Mnasema akumbuke mazuri aliyotedewa tangu atoke wcb hanjawai hata siku moja kuwasema wcb vibaya ..harmo hii ndio mara yake ya kwanza kufunguka sasa bona mnamchukulia kama yy mbaya ..as all of you know diamond ata hata reply lolote lkn ata watumia wale wafuasi wake kumdis harmo na lipite hivo na kunjifanya ata hanjui linalo endelea
@benedictesafi4386
2 жыл бұрын
MGDG acha ujinga auwone Koffi olomide Kongo alikua na Fally ipupa = leo Fally ipupa iko na Lebo yake na Fally ipupa aliyemutoa ni Koffi = ujinga Diamond akifa Tanzania mufunge muziki.muna Abdul mtu kuliko Allah.chuki zenu muna tuma watu wengi wamupende konde boy Harmozi anasema aliye mifanya awe leo Kimuziki ni Diamond. Sasa munataka apige ngoma mujuwe anamupenda Diamond?
@Magdalenaann
2 жыл бұрын
aliye na huo ujinga ni wewe kabisaa🤣🤣 soma comment yngu tena acha mhaho. Elewa comment yangu ipo side gani . wapi nmemsema harmo vibaya
@ndendedavid5382
2 жыл бұрын
Kweli
@msafirisalum8436
2 жыл бұрын
@@benedictesafi4386 hujui hata kuandika
@franktoneskorosov.4217 Жыл бұрын
My all time favourite artists... Konde gang jeshi from Kenya..
@abelachwata91722 жыл бұрын
Harmonize the best musician
@mohammedsalum3502
Жыл бұрын
Walipe kina chid na killy kenge ww
@mohamedsalim72712 жыл бұрын
Konde boy kaza mwana,mungu yupo na wewe...,nakuelewaga Sana jeshiiii..
@user-po8hz7xw9j
2 жыл бұрын
Ndomana mondi hanenepi
@kassimrajabu7805
2 жыл бұрын
@@user-po8hz7xw9j usipende kusikiliza story ya upande mmoja kuma ww
@levelmusiconthebeat8898
Жыл бұрын
Live kaka nakubali acha jamaa aendelee kutuhappynisha wadauu
@roseamos4641 Жыл бұрын
Mungu yuko pamoja nawewe ni mm rose kutoka kenya 🇰🇪 i always pray for you harmonize n love your shows n u too.
@mourinemageto38112 жыл бұрын
Kaka Rajab take it easy ...never mind about what the guy is doing... weka Mungu mbele bro....much love from Kenya 🇰🇪....tunakusupport bro keep on moving
@ismailsamola
Жыл бұрын
Mambo vp
@billiamwilliamtv65052 жыл бұрын
Ndomana Ali kiba aligeuza mkono duu!
@husseintv18402 жыл бұрын
Tapika bro wanakuaribia jina na record lebel ya yetu ya konde gang 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Kenya from now on we are together
@iammarriey2861
2 жыл бұрын
From to today tumehamia konde gang for every body
@ianngtv3257
2 жыл бұрын
Kabisa
@joshuakyomo3804
2 жыл бұрын
Sema na nyie watu wa kenya akili hamna 😂😂😂 si uende ukacoment kwa mambo ya Eric omondi hiyo ujinga yako
Uko point Tembo,kipaji unacho na mpaji ni Mungu,kumbuka kelele za chura hazizui Tembo kunywa maji.
@tricialonke73512 жыл бұрын
Tupendaneni. 😎 Relax tu. We got you. From Kenya 🇰🇪
@paschaledward1113 Жыл бұрын
Wewe NI mwanga kwa watu wa chini respect to you brother.
@franaelmbise65942 жыл бұрын
Ooh my God 😍😍😍 pole SANA konde Jeshi Ukiona umefanikiwa jua umepitia mengi Sana. Lkn diamond Mungu amsaidie abadilike aache roho mbaya lkn kiukweli mtu Kama ameweza kumkataa babake jee wewe atakufanyeje? Dadeke
@ssanyukivumbi40052 жыл бұрын
Huwa nakukubali sana konde.yaaani nimefurahi umejua kama huyo boss wa watu mnafiki. Safi sana.
