asante shekhe mziwanda الله akupe umri mrefu tunufaike na elimu yako
@abdulhida8291 Жыл бұрын
Masha Allah, shekhe Jazzaka Allah kheri.
@nouhamour545 Жыл бұрын
Doooooh Wallah Allah awaweke masheikh wetu tuzidi kufaidika na elmu zao
@abdulmwalimu7111
Жыл бұрын
Kwautumbo huu
@user-hx8bh1jt4k
8 ай бұрын
We Abdul mwalimu,utumbo anao babako
@mageh8655 Жыл бұрын
Mashaallah shekh umetumalizia hili tatizo ALLAH akulipe kila la kheri
@jumahory859 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi hakika unavitu vyakipekee mpaka nahau
@west5897 Жыл бұрын
Mimi nataka kujua hapa tumeambiwa Mtume Muhammad (s.w.a) Aliondoka dini imekamilika .na tumeambiwa kwenye dini ya kiislamu hakuna kuengeza kitu ambacho hakimo wala kupgunguza kitu ambacho kimo .na tuliambiwa njia ni mbili ni sunna na faradh Sasa je maulid yamo katika dini na Kama yamo je ni sunna ama faradh
@auazenafusse13411 ай бұрын
sawa kabisa shekh Allah akuwoze
@MuhdharMuhammad-qv3zl7 ай бұрын
Shukran Sana Sheikh Wetu kwakutuelimisha na Tunakuomba usife moyo kwasababu hata Mtumi Muhammad SAW alipingwa shukran sana Allah akuhifadh
@hasanisaidishabani3879 Жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu
@swalehabdulrahman4118 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi shekh ili tuzidi nufaika
@saidrakwe8727 Жыл бұрын
Shegh tunakuelwa sana unafafanua vizuri sana na pia wale watu wakadiria wanafafanua vizur sana.hoja nzito sana
@abdulmwalimu7111
Жыл бұрын
Utumbo mkubwa kaongea
@yussuphsultan1400
10 ай бұрын
@@abdulmwalimu7111badala ya kutukana ungeweka hoja!
@abdulkadirshora3080 Жыл бұрын
Mashaa sheikh ALLAH atuzidishie
@sulekato4330 Жыл бұрын
Allah akuzidishie na akuhifadhi
@osmaniidrisa6290 Жыл бұрын
Wallah shekh usipoacha kuzid kutangaza bidaa utaangamia Allah akunusur
@isaliisu3408
Жыл бұрын
Ibunu Taimiya si kasema maulid siyo haram njoo Tamta Tanga tukuthibitishiye na huyu si ndiyo hana kasoro kwenu
@fardboy7043 Жыл бұрын
Masha Allah
@binbaya923 Жыл бұрын
Maa shaa Allah
@mubirirashidi Жыл бұрын
Mashaaallah ❤️❤️❤️
@anksusiabdurashid114 Жыл бұрын
Mashallaah akurehemu Allaah
@ramadhaniddsalim2201 Жыл бұрын
Alhamdulillah
@saadmbaraqa5272 Жыл бұрын
Unaona shida awa watu wanaleta mzaha kwenye vikao vya dini eti kama mayere dah mtihani
@saidally9896 Жыл бұрын
Masha allah
@hamisisalimu6908 Жыл бұрын
Mashallah 😊
@abdallahsaid8157 Жыл бұрын
Mbali Sana hapo sheikh. Kwa niwajuavyo mimi hapo hawafiki.
@ushindiushindi5749 Жыл бұрын
Huwa nakkubali sana mziwanda lakin kutetea mauld hapan
@user-br6er7zf5z
2 күн бұрын
Nyie ni wanafiki tu wapuuzi kamà hamjui maana yamaulidi kaeni kimya au kalaleni
Endeleni kupotosha watu maana allah kawatoa aibu kama mtume mmemsingizia mtashindwa kusema urongo siku zinavyoenda wanawakimbia hawo munao waringania uzushi mtajikuta mmebaki wenyewe muogopeni mungu dinni haikuwa na ziada ya kuongeza mambo baada ya mtume
@bongotvonline4883 Жыл бұрын
Mziwanda wewe ni msomi mzuri sana, tatizo lako tu haupo katika haki ingawa unaijua haki. Na Allah akupe muongozo InshaAllah.
