Mpaka Home: Nay Wa Mitego Aibukiwa Studio Usiku Mnene, Icheki Studio Yake

Ойын-сауық

Emaanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', ni msanii wa muziki wa kizazi kipya mwenye mashabiki lukuki, staili yake ya kuimba mashairi makali imempatia umaarufu mkubwa. Mpaka Home ya Global TV Online, imemtilia maguu mpaka studio kwake, Free Nation, Sinza jijini Dar es Salaam.
Kwa kawaida Mpaka Home hufanyika nyumbani lakini kutokana na kumkosa nyumbani kwa muda mrefu, Mpaka Home iliamua kumuibukia Nay wa Mitego usiku wa manane na kumkuta ofisini kwake iliyoko Sinza Jijini Dar.
Jambo ambalo watu wengi hawalijui, ni kwamba kumbe jamaa amewekeza vya kutosha ambapo amekodi nyumba nzima maeneo ya Sinza ambapo ndani yake, kuna ofisi yake na pia kuna studio ambayo imetoa ajira kwa vijana kadhaa.
Katika video hii, Nay wa Mitego anafunguka mambo mengi, ikiwa ni pamoja na ishu ya prodyuza wake, Mr Tee kumkimbia ambapo sasa anaye prodyuza mwingine, Osam.
Msikilize mwenyewe...
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1

Пікірлер: 392

  • @dullasabuni7189
    @dullasabuni71892 ай бұрын

    Nipo muheza big up ney wamitego/ipo siku nikishika mkwanja tutafanya ngoma pamoja songesha mwana

  • @erooemmanuel5955
    @erooemmanuel59554 жыл бұрын

    Baba cartyz lodwar Kenya inakupokea vizuri sana

  • @jemalulenga1512
    @jemalulenga15126 жыл бұрын

    wa Tanzania acheni roho mbaya, huyo mtangazaj yupo vizur tu, lakn mlivyo na roho mbaya mna mnanga, sio vizuri, Bryton Fanya kazi achana na maneno ya watu

  • @anicetasevarist3506
    @anicetasevarist35067 жыл бұрын

    good bongo fleva naona sasa inaanza kupiga hatua wasanii wengine waige mfono wa kuinvest namna hii pia inatoa ajira kwa wengine kama alivyofanya ney. kiukweli n hatua kubwa tuache majungu mnaoponda tuwe tunasapport vitu kama hiv n vzr sana n zamu sasa bongo movie waige na comedian. sanaa inalipa

  • @timotheolupembe7473
    @timotheolupembe74737 жыл бұрын

    Kimsingi manager yupo sahihi kabisa,,,,,Nazani mtangazaji hana Ethics za Utangazaji na Uandishi kwa ujumla,,,,flow ya utangazaji mbovu kiukweli

  • @faithlulu9814

    @faithlulu9814

    6 жыл бұрын

    Timotheo Lupembe kweli kabisa

  • @sifasanga7866
    @sifasanga78667 жыл бұрын

    Nay wa mitego.....nampenda sana anatulia kwenye interview.....

  • @josephduniamulumba5357
    @josephduniamulumba53574 жыл бұрын

    Na kukubali kabisa Nay, kuheshimisha inchi na sanaa, your loved one all the way from Congo🇨🇩

  • @superbillionairea5987

    @superbillionairea5987

    2 жыл бұрын

    Rais wa kitaa.

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent34832 жыл бұрын

    Nakukubali Ney kazi zako nazipenda sana

  • @Jadcashier
    @Jadcashier7 жыл бұрын

    nakupongeza sana mtangazaji maana uko makini na kazi yako afu unamoyo sana big up

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын

    huyu mtangazaji poa sana dah nimemenda...ana interview skills and very unique thats so brilliant of you sir!!

