S2KIZZY,- "Yeyote anaepingana na Mimi Aje na Fact sitaki Porojo zenu"
Жүктеу.....
Пікірлер: 189
@samiusiraj4587Ай бұрын
Producer ndo mtu wa kwanza kwenye music tumpe heshima yake bwana
@Official_bizedd
29 күн бұрын
Na wewe fungua studio sasa
@gospelnetworktz5450Ай бұрын
Ila jamani acha aseme mtu kutafuta Jina anasugua sana acha aseme bwana anajua jamaa Sana na acha aongee kwa kujiamini ukiwa chini wanadamu hawakupi saport acha jamaa acheze jukwaa lake
@dizzy_the_daxАй бұрын
S2kizzy gat his own unique beat and sound
@Jamestar001Ай бұрын
S2kizzy RESPECT YOU HOMEBOY,unajua kaka, ndomaana unaongea kwa comfidence, ❤🎉
@hatib8957Ай бұрын
Emu tuacheni majungu s2kizz anajua kwanini hatupendi kumpa mtu haki yake S2KIZZ ANAJUA
@BigZhumbeАй бұрын
Tunasema We Zhombie Haujui ila tuna-maanisha anajua sana 🔥🔥🔥🔥🔥
@estonsmart2 ай бұрын
Anaepinga apinge kwa hoja zenye ushahidi wa namba sio maneno maneno, Tisha sana Zombie 🔥🔥
@seamlesshunt38692 ай бұрын
Zoooombie 🔥🔥🔥 Numbers don’t lie. imeisha iyo
@ArrestgptucomedyАй бұрын
Heshima yeke tumpe...beat ndio ua inasukuma ngoma 🇺🇲
@edwardkongo410Ай бұрын
Dogo S2kizy ni mkali sanaaa
@frankmichael1968Ай бұрын
Yogo on the beat 💓
@samchris1914Ай бұрын
Zombie ile ngoma ya Vanessa Mdee ft Joh makini na Cassper 🔥🔥
@ottiefx255Ай бұрын
Hkn ubishi apo s2kizy yupo creative sana
@HerryHassan-sn1fh10 күн бұрын
Jaman mwenye sifa yake mpen t maana anapamban sn na kweli watamroga awe makin t mtu wetu
@hatib8957Ай бұрын
Mimi naamini kua wanamsema s2kizz kwa ubaya ni kwamba wanatamani kua kama yeye ila hawa uwezo maana hawajuwi na hawataki kujua
@Official-bataboy2 ай бұрын
Asa mnapinga nini @2kizzy yupo vizuri wakuu
@KarimuYusuphАй бұрын
Mbona umetoboa pua vip mwenzetu sio rijali nin muogope mungu dogo jua kunakufa
@sonitekog6041
16 күн бұрын
We mwenye hujatoboa,,hautakufa?
@SalumMsafiri20Ай бұрын
Respect you brother🏋️♂️
@HeiskmbАй бұрын
Unyama sana kaka mkubwa 🎉🎉🎉🎉🎉
@SamsonSony-yc3izАй бұрын
Msanii bila beat hamna kitu kwa huyu jamaa mkali
@OgegeMasangaАй бұрын
nakubali sna ZOMBIEEEE💗💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
@Jonathanmakhubela-kb6lzАй бұрын
S2kizz is the best producer in his career zooming east africa at this era stop acting with hate and saying diamond is taking him at some levels, u tanzanians are supposed to give the guy his flowers
@ellietitus6528
Ай бұрын
Wewe unaejua na hubebwi na wasanii uko wapiii?4
@Jonathanmakhubela-kb6lz
Ай бұрын
@@ellietitus6528 ♋♋😒
@Jonathanmakhubela-kb6lz
Ай бұрын
@@ellietitus6528 beleive what u beleive thats all
@nancyg8664Ай бұрын
😂et ntakua jini jaman we kaka
@DM_152 ай бұрын
Best producer kiukweli mdundo ndiounatambulisha mziki mkali huwezi sikiliza mziki kwa vijisauti sauti tuu
@kalmaarufuofficial74Ай бұрын
Wazokubwa 🔥💯 haujui
@swaxinno_ngwa3156Ай бұрын
Nakubali Kaka 👏👏👏👏we zombie
@ErickstarGabrielАй бұрын
Noma sana mwenyewe nakubali nataman siku tukae chin tufanye kaz
@MaigeMitenenko9 күн бұрын
Nazierewa Sanaa Hit zako
@user-nq4md3sj6d2 ай бұрын
