NAY WAMITEGO awakataa DIAMOND na HARMONIZE/ Sio WASHKAJI ZANGU/ Awatosa kwenye KWENYE ALBUM YAKE

Ойын-сауық

...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------

Пікірлер: 80

  • @ndayijeanclaude5094
    @ndayijeanclaude5094 Жыл бұрын

    The true boy Mr Ney. Ila Jeshi ukifanya ngoma naye utatoka sehemu moja na utafika sehemu nyingine.

  • @chizashungu8364

    @chizashungu8364

    Жыл бұрын

    Huyo mwenyewe bado anajitafuta.JAy melody habari ya mjini.oooh nimelowa...oooh naubeba.Sikiliza Sugar na Nakupenda ndiyo utajua.

  • @ismailmneka2967

    @ismailmneka2967

    Жыл бұрын

    Ney nmkubwa kimzki kuliko uyo boya wako

  • @mosesshayo1631

    @mosesshayo1631

    Жыл бұрын

    Kwahiyo unataka kusema ney yupo chini ya huyo bwege

  • @wybzokizzy4416
    @wybzokizzy4416 Жыл бұрын

    Nay Wa Mitego my favorite artist from Tanzania

  • @tukkanda
    @tukkanda Жыл бұрын

    Safi sana wewe kweli Raisi kitaa kwanza wenzako mashauzi mengi

  • @kaditokenya6873
    @kaditokenya6873 Жыл бұрын

    Kitaa pia kinakutambuwa kama Raisi wao Baba yagaaaaaaaaaa big salute 👏 🙏 🙌 ❤ kwa sanaaaaaaaaaa

  • @ruthnjeri6522
    @ruthnjeri6522 Жыл бұрын

    Congratulations Mr Nay ❤️❤️💕

  • @jamalyjafari6363

    @jamalyjafari6363

    Жыл бұрын

    bab

  • @danyniyo3022
    @danyniyo3022 Жыл бұрын

    Wapi like zangu Bana 😎😂

  • @marijanamrope3804
    @marijanamrope3804 Жыл бұрын

    KONDE GANG FOR EVERYBODY EVERYBODY HE HE HEEEEEE 💪 NO1 IN 🇹🇿 TANZANIA

  • @adilikimela5093
    @adilikimela5093 Жыл бұрын

    Nay power 💪💪💪💪 wanao mdiss nay wanafiki

  • @sammysammy2001
    @sammysammy2001 Жыл бұрын

    Usichoke mwanagu nakuaminia sana

  • @fredymbawala6291
    @fredymbawala6291 Жыл бұрын

    Raise wa kitaa yupo mtaan ongera Sana mzaz mwamba la masenze❤️💯🤫🤫

  • @rahimkomba3149
    @rahimkomba3149 Жыл бұрын

    Wote mnao msema vby na kukoment vby ney wa mitego raisi wa kitaaa Mfe Mapema

  • @sadipascal2122

    @sadipascal2122

    Жыл бұрын

    Unahanza wewe

  • @annshellah6929

    @annshellah6929

    Жыл бұрын

    Wapashe tena

  • @AP-uk3mq

    @AP-uk3mq

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Жыл бұрын

    Saf sana Rais wa kitaa kwa kutuletea Album nzur sana big up 👊👊

  • @user-jp8df3fl8s

    @user-jp8df3fl8s

    6 ай бұрын

    P

  • @davidthekingdom6899
    @davidthekingdom6899 Жыл бұрын

    Weee noma mzee ney kweli ww ni rais wa kitaa

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Жыл бұрын

    “Pless” PRESS😂😂😂😂

  • @bigirimana2766
    @bigirimana2766 Жыл бұрын

    Nakubali mzee

  • @Worldwidetv901
    @Worldwidetv901 Жыл бұрын

    THE TRUE BOY 👿👿💿💨💣😅

  • @tumainijustine825
    @tumainijustine825 Жыл бұрын

    Safi sana mwamba

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Жыл бұрын

    Kijana moto🔥🔥🔥

  • @pharaonruhota7065
    @pharaonruhota7065 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @abdallarajabu3913

