MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID

Ойын-сауық

MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID
FULL VIDEO YA MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID TANZANIA USISAHAU KUTU FOLLOW KWENYE FACEBOOK PAGE YETU NA INSTAGRAM NA KU SUBSCRIBE KWENYE KZread CHANNEL YETU KWA VIDEO NYINGI ZAIDI THANKS
SUBSCRIBE
COMMENT
LIKE
SHARE
THANKS

Пікірлер: 293

  • @ashiimohmedi6051
    @ashiimohmedi6051 Жыл бұрын

    Shekh walidy wallah nakupnda,kwasjil ya Alla wallah wabillah mwenyezimungu akupe umri mrfu tena wamanufaa"" na akufe mwisho mwena"" nmeandka sms hii kwa mapenz makubwa sana"" allah akuongezee elinu yko mpka ukinahi"" mm bado ni kijana mdgo lakin siku alla atanijaalia nitaoa akisha akanijaalia watto wema lazma nikuletee watto wangu mja wapo umleee"" Allah akuweke mpka hpo nitakapojaaliwa kuoa"" na kma amekuchukua basi akupe daftar lako la amar kwa mkono wa kulia"" napia akuingize peponi bila ya hesabu🤲🤲🤲🤲

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana al akh Yaani umeongea maneno yale tulikuwa tukiyasikia zamani kwa watu aina hiyo

  • @halimaauthman9324
    @halimaauthman9324 Жыл бұрын

    Shukran sana shekhe Walid Allah akuhifadhi na mabaya ya duniani na Akhera

  • @wamanja5572
    @wamanja55723 жыл бұрын

    Allah Akuzidishie Elimu imamu na sisi angalau angalau tupate kitu In shaa Allah.

  • @ashrafukirya1947
    @ashrafukirya19474 жыл бұрын

    Allah akulipe inshallah

  • @ashagrace3333
    @ashagrace33333 жыл бұрын

    Assalam aleykum warmtlh wabrkth sheikhe,mm miko kenya nakufatilia sana Allah akulinde sana.

  • @fatumahamisi7064
    @fatumahamisi70642 жыл бұрын

    Allah akutangulia sh. Wetu akuhifadhi na madhila wa masheytwani

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa32163 жыл бұрын

    جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ الحبيب وليد

  • @columbusdoo593
    @columbusdoo5933 жыл бұрын

    Assalamu Alaykum. Tafadhali ni postiye video zengine. Hizi nisha zi repeat sana. Na khutba za ijumaa pia usisahai kuni postiya

  • @daudikhamis1595
    @daudikhamis15954 жыл бұрын

    Allah akujalie katika kudumu kudarasisha Darsa hili la Quran

  • @issabinmaryam7450

    @issabinmaryam7450

    4 жыл бұрын

    Angepanda mnazi angefika America...

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah96302 жыл бұрын

    Wallah sheikh nimekuelewa sana...

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11713 жыл бұрын

    ALL IN ALL SHEIKH IS SOO CONFIDENCE WHAT IS TALKING ABOUT IT LIKE IT mashallah and I enjoy my self

  • @ruubajuni1641
    @ruubajuni16414 жыл бұрын

    Unajua ndugu zangu wakat mwingine inategemea pia na umekulia makuzi gani au umezaliwa wapi,na ndiyo maana wengi wanakuwa hawaamini,lakin karama zipo sisi watu wa bagamoyo tulikuwa nao hao watu wengi sana,kwa waliokiwa nje ya bagamoyo walikuwa wanasema bagamoyo kuna wachawi wengi sana,lakin si wachawi illa palikuwa na watu wengi wenye karama,si wanaume si wanawake,ni mkweli mtu akikunyooshea kidole unaathirika kama hautozikwa,so nakubakiana na Maalim Walid maana hata Mimi nimehadithiwa na pia nimebahatika kuona baadhi ya vitu kwa macho yangu

