Mpaka Home MAISHA HALISI YA MUIGIZAJI MADEBE LIDAI NABII MSWAHILI
Жүктеу.....
Пікірлер: 275
@eppiemodest2 жыл бұрын
Mtangazaji huyu anajua kazi yake. Hongera sana.
@zumbeshauri81142 жыл бұрын
Aisee pole sana hakika niliyajua haya kuwa kuna kitu juuyako ndio mana hata move zako zina fundisha
@rokiroki18252 жыл бұрын
Pole san madebe ALLAH awarahemu wote njia mmoja
@johnsonthuva1880 Жыл бұрын
Kongole Sana Bw.Madebe Kwa kazi yako nzuri inanigusa mimi binafsi kama mpenda lugha ya kiswahili
@abdulbogoyo12432 жыл бұрын
KWANZA POLE SANA MH; ILA MANENO YAKO UNAYOYATUMIA KWENYE SANAA YANA MAANA KUBWA KWENYE UHALISIA WA MAISHA: YOU'RE THE BEST.
@IreneMangoina5 күн бұрын
Following from Beirut Lebanon ❤
@rukaiyaahmadsuleiman39512 жыл бұрын
Tunampenda sanaa Madebe💓💓🏪
@salmakaratta14202 жыл бұрын
Hongera sana nabii mswahili.Umetisha.
@chancekambale34982 жыл бұрын
kumbe iyo muvi ya msungo nimatokeo yakweli yamaisha ya msani wetu Lidai. aaaah pole sana. kwenye muvizote napendaga sana msungo. pole bro Lidai
@zaitunehussein78782 жыл бұрын
Allah akupe Subra na nguvu Kaka.Mm huwa napenda movie zako sana,zinanipa ushujaa maishani.👉 From Kenya
@Sevendroptv1 Жыл бұрын
All the way from Rwanda ! Kazi ndema mziwanda!! Naomba unikutanushe na madebe
@mariamyoyote81722 жыл бұрын
Masha Allah balikiwa Sanaa mpendwa wetu NAKUPENDA kwaajil ya Allah ,,,,,,,,mungu akupe umri mrefu na muish Kwa upendo na furaha Amin yaraby ♥️♥️♥️💖♥️🇹🇿
@sadamuchodo9117
2 жыл бұрын
👍
@yussufuss9174
2 жыл бұрын
Eee
@taharamohd25152 жыл бұрын
Oyeeeeee tupo hapa timu Lind😂😂😂
@imitechgsmsolution56042 жыл бұрын
Nawafata kutoka Congo Drc npenda Sana #_Mbengo_TV Sana kabisa piya mm mshabiki Wa Na bihi Mswahili
@kasmirmwaja17332 жыл бұрын
Pole sana madebe lidai kwa kufiwa na wazizi wawili kwa siku m'moja
@ayshazambia65092 жыл бұрын
Oohoooo pole sana madebe
@mamunote35072 жыл бұрын
Mashallah Mashallah Tunakupenda sana
@nikizagloria28552 жыл бұрын
Mtangazaji unajua big up
@AsdOo-fs1jd6 ай бұрын
Pole sana brother Allah akufanyie wepes Inshaallah 🎉🎉🎉
@meekman18052 жыл бұрын
Maashallah!
