MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID
Ойын-сауық
MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID
FULL VIDEO YA MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID TANZANIA USISAHAU KUTU FOLLOW KWENYE FACEBOOK PAGE YETU NA INSTAGRAM NA KU SUBSCRIBE KWENYE KZread CHANNEL YETU KWA VIDEO NYINGI ZAIDI THANKS
SUBSCRIBE
COMMENT
LIKE
SHARE
THANKS
Пікірлер: 293
Shekh walidy wallah nakupnda,kwasjil ya Alla wallah wabillah mwenyezimungu akupe umri mrfu tena wamanufaa"" na akufe mwisho mwena"" nmeandka sms hii kwa mapenz makubwa sana"" allah akuongezee elinu yko mpka ukinahi"" mm bado ni kijana mdgo lakin siku alla atanijaalia nitaoa akisha akanijaalia watto wema lazma nikuletee watto wangu mja wapo umleee"" Allah akuweke mpka hpo nitakapojaaliwa kuoa"" na kma amekuchukua basi akupe daftar lako la amar kwa mkono wa kulia"" napia akuingize peponi bila ya hesabu🤲🤲🤲🤲
Mungu akubariki sana al akh Yaani umeongea maneno yale tulikuwa tukiyasikia zamani kwa watu aina hiyo
Shukran sana shekhe Walid Allah akuhifadhi na mabaya ya duniani na Akhera
Allah Akuzidishie Elimu imamu na sisi angalau angalau tupate kitu In shaa Allah.
Allah akulipe inshallah
Assalam aleykum warmtlh wabrkth sheikhe,mm miko kenya nakufatilia sana Allah akulinde sana.
Allah akutangulia sh. Wetu akuhifadhi na madhila wa masheytwani
جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ الحبيب وليد
Assalamu Alaykum. Tafadhali ni postiye video zengine. Hizi nisha zi repeat sana. Na khutba za ijumaa pia usisahai kuni postiya
Allah akujalie katika kudumu kudarasisha Darsa hili la Quran
@issabinmaryam7450
4 жыл бұрын
Angepanda mnazi angefika America...
Wallah sheikh nimekuelewa sana...
ALL IN ALL SHEIKH IS SOO CONFIDENCE WHAT IS TALKING ABOUT IT LIKE IT mashallah and I enjoy my self
Unajua ndugu zangu wakat mwingine inategemea pia na umekulia makuzi gani au umezaliwa wapi,na ndiyo maana wengi wanakuwa hawaamini,lakin karama zipo sisi watu wa bagamoyo tulikuwa nao hao watu wengi sana,kwa waliokiwa nje ya bagamoyo walikuwa wanasema bagamoyo kuna wachawi wengi sana,lakin si wachawi illa palikuwa na watu wengi wenye karama,si wanaume si wanawake,ni mkweli mtu akikunyooshea kidole unaathirika kama hautozikwa,so nakubakiana na Maalim Walid maana hata Mimi nimehadithiwa na pia nimebahatika kuona baadhi ya vitu kwa macho yangu
@abilugome7461
3 жыл бұрын
Uchawi mtupu hakuna lolote na ivyo vitabu vya Mambo ayo vipo watu hawavitumii coz ni vya kishilikina
@ahlutwariqaalqaadiriya3538
3 жыл бұрын
Kabisa wanakataaa karma je miujiza ya enzi hizo nawao sindo wange kuwa katika makundi ya kushirikina kuziita uchawi😭😭😭😭😭tusiwe wajinga hivyo karama zipo zipo zipo
@ahlutwariqaalqaadiriya3538
3 жыл бұрын
@@abilugome7461 Weww lugome usiwe kama mushrikiina akhii wakina abuu jahli wao miujiza waliipinga kwa lakabu kama hizo kuita uchawi doh😳😳😳😳Chunga imani yako
@sammarley1413
3 жыл бұрын
@@ahlutwariqaalqaadiriya3538 TATIZO LAO HAO NIKIBRI YANI KITU ASICOKIJUA YY BASI HICO HAKIPO. KABAKWAMBA YY NDIO MWENYE KUIDHINISHA KUWEPO AO KUTOWEPO KARAMA.
