WANAOPINGA KUWAOMBEA DUA MAITI, MAULIDI HILI SIO TATIZO KWAO, JE LINAFANYIKAJE? - SHEIKH MZIWANDA

Ойын-сауық

Пікірлер: 101

  • @jumanneshabeni2009
    @jumanneshabeni2009 Жыл бұрын

    asante shekhe mziwanda الله akupe umri mrefu tunufaike na elimu yako

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 Жыл бұрын

    Masha Allah, shekhe Jazzaka Allah kheri.

  • @nouhamour545
    @nouhamour545 Жыл бұрын

    Doooooh Wallah Allah awaweke masheikh wetu tuzidi kufaidika na elmu zao

  • @abdulmwalimu7111

    @abdulmwalimu7111

    Жыл бұрын

    Kwautumbo huu

  • @user-hx8bh1jt4k

    @user-hx8bh1jt4k

    8 ай бұрын

    We Abdul mwalimu,utumbo anao babako

  • @mageh8655
    @mageh8655 Жыл бұрын

    Mashaallah shekh umetumalizia hili tatizo ALLAH akulipe kila la kheri

  • @jumahory859
    @jumahory859 Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi hakika unavitu vyakipekee mpaka nahau

  • @west5897
    @west5897 Жыл бұрын

    Mimi nataka kujua hapa tumeambiwa Mtume Muhammad (s.w.a) Aliondoka dini imekamilika .na tumeambiwa kwenye dini ya kiislamu hakuna kuengeza kitu ambacho hakimo wala kupgunguza kitu ambacho kimo .na tuliambiwa njia ni mbili ni sunna na faradh Sasa je maulid yamo katika dini na Kama yamo je ni sunna ama faradh

  • @auazenafusse134
    @auazenafusse13411 ай бұрын

    sawa kabisa shekh Allah akuwoze

  • @MuhdharMuhammad-qv3zl
    @MuhdharMuhammad-qv3zl7 ай бұрын

    Shukran Sana Sheikh Wetu kwakutuelimisha na Tunakuomba usife moyo kwasababu hata Mtumi Muhammad SAW alipingwa shukran sana Allah akuhifadh

  • @hasanisaidishabani3879
    @hasanisaidishabani3879 Жыл бұрын

    Allah akupe umri mrefu

  • @swalehabdulrahman4118
    @swalehabdulrahman4118 Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi shekh ili tuzidi nufaika

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Жыл бұрын

    Shegh tunakuelwa sana unafafanua vizuri sana na pia wale watu wakadiria wanafafanua vizur sana.hoja nzito sana

  • @abdulmwalimu7111

    @abdulmwalimu7111

    Жыл бұрын

    Utumbo mkubwa kaongea

  • @yussuphsultan1400

    @yussuphsultan1400

    10 ай бұрын

    ​@@abdulmwalimu7111badala ya kutukana ungeweka hoja!

  • @abdulkadirshora3080
    @abdulkadirshora3080 Жыл бұрын

    Mashaa sheikh ALLAH atuzidishie

  • @sulekato4330
    @sulekato4330 Жыл бұрын

    Allah akuzidishie na akuhifadhi

  • @osmaniidrisa6290
    @osmaniidrisa6290 Жыл бұрын

    Wallah shekh usipoacha kuzid kutangaza bidaa utaangamia Allah akunusur

  • @isaliisu3408

    @isaliisu3408

    Жыл бұрын

    Ibunu Taimiya si kasema maulid siyo haram njoo Tamta Tanga tukuthibitishiye na huyu si ndiyo hana kasoro kwenu

  • @fardboy7043
    @fardboy7043 Жыл бұрын

    Masha Allah

  • @binbaya923
    @binbaya923 Жыл бұрын

    Maa shaa Allah

  • @mubirirashidi
    @mubirirashidi Жыл бұрын

    Mashaaallah ❤️❤️❤️

  • @anksusiabdurashid114
    @anksusiabdurashid114 Жыл бұрын

    Mashallaah akurehemu Allaah

  • @ramadhaniddsalim2201
    @ramadhaniddsalim2201 Жыл бұрын

    Alhamdulillah

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 Жыл бұрын

    Unaona shida awa watu wanaleta mzaha kwenye vikao vya dini eti kama mayere dah mtihani

  • @saidally9896
    @saidally9896 Жыл бұрын

    Masha allah

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 Жыл бұрын

    Mashallah 😊

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 Жыл бұрын

    Mbali Sana hapo sheikh. Kwa niwajuavyo mimi hapo hawafiki.

