Ustadh Haji Upepo amtetea Dr Sule kuhusu kutumia jini

Ойын-сауық

Пікірлер: 256

  • @VuaiAli-zt9ib
    @VuaiAli-zt9ibАй бұрын

    Sheikh Haji shukran,umefafanua vizuri na umeeleweka kwa wasio na ushabiki,jambo hili lipo wazi na Dalili zipo wazi kikubwa Watu wasome na waache ushabiki.

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.officialАй бұрын

    MCHE ALLAH, na uelewa mbovu kuhusu mawalii

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6wАй бұрын

    Asante sheikh wetu hajj allah azidi kukupa umri mrefu hakika hili swala umelifafanua kwa uadilifu kabisa na muonekano wa hali ya juu kwa hili allah akujaalie pepo na kizazi chako chote..

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    Kweli nyi masufi wenda wazimu kweli yani unamsifia mtu kutetea ushirikina loooh ama kweli naamini alivyosema imamu shafii ukiingia katika usufi asubuhi mchana ushakuwa mpumbavu et shekhe wetu upepo hongera ninyi ndo wale mnao haribu dini ya Allah kutetea majini mnasingizia uislamu

  • @aliabdalla9297

    @aliabdalla9297

    Ай бұрын

    ​@@user-yj5on8cz3e umesikiliza au unaropoka tu na kuja kutukana watu

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    Ай бұрын

    ​@@user-yj5on8cz3emwenye wazimu nyinyi mawahabi wapotoshaji sheikh wenu ibn taimiya asema waeza tumia majini sasa wasiokua na akili nyinyi mawahabi wapotoshaji

  • @giltaemi4017
    @giltaemi4017Ай бұрын

    Hahahahaha. Kajamaa haka kaongo balaaaa. Eti walii anaweza kutumia majini na majini yakamuogopa

  • @user-em3uf8wz6r

    @user-em3uf8wz6r

    Ай бұрын

    Wewe Ndo MUONGO nyooo

  • @giltaemi4017

    @giltaemi4017

    Ай бұрын

    @@user-em3uf8wz6r Mi nahangaikaga na Makafiri na Waongo basi. Sina hata muda huo ila sijajua ndugu yangu kama ni kafiri au unamtetea muongo mwenzako. Maana sijajua kama na wewe ni kafiri au muongo. Na kama muislamu Samahani kukuita kafiri ila pia Acha matendo ya kikafiri kafiri. Maana kafiri haoni Taabu kutukana kwasababu haamini kua siku ya Kiama Atapata hasara sasa jitambulishe tukuelewe kafiri au mwislamu. Na pia Uongo wangu ni nini Labda.

  • @abdulmalikali1501
    @abdulmalikali1501Ай бұрын

    Hini sio dini Aloiwacha bwana Mtumi Muhammad.Mbn muugawanye uislamu pande mbili?.Sote ni waislamu mbona watu wafike kwa haddi hini.kila mtu afuate lisilomtia shaka na aliwache mbali limtialo shaka.Shukran

  • @khamisali1929
    @khamisali1929Ай бұрын

    Usiseme mawahabi sheikh McHenry Allah sifa ya Allah unimpeded mwanaadam

  • @Abuusaad-uy5cx
    @Abuusaad-uy5cxАй бұрын

    SHEKH HAJI UPEPO ALLAH AKUHIFADHI KWA JINSI UNAVYO WAELIMISHA MAWAHABI KUPITIA VITABU VYAO...

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    Anawaelimisha mawahabi kwa ilmu gani alokuwa nayo huyu kijana watu wanampuuza tuuh so kila kitu watu watakujibu saa nyingine ukimya jibu la mjinga ilmu enyewe hana kajitokeza mitandaoni kudandia dandia mashekhe wenye ilmu zao wakubwa bado mtoto huyo ndomana watu hawastuki madrasa za michungwani utasema umesoma?? Sasa huyu unavyo muona atamuweza shekhe muhamnadi bachu au shekhe nurdin kishki? Amna kitu hapo kutafutta umaarufu tuu wa kuongea skuhizi ukipata ushujaa wa kuongea teyari waitwa shekhe Amna kitu hapo

  • @aliabdalla9297

    @aliabdalla9297

    Ай бұрын

    ​@@user-yj5on8cz3ewewe unajua nini na huyo bacho wako akasome kwa huyu

  • @SaidiOmy

    @SaidiOmy

    Ай бұрын

    ​@@user-yj5on8cz3e NDIO ANAWAELIMIAHA MAWAHABI WAJINGA WAJINGA AMBAO HAWANA ELIMU KAMA WEWE .. TENA MAWAHABI WANAJARIBU KUMRADD DK SULE KWASABAB ANATUMIA MAJINI KTK MAMBO YAKE .. MAWAHABI MASHEKHW ZENU NDIO WALIOSEMA KUTUMIA MAJINI INAFAA ... MBONA HAMUMSEMI IBNU UTHAIMEEN NA IBNU TAYMIA AMBAO WAMESEMA INAFAA KUWATUMIA MAJINI ?? HAPA NDIPO UTAGUNDUA KUWA MAWAHABI SIO WASOMI KAZI YAO NI USHABIKI TU . HALAFU KAMA UNAWEZA JIBU HOJA NA USIBAKI TU KUSEMA. ETI " WATU WANAMPUUZA , HANA ELIMU , WTI ANATAFUTA TU UMAARUFU . HIZI TUHUMA ZAKO UTAENDA KUJIBU MBELE YA ALLAH ... JEE ULIMFUNGUA KUFUA CHAKE UNAONA KUWA UST HAJJI ANATAFUTA UMAARUFU ???

