MSIKIE SHEKH MZIWANDA ALIPOMUHOJI SHEKH WALID ATUPE FAIDA KWANINI TUNAOA HADHARA YA SHINYANGA .

Пікірлер: 101

  • @abdullakhlaas4377
    @abdullakhlaas43773 жыл бұрын

    MashaAllah sheikh Walid kunakitu chapekee Allah kakupa balagha, falsafaa sheikh unatunu nyingi sana Allah akihifadh inshaAllah

  • @ishaantitus7369

    @ishaantitus7369

    2 жыл бұрын

    you prolly dont give a shit but does someone know of a method to log back into an Instagram account..? I stupidly forgot the password. I would love any tricks you can offer me.

  • @abasmwika3432
    @abasmwika34323 жыл бұрын

    Huyu Sheikh katulia sana nilikua sijawahi kumsikia nimevuna vitu vingi sana.Allah akuzidishie maarifa Sheikh

  • @suraiyasalambha9446

    @suraiyasalambha9446

    3 ай бұрын

    5

  • @salimhinzano5656

    @salimhinzano5656

    15 сағат бұрын

    ​@@suraiyasalambha9446❤❤❤❤❤❤❤

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya510 ай бұрын

    Mashekhe allaah awalinde nawapenda sanaa

  • @mfaumekindamba8634
    @mfaumekindamba86343 жыл бұрын

    Maashaallah M/mungu azidi kukusimamia sheikh bin sheikh tuzidi kustafidi inshaallah

  • @yussuflucas7049
    @yussuflucas70493 жыл бұрын

    Masha Allah shukran Sana sheikh (Allah) akulipe kheri na akulinde nakila aina ya shari, na akujaalie umri mrefu wenye kheri nyingi na barka tele...!!!!

  • @rashidisalimu2222
    @rashidisalimu2222 Жыл бұрын

    Maashaallaah swali zuri na limepata majibu yenyekujitosheleza na yanayo eleweka alla akuzidishie kheri shekh walid

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Жыл бұрын

    Vipande vifupi kama hivi vya masheikh kustukizana kuulizana maswali muhimu kwa faida ya waumin viendelezwe..shukran sheik mziwanda kwa ubunifu

  • @sophianyangalio3796
    @sophianyangalio37963 жыл бұрын

    MashaaAllah Mwenyez Mungu azidi kuwalinda na kuwapa maisha marefu masheikh na waislam wote

  • @halimamkangama4966
    @halimamkangama49662 жыл бұрын

    Sheikh walid alhad yuko vizuri sana

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Жыл бұрын

    Nakupendaga sanaa shekh wangu unautuliv sana ktk mazungumzo yako

  • @aminamkumba3549
    @aminamkumba3549 Жыл бұрын

    Mashaa Allah, tumepata sheikh lkn pia mwalimu, anafundisha vzr sana

  • @ZainabHassan-hz4no
    @ZainabHassan-hz4no10 күн бұрын

    Alla akupe bararaka nyingi apenda mafundisho unayotoa

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Жыл бұрын

    Shekhe yuko vizuri sana 👍 Kiongoz wetu wakiislam ktk Jijikuu Tanzania nimekukubali Mkuu kwanza uongeaji niwaki Heshma kwakilamtu Mdogo naMkubwa 🙏🙏👍

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 Жыл бұрын

    Jazaka Allah khaira shekh

  • @fatumahamisi7064
    @fatumahamisi70642 жыл бұрын

    Shukran Jazzeella shekh kwamwenye uelewa amekuelewa na mungi akujaalie ueleweke daimani .kwa kuelimisha umah

  • @fatuma3969
    @fatuma3969 Жыл бұрын

    Maashaaallh allh akulipe Kila lakher darasa nzuri sana nimejifuuza mengi

  • @ramsofundi2222
    @ramsofundi22223 жыл бұрын

    Maa shaa Allah

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f Жыл бұрын

    Ma shaa allah sheikh mungu akuzidishie elimu na akuruzuku fahamu

  • @hashtagdarling4738
    @hashtagdarling47383 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @nurudinmaede5936
    @nurudinmaede5936 Жыл бұрын

