732 жыл бұрын
Mashaallah sisi wengine tuko mbali kweli
@zumrasaidi66002 жыл бұрын
Allh akupe miaka mingi shehe utibu watu wengi
@kavumohemedi8712 жыл бұрын
👍
@zuhramwavyoni84004 ай бұрын
❤❤
@user-jh6uu1td1i5 ай бұрын
Nakupenda sana wewe ni mkarimu
@user-nh3hq5ku8z9 ай бұрын
Asalam alleykum shekhe nilikuwa nauliza maana ya neno ijama Mimi sijui maana yake
@user-et2kg6dm1h
4 ай бұрын
Hijama nikutolewa damu mbovu wengine huchanjwa na kijembe Kisha damu ikavutwa kwa pembe but cku hizi Kuna mashini zakufanyia hijama
@shanihamimu52882 жыл бұрын
Allha.akupe.umri.mrefu
@user-eq9yi7pz4i Жыл бұрын
Ameen
@user-sb8vo7jj2c9 ай бұрын
Alla akuongoze
@zaynabjaabir1791 Жыл бұрын
Sheikh hauna dawa ya matatizo ya uzaz kwa akina mama
@zaitunibunu87692 жыл бұрын
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatu, sukran kwa kutuelimisha lakini Niko na shwahili ni hivi umesema tusiingie chooni kichwa wazi je kama unataka kuonga tuna fanya vipi kichwa? Shukran.
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
Yaani wakati unapingia chooni tu unajifunika lakini ukianza kuoga au haja nyengine unajifinua haimaaninishi muda wote ujifunike kichwa
@Zainab-gs4mz2 жыл бұрын
Mashallah Allah akupe mda mrefu
@rehemarashid98292 жыл бұрын
Asalam alaikum warahmathullah wabarakatuh
@mwanakomboomary76092 жыл бұрын
Assalamu Alykum kunamtu ananiambia kila binadamu anajini je sheikh nikweli
@thulythatmustf35352 жыл бұрын
Asalaamu alaikum doctor Nina dada yangu alipata tatizo la kutoweza kuongea hafla maneno hayafahamiki ni Zaid ya mwaka wa Tano Sasa maneno hayatoki vizuri hafahamiki akiongea..Naomba unifahamishe naipata vip hiyo dawa. Nipo Zanzibar
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Sana ata mimi nampendaga
@mkomoremkomore-hy3xj Жыл бұрын
Vzr
@NaimaSalim-hv6bd9 ай бұрын
MashaAllah tabarakllah Allah akuzidishie ukarimu uliokuwanao na Allah akuzidishie elimu uzidi kutufunza inshaAllah dawa pesa ngapi ya kenya
@AshaHamisi-jz5mk Жыл бұрын
Shkh samahn m nna mtt wa miaka mitatu ila anatatz upnde wa kulia umepooz wte hlo tatz alikuw nalo toka alipo kuw na miez sita je hzo daw zinawez kumsaidia?
@salamabakar528810 ай бұрын
Assalm alykum kwema shekh ugetoa number yko maana Kuna maswalii tunataka kuliZa Kwa Siri tukupte mwenyewe
@yusufuheri65242 жыл бұрын
Mashaalah
@faridabakari77302 жыл бұрын
Asalam alaykum
@ramayasly45842 жыл бұрын
Watu niwagonjwa Sheikh lakini inakuja kwa matibabu yanayo mpendeza Allah niyale yameamlishwa na Allah ni Yale alio yatumia bwana Mtume Mohammad rasulullah?
@neemamsabaha87912 жыл бұрын
Umefanana sana na husen Kato wa tanga
@athumanikhamisi33772 жыл бұрын
Ahsant
@salmakarim9337 ай бұрын
Assalam alaykum nnaomba namba ya sim ya WhatsApp
@husseinashol81112 жыл бұрын
Assalam Aleykum Sheikh, Niko hapo Kwa HULQUUM napataje? Niko Kenya
@nurumwinyi7962 жыл бұрын
Aslm Aleikum warramatullahi,nitazipata vp hizo dawa?Bbake rafiki yangu yupo na ugonjwa wa kiharusi
@mrfashion16872 жыл бұрын
Caption ni tofauti na kilichozungumzwa
@khamisoothman5294
2 жыл бұрын
Kuwa na subra ktk kusikiliza mpaka mwisho,hicho kilichoandikwa ni moja ya maudhui yalioelezwa ktk clip hii
Пікірлер: 99
Asalaam aleykum Athuman Michael Allah akulinde na wachawi na mashetwani kakangu. Mie kupenda sababu zangu ni kwamba huna uchoyo wa elimu
Hata sisi wakristo tuko hapa
@Tatafati-uk8vy
Жыл бұрын
Karibu Lilian tupate mawaidha
@alislam3967
7 ай бұрын
You are welcome
Shukran sana sheik Jazakka Allahu kher.Niliahidi moyo wangu hdi nikuone au tuwasiluane In Sha Allah Mola akupe umri uzidi kuokia umma wake Muhamma( S. A. W)🙏.
