KISIMA CHA MAARIFA NA BURUDANI.......
Kwa habari za kuhusu uislamu, Shughuli za kiislamu na mikusanyiko ya kheri makongamano na mihadhara na mengine mengi tafadhali subscribe ..channel yetu pendwaa ya KHAIRIYYA ONLINE TV..
Na
Uungane nasi leo ufaidike na Unufaike na
KHAIRIYYA ONLINE TV
Tumetia Nia ya kukuletea karibu habari zote za kiislamu Tanga Na nje na yale yote
Yanayojiri katika TAASISI zetu za kidini Tanga.
NA UNAWEZA PIA KUTUPATA KUPITIA
Facebook page
@KhairiyyaOnlineTv
Instagram account
@KhairiyyaOnlineTvoffial
What'sapp online group
#0622166959
KHAIRIYYA ONLINE TV
Kwa mawasiliano Zaidi Simu namba
0622166959
Hakika sisi ni Kisima cha maarifa na Burudani
TANGA YETU TANZANIA YETU NA UISLAMU WETU KWA PAMOJA TUTAFIKA
Inshaallah 🙏
Пікірлер
Nini kilimkuta jamani 😥😥😥
Hivi jengeni picha maswahaba nd walikaa na mtume wakacheza ivo na ngoma juu, duh Allah akuongozeni katika haki
Ahmad Majjah Allah akurehemu mzee wetu
Mashaallah
Mtihani sana kama kauli ina mattzo ni kauli ambayo imeekwa katika udhaifu kwann mnaisoma
Bachu wasikubabaishe hao hawana jipya
Alla aidumishe taasisi yetu na mashehe wetu mungu awape umri mrefu
Mtujue nn kimemkut na anaendeleaj
Aisee nini kimekuta huyu kijana😭😭😭
sasa matusi yame toka wap kama haikuhusu siu utulie2 ina haja gani ufuatilie
جميل
Naipenda Sana maarifa Kwa ajiliya alwaa
Mashaallah
Inalilah waina lilah rajiun Allah ampe kaul thabit ktk nyumb yk ya mwisho
Mashaallah! mashaallah jazakallahukhayra
Mungu amuifadh shek songor sifa mashango msambwen mungu atup subra insha llaah
Mungu amuifadh pamoja na shek kassim bahatisha
Allahum fil lahu war hamah waskun fil gan,na mungu ampe sehem nzur kaburin amuifadh na dhik na tabuuu za kaburiniii msambwen yetu ndio ina Isha vizur vina ondok inauma sanaa
Mashaallah
Mashallah Allah awape nguvu
إنا لله وإنا إليه راجعون اللهم اغفر له وارحمه واسكنه الفردوس 😭 😭 😭
Allah ampe Nuru katika kaburi hake😢😢
Mungu ailaze roho yake mahali pemaa 🤲🏻🤲🏻🤲🏻
Inalilah wainailah raajuun😂😂😂allahumaghfir warham waskanau fili njan😂😂😂
Innahlillah wainnah illayhi raajiuun
😭😭😭😭😭 Allah amraham
🤲🤲🤲
Mashallah mashallah jazaqaa llahu khaira 🙏🙏🙏 raha sana ety wenyewivu hawaingii peponi wallah ❤
hii pia nayo ni dini..?, huu pia ni uislam..?... hii pia ni milla ya Mtume wetu...?... inasikitisha... sana.. 😢
😭😭😭😭Allah ampe kauli thabit ustadh Songoro
Innalillah wainna ilayhiy rrajiun 😭😭 Mungu Ampe kauli thabit, Amsamehe makosa yake na Amuondoshee Adhabu za Qabur na Ajaalie kaburi lake liwe Bustani Miongoni mwa Bustani za Peponi 🤲🤲
Innalilah wainailayh rajiuun, allahuma ghfir lahu warhamhu, wa askinhu filjanna! 😭😭 Pole sana kwa mudir shekh salim bin zuber, na maawal islam kwa ujumla, pia pole sana kwa shekh abdulhamid bin suleiman brang kwa kuondokewa na rafiki yako,! Allah awape uvumilivu na subra in shaa allah 😭😭
Ustdhi songoro sifa allah ailaze roho yako mahali pemapeponi😢😢😢
Innah lillahi wainnah illayhi raajiuun
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun
innalillah wainna ilyhi raajiun
😢😢
Mawahabi kaz mnayo et uzush vingap vimezushw eb tupishen toen wivu wenu
Mashaaallh
Innalillah wainna illah rajioun. Pole dad yang kwa kuondokewa na kijana wetu. Allah ampe kaul thabit 😢😢. Umemfata wajina wako. Daah amebaki songoro 1 😢😢
Innalillah wainnaillah rajiun 😭😭😭
Innalilah Wainailaih Rajiun Alah Ampe kauli thabiti
Innalillah wainailah ranjiuna polen sana Allah ampe kauli thabiti na amuepushe na adhabu za kabrin inshallah sote ni wa allah na kwake tutarejea Allah atupe mwisho mwema inshallah 🤲
Allah ailaze roho ya marehemu mahalapema peponi
Hivi hapa hamna shirki?
Allah amrehemu
Mashaallah Shekh Salim Allah akupe umri mrefu na afya pamoja na maarifa na ucha mungu.
Innah lillahi wainnah illayhi raajiuun
Innalillah wainnaillah rajiun