SHEKH WALID AMTAHADHARISHA KASIMU MAFUTA NA WENZAKE DAWA ZA SASA WATU WA SASA TOFAUTI NAWAZAMANI .

Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090

Пікірлер: 244

  • @abdallahshomari793
    @abdallahshomari7935 ай бұрын

    SHEIKH ABUL FADHWL KASSIM MAFUTA ALLAH AMUHIFADHI NA AMPE UMRI MREF AZIDI KUTUPA ILMU YA KUITAMBUA HAQQI NA KUIFATA NA BATWIL KUIWACHA.

  • @salymkingungo5229

    @salymkingungo5229

    5 ай бұрын

    mwamba huyooooo na ndiye anayetuumiza vichwa sisi Bakwata

  • @idrisajarden1210

    @idrisajarden1210

    5 ай бұрын

    اللهم آمين

  • @adennurahuka402

    @adennurahuka402

    3 ай бұрын

    Amiin ya rabbi

  • @AbuuRayhana-yf3xe
    @AbuuRayhana-yf3xe5 ай бұрын

    Allaah amuhifaadhi, Sheikh wetu Abulfadhli Qassim Mafuta. Elimu yake ni Bahri,

  • @iddijuma6152

    @iddijuma6152

    5 ай бұрын

    aamiin

  • @uwesusinde9976

    @uwesusinde9976

    5 ай бұрын

    Ameen

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    5 ай бұрын

    Amiin

  • @abdurrahmanis-haaq4588

    @abdurrahmanis-haaq4588

    5 ай бұрын

    Na hawamuwezi hao wapuuzi ,,mashekhe ubwabwa macho yamewatoka kazi kujali tumbo Lao tu

  • @shabaniissa3464

    @shabaniissa3464

    5 ай бұрын

    ​@@abdurrahmanis-haaq4588 Mafuta kasoma wapi

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan39025 ай бұрын

    Alhamdhulilah raddi zinawafikia mwatafuta upenyo wakutokea lkn wap umma unazidi kufungukuwa na talbiss za Masufi Ibada nyingi za Masufi ni za kubabaisha 2

  • @halididaudi7228
    @halididaudi72285 ай бұрын

    Shekhe mafuta mwenyezi mungu Amlinde na Amuhifadhi

  • @UB40X1
    @UB40X15 ай бұрын

    Sheikh Kassim Mafuta ni bakora ya makhurafi

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52415 ай бұрын

    Sjamuona apo wa kukaa chini kielimu na kasim mafuta Kasim hana mda wakupoteza muda wake wote anaumaliza maktaba akitoka apo darasan msikitini

  • @suleimanabdul-karim1212
    @suleimanabdul-karim12125 ай бұрын

    Sheikh kassim Mafuta kiboko yenu Allah amhifazi ampe afiya njema na umri YaaRab

  • @JafariSaidi-ts7qu

    @JafariSaidi-ts7qu

    9 күн бұрын

    Ushabiki

  • @user-hf4pb7wi1j
    @user-hf4pb7wi1j3 ай бұрын

    Alla amuhifadhi sheik kasim mafuta mimi niko buja bujumbura

  • @UB40X1
    @UB40X15 ай бұрын

    Hawa wote kwa ujumla hawamfiki Sheikh Kassim Mafuta hata ukucha. Hawa ni watu wa kutafuta ukubwa tu hamna ilmu ni maneno ya kipuuzi tu.

  • @abdulazizmwipi9295

    @abdulazizmwipi9295

    5 ай бұрын

    Na hyo mafuta hamfkii hta kwa ukucha shekh mziwanda

  • @UB40X1

    @UB40X1

    5 ай бұрын

    @@abdulazizmwipi9295 😀

  • @IsmailiIdarusi
    @IsmailiIdarusi5 ай бұрын

    Huyu sheikh walid allah amuongoze aifate haqqi maana kiukweli allah kamruzuku sehemu katika elimu na akiongea huchoki

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    5 ай бұрын

    Maa Shaa Allah umesema kweli

  • @HatibuAmir-hq9nh
    @HatibuAmir-hq9nh5 ай бұрын

    Yule kassm mafuta ni habari nyengine yani nyie mpaka mtanyooka2 mpaka muache uzushi katika dini

  • @taurehassan7399

    @taurehassan7399

    5 ай бұрын

    Na ndomaana anawapaka mafuta kw mgongo wa chupa...kw7bu yy mwnyewe ni mafuta

  • @shabaniissa3464

    @shabaniissa3464

    5 ай бұрын

    Akamalizane kwanza na akina Hamis Ame na Abuu muawiya

  • @HassanHamad-rf9tq

    @HassanHamad-rf9tq

    5 күн бұрын

    Kassim mafuta abuu muawiya hamuwezi rahimahullah yule shekh alikuwa kiboko​@@shabaniissa3464

  • @ayuburashid9083
    @ayuburashid90835 ай бұрын

    Sasa unaelezeaje mwalimu mzuri ikiwa hata tawhidi huijui? Unasema masheikh zako ndio wanao pangilia maisha yako ya sasa na ya baadae Na vipi kuhusu ayat hii قل إن صلاتي ونسكي ومحياي ومماتي لله رب العالمين ، لا شريك له وبذلك أمرت وأنا أول المسلمين. سورة الأنعام: ١٦٢، ١٦٣ Mcheni allah kwenye kusifiana kwenu

