MashaAllah sheikh Walid kunakitu chapekee Allah kakupa balagha, falsafaa sheikh unatunu nyingi sana Allah akihifadh inshaAllah
@ishaantitus7369
2 жыл бұрын
you prolly dont give a shit but does someone know of a method to log back into an Instagram account..? I stupidly forgot the password. I would love any tricks you can offer me.
Maashaallah M/mungu azidi kukusimamia sheikh bin sheikh tuzidi kustafidi inshaallah
@yussuflucas70493 жыл бұрын
Masha Allah shukran Sana sheikh (Allah) akulipe kheri na akulinde nakila aina ya shari, na akujaalie umri mrefu wenye kheri nyingi na barka tele...!!!!
@rashidisalimu2222 Жыл бұрын
Maashaallaah swali zuri na limepata majibu yenyekujitosheleza na yanayo eleweka alla akuzidishie kheri shekh walid
@hajimnubi4581 Жыл бұрын
Vipande vifupi kama hivi vya masheikh kustukizana kuulizana maswali muhimu kwa faida ya waumin viendelezwe..shukran sheik mziwanda kwa ubunifu
@sophianyangalio37963 жыл бұрын
MashaaAllah Mwenyez Mungu azidi kuwalinda na kuwapa maisha marefu masheikh na waislam wote
@halimamkangama49662 жыл бұрын
Sheikh walid alhad yuko vizuri sana
@bugybuster5788 Жыл бұрын
Nakupendaga sanaa shekh wangu unautuliv sana ktk mazungumzo yako
@aminamkumba3549 Жыл бұрын
Mashaa Allah, tumepata sheikh lkn pia mwalimu, anafundisha vzr sana
@ZainabHassan-hz4no10 күн бұрын
Alla akupe bararaka nyingi apenda mafundisho unayotoa
@fadhilplatnumz8474 Жыл бұрын
Shekhe yuko vizuri sana 👍 Kiongoz wetu wakiislam ktk Jijikuu Tanzania nimekukubali Mkuu kwanza uongeaji niwaki Heshma kwakilamtu Mdogo naMkubwa 🙏🙏👍
Maashaaallh allh akulipe Kila lakher darasa nzuri sana nimejifuuza mengi
@ramsofundi22223 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@user-fy4op1sw2f Жыл бұрын
Ma shaa allah sheikh mungu akuzidishie elimu na akuruzuku fahamu
@hashtagdarling47383 жыл бұрын
Masha Allah
@nurudinmaede5936 Жыл бұрын
Maaashaallah 🙏♥️
@sammoses7479 Жыл бұрын
Masha Allah, m/mungu akusimamie she wamkoa. Kwanasaha zako izoizo. Zenye haki
@dezainermedia10352 жыл бұрын
Machallah
@athumanikhamisi33772 жыл бұрын
ماشاءالله
@issagawai33403 жыл бұрын
mashaaallh
@dhamirkhamis90733 жыл бұрын
Mashallah
@alhaddajmohammed47683 жыл бұрын
Wanasema wamesharibiwa na mfumo/mpangomkakati (mission) uloasisiwa na Wamishionari kwa kupachika Demokrasia (haki sawa). Wanawake wamekuwa hawatulii majumbani wamekuwa wajasiriamali hivyo hawana muda (hawataki) wa kuolewa wanaona kuolewa ni utumwa/kupitwa na wakti.
@aminajuma1435
2 жыл бұрын
Lakini ukichunguza kwa undani hiyosababu chanzochake niwanaume ndowamepelekea wanawake kujiwekahivyo… wanaume wameumbwa kuwa viongozi lakini wengiwao hawajui wajibuwao kwenyehuo uongozi… naukizingatia kunaupungufu mkubwa wa elimu yadini ndomana inapelekea wanawake piakuwahivyo.
@FatimaFatima-wz2qt Жыл бұрын
Mashalla shekhe Alla akupe umri mrefu inshaalla
@arqamibnarqam.71853 жыл бұрын
Alhamdulillah.
@nomamatata754 Жыл бұрын
Mi mkristo lakini sheikh wa mkoa( kwa sasa) amejibu swali la sheikh mziwanda vizuri sana tena kwa utulivu sana.....kuna mengi nakubaliana nae .......afaa kuwa kiongozi mbele za watu pasipo kumhukumu kwa ubinafsi wake.....kila mtu ana mapungufu.......