  • @giltaemi4017

    @giltaemi4017

    Ай бұрын

    Siku zote mjinga akimuona mjinga mwenzake huona ni mwenzake. Kwahiyo hatushangai usemacho ndugu

  • @user-bj6yz7gy1v

    @user-bj6yz7gy1v

    Ай бұрын

    atakama ingekuwa ipo kwa maana iyo dini inatoka kwa mtume sio sheikh maana mtume ndo kigezo chetu hivyo kama mwanazuoni ataleta kitu hakina ushahidi wa kurani na sunnah hatosikilizwa haswa kwenye maswala ya ltikadi kiufupi sku ya pili anza mtume kasema sio sheikh fulani sawa au kama utatowa sheikh fulani basi ambatanisha maneno yake na kurani au hadithi acha kudanganya ummah kwa uwelewa wako mmbovu

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjikuАй бұрын

    Alhamdulillah saii tunazidi kumshukuru Allah sababu tunaendelea kujua wachawi ila naona Tanzania n wengi dah tumuogope ALLAH jamani wanaongezeka kila kukicha

  • @abuualya9390
    @abuualya9390Ай бұрын

    Shekh kiukwely sijawai kucomment hat siku moja lakin shekh wangu nakuomba uwend ukasome urud darasan tena

  • @aminabdalla7824

    @aminabdalla7824

    Ай бұрын

    Swadakta bwana abuu ...Hawa ndio watu wanao potosha ummah...arudi akasome dini vizuri

  • @shakourdutilo3813

    @shakourdutilo3813

    Ай бұрын

    Unao uwezo wa kuelewa mambo? Unamwambia sheikh akasome tena kivipi wakat yeye amewanukuu masheikh wakubwa duniani? Walio ruhusu kutumia majini ni SHEIKH IBN TAYMIA NA IBN UTHAIMIN, tumia akili.

  • @fauzishma8033

    @fauzishma8033

    Ай бұрын

    Huyu hata ni jahili mraqab

  • @aliabdullahi9200
    @aliabdullahi9200Ай бұрын

    Mashallah ya sheikh ❤

  • @nourdinpro
    @nourdinproАй бұрын

    Asante shekh

  • @user-wh3et9pu3h
    @user-wh3et9pu3hАй бұрын

    hebu weye upepo acha mambo yako hayo na chuki, hata hao masufi wenzako wamempinga

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    Tunaangalia Sheria SIO YA Sufi wala YA muwahabi

  • @user-bj6yz7gy1v
    @user-bj6yz7gy1vАй бұрын

    sheikh wangu umeupa khofu yangu utathibitisha kwa kuran na hadithi ety sheikh flani kasema kumbe mukiambiwa wazembe munazidi

  • @TaadudTaadud
    @TaadudTaadud5 күн бұрын

    elmu ni pana usichokijuwa ww anajua mwenzako kila moja mungu kampa elmu yake kusudi kujua ulimwengu

  • @suleimanadim6522
    @suleimanadim6522Ай бұрын

    Mm nakushauri kasome kwanza kabla ya kutoa fatwa au kuhutubia

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    Ай бұрын

    Pengine usome ww mana huelewi punguza bangi

  • @emanuelkyomo3772

    @emanuelkyomo3772

    Ай бұрын

    ​@@saba-gv3mjKufuga Jini ni Shirki Full Stop,,

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    Ай бұрын

    @@emanuelkyomo3772 ki vp shirki wajia ukisema shirki toa na maelezo kuna wengine wawatumia kwa kazi zao jini waeza mtumia

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    Lete weye hoja zako basi, msituletee chuki hazitupi faida. lete dalili

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    @@emanuelkyomo3772 jini sio kuku ata ufuge. Jini hafugwi Kwanza.

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470Ай бұрын

    Wallah sh hajji umeongea kwa hikma kubwa sana kwenye hii kadhia na nazani umefahamika kabisaa

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    Sasa wakisema mashekhe wapite mbele huyu nae mtamtowa shekhe, kwa ilmu gani alonayo? Za kutetea washirikina wafuga majini

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    Ай бұрын

    ​@@user-yj5on8cz3endio shekhe kama sio sheikh mbona wamsikiza nyinyi mawahabi wapotoshaji mumelaniwa hao mashekhe weni ndio mashekhe kwa sababu waongea na paka

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    Ай бұрын

    ​@@saba-gv3mj kweli una Akili mgando kwaiyo Kila anayetokea kwenye midia ukamsikiliza kwako wewe tayar ni shehe😂😂