  • @user-mu3jd3rj3r
    @user-mu3jd3rj3r5 ай бұрын

    Jamani mafuta Allah amhifazi

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    5 ай бұрын

    Amiin

  • @ayuburashid9083
    @ayuburashid90835 ай бұрын

    Allah awahifadhi masheikh zetu wanao bainisha dini ktk misingi ile walio itumia wema walio tangulia

  • @user-jy4lc4wh9s
    @user-jy4lc4wh9s5 ай бұрын

    Baba kuwa mwalim wa Quraan na Mama kuwa mwalim wa Quraan sio hoja bwana, sisi tunaangalia je Aqeedah yako imesalimika maana huyo ndiye aliyesema hasipomuona mtu Fulani (Jina Kapuni) hayupo peponi ataandamana na hajafanya Tarajo hadi sasa sasa yeye kuwa mwalim wa Quraan kumemsaidia nini ikiwa anaongea maneno ya Kufuru?

  • @IbraFareed

    @IbraFareed

    2 ай бұрын

    Msamaha anatakiwa akuombe wewe au 😂😂

  • @suleimanmasudi3851
    @suleimanmasudi38515 ай бұрын

    Nilishawaeleza tuna bahat kubwa mno kuletwa Abulfadhil kassim mafuta katka nchii hii na Allah, Allah subhanallah waataallah amuhifadhi sheikh wetu ampe umri mrefu Kwa hakika miaka michache ijayo InshaAllah kundi kubwa zaidi litakuwa limekatika kutoka Kwa masufi na kuifaham Sunnah Allah atupe umri wenye faida tuje kujionea

  • @uwesusinde9976

    @uwesusinde9976

    5 ай бұрын

    Hakika

  • @abdallahshomari793

    @abdallahshomari793

    5 ай бұрын

    Allahumma Aamiiyn

  • @shabaniissa3464

    @shabaniissa3464

    5 ай бұрын

    Kasoma wapi Qaasim

  • @uwesusinde9976

    @uwesusinde9976

    5 ай бұрын

    Alianza kusoma kwenye madrasa ya katatibu tawi la tamta kijijini kwao pongwe kisha tamta kwa sheikh mohammed ayoub kisha kisauni kisha yemen kwa sheikh muqbil rahimahu llahu alayhi kisha chuo kikuu cha kiislam madina hiyo ndio silsila ya elimu yake

  • @user-ls8ih7uo3v

    @user-ls8ih7uo3v

    3 ай бұрын

    Mchafuaji wa dini kassim mafuta

  • @bashirusalumubashirusalumu7140
    @bashirusalumubashirusalumu71405 ай бұрын

    Uwe na dalili siyo vitisho uislaam unasimamiwa na Quran na sunna si vinginevyo

  • @nurdinmfamau3493

    @nurdinmfamau3493

    5 ай бұрын

    Unaweza Ukawa Umefahamu Lakini Ukawa Ujaelewa Nahilo Lakuelewa Nalo Linahitaji Kusomeshwa Nasi Kujisomea Kama Watu Tulio Wengi Tunakimbilia Madukani Kununua Mavitabu Nakujisomea Pasi Nakusomeshwa Na Wanaostahili Kutusomesha.

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52415 ай бұрын

    Kasim mafuta ndo kiboko cha watu wa bidaaaa Allah kamleta maalumu

  • @taurehassan7399

    @taurehassan7399

    5 ай бұрын

    Km yy ni kiboko bc tembo mziwanda alitangaza mjadala na yyte wa kiwahabi ajitokeze mpka namb zke z cm ktoa mbna hyo kiboko wako hajajitokeza kw tembo wetu?

  • @mubaarakmuhammad8299

    @mubaarakmuhammad8299

    5 ай бұрын

    ​@@taurehassan7399dini sio kama mchezo wa boxer mzee kwamba ukijiskia tu njoo tupigane

  • @manhajnnubuwahtz3632

    @manhajnnubuwahtz3632

    5 ай бұрын

    hana muda w kupoteza na wjinga

  • @ibnayub2374
    @ibnayub23745 ай бұрын

    Sina la kusema lakn masufi hamuwezi fikisha dini kwa watu katika uhalisia wa dini ilivyo, hata mkimchukia sheikh Qasim mafuta hamuwezi funika haqq anayo itangaza katika umma endeleen kushindana katika maulidi, na kuwalea mashia na makafiri.

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    5 ай бұрын

    Ww kasome na kasim mafuta akasome wacha kua mjinga hata Allah kawaumba yy makafiri na anawapa riziki ila ww kumuita Shia kafiri utajipanga kiyama

  • @ibnayub2374

    @ibnayub2374

    5 ай бұрын

    @@saba-gv3mj Shia ni makafiri kwa Itikadi zao, ndio maana nakuambien nyie hamtakaa KUFIKIA kazi anayo ifanya Qasim mafuta katika DINI hii chukie na mfe na chuki zenu kamwe hamtafikia juhudi yake, labda muachane na Bida'a na mrejee katika DINI yenu.

  • @hamishatibu1007

    @hamishatibu1007

    5 ай бұрын

    Kasome wewe na huyo Mafuta wako umekaa kichuki tu na kuwatia watu kwenye ukafir laana mkubwa ww

  • @ibnayub2374

    @ibnayub2374

    5 ай бұрын

    @@hamishatibu1007 hahahaha ukafiri wa mashia uko wazi wew endelea kujitia vibanzi masikion na machoni.