  • @ErickEliabu

    @ErickEliabu

    Ай бұрын

    Nambie msela wangu

  • @richardburengengwa6998
    @richardburengengwa69983 жыл бұрын

    Ney big up sana mweshimiwa

  • @kidonchoboy6503
    @kidonchoboy65034 жыл бұрын

    Nakukubali Sana brother ney wa mitego

  • @masujmkwaya4917
    @masujmkwaya49176 жыл бұрын

    Yan mwanangu kati ya mashabiki wanao kukuba sana wa kwanza mimi, bgup mwaangu.

  • @ummyissa4622
    @ummyissa46227 жыл бұрын

    😂😂😂😝😝ucku huo vipee wapi Calvin shayo bn anatangaza poa nawe true boya ucku wote ujalala😝😝

  • @mondnumz7746

    @mondnumz7746

    7 жыл бұрын

    ahahahahhah

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    7 жыл бұрын

    ummy Issa 😂😂😂😂😂😂😂but kipindi kizuri sana dear . karibuni kwenye chanel yangu pia kucheki maisha ya mtanzania ujerumani 😍

  • @dizzobusiness4241

    @dizzobusiness4241

    7 жыл бұрын

    ummy Issa ummi acha mbwembwe

  • @Pius-ro7dy

    @Pius-ro7dy

    7 жыл бұрын

    Poa mitego

  • @peacebrowntz3949

    @peacebrowntz3949

    5 жыл бұрын

    ummy Issa 😀

  • @ericamyra1207
    @ericamyra12077 жыл бұрын

    Hahahhh nmechekaa manager alivotaka kuzima camera kashtuka km kavamiwa #kushtukizwa hakuwai kumuacha MTU salamaaa

  • @safikisubi3592

    @safikisubi3592

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @sharifanatila5103

    @sharifanatila5103

    4 жыл бұрын

    Mshz

  • @sharifanatila5103

    @sharifanatila5103

    4 жыл бұрын

    Meneja

  • @peterlubida3952
    @peterlubida39526 жыл бұрын

    Ney true boy ...tribal salute

  • @barikipeter721
    @barikipeter7215 жыл бұрын

    Big up my brother I have my young brother I want to bring him for you b coz he has dream with music plzz can you train him in order to have college student for music one day

  • @centralboytz4240
    @centralboytz42404 жыл бұрын

    Sema mzee umejipanga studio ya kinyamwez sana kumbe una watu weng unaowasapoti big up sana broo mtu mbaya kwenye show watu wanaumizana kaz kaz💪💪💪

  • @davidmihambo3051
    @davidmihambo30517 жыл бұрын

    wangekuwa shilawadu ya kina soudy brown na kwisa mzee mkavu huyo manager wala asingeleta ujuaji wa kutaka kuzima kamera , big up jamaa ame improve kwenye utangazaji tofauti na alivyoendaga kumuhoji bambo.

  • @issaissa4709

    @issaissa4709

    7 жыл бұрын

    david mihambo cbbjcj

  • @nickluhende

    @nickluhende

    7 жыл бұрын

    david mihambo shilawadu huwa wanafanya appointment

  • @mwandumbuzi9452

    @mwandumbuzi9452

    4 жыл бұрын

    so vizur ucku kugonga mlango wa watu

  • @deezingomusctz1380
    @deezingomusctz13804 жыл бұрын

    Duuuuuuuhi nay kwer the true boy nakkbali saaaaaana broooo

  • @josephmgellah6939
    @josephmgellah69395 жыл бұрын

    Napenda sana mnachofanya coz mnajua big up osam & free nation

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin9417 жыл бұрын

    mshamba Sana Huyo

  • @neemamussa7866
    @neemamussa78665 жыл бұрын

    napenda sana pale aliposhilikiana na Best Nasso kwenye wimbo wa Herena, unaimba vizuri

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын

    i like Ney...hez good very good..his demeanor and the way he relates to his subordinates its just awesome..keep up Ney wa mitego all the way from Moshi my brother!