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    Ай бұрын

    @saidimkwinzu9106 kulingana na ilimu yake mwenye ilimu utamjua na huu ni mwisho wadunia mashekhe wakweli wanatukanwa na kuonekana warongo na mashekhe wa urongo wanatukana wenzao nyinyi mukiona mashekhe wa ukweli nyinyi mawahabi muna shida sana na mtume s a w aliwatabiri tangu zamani nyinyi mawahabi wapotoshaji

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    @@saba-gv3mj ndo mnavyodanganywa na shekhe zenu Kati sisi na ninyi sufi nani waongo so ninyi?? Ninyi mnasema mtume anaudhuria maulidini usiku kiamo raily na hali ya kuwa mtume kashakufa yupo kaburini kwake waongo? Aya gani na haditihi gani mtume kataja mawahabi? Na jina wahabi kalileta nani mtume? Au niyinyi wazushi kwani wahabi Ni dhehebu?? Kumbe masufi Ni wajinga xana hamna ilmu mdadanganya na shekhe zenu tuu someni mtakuwa watumwa wa kutojuwa uislamu wenu ninyi mpk leo mnaburuzwa tuu!!

  • @YUSUPHMTULILA
    @YUSUPHMTULILAКүн бұрын

    Hamna sheikh hapa,Jiongo hili

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510Ай бұрын

    Umaarufu utaupata kwa hali hii, hapo hamna faida kuna ujinga tu.

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    Lete yako tuyasome

  • @bakarimussa8561
    @bakarimussa8561Ай бұрын

    Shukean shekh umefahamika mashaa Allah

  • @user-ts1kz1lw9p
    @user-ts1kz1lw9pАй бұрын

    Group Majini

  • @ahmedseif-cu4ex
    @ahmedseif-cu4exАй бұрын

    We upepo una usaha wa kichwa

  • @HafidhKhamis-ph8qg
    @HafidhKhamis-ph8qgАй бұрын

    Uyo walii ni Nan ? Wewe sh upepo usijifanye mjuaji utapoteza watu na utaulizwa

  • @SaidiOmy

    @SaidiOmy

    Ай бұрын

    Muulize lBNU taymiyya na lBNU uthaimeen Wametoa wapi KUWA kutumia majini inafaa ??? Maana Ust HAJI amewanukuu hao wawili tu . Sasa akisema wanaotumia majini ni washirikina. Jee lBNU TAYMIA na lBNU UTHAIMIIN watakua ni naniiiii ???

  • @MussaMohammad-ku5bt
    @MussaMohammad-ku5btАй бұрын

    Allah atuogoze katika njia ilyo sawa

  • @TaadudTaadud
    @TaadudTaadud5 күн бұрын

    hiyo kawaida kwa viumbe wa allah hata binadam wapo namna kuwa mwema kwako baadae kubadilika tumche mungu allah alam

  • @rambazojournalist666
    @rambazojournalist666Ай бұрын

    Sheikh umetolea mfano wa makubaliano ambayo hayafai kati ya binaadamu na jini, sasa tunaomba tutolee hiyo mifano ya makubaliano ya halali kati ya Jini na binaadamu. Pia tuelezee utaongea naye kwa mazingira gani na mtaonana wapi?. Tafadhali naomba nijibu haya maswali ili nasi tujue kwamba wew sio miongoni mwa hao washirikina. Ahsante.

  • @Harithshaame
    @HarithshaameАй бұрын

    DJ HAJI Usijingize katika mambo Ambayo huna elimu nao Wewe ni Dj tu usipoteze watu utasimishwa mbele ya Allah wew !!!

  • @KhalidAbdalla-lb4ph
    @KhalidAbdalla-lb4phАй бұрын

    kwa ufahamu wako je jini anaweza kukusaidia bila sharti za kumuasi Allah

  • @user-fu3cg3gv9g
    @user-fu3cg3gv9gАй бұрын

    Napendaga sana kufatilia haya marumbano japo mi si muislam nabaki kucheka maana huyu mshirikina huyu hana elimu bas daah dini hizi wakristo nao ndio kabisa hawa hakuna mafuta ya upako wengime mafuta ya upako yameruhusiwa vurugu mtindo mmoja

  • @abdallajuma0587
    @abdallajuma0587Ай бұрын

    Huyu hajji epepo ni mwehu mshenz Sana anawapeleka watu kwenye shirki utakwenda ulizwa mbele ya Allah 😢

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    Ай бұрын

    ww ni mwehu usojua chcht

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    Ай бұрын

    Hata ww Allah atakuliza na kusingizia watu washirikina wakati hujaona akimshirikisha

  • @athumanikhamisi3377

    @athumanikhamisi3377

    Ай бұрын

    Hakika

  • @SaidiOmy

    @SaidiOmy

    Ай бұрын

    SIJAWAONA WATU MAPUMBAVU KAMA MAWAHABI ..YAANI MARA NYENGINE BORA (( WAKRISTO )) WANATUMIA AKILI ZAO KULIKO HAWA WATU ...... MFANO HUYU ((ABDALLA JUMA )) ANAMTUHUMU UST HAJI KUWA NI MSHIRIKINA KWASABB AMESEMA INAFAA KUTUMIA MAJINI. WAKATI MASHEKH WA KIWAHABI NDIO WA ALIOWANUKUU. KAMA VILE IBNU TAYMIA NA IBNU UTHAIMIIN . KWA HUKUMU YAKO HIO MAANA YAKE . UMEWAINGIZA IBNU UTHAIMIIN NA IBNU TAYMIA KTK USHIRIKINA . KWASABABU HAO NDIO WALIOSEMA INAFAA KUTUMIA MAJINI. UST HAJI YEYE KANUKUU TU . وناقل الكفر ليس بكافر