Masha Allah sheikh
Masha Allah💕
Maa shaa Allah shukrni sana Shekhe Allah akujaalie umri mrefu uzidi kuelimisha waislam in Shaa Allah
Shukran JazakaahAllah kherah ❤ ila ss wa Saudia tunazipataje
Jazakalah khaira
Maashallah 💖
Mashallah shukran Allah akuzidishie umri mrefu azidi kukufungulia na tiba zingine Mashallah shukran
Shukran shehe wetu kwakutufunza yenye faida ktk maisha haya ya duniani
@fatmanassor664
2 жыл бұрын
Mashallah jazzaka llah kher
Shukran sheikh
Mashalah amina
Tunaomba hizo dawa mulete zaidi za Kenya kwanzia Nairobi ,kisumu Busia bungoma etc asante
Mashaallah mola akuzidishiye elmu na akuhifathi
Mashallah.Allah.akulipe.kila.la kheri.inshallah
MashaAllah shukran Sana sheikh wetu Allah Akulipe Kila la kheri
maa shaa Allah
Shukran
Mashaa llah Allah bariik fii Allah akulipe kwa darsa tunaelimika Sana
Mashaa allahu, tabarakah allahu,hasbiya allahu, Allah amuhifandi shekh wetu,amin
Mashallah shekhe allah akupe umri mlefu
Sheh, shukran kwa ilimu hiyo muhimu illa kwa BAHATI mbaya sisi huku tuko mbali na hatuna uwezo kukufikiya kwani hapa hatujaona wajuzi kama nyinyi maradhi nimengi mmoja wapo Niko nakijana myaka takriban 28 alikumbwa jinni kaafir upenda sana ka chooni ,hana chochote anachopenda illa kulala Paso sijapata usaidizi {maalim Ismail mustafa Hoima Uganda
Asalam mwalaikum warahmatullay wabarakatuhu shekh mimi nilianguka chooni ila namshukuru Allah mpaka sasa Niko Salma Japo nimebaki mlemavu wamguu natembeya n'a magongo naomba nambayasimu maana nipo mbali shekh
Shkrn shekhe
Asalamu alykum. Naitwa biassna nasumbuliwa sana nagadzi yamikono sana shekhe
Asalam aleikum shekhe MashaAllah tabarakllah darsa nzuri Sana MashaAllah ila mmi nipo na mmangu asumbuliwa na presha hadi hupoteza fahamu je yawezekana kupata dawa
Shukuran baraqa Allah fiq
Shukuran shekhe
mashaAllah,niko kenya na nilikuwa nataka dua uniombe jia zangu zifunguke inshaAllah na mi nitakukumbuka.
Mashaallah
Shukran shekhe othman. Napenda sana saut yako shekhe, inanifanya nielewe somo kwa urahisi wallah. Allah akulipe kheri kwa darsa lako in shaa Allah
@user-lw6mg2he7b
2 жыл бұрын
شكرن يا أستاذ وبركAllah akujaalie pepo inshaAllah kw elimu yako.
@maryamabdulrahman8226
2 жыл бұрын
Swauti wardi hahaha...wanawake jamani haya,,,Allah amlipe kheri sheikh wetu
Allah akulipe kheri Kwa darsa lako
Mashaallah sheikh Osman Allah akupe umri mrefu uendelee kutufunza dawa ni Hela ngapi
Mashallah
Mola akupe umri mtefu sheikh
Mashaallah sisi wengine tuko mbali kweli
Allh akupe miaka mingi shehe utibu watu wengi
👍
❤❤
Nakupenda sana wewe ni mkarimu
Asalam alleykum shekhe nilikuwa nauliza maana ya neno ijama Mimi sijui maana yake
@user-et2kg6dm1h
4 ай бұрын
Hijama nikutolewa damu mbovu wengine huchanjwa na kijembe Kisha damu ikavutwa kwa pembe but cku hizi Kuna mashini zakufanyia hijama
Allha.akupe.umri.mrefu
Ameen
Alla akuongoze
Sheikh hauna dawa ya matatizo ya uzaz kwa akina mama
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatu, sukran kwa kutuelimisha lakini Niko na shwahili ni hivi umesema tusiingie chooni kichwa wazi je kama unataka kuonga tuna fanya vipi kichwa? Shukran.