  • @mrishomtegetwa1787

    @mrishomtegetwa1787

    4 жыл бұрын

    Sioni shida ney kwenye nyimbo yako uko wap mungu watu wapo wanavtu wanafanya vichafu sana kweli wapo wanasagana wanajiuza yan mambo mengi sana duniani yuko pamoja nami aisee

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    4 жыл бұрын

    @@mrishomtegetwa1787 sijakupata tafadhali naomba eleza tena kama hutojali

  • @shuwehaharunaomariikwena233
    @shuwehaharunaomariikwena2337 жыл бұрын

    mwanaume kuremba sauti kilamara aaaah haileti picha nzuri

  • @lindasophia1288
    @lindasophia12886 жыл бұрын

    Keep going 🙏🤩🤩

  • @jamesmelau5831
    @jamesmelau58317 жыл бұрын

    poa endelea hivo hivo mr ney hongera

  • @elilayageho3305
    @elilayageho33056 жыл бұрын

    amazing true boy

  • @gilee2353
    @gilee23537 жыл бұрын

    kumbe ney msitaalabu hivyo ongeleni sana

  • @bornymnyaama9498

    @bornymnyaama9498

    6 жыл бұрын

    Yaap Mr Nay

  • @bornymnyaama9498

    @bornymnyaama9498

    6 жыл бұрын

    Kumbe nay mstarab mpaka bc

  • @thomasthomas906

    @thomasthomas906

    6 жыл бұрын

    Wamitego kumbe ps ivyo jamani kumbe tajaribu kumtafuta nifanye naye kz

  • @emmabays9963
    @emmabays99637 жыл бұрын

    ndio mana bashite wanakuogopa mzee wa pale kati! hahaha big up bro

  • @fredrickitala3903
    @fredrickitala39037 жыл бұрын

    jamani muelewe hao huwa wamepanga mkitaka kuamini angalieni ile ya bamboo MTU kagongewa anafungua anafoka na mic ya glo mkononi

  • @priscilarkahindi9126

    @priscilarkahindi9126

    7 жыл бұрын

    Fredrick Itala mm pia naona hivyo huwa wapepanga watskuja usiku!kukaripiana ni kujifanya tu hawa!

  • @jamalisaydun4829

    @jamalisaydun4829

    3 жыл бұрын

    Kweri atamimi niiliona ilo upo makini sana

  • @hurumakidaga9076
    @hurumakidaga90765 жыл бұрын

    utangazaji kazi Jamn Stak niwe bora Niuze maandazi

  • @dizomnyama4406
    @dizomnyama44064 жыл бұрын

    Ney nakukubali sana unajua mzk nataka kuja hapo studio

  • @abdulsalo2376
    @abdulsalo23764 жыл бұрын

    Hiyo wamepanga tu ila siukweli interview yakutungwa tu kwawanao fahamu

  • @thawabukatosho9324
    @thawabukatosho93247 жыл бұрын

    bgp sana Mr ney wamitego ukovizuri

  • @stefanopeter5970

    @stefanopeter5970

    4 жыл бұрын

    Nikonk San braz studio ikovizur

  • @stefanopeter5970

    @stefanopeter5970

    4 жыл бұрын

    Jaman kuuliza siujing Misist tiitach kaach studio konk

  • @leonardmadinda1439
    @leonardmadinda14396 жыл бұрын

    penda xan my bro #nay wa mitego

  • @saidahj2543
    @saidahj25437 жыл бұрын

    I luv ur music Nay

  • @esthjohn545
    @esthjohn5456 жыл бұрын

    Nakubali sana nazi za True Boy.obrigado

  • @kennymachimo7566
    @kennymachimo75666 жыл бұрын

    ukitaka kwenda kwa mtu toa taalifa me sijapenda alicho kifanya mtangazaji saiz watu wanaogopa kutekwa kwenda kwa mtu usiku bila taalifa halafu unaanza kupga pcha bila luhusa sio poa

  • @masoudrashid6180
    @masoudrashid61805 жыл бұрын

    Nimeipenda sana dogo mtangazaji upo vizur

  • @khamisimussa1423
    @khamisimussa14237 жыл бұрын

    Nay mbona umepotea sana broo

  • @nicholausmwalugi5026
    @nicholausmwalugi50265 жыл бұрын

    Ney KIONGOZI Hongera sana.