@kachalemielias36832 жыл бұрын
Pole sana ndugu kupoteza wazazi wote wawili tena kwa siku moja hayo ni maumivu makubwa sana
@kbhisiakali4328
2 жыл бұрын
Hatar xana
@mathayomlewa4599
2 жыл бұрын
pole san ndugu yangu madebe
@user-bm5bg2xr4q Жыл бұрын
Pole sana ridai
@azizaaziza7996 Жыл бұрын
Heee pole 🎣 Sanaa mpendwa wangu ndio njia yetu sote sisi niwa Allah na kwake tutarejea hakika
@christophermrema52772 жыл бұрын
Namkubali Sana madebe lidai (nabii mswahili)
@christerbelljr95452 жыл бұрын
Huyu Dem anamaswal yametulia,,,,
@issubajaji79242 жыл бұрын
Ongera sana madebe osmani lidai. wadau wako hawajuwi kabila lako ila mimi nawajibu ili nijuwe kuwa wewe ni mmwera wa lindi wilaya ya ruangwa kata ya mnacho nandagala. Mimi ni mdau namba 1 wa madebe lidai. naitwa issu bajaji wa mnarani mtwara. Big up Benjamin kizota chikongwe wa nandagala ruangwa
@richgambi66942 жыл бұрын
Pole Sana ndugu kwa kuapoteza wazazi wako wote wawili
@EugenJoseph-dl2jw Жыл бұрын
Mov zako zur sana na zinafundixha kwa kias kikubwa sana mungu akulinde sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@mwanaharakatimukoyaaywahma19402 жыл бұрын
Masha Allah. Nafurahi kukusikia .
@omaryboby32452 жыл бұрын
Dar respect mwanangu lidai nakuku bari sana na pole sana
@TheSalma19992 жыл бұрын
Love you Madebe muhenga
@juliuswazungu1559
2 жыл бұрын
Hakika kubwa madebe
@QueenNgai6 ай бұрын
Mashallaah kk Allaah akuzidishie inshallaah
@JeremahiBaba-dy8hm Жыл бұрын
Pole madebe napenda kazi yako
@mwanaharakatimukoyaaywahma19402 жыл бұрын
Hewala shujaa. Nakutambua Sana KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@katotokazuri74122 жыл бұрын
Nakupenda Bure mimi uwiiiiiiiiii
@farijalambaga96002 жыл бұрын
Big up bro.naweza sema maisha uliyopitia Mungu huwenda alikupitisha huko ili uwe kma ulivyo.kwamaana usingepita huko, huwenda ucngekuw ulivyo.Hongera sana kka
@samsonchima653
2 жыл бұрын
Upo sawa mziwanda
@user-jz8sj5us1h2 жыл бұрын
Masha Allah
@EveliusEdwin9 ай бұрын
Daaaah baba ang pole san
@saidimtera99352 жыл бұрын
Safi sana madebe lidai plz turudishie shilingi series
@janethkomba44852 жыл бұрын
pole Sanaa kwakupoteza wazazi ,pia ongera Sanaa kwakazi zako dhuri, nautakapoitaji kuongeza mke wa4 iyo nafac naomba Mimi hili tuweze kutimiza amri yamaandiko,sitaki kuwa mke wa3 zingatiya ilo👆
@margaretthe79322 жыл бұрын
pole sana bro
@halimasulaiman32292 жыл бұрын
Yani wewe dada nakupenda bure 💞💞😍😘
@deborahchacha2006 Жыл бұрын
😢😢😢pole sana kaka madebe kwa kuwapoteza wazazi aisee
@anithabahimana-hp8en Жыл бұрын
Hongera sana kwenye kazi zako
@hgcbj6352 жыл бұрын
Masha allah
@janetgunga94512 жыл бұрын
Pole sana kaka madebe kwa msiba wa wazazi wako
@hamisijuma67042 жыл бұрын
Nakubali sana kazi zako madebe
@asiamohd55162 жыл бұрын
K mziwanda unajuwa sn mwanamke mwenzangu ❤️
@felisianathadei54032 жыл бұрын
Hongera sana kwa mjengo.madebe
@zainabtanzanian71412 жыл бұрын
Mashallah
@davianofficial69722 жыл бұрын
Mungu akujalie uzima na afya madebe
@mulshidiabbas7512 жыл бұрын
Ongera sana Mr Madebe mimi nitaishi kama baba yako maana yaliyo mkuta baba yako Ni sawa kabisa na yangu
@priscanyika59632 жыл бұрын
Mtangazaji uko powa sana 👏👏👏👏👏
@user-xi1pi4zr3b2 жыл бұрын
Jamaa anakuaga na maneno magumu Namkubal sana Madebe
@halimasulaiman3229
2 жыл бұрын
Pia anatufundisha sana anatuelimisha sana kama tamthilia ya matusi ilikuwa poa sana
@mwafrikatanda75322 жыл бұрын
Pole Sana kuzika wazazi wote kwa siku moja
@mwanaally59482 жыл бұрын
Hongera
@selemaniakombe9929 Жыл бұрын
Daah! Akika brother nakupa pole sn akika, kuzika wazazi wako kwa siku moj
@mwanaharakatimukoyaaywahma19402 жыл бұрын
Pamoja sana nikiwa Nairobi-Kenya .