@isaliisu3408
Жыл бұрын
Yaani unakubali Elimu anayo lkn unamkata jina kama mtoto wako kwasabu mumehitafiyana lkn ujuwe kuhitaliyana ndiyo kukuwa kwa Dini yetu kwasabu watu watasoma zaidi
@karimmkejina980
11 ай бұрын
Kwaiyo kafili au dah nyie waislam wa ni shida sana aya wew mcha mungu mungu akujalie
@sabdiduwil8436 Жыл бұрын
Ibrahim Alivyoomba mwenyezi mungu nijaalie niwe miongoni mwa wema. Ndipo alipooteshwa amchinje mwanae. (Alivyo amini) ndipo alipoonyeshwa mnyama,ndipo alipo barikiwa nabii Is-haqa mwema. mingoni mwa kizazi chake wapo wema,na wenye kudhulumu nafsi zao. Shekhe hapo umekosea maiti hasaidiwi kwa kusoma qur-anni, ili imuonye aliye hai (Yassin)
@amadeomarsaide502315 күн бұрын
Sheikh hapo umedanganya,kwenye neno على نشاطه Makusudio yake yapo hapa صل قائماً.... Na kuendelea kwenye hio hadithi. Wallahi nukupenda kwa ajili ya Allah. Lakini hapo umechemsha Sheikh makusudio sio idadi za rakaa
KUWAFANYA WATU MAZUZU SASA MAMBO YA NDANI UNAFANANISHA NA MAULIDI YA NJE
@abubakarymaulidy5681 Жыл бұрын
Asiye elewa sjui ni mtu wa aina gani
@mybabyarchive2104 Жыл бұрын
Leo umefundisha kama mwalim wa Mathematics Mashaallah ila hao wanaoongeza na issue za mayele ndo wanao fanya watu wa maulidi kuonekana wahuni we unampenda mayele kuliko mtume na maswahaba
@Skomi-0nedayyes Жыл бұрын
Me nauliza swari kabla ya sijacommenti mauridi ayo anayo zungumzia shekhe Ni pamoja na madufu ama maaridi kisomo tu?
@issanasir3583 Жыл бұрын
Kufata sunna na kuacha shubhaat ni bora Zaid...sio kutafuta vichochoro vya kufanya bid'a
@mgosilawanukoviri2734 Жыл бұрын
Mdathiri soma acha kulalama elimu pana ndefu wewe umechota kijiko kwenye elimu wanzako wanna ndoo mapipa mito someni acheni ushabiki wa ki itikadi
@issaabdallah1205Ай бұрын
Wadanfanya watu
@nasoros.mgungo5502 Жыл бұрын
.
@rahimaabdillahi62875 ай бұрын
Shekhe uyu kijana alomaliza thanawi ivi masualiyake huyasikii au ni kiburi ebu mtwange ktk ayomasualayake tuonee ww mziwanda ni kidume unaogopa nn ebu jibu basi
@hamischuga6320 Жыл бұрын
Mayele kaingiaje msikitini Ushenzi huo
@mwambashiiddi92959 ай бұрын
لو كان خيراً لسبقنا إليه الصحابة قال الإمام ابن كثير -رحمه الله- : 《 وأما أهل السنة والجماعة يقولون في كل فعلٍ وقولٍ لم يثبت عن الصحابة : هو بدعة ، لأنه لو كان خيراً لسبقونا إليه ، لأنهم لم يتركوا خصلةً من خصالِ الخير إلا وقد بادروا إليها 》. [تفسير القرآن العظيم (١٣/١٢)]
@abuunutsamuonlinetv27036 ай бұрын
Sasa unajifunga mwenyewe kama haguna dua alio waombea wazazi wake na yeye ndio kiigizo chema wewe umepata wapi
@abubakarshaban6118 Жыл бұрын
Haya Acha hiyo ya dua kwa wazazi.. Je maulidi?? Na hiyo ya kula ubwabwa kumsumbua mfiwa..