  • @Mpakistanog

    @Mpakistanog

    Ай бұрын

    Subhahanallah

  • @Harithshaame
    @HarithshaameАй бұрын

    Jamani uyu sio Sheikh uyu ni DJ tu anaepoteza watu musimuite sheikh .. Tunamuomba Allah amuongoze.

  • @drruhanitz8161
    @drruhanitz8161Ай бұрын

    MWALIM HICHO KITABU NI KATIKA mlango ngani Tadhali ili tupate faida KATIKA hicho kitabu

  • @allymuhammad8956
    @allymuhammad8956Ай бұрын

    Yaani wewe mwenyewe unajichanganya

  • @deathrow8004
    @deathrow8004Ай бұрын

    WATU WA BIDAA WOTE WASHIRIKINA

  • @omarabdullah3412
    @omarabdullah3412Ай бұрын

    Allah Atuongoze. Fungua vitabu basi kama Bachu sio balbala. Angalia unavojichanganya

  • @SaidiOmy

    @SaidiOmy

    Ай бұрын

    IBNU UTHAIMIIN AMESEMA KUTUMIA MAJINI INAFAA KAMA ALIVOSEMA DK SULE .. IBNU TAYMIA AMESEMA KUTUMIA MAJINI INAFAA KAMA ALIVOSEMA DK SULE MAWAHABI MNAAEMA JEE HAPA. JEE INAFAA MWENYE KUMIA MAJINI TUMUITE MSHIRIKINA ??? AU MCHAWI ?? ILI TUKIMUITA DK SULE NI MCHAWI BASI PIA TUMUITE IBNU TAYMIA NA IBNU UTHAIMEEN NI WACHAWI ??

  • @mirajramadhan3845
    @mirajramadhan3845Ай бұрын

    Walii ni kila muumini anayemwamini ALLah.na si walii mtu maalum na kabla Mashekh wa kusudi kwa.

  • @la_raib953
    @la_raib953Ай бұрын

    sisi ni waislamu anapotokea Muumini yoyote Haram akaihalalisha or kuilainisha hiyo anatakiwa kupingwa Kwa kuelimishwa or ata kutengwa

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    Ай бұрын

    Soma mzuka ww wakupingwa kama ww usio kua na ilimu

  • @Hemy73Ally
    @Hemy73AllyАй бұрын

    Kisha mwenyewe unajifungaaa waliokataa ilo jambo hawajakosea wapo sawa mzee usiwatie watu kwenye ushirikina unajizongaa sana mzeee bora wao waliokuja wakasema haifai moja kwa moja mie ata sikuelewi naona unajizonga tuu mzee

  • @user-qe9pd9zk8v
    @user-qe9pd9zk8vАй бұрын

    Kutoka kwa Hafswa bint Omari bin Khattwabi- Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- Kutoka kwa Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake- Amesema: "Atakayemuendea mpiga ramli akamuuliza kuhusu lolote, akamsadikisha, haitokubaliwa kwake swala yoyote siku arobaini". Sahihi - Imepokelewa na Imamu Muslim

  • @abuuhhashim
    @abuuhhashimАй бұрын

    Wew . Haji unajielewa

  • @yunusabubakar6862
    @yunusabubakar686220 күн бұрын

    Yaani huyu atoe mawaidha bila kutaja mawahabi nadhani yuaeza kuumwa😂

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514Ай бұрын

    USHIRIKINA HUO jini anaulimwengu wake na sisi tunaulimwengu wetu hakuna, QN kunaubusiano gani wa Pete na majini?

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    Ай бұрын

    Ulimwengu wa majini ni upi hemu tuambie someni tumeumbwa majini na binadamu kumuabudu Allah na jini waeza mtumia kwa njia ya sawa

  • @user-oh7gv8zg5y
    @user-oh7gv8zg5yАй бұрын

    Huwezi, kutumia jini ukamdhinit , ispokua wew ni mchawi na yeye lazima akupe masharti ya kufru, khalasi acheni kupindisha pindisha mambo, mashekh WA ki khurafi😊

  • @Hemy73Ally
    @Hemy73AllyАй бұрын

    Mzeee sema tu km unatafutaa umaruufuu kwa nguvu lakini unayoongea bado hayana kauli zilizoshiba hakuna jini utakaemtumia asitake lake uyo binadamu akikusaidia mamb kibao yanakuja Mungu yupo anatosha mwisho mtu ndio kila kitu jini mpk ushirikina km Mola wako hakutoshi bas lkin ilo ni jambo lisilo la msingi tafuteni tu izo njia za kua wachawi taratibu