  • @ushindiushindi5749
    @ushindiushindi5749 Жыл бұрын

    Huwa nakkubali sana mziwanda lakin kutetea mauld hapan

  • @user-br6er7zf5z

    @user-br6er7zf5z

    2 күн бұрын

    Nyie ni wanafiki tu wapuuzi kamà hamjui maana yamaulidi kaeni kimya au kalaleni

  • @travellertraveller4505
    @travellertraveller4505 Жыл бұрын

    ماشآءالله

  • @user-qq6no9em1f
    @user-qq6no9em1f6 ай бұрын

    wallaah mziwanda unaijua hakki ispokua unafanya unafanya makusudi kwa kufuata matamanio

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e10 күн бұрын

    Endeleni kupotosha watu maana allah kawatoa aibu kama mtume mmemsingizia mtashindwa kusema urongo siku zinavyoenda wanawakimbia hawo munao waringania uzushi mtajikuta mmebaki wenyewe muogopeni mungu dinni haikuwa na ziada ya kuongeza mambo baada ya mtume

  • @bongotvonline4883
    @bongotvonline4883 Жыл бұрын

    Mziwanda wewe ni msomi mzuri sana, tatizo lako tu haupo katika haki ingawa unaijua haki. Na Allah akupe muongozo InshaAllah.

  • @isaliisu3408

    @isaliisu3408

    Жыл бұрын

    Yaani unakubali Elimu anayo lkn unamkata jina kama mtoto wako kwasabu mumehitafiyana lkn ujuwe kuhitaliyana ndiyo kukuwa kwa Dini yetu kwasabu watu watasoma zaidi

  • @karimmkejina980

    @karimmkejina980

    11 ай бұрын

    Kwaiyo kafili au dah nyie waislam wa ni shida sana aya wew mcha mungu mungu akujalie

  • @sabdiduwil8436
    @sabdiduwil8436 Жыл бұрын

    Ibrahim Alivyoomba mwenyezi mungu nijaalie niwe miongoni mwa wema. Ndipo alipooteshwa amchinje mwanae. (Alivyo amini) ndipo alipoonyeshwa mnyama,ndipo alipo barikiwa nabii Is-haqa mwema. mingoni mwa kizazi chake wapo wema,na wenye kudhulumu nafsi zao. Shekhe hapo umekosea maiti hasaidiwi kwa kusoma qur-anni, ili imuonye aliye hai (Yassin)

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide502315 күн бұрын

    Sheikh hapo umedanganya,kwenye neno على نشاطه Makusudio yake yapo hapa صل قائماً.... Na kuendelea kwenye hio hadithi. Wallahi nukupenda kwa ajili ya Allah. Lakini hapo umechemsha Sheikh makusudio sio idadi za rakaa

  • @hashimkhamisi8291
    @hashimkhamisi8291 Жыл бұрын

    ASANT

  • @burhantvtzonline5417
    @burhantvtzonline5417 Жыл бұрын

    Twayyib

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205Ай бұрын

    Dalili

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa973210 ай бұрын

    Masheikh wakiwahabi wanaopinga waende semina wakaelimishwe

  • @user-qq6no9em1f
    @user-qq6no9em1f6 ай бұрын

    KUWAFANYA WATU MAZUZU SASA MAMBO YA NDANI UNAFANANISHA NA MAULIDI YA NJE

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 Жыл бұрын

    Asiye elewa sjui ni mtu wa aina gani

  • @mybabyarchive2104
    @mybabyarchive2104 Жыл бұрын

    Leo umefundisha kama mwalim wa Mathematics Mashaallah ila hao wanaoongeza na issue za mayele ndo wanao fanya watu wa maulidi kuonekana wahuni we unampenda mayele kuliko mtume na maswahaba

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes Жыл бұрын

    Me nauliza swari kabla ya sijacommenti mauridi ayo anayo zungumzia shekhe Ni pamoja na madufu ama maaridi kisomo tu?