  • @abilugome7461

    @abilugome7461

    3 жыл бұрын

    Uchawi mtupu hakuna lolote na ivyo vitabu vya Mambo ayo vipo watu hawavitumii coz ni vya kishilikina

  • @ahlutwariqaalqaadiriya3538

    @ahlutwariqaalqaadiriya3538

    3 жыл бұрын

    Kabisa wanakataaa karma je miujiza ya enzi hizo nawao sindo wange kuwa katika makundi ya kushirikina kuziita uchawi😭😭😭😭😭tusiwe wajinga hivyo karama zipo zipo zipo

  • @ahlutwariqaalqaadiriya3538

    @ahlutwariqaalqaadiriya3538

    3 жыл бұрын

    @@abilugome7461 Weww lugome usiwe kama mushrikiina akhii wakina abuu jahli wao miujiza waliipinga kwa lakabu kama hizo kuita uchawi doh😳😳😳😳Chunga imani yako

  • @sammarley1413

    @sammarley1413

    3 жыл бұрын

    @@ahlutwariqaalqaadiriya3538 TATIZO LAO HAO NIKIBRI YANI KITU ASICOKIJUA YY BASI HICO HAKIPO. KABAKWAMBA YY NDIO MWENYE KUIDHINISHA KUWEPO AO KUTOWEPO KARAMA.

  • @ahlutwariqaalqaadiriya3538

    @ahlutwariqaalqaadiriya3538

    3 жыл бұрын

    @@sammarley1413 sasa huyu leo kakutana na mimi aniongopei chochote mpk hapa ajatoa hadith wala aya mm namchapa tu kwaajili ya allah 😆😆😆

  • @fatumashaibu1461
    @fatumashaibu14614 жыл бұрын

    Subhanallah, Allahu Akbar baada ya kuomba uwe na umri wenye heri we unataka umri mwingi. Allah akujalie umri mrefu wenye heri nawe. Aamin

  • @janataninaim9193

    @janataninaim9193

    2 жыл бұрын

    Amin

  • @asgarsidi8021
    @asgarsidi80212 жыл бұрын

    MashaAllah. Ustad Walid wewe ni Shariff SubhanAllah. Tu kumbuke kwa dua.

  • @swabrianwar1020

    @swabrianwar1020

    2 жыл бұрын

    ndugi yangu asgar sidi, shariffu n ambae nasaba yake ni mpaka mtume sallla lahu aleihi wasalam

  • @hosnabintmariam3287
    @hosnabintmariam3287 Жыл бұрын

    Allahumma Aamiyn. Alumri twawiyl ziadah sheikh

  • @abdilllahimohammed219
    @abdilllahimohammed2193 жыл бұрын

    Nimeshuhudia Mimi na mke wangu sana mungu atuongoze na shukran kwa mawaidha

  • @selemankishema5780
    @selemankishema57804 жыл бұрын

    Toba yarabbbi Allah tizama waja wako wanayoyafanya na dini yako vinavovurugwa ya Allah.

  • @mwanakheirkihambwe6824
    @mwanakheirkihambwe68244 жыл бұрын

    Amina shekhe wangu mungu akulipe umri refu wakutumikia dini yetu

  • @janataninaim9193
    @janataninaim91932 жыл бұрын

    Mashaallah swadaktah sheikh subhanaallah

  • @saumtolbazi8616
    @saumtolbazi86162 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @missrukia9661
    @missrukia96613 жыл бұрын

    Mashallha shekhe

  • @mtimbaabdallah681
    @mtimbaabdallah681 Жыл бұрын

    subhaana llah yaani masufi wanatabu sana yaani makosa hayo ya kiaqida yote chafu na mwamsifia..innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiun

  • @neemainabikorwa5570
    @neemainabikorwa55702 жыл бұрын

    امين يا رب العالمين

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Жыл бұрын

    Mashaa Allah dini ya Allah hi dini ya Allah haina pengo Tunakuomba YA RABBI ss na vizazi vyetu na vyawenzetu tujitahidi kuelekea ili utuongoze kuwa ktk watu wema ili uweze kupata radhi zako hakika tukipata zako radhi tutakuwa ktk watu tulio faulu tasamehe yetu madhambi hakika ww unasamehe madhambi Alhamdulilah Alahuma swali ala saydina muhamadi S.W.S. Amiin