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9evАй бұрын

    Hahaahaa leo umekua ibn tehimia innalillah wainnalillaih rajoon japo huo ni uongo maelezo ni tofaut kwel usufi mzingo

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    Ай бұрын

    Mzigo wako ibn taimiya ndio kazi yake ikitoa watu majini na pia asema waeza kutumia kwa njia ya sawa ubaya nyinyi mawahabi wapotoshaji hamusomi huyo sheikh wenu kakubali

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926Ай бұрын

    Umesema humtetei dr.sule kwa mengine hayako sawa sasa swali mbona husemi hili dr.sule hapo hapana ww pia umwoga kitu amepindisha s useme hapa umepindisha

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3uАй бұрын

    Tupe ilmu Shekhe

  • @abdallajuma0587
    @abdallajuma0587Ай бұрын

    Hili HAJI upepo ni shirikina tulisema zamani chawi sana hili

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    Ай бұрын

    Ww mjinga huyu sheikh haji apa ananukuu mijtabu yenu hivyo nynyi ndio wachawi wakubwa

  • @abdallajuma0587

    @abdallajuma0587

    Ай бұрын

    @@HemedSerious nyie uko misufu ndio mishirikina munao abudia makaburii

  • @athumanikhamisi3377

    @athumanikhamisi3377

    Ай бұрын

    Hakika

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    Ай бұрын

    @@abdallajuma0587 wewe una akili lkn? Au mgonjwa? Unajua maana ya kuabudu? Km unajua naomba nipe maana ya kuabudu

  • @abdallajuma0587

    @abdallajuma0587

    Ай бұрын

    @@HemedSerious munawapoteza watu Sana nyie makohani tushawajuwa zamani munakoelekea acheni kuabudia mizimu nyie masufii

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tubeАй бұрын

    Wazee mnavogombana ivi wakristo wanafatilia mwishoe wanatumia maneno haya haya kutudharau

  • @ahmadmussa8745

    @ahmadmussa8745

    Ай бұрын

    Wamdharau nani?

  • @user-xc6wt1lf6u
    @user-xc6wt1lf6uАй бұрын

    Mimi Shekhe Naomba Kufaham Tunafata Quran na Sunna Za Mtume Au Haitosh Tunafata Na Ya Watu Wengine

  • @rizikilukali1558

    @rizikilukali1558

    Ай бұрын

    Wewe unauwezo wa kuifafanua qur'an na sunna bila msaada wa maulamaa

  • @citygraphics6670
    @citygraphics6670Ай бұрын

    Hakuna tofauti unayosema na aliyosema bachu. Nini maana ya Ulamaa wa Ahlusuna na Mawahabi. Usigawe waislam mcheni Allah

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9evАй бұрын

    Mwenda wazimu WEWE

  • @shakourdutilo3813

    @shakourdutilo3813

    Ай бұрын

    Sasa mwenda wazimu ni nani?? Inamaana unamtukana sheikh IBN TAYMIA NA SHEIKH IBN UTHAIMIN waloruhusu kutumia majini!?

  • @adimiddyrama8894
    @adimiddyrama8894Ай бұрын

    mwendawazimu ww.

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    Ай бұрын

    Wewe ni kichaa kabisa

  • @muhamadhusein5260

    @muhamadhusein5260

    Ай бұрын

    Acha hasira ,lete hoja

  • @SaidAbdallah-sm1ft
    @SaidAbdallah-sm1ftАй бұрын

    Kijana acha kuwapoteza waislam fahamu Kila unachosema utakuja kuulizwa

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    Ай бұрын

    Kwani apo kakosea wapi mwehu ww

  • @gotfriedmwesiga4234
    @gotfriedmwesiga4234Ай бұрын

    Kwanini msimwombe Mungu mwenyewe awasaidie jamani mnaomba majini ili iweje?

  • @jumaothman4411
    @jumaothman4411Ай бұрын

    tatizo la mashehe wetu (upepo) hamusikilzi ili mufaham munasikiliza ili mujibu

  • @rizikilukali1558
    @rizikilukali1558Ай бұрын

    Umeeleza kisomi kijana tofauti na hawa mawahabi wanaokwenda kishabiki

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399Ай бұрын

    Ni ost wangu kweli lkn kuhusu hii elimu ya majini Bdo ,kw7bu inacr kubwa sna maana inaundn Kuna mambo inaonekna hayajkfka yakikufka utakuja kusherehesha vzr

  • @anwary_sultan
    @anwary_sultanАй бұрын

    we nnae mshirkina tu Allah katika Quran yake kakwambia umfuate Ibn Uthaymeen au ufuate kitabu chake na mtume wake. Asee Allah atufanyie wepesi waislam.. asa kusomesha familia zetu katika nguzo za uislam na nguzo za iman muislam hajatajiwa mwanadam yyte ispokua Muhammad tu ila washrikina kama kawaida watafanya juu chini kujihalalisha tu, ukute hata kitabu anachosoma huyu bwana mdogo kimetengenezwa na wao kwa jina la uthaymeen na dogo hajui kua sio maandish sahihi ya Uthaymen..