  • @josephyona2210
    @josephyona22106 жыл бұрын

    Brayton, badilisha mfumo wa kuingia kwenye office ama nyumba za watu, unaingia kama unaforce af huna mawasiliano ya uhakika, sio ustaarabu huo. Kama unataka kufanya vizuri zaidi jaribu kusoma maoni ya watu na kuyafanyia kazi, jaribu kua creative, me umeniboa na hua unaniboa jinsi ya uingiaji wako kwenye kila nyumba.

  • @meditationrelaxing6209
    @meditationrelaxing62094 жыл бұрын

    pongezi NEY napenda wapenda kuongea ukweli kwa mziki wako wacha watu walaumu ila ati the end of the day you produce hits

  • @LemontheNeutral
    @LemontheNeutral7 жыл бұрын

    studio Kali nzuri

  • @norbetimdonyanorbetimdonya3997
    @norbetimdonyanorbetimdonya39973 жыл бұрын

    Nice boy nakukubl sn ney

  • @colemanandrew9062
    @colemanandrew90626 жыл бұрын

    Mkidharau ushaur haitakuwa sawa mtangazaji hajui kuhoji wala hana kipaji cha utangazaji

  • @pendoernest9444
    @pendoernest94445 жыл бұрын

    Namkubari kinoma sana Ney wamitego 😘😘

  • @japhethjackson9369

    @japhethjackson9369

    4 жыл бұрын

    Big up nay

  • @RichardsJob
    @RichardsJob7 жыл бұрын

    great Mr Nay

  • @youngbtz6371
    @youngbtz63716 жыл бұрын

    Ofisi yamtu lazi Ma ieshimiwe

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu68592 жыл бұрын

    Hili likaka halijui kuhoj kaz bdo haijui

  • @famally7138
    @famally71387 жыл бұрын

    hv vyote vimepangwaa nyambafuu hakuna cha kustukizaa hapa

  • @colemanandrew9062
    @colemanandrew90626 жыл бұрын

    Hiki kipindi ni chakiubunifu ila presenter hana fani ya utangazaji mngembadili kipindi kingekuwa kizuri sana

  • @benitashadsm9460
    @benitashadsm94607 жыл бұрын

    tuko pamoja @naywa mitego

  • @emmanuelfataki4322
    @emmanuelfataki43227 жыл бұрын

    nakubali sana ney

  • @elizabethmwandu9899
    @elizabethmwandu98996 жыл бұрын

    Huhuhuhu mtapigwa na ngumi, umbea umewazidi mpaka uck nyumbani kwa mtu bila taarifa.

  • @sebastiankulaya2432
    @sebastiankulaya24323 жыл бұрын

    Sasa uyo manager ana kazi gani

  • @lilynico8552
    @lilynico85527 жыл бұрын

    hello nay wa mitego

  • @fererouzmsangawale5618

    @fererouzmsangawale5618

    7 жыл бұрын

    Man

  • @user-ui5ut6xp3z
    @user-ui5ut6xp3z7 жыл бұрын

    Napenda sana ney unavyo ongea

  • @Dizoomussc
    @Dizoomussc2 ай бұрын

    saf sana

  • @justobax9321
    @justobax93216 жыл бұрын

    Kipind hakikufai mjomba... Hufurahish. Hzo shughuli muachie soudy brown

  • @alexmsabi5416
    @alexmsabi54167 жыл бұрын

    mtangazaji chenga kwanza anaenda kwa wtu amelewa harafu hajui hata kuhoji akauze nyanya tu

  • @christinahaule9726

    @christinahaule9726

    7 жыл бұрын

    Alex Msabi amelewa mmemuona au mmempima kuweni wastaarabu .mwenzenu yupo kazini.na mnavyocomment wanaona wengi adi boc wake anaona.siyo poa

  • @christinahaule9726

    @christinahaule9726

    7 жыл бұрын

    wanaboa sana .wanamchafulia MTU jina.kama wamechoka kucomment waache

  • @hassanovajunior6972

    @hassanovajunior6972

    7 жыл бұрын

    Alex Msabi umemlewesha wew na k ama

  • @vyevyederwizzy8780

    @vyevyederwizzy8780

    7 жыл бұрын

    ??