  • @abdallahshomari793

    @abdallahshomari793

    5 ай бұрын

    @@ibnayub2374 Yan bado tu hajui kama mashia ni makafiri kwel bahasha zinafanya kazi aisee

  • @amemasudi5735
    @amemasudi57355 ай бұрын

    Tatizo mnayoambiwa ni ya kweli lkn hamtaki kubadilika mpo kiserikali zaidi badilikeni

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u5 ай бұрын

    Masufi bhna Hawana lolote...Wanajiona wao wakuji compare Na Sheikh Abulfadhil Qassim maftah.!?Hiv kwel Watu wa Qaswida wakajilinganishe na Wasomi wa Dini ambao historia zao zinajulikana.Doh

  • @adamh1751
    @adamh17515 ай бұрын

    We acha ujinga ongea kama mtu ana akili,sheikh khasim mafuta Allah amempa tauqfiq katika dawah salafiyah!

  • @KassimuAhamadi06

    @KassimuAhamadi06

    14 күн бұрын

    Salafiyyat ni kikundi Cha America

  • @user-sf3jq7wo5e
    @user-sf3jq7wo5e5 ай бұрын

    Walidi namziwanda nyinyi niwana siyasa sio mashekh

  • @ingodwetrust1852

    @ingodwetrust1852

    5 ай бұрын

    Adab ziro kbsa

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    5 ай бұрын

    Misalafi ni mishenzi​@@ingodwetrust1852

  • @taurehassan7399

    @taurehassan7399

    5 ай бұрын

    Sheikh akiwa baba ako yatosha

  • @meksd2418

    @meksd2418

    5 ай бұрын

    Shekhe wewee ulo pewa na mungu wako wakiwahabi

  • @rushu1232

    @rushu1232

    5 ай бұрын

    Jamani lnna maal muminuna ikhwa watu wasomesha wafanya daawa wasalisha kwa ijtihadi kubwa sana tuhashimiane.

  • @jeffkakozi1395
    @jeffkakozi13955 ай бұрын

    Sheikh Walid Allah Akupe umri wenye manufaa

  • @user-kd7kh1io9k
    @user-kd7kh1io9k5 ай бұрын

    Mashaallah allah awabariki mashekhe wetu

  • @kassimabdillah5998
    @kassimabdillah59982 ай бұрын

    Allah awahifadh masheikh wetu waliotuelimisha tukaijua dawahtu salafiyah maana utajua Michele na chua na wausia masufi wajaribu kukaa kwenye darsa za kisalafi hata Kwa mwezi mmoja tuu Kwa iklasi sidhani kama watarudi kwenye usufi

  • @user-yb3jl5nj9z
    @user-yb3jl5nj9z5 ай бұрын

    MashaAlah

  • @amasashikelly7899
    @amasashikelly78995 ай бұрын

    Uupuuzii tuu, kazi kuchekesha na na visa visokuwa na natija kwenye uislamu, na kurundikana sifa zisokuwa na ukweli. Kweli hakuna sufi hata moja mwenye akili

  • @boisalym9935

    @boisalym9935

    5 ай бұрын

    Ukipunguza chuki km muislam utapata faida saana haswa kwa masheikh zako

  • @husseinyusuph5333

    @husseinyusuph5333

    23 күн бұрын

    Muumini wa kweli hawezi kuwa na chuki na muumini mwenzie kila kitu masufi usufi ndio nini au usalafi ndio nini tusiwachanganye watu kwa matabaka WW fundisha watu sio kupandia mafundisho ya watu

  • @sirajramadhan7542
    @sirajramadhan75425 ай бұрын

    Wanachukiasana zinapotajwa bidaazao nakuonawatu hawana adabu ilawalipoingiasipo mafuta nihabari nyingine mulizeni alihadi musa saalimu

  • @jumangozi2720
    @jumangozi27205 ай бұрын

    Sasa wapi amemtaadharisha sheikh Qaasim mafuta

  • @manhajnnubuwahtz3632
    @manhajnnubuwahtz36325 ай бұрын

    hapo ni kuwaambia watu hatuwezi kuwafata wema waliotutngulia na kwamba wao wanataka kuja na uislam mambo leo muda wa kua salafiyun wapo hai hili jambo lenu halitawezekana mpaka kiama kitasimama hata mukiungana watu wabidaa nyote

  • @aishathabit3732

    @aishathabit3732

    5 ай бұрын

    Unakusudia salafy hawa wanao unga mkono kuuliwa kwa waislamu Ghaza kwa kutii tawala za kibagani za kisaud?

  • @user-px5sq2ee3k
    @user-px5sq2ee3k5 ай бұрын

    Mashaallah

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy86665 ай бұрын

    Sasa kama na mamake anaingia humoo twasema haja zaliwaaa!!!!? Au nimesikia vibaya!?? Shekh walidi kua makin sanna na maneno Yako!!!!