@mohamedsalim72712 жыл бұрын
Futa hizo tattoo za huyo jamaa simba,hazifaii...hajakusaidia na chochote alikua anakuangamiza tu tu kimaisha
@mamaahmad86152 жыл бұрын
Huyo sadala hafaii kiba alifanyiwa mabaya mengi sana sadala acha roho mbaya😭😭😭😭😭
@dsuzerbweko4148
Жыл бұрын
Great point
@cynthianiipyana26022 жыл бұрын
umesikia bro sikuzoteeh mti wenye matunda upigweee mawe muache 2 mungu akupe nguvu diamond sio vizuri hbn mambo gani ayo lizika na unachopata kaaah wewe mjinga uyoooooo uwivu wakipumbavu uwoooh mjinga nyoooo
@godymaster25212 жыл бұрын
Kondeboy jeshiiiii🔥
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
smart boy
@rahimbiyeza40772 жыл бұрын
Be strong unatakiwa kutafuta huruma ya mungu siyo hurumq ya binadam
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Na bahati mbaya sana Mungu hayapendi Mambo ya mziki,,,
@nduwimanadidjaaimee59642 жыл бұрын
Nyie kila siku kumsema harmo vibaya munamutupisha eshima jueni kwamba maisha ya harmo mungu njo anayajua amushkur kivip mtu mwenye yuko anasema vibaya anamuaibisha harmo atamushkur vipi?????? Harmo usiwaokope muamini mungu huyo mbwa diamond akitaka peace atatulia
@jemshidsaleh42502 жыл бұрын
Amini Mungu YUPO KWA KILA MTU ATAKUTENGENEZEA MAZINGILA MABAYA HATIMAYE YATAMLUDIA MWENYEWE HATA KAMA ALIKUZAIDIA
@melody_mike_mavoice2 жыл бұрын
Everyone agrees with this .... answer me where is mavoko?
@eveliusreveliantv59852 жыл бұрын
Afu utakuta mtu anakoment ujinga ☹️☹️
@madetetv65762 жыл бұрын
Mond mchawi sana
@rupiajane6506
2 жыл бұрын
Kama mchawi nawewe kaloge
@lindambilinyi6253
2 жыл бұрын
Domo chawiiii
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
huyo diamond chawiii pesa zake za haramu
@ianngtv3257
2 жыл бұрын
Kabisa..
@gabylove4602
Жыл бұрын
Saaaana
@jamesisaya12712 жыл бұрын
Kwa kweli harmonize ni mvumilivu sana huyu sadala amekufanyia mabaya mengi
@natureisyours3643 Жыл бұрын
Na bado humuwezi
@bintichausa47442 жыл бұрын
Haki pole bro inasikitisha sana...muamini mungu atakupigania InshaaAllah utafika mbali .
@mussalingande4129 Жыл бұрын
Mwamini mungu kwa kila kitu binadamu hawezi kukufanya uwe imara zaidi ispkuwa mungu two
@eliusponde8564 Жыл бұрын
Ww ni mjinga kwel ungekuwa chinga miuza mandazi bira diamond
@benwekesa6139 Жыл бұрын
Hey,,,brother Harmonize uko sawa kwenye njia,, ujapotea,,, endelea kufanya amani,,mwelewe Dimond maanake ameshikwa na stress zake,, lakini ni kwa muda kidogo tuu, atakua settled in mind bado nyinyi ni mandugu. Fantastic aman wewe ni kiongozi mkubwa.
Acha aseme yote, kwani yeye hakuwa na mema yake, Hao wanafiki babu tale na Salam sk, ndiyo anguko la Diamond, huyo mama yake Diamond haoni wanavyo muangusha mwanae.
@harietisaya5281 Жыл бұрын
You're in my prayers don't mind about those people.
@jackiephyll12502 жыл бұрын
Napenda hamonize bure anakimya kwa muda lkini ikimfikia kwa shingo anatema .
@starboytz8901
Жыл бұрын
Hai
@starboytz8901
Жыл бұрын
Hai
@sweet16honey752 жыл бұрын
Makubwa but umefanya vizuri ukaondoka
@princeeddiekingsley87192 жыл бұрын
:-)😥😥😥jameni harmonize pole Sana nakuhurumia kwa uliyoyapitia pale wasafi ila usijali mwenyezi mungu atakufikisha mbali 🙏🙏natamani mno ipo siku tutaonana .zidi kusali na kutia bidii .
