Harmonize Kuvujisha Video ya Diamond Alichomfanyia Wakati Wakishoot Video ya Kainama
Фильм және анимация
Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
FOLLOW US
Follow on Instagram: / mwendokasitv
Follow on Facebook: / mwendokasimedia
Пікірлер: 384
Tusio kuwa na team tujuane 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Mimi nitatoa kauli moja tu: Kila mtu ana ndoto zake kwa maisha, huwezi katiza ndoto za mtu na huwezi katiza riziki ya mtu yeyote...hii dunia Mungu ndio ana funguo za utajiri na kila kitu. Konde Gang has the right to follow his dreams and not just be curtailed by this cartel that is known as WCB Wasafi. Konde Gang likes ziko wapi?
I like this guy , he's one in a million your going far bro keep it up🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪👑👑👑👑
@ianngtv3257
2 жыл бұрын
Kabisa...
I ,a Ugandan ...have been a big fan of Diamond since 2009...when Harmonize left Wasafi i hated him so mch but nw I understand you bro...Harmo u re a grt guy u deserve the best in this life....
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
" why majority of Ugandans are not good in Swahili,they pretend English with bad accent!!! And their mother tongs
@ianngtv3257
2 жыл бұрын
For real..
Courage mon frère hata Congo DRC tuna ku kubali sana uli fika Goma angalia mambo uliyo pitia vita…… Mungu aku linde katika kazi zako mimi na ku sapoti uendeleye vile maisha ni ku ji tuma na usi sahau sala Mungu njo chef
We love you from kenya humbleness takes you far
Wakenya na harmonize🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Harmoniz God is with you,,,, continue shining diamond platinum is not God,,,your more loved by us in Kenya around the world
Harmonize you are my number one ever Artist! One love you've proved that you are innocent, you tried your best and you are here. Keep moving.
From today and forever will be your fan.... Okay
Big up harmonize nakubali nyimbo zako sana
Pole xana kaka kwa unauopitia
Nampenda sana hamor
Husife moyo ndugu yangu ..mungu yupo kwa waliofinyiliwa ..litamrudia diamond hivi karibuni ...amini mungu Yuko bro
Pole sana from 🇰🇪🇰🇪, God is with you
Harmonize pambana kaka Mungu yupamoja nawe
Wasafi imefanya talanta kibao zififie ivi kwamba kaa wee kaa msani huko under wasafi huezi tambulika.....kudos konde for breaking that trend....full support
If you work just for money, you’ll never make it, but if you love what you’re doing and you always put the customer first, success will be yours
@ephraimjunior5888
2 жыл бұрын
Very right
@briangursx5350
2 жыл бұрын
@@ephraimjunior5888 Once you free yourself from the need for perfect acceptance, it’s a lot easier to launch work that matters
@briangursx5350
2 жыл бұрын
@@licesworld5250 Sometimes it will seem like every day is a bad day, but if you keep fighting you'll have good days again.
MEN I LIKE HARMONIZE. YOU ARE BEST EVER
Diamond anatakiwa kuwa makini sana sasa, haya yawe fundisho juu ya watu wanaotaka kuwasajili katika Lebo,,,
Shukuru umetoka mungu akubariki kutoka cyo unabwata ka choko
When fake people walk away from you, let them walk. It's their choice, your destiny is never tied to anyone who left. You will surely be left with those that adores your company with positive mind.
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
Exactly!!
@abuuzahoroally4654
Жыл бұрын
Kwel mondi hataki mtu awe juu yake ukianza kushain ungonvi
Da kumbe diamond mchawi, makubwa haya. Team Konde Gang forever
@devidlaizer871
Жыл бұрын
DJ klng
@dogjosedogjose
Жыл бұрын
@@devidlaizer871nimemisikwenda kwenye vigodol
@dogjosedogjose
Жыл бұрын
Kodeboy
Dogo uko vizuri chamsingi ni kujiamini na kupambana walla usisikikilize wanayo ongea wanaadam we pambana ikosiku utatoboa,hivi unafahamu yakua hakuna tofauti kati ya maskini na tajiri awe na kila kitu Ila bada mazishi hachagui
Hujasaidiwa bwanaaa, HICHO KI.KIPAJI UMEPEWA NA MUNGU. HATA BILA YEYE , MUNGU ANGEKUPA MTU MWINGINE ILI AKUONGOZE. KAZI IENDELEE.
