KUNA MTU KAKUTA MAKOSA 30 YA KITABU CHA MAULIDI, TUSITUKANANE, KUWAOMBEA DUA MAITI - SHEKH MZIWANDA

Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
KZread: / @babdeomiladu

Пікірлер: 200

  • @saidsheha-wn4qw
    @saidsheha-wn4qw

    Mashaallah, sheikh umeeleweka vizuri sana.

  • @hajinachembe4310
    @hajinachembe4310

    Daaa!! Shekhe Muhammad bachu, Mwenyezi mungu amuhifadhi maaana naona masufii woote wameungana kutetea ushurikina, wanatetea kitu ambacho mtume s.a.w. hakukifanya waala hajakizungumzia popoote pale, nandiomaana hata watetezi wa bidaa ya mauridi wanapata sheeda saaana kuhalalisha kwasababu hakuna lilipo thibi.

  • @IddiNkupe-no8lh
    @IddiNkupe-no8lh

    Shekh mziwanda uko na hali mbaya sana tatizo unatumia akili yako kuliko dalili,mashaallah Allah amekupa kauli nzuri ya ushawishi ila napenda kukutanabahisha usipende kuitumia akili yako kuliko dalili kila kitu kipo kwenye kitabu wanazuoni wamevibainisha vyote angalia sana maneno yako utakuwa mas'uula

  • @hawrajehan2398
    @hawrajehan2398

    Shkh nimekuelewa vizur sana na Allah azid kukuoa kheir ya kunielimisha

  • @user-nz3se8es3x
    @user-nz3se8es3x

    manshaalah

  • @abdallahshelufumo4602
    @abdallahshelufumo4602

    Maa Sha Allah

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline

    MaashaaAllah. Ahsante Kwa Darasa kubwa. Atakayetaka kufahamu atafahamu ila atakayesikiliza kiushabiki na kimsimamo - hawezi kukuelewa Sheikh.

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan1400

    Siku hizi wnasema, " Hii imeenda", jazakallah sheikh!!!

  • @ahmadmadaai1357
    @ahmadmadaai1357

    Shekh upo sahihi kabisa nakupnd sn una fani na elimu

  • @suuahmed71
    @suuahmed71

    Maskini Mahabi Mulidi yanawekera kweli kweli. Basi unakuja mwezi wa kuwakera. Mukajinyonge hasaaa tupumue roho zetu na taafrani zenu. Poleni saanaaa

  • @ahmedsalim9463
    @ahmedsalim9463

    Masha All’wa skh mziwanda

  • @user-gl6ep3xp9s
    @user-gl6ep3xp9s

    Asante Sana

  • @muhsiniabeid
    @muhsiniabeid

    Mziwanda sikuzote haqi haiwi chini inakuwagajuu leoumekiri kunamakosa ndani ya barzanje ilaumeyaona nimachache ukilinganisha na ukuwa wa kitabu.alhadulillah,mziwanda nduyangu kosanikosa hatalikiwamoja,sasaje unawaambiaje mashekh wenzako wakingao vifua etiyalesimakosa

  • @rushu1232
    @rushu1232

    Mashaallah Sh.Mziwanda hizo dakika ulizotumia kwa watu wenye akili wasomi umesomesha ilmu kubwa sana Mwenyeezi Mngu akupe umri uzidi kuelimisha watu.

  • @mustafaismail5622
    @mustafaismail5622

    Hongera kaka umemikosha kweli kweli mashaallwa

  • @rashidsalum4689
    @rashidsalum4689

    Mashaallah Mashaallah Sheikh mziwanda mola akuzidishie.

  • @2003hintay
    @2003hintay

    Masha'Allah Sheikh hata Mimi nisiosoma nakuelewa Inshallah Allah akupe umri mrefu na afya

  • @WorldView24hrs
    @WorldView24hrs

    ❤❤❤❤❤

  • @RamadhanOmar-ow1ki
    @RamadhanOmar-ow1ki

    Mashaallah sheikh wangu Allah akuhifadhi na akupe umri mrefu

  • @iddswalehomar1323
    @iddswalehomar1323

    Shekhe usiendelee tumeelewa na wamekuelewa

Келесі