anaongea fact 100%, ukiangalia kwa STATISTICS yupo sahihi na hio haina ubishi, kwa anaepinga alete DATA zake.. ZOMBIE ni genious 🔥
@ramseychobaliko1002
2 ай бұрын
Sasa anajua ndio lakin ajue anamalizia walipoanzia wengine hawez kuwa 🐐 GOAT wapo akina p-funk majani master j mika mwamba ndo wamefanya mziki upo hapa kwaiyo awe na adabu
@user-nq4md3sj6d
2 ай бұрын
@@ramseychobaliko1002 unashindwa kuelewa, yeye anasema ndio Producer wa kwanza kuwa namba kubwa ya hits song zinazofanya vizuri nje, na ndio producer alie kwenye nominise kubwa na nyingi nje mfano wa Grammy, ndio producer mwenye na ngoma nyingi za wasanii wa nje ya bongo, na ndio mana anasema yy ni BEST, sasa kama yupo mwenye vigezo hivyo aje na FACT na STATISTICS, je yupo?? ukiangalia hayupo.. UMEELEWA??
@user-nq4md3sj6d
2 ай бұрын
@@ramseychobaliko1002 sasa wabongo kusikia au kuambiwa ukweli ndio shida, na wala sio kuwavunjia heshima ila ndio ukweli
@hot2musicАй бұрын
Beat mbona tume mkopi ya hiyo na ime toka zaid
@RabunaHuseniАй бұрын
Nakukubari mzee zombie unajua sana mzee wala haukoseiii mzee mungu bress you mziki wako kaka mimi nipo South Africa 🇿🇦 solute Johannesburg
@Official_bizedd
29 күн бұрын
Sauth africa ya mashambani unalima.
@vanchillahvanchillah7691Ай бұрын
Unajua sana kaka viba kaka
@tgwan2 ай бұрын
oya Traxx Haya Mambo Yataleta Shida 🥶📌🛠
@yoramswagala6715Ай бұрын
Laizer ni baba Ako wa mziki
@mkadinali_ent.2 ай бұрын
You always deliver man ,you deserve it
@kiatuАй бұрын
Ila nawaomba sana “producers” wajiingize katika biashara ya kuanzisha companies za label. Sababu ni kwamba kwanza wamefikia kiwango cha kuwa mtaji na pia wanaweza ku partner na investors wengine. Hapo naamini underground wengine wata break even. Hizi label za Wasanii zina conflict of interest. Music label ikiwa producer kama S2K ita make a lot of money kutoka kwa wasanii ambao ni wazuri sana lakini wapo wapo tu.
@user-me7uq3gt6w2 ай бұрын
laiza mnamjua lkn
@MAF3572 ай бұрын
bro unajua
@zachariafelician86282 ай бұрын
Dogo unaongea sana dah!!yan mpaka unataka ku-takeover broadcaster
@CLB717Ай бұрын
Be humble mzee
@Ostica..Omie..juniorАй бұрын
S2kzy ni beat maker sio music producer ambae ni full package..🤞
@DanielLaurent-pl4rg
Ай бұрын
+254 Kodi Namba CHORODO #Dan B Wansagen Moshi Kama Mbele 001 Mbalali
Acha kujicfu kipapa cha woote ww kuna wanaojua zaid yako pumb ila ndio hvy mnahinga hela wanapotea kisa mnaogopa kupitwaa kuuuuma ww ya babuuu yakooo
@sadayosiame87982 ай бұрын
Anaachaje kujisifia wakati uyu mnyakyusa ndoo walivo
@Official_bizedd29 күн бұрын
Hivi haka ka dogo kanajielewa kweli? Kezii ka bit za watu
@user-gs9mt1vp7i2 ай бұрын
Kama ni rahisi copy paste na ww tukuone,mtu kafanya vzur tumpongeze na ana kila haki ya kujisifu maana Afrika wivu mpaka ufe ndo wakusifie
@WeremaMwise13 күн бұрын
we n zombie kwel haipingwiiiiiiiiiii
@SolomonMakombeАй бұрын
Afanye na Mimi hardcore rap...ila sio uongo dogo mkali SIJAWAHI kumpinga kila kaz....kama alizofanya na Nyandu midundo mikali
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k2 ай бұрын
Unajiamini sana ila acha kujisifu sana