@hassanbinally71272 жыл бұрын
Kama sio mtaalamu wa dini bora tu ukae kimya
@nickbut88352 жыл бұрын
Nakuelewa sana mdg wangu Madebe Lidai
@ramadhankabila37142 жыл бұрын
MkemiaAaaaaaa,,,unaulizia maswali 10 Kwa wakati Hadi madebe anashindwa swali la kujibu ni lipi
@josephdanielmsemwa11942 жыл бұрын
hongeera sana nabii mswahili
@SIMON-hb2 жыл бұрын
Mungu akusidishie usima na ujasiri
@mulshidiabbas7512 жыл бұрын
Uko sahii hasa ukizungumzia maswala ya wanawake, ninge pata huongozi Tz ningefundisha wanandoa ili idumu ili wawezwe kudumisha ndoa zao na kulea watoto kwa haki za mzingi kwa baba na mama
@muhammedokussa79332 жыл бұрын
Muziwanda napenda sauti lako Nyoro kwangu
@salmaseif62842 жыл бұрын
Pole nabii mswahili kwa kufiwa na wazazi wako cku moja
@IreneMangoina5 күн бұрын
Peter pongezi❤
@nasirirashidi43502 жыл бұрын
Sasa kwann hizo Mike zisiwe 2 ??
@daudamos42672 жыл бұрын
Pole sana jembe kuna stor makin inakufaa sana
@panchovalentino59222 жыл бұрын
Madebe Lidaiiii fundiiii
@saidismail63912 жыл бұрын
Pole Sana ndugu yangu madebe
@kassimhajkavumo44452 жыл бұрын
Timu yataifa ya Tanzania benini
@rldyable2077 Жыл бұрын
Hum pole sana wangu
@josephdanielmsemwa11942 жыл бұрын
safi kabisa naskiliza bengo tv
@salimamkwavilla85202 жыл бұрын
Hongela sana
@kadejahh40362 жыл бұрын
Namkubali sn uyu kaka alafu wakwetu lindi
@confidencenondo6362 жыл бұрын
he is talent nabii
@Vincentombwori5 күн бұрын
Terrific
@ahmedsuleiman82312 жыл бұрын
Mwenye mke mmoja ana matendo ya kikristo. 😆😆😆😆 No research, No right to speak
@babyularomary10822 жыл бұрын
Nakubal broo
@yoramfransi56152 жыл бұрын
Ludovick apa pande zasongwe Tanzania pamoja sana
@ricookumu6790 Жыл бұрын
Amazing
@jemimahmwa88492 жыл бұрын
Mimi ningemuuliza k mziwanda hivi mbona swali lakwanza angeefaa awaulize hao wasanii kama wana nyumba yao wenyewe ama kakodi????
@asifiwekitunga4655
2 жыл бұрын
Ila madebe anayo ambayo ndo alimuweka baba yake.kuishi
@danieljoseph16102 жыл бұрын
Nyumba sasa mnayoonyesha ju kuwa ndo yakwake! Hata kama angeuza movie miaka 100! Hawezi kuijenga! Mwacheni mauongo!