@clariskadzo6053
Жыл бұрын
Pole sana bro mungu mbele
@benardrogitonyangeri7117 Жыл бұрын
Tempo....wewe ni nguvu....love u bro
@NICOLAE.50 Жыл бұрын
Ni nani amerudi hapa kwa mara ya 7 2023 harmonize go ! Go! God bless you
@hamsomauzo45982 жыл бұрын
Ww mwenyewe fatafata simba ,nyimbo zko akitoa lingala na ww watoa km iyo tafuta mbinu zko
@mdzelemtende37092 жыл бұрын
Wasema ukweli brooh
@zaizaitwaha6633
2 жыл бұрын
Umeona eeeh yaan nimejifunza mengi kupitia hamonize daah benadamu
@abelchinese88262 жыл бұрын
Kisha alikwambiaka hivyo ...sasa hivi unamushinda kuimb! Love from Rwanda
Baba tunakuombea yeye amekuwa mungu muogope mungu sio diamond piga kazi wivu huo achana nae na uchawi wake aende kigoma pasua konde nakupa bigap
@mdzelemtende37092 жыл бұрын
Tapika mwana
@emmanuelsimon95992 жыл бұрын
🐘 MB zimekata paspojua 😢😢
@Imurengeupdates15162 жыл бұрын
Nipe mkono tushindane nakuambiya , majanga haya 😭💔
@suleimansaid26332 жыл бұрын
Sadala hakumsaidia HARMONIZE. Jamaa roho mbaya.
@johson6963 Жыл бұрын
Note ni mandugu zetu kutoka TZ Endelea Kuimba. Tubariki na nyimbo hii uchavu ngine ni aibu tu.
@nhnk80172 жыл бұрын
Ati ki uchawi hauniwezi hahahahaha
@colestmakoloo15002 жыл бұрын
Jeshii Don give up
@fauziaismail53462 жыл бұрын
Allah atawalipa lakini mana si kwakulia pesa kama hizo wakati wanachukuwa ilikuwa asilimiya 60%wewe 40%tu lakini hujifanya kama hawana kosa
@wanjirukarago93082 жыл бұрын
Akwende na huko ghasia !! Mchawi!! Powers of darkness.
@eppiemodest2 жыл бұрын
Mlipe Mwijaku na H. Baba pesa zao si bwabwaja tu. Umetengenezwa onyeshe fadhila. Ulitaka akupige teke kama master J. Si ungepotea. Mweshimu sana Diamond acha kubwabwaja.
@tystanjeepsy4769
Жыл бұрын
Harmonize is right we Kenyans🇰🇪 believe what he says and tell your fellow Tanzanians to wake up learn to cherish the truth.
@jonijoo23 Жыл бұрын
Ushukuru mwamba alikupeleka mpaka chumbani akakuonyesha kila kitu babu tofauti na akina mavoko hawakuwa ivo ndomaana ilionekana wewe unapendelewa sana ila punguza ushamba mmakonde
@joshuaodote2763 Жыл бұрын
HARMONIZE is as pure as his name
@palmirasoares75102 жыл бұрын
O que admiro neste cara é a sua humildade e não esquecer as suas raízes
@crappy63
Жыл бұрын
Sikuwa najua what happened man,but now am your big fan
@HabasaDavid
Жыл бұрын
*
@anjelinakasembe8452 жыл бұрын
Kaongeanpoint to point amna lakusema
@raimwachondorai1613 Жыл бұрын
Umefanya vizuri kutpka wasafi brooo big up sana
@husseintv18402 жыл бұрын
Don give up ma niggah 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏
@EDDIE_RIMES2 жыл бұрын
Only stupid people hate because of third hand information,,,,love you harmonize keep moving
@tatuaamuuinyi96332 жыл бұрын
Pole.waajili wenyerohombaya ndo walivyo
@Updatenewz Жыл бұрын
Much respect kwako Kama umeongea ukweli Ila Kama umeongea uongo mungu ata kulaani
@adamnasibu5931 Жыл бұрын
Jinga hili halina akili
@elibarikimacha55342 жыл бұрын
Sidhani kama nitakaa nimtizame Diamond the same way tena.
