Mpaka Home MAISHA HALISI YA MUIGIZAJI MADEBE LIDAI NABII MSWAHILI

Пікірлер: 275

  • @eppiemodest
    @eppiemodest2 жыл бұрын

    Mtangazaji huyu anajua kazi yake. Hongera sana.

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri81142 жыл бұрын

    Aisee pole sana hakika niliyajua haya kuwa kuna kitu juuyako ndio mana hata move zako zina fundisha

  • @rokiroki1825
    @rokiroki18252 жыл бұрын

    Pole san madebe ALLAH awarahemu wote njia mmoja

  • @johnsonthuva1880
    @johnsonthuva1880 Жыл бұрын

    Kongole Sana Bw.Madebe Kwa kazi yako nzuri inanigusa mimi binafsi kama mpenda lugha ya kiswahili

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo12432 жыл бұрын

    KWANZA POLE SANA MH; ILA MANENO YAKO UNAYOYATUMIA KWENYE SANAA YANA MAANA KUBWA KWENYE UHALISIA WA MAISHA: YOU'RE THE BEST.

  • @IreneMangoina
    @IreneMangoina5 күн бұрын

    Following from Beirut Lebanon ❤

  • @rukaiyaahmadsuleiman3951
    @rukaiyaahmadsuleiman39512 жыл бұрын

    Tunampenda sanaa Madebe💓💓🏪

  • @salmakaratta1420
    @salmakaratta14202 жыл бұрын

    Hongera sana nabii mswahili.Umetisha.

  • @chancekambale3498
    @chancekambale34982 жыл бұрын

    kumbe iyo muvi ya msungo nimatokeo yakweli yamaisha ya msani wetu Lidai. aaaah pole sana. kwenye muvizote napendaga sana msungo. pole bro Lidai

  • @zaitunehussein7878
    @zaitunehussein78782 жыл бұрын

    Allah akupe Subra na nguvu Kaka.Mm huwa napenda movie zako sana,zinanipa ushujaa maishani.👉 From Kenya

  • @Sevendroptv1
    @Sevendroptv1 Жыл бұрын

    All the way from Rwanda ! Kazi ndema mziwanda!! Naomba unikutanushe na madebe

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote81722 жыл бұрын

    Masha Allah balikiwa Sanaa mpendwa wetu NAKUPENDA kwaajil ya Allah ,,,,,,,,mungu akupe umri mrefu na muish Kwa upendo na furaha Amin yaraby ♥️♥️♥️💖♥️🇹🇿

  • @sadamuchodo9117

    @sadamuchodo9117

    2 жыл бұрын

    👍

  • @yussufuss9174

    @yussufuss9174

    2 жыл бұрын

    Eee

  • @taharamohd2515
    @taharamohd25152 жыл бұрын

    Oyeeeeee tupo hapa timu Lind😂😂😂

  • @imitechgsmsolution5604
    @imitechgsmsolution56042 жыл бұрын

    Nawafata kutoka Congo Drc npenda Sana #_Mbengo_TV Sana kabisa piya mm mshabiki Wa Na bihi Mswahili

  • @kasmirmwaja1733
    @kasmirmwaja17332 жыл бұрын

    Pole sana madebe lidai kwa kufiwa na wazizi wawili kwa siku m'moja

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia65092 жыл бұрын

    Oohoooo pole sana madebe

  • @mamunote3507
    @mamunote35072 жыл бұрын

    Mashallah Mashallah Tunakupenda sana

  • @nikizagloria2855
    @nikizagloria28552 жыл бұрын

    Mtangazaji unajua big up

  • @AsdOo-fs1jd
    @AsdOo-fs1jd6 ай бұрын

    Pole sana brother Allah akufanyie wepes Inshaallah 🎉🎉🎉

  • @meekman1805
    @meekman18052 жыл бұрын

    Maashallah!