  • @omaralwi3946
    @omaralwi3946 Жыл бұрын

    اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم

  • @abdulhamidisiraja4930

    @abdulhamidisiraja4930

    Жыл бұрын

    Mashaaaallah

  • @uthmanihimbawe5244
    @uthmanihimbawe52442 жыл бұрын

    Allah Akbar 😭

  • @bilalihussein-dg8dp
    @bilalihussein-dg8dp Жыл бұрын

    mashallah tunastafidi kwa elimu hii, Allah akuweke sheikh

  • @tumajunior6080
    @tumajunior60803 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @doddyhassan862
    @doddyhassan8623 жыл бұрын

    Shukran sheikh Waleed

  • @afric01
    @afric01 Жыл бұрын

    Aslm alkm ww... Masha Allah!!!! Uko na miaka 55 kama hungeongea hatungejua. Kweli ukiwa mcha Mungu huzeeki haraka. Shukran sana Kwa darsa. Allah akuzidishie umri. Jazakallah kheir 🙏😊😊😊

  • @suleimanally2065
    @suleimanally20654 жыл бұрын

    Watu wengi tunapenda muhemko unafikia kumwita sheikh walid muongo huku ni kukosa adabu kwa masheikh zetu tuwaheshim hawa ndio walimu wetu na watoto wetu

  • @abubakarmuhammadsaid3244

    @abubakarmuhammadsaid3244

    3 жыл бұрын

    Uongo ni uongo tu. Haijalishi shkh wala mtumwa.

  • @hassanomar7340

    @hassanomar7340

    3 жыл бұрын

    @@abubakarmuhammadsaid3244 kweli kabisa bro....kw nini lkn watu tunatekwa nyara kiasi hiki. Dini yetu ni ya dalili c kwa matamanio au rai ya mtu.

  • @aliabdalla9297

    @aliabdalla9297

    3 жыл бұрын

    @@abubakarmuhammadsaid3244 uongo ni uongo lakin kumuita Sheikh muongo huko ni kukosa heshima na hayo anayohadithia ni ya kweli kabisa

  • @abubakarmuhammadsaid3244

    @abubakarmuhammadsaid3244

    3 жыл бұрын

    @@aliabdalla9297 Kila anaesema uongo ni muongo. Na hayo anayoyasema mimi nina ushahidi kuwa ni uongo. Je, wewe unaemtetea, unao ushahidi wa ukweli wa hadithi hiyo!?

  • @slamecktz

    @slamecktz

    2 жыл бұрын

    @@abubakarmuhammadsaid3244 Kwani uongo upi umesemwa hapo tuelimishe tukuelewe

  • @AhmedSaid-xz3kj
    @AhmedSaid-xz3kj3 жыл бұрын

    Jazakallah kheir

  • @feiz3180
    @feiz31804 жыл бұрын

    Sadiki ukipenda.

  • @abeliever6823
    @abeliever6823Ай бұрын

    أكرمك الله يا شيخنا الفاضل

  • @nilihamhamisi1927
    @nilihamhamisi1927 Жыл бұрын

    Asslam alykum warahamatuallahi wabarakatu sheikh walid naomba niwe mke Mdogo kwa baraka za Allah ndani ya Rajabu hii ya rabby takbar dua ya Yangu

  • @khalidmuhsin8430

    @khalidmuhsin8430

    Жыл бұрын

    Ucjali q

  • @meandme3437
    @meandme3437 Жыл бұрын

    Subhanallah bibi maryam mamake nabii issa alikua akiteremshiwa chakula kutoka peponi direct mpaka nabii zakaria akamuuliza ni vipi? TUMCHENI ALLAH SANA😢

  • @doddyhassan862
    @doddyhassan8623 жыл бұрын

    Yeyote anayeona kwamba sheikh amekosea ni vizuri kumfata kama unaweza vinginevyo utakuwa utovu wa adabu katika ilmi,

  • @muhrajovic752
    @muhrajovic7524 жыл бұрын

    innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun!!!!!!!!!