@ramlazubery1682 Жыл бұрын
MASHAALLAH. ALLAH KARIM. AKUTANGULIE KATIKA KILA JAMBO INSHAALLAH
@fatemaoman79482 жыл бұрын
Barakallwahu fiik
@mfaumehassan3816 Жыл бұрын
Allah akbar
@zariadunia6328 Жыл бұрын
Mungu katuokoa na mengi kutuletea huyu walid jamani tuna muomba awe anatoa darsa kwa sana
@thakibuiddi18573 жыл бұрын
Hii hadhara inamashekhe wengi kuliko wanafunzi
@omarykyutta66813 жыл бұрын
My sheikh
@saidabubakari7560 Жыл бұрын
Maashallah
@aliamoursaid2581 Жыл бұрын
Alhamdulillah Allah amzidishie utulivu
@awadhtamla6989 Жыл бұрын
Mashallaah
@hamiddikupatile9055 Жыл бұрын
Dakika ya 9 mashAllah
@ebrahimosman54772 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@nabiljumbe3 жыл бұрын
Mashaallah
@aminaibrahim4148
3 жыл бұрын
Mashaallah Allah akupe umri mzur shkh Warid
@mohamediliyele1523
Жыл бұрын
ma shahalaa
@umarbakar16943 жыл бұрын
Assalaam 'alaykum... Samahani naomba darsa ya arbaiina nawawiy kama ipo clip yake naomba nielekezwe nipate kustafidi. Jazaakumullahu khairan wao'afwa minkum.
@safiaothman5175 Жыл бұрын
Ndoa ni Ibada.
@fatmarashid1843 Жыл бұрын
Mabruk walld
@maimunaabdallah53047 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@fatmazena88863 жыл бұрын
Ma Shaa Allah...sirudiiii
@umarbakar1694
3 жыл бұрын
Hurudii nini dada...
@fatmazena8886
3 жыл бұрын
@@umarbakar1694 nimeufuata tu usemi wa shekh pale aliposema sirudii
Kasema mwanamme anavichwa viwili kimoja kipi sijaelewa kidogo
@idrisatarawe7305
Жыл бұрын
Cha juu na cha chini
@halimaally623 Жыл бұрын
Mwenyezimungu akupe afya njema umri mlefu wenye manufaa kwetu sote
@pachawadoto5911 Жыл бұрын
Mtuliiivu mwenyewe kajituliza...
@khdigahk42463 жыл бұрын
Allah akbar 😀😀😀apo kwenye vichwa uspoludia 😃😃😃😃
@zuberikamote2078
3 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@zuberikamote2078
3 жыл бұрын
Unatabu weeeeew🤣🤣🤣🤣
@omanimujsa97563 жыл бұрын
Wawkwanza
@zuberikamote20783 жыл бұрын
Huyu shekhe anaelmu kubwa kuliko mashekhe wengne kasoma kenya kasoma tanga shamsi maarif kasoma Misri Kasoma makka
@saloomidd1084
3 жыл бұрын
Namuonaga huyu Sheikh ana elimu nyingi sana na hatumii jazba anapoeleza au kufafanua jambo
@ogenylaurent7961
3 жыл бұрын
ELIMU BAHARI NA ELIMU ANAYO LAKINI SIO KUSEMA KULIKO MASHEIKH WOTE
@kesslycompanyltd
3 жыл бұрын
@@ogenylaurent7961 swadakta
@kesslycompanyltd
3 жыл бұрын
Wapo walio mzid wajuwa elim kama ni bahar na pana
@joharindaro3075
3 жыл бұрын
Ulisema shamsul maarifa unanikumbusha mbali toka shamsia
@feisalfaraj442 жыл бұрын
ukosahihi
@joharindaro30753 жыл бұрын
Sirudii 😅😅😅😅😅
@user-ib7kx9dc5m6 ай бұрын
Kweli nilikuwa niki ona ndevu na kanzu nikajuwa huu ndio usilam kumbe hapana elim na uelewa huo ndio usilam wewe unae sema vibaya juu ya majibu ya waridi utakali mwisho waoko itaqllaha
@allykasa61853 жыл бұрын
Kipenzi changu
@AllyASalum
3 жыл бұрын
Mimi huyu kipenzi changu zaidi...Maashaallah. Allah ampe umri mrefu zaidi wenye manfa'a. Aamiin
@halimamkangama4966
2 жыл бұрын
Mimi pia
@adiashekidee Жыл бұрын
Sheish walidi uko vizuli sheish yakubu ana kupa hai
@shadhirimaalim9739 Жыл бұрын
KAZI ya kusifiyana Tu elimu chache Sana someni jamaa zetu
@hajiabdalla57723 жыл бұрын
Munge weka mdahalo kwa nini waislam wa tanzania bara wakifikwa na tatizo huwenda kanisani kuombewa na mapatri na huko huambiwa mwanzo wakubali kama yesu ni mungu ndio watapona .sio muhoji maswali kama hayo ya matamanio ya dunia wakati waislam wanaharibikiwa wapo wanga . Wanafuga misukule na wanavaa nguo za uchi . Hayo kuowa ndio jambo la kimaumbile . Hayo mengine ndio muhimu
@farijala1
3 жыл бұрын
Kwahiyo suala la Ndoa ni matamanio na sio Ibada? Ungefikiria kabla ya Kuandika. Na kongamano hilo lilikuwa na mada tofauti. Sasa unataka mada izungumze Kulingana na Unavyotaaka wewe. Taadab .
