KHAIRIYYA ONLINE TV

KHAIRIYYA ONLINE TV

KISIMA CHA MAARIFA NA BURUDANI.......
Kwa habari za kuhusu uislamu, Shughuli za kiislamu na mikusanyiko ya kheri makongamano na mihadhara na mengine mengi tafadhali subscribe ..channel yetu pendwaa ya KHAIRIYYA ONLINE TV..
Na
Uungane nasi leo ufaidike na Unufaike na
KHAIRIYYA ONLINE TV

Tumetia Nia ya kukuletea karibu habari zote za kiislamu Tanga Na nje na yale yote
Yanayojiri katika TAASISI zetu za kidini Tanga.
NA UNAWEZA PIA KUTUPATA KUPITIA

Facebook page
@KhairiyyaOnlineTv

Instagram account
@KhairiyyaOnlineTvoffial

What'sapp online group
#0622166959


KHAIRIYYA ONLINE TV
Kwa mawasiliano Zaidi Simu namba
0622166959

Hakika sisi ni Kisima cha maarifa na Burudani

TANGA YETU TANZANIA YETU NA UISLAMU WETU KWA PAMOJA TUTAFIKA
Inshaallah 🙏

Пікірлер

  • @fatumarajabu1175
    @fatumarajabu1175Күн бұрын

    Nini kilimkuta jamani 😥😥😥

  • @suleimanahmadaali5989
    @suleimanahmadaali59892 күн бұрын

    Hivi jengeni picha maswahaba nd walikaa na mtume wakacheza ivo na ngoma juu, duh Allah akuongozeni katika haki

  • @husseinramadhani5859
    @husseinramadhani58595 күн бұрын

    Ahmad Majjah Allah akurehemu mzee wetu

  • @Dr-ubaida965
    @Dr-ubaida9657 күн бұрын

    Mashaallah

  • @Rooney1184
    @Rooney11848 күн бұрын

    Mtihani sana kama kauli ina mattzo ni kauli ambayo imeekwa katika udhaifu kwann mnaisoma

  • @LupambaSaidLupamba
    @LupambaSaidLupamba11 күн бұрын

    Bachu wasikubabaishe hao hawana jipya

  • @user-du9bg8ir4e
    @user-du9bg8ir4e11 күн бұрын

    Alla aidumishe taasisi yetu na mashehe wetu mungu awape umri mrefu

  • @shabanimadewa1525
    @shabanimadewa152512 күн бұрын

    Mtujue nn kimemkut na anaendeleaj

  • @user-qj2pr1ji6j
    @user-qj2pr1ji6j12 күн бұрын

    Aisee nini kimekuta huyu kijana😭😭😭

  • @khatibumahilla
    @khatibumahilla14 күн бұрын

    sasa matusi yame toka wap kama haikuhusu siu utulie2 ina haja gani ufuatilie

  • @mudrickbachan2442
    @mudrickbachan244217 күн бұрын

    جميل

  • @RokaiRokai-j6w
    @RokaiRokai-j6w17 күн бұрын

    Naipenda Sana maarifa Kwa ajiliya alwaa

  • @SuleymanMohamed-b8l
    @SuleymanMohamed-b8l17 күн бұрын

    Mashaallah

  • @aishakiungulia6294
    @aishakiungulia629418 күн бұрын

    Inalilah waina lilah rajiun Allah ampe kaul thabit ktk nyumb yk ya mwisho

  • @rmdhnhmz512
    @rmdhnhmz51218 күн бұрын

    Mashaallah! mashaallah jazakallahukhayra

  • @ShafiiMwesi
    @ShafiiMwesi18 күн бұрын

    Mungu amuifadh shek songor sifa mashango msambwen mungu atup subra insha llaah

  • @ShafiiMwesi
    @ShafiiMwesi18 күн бұрын

    Mungu amuifadh pamoja na shek kassim bahatisha

  • @ShafiiMwesi
    @ShafiiMwesi18 күн бұрын

    Allahum fil lahu war hamah waskun fil gan,na mungu ampe sehem nzur kaburin amuifadh na dhik na tabuuu za kaburiniii msambwen yetu ndio ina Isha vizur vina ondok inauma sanaa