@ahlutwariqaalqaadiriya3538
3 жыл бұрын
@@sammarley1413 sasa huyu leo kakutana na mimi aniongopei chochote mpk hapa ajatoa hadith wala aya mm namchapa tu kwaajili ya allah 😆😆😆
Subhanallah, Allahu Akbar baada ya kuomba uwe na umri wenye heri we unataka umri mwingi. Allah akujalie umri mrefu wenye heri nawe. Aamin
@janataninaim9193
2 жыл бұрын
Amin
MashaAllah. Ustad Walid wewe ni Shariff SubhanAllah. Tu kumbuke kwa dua.
@swabrianwar1020
2 жыл бұрын
ndugi yangu asgar sidi, shariffu n ambae nasaba yake ni mpaka mtume sallla lahu aleihi wasalam
Allahumma Aamiyn. Alumri twawiyl ziadah sheikh
Nimeshuhudia Mimi na mke wangu sana mungu atuongoze na shukran kwa mawaidha
Toba yarabbbi Allah tizama waja wako wanayoyafanya na dini yako vinavovurugwa ya Allah.
Amina shekhe wangu mungu akulipe umri refu wakutumikia dini yetu
Mashaallah swadaktah sheikh subhanaallah
Masha Allah
Mashallha shekhe
subhaana llah yaani masufi wanatabu sana yaani makosa hayo ya kiaqida yote chafu na mwamsifia..innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiun
امين يا رب العالمين
Mashaa Allah dini ya Allah hi dini ya Allah haina pengo Tunakuomba YA RABBI ss na vizazi vyetu na vyawenzetu tujitahidi kuelekea ili utuongoze kuwa ktk watu wema ili uweze kupata radhi zako hakika tukipata zako radhi tutakuwa ktk watu tulio faulu tasamehe yetu madhambi hakika ww unasamehe madhambi Alhamdulilah Alahuma swali ala saydina muhamadi S.W.S. Amiin
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم
@abdulhamidisiraja4930
Жыл бұрын
Mashaaaallah
Allah Akbar 😭
mashallah tunastafidi kwa elimu hii, Allah akuweke sheikh
Mashaallah
Shukran sheikh Waleed
Aslm alkm ww... Masha Allah!!!! Uko na miaka 55 kama hungeongea hatungejua. Kweli ukiwa mcha Mungu huzeeki haraka. Shukran sana Kwa darsa. Allah akuzidishie umri. Jazakallah kheir 🙏😊😊😊
Watu wengi tunapenda muhemko unafikia kumwita sheikh walid muongo huku ni kukosa adabu kwa masheikh zetu tuwaheshim hawa ndio walimu wetu na watoto wetu
@abubakarmuhammadsaid3244
3 жыл бұрын
Uongo ni uongo tu. Haijalishi shkh wala mtumwa.
@hassanomar7340
3 жыл бұрын
@@abubakarmuhammadsaid3244 kweli kabisa bro....kw nini lkn watu tunatekwa nyara kiasi hiki. Dini yetu ni ya dalili c kwa matamanio au rai ya mtu.
@aliabdalla9297
3 жыл бұрын
@@abubakarmuhammadsaid3244 uongo ni uongo lakin kumuita Sheikh muongo huko ni kukosa heshima na hayo anayohadithia ni ya kweli kabisa
@abubakarmuhammadsaid3244
3 жыл бұрын
@@aliabdalla9297 Kila anaesema uongo ni muongo. Na hayo anayoyasema mimi nina ushahidi kuwa ni uongo. Je, wewe unaemtetea, unao ushahidi wa ukweli wa hadithi hiyo!?
@slamecktz
2 жыл бұрын
@@abubakarmuhammadsaid3244 Kwani uongo upi umesemwa hapo tuelimishe tukuelewe
Jazakallah kheir
Sadiki ukipenda.
أكرمك الله يا شيخنا الفاضل
Asslam alykum warahamatuallahi wabarakatu sheikh walid naomba niwe mke Mdogo kwa baraka za Allah ndani ya Rajabu hii ya rabby takbar dua ya Yangu
@khalidmuhsin8430
Жыл бұрын
Ucjali q
Subhanallah bibi maryam mamake nabii issa alikua akiteremshiwa chakula kutoka peponi direct mpaka nabii zakaria akamuuliza ni vipi? TUMCHENI ALLAH SANA😢
Yeyote anayeona kwamba sheikh amekosea ni vizuri kumfata kama unaweza vinginevyo utakuwa utovu wa adabu katika ilmi,
innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun!!!!!!!!!