@alytellez5509
2 жыл бұрын
Co lazma twajiweza watoto simba
@evalynekwamboka2802 Жыл бұрын
Pole bro kwa yale yakwandama lakini uko roho safi mrudiane tu kwa maana nyinyi ni kama wanasiasa ambayo wanarusiana maneno makali wkt wa siasa lakini badae wanakula kwa meza moja
@charitehenri48822 жыл бұрын
Harmonize you are hero
@jamessichimata362 жыл бұрын
Yamekua hayo tena pambana tu usiwanufaishe watu.
@aishambise65292 жыл бұрын
Pole sana umefanya vizur kutapika haya
@hawashaibu2610 Жыл бұрын
Saanyimgine Kuna kidudu mtu Anawagombanisha.Diamond mpende mdogo wako Armoniz Ugomvi Haufai jaman
@iddibukwimba57112 жыл бұрын
Unamoyo kaka uyo jamaa roho yake mbaya
@Farajahelene230312 жыл бұрын
diamond he want to be like jesus shame are you sadala jealousy please live konde boy alone for us much love you papa zuur
@masudiitembele54142 жыл бұрын
yuleee mondi ataishiwaa vibayaa kwa kwelii ana hali ya ubinafsii
@rapperskunkersebastian59192 жыл бұрын
Shaka
@doniamaratane8248 Жыл бұрын
watoto wasio kuwa nashukurani ndo ivyo tu.
@laverababayz29182 жыл бұрын
Hii ndio mara y Kwanza yake kuogea kweli 😰 yamefika pole jeshiiiiiiiiiiiiiiii konde boy wewe mvumilivu Sana pole
@jcsoliste9 ай бұрын
God will bless your way bro for your humility
@johnnjenga4689 Жыл бұрын
Hakuwezi nowadays kimziki big fan from kenya
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
😭😭Duuu
@nasrisadick82902 жыл бұрын
Tuliza mshono mzee baba c ungepambana kwako uko kwnn uingie kwa watu,,,ulitaka kila kitu bure kwn ni kwako kule? Unafkir hatujui sema wenyew hawapo tu kuongelea kam we uko km dem
@ryankali2052 жыл бұрын
We nyamaza mbona unafanya hivi?nyi ni watu wazima kaaeni chini na mwelewane na kama hamuezi mnyamaziane inamaanisha haukuwa unadhamini urafiki wenyu
@millymilly7244 Жыл бұрын
Pole sana harmo saivi we ni jeshi
@salimbajber4851 Жыл бұрын
Hakuna asiyejuwa kama diamond mshamba pambana mwanangu..wasikurudishe nyuma
Пікірлер: 407
Ukiona mwanaume ametoa ya moyoni Ujue amechafukwa sana, Pole Sana Jeshi Mungu atakulipia kwa yote . Respect kwako
@azizaaziza5453
Жыл бұрын
Mswahil huyo watsndale achana nay
@leonardmwayeya13
Жыл бұрын
Kwanini usiseme hizu urikua nazo zikiyako mchawi mwenyewe
Mnasema akumbuke mazuri aliyotedewa tangu atoke wcb hanjawai hata siku moja kuwasema wcb vibaya ..harmo hii ndio mara yake ya kwanza kufunguka sasa bona mnamchukulia kama yy mbaya ..as all of you know diamond ata hata reply lolote lkn ata watumia wale wafuasi wake kumdis harmo na lipite hivo na kunjifanya ata hanjui linalo endelea
@benedictesafi4386
2 жыл бұрын
MGDG acha ujinga auwone Koffi olomide Kongo alikua na Fally ipupa = leo Fally ipupa iko na Lebo yake na Fally ipupa aliyemutoa ni Koffi = ujinga Diamond akifa Tanzania mufunge muziki.muna Abdul mtu kuliko Allah.chuki zenu muna tuma watu wengi wamupende konde boy Harmozi anasema aliye mifanya awe leo Kimuziki ni Diamond. Sasa munataka apige ngoma mujuwe anamupenda Diamond?
@Magdalenaann
2 жыл бұрын
aliye na huo ujinga ni wewe kabisaa🤣🤣 soma comment yngu tena acha mhaho. Elewa comment yangu ipo side gani . wapi nmemsema harmo vibaya
@ndendedavid5382
2 жыл бұрын
Kweli
@msafirisalum8436
2 жыл бұрын
@@benedictesafi4386 hujui hata kuandika
My all time favourite artists... Konde gang jeshi from Kenya..