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
Yaani wakati unapingia chooni tu unajifunika lakini ukianza kuoga au haja nyengine unajifinua haimaaninishi muda wote ujifunike kichwa
Mashallah Allah akupe mda mrefu
Asalam alaikum warahmathullah wabarakatuh
Assalamu Alykum kunamtu ananiambia kila binadamu anajini je sheikh nikweli
Asalaamu alaikum doctor Nina dada yangu alipata tatizo la kutoweza kuongea hafla maneno hayafahamiki ni Zaid ya mwaka wa Tano Sasa maneno hayatoki vizuri hafahamiki akiongea..Naomba unifahamishe naipata vip hiyo dawa. Nipo Zanzibar
Sana ata mimi nampendaga
Vzr
MashaAllah tabarakllah Allah akuzidishie ukarimu uliokuwanao na Allah akuzidishie elimu uzidi kutufunza inshaAllah dawa pesa ngapi ya kenya
Shkh samahn m nna mtt wa miaka mitatu ila anatatz upnde wa kulia umepooz wte hlo tatz alikuw nalo toka alipo kuw na miez sita je hzo daw zinawez kumsaidia?
Assalm alykum kwema shekh ugetoa number yko maana Kuna maswalii tunataka kuliZa Kwa Siri tukupte mwenyewe
Mashaalah
Asalam alaykum
Watu niwagonjwa Sheikh lakini inakuja kwa matibabu yanayo mpendeza Allah niyale yameamlishwa na Allah ni Yale alio yatumia bwana Mtume Mohammad rasulullah?
Umefanana sana na husen Kato wa tanga
Ahsant
Assalam alaykum nnaomba namba ya sim ya WhatsApp
Assalam Aleykum Sheikh, Niko hapo Kwa HULQUUM napataje? Niko Kenya
Aslm Aleikum warramatullahi,nitazipata vp hizo dawa?Bbake rafiki yangu yupo na ugonjwa wa kiharusi
Caption ni tofauti na kilichozungumzwa
@khamisoothman5294
2 жыл бұрын
Kuwa na subra ktk kusikiliza mpaka mwisho,hicho kilichoandikwa ni moja ya maudhui yalioelezwa ktk clip hii
Minakitupa hicho chombo😢
Assalam aleikum warhatulah wabarakatuh....kwani sheikh kaowa?
@salumusimba9236
2 жыл бұрын
Uyu shekhe kaowa na anawake 2 sjui km kaongeza wengne
Ndio wengi waliodondoka chooni walipata matatizo makubwa ata mama alisema
Janjajanja nyingi imaan imepotea
Wap inapaikana
Yaani ngekua karibu ngechkua iyo dawa..mana nkilala usiku paja lafa ganzi na mkono pia yani uwa sielewi Janga gani
Mimi yangu inapanda
N shilingi ngapi hijama
Nitapata wapi hayo mafuta Niko lamu
Mimi ndio napotenza hela kila siku mamani.
@heyumi2340
2 жыл бұрын
kwa nn
Waitumiaje hiyo dawa mwalimu
Sheikh hio dawa ya ulcers nihela ngapi.. mm mwili unamaumivu sana na mgongo mpaka shingo..nachili ya tumbo
@arwaal-ismaili2987
Жыл бұрын
Asalamu aleykum
@arwaal-ismaili2987
Жыл бұрын
Arwa al Ismaili
Kwa nini shelh huna ndevu
aalamalaykum shekh naumia sana nipo hapa dar lkn nasindwa kuonana na wewr alla akuhifadd na kunijalua mie tizk ya halaln nije kuktana na wewe
Hijama ni nn ? Shekhe
Waliowahi kutumia dawa tunaomba watoe feedback
Mashaallah
Shukran
Asalam alaykum
Uwe unataja na bei zake kuepusha janjajanja
@khamisoothman5294
2 жыл бұрын
Unaweza kumpigia simu kupitia number hizo kuuliza
Mashaallah