@shenjamamzingi7950
3 жыл бұрын
Wewe umefanya au umechukua hatua gani kutokana na hilo,Dini ni yetu sote si Masheikh peke yao
@zamdinkilala8790
3 жыл бұрын
Hayo wafanye wewe wao wakifanya hiki nawewe fanya kile
@zuberikamote2078
3 жыл бұрын
Imani yke kwenye Dini yke ndogo naukiona mtu anafanya hvyo ukimchunguza Hana elmu ya dini 😳😳
@yusufudongote6440
3 жыл бұрын
ALLAH akusamehe usione uislam wakwako pekee yako Ammiii.
@wazirikhamisi48283 жыл бұрын
Kweli usufi BIDAA ni mzigo Aya kibao zenye kuzungumzia ndoa unasoma Aya hiyo aiendani na maudhuu uliyo ulizwa
@allyally5156
3 жыл бұрын
Tatizo la maanswari ndo hili kujiona wanajua sana ,hivi utapamba na walidi ?au unafikiri unayo waza wewe walidi anashindwa? nye ndo mnazidi kuzoofisha uisilamu
@uledihassan6065
3 жыл бұрын
Wewe ni jahili upeo wako wa maarifa ni mdogo, endelea kukariri maoni ya akina Uthaimini
@uledihassan6065
3 жыл бұрын
@@allyally5156 majaahili hao
@abuuswafwan5275
Жыл бұрын
Hawa akina waziri ni Vibaraka wa Mayahudi wanautumikia ukafiri ndani ya UISLAM huku wakijua kma C,hakki
@wazirikhamisi48283 жыл бұрын
Ujinga mzigo wallahi Allah ATUONGOZE ktk HAQ ktk sunna
@uledihassan6065
3 жыл бұрын
Mjinga wewe unaekariri mawazo ya akina Uthaimini kububusa
@mohamedhaji2200
Жыл бұрын
Ujinga upi sheikh. Tupe faida
@allycomm1553
2 ай бұрын
ACHENI UJINGA KUKAA NA KUSIFIA MASHEKHE WA KIBIDAA
Пікірлер: 101
MashaAllah sheikh Walid kunakitu chapekee Allah kakupa balagha, falsafaa sheikh unatunu nyingi sana Allah akihifadh inshaAllah
@ishaantitus7369
2 жыл бұрын
you prolly dont give a shit but does someone know of a method to log back into an Instagram account..? I stupidly forgot the password. I would love any tricks you can offer me.
Huyu Sheikh katulia sana nilikua sijawahi kumsikia nimevuna vitu vingi sana.Allah akuzidishie maarifa Sheikh
@suraiyasalambha9446
3 ай бұрын
5
@salimhinzano5656
15 сағат бұрын
@@suraiyasalambha9446❤❤❤❤❤❤❤
Mashekhe allaah awalinde nawapenda sanaa
Maashaallah M/mungu azidi kukusimamia sheikh bin sheikh tuzidi kustafidi inshaallah
Masha Allah shukran Sana sheikh (Allah) akulipe kheri na akulinde nakila aina ya shari, na akujaalie umri mrefu wenye kheri nyingi na barka tele...!!!!