  • @issanasir3583
    @issanasir3583 Жыл бұрын

    Kufata sunna na kuacha shubhaat ni bora Zaid...sio kutafuta vichochoro vya kufanya bid'a

  • @mgosilawanukoviri2734
    @mgosilawanukoviri2734 Жыл бұрын

    Mdathiri soma acha kulalama elimu pana ndefu wewe umechota kijiko kwenye elimu wanzako wanna ndoo mapipa mito someni acheni ushabiki wa ki itikadi

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205Ай бұрын

    Wadanfanya watu

  • @nasoros.mgungo5502
    @nasoros.mgungo5502 Жыл бұрын

    .

  • @rahimaabdillahi6287
    @rahimaabdillahi62875 ай бұрын

    Shekhe uyu kijana alomaliza thanawi ivi masualiyake huyasikii au ni kiburi ebu mtwange ktk ayomasualayake tuonee ww mziwanda ni kidume unaogopa nn ebu jibu basi

  • @hamischuga6320
    @hamischuga6320 Жыл бұрын

    Mayele kaingiaje msikitini Ushenzi huo

  • @mwambashiiddi9295
    @mwambashiiddi92959 ай бұрын

    ‏لو كان خيراً لسبقنا إليه الصحابة ‏قال الإمام ابن كثير -رحمه الله- : ‏《 وأما أهل السنة والجماعة ‏يقولون في كل فعلٍ وقولٍ ‏ لم يثبت عن الصحابة : هو بدعة ، ‏لأنه لو كان خيراً لسبقونا إليه ، ‏لأنهم لم يتركوا خصلةً من خصالِ الخير إلا وقد بادروا إليها 》. ‏ [تفسير القرآن العظيم (١٣/١٢)]

  • @abuunutsamuonlinetv2703
    @abuunutsamuonlinetv27036 ай бұрын

    Sasa unajifunga mwenyewe kama haguna dua alio waombea wazazi wake na yeye ndio kiigizo chema wewe umepata wapi

  • @abubakarshaban6118
    @abubakarshaban6118 Жыл бұрын

    Haya Acha hiyo ya dua kwa wazazi.. Je maulidi?? Na hiyo ya kula ubwabwa kumsumbua mfiwa..

  • @mwambashiiddi9295
    @mwambashiiddi92959 ай бұрын

    .shekh juzi kaeleza kwamba aliekataa khitima ni imamu shaafii allah amreh . Leo atuambia namna yakuomba kukusanyika kumuombea maiti .imeachiliwa . Swali khitima watu wakikusanyika wanafanya nini! Na ww umesema madheheb yako ni ya kumfuata imamu shaafii .

  • @ibrahimmussa7069
    @ibrahimmussa7069 Жыл бұрын

    Swala kumsalia ishu je yana uhalali uhalali wake up wapi shekhe usizungushe watu

  • @TahfifuAlly
    @TahfifuAlly2 ай бұрын

    Huyu n kenge jmn Murakkab

  • @mdathirhassan2187
    @mdathirhassan2187 Жыл бұрын

    Mziwanda kuna na kesho

  • @AbdallahMpemba
    @AbdallahMpemba8 ай бұрын

    Sheikh mbona ww muongo ktk suala maulidi mtume(saw) hakusheherekea Bali mtume(saw )alifunga ibada hii aliifanya kw kuifunga wewe ni muongo na mzushi.

  • @salehmohammedsalum2054
    @salehmohammedsalum2054 Жыл бұрын

    Shehe kaongea vzuri sana lakini sijafahamu vtu viwili (1)dalili ya kuonesha Maulidi ni sunna. (2)dalili ya kuonesha Maulidi ni sunnatul Mutwlaka.

  • @MaalimYussuf-qy9ic

    @MaalimYussuf-qy9ic

    9 ай бұрын

    Kama huja fahamu mtafute akueleweshe

  • @salehmohammedsalum2054

    @salehmohammedsalum2054

    9 ай бұрын

    @@MaalimYussuf-qy9ic 😳😳😳😳

  • @hassanhussein2422
    @hassanhussein2422 Жыл бұрын

    Kuweli wwe ni musomi

  • @rashidsaid9409
    @rashidsaid94098 ай бұрын

    Ni kweli maneno ya Imam Shafii Allah amrehemu. Amesema (lau kama mtu ataingia ktk usufi mwanzoni mwa mchana basi haitofika Adhuhuri atakuwa mpumbavu) bila shaka ni kama huyu. Sufi. Hii ni talbis iblisi.