  • @citygraphics6670
    @citygraphics6670Ай бұрын

    Haya mbona ndio alosema Bachu? Mnalazimisha utofauti wa waislam mcheni Allah jamani

  • @user-qe9pd9zk8v
    @user-qe9pd9zk8vАй бұрын

    Jiupusheni na mambo saba yanayoangamiza, wakasema maswahaba: Ni yapi, ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu? Akasema Mtume ﷺ: Kumshirikisha Mwenyezi Mungu, na uchawi, na kuuwa nafsi aliyoharamishwa na Mwenyezi Mungu ila kwa haki, na kula Ribaa, na kula mali ya yatima, na kukimbia vitani,(katika jihadi) na kuwasingizia kuwa wamezini wanawake waliojihifadhi walioghafilika tena waumini]. [Imepokewa na Bukhari na Muslim]

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205Ай бұрын

    Je mtume alitumia ?

  • @sheikhyusufdiwan2489
    @sheikhyusufdiwan2489Ай бұрын

    جزاك الله خيرا

  • @hudhaifahsadru-xr2gg

    @hudhaifahsadru-xr2gg

    Ай бұрын

    Mpaka Leo nashangaa yaani wew kutokana na chuki za tofauti ya ufahamu, umeamua kusema kuwa mawahabi Ni sawa na wakristo, hivi huoni kauli yako unawafadhilisha makafiri? Mwanzo nilijua wew Ni msomi

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    ​@@hudhaifahsadru-xr2gg kabisa wakatoliki. Uhakika mia mia

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    Ahlu bidaa huyu atajuwa hilo wazushi sikuzote ndo walivyo mashekhe kama hawa wanastahiki adhabu duniani na akhera linadanganya umma wallah mtajibu kwa Allah nyie ukamnasibisha muislamu na ukristo subuhana llah hamna kitu hapo kichwani

  • @user-yj5on8cz3e

    @user-yj5on8cz3e

    Ай бұрын

    ​@@hilalkhalfan1452na ww msufi munae abudu makaburi ya masharifu upo sahihi usufi ni upumbavu mi ndomana nikimuona mtu wa bidaah simsalimii kabisa wazushi hawa

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    @@user-yj5on8cz3e Kama Wewe Una chuki Na masharifu basi utapambana Nao akhera. Sisi tunawapenda na tutawazuru.

  • @jumaothman4411
    @jumaothman4411Ай бұрын

    kwaiy umeamua kutetea huku kwenye haki ukaacha kuke kwenye haramu kwakua mawahabi wameongea na we huwapendi

  • @ShabanHassan-td3lx
    @ShabanHassan-td3lxАй бұрын

    Ww hajji tumia akili kwanza, tumia ww ao majini, ss mawahabi msimamo wtu haifai,

  • @planetanimals9547
    @planetanimals9547Ай бұрын

    Njia gn hio yakuongea namajini isiyo yakishirikina mbona hatukuona kigezo mtume wetu

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    Ай бұрын

    Soma ww mtume s a w aliongea na majini ma wengine akiwafundisha quran hujielewi someni mawahabi wapotoshaji

  • @user-nb2ql7zw3i
    @user-nb2ql7zw3iАй бұрын

    Muhammad Nassoro Bachu nimuelewa sana ila ww kweli ni upepo

  • @Grataaaaa
    @GrataaaaaАй бұрын

    Na wew pia mshirikina kwa nini utumie jini kwani ALLAH hatoshi hadi utafute msaada wa jini daaa mwamba unayumba

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    Ай бұрын

    Wacha ushamba kwani ukimtumia jini ni mshirikina kua na akili na uwe na ilimu jini ukimtumia sio ushirikina ukimtumia kuroga ndio utakua mshirikina someni mijuha ya kiwahabi

  • @Grataaaaa

    @Grataaaaa

    Ай бұрын

    @@saba-gv3mj pumbavu zako ww ivi kumtumia jini kulikuwa ukosefu gani kwa mungu iyo ni elimu ya kiganga na ww apo ulipo mganga wacha kujibabaisha mnajifanya wasomi wavivu wakufanya kazi

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    Ай бұрын

    @ZubeirJuma-up7kb wacha ujinga kondoo moja ww soma jini waeza mtumia kama mfanyi kazi wako sawa lakini unamtumia kwa njia ya sawa sio umtumie jini kuroga hapo utakua umemshirikisha ama umtumie jini kukulinda hapo utakua umeshirikisha lakini jini waeza kumtumia kwa kutibu watu kukuchukulia madawa na vitu vengine nabi suleiman aliwatumia majini kujenga aliwatumia majini wakipika chakula aliwatumia majini wakizama ardhini kuleta madini na alikua na majeshi yake ya kijini binadamu mpaka upepo na mengineo sawa hio akili yako iko kwenye makalio sio kila mtu mshirikina wala hujaona mtu akimshirikisha mungu nyinyi mawahabi wapotoshaji ilimu hamuna watupu kabisa ww na kondoo huna tafauti akili zenu

  • @shakourdutilo3813

    @shakourdutilo3813

    Ай бұрын

    Nani mshirikina hapo, SHEIKH IBN UTHAIMIN NA SHEIKH IBN TAYMIYA Walioruhusu kutumia mjini au huyu sheikh UPEO??