@ngadumbishi1405
2 ай бұрын
Ana Haki ya kujisifu sababu kazi anafanya kweli na inaleta matokeo mazuri kwake kama wasanii wanajisifia na hamjawai kuwaambia waache kujisifia kwann yeye mna crush mi nafikiri tutafute hela ili tupunguze makasiriko yasiyo na msingi broh
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
2 ай бұрын
@@ngadumbishi1405 elewa nilichomahanisha kama ni hela na mm ninazo mdog wngu ila kujisifu sn so vzr ujue hiv bhn
@ngadumbishi1405
2 ай бұрын
Ww hela huna nawe mjomba anajisifu mo 😂😂@@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Brian_J17
Ай бұрын
Ukiendelea hivi utakua mchawi
@Brian_J17
Ай бұрын
Ukiendelea hivi utakua mchawi
@MaigeMitenenko9 күн бұрын
Wee e!!!! Zombie unatisha achana na mambwera
@hamsokanji7505Ай бұрын
P-Funk Majani ndio wa kwanza Tz nzima.....wacha kwere ww...
@IvanBenjamin-fy9lgАй бұрын
Yup sahihi he deserve mzee
@raphaelmagayane47332 ай бұрын
Dude spk wth conf n hypr bt u shld gv thanx to God
@spicechronicles772 ай бұрын
jamn jaman bongo raha sana
@selectorzedon255Ай бұрын
Dem kauliza swali kiufundi sana
@rashidomar1558Ай бұрын
Kujisifu tu .....hodar hajisifu.
@MERVABOYMUSICАй бұрын
Mkali nawala musilete shobo
@SadamIsmail-vx2zcАй бұрын
Zombie ni gini we ubishe au useme ajuhi ninani kila msanii anataja zombie diamond zombie mario zombie whozuh zombie zuchu zombie kisa msanii zombie we upinge nani ata kuimba aujuh useme zombie ajuh acha ufala ww
s2kizzzy zimakulipa au ndo ulipewa hennessy na mademu tu.. manake nasikia mnafanyaga kazi bure
@mtazycomedyАй бұрын
Songa kweli arud mjin
@lukasmnyethi59032 ай бұрын
Shida best zako nyingi ni mapiano tupu piga midundo ya asili yetu
@milley71852 ай бұрын
S2kizzy kipini je
@djhajiztz2 ай бұрын
haujui
@nancyg8664
Ай бұрын
We zombi
@livinswai9291Ай бұрын
Kwanini mtu akifanya vizuri asipewe maua yake? Kila mtu ana wakati wake s2kiz ni tym yake no matter anafanya na wasanii wakubwa... kwanini hao wasanii wakubwa wamtafute s2kiz ni kwasababu wanamkubali,maproducer wengine wanafanya poa lkn is time for zombie
@BTON_TV.Ай бұрын
Kelele nyingi sana
@dkensmopainvevo3683Ай бұрын
Kuna ukweli ndani yake😂
@nyandicheartsАй бұрын
Kiuje huyo setu chiziiiiiii
@jajoherculesTVАй бұрын
WE ZOMBIE UNAJUA
@mkadinali_ent.2 ай бұрын
Bro don't ever say that you're here to stay ,just dig out scott scorchy story he was the best dr dre time back then
@AnthonySindabaha-de3xb
Ай бұрын
Anaitwa Scott storch producer mbaya sana. Yeye ndie aliegonga you ain't know ya lil weezy
@BurnaBoe-lo7oq2 ай бұрын
Sikupingi s2kizzy
@frankngoloka25892 ай бұрын
Anaongea ukweli sio anajisifu
@erickaman6583Ай бұрын
Kuwa naishima bro ila wakwanza niwakwanza tu uwezi gonga Kwa p
@user-il6rm7cj1g2 ай бұрын
Tangu laiza aache kuproduce asirimia fran wasani wcb nikama wanabahatisha bahatisha nyimbo sio kali kama wakati ule ila pambaneni
@OfficialMutrah
Ай бұрын
Mbona laiza tangia atoke wcb hasikiki kama alikua ni mkali Laiza wcb ndo ilikua inambeba afu kumbuka s2kizy so wcb
@nikkimbishiunju24022 ай бұрын
Si upo na Diamond,ondoka Wasafi tuone!