@athumanikaoneka7413
3 жыл бұрын
Nicee
Huyu jamaa anaongea ukweli mtupu. Maashallha shekh nakupata nikiwa tanga mjini hapa
maa shaa ALLAH ALLAHU AK'BAR
maashaallah maashaallah
HAWA MASHARIF WALIKUWEPO WALLAH NA NNAHISI MMOJA MMOJA WAPO. ALHAMDULILLAH
Subuhana allah.
Baaaaraka Allah
Mimi NI mkristo hakika Huyu NI mtu wa watu.
Sheikh walid hakika maneno yko ni kweli kabisa ,Mimi Kuna jambo Moja lilinitokea ,nikayaona makarama ya as sayyid abdul qadir bin abdul Rahman Al juneid
Allah akupe kila lakheri sheikh letu tupate kufaidika na wewe pia akupe umri
Shekh walidi binafsi ninaomba namba zako ili niweze kukutafuta sh. .in sha allah kwaajili ya allah
Mashaallah tabarakya Rahman
JazzakahAllahkheir.
mashallwah
Allahu akbar
Mimi naamini yote aliyozungumza..Karama zipo
@DarsaTV.
4 жыл бұрын
Kabisa Kama zilikuwepo zamani na dini ndo hii hii itashindwaje kuepo Sasa
@ahlutwariqaalqaadiriya3538
3 жыл бұрын
Pamoja tupo waache washirikina walipinge
Sio kwa uislamu huu ndugu moyo bado mzito rekebisha aqida na simamisha dini tuache hadithi!!
Mashallah
Shekhe tunakupata vizur sana na tunakupenda kalibu Mozambique
Shukraan sana maa asha allah
Shehe wamwlimu wetu Allah amtehem ilkuwa ukiiba ndiz shambn kwake wapeleka kwako hamaki umefka kwake unasem shehe nimeleta Amana😀
@hollyfildspinks2161
2 жыл бұрын
Takbiir
@TheSalimMash
Жыл бұрын
Allahu akbar
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
Allahu Akbar
A/a ndugu wa islam tujaribuni kuisoma Tawheed ndio njia pekee kuujua uislam safi.
Haya anayosema shekhe Walid ni kweli kabisa.
Mashàallaah
ALFU MABROOK SHEIKH WALEED
Allah Akbar
Nanyinyi WAZEE wakupinga tuambieni masheikh WENU walikuajee Kama mnaoo Hao Masheikh
Kila la kheri shekh
Hakuna kinachoshindikana kwa idhni ya Allah refers kisa cha nabii suleyman na malkia balkis kuhusu kiti chake
@DarsaTV.
4 жыл бұрын
Twayyib
Kamba / sound za waziwazi! Tumche Allaah ! Eti mtu kapanda mpapai! Shekh mche Allaah
@bakarimketo188
4 жыл бұрын
Naionea huruma nafsi yako ambayo kumbe hata ibada zako hazina faida nawe...haya hata wewe unayaweza ukiondoa huo ujinga kichwani mwako inshaallah
Wengine hawamjui walidi tunaemfahamu tunajua anachokiongea Na Allah atamlinda
@kadoditsa3805
2 ай бұрын
Sanaaa
sheikh walidi 55 kama miaka 38 vile
A/a na muomba mwenye ezimungu atuhifadhi na hizi bidaa uzushi,uzushi za mpeleka mtu atembee kwenye giza bila kuogopa mwenyezimgu aropokwa tu iblis ampeleka bila kujali wala kuzingatia hi ni Dini ya mwenye zimungu, naukikosa imani ya dini ni hatari muislam.
Kwaviongozi wa namna hii waislam tuna mtihani wallahi
@DarsaTV.