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    Ай бұрын

    @@shakourdutilo3813 na hao mashekhe ni wakiwahabi wote ibn taimiya na uthaimin wote mawahabi

  • @Harithshaame
    @HarithshaameАй бұрын

    Kasome Bado hujawa na elimu. Haji upepo......nenda kasome usipoteze watu utaulizwa mbele ya mola wako..

  • @IbrahimNtirenganya
    @IbrahimNtirenganyaАй бұрын

    Wewe kijana unauzowefu wakuzunguusha ulimi wako lskini hakuna jipya ulilo simulia umetaka nawewe uonekane mwenye kasema kuhusu kadhiya hiyo lakini wewe utajuhudi sana ya kuteteya Bida,a Allah akuongoze

  • @alimau7939
    @alimau7939Ай бұрын

    Mukizozana juu ya jambo lirudisheni kwa Allah na mtume wake mbona mashehe wa leo vitabu ndio kipao mbele

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2ypАй бұрын

    We Nishimura shiyaaaa

  • @YussufWakala
    @YussufWakalaАй бұрын

    Dk sule na yey waliiii hhhhh apo tuache

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106Ай бұрын

    Washirikina mnajuana

  • @KhalidAbdalla-lb4ph
    @KhalidAbdalla-lb4phАй бұрын

    Ata kama kasema lkn ufahamu yy ni mujtahidi

  • @user-oh7gv8zg5y
    @user-oh7gv8zg5yАй бұрын

    Acha, upuuzi wote tunafaham wao Wameumbwa na moto na Sisi Kwa uongo, SA utawezaje kumdhibiti wakat yey ananguvu kushinda, sisi

  • @user-es4uf6gj7u
    @user-es4uf6gj7uАй бұрын

    Weneyetabia yakupenda majini wengiwao niwashirirkini

  • @JumaMgeni
    @JumaMgeniАй бұрын

    Wewe ndugu yangu hueleweki maelezo Yako, tutajie walii mmoja tu unamjua wewe nayuko wapi huyo waliii

  • @user-qe9pd9zk8v
    @user-qe9pd9zk8vАй бұрын

    Anaeleza Mtume -Rehema amani ziwe juu yake- yakuwa atakayejifunza na akachukua katika elimu ya nyota na mashukio yake na kutumia harakati zake kama ushahidi wa matukio ya ardhini kama kifo cha mtu fulani au uhai wake au maradhi yake, na mfano wake katika yatakayotokea siku za mbeleni, basi atakuwa kajifunza sehemu ya uchwi, nakuwa kadiri mwanadamu anavyokithirisha elimu hii basi anakithirisha uchawi

  • @hijahamadi5793
    @hijahamadi5793Ай бұрын

    Dini imevamiwa na vijana wasio na hekma , Jambo hili lina shubha kubwa ndani yake, na kama masheikh hamtakuwa makini mutawaongiza watu katika ushirikina. Kwa mfano Zanzibar watu wengi wamezama katika ushirimina huo wa kutumia majini, mpaka wanawapigia ngoma na kuwachinjia , na wengine wanawatumia katika tiba, kwa sharti. La kuwachinjia, na masharti mengineyo. Watu hawa unapokaa kwenye chombo cha habari ukawaambia inafaa huoni kwamba ndio unazidi kuwazamisha kwenye ushirikina.

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    Kwahio ulitaka isemwe haifai kwani Sisi ndio miungu ya kuwapangia watu?!. Wanaotaka upotovu huwezi kuwazuia na haqi husemwa kwa kiasi Cha ukweli. Hawezi kuwadanganya watu kwasababu tu ya dhana za fikra zako. Kwani ukisema haifai kutumia Kwa LOLOTE unafkiri washirikina wataacha ushirikina wao?!. Hawatoacha isipokuwa utakuwa umetoa hukumu kinyume Na Mwenyezimungu sw. Sisi hatufuati maoni, twafuata Dini Kwanza.

  • @shakourdutilo3813

    @shakourdutilo3813

    Ай бұрын

    Kama una akili timamu na unaweza kufikiri utaelewa kuwa, walioruhusu kutumia majini na wakaandika kwenye vitabu vyao ni SHEIKH IBN TAYMIA NA SHEIKH IBN UTHAIMIN huyo sheikh UPEO anawanukuu hao masheikh wakubwa. Sijui umeelewa

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    @@shakourdutilo3813 IBN taymia na uthaimeen hawaaminiki labda washirikina TU wamejificha kichaka cha dini

  • @jumaothman4411
    @jumaothman4411Ай бұрын

    au msikilizs shekh kiriwasha sehem ya pili

  • @user-es4uf6gj7u
    @user-es4uf6gj7uАй бұрын

    Wewe mwenyewe shekhe unazunguka mbuyu lakini unajuwa hifai

  • @user-xt6jf9um4s
    @user-xt6jf9um4sАй бұрын

    Sem naww kiki pia

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    Ай бұрын

    Jimwehu

  • @user-es4uf6gj7u
    @user-es4uf6gj7uАй бұрын

    Huwezi kumzibiti jini binadamu hata kutu chocolate ambacho unahitaji kikusaidie akusaidie halafu akukuogope tusidanganyane

  • @softjeanskhakis789
    @softjeanskhakis789Ай бұрын

    Lazima umtete kwa sababu. Wewe NI moja wapo

  • @SaidiOmy

    @SaidiOmy

    Ай бұрын

    Na IBNU TAYMIA PAMOJA NA UTMAEMIIN WOTE WANAKUBALI KUTUMIA MAJINI JEE WAO NI WAKINA NANII ?? ACHA USHABIKI WEE NA UVUNDO WA UWAHABI TUMIA AKILI YAKO ULIOPEWA NA ALLAH .