Harmonize the best musician
@mohammedsalum3502
Жыл бұрын
Walipe kina chid na killy kenge ww
Konde boy kaza mwana,mungu yupo na wewe...,nakuelewaga Sana jeshiiii..
@user-po8hz7xw9j
2 жыл бұрын
Ndomana mondi hanenepi
@kassimrajabu7805
2 жыл бұрын
@@user-po8hz7xw9j usipende kusikiliza story ya upande mmoja kuma ww
@levelmusiconthebeat8898
Жыл бұрын
Live kaka nakubali acha jamaa aendelee kutuhappynisha wadauu
Mungu yuko pamoja nawewe ni mm rose kutoka kenya 🇰🇪 i always pray for you harmonize n love your shows n u too.
Kaka Rajab take it easy ...never mind about what the guy is doing... weka Mungu mbele bro....much love from Kenya 🇰🇪....tunakusupport bro keep on moving
@ismailsamola
Жыл бұрын
Mambo vp
Ndomana Ali kiba aligeuza mkono duu!
Tapika bro wanakuaribia jina na record lebel ya yetu ya konde gang 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Kenya from now on we are together
@iammarriey2861
2 жыл бұрын
From to today tumehamia konde gang for every body
@ianngtv3257
2 жыл бұрын
Kabisa
@joshuakyomo3804
2 жыл бұрын
Sema na nyie watu wa kenya akili hamna 😂😂😂 si uende ukacoment kwa mambo ya Eric omondi hiyo ujinga yako
@ramadhanmohamed1712
Жыл бұрын
Ulimwambia atapaike asaiv mwambie aharishe mzk umemshinda
Uko point Tembo,kipaji unacho na mpaji ni Mungu,kumbuka kelele za chura hazizui Tembo kunywa maji.
Tupendaneni. 😎 Relax tu. We got you. From Kenya 🇰🇪
Wewe NI mwanga kwa watu wa chini respect to you brother.
Ooh my God 😍😍😍 pole SANA konde Jeshi Ukiona umefanikiwa jua umepitia mengi Sana. Lkn diamond Mungu amsaidie abadilike aache roho mbaya lkn kiukweli mtu Kama ameweza kumkataa babake jee wewe atakufanyeje? Dadeke
Huwa nakukubali sana konde.yaaani nimefurahi umejua kama huyo boss wa watu mnafiki. Safi sana.
Futa hizo tattoo za huyo jamaa simba,hazifaii...hajakusaidia na chochote alikua anakuangamiza tu tu kimaisha
Huyo sadala hafaii kiba alifanyiwa mabaya mengi sana sadala acha roho mbaya😭😭😭😭😭
@dsuzerbweko4148
Жыл бұрын
Great point
umesikia bro sikuzoteeh mti wenye matunda upigweee mawe muache 2 mungu akupe nguvu diamond sio vizuri hbn mambo gani ayo lizika na unachopata kaaah wewe mjinga uyoooooo uwivu wakipumbavu uwoooh mjinga nyoooo
Kondeboy jeshiiiii🔥
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
smart boy
Be strong unatakiwa kutafuta huruma ya mungu siyo hurumq ya binadam
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Na bahati mbaya sana Mungu hayapendi Mambo ya mziki,,,
Nyie kila siku kumsema harmo vibaya munamutupisha eshima jueni kwamba maisha ya harmo mungu njo anayajua amushkur kivip mtu mwenye yuko anasema vibaya anamuaibisha harmo atamushkur vipi?????? Harmo usiwaokope muamini mungu huyo mbwa diamond akitaka peace atatulia
Amini Mungu YUPO KWA KILA MTU ATAKUTENGENEZEA MAZINGILA MABAYA HATIMAYE YATAMLUDIA MWENYEWE HATA KAMA ALIKUZAIDIA
Everyone agrees with this .... answer me where is mavoko?
Afu utakuta mtu anakoment ujinga ☹️☹️
Mond mchawi sana
@rupiajane6506
2 жыл бұрын
Kama mchawi nawewe kaloge
@lindambilinyi6253
2 жыл бұрын
Domo chawiiii
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
huyo diamond chawiii pesa zake za haramu
@ianngtv3257
2 жыл бұрын
Kabisa..