I like this guy so much!! Amejituma Sana anayosema labda Yana ukweli
@ianngtv3257
2 жыл бұрын
Kabisa👌
ila nikweli bhn kila mtu anapenda ndoto zake na awee ila kumbukeni mtu ambaye anamsaidia mtu msaidiii tu na wewe diamond kama usha msaidia harmonize bx mungu ndoalipanga sasa unamchukia nini nyooooooooooooooooo harmonize give up my brooooooh ilove so much ataivyo nawapenda woteeeeh wasani ila mond umezidi
Bro big up jitegemee uko juu
Nakuerewa sana bg konde
Kaka pole Sana ila kilamt ana kit alicho pangiwa na mungu
Nimekuelewa konde boy jesh we are together until death
Ningependa Diamond kujibuu haya yote maaana hasipojibu tuskizee upande wake then hatajwa amemtendea Hamo si vyema nway Gosipp no1 kutoka 🇰🇪🇰🇪 TNG Media Ke
@sarahmichael7538
2 жыл бұрын
Amewaongezea posho chawa wake huko mitandaoni wanahangaika kumchafua harmo usiku na mchana, wamezidiwa
@zepinashatibu5149
2 жыл бұрын
Ajibu nini wakati picha inajulikana
@zubeidashabhan2188
Жыл бұрын
Ajibu asijibu harmonise na mwaminia
Tumekuelewa ila ilikuwa haina haja kutangaza udani ubaya wa mwenzako ili kujisafisha...naamini hata ww una mabaya ulimfanyia...mwanadamu ni dhaifu siku zote hata ww siku ibra ama msanii wako yeyote atakaye fanikiwa na kujishindanisha ama kushindanishwa na ww watu wako wa karibu watakusemeza hayo ndio maisha...muhimu ni muheshimiane muache kutungiana nyimbo za kuchefuana...
Mungu akutangulie ufike salama ktk safari yako ya maisha
Ume winner umemtukana mwezio iyo siyo poa bro harmonize
Konde you speak the truth God bless you ❤❤
Ni kweli bila huyo tusinge kujua leo na hata pesa uliyo nayo nj zao la diamondi..mungu anakuona
@pasensianapaul2560
2 жыл бұрын
Kila mtu anatoka kwa njia yake hata yeye alitolewa na mtu
Harmo you're the best ever 💯💯 nyimbo zako zinanipa motisha sana especially in this live without balance 😂😂😂
Thus y I love harmo anaongea kwa Ubusara
Konde gang for LIVE. .......🌟
Helping someone so as u can earn profit from him/her is not a kindness, it is an investment. Diamond aliwekeza kwa harmonize, harmonize ametoka kwenye mtego wa panya. Hii inaonyesha harmonize ni mwenye busara zaidi, maana alitoka kistaarabu. Na amewajibu kutokana na shobo zao za kumdiss. Af mtu mwenye kupenda kujisifu kisa alisaidia mtu, wala hapat baraka ya msaada alioutoa (surat bakar).
@nurat5777
Жыл бұрын
Ww ni mwanaume wa kweli Tena yule mwenye maamuz Big up
Tangu harmonize kuweka mambo wazi, subscribers wake wameongezeka maradufu
@ianngtv3257
2 жыл бұрын
Kabisa..
@mrten2574
Жыл бұрын
Ameshamzidi 🦁🦁🦁🦁
Teacher konde achana nae mungu anakutengenezea njia nzur tunzid kuku support
Hekima za Kongeboy nakukubali sana
Keep it up bro please how many distance from Kenya please I beg you to give me a call about blizzcon the boy
Sik zote mti wa matunda lazim utupiwa mawe, msanii yyte anae anza kuwa na mafanikio lazim awe na bifu kubwa na daimond sio jamb la kuuliz hatushangai. Harmonize charaza bakora
Unajua nini harmonize usingeingia wew wcb isngejulikana kabisa lakin wew na kukubali unakipaj hatali hawez wakakufikia wew
Brother pole Sana yani unanliza brother weeh pambana Kaka
dah ..nilikuwa nakulaum kumbe sijui..pole snaa
Naomba warudiane Kimziki 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🐘🦁🦁🐅
Nakukubali brother konde
Fanyeni kazi vijana malumbano hayafai
Never give up 💪💪💪💪💪
Yeah bro ur songs are the besty harmo congrats ma bro
Huyu harmonize no mshamb tu Jana lolote
Ucjali ndugu pambana mungu atakucmamia
Achana na hayo Harmonize..fanya kazi...wanadamu ndio tulivyo...wewe na diamond sio wa kwanza kugombana...wanadamu siyo..usiongee sana..hao hao wanaokuhoji mamuluki...Note pliz
@vincentnyabuto4605
Жыл бұрын
Diamond Ubwa yeye kupigana na mtoto wake atakufa kama matako yake
Yaani nasoma comments hakuna mtu kajiumba mola peke ,diamond bado mungu anampenda ,harmo pia wewe mabaya ni mengi kumbuka tuu mungu alikubali ufike hapo so tulia onyesha upendo kwa adui yako ,,,,kubali kuonekana mbaya ushine Sasa umeanguka kabisar
Nakukubali kwamaneno yako kijana
Kwenye flash zangu nimefuta nyimbo zako zote kwa ujinga unao ongea
Kila mtu na riziki yake, don't lose hope brazii
My favorite ❤️❤️❤️❤️❤️ love you Big🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ropoka uwezavyo mond humuwez bado kinda sana harmonize..mond n next level
Well done my sister
@deogratiusruhuro3584
Жыл бұрын
Sista babako kunguru mkubwa🤣🤣😀
@geofreylucas1877
Жыл бұрын
🇹🇿🤣🤣🤣
@firdausbakari7341
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Diamond ni mshamba sanaa mtu mshamba haijalishi anakipato au Hana.