    Maaashaallah 🙏♥️

  • @sammoses7479
    @sammoses7479 Жыл бұрын

    Masha Allah, m/mungu akusimamie she wamkoa. Kwanasaha zako izoizo. Zenye haki

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia10352 жыл бұрын

    Machallah

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi33772 жыл бұрын

    ماشاءالله

  • @issagawai3340
    @issagawai33403 жыл бұрын

    mashaaallh

  • @dhamirkhamis9073
    @dhamirkhamis90733 жыл бұрын

    Mashallah

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed47683 жыл бұрын

    Wanasema wamesharibiwa na mfumo/mpangomkakati (mission) uloasisiwa na Wamishionari kwa kupachika Demokrasia (haki sawa). Wanawake wamekuwa hawatulii majumbani wamekuwa wajasiriamali hivyo hawana muda (hawataki) wa kuolewa wanaona kuolewa ni utumwa/kupitwa na wakti.

  • @aminajuma1435

    @aminajuma1435

    2 жыл бұрын

    Lakini ukichunguza kwa undani hiyosababu chanzochake niwanaume ndowamepelekea wanawake kujiwekahivyo… wanaume wameumbwa kuwa viongozi lakini wengiwao hawajui wajibuwao kwenyehuo uongozi… naukizingatia kunaupungufu mkubwa wa elimu yadini ndomana inapelekea wanawake piakuwahivyo.

  • @FatimaFatima-wz2qt
    @FatimaFatima-wz2qt Жыл бұрын

    Mashalla shekhe Alla akupe umri mrefu inshaalla

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.71853 жыл бұрын

    Alhamdulillah.

  • @nomamatata754
    @nomamatata754 Жыл бұрын

    Mi mkristo lakini sheikh wa mkoa( kwa sasa) amejibu swali la sheikh mziwanda vizuri sana tena kwa utulivu sana.....kuna mengi nakubaliana nae .......afaa kuwa kiongozi mbele za watu pasipo kumhukumu kwa ubinafsi wake.....kila mtu ana mapungufu.......

  • @ramlazubery1682
    @ramlazubery1682 Жыл бұрын

    MASHAALLAH. ALLAH KARIM. AKUTANGULIE KATIKA KILA JAMBO INSHAALLAH

  • @fatemaoman7948
    @fatemaoman79482 жыл бұрын

    Barakallwahu fiik

  • @mfaumehassan3816
    @mfaumehassan3816 Жыл бұрын

    Allah akbar

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Жыл бұрын

    Mungu katuokoa na mengi kutuletea huyu walid jamani tuna muomba awe anatoa darsa kwa sana

  • @thakibuiddi1857
    @thakibuiddi18573 жыл бұрын

    Hii hadhara inamashekhe wengi kuliko wanafunzi

  • @omarykyutta6681
    @omarykyutta66813 жыл бұрын

    My sheikh

  • @saidabubakari7560
    @saidabubakari7560 Жыл бұрын

    Maashallah

  • @aliamoursaid2581
    @aliamoursaid2581 Жыл бұрын

    Alhamdulillah Allah amzidishie utulivu

  • @awadhtamla6989
    @awadhtamla6989 Жыл бұрын

    Mashallaah

  • @hamiddikupatile9055
    @hamiddikupatile9055 Жыл бұрын

    Dakika ya 9 mashAllah

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman54772 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe3 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @aminaibrahim4148

    @aminaibrahim4148

    3 жыл бұрын

    Mashaallah Allah akupe umri mzur shkh Warid

  • @mohamediliyele1523

    @mohamediliyele1523

    Жыл бұрын

    ma shahalaa

  • @umarbakar1694
    @umarbakar16943 жыл бұрын

    Assalaam 'alaykum... Samahani naomba darsa ya arbaiina nawawiy kama ipo clip yake naomba nielekezwe nipate kustafidi. Jazaakumullahu khairan wao'afwa minkum.

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 Жыл бұрын

    Ndoa ni Ibada.