  • @anuaryally6204
    @anuaryally62045 ай бұрын

    Dah , dinii imevamiwa , hapa hakuna kitu Zaid ya kufanya komedi

  • @YusuphuYahya
    @YusuphuYahya5 ай бұрын

    Shekh kasimu mafuta Simba wa masufi wakimuona hata kama hajapiga miyayo wanakimbia

  • @kendricklamah9287
    @kendricklamah92875 ай бұрын

    Kassim mafuta allah akulinde na madhwalm na akukinge na shali na uwe mkweli katika din uwendelee kusema kwel hivo hivo

  • @user-iz8ps5hq1y
    @user-iz8ps5hq1y5 ай бұрын

    Mbwembwe zikizidi unakufuru wapangiliaji wa maisha yetu yasasa na ya baadae hiyo sifa binaadamu Hana niya Allh pekee

  • @khalifaallyibnadam9983

    @khalifaallyibnadam9983

    5 ай бұрын

    Acha vijembe

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    5 ай бұрын

    Kasome ww wajua kufuru ama kukufuru mawahabi munashida kasomeni

  • @abubakarymaulidy5681

    @abubakarymaulidy5681

    5 ай бұрын

    Acha chuki utaolewa roho ya kike unashindwa kuwarispekti wanaume wenzako ushamba huo umekaa kama mtu na mke mwenza

  • @user-iz8ps5hq1y

    @user-iz8ps5hq1y

    5 ай бұрын

    Huo ndio ukweli Haki inauma ila kateleza huyo kwani yeye malaika asikosee?

  • @taurehassan7399

    @taurehassan7399

    5 ай бұрын

    Km vile alivyokufuru ibn taymiyah au?

  • @omarymakange8449
    @omarymakange84495 ай бұрын

    Wallahi Ahlsunnah tuna masheikh, Allah atuhifadhie hawa..

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    5 ай бұрын

    Ahlul bidaa

  • @omarymakange8449

    @omarymakange8449

    5 ай бұрын

    @@saidimkwinzu9106ameshindwa ibilisi, Abuu jahal nk.. Utaweza wewe.. Elimu yenyewe huna

  • @silimakhamis7088
    @silimakhamis70885 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @aishathabit3732
    @aishathabit37325 ай бұрын

    Sasa Upwani una nafasi gani kwenye uislamu? دعوها فإنها منتنة Sheikh mwenye fikra za ubaguzi uasabiya ni fikra za kijahili na ni aibu kubwa

  • @IbraFareed

    @IbraFareed

    2 ай бұрын

    ⁠sheikh unajua imetumika lugha ya kiswahili hapo Sasa kwenye lugha ya kiswahili kuna TAMATHALI ZA SEMI embu kaa darasani usome bhana TATIZO HAMTAKI kusoma afu mnaleta ubishi ubishi LUGHA INA UFUNDI WA KUTUMIKA KWENYE MAONGEZI NA HAINA MAANA ULOMAANISHA WEWE YA KIPUUZI ukitafsiri kwa njia potofu utapata maana potofu UFAHAMU NAO RIZIKI 😂😂

  • @Harunery
    @Harunery5 ай бұрын

    Masufi ALLAH awatoe kizani,dawa salafaiyya hamuiwezi abadan

  • @rizikimagoma4560
    @rizikimagoma45605 ай бұрын

    🙏🙏

  • @msafirimalilo9764
    @msafirimalilo97645 ай бұрын

    Nachukia mnoo Kuona taarifa muhimu za kidini zikitanguliwa na upuuzi😢

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana33535 ай бұрын

    Mashaa Allah mie nimepata faida sana kupitia darasa hiz za shehe Walid Allha ampe umri mrefu inshaa Allha.

  • @abdurrahmanis-haaq4588

    @abdurrahmanis-haaq4588

    5 ай бұрын

    Tafuta watu wakusikiliza sio huyo mpuuzi

  • @radhiambwana3353

    @radhiambwana3353

    5 ай бұрын

    @@abdurrahmanis-haaq4588 Najikinga Kwa Allha namaneno Yako hayo hakika kupitia darasa zake amenifundsha kutokumshrikisha Allha nakuacha maasia nakusimama kiyamu lail nakuleta swalat alanabii zaka na swadaka mpaka nikilala ndoto zangu nikutia udhuu na baada ya hapo nasoma Qur'an ktk ndoto je ww MTU huyu ndo unampuuza? Mtume wa Allha anasema waliowema niwale wanazuia ndimi zao Kwa waumin wenzwao na Allha anasema enyi watu msiwapuuze waisilam wenzenu huwenda wao wakawa Bora kukushndeni nakuusia Ndugu yangu ktk Iman umuogp Allha kumuogp kukubwa na kabla hujasema kitu mkumbke sana MTUME wa Allha utasalimika ww na sisi umati Muhammad. Nisameh kama nimekukwza ktk kujb kwangu shkran.

  • @almusawyusuf2608
    @almusawyusuf26085 ай бұрын

    Sawasalm

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi33775 ай бұрын

    Màasha allah nimejifunza mengi ❤

  • @user-uo2wh3rk3j
    @user-uo2wh3rk3j5 ай бұрын

    Kaz kuvishan vyeo tu

  • @TheIslam1681_
    @TheIslam1681_5 ай бұрын

    Admin umekosa uadilifu kweli, yani walidi umemwita shekhe, sheikh Kasim mafuta umemwita kasim mafuta. Hv ktk hao waliokaa hapo wote kuna mwenye kumpata kwa ilm sheikh kasim mafuta?

  • @fadhilmsawa9195
    @fadhilmsawa91955 ай бұрын

    Mashekhe wa bidaa utawajua tu,kazi kusifiana na kutaka kuchekesha watu. Mtu anataka publicity na sio radhi za Allah.

