S2KIZZY,- "Yeyote anaepingana na Mimi Aje na Fact sitaki Porojo zenu"

Ойын-сауық

S2KIZZY,- "Yeyote anaepingana na Mimi Aje na Fact sitaki Porojo zenu"

Пікірлер: 189

  • @samiusiraj4587
    @samiusiraj4587Ай бұрын

    Producer ndo mtu wa kwanza kwenye music tumpe heshima yake bwana

  • @Official_bizedd

    @Official_bizedd

    29 күн бұрын

    Na wewe fungua studio sasa

  • @gospelnetworktz5450
    @gospelnetworktz5450Ай бұрын

    Ila jamani acha aseme mtu kutafuta Jina anasugua sana acha aseme bwana anajua jamaa Sana na acha aongee kwa kujiamini ukiwa chini wanadamu hawakupi saport acha jamaa acheze jukwaa lake

  • @dizzy_the_dax
    @dizzy_the_daxАй бұрын

    S2kizzy gat his own unique beat and sound

  • @Jamestar001
    @Jamestar001Ай бұрын

    S2kizzy RESPECT YOU HOMEBOY,unajua kaka, ndomaana unaongea kwa comfidence, ❤🎉

  • @hatib8957
    @hatib8957Ай бұрын

    Emu tuacheni majungu s2kizz anajua kwanini hatupendi kumpa mtu haki yake S2KIZZ ANAJUA

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbeАй бұрын

    Tunasema We Zhombie Haujui ila tuna-maanisha anajua sana 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @estonsmart
    @estonsmart2 ай бұрын

    Anaepinga apinge kwa hoja zenye ushahidi wa namba sio maneno maneno, Tisha sana Zombie 🔥🔥

  • @seamlesshunt3869
    @seamlesshunt38692 ай бұрын

    Zoooombie 🔥🔥🔥 Numbers don’t lie. imeisha iyo

  • @Arrestgptucomedy
    @ArrestgptucomedyАй бұрын

    Heshima yeke tumpe...beat ndio ua inasukuma ngoma 🇺🇲

  • @edwardkongo410
    @edwardkongo410Ай бұрын

    Dogo S2kizy ni mkali sanaaa

  • @frankmichael1968
    @frankmichael1968Ай бұрын

    Yogo on the beat 💓

  • @samchris1914
    @samchris1914Ай бұрын

    Zombie ile ngoma ya Vanessa Mdee ft Joh makini na Cassper 🔥🔥

  • @ottiefx255
    @ottiefx255Ай бұрын

    Hkn ubishi apo s2kizy yupo creative sana

  • @HerryHassan-sn1fh
    @HerryHassan-sn1fh10 күн бұрын

    Jaman mwenye sifa yake mpen t maana anapamban sn na kweli watamroga awe makin t mtu wetu

  • @hatib8957
    @hatib8957Ай бұрын

    Mimi naamini kua wanamsema s2kizz kwa ubaya ni kwamba wanatamani kua kama yeye ila hawa uwezo maana hawajuwi na hawataki kujua

  • @Official-bataboy
    @Official-bataboy2 ай бұрын

    Asa mnapinga nini @2kizzy yupo vizuri wakuu

  • @KarimuYusuph
    @KarimuYusuphАй бұрын

    Mbona umetoboa pua vip mwenzetu sio rijali nin muogope mungu dogo jua kunakufa

  • @sonitekog6041

    @sonitekog6041

    16 күн бұрын

    We mwenye hujatoboa,,hautakufa?

  • @SalumMsafiri20
    @SalumMsafiri20Ай бұрын

    Respect you brother🏋️‍♂️

  • @Heiskmb
    @HeiskmbАй бұрын

    Unyama sana kaka mkubwa 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SamsonSony-yc3iz
    @SamsonSony-yc3izАй бұрын

    Msanii bila beat hamna kitu kwa huyu jamaa mkali

  • @OgegeMasanga
    @OgegeMasangaАй бұрын

    nakubali sna ZOMBIEEEE💗💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @Jonathanmakhubela-kb6lz
    @Jonathanmakhubela-kb6lzАй бұрын

    S2kizz is the best producer in his career zooming east africa at this era stop acting with hate and saying diamond is taking him at some levels, u tanzanians are supposed to give the guy his flowers