  • @athumanikaoneka7413

    @athumanikaoneka7413

    3 жыл бұрын

    Nicee

  • @mussakasimu2811
    @mussakasimu28112 жыл бұрын

    Huyu jamaa anaongea ukweli mtupu. Maashallha shekh nakupata nikiwa tanga mjini hapa

  • @barackhaamidu7841
    @barackhaamidu7841 Жыл бұрын

    maa shaa ALLAH ALLAHU AK'BAR

  • @heyumi2340
    @heyumi23403 жыл бұрын

    maashaallah maashaallah

  • @rahmaabuubakar1751
    @rahmaabuubakar1751 Жыл бұрын

    HAWA MASHARIF WALIKUWEPO WALLAH NA NNAHISI MMOJA MMOJA WAPO. ALHAMDULILLAH

  • @ashagrace3333
    @ashagrace33333 жыл бұрын

    Subuhana allah.

  • @Mbaraka_Mbwambo
    @Mbaraka_Mbwambo3 жыл бұрын

    Baaaaraka Allah

  • @ernestmagoda3824
    @ernestmagoda3824 Жыл бұрын

    Mimi NI mkristo hakika Huyu NI mtu wa watu.

  • @abamohamed7092
    @abamohamed70922 жыл бұрын

    Sheikh walid hakika maneno yko ni kweli kabisa ,Mimi Kuna jambo Moja lilinitokea ,nikayaona makarama ya as sayyid abdul qadir bin abdul Rahman Al juneid

  • @omarijuma6692
    @omarijuma6692 Жыл бұрын

    Allah akupe kila lakheri sheikh letu tupate kufaidika na wewe pia akupe umri

  • @fatumahamisi7064
    @fatumahamisi70642 жыл бұрын

    Shekh walidi binafsi ninaomba namba zako ili niweze kukutafuta sh. .in sha allah kwaajili ya allah

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor35692 ай бұрын

    Mashaallah tabarakya Rahman

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y10 ай бұрын

    JazzakahAllahkheir.

  • @abdallahahmed7983
    @abdallahahmed79832 жыл бұрын

    mashallwah

  • @jumannesaidi2917
    @jumannesaidi29174 жыл бұрын

    Allahu akbar

  • @muryd6999
    @muryd69994 жыл бұрын

    Mimi naamini yote aliyozungumza..Karama zipo

  • @DarsaTV.

    @DarsaTV.

    4 жыл бұрын

    Kabisa Kama zilikuwepo zamani na dini ndo hii hii itashindwaje kuepo Sasa

  • @ahlutwariqaalqaadiriya3538

    @ahlutwariqaalqaadiriya3538

    3 жыл бұрын

    Pamoja tupo waache washirikina walipinge

  • @abdul-waqeljuma8868
    @abdul-waqeljuma88683 жыл бұрын

    Sio kwa uislamu huu ndugu moyo bado mzito rekebisha aqida na simamisha dini tuache hadithi!!

  • @chapwinto1091
    @chapwinto10912 жыл бұрын

    Mashallah

  • @chafimcaisse6340
    @chafimcaisse6340 Жыл бұрын

    Shekhe tunakupata vizur sana na tunakupenda kalibu Mozambique

  • @luqmanjumanne4667
    @luqmanjumanne4667 Жыл бұрын

    Shukraan sana maa asha allah

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana33532 жыл бұрын

    Shehe wamwlimu wetu Allah amtehem ilkuwa ukiiba ndiz shambn kwake wapeleka kwako hamaki umefka kwake unasem shehe nimeleta Amana😀

  • @hollyfildspinks2161

    @hollyfildspinks2161

    2 жыл бұрын

    Takbiir

  • @TheSalimMash

    @TheSalimMash

    Жыл бұрын

    Allahu akbar

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    Жыл бұрын

    Allahu Akbar

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 Жыл бұрын

    A/a ndugu wa islam tujaribuni kuisoma Tawheed ndio njia pekee kuujua uislam safi.