  • @IbraFareed

    @IbraFareed

    2 ай бұрын

    Sheikh umejuaje ya ndani ya Nafsi ya MTU 😅😅😅

  • @abduwahabi7019
    @abduwahabi701926 күн бұрын

    Mbona huyu shekhe walidi manenoyake mengi yamejengeka ktk muundo washirki? Duh

  • @shifaaplusherbalmedicine
    @shifaaplusherbalmedicine5 ай бұрын

    9:42

  • @IbrahimNtirenganya
    @IbrahimNtirenganyaАй бұрын

    Masufi ubingwa wenu nikupambia maneno kwa yule ajasoma Ilumu anaweza azani kama ni Ilimu ya Dalili

  • @saadayoub7179
    @saadayoub71795 ай бұрын

    Hawa masufiy Allah kawanyima uwelewa

  • @alhandumtalemwa8468
    @alhandumtalemwa84684 ай бұрын

    Sjekhe walidi ndio shekhe was waisalmu wooooooooooooooooote

  • @allympemba6123
    @allympemba61235 ай бұрын

    Asante shekh letu

  • @AbdallahMpemba
    @AbdallahMpemba5 ай бұрын

    Nyie masufi msijadili watu wa wanaozungumza haki jailing familia zenu km sio waislaam mnavyoishi majumbani kwenu.Hamfai kuwa viongozi.

  • @user-xg2uj3wf3e
    @user-xg2uj3wf3e3 ай бұрын

    Dini leo hii imebaki kwa masufi tu. ..

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri45975 ай бұрын

    Kweli kabisa huyo Sheikh anaitwa kiboko mengi Ni matusi tuu

  • @JosMatty-bq9ii
    @JosMatty-bq9ii5 ай бұрын

    umuwezi changany mafuta na maji

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina38935 ай бұрын

    Masheikh wa siku hizi wana semana hovyo hovyo inaonekana hawana mawasiliano mazuri hata kwa simu tu yaani wamekuwa ni tatizo, wanatia unyonge kwa waumini na hata wale ambao waliokata shauri kutaka kuja katika Uislam.

  • @topfreelancer5151

    @topfreelancer5151

    5 ай бұрын

    Kusoma dini yako ni wajibu wako sio Masheikh, kwahio utofauti wao usikupe udhuru wa kutojifunza dini yako. Tafuta chuo cha Sunna ukasome dini yako

  • @almunawwarahonlinetv5884
    @almunawwarahonlinetv58843 ай бұрын

    Mmmh pepo ya kwenu nyie na kasim mafuta

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp
    @AbdalahMtambuka-rh1dp5 ай бұрын

    bakwata nimtiani tupu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52415 ай бұрын

    Mziwanda kagombee udiwani kwenu kigoma ukoo

  • @taurehassan7399

    @taurehassan7399

    5 ай бұрын

    Na ww gombea wenyekiti kwenu

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l5 ай бұрын

    Amende pepeoni kwa maulidi? Kwanza huyo Abubakar mganga kuhani mshirikina

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    5 ай бұрын

    Huo ndio uwahabi ninao ujua mimi bila matusi au dharau au kukufirisha maulamaa hauendi.

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    5 ай бұрын

    Wewe na madhehebu yako ni jinga taipu one nani alie kwambia kwenda peponi ninyi mnajua na kumwona alie peponi enyi wakufurishaje Wa maulamaa.?

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan39025 ай бұрын

    Mwalimu atakae fanya Maandamano siku ya qiyama kisa asipo muona Shekhe lake peponi

  • @osmanmanbile9327

    @osmanmanbile9327

    5 ай бұрын

    Hhhh😂 nani huyu

  • @abuurayaan3902

    @abuurayaan3902

    5 ай бұрын

    @@osmanmanbile9327 Walidi huyo mwenyewe alima ivyo Wala sijamzulia

  • @idrisamara6510

    @idrisamara6510

    5 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣 atamuandamania Allah??!!

  • @osmanmanbile9327

    @osmanmanbile9327

    5 ай бұрын

    Mnaweza nionyesha hyo video amesema hvyo

  • @IbraFareed

    @IbraFareed

    2 ай бұрын

    @@idrisamara6510​​⁠sheikh unajua imetumika lugha ya kiswahili hapo Sasa kwenye lugha ya kiswahili kuna TAMATHALI ZA SEMI embu kaa darasani usome bhana TATIZO HAMTAKI kusoma afu mnaleta ubishi ubishi LUGHA INA UFUNDI WA KUTUMIKA KWENYE MAONGEZI NA HAINA MAANA ULOMAANISHA WEWE YA KIPUUZI ukitafsiri kwa njia potofu utapata maana potofu UFAHAMU NAO RIZIKI 😂😂

  • @AbuujureyjKhaniy
    @AbuujureyjKhaniy25 күн бұрын

    HIZO NDIO SIFA ZA MAGHURAFI HUUNGA MKONO LOLOTE AMBALO LIPO MBELE YAO ILI WASIVUNJANE WENYEW KWA WENYEWE MASHEKH WASERIKALI WENGI UNDAN WAKE HUONGOZWA KINYUME NA MATAKWA YA SERIKALI

  • @user-ul5sw7ms9h
    @user-ul5sw7ms9h5 ай бұрын

    Ww mbele y sheikh qassim una nin?!! Mzushi mkubwa wee

  • @abubakarshaban6118
    @abubakarshaban61185 ай бұрын

    Mnataka skaykh Kassim Mafuta Allah amuhifadhi awe mlaini kwenu nyinyi mliokubuhu ktk bidah.. Na sisi tunasema pia تباذرو يتعمر لكم Na nyinyi kuweni kama Abu Dhar ili Shaykh Kassim awe kama Umar.. La sivyo ni raddi tu kwenda mbele.. Mpaka mtanyooka..