  • @fatmarashid1843
    @fatmarashid1843 Жыл бұрын

    Mabruk walld

  • @maimunaabdallah5304
    @maimunaabdallah53047 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @fatmazena8886
    @fatmazena88863 жыл бұрын

    Ma Shaa Allah...sirudiiii

  • @umarbakar1694

    @umarbakar1694

    3 жыл бұрын

    Hurudii nini dada...

  • @fatmazena8886

    @fatmazena8886

    3 жыл бұрын

    @@umarbakar1694 nimeufuata tu usemi wa shekh pale aliposema sirudii

  • @jumahamisi5383
    @jumahamisi53833 жыл бұрын

    MAA SHAA ALLAH

  • @omanimujsa9756

    @omanimujsa9756

    3 жыл бұрын

    Ety eeeeeee sirudii hahahaahaha shekh walid banah

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj442 жыл бұрын

    aslmh shekh ukirudiya inageukaaa maanaa itakuwa matusi

  • @danielshekiyao706
    @danielshekiyao706 Жыл бұрын

    Mimi SI muislamu ila huyu shehe Yuko vizuri

  • @bernadj.6924
    @bernadj.6924 Жыл бұрын

    Dawaaa

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk84653 жыл бұрын

    Cha chini na cha juu

  • @thakibuiddi1857
    @thakibuiddi18573 жыл бұрын

    Namuona shekhe muhamadi suluta kwambali

  • @salwasuleiman3525
    @salwasuleiman35253 жыл бұрын

    Kasema mwanamme anavichwa viwili kimoja kipi sijaelewa kidogo

  • @idrisatarawe7305

    @idrisatarawe7305

    Жыл бұрын

    Cha juu na cha chini

  • @halimaally623
    @halimaally623 Жыл бұрын

    Mwenyezimungu akupe afya njema umri mlefu wenye manufaa kwetu sote

  • @pachawadoto5911
    @pachawadoto5911 Жыл бұрын

    Mtuliiivu mwenyewe kajituliza...

  • @khdigahk4246
    @khdigahk42463 жыл бұрын

    Allah akbar 😀😀😀apo kwenye vichwa uspoludia 😃😃😃😃

  • @zuberikamote2078

    @zuberikamote2078

    3 жыл бұрын

    😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @zuberikamote2078

    @zuberikamote2078

    3 жыл бұрын

    Unatabu weeeeew🤣🤣🤣🤣

  • @omanimujsa9756
    @omanimujsa97563 жыл бұрын

    Wawkwanza

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote20783 жыл бұрын

    Huyu shekhe anaelmu kubwa kuliko mashekhe wengne kasoma kenya kasoma tanga shamsi maarif kasoma Misri Kasoma makka

  • @saloomidd1084

    @saloomidd1084

    3 жыл бұрын

    Namuonaga huyu Sheikh ana elimu nyingi sana na hatumii jazba anapoeleza au kufafanua jambo

  • @ogenylaurent7961

    @ogenylaurent7961

    3 жыл бұрын

    ELIMU BAHARI NA ELIMU ANAYO LAKINI SIO KUSEMA KULIKO MASHEIKH WOTE

  • @kesslycompanyltd

    @kesslycompanyltd

    3 жыл бұрын

    @@ogenylaurent7961 swadakta

  • @kesslycompanyltd

    @kesslycompanyltd

    3 жыл бұрын

    Wapo walio mzid wajuwa elim kama ni bahar na pana

  • @joharindaro3075

    @joharindaro3075

    3 жыл бұрын

    Ulisema shamsul maarifa unanikumbusha mbali toka shamsia

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj442 жыл бұрын

    ukosahihi

  • @joharindaro3075
    @joharindaro30753 жыл бұрын

    Sirudii 😅😅😅😅😅

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m6 ай бұрын

    Kweli nilikuwa niki ona ndevu na kanzu nikajuwa huu ndio usilam kumbe hapana elim na uelewa huo ndio usilam wewe unae sema vibaya juu ya majibu ya waridi utakali mwisho waoko itaqllaha