@mwambashiiddi92959 ай бұрын
.shekh juzi kaeleza kwamba aliekataa khitima ni imamu shaafii allah amreh . Leo atuambia namna yakuomba kukusanyika kumuombea maiti .imeachiliwa . Swali khitima watu wakikusanyika wanafanya nini! Na ww umesema madheheb yako ni ya kumfuata imamu shaafii .
@ibrahimmussa7069 Жыл бұрын
Swala kumsalia ishu je yana uhalali uhalali wake up wapi shekhe usizungushe watu
@TahfifuAlly2 ай бұрын
Huyu n kenge jmn Murakkab
@mdathirhassan2187 Жыл бұрын
Mziwanda kuna na kesho
@AbdallahMpemba8 ай бұрын
Sheikh mbona ww muongo ktk suala maulidi mtume(saw) hakusheherekea Bali mtume(saw )alifunga ibada hii aliifanya kw kuifunga wewe ni muongo na mzushi.
@salehmohammedsalum2054 Жыл бұрын
Shehe kaongea vzuri sana lakini sijafahamu vtu viwili (1)dalili ya kuonesha Maulidi ni sunna. (2)dalili ya kuonesha Maulidi ni sunnatul Mutwlaka.
@MaalimYussuf-qy9ic
9 ай бұрын
Kama huja fahamu mtafute akueleweshe
@salehmohammedsalum2054
9 ай бұрын
@@MaalimYussuf-qy9ic 😳😳😳😳
@hassanhussein2422 Жыл бұрын
Kuweli wwe ni musomi
@rashidsaid94098 ай бұрын
Ni kweli maneno ya Imam Shafii Allah amrehemu. Amesema (lau kama mtu ataingia ktk usufi mwanzoni mwa mchana basi haitofika Adhuhuri atakuwa mpumbavu) bila shaka ni kama huyu. Sufi. Hii ni talbis iblisi.
@khalfanikimanta6663
4 ай бұрын
Na wafuasi sasa waio kuwa na tahadhali ya elmu wanacheeka tuuu
@mussaissa6796
27 күн бұрын
HEBU LETE HICHO KITABU UTUONYESHE NA UKURASA ULIPOYATOA TUONE KAMA HUMO YAPO HIVYO UNAVYOROROMA WEWE
@ibnomar8144 Жыл бұрын
Ujanja ni mwingi 😢 sijuwi lipi alifikisha
@shebymilanzi8716
Жыл бұрын
Tulia Kama uelewi mfate akufundishe
@saidsheha-wn4qw
8 ай бұрын
Kuna ujanja gani hapo. Mbona maana mkaambiwa mkasomehwe. Nyie hamtaki.
@yahyarashid8038 Жыл бұрын
Hakuna iyo sh ambalo hakulifanya mtume swallahu alaihi wasallam haliwez kuwa ibada leo
@saidihaji3739
Жыл бұрын
Yahya Rashid Umesema : ambalo hakulifanya mtume ﷺ haliwezi kuwa lbada leo. . Twayyib : kufundisha kitabu (( بلوغ المرام)) sio lbada kwa7b mtume hajafanya ?? Kujenga ((markaz)) tukazipa majina ya masheikh waliokufa mtume hajafanya jee halifai ?? Pia : Tunaomba utupe taarifu (difinition) ya lbada .. ni nini lbada ??
@mdoekibai3991
Жыл бұрын
Hawezi kukujibu mpaka akamckilize shekhewake
@mickdadymwinyi1936
Жыл бұрын
@@saidihaji3739 Kwa ushauri tu kaa chini usome acha janja janja ktk dini, hivi kujenga Markaz na kuipa jina ni ibada?