  • @ellietitus6528

    @ellietitus6528

    Ай бұрын

    Wewe unaejua na hubebwi na wasanii uko wapiii?4

  • @Jonathanmakhubela-kb6lz

    @Jonathanmakhubela-kb6lz

    Ай бұрын

    @@ellietitus6528 ♋♋😒

  • @Jonathanmakhubela-kb6lz

    @Jonathanmakhubela-kb6lz

    Ай бұрын

    @@ellietitus6528 beleive what u beleive thats all

  • @nancyg8664
    @nancyg8664Ай бұрын

    😂et ntakua jini jaman we kaka

  • @DM_15
    @DM_152 ай бұрын

    Best producer kiukweli mdundo ndiounatambulisha mziki mkali huwezi sikiliza mziki kwa vijisauti sauti tuu

  • @kalmaarufuofficial74
    @kalmaarufuofficial74Ай бұрын

    Wazokubwa 🔥💯 haujui

  • @swaxinno_ngwa3156
    @swaxinno_ngwa3156Ай бұрын

    Nakubali Kaka 👏👏👏👏we zombie

  • @ErickstarGabriel
    @ErickstarGabrielАй бұрын

    Noma sana mwenyewe nakubali nataman siku tukae chin tufanye kaz

  • @MaigeMitenenko
    @MaigeMitenenko9 күн бұрын

    Nazierewa Sanaa Hit zako

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d2 ай бұрын

    anaongea fact 100%, ukiangalia kwa STATISTICS yupo sahihi na hio haina ubishi, kwa anaepinga alete DATA zake.. ZOMBIE ni genious 🔥

  • @ramseychobaliko1002

    @ramseychobaliko1002

    2 ай бұрын

    Sasa anajua ndio lakin ajue anamalizia walipoanzia wengine hawez kuwa 🐐 GOAT wapo akina p-funk majani master j mika mwamba ndo wamefanya mziki upo hapa kwaiyo awe na adabu

  • @user-nq4md3sj6d

    @user-nq4md3sj6d

    2 ай бұрын

    @@ramseychobaliko1002 unashindwa kuelewa, yeye anasema ndio Producer wa kwanza kuwa namba kubwa ya hits song zinazofanya vizuri nje, na ndio producer alie kwenye nominise kubwa na nyingi nje mfano wa Grammy, ndio producer mwenye na ngoma nyingi za wasanii wa nje ya bongo, na ndio mana anasema yy ni BEST, sasa kama yupo mwenye vigezo hivyo aje na FACT na STATISTICS, je yupo?? ukiangalia hayupo.. UMEELEWA??

  • @user-nq4md3sj6d

    @user-nq4md3sj6d

    2 ай бұрын

    @@ramseychobaliko1002 sasa wabongo kusikia au kuambiwa ukweli ndio shida, na wala sio kuwavunjia heshima ila ndio ukweli

  • @hot2music
    @hot2musicАй бұрын

    Beat mbona tume mkopi ya hiyo na ime toka zaid

  • @RabunaHuseni
    @RabunaHuseniАй бұрын

    Nakukubari mzee zombie unajua sana mzee wala haukoseiii mzee mungu bress you mziki wako kaka mimi nipo South Africa 🇿🇦 solute Johannesburg

  • @Official_bizedd

    @Official_bizedd

    29 күн бұрын

    Sauth africa ya mashambani unalima.

  • @vanchillahvanchillah7691
    @vanchillahvanchillah7691Ай бұрын

    Unajua sana kaka viba kaka

  • @tgwan
    @tgwan2 ай бұрын

    oya Traxx Haya Mambo Yataleta Shida 🥶📌🛠

  • @yoramswagala6715
    @yoramswagala6715Ай бұрын

    Laizer ni baba Ako wa mziki

  • @mkadinali_ent.
    @mkadinali_ent.2 ай бұрын

    You always deliver man ,you deserve it

  • @kiatu
    @kiatuАй бұрын

    Ila nawaomba sana “producers” wajiingize katika biashara ya kuanzisha companies za label. Sababu ni kwamba kwanza wamefikia kiwango cha kuwa mtaji na pia wanaweza ku partner na investors wengine. Hapo naamini underground wengine wata break even. Hizi label za Wasanii zina conflict of interest. Music label ikiwa producer kama S2K ita make a lot of money kutoka kwa wasanii ambao ni wazuri sana lakini wapo wapo tu.