  • @kachalemielias3683
    @kachalemielias36832 жыл бұрын

    Pole sana ndugu kupoteza wazazi wote wawili tena kwa siku moja hayo ni maumivu makubwa sana

  • @kbhisiakali4328

    @kbhisiakali4328

    2 жыл бұрын

    Hatar xana

  • @mathayomlewa4599

    @mathayomlewa4599

    2 жыл бұрын

    pole san ndugu yangu madebe

  • @user-bm5bg2xr4q
    @user-bm5bg2xr4q Жыл бұрын

    Pole sana ridai

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza7996 Жыл бұрын

    Heee pole 🎣 Sanaa mpendwa wangu ndio njia yetu sote sisi niwa Allah na kwake tutarejea hakika

  • @christophermrema5277
    @christophermrema52772 жыл бұрын

    Namkubali Sana madebe lidai (nabii mswahili)

  • @christerbelljr9545
    @christerbelljr95452 жыл бұрын

    Huyu Dem anamaswal yametulia,,,,

  • @issubajaji7924
    @issubajaji79242 жыл бұрын

    Ongera sana madebe osmani lidai. wadau wako hawajuwi kabila lako ila mimi nawajibu ili nijuwe kuwa wewe ni mmwera wa lindi wilaya ya ruangwa kata ya mnacho nandagala. Mimi ni mdau namba 1 wa madebe lidai. naitwa issu bajaji wa mnarani mtwara. Big up Benjamin kizota chikongwe wa nandagala ruangwa

  • @richgambi6694
    @richgambi66942 жыл бұрын

    Pole Sana ndugu kwa kuapoteza wazazi wako wote wawili

  • @EugenJoseph-dl2jw
    @EugenJoseph-dl2jw Жыл бұрын

    Mov zako zur sana na zinafundixha kwa kias kikubwa sana mungu akulinde sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mwanaharakatimukoyaaywahma1940
    @mwanaharakatimukoyaaywahma19402 жыл бұрын

    Masha Allah. Nafurahi kukusikia .

  • @omaryboby3245
    @omaryboby32452 жыл бұрын

    Dar respect mwanangu lidai nakuku bari sana na pole sana

  • @TheSalma1999
    @TheSalma19992 жыл бұрын

    Love you Madebe muhenga

  • @juliuswazungu1559

    @juliuswazungu1559

    2 жыл бұрын

    Hakika kubwa madebe

  • @QueenNgai
    @QueenNgai6 ай бұрын

    Mashallaah kk Allaah akuzidishie inshallaah

  • @JeremahiBaba-dy8hm
    @JeremahiBaba-dy8hm Жыл бұрын

    Pole madebe napenda kazi yako

  • @mwanaharakatimukoyaaywahma1940
    @mwanaharakatimukoyaaywahma19402 жыл бұрын

    Hewala shujaa. Nakutambua Sana KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @katotokazuri7412
    @katotokazuri74122 жыл бұрын

    Nakupenda Bure mimi uwiiiiiiiiii

  • @farijalambaga9600
    @farijalambaga96002 жыл бұрын

    Big up bro.naweza sema maisha uliyopitia Mungu huwenda alikupitisha huko ili uwe kma ulivyo.kwamaana usingepita huko, huwenda ucngekuw ulivyo.Hongera sana kka

  • @samsonchima653

    @samsonchima653

    2 жыл бұрын

    Upo sawa mziwanda

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h2 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @EveliusEdwin
    @EveliusEdwin9 ай бұрын

    Daaaah baba ang pole san

  • @saidimtera9935
    @saidimtera99352 жыл бұрын

    Safi sana madebe lidai plz turudishie shilingi series

  • @janethkomba4485
    @janethkomba44852 жыл бұрын

    pole Sanaa kwakupoteza wazazi ,pia ongera Sanaa kwakazi zako dhuri, nautakapoitaji kuongeza mke wa4 iyo nafac naomba Mimi hili tuweze kutimiza amri yamaandiko,sitaki kuwa mke wa3 zingatiya ilo👆

  • @margaretthe7932
    @margaretthe79322 жыл бұрын

    pole sana bro

  • @halimasulaiman3229
    @halimasulaiman32292 жыл бұрын

    Yani wewe dada nakupenda bure 💞💞😍😘

  • @deborahchacha2006
    @deborahchacha2006 Жыл бұрын

    😢😢😢pole sana kaka madebe kwa kuwapoteza wazazi aisee

  • @anithabahimana-hp8en
    @anithabahimana-hp8en Жыл бұрын

    Hongera sana kwenye kazi zako

  • @hgcbj635
    @hgcbj6352 жыл бұрын

    Masha allah

  • @janetgunga9451
    @janetgunga94512 жыл бұрын

    Pole sana kaka madebe kwa msiba wa wazazi wako

  • @hamisijuma6704
    @hamisijuma67042 жыл бұрын

    Nakubali sana kazi zako madebe

  • @asiamohd5516
    @asiamohd55162 жыл бұрын

    K mziwanda unajuwa sn mwanamke mwenzangu ❤️

  • @felisianathadei5403
    @felisianathadei54032 жыл бұрын

    Hongera sana kwa mjengo.madebe

  • @zainabtanzanian7141
    @zainabtanzanian71412 жыл бұрын

    Mashallah

  • @davianofficial6972
    @davianofficial69722 жыл бұрын

    Mungu akujalie uzima na afya madebe

  • @mulshidiabbas751
    @mulshidiabbas7512 жыл бұрын

    Ongera sana Mr Madebe mimi nitaishi kama baba yako maana yaliyo mkuta baba yako Ni sawa kabisa na yangu

