SHEKH IZUDINI ASEMA HADHARA NYINGI ZA MAULIDI HAWAMZUNGUMZI MTUME. ZAIDI NI KUSEMANA TU

Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090

Пікірлер: 32

  • @sherallysherally1203
    @sherallysherally12035 ай бұрын

    Sheikh Izzuddin, nimekusikia, nimekuelewa, na umenena ya kweli. TATIZO NI KUYAKUBALI NA KUYAFUATA ULOSEMA, tena kwa pande zote. Baarakallah fiyk. - Sherally Hussein Sherally

  • @IddyDaruweshi-jv1fu
    @IddyDaruweshi-jv1fu5 ай бұрын

    ALLAH AKUHIFADHI SHARIFFU IZIZUDIN ALWI BADAWI. UMENENA UZURI SANA HAYA MAMBO YAPO MENGI SANA HAPA TANZANIA NI FEDHEHA KUBWA. WAAMBIWA NCHI INA MASHEIKH

  • @user-pj9lq5oh6i
    @user-pj9lq5oh6i6 ай бұрын

    Shehe Allah akujaze kheri uisilam unataka mashehe wanaoshikamanisha waisilam na sikuwagawa.allah atuongoze

  • @mohwaamohwaa
    @mohwaamohwaa4 ай бұрын

    I love u sheikh

  • @sadatihussein7422
    @sadatihussein74225 ай бұрын

    Subhannallah Sheikh Wallahi umeongea maneno mazito sana Allah atulipe sote In Sha Allah

  • @arafatsaid920
    @arafatsaid9205 ай бұрын

    Allah akupe umri izzu dyn

  • @hajimuhidini1903
    @hajimuhidini19035 ай бұрын

    Kwahakika Izzuddini umesema mazito lakini sizani kama wengiwao wamekusikia au wameyatia akilini kesho utasikia mazito kuna kijana mmoja unguja amesema ibntaimia nikafiri na mawahabi nimakafiri maana mawahabi wa kadha wakadha Leo nilichojifunza kutembea humuengezea maarifa uliporudi nje umekuja na mtazamo unaofaa kuigwa kwahakika sijaona mtu aliezungumza yaliobeba ujumbemzito kwetu mimi nilikua nafatana na ust saidi Aliy hasan anapokuja unguja niliwahi kumpeleka kurecod kipindi nidhamul fitwra pale Tvz kuna mambo mimi na yeye tunatofautiana lakini hakuna anaemjua mwenzake nilipi na lipi linanitenganisha.nafulani izzu ddini umeuteka ukumbihuo hakikaleo umenena

  • @salminimwaipopo2349
    @salminimwaipopo23495 ай бұрын

    Leo ndio nimemuelewa huyu sheikhe..Mombasa Wana Mtu kwakweli

  • @mahmoudally3906
    @mahmoudally39065 ай бұрын

    Allah akulinde na akuhifadhi. Aaamiin.

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy56816 ай бұрын

    Skekhe nakuelewa sanaa uko na tazkia mno ya kutaka watu watuonesha quran kwa vitendo

  • @seifazizz4160
    @seifazizz41605 ай бұрын

    Mashaallah 🎉

  • @InnocentCherryDumplings-rg1tj
    @InnocentCherryDumplings-rg1tj5 ай бұрын

    Mansha Allah Allah awape Pepo namwisho mwema

  • @irshadabuhafsi6585
    @irshadabuhafsi65856 ай бұрын

    MashaaAllah maneno swahihi kabisa

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve5 ай бұрын

    Mashaallah

  • @balkisamisi2131
    @balkisamisi21315 ай бұрын

    Barakallahufik

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline6 ай бұрын

    Umenena habyb.... Ujumbe mzito.