Ай бұрын
tunakupa wewe uongozi
Anasema kweli sheikh visa hivi vipo kabisa
Raha iliyooje kwa wale wanazuoni walioleta fani ya mustwalahul hadiith,maana isingekuwepo ile mbona uongo ungekithiri na mtume angezushiwa kila aina ya matukio,lkn alhamdulillah watu wameijua ilmu rrijaal na wakatunza maneno ya mtume kwa ufahamu wa wema waliotangulia,asa hvyo visa anavyovitoa sheikh walid ni uongo mtupu,ataka kujifanya yuwaona ghaibu sasa
@ahlutwariqaalqaadiriya3538
3 жыл бұрын
Wewe adamu juto unaandika usiyo na uhakika nayo kutoka na mashekh zenu wakiwahabi wakina bin tayma waharibifu wa uislamu bin Baaz wote ni waharibifu wa uislamu allah atulinde na shari zao
@adamjutto5849
3 жыл бұрын
@@ahlutwariqaalqaadiriya3538 kitendo cha kusema ibnu taymiyyah ni sheikh wa kiwahabi tiari nishajua kua kiwango chako cha elimu ni kidogo saana, sasa kasome kisha ndo uanze kutukana hao unaowaita mawahabi kama utaweza,na hautoweza moka qiyaamah إن الرسول قد جعل الجهل داء،و شفاء العي هو العلم Hvo soma utoe huo ujinga wa kusema ibnu taymiyyah ni sheikh wa kiwahabi
@ahlutwariqaalqaadiriya3538
3 жыл бұрын
@@adamjutto5849 mpaka naandika hivi nimesoma mengi na nimetosheka ibnu taymia si mm nilietamka maneno hayo ni sheikh ibin batuta istoshe unataka mjadala???😁😁😁maimamu ni shafi.hambali.maliki na abuu hanifa nimemaliza..
@shabanijuma4162
3 жыл бұрын
اللإسناد من الدين فلولا اللإسناد لقال من شاء ما شاء
@adamjutto5849
3 жыл бұрын
@@ahlutwariqaalqaadiriya3538 kadhaaaab,kaaah ibnu batuutah yupi huyo aliyesema ibnu taymiyyah ni sheikh wa kiwahabi,vile vile mie sitaki mjadala na wewe kwa sbbu huwezii,mi najua wewe ni mtu unaeskia sikiaa tuu masheikh alaf ndo unakuja kusumbua huku kwenye mitandao,kaa chini usome dini haipatwi kwa udaku,inatakiwa usome,uelewe na kuhifadhi mas-alah,hahahhaa eti ibnu batuutah kasema wamjua ibnu batuutah wewee au unaropoka tuu
Mnatumia majini kisha mwajidai makaramaaaa. Hebu acheni uchawi huooo
Maashaallah
Visas visas wengi uongo mnatia chumv ndimu pilipili hii toooo much
@aliabdalla9297
3 жыл бұрын
Una ushahidi
Shetwani anawachezeaga mpaka masheikh msishangae do!!!
@mamussi6872
3 жыл бұрын
Tuletee ya kwako wewe sasa
@user-pu8yl2zj8x
Жыл бұрын
Hhhhhhhhhh
Allah Akbar!!!
Kweli hata mimi pia ninayo makarama
Allah ibarek
Si amesema passport yake huwa anasafiria angalau mara 20 kwa mwaka ss iweje kusafir wiki mbili iwe kutoroka darsa!
@DarsaTV.
4 жыл бұрын
Brother msikikize vizuri huwa anasafiria but ikifika kipindi Cha darasa ambayo no ramadhani huwa yupo darasani
@jamalabdul6113
4 жыл бұрын
Hilo darsa liko ktk mwezi maalum tu (ramadhani).
@slamecktz
4 жыл бұрын
Ndugu yangu jifunze kusiiliza na kuelewa kisha uliza usichokielewa utafaidika hapa duniani na kesho ahera. Darasa hilo la tafsiri ya Quran Shekh Walid alikabidhiwa na Mashekh zake na walimuhusia asiache darasisha mpaka mwisho wa uhai wake yeye ni binadamu kuna wakati anakuwa na safari sasa kama ni kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kipindi alicho elezwa asiache fundisha akipanga kusafiri ndo hua yanamtokea hayo anayoyaeleza sasa. Mwenyezi Mungu akipuka uhai ukafika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani jitahidi uhudhurie Masjid Kichangani baada ya swalath Laasiri utafaika sana kwa darasa la kiwango cha juu kabisa linalotolewa pale. Mwenyezi Mungu akuhifadhi.
@amenaafrica7046
3 жыл бұрын
@@slamecktz shukran na mashaAllh
@sadiqselengu4197
2 жыл бұрын
@@slamecktz Watu wengi wanasikiliza kwa mihemko thn waanamini kwa masheikh wanawajua wao waliowachaguwa kuwa ni wa kweli na wenye dini wengine wamewaweka kwenye daraja la si ktkt watu na masheikh wa kweli Ndio haya yanakosekana kwao na yanaonekana ya uongo coz kuna vitu hawajashikamana navyoo
Allahu akhubar
Chaiiiiiii
Duh apa kuna darsa au story za kushika watu maskio???