  • @Rahma-ns9sh
    @Rahma-ns9sh19 күн бұрын

    Mashaallah

  • @AbdulMutta
    @AbdulMutta19 күн бұрын

    Mashallah Allah awape nguvu

  • @user-qn1hj6ke3c
    @user-qn1hj6ke3c19 күн бұрын

    إنا لله وإنا إليه راجعون اللهم اغفر له وارحمه واسكنه الفردوس 😭 😭 😭

  • @saumu4682
    @saumu468219 күн бұрын

    Allah ampe Nuru katika kaburi hake😢😢

  • @sofiajumaa4538
    @sofiajumaa453819 күн бұрын

    Mungu ailaze roho yake mahali pemaa 🤲🏻🤲🏻🤲🏻

  • @sityAbdallah
    @sityAbdallah19 күн бұрын

    Inalilah wainailah raajuun😂😂😂allahumaghfir warham waskanau fili njan😂😂😂

  • @Rahma-ns9sh
    @Rahma-ns9sh19 күн бұрын

    Innahlillah wainnah illayhi raajiuun

  • @abalhassaniibrahimu810
    @abalhassaniibrahimu81019 күн бұрын

    😭😭😭😭😭 Allah amraham

  • @jumaaruwa8793
    @jumaaruwa879319 күн бұрын

    🤲🤲🤲

  • @munaswiracrew
    @munaswiracrew19 күн бұрын

    Mashallah mashallah jazaqaa llahu khaira 🙏🙏🙏 raha sana ety wenyewivu hawaingii peponi wallah ❤

  • @abalqaacemjumaa8643
    @abalqaacemjumaa864320 күн бұрын

    hii pia nayo ni dini..?, huu pia ni uislam..?... hii pia ni milla ya Mtume wetu...?... inasikitisha... sana.. 😢

  • @hassanheresiwambura8341
    @hassanheresiwambura834120 күн бұрын

    😭😭😭😭Allah ampe kauli thabit ustadh Songoro

  • @jumaaruwa8793
    @jumaaruwa879320 күн бұрын

    Innalillah wainna ilayhiy rrajiun 😭😭 Mungu Ampe kauli thabit, Amsamehe makosa yake na Amuondoshee Adhabu za Qabur na Ajaalie kaburi lake liwe Bustani Miongoni mwa Bustani za Peponi 🤲🤲

  • @SelemaniSelemani-bw4ps
    @SelemaniSelemani-bw4ps20 күн бұрын

    Innalilah wainailayh rajiuun, allahuma ghfir lahu warhamhu, wa askinhu filjanna! 😭😭 Pole sana kwa mudir shekh salim bin zuber, na maawal islam kwa ujumla, pia pole sana kwa shekh abdulhamid bin suleiman brang kwa kuondokewa na rafiki yako,! Allah awape uvumilivu na subra in shaa allah 😭😭

  • @husnasalim9614
    @husnasalim961420 күн бұрын

    Ustdhi songoro sifa allah ailaze roho yako mahali pemapeponi😢😢😢

  • @Chalazatz
    @Chalazatz20 күн бұрын

    Innah lillahi wainnah illayhi raajiuun

  • @user-ce6xb1io9l
    @user-ce6xb1io9l20 күн бұрын

    Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun

  • @user-ce6xb1io9l
    @user-ce6xb1io9l20 күн бұрын

    Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun

  • @SuleShaibu-go5mc
    @SuleShaibu-go5mc20 күн бұрын

    innalillah wainna ilyhi raajiun

  • @abalhassaniibrahimu810
    @abalhassaniibrahimu81020 күн бұрын

    😢😢

  • @AlhajiMswaki-de3kb
    @AlhajiMswaki-de3kb20 күн бұрын

    Mawahabi kaz mnayo et uzush vingap vimezushw eb tupishen toen wivu wenu

  • @ShabaniBakari-iy4op
    @ShabaniBakari-iy4op20 күн бұрын

    Mashaaallh

  • @Aminahlamranl420-hw2ie
    @Aminahlamranl420-hw2ie21 күн бұрын

    Innalillah wainna illah rajioun. Pole dad yang kwa kuondokewa na kijana wetu. Allah ampe kaul thabit 😢😢. Umemfata wajina wako. Daah amebaki songoro 1 😢😢

  • @husnasalim9614
    @husnasalim961421 күн бұрын

    Innalillah wainnaillah rajiun 😭😭😭

  • @user-vg2yr4qq5r
    @user-vg2yr4qq5r21 күн бұрын

    Innalilah Wainailaih Rajiun Alah Ampe kauli thabiti

  • @user-lt1tk7oi9p
    @user-lt1tk7oi9p21 күн бұрын

    Innalillah wainailah ranjiuna polen sana Allah ampe kauli thabiti na amuepushe na adhabu za kabrin inshallah sote ni wa allah na kwake tutarejea Allah atupe mwisho mwema inshallah 🤲

  • @MohamedyAlly-ge1mv
    @MohamedyAlly-ge1mv21 күн бұрын

    Allah ailaze roho ya marehemu mahalapema peponi

  • @jaizaniimamu3880
    @jaizaniimamu388022 күн бұрын

    Hivi hapa hamna shirki?

  • @jaizaniimamu3880
    @jaizaniimamu388022 күн бұрын

    Allah amrehemu

  • @abumuhammadmbwana3964
    @abumuhammadmbwana396422 күн бұрын

    Mashaallah Shekh Salim Allah akupe umri mrefu na afya pamoja na maarifa na ucha mungu.

  • @Chalazatz
    @Chalazatz22 күн бұрын

    Innah lillahi wainnah illayhi raajiuun

  • @amirilizo6706
    @amirilizo670622 күн бұрын

    Innalillah wainnaillah rajiun