  • @khalfanikimanta6663

    @khalfanikimanta6663

    4 ай бұрын

    Na wafuasi sasa waio kuwa na tahadhali ya elmu wanacheeka tuuu

  • @mussaissa6796

    @mussaissa6796

    27 күн бұрын

    HEBU LETE HICHO KITABU UTUONYESHE NA UKURASA ULIPOYATOA TUONE KAMA HUMO YAPO HIVYO UNAVYOROROMA WEWE

  • @ibnomar8144
    @ibnomar8144 Жыл бұрын

    Ujanja ni mwingi 😢 sijuwi lipi alifikisha

  • @shebymilanzi8716

    @shebymilanzi8716

    Жыл бұрын

    Tulia Kama uelewi mfate akufundishe

  • @saidsheha-wn4qw

    @saidsheha-wn4qw

    8 ай бұрын

    Kuna ujanja gani hapo. Mbona maana mkaambiwa mkasomehwe. Nyie hamtaki.

  • @yahyarashid8038
    @yahyarashid8038 Жыл бұрын

    Hakuna iyo sh ambalo hakulifanya mtume swallahu alaihi wasallam haliwez kuwa ibada leo

  • @saidihaji3739

    @saidihaji3739

    Жыл бұрын

    Yahya Rashid Umesema : ambalo hakulifanya mtume ﷺ haliwezi kuwa lbada leo. . Twayyib : kufundisha kitabu (( بلوغ المرام)) sio lbada kwa7b mtume hajafanya ?? Kujenga ((markaz)) tukazipa majina ya masheikh waliokufa mtume hajafanya jee halifai ?? Pia : Tunaomba utupe taarifu (difinition) ya lbada .. ni nini lbada ??

  • @mdoekibai3991

    @mdoekibai3991

    Жыл бұрын

    Hawezi kukujibu mpaka akamckilize shekhewake

  • @mickdadymwinyi1936

    @mickdadymwinyi1936

    Жыл бұрын

    @@saidihaji3739 Kwa ushauri tu kaa chini usome acha janja janja ktk dini, hivi kujenga Markaz na kuipa jina ni ibada?

  • @yusuphj2357
    @yusuphj2357 Жыл бұрын

    Taratibu wanazd kuelewa kuitambua bida'a

  • @saadomar2480

    @saadomar2480

    11 ай бұрын

    Mtakoma kifwenibas. Hahahaha

  • @mummy-qg6tt
    @mummy-qg6tt Жыл бұрын

    Siku nyingine nyoosha maelezo ya mada

  • @matendupiterngoge8707

    @matendupiterngoge8707

    Жыл бұрын

    Hili linaijua Haq lakini kinaipindisha والعياذ بالله

  • @husseinbutoyi8675
    @husseinbutoyi8675 Жыл бұрын

    MZIWANDA, UJANJA MTUPU NA HAMNA JIPYA HAPO.

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Жыл бұрын

    Unamuombea vipi mzazi wako

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Жыл бұрын

    Tunaelewa shegh ufafanuzi mzur sana,kuna vichwa haviwezi kuelewa sababu wanachoamini sivyo unaamini wewe shegh….

  • @abdulmwalimu7111

    @abdulmwalimu7111

    Жыл бұрын

    Wew uliyeelewa twambie umeelewa vip

  • @giltaemi4017
    @giltaemi4017 Жыл бұрын

    Ni uovu kumsemea Allah. Kwamba kama ombolezo baya anaadhibiwa maiti. Kwanini ikisomwa Quraan asisamehewe. Suala la Allah kumsamehe binadamu ni mapendeleo yake sio kwasababu umesoma Quraani ndo asamehewe. Allah akitaka inakua asipotaka haiwi hata ufanye nn. Cha msingi fanya alicho fanya mtume na alicho fundisha.

  • @isaliisu3408

    @isaliisu3408

    Жыл бұрын

    Ndiyo maana tunamuomba huku tukitarajiya msamaha kwake tunajuwa kuwa humsameh amtakae lakini Allah hachoki kuombwa na waja wake tafauti na sisi mtu akikujiya mara 3 mara mtu anachukiya

  • @bakarimabele9295
    @bakarimabele9295 Жыл бұрын

    Tuache upaulo kwenye dini ya Allah ndugu zangu

  • @aljabery.binruz

    @aljabery.binruz

    Жыл бұрын

    Upaulo Nani na tuache nini fafanua tukuelewe, nn kibaya alio kisema?