@omarikunguru1487
4 жыл бұрын
kuwa na adabu kk huyo ni mwanachuoni muheshimu bac ss tunampenda na tunamuelewa sheikh wetu
hayo sio makarama bali ni uchawiiiii
ndevu hana
Ni Vizuri ila angalia usije kuingia kwenye Ghurur na Kujisifu....!
@DarsaTV.
4 жыл бұрын
Naam alhabib
@bakarimketo188
4 жыл бұрын
Subhanallah huyu hasemi kwa kujisifu Bali anazipa uhai nafsi yako na yangu sisi vipofu ndiyo maana karama zote ansema ametendewa siyo yeye mtenda
Mm kila nikijitabiria mambo mabaya na mazuri yanatokea kweli sjui nna Nini yaan kama maono yanakuja
Kama hujui usiseme hakuna anaye jua/ kwasasababu hujui daarsalam unasema hakuna fly over
Mmhh mbn mabalaa hayo
Uko vizuri sana lkn uvaaji wa hizo pete ktk mikono miwili sheikh sio mafundisho sahihi au mm sikuelewa vizuri!
Hiyo simu ya vibrate yakeraa darsaa
Mbona sielewi anadomesha nini?
Ukiona mtu anapinga ujue huo ni wivu maana yeye hajapewa
Huyu sio mkweli anapenda sifa, anajifanya mcha mungu kumbe mganga tu.
@mamussi6872
3 жыл бұрын
Weweee!!!!! Usimhukumu mtu huyajui yaliyopo baina yake na mola wake. Hivi waislam wa leo tunanini lakini????
@heyumi2340
3 жыл бұрын
umejuaje kama mganga
@aliabdalla9297
3 жыл бұрын
Huyo jamaa kapewa mambo wala si uongo wakati huo alikuwa anataka akimbie hasa msikitini
Hayo makarama mnayo nyie tu hatujasikia kwa AS'HABU NABII wala kwa wajukuu wa (NABII MUHAMMAD S.A.W)
Hivi mm naombaa kulizaa kunaa anaweza kumnyooshea mtu kidole akafaa wakti mtoaji rohoo mungu tu mm sijamuelewaa hapo shekhe bilaa idhini ya mungu hakunaa nafsi inaweza kuondokaa hebu tuweke sawa hapo shekhe sijakufahamu kabisa
@DarsaTV.
4 жыл бұрын
Ndugu yangu upo sahihi kabisa ni kweli idhini inatoka kwa mungu katika kila Jambo duniani hatukatai hata wachawi Wana wanga wanawadhuru watu mashetani na majini wanau uwezo mbali mbali akiwemo pamoja na iblisi na hao woote idhini zinatoka kwa mungu Sasa Kama wao wanafanya kwa walii mtu ambaye ni yupo karibu na mungu ishindikanike vipi kufanya makarama na idhini ikiwa inatoka kwa kipenzi chake mungu tatizo watu hubisha husema haya Mambo ni ya zamani ya mawalii wazamani wakati uislamu ndo huu Kama wewe utakua karibu na mungu na unayafanya ayatakayo utakua na uwezo mkubwa kuliko hao wachawi na majini binaadamu sisi mungu katupa uwezo mkubwa maana mpaka Adam kapewa cheo Cha kusujudiwa siyo mchezo shekhe wangu
@hassanmohdally5217
4 жыл бұрын
@@DarsaTV. mm nimekuelewaa maana hataa mtume alishawahi kurogwa swali langu ukiwaa walii inamaana mungu anpendezewaa na unayoyafanyaa naunakuwaa karibu na mungu mtu anaekuwaa karibu na mungu uwezo wakuuwa mtu anaupataa wapi wakti yeye ni mtu wa amani mdaa wote na mwenye kutoa roho ni mungu pekeyake sio kiumbe chochote hapaa duniani .kunatofauti kati kupiganaa mpka roho ikatoka ma kumtoa mtu roho hataa majini hawana huwezo huo labdaa wakushambulie ndio mauti yakukute
Unacho ongea ni sahihi kabisa sheikh Walid wajinga tu ndo watakao pinga
@DarsaTV.
4 жыл бұрын
Hatuna Imani Sasa watu ndo tatizo letu
@muryd6999
4 жыл бұрын
Mawahabbi wengi wao hawaamini
@msakaramohamed1244
3 жыл бұрын
@@DarsaTV. sikupingi upo sawa kabisa
MAJITU YA MAULIDI YOTE NI MACHAWI YANALOGANA HADI MISIKITINI