  • @salamasongoro520
    @salamasongoro5205 ай бұрын

    Allah akuhifadhi shekh

  • @balkisamisi2131
    @balkisamisi21315 ай бұрын

    ya salam

  • @aliyseif8114
    @aliyseif81146 ай бұрын

    Wakiachwa huzidi kupotosha watu sheikh izzudin. Haswa wale ambao hawakusoma kabisa

  • @mutomubaya
    @mutomubaya4 ай бұрын

    Pongezi Sheikh Izzud Diin kwa kutahdharisha kuhusu ubaya wa kugawanya Ummah. Baadhi ya maneno ya kusababisha mgawanyiko nikutunga uwongo na kuueneza kama kwamba ni ukweli. Kwa mfano, neno Uwahabi latamkwa kama kwamba ni jambo lipo kweli. Ni kama tu vile neno Yesu lilitungwa likasingiziwa kwamba ndio jina na Mtume Isa bin Mariam. Wale watamka Mawahabi ni makafiri wafike Makkah wajionee Ummah wa Waislamu kutoka kila pembe ya Dunia wanaridhia kuswalishwa na imaam wa Saudia. Vipi wale wanaoishi mbali na mji huo watamke yule imaam ni Wahabi? nk. nk.....?

  • @saadallah6287
    @saadallah62875 ай бұрын

    Kati ya hawa masufi huyu sufi wa Mombasa yupo vizuri

  • @mahadhikawia3610

    @mahadhikawia3610

    5 ай бұрын

    Anaonekana ni Sufi kwa kuzaliwa ,Lakini Haki anaijua .

  • @mohwaamohwaa
    @mohwaamohwaa4 ай бұрын

    Full hikma

  • @muhammedomaryshembilu8539
    @muhammedomaryshembilu85395 ай бұрын

    Majitu yabidaa yangekuwa kama huyu Wala kusingekua na tabu sana kuna siku alisema hv kuna watu wanaona wasiofika maulidini hawampendi mtume

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u5 ай бұрын

    MAWAHABI HUNA CHA KUWAELEZA WANAAMBIWA WASIKAE NA WATU WA BIDAA NA WANA VITABU VYAO

  • @sabrinaman5630
    @sabrinaman56305 ай бұрын

    Tofauti hii ni darasa.... Lkn hakuna tofauti ya hadithi katika kuzungumzia maulidi. Vipo inakuwa humu kuacha kufanya maulidi. Tafuteni basi ukweli katika hili

  • @SleyumSalim-pq9pr
    @SleyumSalim-pq9pr5 ай бұрын

    Watu wa maulidi mbona mmenuna😂😂😂 she kishakwenda kwa salafi maulidi bye bye😂😂😂

  • @fahmikikaka9258
    @fahmikikaka92585 ай бұрын

    Maokoto tuachie mashekh zetu wewe ndo unawayumbisha kiukweli haki wanaijua hawa

  • @amemasudi5735
    @amemasudi57355 ай бұрын

    Ss hamumzungumzii Mtume (saw) mnamzungumzia nani basi Haina haja ya kuyasoma ss kw nn mnaadhimisha Kuzaliwa kwke acheni basi Mambo yenu

  • @fauznuhu9981

    @fauznuhu9981

    5 ай бұрын

    Mungu akuongoze mana hata hufahamu pia hapo?subuna llah wazi uni ugonzwa wamoyo ume kutawala

  • @HamisAbdallah-cj2sc
    @HamisAbdallah-cj2sc6 ай бұрын

    Asalam ALEY kum.sasa sheikh nimekuelewa tarawee niauna yenye shurti au nisuna isio na shurti??? Pia MTUME kaswalia nyumbani tarawee je kaelekeza nini kuhusu sisi kuswali tarawee.tuswali nyumbani au MSIKITINI.? Au hajafundisha??? Majibu tafadhali

  • @abdulazizimashaka3275

    @abdulazizimashaka3275

    5 ай бұрын

    Rarawee ni sunnah ukiswali mwenyew home ni sawa na pia ukiswali msikitini pia ni sawa

Келесі