@yusuphj2357 Жыл бұрын
Taratibu wanazd kuelewa kuitambua bida'a
@saadomar2480
11 ай бұрын
Mtakoma kifwenibas. Hahahaha
@mummy-qg6tt Жыл бұрын
Siku nyingine nyoosha maelezo ya mada
@matendupiterngoge8707
Жыл бұрын
Hili linaijua Haq lakini kinaipindisha والعياذ بالله
Ni uovu kumsemea Allah. Kwamba kama ombolezo baya anaadhibiwa maiti. Kwanini ikisomwa Quraan asisamehewe. Suala la Allah kumsamehe binadamu ni mapendeleo yake sio kwasababu umesoma Quraani ndo asamehewe. Allah akitaka inakua asipotaka haiwi hata ufanye nn. Cha msingi fanya alicho fanya mtume na alicho fundisha.
@isaliisu3408
Жыл бұрын
Ndiyo maana tunamuomba huku tukitarajiya msamaha kwake tunajuwa kuwa humsameh amtakae lakini Allah hachoki kuombwa na waja wake tafauti na sisi mtu akikujiya mara 3 mara mtu anachukiya
@bakarimabele9295 Жыл бұрын
Tuache upaulo kwenye dini ya Allah ndugu zangu
@aljabery.binruz
Жыл бұрын
Upaulo Nani na tuache nini fafanua tukuelewe, nn kibaya alio kisema?
@mdoekibai3991
Жыл бұрын
Huja hamna na mashekhe wenu wapo kimya inaonesha wazi dawa imewaingia nyie viclili mmeachwa njiapanda
@hilalkhalfan1452
Жыл бұрын
KWELI TUWACHE UPAULO TAWHEED TATU (MUNGU BABA, ULUHIA. MUNGU MWANA, RUBUBIA, MUNGU ROHO MTAKATIFU, ROHO NA SIFA ASMAU WA SWIFWATI) KATIKA UISLAMU. upo sahihi. Tuwache ulokole wa tawheed tatu
@bakarimabele9295
Жыл бұрын
@@hilalkhalfan1452 shukran sheikh leo nimepata kufahamu mungu mwana kwa kiarabu ni rabi
@hilalkhalfan1452
Жыл бұрын
@@bakarimabele9295 sio rabi, ni rubu. Hio sio rabi bia. Hio ni RUBU BIA. RABI- NI MWENYEZIMUNGU RUBUBIA - NI UWILI WA MWENYEZI MUNGU YAANI MUNGU MWANAE. Rabi ni Mwenyezi Mungu na wakiristo huita Mungu baba. Wanakusudia huyo Mungu mwenyewe kisheria. Sasa unapoendelea kugawa tawheed ndipo unapofanya utopolo wa Paulo. Alikatazwa Paulo kufanya tawheed ni Tatu Sasa waislamu wamejifanyia wao tawheed Tatu. QUR-AN hawaridhiki mayahudi na wakiristo mpaka mfate mila zao za tawheed Tatu ili mkufuru pamoja nao. Qur-an "WALAA taquulu thalatha" yaani MSISEME TAWHEED NI TATU KAMA PAULO. AU UNAYO HADITHI IMESEMA TAWHEED NI TATU IKAIPINGA HIO QURAN ILIOKATAZA TAWHEED TATU?
@ibrahimmussa7069 Жыл бұрын
Unazunguka sana mauligi yana shirki nyingi shekhe
@fatumaamadi3169
Жыл бұрын
We mpumbavu una elimu mbwa ww
@medimisi6930 Жыл бұрын
Watu kuleta mayele kwenye maulid na madufu yao ndio usahihi wa hadithi.maana mtu kasema BIDAA zote mwisho wake ni upotevu zaidi Kama huko kuleta mayele.shida wa mashekhe wa BIDAA wanakiswahili kingi iv ww unazani huyu shekhe hajui ukweli,jiulize tu mbona makka na Madina huko alikozaliwa mtume mwenyewe hawasomi haya maulidi ukipata jibu ndo utaelewa.