  • @allykasa6185
    @allykasa61853 жыл бұрын

    Kipenzi changu

  • @AllyASalum

    @AllyASalum

    3 жыл бұрын

    Mimi huyu kipenzi changu zaidi...Maashaallah. Allah ampe umri mrefu zaidi wenye manfa'a. Aamiin

  • @halimamkangama4966

    @halimamkangama4966

    2 жыл бұрын

    Mimi pia

  • @adiashekidee
    @adiashekidee Жыл бұрын

    Sheish walidi uko vizuli sheish yakubu ana kupa hai

  • @shadhirimaalim9739
    @shadhirimaalim9739 Жыл бұрын

    KAZI ya kusifiyana Tu elimu chache Sana someni jamaa zetu

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57723 жыл бұрын

    Munge weka mdahalo kwa nini waislam wa tanzania bara wakifikwa na tatizo huwenda kanisani kuombewa na mapatri na huko huambiwa mwanzo wakubali kama yesu ni mungu ndio watapona .sio muhoji maswali kama hayo ya matamanio ya dunia wakati waislam wanaharibikiwa wapo wanga . Wanafuga misukule na wanavaa nguo za uchi . Hayo kuowa ndio jambo la kimaumbile . Hayo mengine ndio muhimu

  • @farijala1

    @farijala1

    3 жыл бұрын

    Kwahiyo suala la Ndoa ni matamanio na sio Ibada? Ungefikiria kabla ya Kuandika. Na kongamano hilo lilikuwa na mada tofauti. Sasa unataka mada izungumze Kulingana na Unavyotaaka wewe. Taadab .

  • @shenjamamzingi7950

    @shenjamamzingi7950

    3 жыл бұрын

    Wewe umefanya au umechukua hatua gani kutokana na hilo,Dini ni yetu sote si Masheikh peke yao

  • @zamdinkilala8790

    @zamdinkilala8790

    3 жыл бұрын

    Hayo wafanye wewe wao wakifanya hiki nawewe fanya kile

  • @zuberikamote2078

    @zuberikamote2078

    3 жыл бұрын

    Imani yke kwenye Dini yke ndogo naukiona mtu anafanya hvyo ukimchunguza Hana elmu ya dini 😳😳

  • @yusufudongote6440

    @yusufudongote6440

    3 жыл бұрын

    ALLAH akusamehe usione uislam wakwako pekee yako Ammiii.

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi48283 жыл бұрын

    Kweli usufi BIDAA ni mzigo Aya kibao zenye kuzungumzia ndoa unasoma Aya hiyo aiendani na maudhuu uliyo ulizwa

  • @allyally5156

    @allyally5156

    3 жыл бұрын

    Tatizo la maanswari ndo hili kujiona wanajua sana ,hivi utapamba na walidi ?au unafikiri unayo waza wewe walidi anashindwa? nye ndo mnazidi kuzoofisha uisilamu

  • @uledihassan6065

    @uledihassan6065

    3 жыл бұрын

    Wewe ni jahili upeo wako wa maarifa ni mdogo, endelea kukariri maoni ya akina Uthaimini

  • @uledihassan6065

    @uledihassan6065

    3 жыл бұрын

    @@allyally5156 majaahili hao

  • @abuuswafwan5275

    @abuuswafwan5275

    Жыл бұрын

    Hawa akina waziri ni Vibaraka wa Mayahudi wanautumikia ukafiri ndani ya UISLAM huku wakijua kma C,hakki

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi48283 жыл бұрын

    Ujinga mzigo wallahi Allah ATUONGOZE ktk HAQ ktk sunna

  • @uledihassan6065

    @uledihassan6065

    3 жыл бұрын

    Mjinga wewe unaekariri mawazo ya akina Uthaimini kububusa

  • @mohamedhaji2200

    @mohamedhaji2200

    Жыл бұрын

    Ujinga upi sheikh. Tupe faida

  • @allycomm1553

    @allycomm1553

    2 ай бұрын

    ACHENI UJINGA KUKAA NA KUSIFIA MASHEKHE WA KIBIDAA

  • @msoya-j-iliyasa7116
    @msoya-j-iliyasa71163 жыл бұрын

    Maa shaa Allah

Келесі