  • @mdoekibai3991

    @mdoekibai3991

    Жыл бұрын

    Huja hamna na mashekhe wenu wapo kimya inaonesha wazi dawa imewaingia nyie viclili mmeachwa njiapanda

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Жыл бұрын

    KWELI TUWACHE UPAULO TAWHEED TATU (MUNGU BABA, ULUHIA. MUNGU MWANA, RUBUBIA, MUNGU ROHO MTAKATIFU, ROHO NA SIFA ASMAU WA SWIFWATI) KATIKA UISLAMU. upo sahihi. Tuwache ulokole wa tawheed tatu

  • @bakarimabele9295

    @bakarimabele9295

    Жыл бұрын

    @@hilalkhalfan1452 shukran sheikh leo nimepata kufahamu mungu mwana kwa kiarabu ni rabi

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Жыл бұрын

    @@bakarimabele9295 sio rabi, ni rubu. Hio sio rabi bia. Hio ni RUBU BIA. RABI- NI MWENYEZIMUNGU RUBUBIA - NI UWILI WA MWENYEZI MUNGU YAANI MUNGU MWANAE. Rabi ni Mwenyezi Mungu na wakiristo huita Mungu baba. Wanakusudia huyo Mungu mwenyewe kisheria. Sasa unapoendelea kugawa tawheed ndipo unapofanya utopolo wa Paulo. Alikatazwa Paulo kufanya tawheed ni Tatu Sasa waislamu wamejifanyia wao tawheed Tatu. QUR-AN hawaridhiki mayahudi na wakiristo mpaka mfate mila zao za tawheed Tatu ili mkufuru pamoja nao. Qur-an "WALAA taquulu thalatha" yaani MSISEME TAWHEED NI TATU KAMA PAULO. AU UNAYO HADITHI IMESEMA TAWHEED NI TATU IKAIPINGA HIO QURAN ILIOKATAZA TAWHEED TATU?

  • @ibrahimmussa7069
    @ibrahimmussa7069 Жыл бұрын

    Unazunguka sana mauligi yana shirki nyingi shekhe

  • @fatumaamadi3169

    @fatumaamadi3169

    Жыл бұрын

    We mpumbavu una elimu mbwa ww

  • @medimisi6930
    @medimisi6930 Жыл бұрын

    Watu kuleta mayele kwenye maulid na madufu yao ndio usahihi wa hadithi.maana mtu kasema BIDAA zote mwisho wake ni upotevu zaidi Kama huko kuleta mayele.shida wa mashekhe wa BIDAA wanakiswahili kingi iv ww unazani huyu shekhe hajui ukweli,jiulize tu mbona makka na Madina huko alikozaliwa mtume mwenyewe hawasomi haya maulidi ukipata jibu ndo utaelewa.

  • @hamadomary3308

    @hamadomary3308

    Жыл бұрын

    Mbona maka na Madina hawafuati mwezi ulioandama nchi icyokuwa yao, Wakat ww unafata wao,

  • @medimisi6930

    @medimisi6930

    Жыл бұрын

    @@hamadomary3308 mh,lako jipya kwaiyo kila miaka unaonekana hapo,iv tz tushawahi kuwatangulia kufunga au kufungua makka unaongea tu bidaa zimekushika SAUDI huwa wanataka Hadi sehemu au nchi ambazo mwez umeonekana

  • @gaboudghussein527

    @gaboudghussein527

    Жыл бұрын

    Hivi unajua Imam wa Makka amefungwa miaka 10 jela? Sasa usiseme usichokijua. Huko maulid yanasomwa pia

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Жыл бұрын

    Uko mbele ya majabari wa maulidi na mahitima thubutu useme ukweli!!!? Ndio unabaki kuyakoroga na mifano ya kijingajinga

  • @abuushaukan6157

    @abuushaukan6157

    Жыл бұрын

    Akina nani hao

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 Жыл бұрын

    Vikao vya watu wa bidaa ni kuongeza chumvi tu

  • @mdathirhassan2187
    @mdathirhassan2187 Жыл бұрын

    Shekhe kazi yenu ni kuleta ujanja wa nahwu ili kuwachanga watu , mwenye kuzua yasiyo kuweko haponyoki

  • @khalfanmudibo3356

    @khalfanmudibo3356

    Жыл бұрын

    Sindano imeingia sio

Келесі