@hamadomary3308
Жыл бұрын
Mbona maka na Madina hawafuati mwezi ulioandama nchi icyokuwa yao, Wakat ww unafata wao,
@medimisi6930
Жыл бұрын
@@hamadomary3308 mh,lako jipya kwaiyo kila miaka unaonekana hapo,iv tz tushawahi kuwatangulia kufunga au kufungua makka unaongea tu bidaa zimekushika SAUDI huwa wanataka Hadi sehemu au nchi ambazo mwez umeonekana
@gaboudghussein527
Жыл бұрын
Hivi unajua Imam wa Makka amefungwa miaka 10 jela? Sasa usiseme usichokijua. Huko maulid yanasomwa pia
@selemankishema5780 Жыл бұрын
Uko mbele ya majabari wa maulidi na mahitima thubutu useme ukweli!!!? Ndio unabaki kuyakoroga na mifano ya kijingajinga
@abuushaukan6157
Жыл бұрын
Akina nani hao
@saadmbaraqa5272 Жыл бұрын
Vikao vya watu wa bidaa ni kuongeza chumvi tu
@mdathirhassan2187 Жыл бұрын
Shekhe kazi yenu ni kuleta ujanja wa nahwu ili kuwachanga watu , mwenye kuzua yasiyo kuweko haponyoki
Пікірлер: 101
asante shekhe mziwanda الله akupe umri mrefu tunufaike na elimu yako
Masha Allah, shekhe Jazzaka Allah kheri.
Doooooh Wallah Allah awaweke masheikh wetu tuzidi kufaidika na elmu zao
@abdulmwalimu7111
Жыл бұрын
Kwautumbo huu
@user-hx8bh1jt4k
8 ай бұрын
We Abdul mwalimu,utumbo anao babako
Mashaallah shekh umetumalizia hili tatizo ALLAH akulipe kila la kheri
Allah akuhifadhi hakika unavitu vyakipekee mpaka nahau
Mimi nataka kujua hapa tumeambiwa Mtume Muhammad (s.w.a) Aliondoka dini imekamilika .na tumeambiwa kwenye dini ya kiislamu hakuna kuengeza kitu ambacho hakimo wala kupgunguza kitu ambacho kimo .na tuliambiwa njia ni mbili ni sunna na faradh Sasa je maulid yamo katika dini na Kama yamo je ni sunna ama faradh
sawa kabisa shekh Allah akuwoze
Shukran Sana Sheikh Wetu kwakutuelimisha na Tunakuomba usife moyo kwasababu hata Mtumi Muhammad SAW alipingwa shukran sana Allah akuhifadh
Allah akupe umri mrefu
Allah akuhifadhi shekh ili tuzidi nufaika
Shegh tunakuelwa sana unafafanua vizuri sana na pia wale watu wakadiria wanafafanua vizur sana.hoja nzito sana
@abdulmwalimu7111
Жыл бұрын
Utumbo mkubwa kaongea
@yussuphsultan1400
10 ай бұрын
@@abdulmwalimu7111badala ya kutukana ungeweka hoja!
Mashaa sheikh ALLAH atuzidishie
Allah akuzidishie na akuhifadhi
Wallah shekh usipoacha kuzid kutangaza bidaa utaangamia Allah akunusur
@isaliisu3408
Жыл бұрын
Ibunu Taimiya si kasema maulid siyo haram njoo Tamta Tanga tukuthibitishiye na huyu si ndiyo hana kasoro kwenu
Masha Allah
Maa shaa Allah
Mashaaallah ❤️❤️❤️
Mashallaah akurehemu Allaah
Alhamdulillah
Unaona shida awa watu wanaleta mzaha kwenye vikao vya dini eti kama mayere dah mtihani
Masha allah
Mashallah 😊
Mbali Sana hapo sheikh. Kwa niwajuavyo mimi hapo hawafiki.
Huwa nakkubali sana mziwanda lakin kutetea mauld hapan
@user-br6er7zf5z
2 күн бұрын
Nyie ni wanafiki tu wapuuzi kamà hamjui maana yamaulidi kaeni kimya au kalaleni
ماشآءالله
wallaah mziwanda unaijua hakki ispokua unafanya unafanya makusudi kwa kufuata matamanio
Endeleni kupotosha watu maana allah kawatoa aibu kama mtume mmemsingizia mtashindwa kusema urongo siku zinavyoenda wanawakimbia hawo munao waringania uzushi mtajikuta mmebaki wenyewe muogopeni mungu dinni haikuwa na ziada ya kuongeza mambo baada ya mtume
Mziwanda wewe ni msomi mzuri sana, tatizo lako tu haupo katika haki ingawa unaijua haki. Na Allah akupe muongozo InshaAllah.