  • @kheirahmad4064

    @kheirahmad4064

    5 ай бұрын

    Sijaelewa mashiko yake kwamba mafuta awe kwenye bidaaa. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 pole sana ndugu walid dawa ya Sunnah haitishwi hivo badilisha watu uwaongozao wakae ktk njia sahh. Poa jenga ukweli wa dhahir ktk dhahir yake. Achen Faida ya matumbo yenu kwa kuupoteza Ummah. Pole sana Walid nyooka ww na nauwangozao itakua bora zaidi. Mafuta Allah akuhifadh unapambana sana ktk Bidaa kwa miaka mingi sana kwa sasa.

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    5 ай бұрын

    ​@@kheirahmad4064 ww na mafuta wako mwisho wa siku atakukanga na mafuta yako kassim mafuta mpotoshaji tu utake usitake

  • @HatibuAmir-hq9nh

    @HatibuAmir-hq9nh

    5 ай бұрын

    Watanyooka2 ishaallah Allah amhifazi shekhe kassm mafuta

  • @abubakarshaban6118

    @abubakarshaban6118

    5 ай бұрын

    @@saba-gv3mj ameshawakaanga watu wa bidah kama nyie mpaka mmeungua... Inatosha.

  • @rushu1232
    @rushu12325 ай бұрын

    Maneno mazuri sana nidhamu mzuri ajabu kuona watu ku comment bidaa khurafi mbona chuki zenu zimetupa mipaka mpaka akizungumza maneno yasawa bado mwachukia.

  • @mtutulaclassic6207
    @mtutulaclassic62075 ай бұрын

    ikifundishwa na sheikh walid usipoelewa hutaelewa maisha

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    5 ай бұрын

    Katika usufi hakuna shekh

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    5 ай бұрын

    ​@@mohdkhatib223jibwa wewe, sufi babako na mamayo

  • @abuurayaan3902

    @abuurayaan3902

    5 ай бұрын

    Masufi kama kawaida yao kulishana matango pori Dah kweli hakukosea aliesema usufi ulemavu wa Akili

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    5 ай бұрын

    @@abuurayaan3902 babako na mamako emavu mbwa mwitu

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    5 ай бұрын

    @@mohdkhatib223 na wahbi kuna mashoga mbwa wa kwanza wewe

  • @sabdiduwil8436
    @sabdiduwil84365 ай бұрын

    Wewe ulimuona mbona binaamu zake walimpinga

  • @Marjeby
    @Marjeby5 ай бұрын

    Wallah mie kila siku nasema jaman elimu ya shule pia inahitajika sana kwa hawa mashekhe wetu pamoja na elimu kubwa za dini walizo kuwanazo kwanini wenzetu upande wa pili wameliona hili fanya ufanyavyo huwezi ukakuta padri tu acha askofu anaelimu ya darasa la saba au elimu ya form four. Hiyo inawasaidia sana kujenga hoja mbele za watu kuangalia nini chakuongea na contents ya sehemu husika mfano huyo Mziwanda unawezaje kusema mbele ya mic 🎤 eti sheikh Walid unabahati kuwa mtu wa pwani!?haya sio maneno yakuongea mbele za watu kabisa kwasababu kinyume chake waliozaliwa Bara ni watu ambao hawakupata bahati huo ni ukilaza wa mwisho kabisa na haya sio Maneno ya mziwanda tu Mashekh karibu wote hata Walid pia ndio maneno yao na sababu hawana elimu ya shule pamoja na elimu zao za dini walizo nazo. Mie ni mtu wa Pwani kwa baba na mama sina hakika kwa kiasi gani watu wa bara wamejisikiaje ila nachojua hawajajisikia vizuri tenaa sana.

  • @jabirhussein4180

    @jabirhussein4180

    5 ай бұрын

    Yaani umeongea maneno ya kipuuzi sana shule shule,shule ndio nini Mtume wetu alisoma shule gani au maswahaba walisoma shule gani maimamu walisoma shule gani? Kama mtu we unavyoona kakosea kukosea kuko kila mahali kwani walio soma shule ndio hawakosei ktk mazungumzo yao? Hivi we unajua elimu ya dini ni nyepesi nyepesi yaani mtu kakomaa mpaka hapo alipofikia halafu una taka kumfananisha na maaskofu wasio kua na uongofu wowote hebu tuondolee ujinga wako kwa mashekhe zetu

  • @omarimamboleo2634

    @omarimamboleo2634

    5 ай бұрын

    Wewe jamaa inaelekea akili yako nindogo na hujielewi ndio maana unatuletea mifano ya maaskofu napia unatatizo na watu wa pwani maneno yote hayo umeona hilo la watu wa pwani

  • @abuusalum928

    @abuusalum928

    5 ай бұрын

    Maaskofu wana akiri ndio manawana sapoti usho ....a,na elimu zao za shule lakini wanabariki usho ..ga

  • @AbubakarTwaha

    @AbubakarTwaha

    5 ай бұрын

    Fitna ni mbaya kaka KWA harakahara unavoonekana ni mtu unae bomoa DINI ya ALLAH hatakama unachuki nao ila nakushaur jilazimishe kuwapenda mashekhe wetu KWA maana hao ndo DINI yenyewe

  • @Maalim_Samatta

    @Maalim_Samatta

    5 ай бұрын

    Yaani wewe zwazwa unazungumzia hizo elimu za hao maaskofu wako??? Sasa ngoja nikufahamishe kitu kwa uwelewa wako hao mapadri TU ndo wamefika vyuo vikuu Kwa elimu Yao ya kizungu sasa hawa hapa masheikh wamefika JAAMI'A ambayo ndio University tatizo ni kuwa hao mapadri wako wamesoma elimu ya kizungu ya kuchambia karatasi badala ya maji na Kwa kuwa inapromotiwa Kila uchao. Boya ww. Kwani mfano dollar ya kimarekani kutumia DUNIA nzima ndio ikudanganye kuwa ndio pesa yenye THAMANI kuliko zoote?? Mbona kua Oman riyal ambayo THAMANI yake hata dollar haiingii. Tatuzo lako HUNA elimu zwazwa ww.