@MikeFuraha-rw6dr
2 ай бұрын
Hyupo Wasafi
@LizenMaker
Ай бұрын
Nooma
@Prod_dangerflyt
Ай бұрын
Huyo ana STUDIO YAKE MONDI NDIO ANAENDAGA
@ReubenMichael-nr8dsАй бұрын
sema mwanetu unamcopy sana b12 vile una sound..rudi vile vile ulivyokuwa mwanzo mr presenter
@bmtbeatz920Ай бұрын
Acheni ushamba wakujisifia sana,,Amapiano ishafulia sijui mtajitamba na nini sasa kuweni humble beats zenywe ni makelele na kuimba ujinga huo mzk huwa haudumu so be humble.,,Pride is the devil 😝
@BigZhumbe
Ай бұрын
Kwani kuna producer mwengine Tanzania anamzidi Zhombie kwa kutengeneza hit songs style yoyote.
@bmtbeatz920
Ай бұрын
@@BigZhumbe huyo ni kibaraka huwezi kuwa master wa style zote utakuwa ni ulimbuken trap yenyewe hajui anapiga 808 za mwaka wa 2000 alfu huku ndo mnasema hit songs 😅
@BigZhumbe
Ай бұрын
@@bmtbeatz920 Kumbe ni mtazamo wako kuwa mtu hawezi kuwa master wa style zote 🤣🤣🤣 Trap hio aliyopiga akaharibu ni ipi?
@producerdrannohАй бұрын
S2KIZZY ameingiza kiburi.diamond akimtema itakuwa noma.but really he's good
@chusseboywcb2808
Ай бұрын
Paka diamond kumfata jua huyo anamadini
@haitapassion4428Ай бұрын
Atari sana kaka zombie
@matugarecords2 ай бұрын
Mwamba unajua acha waseme tu ila unastahili pongezi
@user-un2hm6my5x2 ай бұрын
Fact
@Suleiman992 ай бұрын
Abbah anakukalisha
@chibudangote01262 ай бұрын
Ayoooo lizer
@royalbeatz288Ай бұрын
Mi sipingani na wewe ila im gonna beat you on music making just belive the process #FACT
@doubletlacs1300Ай бұрын
Zoombieee......
@iampacifique73612 ай бұрын
Producer mwizi tuu. He should stop stealing from upcoming artist
@kelvinmichael-cr6moАй бұрын
We zombie
@user-me7uq3gt6w2 ай бұрын
huyu muongo anesahau ngoma zake lazima akague laiza na amalizie huy mwehu
@user-vz4xj2ci2w
Ай бұрын
LAIZA NI MZURI KWENYE MIXING NDO MAANA ANKUWA KAMA MIXING KILLER KWENYE BEATZ ZA HABAH
@JoismanDadyАй бұрын
We zombie haujui na mie mkaangalie video yangu jamani inaitwa enjoy😂😂
@KanalIdrissah-dh5hj2 ай бұрын
Nishasema kugonga beats za midundiko ndo kuwa producer mkali? Haujui hata unachokiongea katulie dogo ww Bado sana
@rugeton2328Ай бұрын
Dogo janja ufilimason huo nd umekufanya uwe hivyo wahuni tunakula Ngoma ngumu Kam wakina one incredible Nikki mbishi stereo Songa s.o.n.g.a kwaiy we kula maisha uliyoyachagua saw dogo
Пікірлер: 189
Producer ndo mtu wa kwanza kwenye music tumpe heshima yake bwana
@Official_bizedd
29 күн бұрын
Na wewe fungua studio sasa
Ila jamani acha aseme mtu kutafuta Jina anasugua sana acha aseme bwana anajua jamaa Sana na acha aongee kwa kujiamini ukiwa chini wanadamu hawakupi saport acha jamaa acheze jukwaa lake
S2kizzy gat his own unique beat and sound
S2kizzy RESPECT YOU HOMEBOY,unajua kaka, ndomaana unaongea kwa comfidence, ❤🎉
Emu tuacheni majungu s2kizz anajua kwanini hatupendi kumpa mtu haki yake S2KIZZ ANAJUA