@shukuruclement18822 жыл бұрын
Madebe emb Okoka, ndio k2 nlichokiona umekosa, Mpe Yesu Maisha
@mwanaabdallah7252 жыл бұрын
Nampenda huy
@enockalexjiluhya54832 жыл бұрын
Kwa maelezo hayo nimeona kumbe movie ya nabii mswahili inahusu maisha yako halis
@selemaniakombe9929 Жыл бұрын
Ila nyinyi watangazaji mpo wa shenzi sn kweli. Mbona atujahona nyumba ya madebe afu mnaandika kwamba mahisha alisi ya madebe na maali anapo hishi
@ramadhanimhandojr22112 жыл бұрын
Nabii mswahil
@zainabfazal5759 Жыл бұрын
Madebe Always on top
@fauzhaider38432 жыл бұрын
Hawa bdo ilikuwa wanapendana bdo ila mungu kawapenda zaidi
@estermiseyeki37222 жыл бұрын
Pole Sana Madebe
@tontonelombee8012 Жыл бұрын
Hongera madebe sana
@estermahenge-ks3dr4 ай бұрын
uyo madebe alivyo tulia hapo kama sio yeye alie kua ana mtesa chanuo😮
@azizaaziza7996 Жыл бұрын
Na Mimi nataka niwe watatu vip nitapita kama nitapita like 😂😂😂😂😂
@josephwambura6742 жыл бұрын
Upo juu sana
@khadijaismail5013 Жыл бұрын
Mashaallah
@novartforodhan30472 жыл бұрын
Hivi kwann watu ambao hawajasoma madarasa mengi huzani kuwa walio soma miaka ya hivi karibuni kuwa elimu yetu n nyepesi wakati cc tunayajua tuliyoyapitia
@theopistachialo10
2 жыл бұрын
Umeonaee alafu ukimuuliza kwann hajafik hapo hanajib
@mohamedsuleiman7215
2 жыл бұрын
@@theopistachialo10 Utandawazi umeharibu mfumo wa elimu kwa asilimia kubwa usipingane na hilo......elimu ya sasa hivi ni ya makarat tu.
@theopistachialo10
2 жыл бұрын
@@mohamedsuleiman7215 yes lakin elimu ya mtu iheshimiwe👏
Пікірлер: 275
Mtangazaji huyu anajua kazi yake. Hongera sana.
Aisee pole sana hakika niliyajua haya kuwa kuna kitu juuyako ndio mana hata move zako zina fundisha
Pole san madebe ALLAH awarahemu wote njia mmoja
Kongole Sana Bw.Madebe Kwa kazi yako nzuri inanigusa mimi binafsi kama mpenda lugha ya kiswahili
KWANZA POLE SANA MH; ILA MANENO YAKO UNAYOYATUMIA KWENYE SANAA YANA MAANA KUBWA KWENYE UHALISIA WA MAISHA: YOU'RE THE BEST.
Following from Beirut Lebanon ❤
Tunampenda sanaa Madebe💓💓🏪
Hongera sana nabii mswahili.Umetisha.
kumbe iyo muvi ya msungo nimatokeo yakweli yamaisha ya msani wetu Lidai. aaaah pole sana. kwenye muvizote napendaga sana msungo. pole bro Lidai
Allah akupe Subra na nguvu Kaka.Mm huwa napenda movie zako sana,zinanipa ushujaa maishani.👉 From Kenya
All the way from Rwanda ! Kazi ndema mziwanda!! Naomba unikutanushe na madebe
Masha Allah balikiwa Sanaa mpendwa wetu NAKUPENDA kwaajil ya Allah ,,,,,,,,mungu akupe umri mrefu na muish Kwa upendo na furaha Amin yaraby ♥️♥️♥️💖♥️🇹🇿
@sadamuchodo9117
2 жыл бұрын
👍
@yussufuss9174
2 жыл бұрын
Eee
Oyeeeeee tupo hapa timu Lind😂😂😂
Nawafata kutoka Congo Drc npenda Sana #_Mbengo_TV Sana kabisa piya mm mshabiki Wa Na bihi Mswahili
Pole sana madebe lidai kwa kufiwa na wazizi wawili kwa siku m'moja
Oohoooo pole sana madebe
Mashallah Mashallah Tunakupenda sana
Mtangazaji unajua big up
Pole sana brother Allah akufanyie wepes Inshaallah 🎉🎉🎉
Maashallah!