  • @user-cv8kw8kd4k
    @user-cv8kw8kd4k6 ай бұрын

    Haya anayosema shekhe Walid ni kweli kabisa.

  • @omarmohammed7132
    @omarmohammed7132 Жыл бұрын

    Mashàallaah

  • @mzeemzee7503
    @mzeemzee75037 ай бұрын

    ALFU MABROOK SHEIKH WALEED

  • @mename6020
    @mename60203 жыл бұрын

    Allah Akbar

  • @SeifRupatu
    @SeifRupatu4 ай бұрын

    Nanyinyi WAZEE wakupinga tuambieni masheikh WENU walikuajee Kama mnaoo Hao Masheikh

  • @abdebasalsalum1309
    @abdebasalsalum13094 жыл бұрын

    Kila la kheri shekh

  • @cholomsury1548
    @cholomsury15484 жыл бұрын

    Hakuna kinachoshindikana kwa idhni ya Allah refers kisa cha nabii suleyman na malkia balkis kuhusu kiti chake

  • @DarsaTV.

    @DarsaTV.

    4 жыл бұрын

    Twayyib

  • @jumamohamedi4495
    @jumamohamedi44954 жыл бұрын

    Kamba / sound za waziwazi! Tumche Allaah ! Eti mtu kapanda mpapai! Shekh mche Allaah

  • @bakarimketo188

    @bakarimketo188

    4 жыл бұрын

    Naionea huruma nafsi yako ambayo kumbe hata ibada zako hazina faida nawe...haya hata wewe unayaweza ukiondoa huo ujinga kichwani mwako inshaallah

  • @ramadhanimussahramadhani4868
    @ramadhanimussahramadhani4868 Жыл бұрын

    Wengine hawamjui walidi tunaemfahamu tunajua anachokiongea Na Allah atamlinda

  • @kadoditsa3805

    @kadoditsa3805

    2 ай бұрын

    Sanaaa

  • @asiaidi3700
    @asiaidi37004 жыл бұрын

    sheikh walidi 55 kama miaka 38 vile

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 Жыл бұрын

    A/a na muomba mwenye ezimungu atuhifadhi na hizi bidaa uzushi,uzushi za mpeleka mtu atembee kwenye giza bila kuogopa mwenyezimgu aropokwa tu iblis ampeleka bila kujali wala kuzingatia hi ni Dini ya mwenye zimungu, naukikosa imani ya dini ni hatari muislam.

  • @SaidAbdallah-sm1ft
    @SaidAbdallah-sm1ftАй бұрын

    Kwaviongozi wa namna hii waislam tuna mtihani wallahi

  • @DarsaTV.

    @DarsaTV.

    Ай бұрын

    tunakupa wewe uongozi

  • @hudkhan.2920
    @hudkhan.29204 жыл бұрын

    Anasema kweli sheikh visa hivi vipo kabisa

  • @adamjutto5849
    @adamjutto58493 жыл бұрын

    Raha iliyooje kwa wale wanazuoni walioleta fani ya mustwalahul hadiith,maana isingekuwepo ile mbona uongo ungekithiri na mtume angezushiwa kila aina ya matukio,lkn alhamdulillah watu wameijua ilmu rrijaal na wakatunza maneno ya mtume kwa ufahamu wa wema waliotangulia,asa hvyo visa anavyovitoa sheikh walid ni uongo mtupu,ataka kujifanya yuwaona ghaibu sasa

  • @ahlutwariqaalqaadiriya3538

    @ahlutwariqaalqaadiriya3538

    3 жыл бұрын

    Wewe adamu juto unaandika usiyo na uhakika nayo kutoka na mashekh zenu wakiwahabi wakina bin tayma waharibifu wa uislamu bin Baaz wote ni waharibifu wa uislamu allah atulinde na shari zao