Tunasema We Zhombie Haujui ila tuna-maanisha anajua sana 🔥🔥🔥🔥🔥
Anaepinga apinge kwa hoja zenye ushahidi wa namba sio maneno maneno, Tisha sana Zombie 🔥🔥
Zoooombie 🔥🔥🔥 Numbers don’t lie. imeisha iyo
Heshima yeke tumpe...beat ndio ua inasukuma ngoma 🇺🇲
Dogo S2kizy ni mkali sanaaa
Yogo on the beat 💓
Zombie ile ngoma ya Vanessa Mdee ft Joh makini na Cassper 🔥🔥
Hkn ubishi apo s2kizy yupo creative sana
Jaman mwenye sifa yake mpen t maana anapamban sn na kweli watamroga awe makin t mtu wetu
Mimi naamini kua wanamsema s2kizz kwa ubaya ni kwamba wanatamani kua kama yeye ila hawa uwezo maana hawajuwi na hawataki kujua
Asa mnapinga nini @2kizzy yupo vizuri wakuu
Mbona umetoboa pua vip mwenzetu sio rijali nin muogope mungu dogo jua kunakufa
@sonitekog6041
16 күн бұрын
We mwenye hujatoboa,,hautakufa?
Respect you brother🏋️♂️
Unyama sana kaka mkubwa 🎉🎉🎉🎉🎉
Msanii bila beat hamna kitu kwa huyu jamaa mkali
nakubali sna ZOMBIEEEE💗💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
S2kizz is the best producer in his career zooming east africa at this era stop acting with hate and saying diamond is taking him at some levels, u tanzanians are supposed to give the guy his flowers
@ellietitus6528
Ай бұрын
Wewe unaejua na hubebwi na wasanii uko wapiii?4
@Jonathanmakhubela-kb6lz
Ай бұрын
@@ellietitus6528 ♋♋😒
@Jonathanmakhubela-kb6lz
Ай бұрын
@@ellietitus6528 beleive what u beleive thats all
😂et ntakua jini jaman we kaka
Best producer kiukweli mdundo ndiounatambulisha mziki mkali huwezi sikiliza mziki kwa vijisauti sauti tuu
Wazokubwa 🔥💯 haujui
Nakubali Kaka 👏👏👏👏we zombie
Noma sana mwenyewe nakubali nataman siku tukae chin tufanye kaz
Nazierewa Sanaa Hit zako
anaongea fact 100%, ukiangalia kwa STATISTICS yupo sahihi na hio haina ubishi, kwa anaepinga alete DATA zake.. ZOMBIE ni genious 🔥
@ramseychobaliko1002
2 ай бұрын
Sasa anajua ndio lakin ajue anamalizia walipoanzia wengine hawez kuwa 🐐 GOAT wapo akina p-funk majani master j mika mwamba ndo wamefanya mziki upo hapa kwaiyo awe na adabu
@user-nq4md3sj6d
2 ай бұрын
@@ramseychobaliko1002 unashindwa kuelewa, yeye anasema ndio Producer wa kwanza kuwa namba kubwa ya hits song zinazofanya vizuri nje, na ndio producer alie kwenye nominise kubwa na nyingi nje mfano wa Grammy, ndio producer mwenye na ngoma nyingi za wasanii wa nje ya bongo, na ndio mana anasema yy ni BEST, sasa kama yupo mwenye vigezo hivyo aje na FACT na STATISTICS, je yupo?? ukiangalia hayupo.. UMEELEWA??
@user-nq4md3sj6d
2 ай бұрын
@@ramseychobaliko1002 sasa wabongo kusikia au kuambiwa ukweli ndio shida, na wala sio kuwavunjia heshima ila ndio ukweli
Beat mbona tume mkopi ya hiyo na ime toka zaid
Nakukubari mzee zombie unajua sana mzee wala haukoseiii mzee mungu bress you mziki wako kaka mimi nipo South Africa 🇿🇦 solute Johannesburg
@Official_bizedd
29 күн бұрын
Sauth africa ya mashambani unalima.
