KUNA MTU KAKUTA MAKOSA 30 YA KITABU CHA MAULIDI, TUSITUKANANE, KUWAOMBEA DUA MAITI - SHEKH MZIWANDA
Follow Us On: INSTAGRAM: / miladu_tv FACEBOOK: / babdeo miladu/ TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan... KZread: / @babdeomiladu
Жүктеу.....
Пікірлер: 200
@saidsheha-wn4qw
Mashaallah, sheikh umeeleweka vizuri sana.
@hajinachembe4310
Daaa!! Shekhe Muhammad bachu, Mwenyezi mungu amuhifadhi maaana naona masufii woote wameungana kutetea ushurikina, wanatetea kitu ambacho mtume s.a.w. hakukifanya waala hajakizungumzia popoote pale, nandiomaana hata watetezi wa bidaa ya mauridi wanapata sheeda saaana kuhalalisha kwasababu hakuna lilipo thibi.
@IddiNkupe-no8lh
Shekh mziwanda uko na hali mbaya sana tatizo unatumia akili yako kuliko dalili,mashaallah Allah amekupa kauli nzuri ya ushawishi ila napenda kukutanabahisha usipende kuitumia akili yako kuliko dalili kila kitu kipo kwenye kitabu wanazuoni wamevibainisha vyote angalia sana maneno yako utakuwa mas'uula
@hawrajehan2398
Shkh nimekuelewa vizur sana na Allah azid kukuoa kheir ya kunielimisha
@user-nz3se8es3x
manshaalah
@abdallahshelufumo4602
Maa Sha Allah
@alhilaltvonline
MaashaaAllah. Ahsante Kwa Darasa kubwa. Atakayetaka kufahamu atafahamu ila atakayesikiliza kiushabiki na kimsimamo - hawezi kukuelewa Sheikh.
@yussuphsultan1400
Siku hizi wnasema, " Hii imeenda", jazakallah sheikh!!!
@ahmadmadaai1357
Shekh upo sahihi kabisa nakupnd sn una fani na elimu
@suuahmed71
Maskini Mahabi Mulidi yanawekera kweli kweli. Basi unakuja mwezi wa kuwakera. Mukajinyonge hasaaa tupumue roho zetu na taafrani zenu. Poleni saanaaa
@ahmedsalim9463
Masha All’wa skh mziwanda
@user-gl6ep3xp9s
Asante Sana
@muhsiniabeid
Mziwanda sikuzote haqi haiwi chini inakuwagajuu leoumekiri kunamakosa ndani ya barzanje ilaumeyaona nimachache ukilinganisha na ukuwa wa kitabu.alhadulillah,mziwanda nduyangu kosanikosa hatalikiwamoja,sasaje unawaambiaje mashekh wenzako wakingao vifua etiyalesimakosa
@rushu1232
Mashaallah Sh.Mziwanda hizo dakika ulizotumia kwa watu wenye akili wasomi umesomesha ilmu kubwa sana Mwenyeezi Mngu akupe umri uzidi kuelimisha watu.
Пікірлер: 200
Mashaallah, sheikh umeeleweka vizuri sana.
Daaa!! Shekhe Muhammad bachu, Mwenyezi mungu amuhifadhi maaana naona masufii woote wameungana kutetea ushurikina, wanatetea kitu ambacho mtume s.a.w. hakukifanya waala hajakizungumzia popoote pale, nandiomaana hata watetezi wa bidaa ya mauridi wanapata sheeda saaana kuhalalisha kwasababu hakuna lilipo thibi.
Shekh mziwanda uko na hali mbaya sana tatizo unatumia akili yako kuliko dalili,mashaallah Allah amekupa kauli nzuri ya ushawishi ila napenda kukutanabahisha usipende kuitumia akili yako kuliko dalili kila kitu kipo kwenye kitabu wanazuoni wamevibainisha vyote angalia sana maneno yako utakuwa mas'uula
Shkh nimekuelewa vizur sana na Allah azid kukuoa kheir ya kunielimisha
manshaalah
Maa Sha Allah
MaashaaAllah. Ahsante Kwa Darasa kubwa. Atakayetaka kufahamu atafahamu ila atakayesikiliza kiushabiki na kimsimamo - hawezi kukuelewa Sheikh.
Siku hizi wnasema, " Hii imeenda", jazakallah sheikh!!!
Shekh upo sahihi kabisa nakupnd sn una fani na elimu
Maskini Mahabi Mulidi yanawekera kweli kweli. Basi unakuja mwezi wa kuwakera. Mukajinyonge hasaaa tupumue roho zetu na taafrani zenu. Poleni saanaaa
Masha All’wa skh mziwanda
Asante Sana
Mziwanda sikuzote haqi haiwi chini inakuwagajuu leoumekiri kunamakosa ndani ya barzanje ilaumeyaona nimachache ukilinganisha na ukuwa wa kitabu.alhadulillah,mziwanda nduyangu kosanikosa hatalikiwamoja,sasaje unawaambiaje mashekh wenzako wakingao vifua etiyalesimakosa
Mashaallah Sh.Mziwanda hizo dakika ulizotumia kwa watu wenye akili wasomi umesomesha ilmu kubwa sana Mwenyeezi Mngu akupe umri uzidi kuelimisha watu.
Hongera kaka umemikosha kweli kweli mashaallwa
Mashaallah Mashaallah Sheikh mziwanda mola akuzidishie.
Masha'Allah Sheikh hata Mimi nisiosoma nakuelewa Inshallah Allah akupe umri mrefu na afya
❤❤❤❤❤
Mashaallah sheikh wangu Allah akuhifadhi na akupe umri mrefu
Shekhe usiendelee tumeelewa na wamekuelewa