  • @priscanyika5963
    @priscanyika59632 жыл бұрын

    Mtangazaji uko powa sana 👏👏👏👏👏

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b2 жыл бұрын

    Jamaa anakuaga na maneno magumu Namkubal sana Madebe

  • @halimasulaiman3229

    @halimasulaiman3229

    2 жыл бұрын

    Pia anatufundisha sana anatuelimisha sana kama tamthilia ya matusi ilikuwa poa sana

  • @mwafrikatanda7532
    @mwafrikatanda75322 жыл бұрын

    Pole Sana kuzika wazazi wote kwa siku moja

  • @mwanaally5948
    @mwanaally59482 жыл бұрын

    Hongera

  • @selemaniakombe9929
    @selemaniakombe9929 Жыл бұрын

    Daah! Akika brother nakupa pole sn akika, kuzika wazazi wako kwa siku moj

  • @mwanaharakatimukoyaaywahma1940
    @mwanaharakatimukoyaaywahma19402 жыл бұрын

    Pamoja sana nikiwa Nairobi-Kenya .

  • @hassanbinally7127
    @hassanbinally71272 жыл бұрын

    Kama sio mtaalamu wa dini bora tu ukae kimya

  • @nickbut8835
    @nickbut88352 жыл бұрын

    Nakuelewa sana mdg wangu Madebe Lidai

  • @ramadhankabila3714
    @ramadhankabila37142 жыл бұрын

    MkemiaAaaaaaa,,,unaulizia maswali 10 Kwa wakati Hadi madebe anashindwa swali la kujibu ni lipi

  • @josephdanielmsemwa1194
    @josephdanielmsemwa11942 жыл бұрын

    hongeera sana nabii mswahili

  • @SIMON-hb
    @SIMON-hb2 жыл бұрын

    Mungu akusidishie usima na ujasiri

  • @mulshidiabbas751
    @mulshidiabbas7512 жыл бұрын

    Uko sahii hasa ukizungumzia maswala ya wanawake, ninge pata huongozi Tz ningefundisha wanandoa ili idumu ili wawezwe kudumisha ndoa zao na kulea watoto kwa haki za mzingi kwa baba na mama

  • @muhammedokussa7933
    @muhammedokussa79332 жыл бұрын

    Muziwanda napenda sauti lako Nyoro kwangu

  • @salmaseif6284
    @salmaseif62842 жыл бұрын

    Pole nabii mswahili kwa kufiwa na wazazi wako cku moja

  • @IreneMangoina
    @IreneMangoina5 күн бұрын

    Peter pongezi❤

  • @nasirirashidi4350
    @nasirirashidi43502 жыл бұрын

    Sasa kwann hizo Mike zisiwe 2 ??

  • @daudamos4267
    @daudamos42672 жыл бұрын

    Pole sana jembe kuna stor makin inakufaa sana

  • @panchovalentino5922
    @panchovalentino59222 жыл бұрын

    Madebe Lidaiiii fundiiii

  • @saidismail6391
    @saidismail63912 жыл бұрын

    Pole Sana ndugu yangu madebe

  • @kassimhajkavumo4445
    @kassimhajkavumo44452 жыл бұрын

    Timu yataifa ya Tanzania benini

  • @rldyable2077
    @rldyable2077 Жыл бұрын

    Hum pole sana wangu

  • @josephdanielmsemwa1194
    @josephdanielmsemwa11942 жыл бұрын

    safi kabisa naskiliza bengo tv

  • @salimamkwavilla8520
    @salimamkwavilla85202 жыл бұрын

    Hongela sana

  • @kadejahh4036
    @kadejahh40362 жыл бұрын

    Namkubali sn uyu kaka alafu wakwetu lindi

  • @confidencenondo636
    @confidencenondo6362 жыл бұрын

    he is talent nabii

  • @Vincentombwori
    @Vincentombwori5 күн бұрын

    Terrific

  • @ahmedsuleiman8231
    @ahmedsuleiman82312 жыл бұрын

    Mwenye mke mmoja ana matendo ya kikristo. 😆😆😆😆 No research, No right to speak

  • @babyularomary1082
    @babyularomary10822 жыл бұрын

    Nakubal broo

  • @yoramfransi5615
    @yoramfransi56152 жыл бұрын

    Ludovick apa pande zasongwe Tanzania pamoja sana

  • @ricookumu6790
    @ricookumu6790 Жыл бұрын

    Amazing

  • @jemimahmwa8849
    @jemimahmwa88492 жыл бұрын

    Mimi ningemuuliza k mziwanda hivi mbona swali lakwanza angeefaa awaulize hao wasanii kama wana nyumba yao wenyewe ama kakodi????