@isaliisu3408
Жыл бұрын
Yaani unakubali Elimu anayo lkn unamkata jina kama mtoto wako kwasabu mumehitafiyana lkn ujuwe kuhitaliyana ndiyo kukuwa kwa Dini yetu kwasabu watu watasoma zaidi
@karimmkejina980
11 ай бұрын
Kwaiyo kafili au dah nyie waislam wa ni shida sana aya wew mcha mungu mungu akujalie
Ibrahim Alivyoomba mwenyezi mungu nijaalie niwe miongoni mwa wema. Ndipo alipooteshwa amchinje mwanae. (Alivyo amini) ndipo alipoonyeshwa mnyama,ndipo alipo barikiwa nabii Is-haqa mwema. mingoni mwa kizazi chake wapo wema,na wenye kudhulumu nafsi zao. Shekhe hapo umekosea maiti hasaidiwi kwa kusoma qur-anni, ili imuonye aliye hai (Yassin)
Sheikh hapo umedanganya,kwenye neno على نشاطه Makusudio yake yapo hapa صل قائماً.... Na kuendelea kwenye hio hadithi. Wallahi nukupenda kwa ajili ya Allah. Lakini hapo umechemsha Sheikh makusudio sio idadi za rakaa
ASANT
Twayyib
Dalili
Masheikh wakiwahabi wanaopinga waende semina wakaelimishwe
KUWAFANYA WATU MAZUZU SASA MAMBO YA NDANI UNAFANANISHA NA MAULIDI YA NJE
Asiye elewa sjui ni mtu wa aina gani
Leo umefundisha kama mwalim wa Mathematics Mashaallah ila hao wanaoongeza na issue za mayele ndo wanao fanya watu wa maulidi kuonekana wahuni we unampenda mayele kuliko mtume na maswahaba
Me nauliza swari kabla ya sijacommenti mauridi ayo anayo zungumzia shekhe Ni pamoja na madufu ama maaridi kisomo tu?
Kufata sunna na kuacha shubhaat ni bora Zaid...sio kutafuta vichochoro vya kufanya bid'a
Mdathiri soma acha kulalama elimu pana ndefu wewe umechota kijiko kwenye elimu wanzako wanna ndoo mapipa mito someni acheni ushabiki wa ki itikadi
Wadanfanya watu
.
Shekhe uyu kijana alomaliza thanawi ivi masualiyake huyasikii au ni kiburi ebu mtwange ktk ayomasualayake tuonee ww mziwanda ni kidume unaogopa nn ebu jibu basi
Mayele kaingiaje msikitini Ushenzi huo
لو كان خيراً لسبقنا إليه الصحابة قال الإمام ابن كثير -رحمه الله- : 《 وأما أهل السنة والجماعة يقولون في كل فعلٍ وقولٍ لم يثبت عن الصحابة : هو بدعة ، لأنه لو كان خيراً لسبقونا إليه ، لأنهم لم يتركوا خصلةً من خصالِ الخير إلا وقد بادروا إليها 》. [تفسير القرآن العظيم (١٣/١٢)]
Sasa unajifunga mwenyewe kama haguna dua alio waombea wazazi wake na yeye ndio kiigizo chema wewe umepata wapi
Haya Acha hiyo ya dua kwa wazazi.. Je maulidi?? Na hiyo ya kula ubwabwa kumsumbua mfiwa..
.shekh juzi kaeleza kwamba aliekataa khitima ni imamu shaafii allah amreh . Leo atuambia namna yakuomba kukusanyika kumuombea maiti .imeachiliwa . Swali khitima watu wakikusanyika wanafanya nini! Na ww umesema madheheb yako ni ya kumfuata imamu shaafii .