  • @adamjutto5849

    @adamjutto5849

    3 жыл бұрын

    @@ahlutwariqaalqaadiriya3538 kitendo cha kusema ibnu taymiyyah ni sheikh wa kiwahabi tiari nishajua kua kiwango chako cha elimu ni kidogo saana, sasa kasome kisha ndo uanze kutukana hao unaowaita mawahabi kama utaweza,na hautoweza moka qiyaamah إن الرسول قد جعل الجهل داء،و شفاء العي هو العلم Hvo soma utoe huo ujinga wa kusema ibnu taymiyyah ni sheikh wa kiwahabi

  • @ahlutwariqaalqaadiriya3538

    @ahlutwariqaalqaadiriya3538

    3 жыл бұрын

    @@adamjutto5849 mpaka naandika hivi nimesoma mengi na nimetosheka ibnu taymia si mm nilietamka maneno hayo ni sheikh ibin batuta istoshe unataka mjadala???😁😁😁maimamu ni shafi.hambali.maliki na abuu hanifa nimemaliza..

  • @shabanijuma4162

    @shabanijuma4162

    3 жыл бұрын

    اللإسناد من الدين فلولا اللإسناد لقال من شاء ما شاء

  • @adamjutto5849

    @adamjutto5849

    3 жыл бұрын

    @@ahlutwariqaalqaadiriya3538 kadhaaaab,kaaah ibnu batuutah yupi huyo aliyesema ibnu taymiyyah ni sheikh wa kiwahabi,vile vile mie sitaki mjadala na wewe kwa sbbu huwezii,mi najua wewe ni mtu unaeskia sikiaa tuu masheikh alaf ndo unakuja kusumbua huku kwenye mitandao,kaa chini usome dini haipatwi kwa udaku,inatakiwa usome,uelewe na kuhifadhi mas-alah,hahahhaa eti ibnu batuutah kasema wamjua ibnu batuutah wewee au unaropoka tuu

  • @abuumudhakkir3688
    @abuumudhakkir36882 жыл бұрын

    Mnatumia majini kisha mwajidai makaramaaaa. Hebu acheni uchawi huooo

  • @hamedag7911
    @hamedag79114 жыл бұрын

    Maashaallah

  • @issabinmaryam7450
    @issabinmaryam74504 жыл бұрын

    Visas visas wengi uongo mnatia chumv ndimu pilipili hii toooo much

  • @aliabdalla9297

    @aliabdalla9297

    3 жыл бұрын

    Una ushahidi

  • @selemankishema5780
    @selemankishema57804 жыл бұрын

    Shetwani anawachezeaga mpaka masheikh msishangae do!!!

  • @mamussi6872

    @mamussi6872

    3 жыл бұрын

    Tuletee ya kwako wewe sasa

  • @user-pu8yl2zj8x

    @user-pu8yl2zj8x

    Жыл бұрын

    Hhhhhhhhhh

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын

    Allah Akbar!!!

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon18402 ай бұрын

    Kweli hata mimi pia ninayo makarama

  • @AhmedSaid-xz3kj
    @AhmedSaid-xz3kj3 жыл бұрын

    Allah ibarek

  • @muhammadbilali8209
    @muhammadbilali82094 жыл бұрын

    Si amesema passport yake huwa anasafiria angalau mara 20 kwa mwaka ss iweje kusafir wiki mbili iwe kutoroka darsa!

  • @DarsaTV.

    @DarsaTV.

    4 жыл бұрын

    Brother msikikize vizuri huwa anasafiria but ikifika kipindi Cha darasa ambayo no ramadhani huwa yupo darasani

  • @jamalabdul6113

    @jamalabdul6113

    4 жыл бұрын

    Hilo darsa liko ktk mwezi maalum tu (ramadhani).

