Mpaka Home: Nay Wa Mitego Aibukiwa Studio Usiku Mnene, Icheki Studio Yake
Ойын-сауық
Emaanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', ni msanii wa muziki wa kizazi kipya mwenye mashabiki lukuki, staili yake ya kuimba mashairi makali imempatia umaarufu mkubwa. Mpaka Home ya Global TV Online, imemtilia maguu mpaka studio kwake, Free Nation, Sinza jijini Dar es Salaam.
Kwa kawaida Mpaka Home hufanyika nyumbani lakini kutokana na kumkosa nyumbani kwa muda mrefu, Mpaka Home iliamua kumuibukia Nay wa Mitego usiku wa manane na kumkuta ofisini kwake iliyoko Sinza Jijini Dar.
Jambo ambalo watu wengi hawalijui, ni kwamba kumbe jamaa amewekeza vya kutosha ambapo amekodi nyumba nzima maeneo ya Sinza ambapo ndani yake, kuna ofisi yake na pia kuna studio ambayo imetoa ajira kwa vijana kadhaa.
Katika video hii, Nay wa Mitego anafunguka mambo mengi, ikiwa ni pamoja na ishu ya prodyuza wake, Mr Tee kumkimbia ambapo sasa anaye prodyuza mwingine, Osam.
Msikilize mwenyewe...
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Пікірлер: 392
Nipo muheza big up ney wamitego/ipo siku nikishika mkwanja tutafanya ngoma pamoja songesha mwana
Baba cartyz lodwar Kenya inakupokea vizuri sana
wa Tanzania acheni roho mbaya, huyo mtangazaj yupo vizur tu, lakn mlivyo na roho mbaya mna mnanga, sio vizuri, Bryton Fanya kazi achana na maneno ya watu
good bongo fleva naona sasa inaanza kupiga hatua wasanii wengine waige mfono wa kuinvest namna hii pia inatoa ajira kwa wengine kama alivyofanya ney. kiukweli n hatua kubwa tuache majungu mnaoponda tuwe tunasapport vitu kama hiv n vzr sana n zamu sasa bongo movie waige na comedian. sanaa inalipa
Kimsingi manager yupo sahihi kabisa,,,,,Nazani mtangazaji hana Ethics za Utangazaji na Uandishi kwa ujumla,,,,flow ya utangazaji mbovu kiukweli
@faithlulu9814
6 жыл бұрын
Timotheo Lupembe kweli kabisa
Nay wa mitego.....nampenda sana anatulia kwenye interview.....
Na kukubali kabisa Nay, kuheshimisha inchi na sanaa, your loved one all the way from Congo🇨🇩
@superbillionairea5987
2 жыл бұрын
Rais wa kitaa.
Nakukubali Ney kazi zako nazipenda sana
nakupongeza sana mtangazaji maana uko makini na kazi yako afu unamoyo sana big up
huyu mtangazaji poa sana dah nimemenda...ana interview skills and very unique thats so brilliant of you sir!!
@ErickEliabu
Ай бұрын
Nambie msela wangu
Ney big up sana mweshimiwa
Nakukubali Sana brother ney wa mitego
Yan mwanangu kati ya mashabiki wanao kukuba sana wa kwanza mimi, bgup mwaangu.
😂😂😂😝😝ucku huo vipee wapi Calvin shayo bn anatangaza poa nawe true boya ucku wote ujalala😝😝
@mondnumz7746
7 жыл бұрын
ahahahahhah
@mamafranjovlog72
7 жыл бұрын
ummy Issa 😂😂😂😂😂😂😂but kipindi kizuri sana dear . karibuni kwenye chanel yangu pia kucheki maisha ya mtanzania ujerumani 😍
@dizzobusiness4241
7 жыл бұрын
ummy Issa ummi acha mbwembwe
@Pius-ro7dy
7 жыл бұрын
Poa mitego
@peacebrowntz3949
5 жыл бұрын
ummy Issa 😀
Hahahhh nmechekaa manager alivotaka kuzima camera kashtuka km kavamiwa #kushtukizwa hakuwai kumuacha MTU salamaaa
@safikisubi3592
4 жыл бұрын
😂😂😂
@sharifanatila5103
4 жыл бұрын
Mshz
@sharifanatila5103
4 жыл бұрын
Meneja
Ney true boy ...tribal salute
Big up my brother I have my young brother I want to bring him for you b coz he has dream with music plzz can you train him in order to have college student for music one day
Sema mzee umejipanga studio ya kinyamwez sana kumbe una watu weng unaowasapoti big up sana broo mtu mbaya kwenye show watu wanaumizana kaz kaz💪💪💪
wangekuwa shilawadu ya kina soudy brown na kwisa mzee mkavu huyo manager wala asingeleta ujuaji wa kutaka kuzima kamera , big up jamaa ame improve kwenye utangazaji tofauti na alivyoendaga kumuhoji bambo.