  • @user-me7uq3gt6w
    @user-me7uq3gt6w2 ай бұрын

    laiza mnamjua lkn

  • @MAF357
    @MAF3572 ай бұрын

    bro unajua

  • @zachariafelician8628
    @zachariafelician86282 ай бұрын

    Dogo unaongea sana dah!!yan mpaka unataka ku-takeover broadcaster

  • @CLB717
    @CLB717Ай бұрын

    Be humble mzee

  • @Ostica..Omie..junior
    @Ostica..Omie..juniorАй бұрын

    S2kzy ni beat maker sio music producer ambae ni full package..🤞

  • @DanielLaurent-pl4rg

    @DanielLaurent-pl4rg

    Ай бұрын

    +254 Kodi Namba CHORODO #Dan B Wansagen Moshi Kama Mbele 001 Mbalali

  • @user-vz4xj2ci2w

    @user-vz4xj2ci2w

    Ай бұрын

    YUPI NDO FULL PACKAGE

  • @syliBeat

    @syliBeat

    Ай бұрын

    @@user-vz4xj2ci2w Wapo Younkizzy Morrento MixingKiller LIZER

  • @jomeshastudio7046
    @jomeshastudio7046Ай бұрын

    Acha kujicfu kipapa cha woote ww kuna wanaojua zaid yako pumb ila ndio hvy mnahinga hela wanapotea kisa mnaogopa kupitwaa kuuuuma ww ya babuuu yakooo

  • @sadayosiame8798
    @sadayosiame87982 ай бұрын

    Anaachaje kujisifia wakati uyu mnyakyusa ndoo walivo

  • @Official_bizedd
    @Official_bizedd29 күн бұрын

    Hivi haka ka dogo kanajielewa kweli? Kezii ka bit za watu

  • @user-gs9mt1vp7i
    @user-gs9mt1vp7i2 ай бұрын

    Kama ni rahisi copy paste na ww tukuone,mtu kafanya vzur tumpongeze na ana kila haki ya kujisifu maana Afrika wivu mpaka ufe ndo wakusifie

  • @WeremaMwise
    @WeremaMwise13 күн бұрын

    we n zombie kwel haipingwiiiiiiiiiii

  • @SolomonMakombe
    @SolomonMakombeАй бұрын

    Afanye na Mimi hardcore rap...ila sio uongo dogo mkali SIJAWAHI kumpinga kila kaz....kama alizofanya na Nyandu midundo mikali

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k2 ай бұрын

    Unajiamini sana ila acha kujisifu sana

  • @ngadumbishi1405

    @ngadumbishi1405

    2 ай бұрын

    Ana Haki ya kujisifu sababu kazi anafanya kweli na inaleta matokeo mazuri kwake kama wasanii wanajisifia na hamjawai kuwaambia waache kujisifia kwann yeye mna crush mi nafikiri tutafute hela ili tupunguze makasiriko yasiyo na msingi broh

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k

    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k

    2 ай бұрын

    @@ngadumbishi1405 elewa nilichomahanisha kama ni hela na mm ninazo mdog wngu ila kujisifu sn so vzr ujue hiv bhn

  • @ngadumbishi1405

    @ngadumbishi1405

    2 ай бұрын

    Ww hela huna nawe mjomba anajisifu mo 😂😂​@@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k

  • @Brian_J17

    @Brian_J17

    Ай бұрын

    Ukiendelea hivi utakua mchawi

  • @Brian_J17

    @Brian_J17

    Ай бұрын

    Ukiendelea hivi utakua mchawi

  • @MaigeMitenenko
    @MaigeMitenenko9 күн бұрын

    Wee e!!!! Zombie unatisha achana na mambwera

  • @hamsokanji7505
    @hamsokanji7505Ай бұрын

    P-Funk Majani ndio wa kwanza Tz nzima.....wacha kwere ww...

  • @IvanBenjamin-fy9lg
    @IvanBenjamin-fy9lgАй бұрын

    Yup sahihi he deserve mzee

  • @raphaelmagayane4733
    @raphaelmagayane47332 ай бұрын

    Dude spk wth conf n hypr bt u shld gv thanx to God

  • @spicechronicles77
    @spicechronicles772 ай бұрын

    jamn jaman bongo raha sana

  • @selectorzedon255
    @selectorzedon255Ай бұрын

    Dem kauliza swali kiufundi sana

  • @rashidomar1558
    @rashidomar1558Ай бұрын

    Kujisifu tu .....hodar hajisifu.