  • @neemahaule1762

    @neemahaule1762

    6 жыл бұрын

    Alex Msabi

  • @pachikuuufrank4007
    @pachikuuufrank40075 жыл бұрын

    Naomba connection na Free nation studio

  • @mudykg3854
    @mudykg38547 жыл бұрын

    mmetixhaaaa

  • @morgansmilenyoni444
    @morgansmilenyoni4447 жыл бұрын

    kawaharass wapi wewe mtangazaji unajua kitendo chakuharasiwa

  • @bitasimwajeannine2095
    @bitasimwajeannine20954 жыл бұрын

    Huwa na muamini Ney sana

  • @user-ui5ut6xp3z
    @user-ui5ut6xp3z7 жыл бұрын

    Vzr sana Mr ney

  • @pendoernest9444
    @pendoernest94445 жыл бұрын

    Mtanfazaji uko vizuri

  • @saumumohamed8576
    @saumumohamed85766 жыл бұрын

    Hongera sana ney wa mitego

  • @jalismchocho4631
    @jalismchocho46315 жыл бұрын

    sema na ney nae ajaamua kuwachana alikuwa na hamu ya kuongea mngeludi manundu

  • @halfanijuma5263
    @halfanijuma52637 жыл бұрын

    saf sana brother

  • @dismasmunishi5572
    @dismasmunishi55727 жыл бұрын

    mtangazaji hujatulia badilisha mfumo wako

  • @christinahaule9726

    @christinahaule9726

    7 жыл бұрын

    Dismas Munishi hayo majungu yeye kaumbwa kama wewe uwezi mbadilisha wewe zaidi ya Allah

  • @stanleybituro9237

    @stanleybituro9237

    7 жыл бұрын

    DISMAS MUNISHI kachangia kukosolewa sio vibaya kwa wote

  • @justinjulius9771

    @justinjulius9771

    7 жыл бұрын

    babuu

  • @johnbarasa9929

    @johnbarasa9929

    7 жыл бұрын

    Dismas Munishi kweli

  • @mandelaibrahim2097

    @mandelaibrahim2097

    6 жыл бұрын

    JOHN BARASA j

  • @sebastiankulaya2432
    @sebastiankulaya24323 жыл бұрын

    Me na imani ndo unafanya hip hop 😀😃😄😄😄😁😁😁😉😉😉😊😊😆😅😅🙂🙃🙃😉😉😉

  • @tumainpeter3805
    @tumainpeter38054 жыл бұрын

    Ndo maana nakupendaga sana Ney

  • @angelyonah2601
    @angelyonah26017 жыл бұрын

    mtangazaji zirooo kabisaa

  • @johnmzee1443
    @johnmzee1443 Жыл бұрын

    Nice

  • @jamillaburhan1265
    @jamillaburhan12657 жыл бұрын

    we subili watakuja kukupumulia sura baya kusumbua watu tu

  • @elihurumalaizer3888
    @elihurumalaizer38886 жыл бұрын

    yaaah mtangazi amebaka fani hafai kutangaza anakigugumizi mmno bwana

  • @raydwachekemwanamziki2959
    @raydwachekemwanamziki29594 жыл бұрын

    VP broo unaweza kunisaidia kupata no ya ney wamitego

  • @elishaapendekigeorge8580
    @elishaapendekigeorge85806 жыл бұрын

    Mr nay de great

  • @rabsonjohn2620
    @rabsonjohn26204 жыл бұрын

    Saf sana mzee baba

  • @kinjekitike
    @kinjekitike7 жыл бұрын

    KUmbe Wana Mic Mioja Jamani

  • @jokhamabruk139
    @jokhamabruk1394 жыл бұрын

    Manager kashushuka😂😂😂😂😂

  • @mamafranjovlog72
    @mamafranjovlog727 жыл бұрын

    kipindi kizuri mtangazaji big up. karibuni pia kwenye channel yangu kucheki maisha yaa mtanzania ujerumani msisahau kusubscribe karibuni 😙😙😙😙