  • @asifiwekitunga4655

    @asifiwekitunga4655

    2 жыл бұрын

    Ila madebe anayo ambayo ndo alimuweka baba yake.kuishi

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph16102 жыл бұрын

    Nyumba sasa mnayoonyesha ju kuwa ndo yakwake! Hata kama angeuza movie miaka 100! Hawezi kuijenga! Mwacheni mauongo!

  • @shukuruclement1882
    @shukuruclement18822 жыл бұрын

    Madebe emb Okoka, ndio k2 nlichokiona umekosa, Mpe Yesu Maisha

  • @mwanaabdallah725
    @mwanaabdallah7252 жыл бұрын

    Nampenda huy

  • @enockalexjiluhya5483
    @enockalexjiluhya54832 жыл бұрын

    Kwa maelezo hayo nimeona kumbe movie ya nabii mswahili inahusu maisha yako halis

  • @selemaniakombe9929
    @selemaniakombe9929 Жыл бұрын

    Ila nyinyi watangazaji mpo wa shenzi sn kweli. Mbona atujahona nyumba ya madebe afu mnaandika kwamba mahisha alisi ya madebe na maali anapo hishi

  • @ramadhanimhandojr2211
    @ramadhanimhandojr22112 жыл бұрын

    Nabii mswahil

  • @zainabfazal5759
    @zainabfazal5759 Жыл бұрын

    Madebe Always on top

  • @fauzhaider3843
    @fauzhaider38432 жыл бұрын

    Hawa bdo ilikuwa wanapendana bdo ila mungu kawapenda zaidi

  • @estermiseyeki3722
    @estermiseyeki37222 жыл бұрын

    Pole Sana Madebe

  • @tontonelombee8012
    @tontonelombee8012 Жыл бұрын

    Hongera madebe sana

  • @estermahenge-ks3dr
    @estermahenge-ks3dr4 ай бұрын

    uyo madebe alivyo tulia hapo kama sio yeye alie kua ana mtesa chanuo😮

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza7996 Жыл бұрын

    Na Mimi nataka niwe watatu vip nitapita kama nitapita like 😂😂😂😂😂

  • @josephwambura674
    @josephwambura6742 жыл бұрын

    Upo juu sana

  • @khadijaismail5013
    @khadijaismail5013 Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @novartforodhan3047
    @novartforodhan30472 жыл бұрын

    Hivi kwann watu ambao hawajasoma madarasa mengi huzani kuwa walio soma miaka ya hivi karibuni kuwa elimu yetu n nyepesi wakati cc tunayajua tuliyoyapitia

  • @theopistachialo10

    @theopistachialo10

    2 жыл бұрын

    Umeonaee alafu ukimuuliza kwann hajafik hapo hanajib

  • @mohamedsuleiman7215

    @mohamedsuleiman7215

    2 жыл бұрын

    @@theopistachialo10 Utandawazi umeharibu mfumo wa elimu kwa asilimia kubwa usipingane na hilo......elimu ya sasa hivi ni ya makarat tu.

  • @theopistachialo10

    @theopistachialo10

    2 жыл бұрын

    @@mohamedsuleiman7215 yes lakin elimu ya mtu iheshimiwe👏

  • @mohamedsuleiman7215

    @mohamedsuleiman7215

    2 жыл бұрын

    @@theopistachialo10 wewe hujamfahamu anachokimaanisha.

  • @user-wu2er7go9j

    @user-wu2er7go9j

    6 ай бұрын

    Kwasababu wasomi wengi wana Elimu ila hawana akili

  • @user-uq2ks1rh1t
    @user-uq2ks1rh1t6 ай бұрын

    Nakubali sana madebe

  • @lucasmogoile7097
    @lucasmogoile70972 жыл бұрын

    Madebe napenda sana kutoukubali usasa kwa hapo nakuunga mkono mi mwenyewe usasa naona unatuharibu