Swala kumsalia ishu je yana uhalali uhalali wake up wapi shekhe usizungushe watu
Huyu n kenge jmn Murakkab
Mziwanda kuna na kesho
Sheikh mbona ww muongo ktk suala maulidi mtume(saw) hakusheherekea Bali mtume(saw )alifunga ibada hii aliifanya kw kuifunga wewe ni muongo na mzushi.
Shehe kaongea vzuri sana lakini sijafahamu vtu viwili (1)dalili ya kuonesha Maulidi ni sunna. (2)dalili ya kuonesha Maulidi ni sunnatul Mutwlaka.
@MaalimYussuf-qy9ic
9 ай бұрын
Kama huja fahamu mtafute akueleweshe
@salehmohammedsalum2054
9 ай бұрын
@@MaalimYussuf-qy9ic 😳😳😳😳
Kuweli wwe ni musomi
Ni kweli maneno ya Imam Shafii Allah amrehemu. Amesema (lau kama mtu ataingia ktk usufi mwanzoni mwa mchana basi haitofika Adhuhuri atakuwa mpumbavu) bila shaka ni kama huyu. Sufi. Hii ni talbis iblisi.
@khalfanikimanta6663
4 ай бұрын
Na wafuasi sasa waio kuwa na tahadhali ya elmu wanacheeka tuuu
@mussaissa6796
27 күн бұрын
HEBU LETE HICHO KITABU UTUONYESHE NA UKURASA ULIPOYATOA TUONE KAMA HUMO YAPO HIVYO UNAVYOROROMA WEWE
Ujanja ni mwingi 😢 sijuwi lipi alifikisha
@shebymilanzi8716
Жыл бұрын
Tulia Kama uelewi mfate akufundishe
@saidsheha-wn4qw
8 ай бұрын
Kuna ujanja gani hapo. Mbona maana mkaambiwa mkasomehwe. Nyie hamtaki.
Hakuna iyo sh ambalo hakulifanya mtume swallahu alaihi wasallam haliwez kuwa ibada leo
@saidihaji3739
Жыл бұрын
Yahya Rashid Umesema : ambalo hakulifanya mtume ﷺ haliwezi kuwa lbada leo. . Twayyib : kufundisha kitabu (( بلوغ المرام)) sio lbada kwa7b mtume hajafanya ?? Kujenga ((markaz)) tukazipa majina ya masheikh waliokufa mtume hajafanya jee halifai ?? Pia : Tunaomba utupe taarifu (difinition) ya lbada .. ni nini lbada ??
@mdoekibai3991
Жыл бұрын
Hawezi kukujibu mpaka akamckilize shekhewake
@mickdadymwinyi1936
Жыл бұрын
@@saidihaji3739 Kwa ushauri tu kaa chini usome acha janja janja ktk dini, hivi kujenga Markaz na kuipa jina ni ibada?
Taratibu wanazd kuelewa kuitambua bida'a
@saadomar2480
11 ай бұрын
Mtakoma kifwenibas. Hahahaha
Siku nyingine nyoosha maelezo ya mada
@matendupiterngoge8707
Жыл бұрын
Hili linaijua Haq lakini kinaipindisha والعياذ بالله
MZIWANDA, UJANJA MTUPU NA HAMNA JIPYA HAPO.
@hilalkhalfan1452
Жыл бұрын
Unamuombea vipi mzazi wako
Tunaelewa shegh ufafanuzi mzur sana,kuna vichwa haviwezi kuelewa sababu wanachoamini sivyo unaamini wewe shegh….
@abdulmwalimu7111
Жыл бұрын
Wew uliyeelewa twambie umeelewa vip
Ni uovu kumsemea Allah. Kwamba kama ombolezo baya anaadhibiwa maiti. Kwanini ikisomwa Quraan asisamehewe. Suala la Allah kumsamehe binadamu ni mapendeleo yake sio kwasababu umesoma Quraani ndo asamehewe. Allah akitaka inakua asipotaka haiwi hata ufanye nn. Cha msingi fanya alicho fanya mtume na alicho fundisha.
