SHEKH IZUDINI ASEMA HADHARA NYINGI ZA MAULIDI HAWAMZUNGUMZI MTUME. ZAIDI NI KUSEMANA TU
Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
Пікірлер: 32
Sheikh Izzuddin, nimekusikia, nimekuelewa, na umenena ya kweli. TATIZO NI KUYAKUBALI NA KUYAFUATA ULOSEMA, tena kwa pande zote. Baarakallah fiyk. - Sherally Hussein Sherally
ALLAH AKUHIFADHI SHARIFFU IZIZUDIN ALWI BADAWI. UMENENA UZURI SANA HAYA MAMBO YAPO MENGI SANA HAPA TANZANIA NI FEDHEHA KUBWA. WAAMBIWA NCHI INA MASHEIKH
Shehe Allah akujaze kheri uisilam unataka mashehe wanaoshikamanisha waisilam na sikuwagawa.allah atuongoze
I love u sheikh
Subhannallah Sheikh Wallahi umeongea maneno mazito sana Allah atulipe sote In Sha Allah
Allah akupe umri izzu dyn
Kwahakika Izzuddini umesema mazito lakini sizani kama wengiwao wamekusikia au wameyatia akilini kesho utasikia mazito kuna kijana mmoja unguja amesema ibntaimia nikafiri na mawahabi nimakafiri maana mawahabi wa kadha wakadha Leo nilichojifunza kutembea humuengezea maarifa uliporudi nje umekuja na mtazamo unaofaa kuigwa kwahakika sijaona mtu aliezungumza yaliobeba ujumbemzito kwetu mimi nilikua nafatana na ust saidi Aliy hasan anapokuja unguja niliwahi kumpeleka kurecod kipindi nidhamul fitwra pale Tvz kuna mambo mimi na yeye tunatofautiana lakini hakuna anaemjua mwenzake nilipi na lipi linanitenganisha.nafulani izzu ddini umeuteka ukumbihuo hakikaleo umenena
Leo ndio nimemuelewa huyu sheikhe..Mombasa Wana Mtu kwakweli
Allah akulinde na akuhifadhi. Aaamiin.
Skekhe nakuelewa sanaa uko na tazkia mno ya kutaka watu watuonesha quran kwa vitendo
Mashaallah 🎉
Mansha Allah Allah awape Pepo namwisho mwema
MashaaAllah maneno swahihi kabisa
Mashaallah
Barakallahufik
Umenena habyb.... Ujumbe mzito.
Allah akuhifadhi shekh
ya salam
Wakiachwa huzidi kupotosha watu sheikh izzudin. Haswa wale ambao hawakusoma kabisa
Pongezi Sheikh Izzud Diin kwa kutahdharisha kuhusu ubaya wa kugawanya Ummah. Baadhi ya maneno ya kusababisha mgawanyiko nikutunga uwongo na kuueneza kama kwamba ni ukweli. Kwa mfano, neno Uwahabi latamkwa kama kwamba ni jambo lipo kweli. Ni kama tu vile neno Yesu lilitungwa likasingiziwa kwamba ndio jina na Mtume Isa bin Mariam. Wale watamka Mawahabi ni makafiri wafike Makkah wajionee Ummah wa Waislamu kutoka kila pembe ya Dunia wanaridhia kuswalishwa na imaam wa Saudia. Vipi wale wanaoishi mbali na mji huo watamke yule imaam ni Wahabi? nk. nk.....?
Kati ya hawa masufi huyu sufi wa Mombasa yupo vizuri
@mahadhikawia3610
5 ай бұрын
Anaonekana ni Sufi kwa kuzaliwa ,Lakini Haki anaijua .
Full hikma
Majitu yabidaa yangekuwa kama huyu Wala kusingekua na tabu sana kuna siku alisema hv kuna watu wanaona wasiofika maulidini hawampendi mtume
MAWAHABI HUNA CHA KUWAELEZA WANAAMBIWA WASIKAE NA WATU WA BIDAA NA WANA VITABU VYAO
Tofauti hii ni darasa.... Lkn hakuna tofauti ya hadithi katika kuzungumzia maulidi. Vipo inakuwa humu kuacha kufanya maulidi. Tafuteni basi ukweli katika hili
Watu wa maulidi mbona mmenuna😂😂😂 she kishakwenda kwa salafi maulidi bye bye😂😂😂
Maokoto tuachie mashekh zetu wewe ndo unawayumbisha kiukweli haki wanaijua hawa
Ss hamumzungumzii Mtume (saw) mnamzungumzia nani basi Haina haja ya kuyasoma ss kw nn mnaadhimisha Kuzaliwa kwke acheni basi Mambo yenu
@fauznuhu9981
5 ай бұрын
Mungu akuongoze mana hata hufahamu pia hapo?subuna llah wazi uni ugonzwa wamoyo ume kutawala
Asalam ALEY kum.sasa sheikh nimekuelewa tarawee niauna yenye shurti au nisuna isio na shurti??? Pia MTUME kaswalia nyumbani tarawee je kaelekeza nini kuhusu sisi kuswali tarawee.tuswali nyumbani au MSIKITINI.? Au hajafundisha??? Majibu tafadhali
@abdulazizimashaka3275
5 ай бұрын
Rarawee ni sunnah ukiswali mwenyew home ni sawa na pia ukiswali msikitini pia ni sawa