    @abdallarajabu3913

    Жыл бұрын

    Acha kumuonea wv

  • @AdaboyTz
    @AdaboyTz9 ай бұрын

    nakukubali sana kaka

  • @user-xl7ey2dr7h
    @user-xl7ey2dr7h10 ай бұрын

    Nakubali kaka usichoe

  • @mwamrajunior7631
    @mwamrajunior7631 Жыл бұрын

    huyu jamaa nim rill sana

  • @manajr9155
    @manajr9155 Жыл бұрын

    Wasanii 5 nyau sana wewe. Yani hata Top 10 haumo

  • @ruthnjeri6522

    @ruthnjeri6522

    Жыл бұрын

    Wwe pimbi wwe kaa kimyaa kojoa ulale Respect kwa President

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    Жыл бұрын

    @@ruthnjeri6522 president wa nini?

  • @ruthnjeri6522

    @ruthnjeri6522

    Жыл бұрын

    @@kassimrajabu7805 sio kila swali lina hitaji jibu broo usitoe fahamu kukuthirishia kwa faida yako cheki mziki mnene na tigo fiesta 2019 nay akieka rekodi Burundi show nae show zake

  • @justusmaricha7655

    @justusmaricha7655

    Жыл бұрын

    Ucha uwongo,,,Nay ni nyokooooo top5 yupo

  • @GidionNgala
    @GidionNgalaАй бұрын

    ney the dragon❤❤❤😂 254 nakutambua

  • @GevinhitiraGevinboy
    @GevinhitiraGevinboy3 ай бұрын

    ok yes ❤

  • @paulnyerere7940
    @paulnyerere7940 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @onlineservices592
    @onlineservices592 Жыл бұрын

    Nay 💪💪💪💪💪

  • @user-dj1uj2rh9y
    @user-dj1uj2rh9y10 ай бұрын

    Sure rais wa kitaa fanya ngoma na jeshiiiiiiiiiiii bc

  • @AlphonceMalemi
    @AlphonceMalemi6 ай бұрын

    Uk sawa kwa ukweli

  • @asmahussein2779
    @asmahussein2779 Жыл бұрын

    Hata sijui nacheka nini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @maikoalmas629
    @maikoalmas629 Жыл бұрын

    Nakubari mistari yako

  • @zena4746
    @zena4746 Жыл бұрын

    Sasa uyu nae acha ubabaifu

  • @user-gn4bt6jf6j
    @user-gn4bt6jf6j5 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-wd1td7ph2k
    @user-wd1td7ph2k3 ай бұрын

    Nakukubalii wewe n MUSA wa Tanzania tuvushe

  • @OlivierNduwayo-bm3qg
    @OlivierNduwayo-bm3qg24 күн бұрын

    Rais wa kitaa🤜🤛

  • @mwenyamutupa
    @mwenyamutupa Жыл бұрын

    Siyo wepekeyako rahisi wakati nami

  • @NobatMshanga
    @NobatMshanga3 ай бұрын

    Acheni uxenge wa kuandika vingine

  • @mbarukumakakala4895
    @mbarukumakakala4895 Жыл бұрын

    Kumbe nanyi mmeanza kuwa wssenge waongo ee kichwa cha habar mmeandika vingine mkiendelea iv tutawadharau kama wenzenu mnafel wap ad milad anawashinda

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Жыл бұрын

    Nime “LELEASE”😂😂😂 RELEASE😂😂😂

  • @all-victorious2156

    @all-victorious2156

    Жыл бұрын

    Release sio Realese

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    Жыл бұрын

    @@all-victorious2156 sasa hapo umekosoa nini??😂😂😂

  • @all-victorious2156

    @all-victorious2156

    Жыл бұрын

    @@kassimrajabu7805 We mshamba , unafikiri uki-edit comment haionekani? Uliandika" Realese" sasa hivi ume-edit inaonekena "Release" Soma hapo juu kwa taarifa yako comment imeandikwa "edited" kwenye mabano.