@issaissa4709
7 жыл бұрын
david mihambo cbbjcj
@nickluhende
7 жыл бұрын
david mihambo shilawadu huwa wanafanya appointment
@mwandumbuzi9452
4 жыл бұрын
so vizur ucku kugonga mlango wa watu
Duuuuuuuhi nay kwer the true boy nakkbali saaaaaana broooo
Napenda sana mnachofanya coz mnajua big up osam & free nation
mshamba Sana Huyo
napenda sana pale aliposhilikiana na Best Nasso kwenye wimbo wa Herena, unaimba vizuri
i like Ney...hez good very good..his demeanor and the way he relates to his subordinates its just awesome..keep up Ney wa mitego all the way from Moshi my brother!
@mrishomtegetwa1787
4 жыл бұрын
Sioni shida ney kwenye nyimbo yako uko wap mungu watu wapo wanavtu wanafanya vichafu sana kweli wapo wanasagana wanajiuza yan mambo mengi sana duniani yuko pamoja nami aisee
@jedidahbintidaudi8241
4 жыл бұрын
@@mrishomtegetwa1787 sijakupata tafadhali naomba eleza tena kama hutojali
mwanaume kuremba sauti kilamara aaaah haileti picha nzuri
Keep going 🙏🤩🤩
poa endelea hivo hivo mr ney hongera
amazing true boy
kumbe ney msitaalabu hivyo ongeleni sana
@bornymnyaama9498
6 жыл бұрын
Yaap Mr Nay
@bornymnyaama9498
6 жыл бұрын
Kumbe nay mstarab mpaka bc
@thomasthomas906
6 жыл бұрын
Wamitego kumbe ps ivyo jamani kumbe tajaribu kumtafuta nifanye naye kz
ndio mana bashite wanakuogopa mzee wa pale kati! hahaha big up bro
jamani muelewe hao huwa wamepanga mkitaka kuamini angalieni ile ya bamboo MTU kagongewa anafungua anafoka na mic ya glo mkononi
@priscilarkahindi9126
7 жыл бұрын
Fredrick Itala mm pia naona hivyo huwa wapepanga watskuja usiku!kukaripiana ni kujifanya tu hawa!
@jamalisaydun4829
3 жыл бұрын
Kweri atamimi niiliona ilo upo makini sana
utangazaji kazi Jamn Stak niwe bora Niuze maandazi
Ney nakukubali sana unajua mzk nataka kuja hapo studio
Hiyo wamepanga tu ila siukweli interview yakutungwa tu kwawanao fahamu
bgp sana Mr ney wamitego ukovizuri
@stefanopeter5970
4 жыл бұрын
Nikonk San braz studio ikovizur
@stefanopeter5970
4 жыл бұрын
Jaman kuuliza siujing Misist tiitach kaach studio konk
penda xan my bro #nay wa mitego
I luv ur music Nay
Nakubali sana nazi za True Boy.obrigado
ukitaka kwenda kwa mtu toa taalifa me sijapenda alicho kifanya mtangazaji saiz watu wanaogopa kutekwa kwenda kwa mtu usiku bila taalifa halafu unaanza kupga pcha bila luhusa sio poa
Nimeipenda sana dogo mtangazaji upo vizur
Nay mbona umepotea sana broo
Ney KIONGOZI Hongera sana.
Brayton, badilisha mfumo wa kuingia kwenye office ama nyumba za watu, unaingia kama unaforce af huna mawasiliano ya uhakika, sio ustaarabu huo. Kama unataka kufanya vizuri zaidi jaribu kusoma maoni ya watu na kuyafanyia kazi, jaribu kua creative, me umeniboa na hua unaniboa jinsi ya uingiaji wako kwenye kila nyumba.
pongezi NEY napenda wapenda kuongea ukweli kwa mziki wako wacha watu walaumu ila ati the end of the day you produce hits
studio Kali nzuri
Nice boy nakukubl sn ney
Mkidharau ushaur haitakuwa sawa mtangazaji hajui kuhoji wala hana kipaji cha utangazaji
Namkubari kinoma sana Ney wamitego 😘😘
@japhethjackson9369
4 жыл бұрын
Big up nay
great Mr Nay
Ofisi yamtu lazi Ma ieshimiwe
Hili likaka halijui kuhoj kaz bdo haijui
hv vyote vimepangwaa nyambafuu hakuna cha kustukizaa hapa
Hiki kipindi ni chakiubunifu ila presenter hana fani ya utangazaji mngembadili kipindi kingekuwa kizuri sana
tuko pamoja @naywa mitego
nakubali sana ney
Huhuhuhu mtapigwa na ngumi, umbea umewazidi mpaka uck nyumbani kwa mtu bila taarifa.