  • @BakariBinuri
    @BakariBinuri24 күн бұрын

    Nyie mashehe siasa dunia itawapeleka wap?

  • @sharifuteacher5025
    @sharifuteacher50255 ай бұрын

    Vitu vitamu kabisaaa mashaallh

  • @arrawaahiyahtv9800
    @arrawaahiyahtv98005 ай бұрын

    Maashaallaaah, tumeelewa sana Sheikh, asiyeelewa basi tena

  • @abdulazizimohamed4247
    @abdulazizimohamed42475 ай бұрын

    Sema uliepost hii video caption na maneno alosema walid yaani umeyakuza kinoma😂😂😂 walid hana uwezo wakumrad mafuta

  • @almunawwarahonlinetv5884
    @almunawwarahonlinetv58843 ай бұрын

    Eti kaletwa maalum😂😂😂😂

  • @muhammedomaryshembilu8539
    @muhammedomaryshembilu85395 ай бұрын

    Allah kiboko yani lazima kue na kikundi kinacholingania mpaka kiama kisimame allah amemuandaa abulfadhwil qaaasim mafuta kwa wajinga k ama Hawa masuf

  • @Jumampemba84
    @Jumampemba845 ай бұрын

    huyu jamaa ni msanii tu mbwembwe tupu

  • @mombasa0076

    @mombasa0076

    5 ай бұрын

    Msanii ni bibiyo

  • @hassanmsami7670

    @hassanmsami7670

    5 ай бұрын

    Kassim mafuta ni kiboko yenu na bado mpaka muache huo upuuzi wenu waone mijitu mikubwa lakini inaongea upuuzi ndio maana watu wanawakimbia siku hizi hamfundishi dini kazi kuzua katika dini.

  • @Dr_ochuu
    @Dr_ochuu5 ай бұрын

    Tatizo la masalafy wengi wanakosa hekmaaa na busara SHEIKH WALID ALHAD ALLAH AMUHIFADHI MANENO YAKE MAZURI NA YANA HEKMAAA NDANII YAKE,, SISI MASALAFY NI WAZEE WA JAZBAA KWELII TUNATUKANA SANA MAKUNDI MENGINE NA PIAH TUNAWATUKANA ATA WAZEE MISIKITINI, SHEIKH WALID ALLAH AKUHIFADHI NA UINGIE KATIKA SUNNAH 🤲🤲 NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAH

  • @isihakamgeta5433

    @isihakamgeta5433

    5 ай бұрын

    Ni Bora jazba katika Sunnah kuliko hekima katika bidaa

  • @isihakamgeta5433

    @isihakamgeta5433

    5 ай бұрын

    Halafu hakuna salafi asie na hekima ,Wala hakuna salafi asiewaheshimu wazee Wala hakuna salafi wanaotukanana , bali kutofautiana kupo na hilo halikwepeki

  • @mohammedmataucar66

    @mohammedmataucar66

    5 ай бұрын

    Sasa unasema ttzo la masalafy alafu unakuja Tena kusema wewe ni salafy 😂😂😂mikhurafi bhna

  • @aliabdulla5395

    @aliabdulla5395

    5 ай бұрын

    Ww khurafi sio Salafi, ukawaseme vibaya masalafi na uwasifu makhurafi. Ww ni khurafi mwenzao

  • @topfreelancer5151

    @topfreelancer5151

    5 ай бұрын

    Hata Umari bnil khatwab Allah amridhie alikuwa mkali vizuri na watu walinyooka, kwahio usijifiche kwenye kichaka hicho. Kila Dai ana style yake aliyoafikishwa na Allah katika kufikisha, hivyo kama upo katika Sunna umeona mwalimu huyu ni mkali nenda Kwa mwalimu wa Sunna mpole ila sio khurafi

  • @user-xg2uj3wf3e
    @user-xg2uj3wf3e3 ай бұрын

    Wapofu nyie wote... Kassm mafuta ya nyonyo au mafuta ya nazi...bonge la muhabi hana lolote. Uliandaliwa mjada huku kwetu Tanga Kwa sisi, akaulza yupo kijana aitwa Abdallah alipojbiwa yupo..akasema siji.

  • @abdutv4636
    @abdutv46365 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @NurdiniShabani-ut4rv
    @NurdiniShabani-ut4rv5 ай бұрын

    Wallahh nyie mnaojiita watu wa sunna wengi hamna hoja isipokuwa jazba tu zimewajaa

  • @abuuaisha9095
    @abuuaisha90955 ай бұрын

    Unataja maswahaba kama unataja wauza mahindi halafu wajidai wewe ni msomi..?Makhuraf kweli mzigo..!!Mafuta(Allah Amuhifadh) ni level nyingine..!!Allahu musta'aan..!!Mngelikuwa wajuzi kuliko Mafuta msingelishirikiana na mashi'a kwenye mambo yenu ya kidini..!!