  • @slamecktz

    @slamecktz

    4 жыл бұрын

    Ndugu yangu jifunze kusiiliza na kuelewa kisha uliza usichokielewa utafaidika hapa duniani na kesho ahera. Darasa hilo la tafsiri ya Quran Shekh Walid alikabidhiwa na Mashekh zake na walimuhusia asiache darasisha mpaka mwisho wa uhai wake yeye ni binadamu kuna wakati anakuwa na safari sasa kama ni kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kipindi alicho elezwa asiache fundisha akipanga kusafiri ndo hua yanamtokea hayo anayoyaeleza sasa. Mwenyezi Mungu akipuka uhai ukafika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani jitahidi uhudhurie Masjid Kichangani baada ya swalath Laasiri utafaika sana kwa darasa la kiwango cha juu kabisa linalotolewa pale. Mwenyezi Mungu akuhifadhi.

  • @amenaafrica7046

    @amenaafrica7046

    3 жыл бұрын

    @@slamecktz shukran na mashaAllh

  • @sadiqselengu4197

    @sadiqselengu4197

    2 жыл бұрын

    @@slamecktz Watu wengi wanasikiliza kwa mihemko thn waanamini kwa masheikh wanawajua wao waliowachaguwa kuwa ni wa kweli na wenye dini wengine wamewaweka kwenye daraja la si ktkt watu na masheikh wa kweli Ndio haya yanakosekana kwao na yanaonekana ya uongo coz kuna vitu hawajashikamana navyoo

  • @simmyndamo6539
    @simmyndamo65394 жыл бұрын

    Allahu akhubar

  • @omaryabduli7328
    @omaryabduli73284 жыл бұрын

    Chaiiiiiii

  • @mohamedhatibu4046
    @mohamedhatibu40464 жыл бұрын

    Duh apa kuna darsa au story za kushika watu maskio???

  • @omarikunguru1487

    @omarikunguru1487

    4 жыл бұрын

    kuwa na adabu kk huyo ni mwanachuoni muheshimu bac ss tunampenda na tunamuelewa sheikh wetu

  • @abuumudhakkir3688
    @abuumudhakkir36882 жыл бұрын

    hayo sio makarama bali ni uchawiiiii

  • @aboudsaidaboud7667
    @aboudsaidaboud76672 жыл бұрын

    ndevu hana

  • @saidbanga
    @saidbanga4 жыл бұрын

    Ni Vizuri ila angalia usije kuingia kwenye Ghurur na Kujisifu....!

  • @DarsaTV.

    @DarsaTV.

    4 жыл бұрын

    Naam alhabib

  • @bakarimketo188

    @bakarimketo188

    4 жыл бұрын

    Subhanallah huyu hasemi kwa kujisifu Bali anazipa uhai nafsi yako na yangu sisi vipofu ndiyo maana karama zote ansema ametendewa siyo yeye mtenda

  • @hijamaulidi7382
    @hijamaulidi73823 ай бұрын

    Mm kila nikijitabiria mambo mabaya na mazuri yanatokea kweli sjui nna Nini yaan kama maono yanakuja

  • @yahayaali7970
    @yahayaali79702 жыл бұрын

    Kama hujui usiseme hakuna anaye jua/ kwasasababu hujui daarsalam unasema hakuna fly over

  • @munirahmed7753
    @munirahmed77534 жыл бұрын

    Mmhh mbn mabalaa hayo

  • @alliyrubea5731
    @alliyrubea5731 Жыл бұрын

    Uko vizuri sana lkn uvaaji wa hizo pete ktk mikono miwili sheikh sio mafundisho sahihi au mm sikuelewa vizuri!

  • @AhmedSaid-xz3kj
    @AhmedSaid-xz3kj3 жыл бұрын

    Hiyo simu ya vibrate yakeraa darsaa

  • @ModaxMedia
    @ModaxMedia Жыл бұрын

    Mbona sielewi anadomesha nini?