Sasa uyo manager ana kazi gani
hello nay wa mitego
@fererouzmsangawale5618
7 жыл бұрын
Man
Napenda sana ney unavyo ongea
saf sana
Kipind hakikufai mjomba... Hufurahish. Hzo shughuli muachie soudy brown
mtangazaji chenga kwanza anaenda kwa wtu amelewa harafu hajui hata kuhoji akauze nyanya tu
@christinahaule9726
7 жыл бұрын
Alex Msabi amelewa mmemuona au mmempima kuweni wastaarabu .mwenzenu yupo kazini.na mnavyocomment wanaona wengi adi boc wake anaona.siyo poa
@christinahaule9726
7 жыл бұрын
wanaboa sana .wanamchafulia MTU jina.kama wamechoka kucomment waache
@hassanovajunior6972
7 жыл бұрын
Alex Msabi umemlewesha wew na k ama
@vyevyederwizzy8780
7 жыл бұрын
??
@neemahaule1762
6 жыл бұрын
Alex Msabi
Naomba connection na Free nation studio
mmetixhaaaa
kawaharass wapi wewe mtangazaji unajua kitendo chakuharasiwa
Huwa na muamini Ney sana
Vzr sana Mr ney
Mtanfazaji uko vizuri
Hongera sana ney wa mitego
sema na ney nae ajaamua kuwachana alikuwa na hamu ya kuongea mngeludi manundu
saf sana brother
mtangazaji hujatulia badilisha mfumo wako
@christinahaule9726
7 жыл бұрын
Dismas Munishi hayo majungu yeye kaumbwa kama wewe uwezi mbadilisha wewe zaidi ya Allah
@stanleybituro9237
7 жыл бұрын
DISMAS MUNISHI kachangia kukosolewa sio vibaya kwa wote
@justinjulius9771
7 жыл бұрын
babuu
@johnbarasa9929
7 жыл бұрын
Dismas Munishi kweli
@mandelaibrahim2097
6 жыл бұрын
JOHN BARASA j
Me na imani ndo unafanya hip hop 😀😃😄😄😄😁😁😁😉😉😉😊😊😆😅😅🙂🙃🙃😉😉😉
Ndo maana nakupendaga sana Ney
mtangazaji zirooo kabisaa
Nice
we subili watakuja kukupumulia sura baya kusumbua watu tu
yaaah mtangazi amebaka fani hafai kutangaza anakigugumizi mmno bwana
VP broo unaweza kunisaidia kupata no ya ney wamitego
Mr nay de great
Saf sana mzee baba
KUmbe Wana Mic Mioja Jamani
Manager kashushuka😂😂😂😂😂
kipindi kizuri mtangazaji big up. karibuni pia kwenye channel yangu kucheki maisha yaa mtanzania ujerumani msisahau kusubscribe karibuni 😙😙😙😙
@mohamedkuyawa3889
7 жыл бұрын
tuandikaje youtube
@mamafranjovlog72
7 жыл бұрын
Mohamed Kuyawa andika mamafranjovlogs au bonyeza hii picha yangu hapa nilipokomenti ndo account yangu ya youtube kuona maisha ya watanzania ujerumani na maisha ya wajerumani pia na mambo kibao . schoraship pia za kusoma ulaya huwa nawekaga karibu sana
@mrshimba140
4 жыл бұрын
Sf
@dorischuwa9707
4 жыл бұрын
mambo
@bakarisaidi8800
4 жыл бұрын
Safi sana neyi
dah ney peace sana Mzee baba
safi
ivi uyo mganga wenu aliwaambia muende majumba yawatu usiku tu? mnaboa sana kwakweli
@anastaziuscyriacus5415
7 жыл бұрын
mimi huyo mtangazaji amenikera kweli....Matabia ya ushushushu tu hayo...
uyu jamaa mbona ana foc kinoma
Natamani sana kuwa na studio
Saf sana kaka nakubal kaz zako
Wewe mtangazaji tatizo lako unazungumza sana hadi unaboa
kuowaa hilo swal mtangazaji analipatiaaaa saanaaaaa
Luck of professional
nakukuba bro
Mnaendaje Kwa MTU bila ya taarifa
Poleni daa mnachangamoto
Mi nadhani mngewaandaa watu mpokelewe vizur.sio kila unapofika unaznguliwa kwanza inaboaa,pangen kipind vzur muweke kwenye ratba wajue n muwataarfu
mtangazaji chenga sanaa ufai toka
nimeipenda😂😂😂😂
Hiyo mtu Ni MANAGER kweli.......inaamka usiku kufungullia watu mageti
@enocksilungwepondajr9707
2 жыл бұрын
Yupo kazini