NAY WAMITEGO awakataa DIAMOND na HARMONIZE/ Sio WASHKAJI ZANGU/ Awatosa kwenye KWENYE ALBUM YAKE
Ойын-сауық
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Пікірлер: 80
The true boy Mr Ney. Ila Jeshi ukifanya ngoma naye utatoka sehemu moja na utafika sehemu nyingine.
@chizashungu8364
Жыл бұрын
Huyo mwenyewe bado anajitafuta.JAy melody habari ya mjini.oooh nimelowa...oooh naubeba.Sikiliza Sugar na Nakupenda ndiyo utajua.
@ismailmneka2967
Жыл бұрын
Ney nmkubwa kimzki kuliko uyo boya wako
@mosesshayo1631
Жыл бұрын
Kwahiyo unataka kusema ney yupo chini ya huyo bwege
Nay Wa Mitego my favorite artist from Tanzania
Safi sana wewe kweli Raisi kitaa kwanza wenzako mashauzi mengi
Kitaa pia kinakutambuwa kama Raisi wao Baba yagaaaaaaaaaa big salute 👏 🙏 🙌 ❤ kwa sanaaaaaaaaaa
Congratulations Mr Nay ❤️❤️💕
@jamalyjafari6363
Жыл бұрын
bab
Wapi like zangu Bana 😎😂
KONDE GANG FOR EVERYBODY EVERYBODY HE HE HEEEEEE 💪 NO1 IN 🇹🇿 TANZANIA
Nay power 💪💪💪💪 wanao mdiss nay wanafiki
Usichoke mwanagu nakuaminia sana
Raise wa kitaa yupo mtaan ongera Sana mzaz mwamba la masenze❤️💯🤫🤫
Wote mnao msema vby na kukoment vby ney wa mitego raisi wa kitaaa Mfe Mapema
@sadipascal2122
Жыл бұрын
Unahanza wewe
@annshellah6929
Жыл бұрын
Wapashe tena
@AP-uk3mq
Жыл бұрын
Ameen
Saf sana Rais wa kitaa kwa kutuletea Album nzur sana big up 👊👊
@user-jp8df3fl8s
6 ай бұрын
P
Weee noma mzee ney kweli ww ni rais wa kitaa
“Pless” PRESS😂😂😂😂
Nakubali mzee
THE TRUE BOY 👿👿💿💨💣😅
Safi sana mwamba
Kijana moto🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
@abdallarajabu3913
Жыл бұрын
Acha kumuonea wv
nakukubali sana kaka
Nakubali kaka usichoe
huyu jamaa nim rill sana
Wasanii 5 nyau sana wewe. Yani hata Top 10 haumo
@ruthnjeri6522
Жыл бұрын
Wwe pimbi wwe kaa kimyaa kojoa ulale Respect kwa President
@kassimrajabu7805
Жыл бұрын
@@ruthnjeri6522 president wa nini?
@ruthnjeri6522
Жыл бұрын
@@kassimrajabu7805 sio kila swali lina hitaji jibu broo usitoe fahamu kukuthirishia kwa faida yako cheki mziki mnene na tigo fiesta 2019 nay akieka rekodi Burundi show nae show zake
@justusmaricha7655
Жыл бұрын
Ucha uwongo,,,Nay ni nyokooooo top5 yupo
ney the dragon❤❤❤😂 254 nakutambua
ok yes ❤
🔥🔥🔥🔥
Nay 💪💪💪💪💪
Sure rais wa kitaa fanya ngoma na jeshiiiiiiiiiiii bc
Uk sawa kwa ukweli
Hata sijui nacheka nini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nakubari mistari yako
Sasa uyu nae acha ubabaifu
🎉🎉🎉🎉🎉
Nakukubalii wewe n MUSA wa Tanzania tuvushe
Rais wa kitaa🤜🤛
Siyo wepekeyako rahisi wakati nami
Acheni uxenge wa kuandika vingine
Kumbe nanyi mmeanza kuwa wssenge waongo ee kichwa cha habar mmeandika vingine mkiendelea iv tutawadharau kama wenzenu mnafel wap ad milad anawashinda
Nime “LELEASE”😂😂😂 RELEASE😂😂😂
@all-victorious2156
Жыл бұрын
Release sio Realese
@kassimrajabu7805
Жыл бұрын
@@all-victorious2156 sasa hapo umekosoa nini??😂😂😂
@all-victorious2156
Жыл бұрын
@@kassimrajabu7805 We mshamba , unafikiri uki-edit comment haionekani? Uliandika" Realese" sasa hivi ume-edit inaonekena "Release" Soma hapo juu kwa taarifa yako comment imeandikwa "edited" kwenye mabano.
@ezekieljacob5795
3 ай бұрын
Na wewe unaona eti unajua kingereza ,shamba tu wewe
Thehemu thahihi 😂😂
Ok like Bob Marley fight for tanzanians
Huyu sijui anajikutaga nani chefuuu
@victoriajoachim7271
Жыл бұрын
Hajui hata anachokifanya matambo ya bure tu kuimba unaimba nini wewe.
umefanya apo kwa Kua huna pesa kulipa ukumbi
Unapenda sana kujisifia mwenyewe huoni aibu
@gabrielgetari5541
Жыл бұрын
Kenge ww
@AP-uk3mq
Жыл бұрын
Kenge hasaa
Ney so poa anaweza👍 kwake
Simba mambo ya ubingwa basi tena mshakosa mwaka wa 3 mfululizo hadi nitoke madarakani chezea madaraka wewe
Kwasababu gani
Uongoo unaimba mtusi kenge
@jobtf.tmwabukusi7928
Жыл бұрын
Ney wa mitego ni rais wa kitaa kweli ila wewe unaemkosoa ndo kenge huwez kumsifia diamond kwa taifa hili kuhusu wananchi
Wewe uspoomba msaada kwa Diamond platnumz utabaki hivyohivyo na Siku zinaenda.Ukija zinduka kurapu huwezi tena.Jifunzeni kwa Barnaba,halafu jiulize kati ya wewe na Barnabas nani ana kipaji? Lakini alirudi kwa Diamond platnumz Huyo katoboa.Acheni kiburi maandazi nyie.Diamond Platnumz ana nguvu kubwa hapa bongo na Afrka mashariki yote.Nyie wasanii wote i hapa bongo hamuwezi kumfikia.Aamka wewe.
@simpleboytz255
Жыл бұрын
Nay wa mitego kashawahi kufanya ngoma mbili na Diamond Kama hilo hulijui wewe sio mfuatiliaji kwenye masuala ya mziki, pia Nay huwezi kumlinganisha na Barnaba maana Barnaba mfukoni yupo hoi lakini Nay ni boss mmiliki wa lebel ya Free Nation pia ana Nyumba kali, magari makali na ya bei kubwa pia ana studio kali hapo hana mafanikio?
@frankhoffa8356
Жыл бұрын
Ney hana papara nduguyangu.
@shaibumanda6314
Жыл бұрын
Umeongea uuupuuzi Sana sana
@abdallarajabu3913
Жыл бұрын
Acheniii kumuonea wiv
@AP-uk3mq
Жыл бұрын
Mjinga wewe
Daimondi ndio dalaja la mafanikio kwenye iyo bongo Flava Sasa ww endelea kuongea utumbo apo
@AP-uk3mq
Жыл бұрын
Hujielewi wewe
@EmmanuelSangeti-zc7xj
Жыл бұрын
Diamond ni kigeugeu mara chadema mara Ccm mara simba mara yanga
🔥🔥🔥🔥