@isaliisu3408
Жыл бұрын
Ndiyo maana tunamuomba huku tukitarajiya msamaha kwake tunajuwa kuwa humsameh amtakae lakini Allah hachoki kuombwa na waja wake tafauti na sisi mtu akikujiya mara 3 mara mtu anachukiya
Tuache upaulo kwenye dini ya Allah ndugu zangu
@aljabery.binruz
Жыл бұрын
Upaulo Nani na tuache nini fafanua tukuelewe, nn kibaya alio kisema?
@mdoekibai3991
Жыл бұрын
Huja hamna na mashekhe wenu wapo kimya inaonesha wazi dawa imewaingia nyie viclili mmeachwa njiapanda
@hilalkhalfan1452
Жыл бұрын
KWELI TUWACHE UPAULO TAWHEED TATU (MUNGU BABA, ULUHIA. MUNGU MWANA, RUBUBIA, MUNGU ROHO MTAKATIFU, ROHO NA SIFA ASMAU WA SWIFWATI) KATIKA UISLAMU. upo sahihi. Tuwache ulokole wa tawheed tatu
@bakarimabele9295
Жыл бұрын
@@hilalkhalfan1452 shukran sheikh leo nimepata kufahamu mungu mwana kwa kiarabu ni rabi
@hilalkhalfan1452
Жыл бұрын
@@bakarimabele9295 sio rabi, ni rubu. Hio sio rabi bia. Hio ni RUBU BIA. RABI- NI MWENYEZIMUNGU RUBUBIA - NI UWILI WA MWENYEZI MUNGU YAANI MUNGU MWANAE. Rabi ni Mwenyezi Mungu na wakiristo huita Mungu baba. Wanakusudia huyo Mungu mwenyewe kisheria. Sasa unapoendelea kugawa tawheed ndipo unapofanya utopolo wa Paulo. Alikatazwa Paulo kufanya tawheed ni Tatu Sasa waislamu wamejifanyia wao tawheed Tatu. QUR-AN hawaridhiki mayahudi na wakiristo mpaka mfate mila zao za tawheed Tatu ili mkufuru pamoja nao. Qur-an "WALAA taquulu thalatha" yaani MSISEME TAWHEED NI TATU KAMA PAULO. AU UNAYO HADITHI IMESEMA TAWHEED NI TATU IKAIPINGA HIO QURAN ILIOKATAZA TAWHEED TATU?
Unazunguka sana mauligi yana shirki nyingi shekhe
@fatumaamadi3169
Жыл бұрын
We mpumbavu una elimu mbwa ww
Watu kuleta mayele kwenye maulid na madufu yao ndio usahihi wa hadithi.maana mtu kasema BIDAA zote mwisho wake ni upotevu zaidi Kama huko kuleta mayele.shida wa mashekhe wa BIDAA wanakiswahili kingi iv ww unazani huyu shekhe hajui ukweli,jiulize tu mbona makka na Madina huko alikozaliwa mtume mwenyewe hawasomi haya maulidi ukipata jibu ndo utaelewa.
@hamadomary3308
Жыл бұрын
Mbona maka na Madina hawafuati mwezi ulioandama nchi icyokuwa yao, Wakat ww unafata wao,
@medimisi6930
Жыл бұрын
@@hamadomary3308 mh,lako jipya kwaiyo kila miaka unaonekana hapo,iv tz tushawahi kuwatangulia kufunga au kufungua makka unaongea tu bidaa zimekushika SAUDI huwa wanataka Hadi sehemu au nchi ambazo mwez umeonekana
@gaboudghussein527
Жыл бұрын
Hivi unajua Imam wa Makka amefungwa miaka 10 jela? Sasa usiseme usichokijua. Huko maulid yanasomwa pia
Uko mbele ya majabari wa maulidi na mahitima thubutu useme ukweli!!!? Ndio unabaki kuyakoroga na mifano ya kijingajinga
@abuushaukan6157
Жыл бұрын
Akina nani hao
Vikao vya watu wa bidaa ni kuongeza chumvi tu
Shekhe kazi yenu ni kuleta ujanja wa nahwu ili kuwachanga watu , mwenye kuzua yasiyo kuweko haponyoki
@khalfanmudibo3356
Жыл бұрын
Sindano imeingia sio