  • @mohamedkuyawa3889

    @mohamedkuyawa3889

    7 жыл бұрын

    tuandikaje youtube

  • @mamafranjovlog72

    @mamafranjovlog72

    7 жыл бұрын

    Mohamed Kuyawa andika mamafranjovlogs au bonyeza hii picha yangu hapa nilipokomenti ndo account yangu ya youtube kuona maisha ya watanzania ujerumani na maisha ya wajerumani pia na mambo kibao . schoraship pia za kusoma ulaya huwa nawekaga karibu sana

  • @mrshimba140

    @mrshimba140

    4 жыл бұрын

    Sf

  • @dorischuwa9707

    @dorischuwa9707

    4 жыл бұрын

    mambo

  • @bakarisaidi8800

    @bakarisaidi8800

    4 жыл бұрын

    Safi sana neyi

  • @Dm-yd1tl
    @Dm-yd1tl6 жыл бұрын

    dah ney peace sana Mzee baba

  • @christinahaule9726
    @christinahaule97267 жыл бұрын

    safi

  • @bonitatembonitate257
    @bonitatembonitate2577 жыл бұрын

    ivi uyo mganga wenu aliwaambia muende majumba yawatu usiku tu? mnaboa sana kwakweli

  • @anastaziuscyriacus5415

    @anastaziuscyriacus5415

    7 жыл бұрын

    mimi huyo mtangazaji amenikera kweli....Matabia ya ushushushu tu hayo...

  • @castohchricy8306
    @castohchricy83067 жыл бұрын

    uyu jamaa mbona ana foc kinoma

  • @izzytvizyybe6016
    @izzytvizyybe60164 жыл бұрын

    Natamani sana kuwa na studio

  • @allyhassanjugumi2748
    @allyhassanjugumi27482 жыл бұрын

    Saf sana kaka nakubal kaz zako

  • @Alihamdulil
    @Alihamdulil6 жыл бұрын

    Wewe mtangazaji tatizo lako unazungumza sana hadi unaboa

  • @husseinmohamed9365
    @husseinmohamed93657 жыл бұрын

    kuowaa hilo swal mtangazaji analipatiaaaa saanaaaaa

  • @Martin-bv6dr
    @Martin-bv6dr3 жыл бұрын

    Luck of professional

  • @ezekieltz5298
    @ezekieltz52987 жыл бұрын

    nakukuba bro

  • @alialbusaidi9130
    @alialbusaidi91307 жыл бұрын

    Mnaendaje Kwa MTU bila ya taarifa

  • @khadijamlewa1639
    @khadijamlewa16396 жыл бұрын

    Poleni daa mnachangamoto

  • @nagekitunga8714
    @nagekitunga87146 жыл бұрын

    Mi nadhani mngewaandaa watu mpokelewe vizur.sio kila unapofika unaznguliwa kwanza inaboaa,pangen kipind vzur muweke kwenye ratba wajue n muwataarfu

  • @edwinstambuly9104
    @edwinstambuly91047 жыл бұрын

    mtangazaji chenga sanaa ufai toka

  • @ibraibrahim7184
    @ibraibrahim71845 жыл бұрын

    nimeipenda😂😂😂😂

  • @amashau9057
    @amashau90574 жыл бұрын

    Hiyo mtu Ni MANAGER kweli.......inaamka usiku kufungullia watu mageti

  • @enocksilungwepondajr9707

    @enocksilungwepondajr9707

    2 жыл бұрын

    Yupo kazini

Келесі