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    3 ай бұрын

    Na wewe unaona eti unajua kingereza ,shamba tu wewe

  • @sultanmgaya1419
    @sultanmgaya1419 Жыл бұрын

    Thehemu thahihi 😂😂

  • @mussaallyally2890
    @mussaallyally2890 Жыл бұрын

    Ok like Bob Marley fight for tanzanians

  • @user-hn3km9ex5r
    @user-hn3km9ex5r Жыл бұрын

    Huyu sijui anajikutaga nani chefuuu

  • @victoriajoachim7271

    @victoriajoachim7271

    Жыл бұрын

    Hajui hata anachokifanya matambo ya bure tu kuimba unaimba nini wewe.

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Жыл бұрын

    umefanya apo kwa Kua huna pesa kulipa ukumbi

  • @keiferuz4869
    @keiferuz4869 Жыл бұрын

    Unapenda sana kujisifia mwenyewe huoni aibu

  • @gabrielgetari5541

    @gabrielgetari5541

    Жыл бұрын

    Kenge ww

  • @AP-uk3mq

    @AP-uk3mq

    Жыл бұрын

    Kenge hasaa

  • @tomasmsimbe
    @tomasmsimbe Жыл бұрын

    Ney so poa anaweza👍 kwake

  • @user-kf6wy8gs1s
    @user-kf6wy8gs1s3 ай бұрын

    Simba mambo ya ubingwa basi tena mshakosa mwaka wa 3 mfululizo hadi nitoke madarakani chezea madaraka wewe

  • @mwenyamutupa
    @mwenyamutupa Жыл бұрын

    Kwasababu gani

  • @akimudominik5695
    @akimudominik5695 Жыл бұрын

    Uongoo unaimba mtusi kenge

  • @jobtf.tmwabukusi7928

    @jobtf.tmwabukusi7928

    Жыл бұрын

    Ney wa mitego ni rais wa kitaa kweli ila wewe unaemkosoa ndo kenge huwez kumsifia diamond kwa taifa hili kuhusu wananchi

  • @chizashungu8364
    @chizashungu8364 Жыл бұрын

    Wewe uspoomba msaada kwa Diamond platnumz utabaki hivyohivyo na Siku zinaenda.Ukija zinduka kurapu huwezi tena.Jifunzeni kwa Barnaba,halafu jiulize kati ya wewe na Barnabas nani ana kipaji? Lakini alirudi kwa Diamond platnumz Huyo katoboa.Acheni kiburi maandazi nyie.Diamond Platnumz ana nguvu kubwa hapa bongo na Afrka mashariki yote.Nyie wasanii wote i hapa bongo hamuwezi kumfikia.Aamka wewe.

  • @simpleboytz255

    @simpleboytz255

    Жыл бұрын

    Nay wa mitego kashawahi kufanya ngoma mbili na Diamond Kama hilo hulijui wewe sio mfuatiliaji kwenye masuala ya mziki, pia Nay huwezi kumlinganisha na Barnaba maana Barnaba mfukoni yupo hoi lakini Nay ni boss mmiliki wa lebel ya Free Nation pia ana Nyumba kali, magari makali na ya bei kubwa pia ana studio kali hapo hana mafanikio?

  • @frankhoffa8356

    @frankhoffa8356

    Жыл бұрын

    Ney hana papara nduguyangu.

  • @shaibumanda6314

    @shaibumanda6314

    Жыл бұрын

    Umeongea uuupuuzi Sana sana

  • @abdallarajabu3913

    @abdallarajabu3913

    Жыл бұрын

    Acheniii kumuonea wiv

  • @AP-uk3mq

    @AP-uk3mq

    Жыл бұрын

    Mjinga wewe

  • @sadicklukungu9905
    @sadicklukungu9905 Жыл бұрын

    Daimondi ndio dalaja la mafanikio kwenye iyo bongo Flava Sasa ww endelea kuongea utumbo apo

  • @AP-uk3mq

    @AP-uk3mq

    Жыл бұрын

    Hujielewi wewe

  • @EmmanuelSangeti-zc7xj

    @EmmanuelSangeti-zc7xj

    Жыл бұрын

    Diamond ni kigeugeu mara chadema mara Ccm mara simba mara yanga

  • @yuslaelias1836
    @yuslaelias1836 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

Келесі