@gabylove4602
Жыл бұрын
Saaaana
Kwa kweli harmonize ni mvumilivu sana huyu sadala amekufanyia mabaya mengi
Na bado humuwezi
Haki pole bro inasikitisha sana...muamini mungu atakupigania InshaaAllah utafika mbali .
Mwamini mungu kwa kila kitu binadamu hawezi kukufanya uwe imara zaidi ispkuwa mungu two
Ww ni mjinga kwel ungekuwa chinga miuza mandazi bira diamond
Hey,,,brother Harmonize uko sawa kwenye njia,, ujapotea,,, endelea kufanya amani,,mwelewe Dimond maanake ameshikwa na stress zake,, lakini ni kwa muda kidogo tuu, atakua settled in mind bado nyinyi ni mandugu. Fantastic aman wewe ni kiongozi mkubwa.
@mastomasto9799
Жыл бұрын
Aendelee kutafuta hela lable nayo imejifia😉
Unapoongeya mabaya yao, kumbuka na mazuri yao.
@bashirfatuma5531
2 жыл бұрын
Let him talk he was quite for long
@thomaschiee2926
2 жыл бұрын
dogo ameshindwa mwache atapike tunafahamu munamapenzi na wbc sio huyu dogo mvumilivu mno
@husnamohammed644
2 жыл бұрын
Na wanaposema mabaya yake wakumbuke wema wake
@estherdesnah8672
2 жыл бұрын
Mazuri machache mno wacha ayatapike
@zeinababdi4757
2 жыл бұрын
Acha aseme yote, kwani yeye hakuwa na mema yake, Hao wanafiki babu tale na Salam sk, ndiyo anguko la Diamond, huyo mama yake Diamond haoni wanavyo muangusha mwanae.
You're in my prayers don't mind about those people.
Napenda hamonize bure anakimya kwa muda lkini ikimfikia kwa shingo anatema .
@starboytz8901
Жыл бұрын
Hai
@starboytz8901
Жыл бұрын
Hai
Makubwa but umefanya vizuri ukaondoka
:-)😥😥😥jameni harmonize pole Sana nakuhurumia kwa uliyoyapitia pale wasafi ila usijali mwenyezi mungu atakufikisha mbali 🙏🙏natamani mno ipo siku tutaonana .zidi kusali na kutia bidii .
@clariskadzo6053
Жыл бұрын
Pole sana bro mungu mbele
Tempo....wewe ni nguvu....love u bro
Ni nani amerudi hapa kwa mara ya 7 2023 harmonize go ! Go! God bless you
Ww mwenyewe fatafata simba ,nyimbo zko akitoa lingala na ww watoa km iyo tafuta mbinu zko
Wasema ukweli brooh
@zaizaitwaha6633
2 жыл бұрын
Umeona eeeh yaan nimejifunza mengi kupitia hamonize daah benadamu
Kisha alikwambiaka hivyo ...sasa hivi unamushinda kuimb! Love from Rwanda
Kweli kabs ongea yote mashoga wanao mkubali sadal wanapenda kupakatwa hapendi kujituma, 😂😂😂😂😂
Baba tunakuombea yeye amekuwa mungu muogope mungu sio diamond piga kazi wivu huo achana nae na uchawi wake aende kigoma pasua konde nakupa bigap
Tapika mwana
🐘 MB zimekata paspojua 😢😢
Nipe mkono tushindane nakuambiya , majanga haya 😭💔
Sadala hakumsaidia HARMONIZE. Jamaa roho mbaya.
Note ni mandugu zetu kutoka TZ Endelea Kuimba. Tubariki na nyimbo hii uchavu ngine ni aibu tu.
Ati ki uchawi hauniwezi hahahahaha
Jeshii Don give up
Allah atawalipa lakini mana si kwakulia pesa kama hizo wakati wanachukuwa ilikuwa asilimiya 60%wewe 40%tu lakini hujifanya kama hawana kosa
Akwende na huko ghasia !! Mchawi!! Powers of darkness.
Mlipe Mwijaku na H. Baba pesa zao si bwabwaja tu. Umetengenezwa onyeshe fadhila. Ulitaka akupige teke kama master J. Si ungepotea. Mweshimu sana Diamond acha kubwabwaja.