Unajua sana kaka viba kaka
oya Traxx Haya Mambo Yataleta Shida 🥶📌🛠
Laizer ni baba Ako wa mziki
You always deliver man ,you deserve it
Ila nawaomba sana “producers” wajiingize katika biashara ya kuanzisha companies za label. Sababu ni kwamba kwanza wamefikia kiwango cha kuwa mtaji na pia wanaweza ku partner na investors wengine. Hapo naamini underground wengine wata break even. Hizi label za Wasanii zina conflict of interest. Music label ikiwa producer kama S2K ita make a lot of money kutoka kwa wasanii ambao ni wazuri sana lakini wapo wapo tu.
laiza mnamjua lkn
bro unajua
Dogo unaongea sana dah!!yan mpaka unataka ku-takeover broadcaster
Be humble mzee
S2kzy ni beat maker sio music producer ambae ni full package..🤞
@DanielLaurent-pl4rg
Ай бұрын
+254 Kodi Namba CHORODO #Dan B Wansagen Moshi Kama Mbele 001 Mbalali
@user-vz4xj2ci2w
Ай бұрын
YUPI NDO FULL PACKAGE
@syliBeat
Ай бұрын
@@user-vz4xj2ci2w Wapo Younkizzy Morrento MixingKiller LIZER
Acha kujicfu kipapa cha woote ww kuna wanaojua zaid yako pumb ila ndio hvy mnahinga hela wanapotea kisa mnaogopa kupitwaa kuuuuma ww ya babuuu yakooo
Anaachaje kujisifia wakati uyu mnyakyusa ndoo walivo
Hivi haka ka dogo kanajielewa kweli? Kezii ka bit za watu
Kama ni rahisi copy paste na ww tukuone,mtu kafanya vzur tumpongeze na ana kila haki ya kujisifu maana Afrika wivu mpaka ufe ndo wakusifie
we n zombie kwel haipingwiiiiiiiiiii
Afanye na Mimi hardcore rap...ila sio uongo dogo mkali SIJAWAHI kumpinga kila kaz....kama alizofanya na Nyandu midundo mikali
Unajiamini sana ila acha kujisifu sana
@ngadumbishi1405
2 ай бұрын
Ana Haki ya kujisifu sababu kazi anafanya kweli na inaleta matokeo mazuri kwake kama wasanii wanajisifia na hamjawai kuwaambia waache kujisifia kwann yeye mna crush mi nafikiri tutafute hela ili tupunguze makasiriko yasiyo na msingi broh
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
2 ай бұрын
@@ngadumbishi1405 elewa nilichomahanisha kama ni hela na mm ninazo mdog wngu ila kujisifu sn so vzr ujue hiv bhn
@ngadumbishi1405
2 ай бұрын
Ww hela huna nawe mjomba anajisifu mo 😂😂@@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Brian_J17
Ай бұрын
Ukiendelea hivi utakua mchawi
@Brian_J17
Ай бұрын
Ukiendelea hivi utakua mchawi
Wee e!!!! Zombie unatisha achana na mambwera
P-Funk Majani ndio wa kwanza Tz nzima.....wacha kwere ww...
Yup sahihi he deserve mzee
Dude spk wth conf n hypr bt u shld gv thanx to God
jamn jaman bongo raha sana
Dem kauliza swali kiufundi sana
Kujisifu tu .....hodar hajisifu.
Mkali nawala musilete shobo
Zombie ni gini we ubishe au useme ajuhi ninani kila msanii anataja zombie diamond zombie mario zombie whozuh zombie zuchu zombie kisa msanii zombie we upinge nani ata kuimba aujuh useme zombie ajuh acha ufala ww
Haipigwiiiiii zombieeee
Ulivo mtaja country ndo umenikosha
We ni mkuuundu2 huna lolooteee
Sanaa zombiee we noma .wengine wivu tuu
Zombie ni top dog
uyo jamaa mwingine alie vaa pama mbn haongeii chochotee anauza sura2😂😂😂
@dismasjerome1658
2 ай бұрын
Yeye Hana anaona wenzie wanatema madini anayowaza
Be civil and respectful 😂😂😂😂
Weee!!! Zombiiiii!!!