Pole sana ndugu kupoteza wazazi wote wawili tena kwa siku moja hayo ni maumivu makubwa sana
@kbhisiakali4328
2 жыл бұрын
Hatar xana
@mathayomlewa4599
2 жыл бұрын
pole san ndugu yangu madebe
Pole sana ridai
Heee pole 🎣 Sanaa mpendwa wangu ndio njia yetu sote sisi niwa Allah na kwake tutarejea hakika
Namkubali Sana madebe lidai (nabii mswahili)
Huyu Dem anamaswal yametulia,,,,
Ongera sana madebe osmani lidai. wadau wako hawajuwi kabila lako ila mimi nawajibu ili nijuwe kuwa wewe ni mmwera wa lindi wilaya ya ruangwa kata ya mnacho nandagala. Mimi ni mdau namba 1 wa madebe lidai. naitwa issu bajaji wa mnarani mtwara. Big up Benjamin kizota chikongwe wa nandagala ruangwa
Pole Sana ndugu kwa kuapoteza wazazi wako wote wawili
Mov zako zur sana na zinafundixha kwa kias kikubwa sana mungu akulinde sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Masha Allah. Nafurahi kukusikia .
Dar respect mwanangu lidai nakuku bari sana na pole sana
Love you Madebe muhenga
@juliuswazungu1559
2 жыл бұрын
Hakika kubwa madebe
Mashallaah kk Allaah akuzidishie inshallaah
Pole madebe napenda kazi yako
Hewala shujaa. Nakutambua Sana KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nakupenda Bure mimi uwiiiiiiiiii
Big up bro.naweza sema maisha uliyopitia Mungu huwenda alikupitisha huko ili uwe kma ulivyo.kwamaana usingepita huko, huwenda ucngekuw ulivyo.Hongera sana kka
@samsonchima653
2 жыл бұрын
Upo sawa mziwanda
Masha Allah
Daaaah baba ang pole san
Safi sana madebe lidai plz turudishie shilingi series
pole Sanaa kwakupoteza wazazi ,pia ongera Sanaa kwakazi zako dhuri, nautakapoitaji kuongeza mke wa4 iyo nafac naomba Mimi hili tuweze kutimiza amri yamaandiko,sitaki kuwa mke wa3 zingatiya ilo👆
pole sana bro
Yani wewe dada nakupenda bure 💞💞😍😘
😢😢😢pole sana kaka madebe kwa kuwapoteza wazazi aisee
Hongera sana kwenye kazi zako
Masha allah
Pole sana kaka madebe kwa msiba wa wazazi wako
Nakubali sana kazi zako madebe
K mziwanda unajuwa sn mwanamke mwenzangu ❤️
Hongera sana kwa mjengo.madebe
Mashallah
Mungu akujalie uzima na afya madebe
Ongera sana Mr Madebe mimi nitaishi kama baba yako maana yaliyo mkuta baba yako Ni sawa kabisa na yangu
Mtangazaji uko powa sana 👏👏👏👏👏
Jamaa anakuaga na maneno magumu Namkubal sana Madebe
@halimasulaiman3229
2 жыл бұрын
Pia anatufundisha sana anatuelimisha sana kama tamthilia ya matusi ilikuwa poa sana
Pole Sana kuzika wazazi wote kwa siku moja
Hongera
Daah! Akika brother nakupa pole sn akika, kuzika wazazi wako kwa siku moj
Pamoja sana nikiwa Nairobi-Kenya .