  • @MERVABOYMUSIC
    @MERVABOYMUSICАй бұрын

    Mkali nawala musilete shobo

  • @SadamIsmail-vx2zc
    @SadamIsmail-vx2zcАй бұрын

    Zombie ni gini we ubishe au useme ajuhi ninani kila msanii anataja zombie diamond zombie mario zombie whozuh zombie zuchu zombie kisa msanii zombie we upinge nani ata kuimba aujuh useme zombie ajuh acha ufala ww

  • @PhinaGodifrey
    @PhinaGodifrey15 күн бұрын

    Haipigwiiiiii zombieeee

  • @nicholausmwinuka7640
    @nicholausmwinuka76402 ай бұрын

    Ulivo mtaja country ndo umenikosha

  • @jomeshastudio7046
    @jomeshastudio7046Ай бұрын

    We ni mkuuundu2 huna lolooteee

  • @OlafLondon-mb6cr
    @OlafLondon-mb6crАй бұрын

    Sanaa zombiee we noma .wengine wivu tuu

  • @Tdot4101
    @Tdot4101Ай бұрын

    Zombie ni top dog

  • @vanytag1413
    @vanytag14132 ай бұрын

    uyo jamaa mwingine alie vaa pama mbn haongeii chochotee anauza sura2😂😂😂

  • @dismasjerome1658

    @dismasjerome1658

    2 ай бұрын

    Yeye Hana anaona wenzie wanatema madini anayowaza

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania3797Ай бұрын

    Be civil and respectful 😂😂😂😂

  • @user-cl4dx3kc6k
    @user-cl4dx3kc6kАй бұрын

    Weee!!! Zombiiiii!!!

  • @losekumelita
    @losekumelitaАй бұрын

    Apana kiukweli uyu jamaa Ako vzur

  • @ErickstarGabriel
    @ErickstarGabrielАй бұрын

    Na ss mtupe mchongo jaman

  • @KaloxyCharles
    @KaloxyCharlesАй бұрын

    Zombie shetan🎉

  • @ChoroTesla
    @ChoroTesla2 ай бұрын

    s2kizzzy zimakulipa au ndo ulipewa hennessy na mademu tu.. manake nasikia mnafanyaga kazi bure

  • @mtazycomedy
    @mtazycomedyАй бұрын

    Songa kweli arud mjin

  • @lukasmnyethi5903
    @lukasmnyethi59032 ай бұрын

    Shida best zako nyingi ni mapiano tupu piga midundo ya asili yetu

  • @milley7185
    @milley71852 ай бұрын

    S2kizzy kipini je

  • @djhajiztz
    @djhajiztz2 ай бұрын

    haujui

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    Ай бұрын

    We zombi

  • @livinswai9291
    @livinswai9291Ай бұрын

    Kwanini mtu akifanya vizuri asipewe maua yake? Kila mtu ana wakati wake s2kiz ni tym yake no matter anafanya na wasanii wakubwa... kwanini hao wasanii wakubwa wamtafute s2kiz ni kwasababu wanamkubali,maproducer wengine wanafanya poa lkn is time for zombie

  • @BTON_TV.
    @BTON_TV.Ай бұрын

    Kelele nyingi sana

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo3683Ай бұрын

    Kuna ukweli ndani yake😂

  • @nyandichearts
    @nyandicheartsАй бұрын

    Kiuje huyo setu chiziiiiiii

  • @jajoherculesTV
    @jajoherculesTVАй бұрын

    WE ZOMBIE UNAJUA

  • @mkadinali_ent.
    @mkadinali_ent.2 ай бұрын

    Bro don't ever say that you're here to stay ,just dig out scott scorchy story he was the best dr dre time back then

  • @AnthonySindabaha-de3xb

    @AnthonySindabaha-de3xb

    Ай бұрын

    Anaitwa Scott storch producer mbaya sana. Yeye ndie aliegonga you ain't know ya lil weezy

  • @BurnaBoe-lo7oq
    @BurnaBoe-lo7oq2 ай бұрын

    Sikupingi s2kizzy

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka25892 ай бұрын

    Anaongea ukweli sio anajisifu

  • @erickaman6583
    @erickaman6583Ай бұрын

    Kuwa naishima bro ila wakwanza niwakwanza tu uwezi gonga Kwa p

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g2 ай бұрын

    Tangu laiza aache kuproduce asirimia fran wasani wcb nikama wanabahatisha bahatisha nyimbo sio kali kama wakati ule ila pambaneni

  • @OfficialMutrah

    @OfficialMutrah

    Ай бұрын

    Mbona laiza tangia atoke wcb hasikiki kama alikua ni mkali Laiza wcb ndo ilikua inambeba afu kumbuka s2kizy so wcb

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju24022 ай бұрын

    Si upo na Diamond,ondoka Wasafi tuone!