Apana kiukweli uyu jamaa Ako vzur
Na ss mtupe mchongo jaman
Zombie shetan🎉
s2kizzzy zimakulipa au ndo ulipewa hennessy na mademu tu.. manake nasikia mnafanyaga kazi bure
Songa kweli arud mjin
Shida best zako nyingi ni mapiano tupu piga midundo ya asili yetu
S2kizzy kipini je
haujui
@nancyg8664
Ай бұрын
We zombi
Kwanini mtu akifanya vizuri asipewe maua yake? Kila mtu ana wakati wake s2kiz ni tym yake no matter anafanya na wasanii wakubwa... kwanini hao wasanii wakubwa wamtafute s2kiz ni kwasababu wanamkubali,maproducer wengine wanafanya poa lkn is time for zombie
Kelele nyingi sana
Kuna ukweli ndani yake😂
Kiuje huyo setu chiziiiiiii
WE ZOMBIE UNAJUA
Bro don't ever say that you're here to stay ,just dig out scott scorchy story he was the best dr dre time back then
@AnthonySindabaha-de3xb
Ай бұрын
Anaitwa Scott storch producer mbaya sana. Yeye ndie aliegonga you ain't know ya lil weezy
Sikupingi s2kizzy
Anaongea ukweli sio anajisifu
Kuwa naishima bro ila wakwanza niwakwanza tu uwezi gonga Kwa p
Tangu laiza aache kuproduce asirimia fran wasani wcb nikama wanabahatisha bahatisha nyimbo sio kali kama wakati ule ila pambaneni
@OfficialMutrah
Ай бұрын
Mbona laiza tangia atoke wcb hasikiki kama alikua ni mkali Laiza wcb ndo ilikua inambeba afu kumbuka s2kizy so wcb
Si upo na Diamond,ondoka Wasafi tuone!
@MikeFuraha-rw6dr
2 ай бұрын
Hyupo Wasafi
@LizenMaker
Ай бұрын
Nooma
@Prod_dangerflyt
Ай бұрын
Huyo ana STUDIO YAKE MONDI NDIO ANAENDAGA
sema mwanetu unamcopy sana b12 vile una sound..rudi vile vile ulivyokuwa mwanzo mr presenter
Acheni ushamba wakujisifia sana,,Amapiano ishafulia sijui mtajitamba na nini sasa kuweni humble beats zenywe ni makelele na kuimba ujinga huo mzk huwa haudumu so be humble.,,Pride is the devil 😝
@BigZhumbe
Ай бұрын
Kwani kuna producer mwengine Tanzania anamzidi Zhombie kwa kutengeneza hit songs style yoyote.
@bmtbeatz920
Ай бұрын
@@BigZhumbe huyo ni kibaraka huwezi kuwa master wa style zote utakuwa ni ulimbuken trap yenyewe hajui anapiga 808 za mwaka wa 2000 alfu huku ndo mnasema hit songs 😅
@BigZhumbe
Ай бұрын
@@bmtbeatz920 Kumbe ni mtazamo wako kuwa mtu hawezi kuwa master wa style zote 🤣🤣🤣 Trap hio aliyopiga akaharibu ni ipi?
S2KIZZY ameingiza kiburi.diamond akimtema itakuwa noma.but really he's good
@chusseboywcb2808
Ай бұрын
Paka diamond kumfata jua huyo anamadini
Atari sana kaka zombie
Mwamba unajua acha waseme tu ila unastahili pongezi
Fact
Abbah anakukalisha
Ayoooo lizer
Mi sipingani na wewe ila im gonna beat you on music making just belive the process #FACT
Zoombieee......
Producer mwizi tuu. He should stop stealing from upcoming artist
We zombie
huyu muongo anesahau ngoma zake lazima akague laiza na amalizie huy mwehu
@user-vz4xj2ci2w
Ай бұрын
LAIZA NI MZURI KWENYE MIXING NDO MAANA ANKUWA KAMA MIXING KILLER KWENYE BEATZ ZA HABAH
We zombie haujui na mie mkaangalie video yangu jamani inaitwa enjoy😂😂
Nishasema kugonga beats za midundiko ndo kuwa producer mkali? Haujui hata unachokiongea katulie dogo ww Bado sana
Dogo janja ufilimason huo nd umekufanya uwe hivyo wahuni tunakula Ngoma ngumu Kam wakina one incredible Nikki mbishi stereo Songa s.o.n.g.a kwaiy we kula maisha uliyoyachagua saw dogo