Kama sio mtaalamu wa dini bora tu ukae kimya
Nakuelewa sana mdg wangu Madebe Lidai
MkemiaAaaaaaa,,,unaulizia maswali 10 Kwa wakati Hadi madebe anashindwa swali la kujibu ni lipi
hongeera sana nabii mswahili
Mungu akusidishie usima na ujasiri
Uko sahii hasa ukizungumzia maswala ya wanawake, ninge pata huongozi Tz ningefundisha wanandoa ili idumu ili wawezwe kudumisha ndoa zao na kulea watoto kwa haki za mzingi kwa baba na mama
Muziwanda napenda sauti lako Nyoro kwangu
Pole nabii mswahili kwa kufiwa na wazazi wako cku moja
Peter pongezi❤
Sasa kwann hizo Mike zisiwe 2 ??
Pole sana jembe kuna stor makin inakufaa sana
Madebe Lidaiiii fundiiii
Pole Sana ndugu yangu madebe
Timu yataifa ya Tanzania benini
Hum pole sana wangu
safi kabisa naskiliza bengo tv
Hongela sana
Namkubali sn uyu kaka alafu wakwetu lindi
he is talent nabii
Terrific
Mwenye mke mmoja ana matendo ya kikristo. 😆😆😆😆 No research, No right to speak
Nakubal broo
Ludovick apa pande zasongwe Tanzania pamoja sana
Amazing
Mimi ningemuuliza k mziwanda hivi mbona swali lakwanza angeefaa awaulize hao wasanii kama wana nyumba yao wenyewe ama kakodi????
@asifiwekitunga4655
2 жыл бұрын
Ila madebe anayo ambayo ndo alimuweka baba yake.kuishi
Nyumba sasa mnayoonyesha ju kuwa ndo yakwake! Hata kama angeuza movie miaka 100! Hawezi kuijenga! Mwacheni mauongo!
Madebe emb Okoka, ndio k2 nlichokiona umekosa, Mpe Yesu Maisha
Nampenda huy
Kwa maelezo hayo nimeona kumbe movie ya nabii mswahili inahusu maisha yako halis
Ila nyinyi watangazaji mpo wa shenzi sn kweli. Mbona atujahona nyumba ya madebe afu mnaandika kwamba mahisha alisi ya madebe na maali anapo hishi
Nabii mswahil
Madebe Always on top
Hawa bdo ilikuwa wanapendana bdo ila mungu kawapenda zaidi
Pole Sana Madebe
Hongera madebe sana
uyo madebe alivyo tulia hapo kama sio yeye alie kua ana mtesa chanuo😮
Na Mimi nataka niwe watatu vip nitapita kama nitapita like 😂😂😂😂😂
Upo juu sana
Mashaallah
Hivi kwann watu ambao hawajasoma madarasa mengi huzani kuwa walio soma miaka ya hivi karibuni kuwa elimu yetu n nyepesi wakati cc tunayajua tuliyoyapitia
@theopistachialo10
2 жыл бұрын
Umeonaee alafu ukimuuliza kwann hajafik hapo hanajib
@mohamedsuleiman7215
2 жыл бұрын
@@theopistachialo10 Utandawazi umeharibu mfumo wa elimu kwa asilimia kubwa usipingane na hilo......elimu ya sasa hivi ni ya makarat tu.
@theopistachialo10
2 жыл бұрын
@@mohamedsuleiman7215 yes lakin elimu ya mtu iheshimiwe👏
@mohamedsuleiman7215
2 жыл бұрын
@@theopistachialo10 wewe hujamfahamu anachokimaanisha.
@user-wu2er7go9j
6 ай бұрын
Kwasababu wasomi wengi wana Elimu ila hawana akili
Nakubali sana madebe
Madebe napenda sana kutoukubali usasa kwa hapo nakuunga mkono mi mwenyewe usasa naona unatuharibu