  • @adamhashim3352
    @adamhashim33523 жыл бұрын

    Ukiona mtu anapinga ujue huo ni wivu maana yeye hajapewa

  • @tausinzwiba4180
    @tausinzwiba41803 жыл бұрын

    Huyu sio mkweli anapenda sifa, anajifanya mcha mungu kumbe mganga tu.

  • @mamussi6872

    @mamussi6872

    3 жыл бұрын

    Weweee!!!!! Usimhukumu mtu huyajui yaliyopo baina yake na mola wake. Hivi waislam wa leo tunanini lakini????

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    3 жыл бұрын

    umejuaje kama mganga

  • @aliabdalla9297

    @aliabdalla9297

    3 жыл бұрын

    Huyo jamaa kapewa mambo wala si uongo wakati huo alikuwa anataka akimbie hasa msikitini

  • @abuibra
    @abuibra Жыл бұрын

    Hayo makarama mnayo nyie tu hatujasikia kwa AS'HABU NABII wala kwa wajukuu wa (NABII MUHAMMAD S.A.W)

  • @hassanmohdally5217
    @hassanmohdally52174 жыл бұрын

    Hivi mm naombaa kulizaa kunaa anaweza kumnyooshea mtu kidole akafaa wakti mtoaji rohoo mungu tu mm sijamuelewaa hapo shekhe bilaa idhini ya mungu hakunaa nafsi inaweza kuondokaa hebu tuweke sawa hapo shekhe sijakufahamu kabisa

  • @DarsaTV.

    @DarsaTV.

    4 жыл бұрын

    Ndugu yangu upo sahihi kabisa ni kweli idhini inatoka kwa mungu katika kila Jambo duniani hatukatai hata wachawi Wana wanga wanawadhuru watu mashetani na majini wanau uwezo mbali mbali akiwemo pamoja na iblisi na hao woote idhini zinatoka kwa mungu Sasa Kama wao wanafanya kwa walii mtu ambaye ni yupo karibu na mungu ishindikanike vipi kufanya makarama na idhini ikiwa inatoka kwa kipenzi chake mungu tatizo watu hubisha husema haya Mambo ni ya zamani ya mawalii wazamani wakati uislamu ndo huu Kama wewe utakua karibu na mungu na unayafanya ayatakayo utakua na uwezo mkubwa kuliko hao wachawi na majini binaadamu sisi mungu katupa uwezo mkubwa maana mpaka Adam kapewa cheo Cha kusujudiwa siyo mchezo shekhe wangu

  • @hassanmohdally5217

    @hassanmohdally5217

    4 жыл бұрын

    @@DarsaTV. mm nimekuelewaa maana hataa mtume alishawahi kurogwa swali langu ukiwaa walii inamaana mungu anpendezewaa na unayoyafanyaa naunakuwaa karibu na mungu mtu anaekuwaa karibu na mungu uwezo wakuuwa mtu anaupataa wapi wakti yeye ni mtu wa amani mdaa wote na mwenye kutoa roho ni mungu pekeyake sio kiumbe chochote hapaa duniani .kunatofauti kati kupiganaa mpka roho ikatoka ma kumtoa mtu roho hataa majini hawana huwezo huo labdaa wakushambulie ndio mauti yakukute

  • @hassannasir4561
    @hassannasir45614 жыл бұрын

    Unacho ongea ni sahihi kabisa sheikh Walid wajinga tu ndo watakao pinga

  • @DarsaTV.

    @DarsaTV.

    4 жыл бұрын

    Hatuna Imani Sasa watu ndo tatizo letu

  • @muryd6999

    @muryd6999

    4 жыл бұрын

    Mawahabbi wengi wao hawaamini

  • @msakaramohamed1244

    @msakaramohamed1244

    3 жыл бұрын

    @@DarsaTV. sikupingi upo sawa kabisa

  • @saidisalum1514
    @saidisalum1514 Жыл бұрын

    MAJITU YA MAULIDI YOTE NI MACHAWI YANALOGANA HADI MISIKITINI

Келесі