konde boy fire
Enda utandike diamond.kwa mziki na vita hakuezi pesa tu do anakushide.wakenya tuko konde boy ngeny.
Keep up bro
....huniwezi kiserekali, huniwezi kihela, tena huniwezi kiuchawi....duuuuuuh ! Pole sana Harmo umepitia na magumu sana
diamond why do this to your brother????? not fair this has made me hate you with passion shetani ashindwe enjoy 50minutes of fame shindwe nguvu za giza. mola ndio mpaji
@ncba
2 жыл бұрын
😂😂
keep fighting bro..
Daimondi arijuwa kuwa wewe unaakiriy kwani una shukurani wewe daimondi anajuwasana
Jeshi haupingwi Kk nakukubali sana
Nicee
Mimi ni kiswahili ya watanzania imenileta uku😂😂
@mariellerashidi4649
2 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 Tukowengi
@highzacknnko9685
2 жыл бұрын
Kiswahili kirahisi sana kwani wewe unajua lugha gani?
Cham2.maviii.kakaa🎉🎉🎉.vizuli🎉🎉upoo.leboo.yakooo
Kumbe uyu brz sio poa kwl mwnng pambn brz kunde
Jeshi🔥🔥🔥💪
Dah! Pole Sana Konde
Never give up 💪🏿
Mondiii ni machineeeee anawashindaaa woteeee ndo maana mnataftavpa kwenda kujifchaa lkn piaa burna boy pia uchawii umezidi
Konde boy wakenya twakuaminia na twakurespect wewe ni msanii ule mnoma Toka ile wakati ulitembea Nakuru Kenya nikuheshimu njoo Kenya piga show na wakenya achana na huyo anajiita Simba ndo maana mejja alimnyima collabo
Tunafaana pia me nimepitia hayo matatizo ndomana nakuamini tu sana we ni jeshi
Fanyeni kazi acheni drama fans tunataka musics
Unajitetea Sanaa tuachie Simba wetuuu
Napendaa konde gang
Oooh my gosh
His toking vitu ambavyo vinatoka ndani ya moyo wake and that's why amebabarikiwa sana na mwenyezi mungu na daima mtu kama huyu ni ngumu kirudi nyuma hata iwe namna gani
We Ni msaliti tuuu
Ilikuwa Haina Haja Harmo,
Ww jeshi
Wozaaaaa ma men
Umepitia mengi broo pambana
Huyo burner anamuogopa Mondi ndiyo maana hataki kuwa nae karibu kwasababu anampa challenge arafu harmonize bonge la snitch
@sophsoph4740
Жыл бұрын
Kabs
Kwavile umeweza kujitoa wasafi jitaidi kupambana ndugu yangu
Nice work bro
Totally love this konde guy. Way better than diamond, keep your cool.
Wewe nawe tushokuzoea usipende sana kusema mabaya ya wezako we mbona unamazaifu wewe ni mwanamme jifunze kukaakimya hilo ni jibu tosha kwa mtu sio kuweka vitu vyawatu wopr ulimuanika mwisho yule pale anaitwa mama acha mabifu piga kazi kaka acha maneno maneno
harmonize kweli umepitia magumu endelea kupambana mashabiki walk tupo pamoja nawe
Wewe uko sawa jeshi