Maashaallaah swali zuri na limepata majibu yenyekujitosheleza na yanayo eleweka alla akuzidishie kheri shekh walid
Vipande vifupi kama hivi vya masheikh kustukizana kuulizana maswali muhimu kwa faida ya waumin viendelezwe..shukran sheik mziwanda kwa ubunifu
MashaaAllah Mwenyez Mungu azidi kuwalinda na kuwapa maisha marefu masheikh na waislam wote
Sheikh walid alhad yuko vizuri sana
Nakupendaga sanaa shekh wangu unautuliv sana ktk mazungumzo yako
Mashaa Allah, tumepata sheikh lkn pia mwalimu, anafundisha vzr sana
Alla akupe bararaka nyingi apenda mafundisho unayotoa
Shekhe yuko vizuri sana 👍 Kiongoz wetu wakiislam ktk Jijikuu Tanzania nimekukubali Mkuu kwanza uongeaji niwaki Heshma kwakilamtu Mdogo naMkubwa 🙏🙏👍
Jazaka Allah khaira shekh
Shukran Jazzeella shekh kwamwenye uelewa amekuelewa na mungi akujaalie ueleweke daimani .kwa kuelimisha umah
Maashaaallh allh akulipe Kila lakher darasa nzuri sana nimejifuuza mengi
Maa shaa Allah
Ma shaa allah sheikh mungu akuzidishie elimu na akuruzuku fahamu
Masha Allah
Maaashaallah 🙏♥️
Masha Allah, m/mungu akusimamie she wamkoa. Kwanasaha zako izoizo. Zenye haki
Machallah
ماشاءالله
mashaaallh
Mashallah
Wanasema wamesharibiwa na mfumo/mpangomkakati (mission) uloasisiwa na Wamishionari kwa kupachika Demokrasia (haki sawa). Wanawake wamekuwa hawatulii majumbani wamekuwa wajasiriamali hivyo hawana muda (hawataki) wa kuolewa wanaona kuolewa ni utumwa/kupitwa na wakti.
@aminajuma1435
2 жыл бұрын
Lakini ukichunguza kwa undani hiyosababu chanzochake niwanaume ndowamepelekea wanawake kujiwekahivyo… wanaume wameumbwa kuwa viongozi lakini wengiwao hawajui wajibuwao kwenyehuo uongozi… naukizingatia kunaupungufu mkubwa wa elimu yadini ndomana inapelekea wanawake piakuwahivyo.
Mashalla shekhe Alla akupe umri mrefu inshaalla
Alhamdulillah.
Mi mkristo lakini sheikh wa mkoa( kwa sasa) amejibu swali la sheikh mziwanda vizuri sana tena kwa utulivu sana.....kuna mengi nakubaliana nae .......afaa kuwa kiongozi mbele za watu pasipo kumhukumu kwa ubinafsi wake.....kila mtu ana mapungufu.......
MASHAALLAH. ALLAH KARIM. AKUTANGULIE KATIKA KILA JAMBO INSHAALLAH
Barakallwahu fiik
Allah akbar
Mungu katuokoa na mengi kutuletea huyu walid jamani tuna muomba awe anatoa darsa kwa sana
Hii hadhara inamashekhe wengi kuliko wanafunzi
My sheikh
Maashallah
Alhamdulillah Allah amzidishie utulivu
Mashallaah
Dakika ya 9 mashAllah
🙏🙏🙏
Mashaallah
@aminaibrahim4148
3 жыл бұрын
Mashaallah Allah akupe umri mzur shkh Warid
@mohamediliyele1523
Жыл бұрын
ma shahalaa
Assalaam 'alaykum... Samahani naomba darsa ya arbaiina nawawiy kama ipo clip yake naomba nielekezwe nipate kustafidi. Jazaakumullahu khairan wao'afwa minkum.
Ndoa ni Ibada.
Mabruk walld
❤❤❤❤❤
Ma Shaa Allah...sirudiiii
@umarbakar1694
3 жыл бұрын
Hurudii nini dada...
@fatmazena8886
3 жыл бұрын
@@umarbakar1694 nimeufuata tu usemi wa shekh pale aliposema sirudii
MAA SHAA ALLAH
@omanimujsa9756
3 жыл бұрын
Ety eeeeeee sirudii hahahaahaha shekh walid banah
aslmh shekh ukirudiya inageukaaa maanaa itakuwa matusi
Mimi SI muislamu ila huyu shehe Yuko vizuri
Dawaaa
Cha chini na cha juu
Namuona shekhe muhamadi suluta kwambali
Kasema mwanamme anavichwa viwili kimoja kipi sijaelewa kidogo
@idrisatarawe7305
Жыл бұрын
Cha juu na cha chini
Mwenyezimungu akupe afya njema umri mlefu wenye manufaa kwetu sote
Mtuliiivu mwenyewe kajituliza...