  • @binsaid8248
    @binsaid8248Ай бұрын

    Sasa unastadili kwenye vitabu ambavyo unavikosowa kila siku Nashindwa sasa nishike wapi mañana ibnu taiymiya na ibnu uthaimin unawapinga mnooo

  • @user-dg8dt5bg7q
    @user-dg8dt5bg7qАй бұрын

    Ustadh nakuombea Dua Moja tu ALLAH àkujaalie jannatul firdaus !! Nimekupa firdaus maana wewe umkali ki vipi,, Yani wawakaranga na mafuta Yao!!! TOBA!!! Mawahabi siku zote hua hawaelewi sijui kwanini ALLAH awape fahamu Hawa mawahabi inshallah khususan tusome nao maulidi maana hawataki mtume asifiwe ni maana hawajui mtume saw bado kua ni nani hebu niwaulize kidooogo Hawa mawahabi maji aliyooshewa bwana mtume MUHAMMAD Saw wakati alipofariki yalienda wapi? Wakipata jibu waseme hiyo ni shirki pia!!!

  • @user-es4uf6gj7u
    @user-es4uf6gj7uАй бұрын

    Acheni majini kwa ni huwezi kipata saanda mpaka kwa jinni iwe nimali au dawa au crocheted kile

  • @isihakamgeta5433
    @isihakamgeta5433Ай бұрын

    KWAHIYO LEO UMEWAKUBALI MAWAHABI 😂😂😂

  • @SalmaSalim-ch5gt

    @SalmaSalim-ch5gt

    Ай бұрын

    Leo kaichukua huja zao nakazikubali

  • @meksd2418

    @meksd2418

    Ай бұрын

    Sikama anawakubali ila anachosema kumbee hata mawahabii wanatumia majini

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    ​@@SalmaSalim-ch5gtkwasababu mawahabi ndio waliopinga, SASA kakutoeni matongo ya macho alau basi japo vitabu vyenu akusomesheni. Ndio kawaida ya waislamu huwafunza wakiristo vitabu vyao ili wasilimu

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    ​@@meksd2418tena mawahabi wanatumia jini kishirikina haswaa kwasababu hajawahi kutokea walii wa mungu mawahabi. Mawalii wote Ni Sufi. Ndio maana wananuna, ndio kawaida ya wakiristo hawezi kutokea walii kwao ila uchawi tu labda,

  • @hamicpina1151
    @hamicpina115126 күн бұрын

    Kwani huyu msela wawapi anatokea wapi mbona x shehe uyu ni mla bangi tuuu

  • @MBAROUKSAADHUSSEIN
    @MBAROUKSAADHUSSEINАй бұрын

    k Kamsikilize Shekhe ABDUL-QADIR THEN NJOO UMSIKILIZE SHEKHE HAJ halafu tafuta tofauti

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    Sheikh Abdul Qadir kutumia Akili, Sheikh Haji katumia dalili

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205Ай бұрын

    Upepo kasome tauhidi kwanza kisha ndo uje umtetee mtu mshirikina

  • @user-lh8qf5mn3s
    @user-lh8qf5mn3s13 күн бұрын

    Kishehe ubwabwa hicho kinaporoja

  • @ZahranJuma-ye2gr
    @ZahranJuma-ye2grАй бұрын

    7:52

  • @yusufntamila541
    @yusufntamila541Ай бұрын

    Allah akuhifadhi unajua sana

  • @ramadhandiwani3410
    @ramadhandiwani3410Ай бұрын

    Asante shehe Majini wanatumiwa na mawalii tu Sio kina sule wanaojigamba na kujion na kujidai Akifanya mchezo watampoteza ajitayarisha mapesa ya majini hayo hayandi burre

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kzАй бұрын

    Washirikina ukiwagusa utakiona lkn mtaelimishwa hadi mkae sawa

  • @silimakhamis7088
    @silimakhamis7088Ай бұрын

    Hii NI bakora,twayyib shekh

  • @hassansheha1092
    @hassansheha1092Ай бұрын

    Huna akili babu

  • @Ali-wi7hw
    @Ali-wi7hwАй бұрын

    Si kumtetea. ufafanuzi umepambanua. Dr sule hana uwalii huo.

  • @amidsshimirimana-yg4ku
    @amidsshimirimana-yg4kuАй бұрын

    Kwahiyo hayiwezekani huyo sure nimushilikina

Келесі