Sheikh Dedes wa Twariiqa YA QAADIRIYAH ABAINISHA UKWELI Kuhusu Swaum Ya 'Arafah
Жүктеу.....
Пікірлер: 24
@AbdillahisaidSuleiman Жыл бұрын
Mashaallah
@sadikisemwali45162 жыл бұрын
Aamiyn sheikh umejivua katika dhimma maana umebainisha ukwele Allah atuongeze
@msabahaali7582 жыл бұрын
Alla akupe umri na afya sheikh Dedes kuisema hakki sio jambo rahis
@jumaevarist91032 жыл бұрын
Shukran shekh dedes tumekuelewa
@kakekofarniture.53752 жыл бұрын
Barakallah fiih
@abubakarhussein21862 жыл бұрын
Hijja ni pahala pamoja kwa mahujaji sio wafungaji
@alkhalilmussa56332 жыл бұрын
Aaaaaaa sisi hatukufuati watakufuata wanafunzi wako tu
@mdimistudio60412 жыл бұрын
Hahahha maelezo hayana adabu ya ikhtilafuuu nisamehe mzee
@zakariasuleiman41132 жыл бұрын
Huyu mwanzo sio mtu wa twarika Hilo la kwanza Mana tafsiri tu ubwaaa then mwamshabihisha na twarika ayumo pmoja na utafiti wake Mana kiongozi wake kamtaja hapo eti Mohamed bachu na twamjua sie mtu wa twarika hhhhh urongo auna mahali kwenye dini
@selemohd9060
2 жыл бұрын
Humjui shekh dedes bora unyamaze. Huyo shekh wake ni shekh Muhammad Nassor bin Abdallah alqadiry
@alkhalilmussa5633
2 жыл бұрын
Swsw haswaaaa
@zakariasuleiman4113
2 жыл бұрын
Siye wa twarika ata mkilazimisha awemo siye
@hamadali32312 жыл бұрын
Nyinyi ni wanafiki wa kubwa.kwakua munawaambia wafuasi wenu wafunge siku watu watao simama Arafa lakin waswali majumbani mwao
@allykhan6440
2 жыл бұрын
huna haki ya kumuita mnafki
@hamadali32312 жыл бұрын
Vp kwani serekali inawakataza watu kumuabudu Allah
@jamalsalum87262 жыл бұрын
Mtume amesema tufunge siku ya arafa sio siku watu wanasimama arafa, na siku ya arafa tunaipata baada ya muandamo wa mwezi wa dhulhijja tunahesabu mpk tarehe 9 dhulhijja ndio siku ya arafa, na na kila watu na muandamo wao, na imamu wa Makka anatangaza kisimamo cha arafa sio funga ya arafa.
@jamalsalum8726
2 жыл бұрын
Na ibada zote 2 zinategemea muandamo, haiwezekani Swaumu ya Ramadhani tufuate muandamo hlf swaumu ya arafa tufuate kisimamo, kisipokuwepo hicho kisimamo kw ajili ya dharura tunafanyaje?
@abubakarhussein21862 жыл бұрын
Una tatizo la mafahimu sheikh kwahyo unataka kutuambia waliofunga huko zamni pia walikuwa wanakosea na walikuwa hawalipwi c ndio?
@faridithomas4859
2 жыл бұрын
umeelewa lakini alichosema sheikh lakini!??
@khamismwadini2169
2 жыл бұрын
Wewekijana shekhewako kakuambia hiyo ndiyohaki km unaikubali sawa km huitaki iwache ,Allah humuongoza amtakaye
@abubakarhussein2186
2 жыл бұрын
@@khamismwadini2169 huyo wala si maasum neno lake linaweza kurejeshwa pia kwanza anadai kafanya utafiti wa siku tatu ndo kajua hiloo duuuuh mm siingii kwenye jambo ila kwa dalili zeny kutosheleza ka sitok kwny jambo pia kwa dalili hajanipa dalili zenye kukinaisha kweny hilo
@damondhamonaizbadowangu4559
Жыл бұрын
@@abubakarhussein2186 cku ya arafa ni mwez tisa
@selemankishema57802 жыл бұрын
Hamuaminiki nyie hata siku ukija huku utakuwa kama wajinga wenzio
Пікірлер: 24
Mashaallah
Aamiyn sheikh umejivua katika dhimma maana umebainisha ukwele Allah atuongeze
Alla akupe umri na afya sheikh Dedes kuisema hakki sio jambo rahis
Shukran shekh dedes tumekuelewa
Barakallah fiih
Hijja ni pahala pamoja kwa mahujaji sio wafungaji
Aaaaaaa sisi hatukufuati watakufuata wanafunzi wako tu
Hahahha maelezo hayana adabu ya ikhtilafuuu nisamehe mzee
Huyu mwanzo sio mtu wa twarika Hilo la kwanza Mana tafsiri tu ubwaaa then mwamshabihisha na twarika ayumo pmoja na utafiti wake Mana kiongozi wake kamtaja hapo eti Mohamed bachu na twamjua sie mtu wa twarika hhhhh urongo auna mahali kwenye dini
@selemohd9060
2 жыл бұрын
Humjui shekh dedes bora unyamaze. Huyo shekh wake ni shekh Muhammad Nassor bin Abdallah alqadiry
@alkhalilmussa5633
2 жыл бұрын
Swsw haswaaaa
@zakariasuleiman4113
2 жыл бұрын
Siye wa twarika ata mkilazimisha awemo siye
Nyinyi ni wanafiki wa kubwa.kwakua munawaambia wafuasi wenu wafunge siku watu watao simama Arafa lakin waswali majumbani mwao
@allykhan6440
2 жыл бұрын
huna haki ya kumuita mnafki
Vp kwani serekali inawakataza watu kumuabudu Allah
Mtume amesema tufunge siku ya arafa sio siku watu wanasimama arafa, na siku ya arafa tunaipata baada ya muandamo wa mwezi wa dhulhijja tunahesabu mpk tarehe 9 dhulhijja ndio siku ya arafa, na na kila watu na muandamo wao, na imamu wa Makka anatangaza kisimamo cha arafa sio funga ya arafa.
@jamalsalum8726
2 жыл бұрын
Na ibada zote 2 zinategemea muandamo, haiwezekani Swaumu ya Ramadhani tufuate muandamo hlf swaumu ya arafa tufuate kisimamo, kisipokuwepo hicho kisimamo kw ajili ya dharura tunafanyaje?
Una tatizo la mafahimu sheikh kwahyo unataka kutuambia waliofunga huko zamni pia walikuwa wanakosea na walikuwa hawalipwi c ndio?
@faridithomas4859
2 жыл бұрын
umeelewa lakini alichosema sheikh lakini!??
@khamismwadini2169
2 жыл бұрын
Wewekijana shekhewako kakuambia hiyo ndiyohaki km unaikubali sawa km huitaki iwache ,Allah humuongoza amtakaye
@abubakarhussein2186
2 жыл бұрын
@@khamismwadini2169 huyo wala si maasum neno lake linaweza kurejeshwa pia kwanza anadai kafanya utafiti wa siku tatu ndo kajua hiloo duuuuh mm siingii kwenye jambo ila kwa dalili zeny kutosheleza ka sitok kwny jambo pia kwa dalili hajanipa dalili zenye kukinaisha kweny hilo
@damondhamonaizbadowangu4559
Жыл бұрын
@@abubakarhussein2186 cku ya arafa ni mwez tisa
Hamuaminiki nyie hata siku ukija huku utakuwa kama wajinga wenzio
Mashaallah