  • @MikeFuraha-rw6dr

    @MikeFuraha-rw6dr

    2 ай бұрын

    Hyupo Wasafi

  • @LizenMaker

    @LizenMaker

    Ай бұрын

    Nooma

  • @Prod_dangerflyt

    @Prod_dangerflyt

    Ай бұрын

    Huyo ana STUDIO YAKE MONDI NDIO ANAENDAGA

  • @ReubenMichael-nr8ds
    @ReubenMichael-nr8dsАй бұрын

    sema mwanetu unamcopy sana b12 vile una sound..rudi vile vile ulivyokuwa mwanzo mr presenter

  • @bmtbeatz920
    @bmtbeatz920Ай бұрын

    Acheni ushamba wakujisifia sana,,Amapiano ishafulia sijui mtajitamba na nini sasa kuweni humble beats zenywe ni makelele na kuimba ujinga huo mzk huwa haudumu so be humble.,,Pride is the devil 😝

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    Ай бұрын

    Kwani kuna producer mwengine Tanzania anamzidi Zhombie kwa kutengeneza hit songs style yoyote.

  • @bmtbeatz920

    @bmtbeatz920

    Ай бұрын

    @@BigZhumbe huyo ni kibaraka huwezi kuwa master wa style zote utakuwa ni ulimbuken trap yenyewe hajui anapiga 808 za mwaka wa 2000 alfu huku ndo mnasema hit songs 😅

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    Ай бұрын

    @@bmtbeatz920 Kumbe ni mtazamo wako kuwa mtu hawezi kuwa master wa style zote 🤣🤣🤣 Trap hio aliyopiga akaharibu ni ipi?

  • @producerdrannoh
    @producerdrannohАй бұрын

    S2KIZZY ameingiza kiburi.diamond akimtema itakuwa noma.but really he's good

  • @chusseboywcb2808

    @chusseboywcb2808

    Ай бұрын

    Paka diamond kumfata jua huyo anamadini

  • @haitapassion4428
    @haitapassion4428Ай бұрын

    Atari sana kaka zombie

  • @matugarecords
    @matugarecords2 ай бұрын

    Mwamba unajua acha waseme tu ila unastahili pongezi

  • @user-un2hm6my5x
    @user-un2hm6my5x2 ай бұрын

    Fact

  • @Suleiman99
    @Suleiman992 ай бұрын

    Abbah anakukalisha

  • @chibudangote0126
    @chibudangote01262 ай бұрын

    Ayoooo lizer

  • @royalbeatz288
    @royalbeatz288Ай бұрын

    Mi sipingani na wewe ila im gonna beat you on music making just belive the process #FACT

  • @doubletlacs1300
    @doubletlacs1300Ай бұрын

    Zoombieee......

  • @iampacifique7361
    @iampacifique73612 ай бұрын

    Producer mwizi tuu. He should stop stealing from upcoming artist

  • @kelvinmichael-cr6mo
    @kelvinmichael-cr6moАй бұрын

    We zombie

  • @user-me7uq3gt6w
    @user-me7uq3gt6w2 ай бұрын

    huyu muongo anesahau ngoma zake lazima akague laiza na amalizie huy mwehu

  • @user-vz4xj2ci2w

    @user-vz4xj2ci2w

    Ай бұрын

    LAIZA NI MZURI KWENYE MIXING NDO MAANA ANKUWA KAMA MIXING KILLER KWENYE BEATZ ZA HABAH

  • @JoismanDady
    @JoismanDadyАй бұрын

    We zombie haujui na mie mkaangalie video yangu jamani inaitwa enjoy😂😂

  • @KanalIdrissah-dh5hj
    @KanalIdrissah-dh5hj2 ай бұрын

    Nishasema kugonga beats za midundiko ndo kuwa producer mkali? Haujui hata unachokiongea katulie dogo ww Bado sana

  • @rugeton2328
    @rugeton2328Ай бұрын

    Dogo janja ufilimason huo nd umekufanya uwe hivyo wahuni tunakula Ngoma ngumu Kam wakina one incredible Nikki mbishi stereo Songa s.o.n.g.a kwaiy we kula maisha uliyoyachagua saw dogo

Келесі