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    5 ай бұрын

    Wewe unaumia ulivyosikia vitu adimu ambavyo mashekh wenu hawawambii kwasababu ya chuki na hila zenu na itikadi yenu imejengeka juu ya dharau na kujivuna na kujiona wajuaji na kwamba ninyi ndio mpo sahihi na hivyo hata mkikosea hamwombi radhi au msamaha kwa wale mlio wakosea, Ndio maana kwenu matusi ni Kawaida na kuwadharau maulamaa ni Kawaida na wala hamwezi kujifunza wala kusema jambo fulani hatujui au hatuna elimu nalo, Ninyi mkifanya bidaa ni halali kwenu lakini akifanya mwingine huo ni uzushi, Nyie ni hatari zaidi maana hamleti umoja kwa waislam wala mawaidha ya mashekh zenu hayalengi kufundisha zaidi ya kuleta chuki kwa waislam na kutugawa makundi makundi ,Hamfanyi harakati za kiislam za kusilimisha watu zaidi ya kupambana na waislam wenzenu mnaotofautiana madhehebu .Nyie mnataka mvune msichokipanda wakati hao wenzenu wanapambana nyie mnaanza kuleta uwahabi wenu ndio utumike kwenye kutoa mawaidha au kufanya mihadhara au kusilimisha watu wasio waislam. Acheni kutugawa.

  • @user-it8jb2np6x

    @user-it8jb2np6x

    5 ай бұрын

    Kwani mashia wanahusika nin katika hi mada. Ukosefu wa elim ni nimzigo kwa wenye elim.unazani wewe kuwa muhabi usie na upewo utajifananisha na masun na mashia wasomi? Acheni kukosa adabu kwa madhahibu zingine ban.linganieni ambao hawana neema ya uislam nibora zaid.😂😂😂😂😂

  • @mombasa0076

    @mombasa0076

    5 ай бұрын

    Akili ni nywele

  • @rashidhemed1444
    @rashidhemed14443 ай бұрын

    Ni kweli kabisa shekhe kasimu mafuta hawamfikiiii kwa sababu ni mtu hatari sanaaa ktk jamiii ya kiislamu ni fitnaaaa mtu ya kufarakanisha ummma wa kiislamu

  • @shifaaplusherbalmedicine
    @shifaaplusherbalmedicine5 ай бұрын

    Gwiji la kisufi linaleta taawili mumelisikia gwiji la ubaguzi eti wapwani huo ni uvundo ambao umeuleta apa mbele ungea dini upwani ubara apa hauna nafasi

  • @shifaaplusherbalmedicine
    @shifaaplusherbalmedicine5 ай бұрын

    9:42

  • @AbdallahKawambwa-qx8tl
    @AbdallahKawambwa-qx8tl29 күн бұрын

    Mziwanda una maneno mengi kwani kua mtu WA pwani ndo mini uchamungu ndo kitu cha kwanza

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e3 ай бұрын

    Huyu anaesema muawia dhalimu ni kafir wa kishea nini maana wale jamaa sheitwani kawatoa aibu juu ya maswahaba utukana mitusi mikubwa na kufru zao za kishia

  • @IbrahMiracle-em4sh
    @IbrahMiracle-em4sh5 ай бұрын

    Masufi hivi hapo kuna mtu alie pewa barka kwenye daawa yake kma kasim shekhe kassim anawanafunzi zaid ya elfu moja na co mzururaji kama hao ana fundiaha na aliwafundisha na saiv ni mashekhe ni wengi mno

  • @user-yr2gb7hm2j

    @user-yr2gb7hm2j

    5 ай бұрын

    Sheikh unampinga sheikh au unapinga maneno yake?

  • @shifaaplusherbalmedicine
    @shifaaplusherbalmedicine5 ай бұрын

    Gwiji la kisufi linaleta taawili mumelisikia gwiji la ubaguzi eti wapwani huo ni uvundo ambao umeuleta apa mbele ungea dini upwani ubara apa hauna nafasi

  • @shifaaplusherbalmedicine
    @shifaaplusherbalmedicine5 ай бұрын

    9:42

  • @shifaaplusherbalmedicine
    @shifaaplusherbalmedicine5 ай бұрын

    9:42

  • @shifaaplusherbalmedicine
    @shifaaplusherbalmedicine5 ай бұрын

    9:42

  • @shifaaplusherbalmedicine

    @shifaaplusherbalmedicine

    5 ай бұрын

    Porojo tu naona Hakuna hoja hapa wela Dali ni sifa za kusifiana tu 😊

  • @shifaaplusherbalmedicine

    @shifaaplusherbalmedicine

    5 ай бұрын

    Kuwa kiongozi ndio kuizuru Dawa salafia hautoweza kuizuru hata uongee nini

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari24585 ай бұрын

    Ukweli ni kwamba muawiwa alikuwa ni zwalim na fasiki....acha kupamba pamba mambo...

  • @idrisamara6510

    @idrisamara6510

    5 ай бұрын

    umepotea shia ww

  • @ibrahimomari2458

    @ibrahimomari2458

    5 ай бұрын

    @@idrisamara6510 @ aliepotea ni muawiya na yazid na kizaz chake na wafuasi wake wa zama zote...