Allah akbar 😀😀😀apo kwenye vichwa uspoludia 😃😃😃😃
@zuberikamote2078
3 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@zuberikamote2078
3 жыл бұрын
Unatabu weeeeew🤣🤣🤣🤣
Wawkwanza
Huyu shekhe anaelmu kubwa kuliko mashekhe wengne kasoma kenya kasoma tanga shamsi maarif kasoma Misri Kasoma makka
@saloomidd1084
3 жыл бұрын
Namuonaga huyu Sheikh ana elimu nyingi sana na hatumii jazba anapoeleza au kufafanua jambo
@ogenylaurent7961
3 жыл бұрын
ELIMU BAHARI NA ELIMU ANAYO LAKINI SIO KUSEMA KULIKO MASHEIKH WOTE
@kesslycompanyltd
3 жыл бұрын
@@ogenylaurent7961 swadakta
@kesslycompanyltd
3 жыл бұрын
Wapo walio mzid wajuwa elim kama ni bahar na pana
@joharindaro3075
3 жыл бұрын
Ulisema shamsul maarifa unanikumbusha mbali toka shamsia
ukosahihi
Sirudii 😅😅😅😅😅
Kweli nilikuwa niki ona ndevu na kanzu nikajuwa huu ndio usilam kumbe hapana elim na uelewa huo ndio usilam wewe unae sema vibaya juu ya majibu ya waridi utakali mwisho waoko itaqllaha
Kipenzi changu
@AllyASalum
3 жыл бұрын
Mimi huyu kipenzi changu zaidi...Maashaallah. Allah ampe umri mrefu zaidi wenye manfa'a. Aamiin
@halimamkangama4966
2 жыл бұрын
Mimi pia
Sheish walidi uko vizuli sheish yakubu ana kupa hai
KAZI ya kusifiyana Tu elimu chache Sana someni jamaa zetu
Munge weka mdahalo kwa nini waislam wa tanzania bara wakifikwa na tatizo huwenda kanisani kuombewa na mapatri na huko huambiwa mwanzo wakubali kama yesu ni mungu ndio watapona .sio muhoji maswali kama hayo ya matamanio ya dunia wakati waislam wanaharibikiwa wapo wanga . Wanafuga misukule na wanavaa nguo za uchi . Hayo kuowa ndio jambo la kimaumbile . Hayo mengine ndio muhimu
@farijala1
3 жыл бұрын
Kwahiyo suala la Ndoa ni matamanio na sio Ibada? Ungefikiria kabla ya Kuandika. Na kongamano hilo lilikuwa na mada tofauti. Sasa unataka mada izungumze Kulingana na Unavyotaaka wewe. Taadab .
@shenjamamzingi7950
3 жыл бұрын
Wewe umefanya au umechukua hatua gani kutokana na hilo,Dini ni yetu sote si Masheikh peke yao
@zamdinkilala8790
3 жыл бұрын
Hayo wafanye wewe wao wakifanya hiki nawewe fanya kile
@zuberikamote2078
3 жыл бұрын
Imani yke kwenye Dini yke ndogo naukiona mtu anafanya hvyo ukimchunguza Hana elmu ya dini 😳😳
@yusufudongote6440
3 жыл бұрын
ALLAH akusamehe usione uislam wakwako pekee yako Ammiii.
Kweli usufi BIDAA ni mzigo Aya kibao zenye kuzungumzia ndoa unasoma Aya hiyo aiendani na maudhuu uliyo ulizwa
@allyally5156
3 жыл бұрын
Tatizo la maanswari ndo hili kujiona wanajua sana ,hivi utapamba na walidi ?au unafikiri unayo waza wewe walidi anashindwa? nye ndo mnazidi kuzoofisha uisilamu
@uledihassan6065
3 жыл бұрын
Wewe ni jahili upeo wako wa maarifa ni mdogo, endelea kukariri maoni ya akina Uthaimini
@uledihassan6065
3 жыл бұрын
@@allyally5156 majaahili hao
@abuuswafwan5275
Жыл бұрын
Hawa akina waziri ni Vibaraka wa Mayahudi wanautumikia ukafiri ndani ya UISLAM huku wakijua kma C,hakki
Ujinga mzigo wallahi Allah ATUONGOZE ktk HAQ ktk sunna
@uledihassan6065
3 жыл бұрын
Mjinga wewe unaekariri mawazo ya akina Uthaimini kububusa
@mohamedhaji2200
Жыл бұрын
Ujinga upi sheikh. Tupe faida
@allycomm1553
2 ай бұрын
ACHENI UJINGA KUKAA NA KUSIFIA MASHEKHE WA KIBIDAA
Maa shaa Allah