@tystanjeepsy4769
Жыл бұрын
Harmonize is right we Kenyans🇰🇪 believe what he says and tell your fellow Tanzanians to wake up learn to cherish the truth.
Ushukuru mwamba alikupeleka mpaka chumbani akakuonyesha kila kitu babu tofauti na akina mavoko hawakuwa ivo ndomaana ilionekana wewe unapendelewa sana ila punguza ushamba mmakonde
HARMONIZE is as pure as his name
O que admiro neste cara é a sua humildade e não esquecer as suas raízes
@crappy63
Жыл бұрын
Sikuwa najua what happened man,but now am your big fan
@HabasaDavid
Жыл бұрын
*
Kaongeanpoint to point amna lakusema
Umefanya vizuri kutpka wasafi brooo big up sana
Don give up ma niggah 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏
Only stupid people hate because of third hand information,,,,love you harmonize keep moving
Pole.waajili wenyerohombaya ndo walivyo
Much respect kwako Kama umeongea ukweli Ila Kama umeongea uongo mungu ata kulaani
Jinga hili halina akili
Sidhani kama nitakaa nimtizame Diamond the same way tena.
@alytellez5509
2 жыл бұрын
Co lazma twajiweza watoto simba
Pole bro kwa yale yakwandama lakini uko roho safi mrudiane tu kwa maana nyinyi ni kama wanasiasa ambayo wanarusiana maneno makali wkt wa siasa lakini badae wanakula kwa meza moja
Harmonize you are hero
Yamekua hayo tena pambana tu usiwanufaishe watu.
Pole sana umefanya vizur kutapika haya
Saanyimgine Kuna kidudu mtu Anawagombanisha.Diamond mpende mdogo wako Armoniz Ugomvi Haufai jaman
Unamoyo kaka uyo jamaa roho yake mbaya
diamond he want to be like jesus shame are you sadala jealousy please live konde boy alone for us much love you papa zuur
yuleee mondi ataishiwaa vibayaa kwa kwelii ana hali ya ubinafsii
Shaka
watoto wasio kuwa nashukurani ndo ivyo tu.
Hii ndio mara y Kwanza yake kuogea kweli 😰 yamefika pole jeshiiiiiiiiiiiiiiii konde boy wewe mvumilivu Sana pole
God will bless your way bro for your humility
Hakuwezi nowadays kimziki big fan from kenya
😭😭Duuu
Tuliza mshono mzee baba c ungepambana kwako uko kwnn uingie kwa watu,,,ulitaka kila kitu bure kwn ni kwako kule? Unafkir hatujui sema wenyew hawapo tu kuongelea kam we uko km dem
We nyamaza mbona unafanya hivi?nyi ni watu wazima kaaeni chini na mwelewane na kama hamuezi mnyamaziane inamaanisha haukuwa unadhamini urafiki wenyu
Pole sana harmo saivi we ni jeshi
Hakuna asiyejuwa kama diamond mshamba pambana mwanangu..wasikurudishe nyuma
Harmonize my super artist
mimi Konde geng damu niko congo
Wewe muongo yani atamajina uyajuwi muongo kuapa atamimi naapa wewe muongo naapa munguwangi muongo
Kwa tulio wai kuuishi karibu na mond sisi hatuna baya nae yuko peace
@happymwaseba5878
Жыл бұрын
❤️❤️❤️
oh my favourite singer what hel
Linaroho mbaya ndio maana hatulipendi. uswahili mwingi.
Pole mi mama yako was katavi,tutakuombea kwa mungu
DIAMOND NI FREEMASON
Harmonaize kusu uyo simba isijalinayr,nikelele zachura,azimzuru,ngombe kunywamaji
Maboiller was here congratulations 🔥
Jeshi🔥🔥🔥💪
Mh kaka acha hivyo kaka huyo katoa mbali
hata Mimi nilisema huna shukurani kumbe kaka yangu ulipitia taabu pole sana kumbe daiamod nimbaya sana alikumiza sana
Salute konde kw hekima yako
Today I understand 😁
Jeshiiii💪💪💪💪💪💪
But harmonise you have to respect diamond because amekutoa mbali sisi binadamu hatuez jua mahali tumetoka
Harmonize Mungu awe nawe kabisa
Mungu njo anajuwa future yako bro