This the same thing Diamond did to Rich Mavoko.....
@innocentjoram41542 жыл бұрын
Aisee konde una moyo kwa mapito ulio pitia Ila usihofu Mungu asimame nawe 🙏🙏🙏
@MCKYEKALOU2542 жыл бұрын
I feel your pain brother 😥😥nishaawai fanya contract na studio moja apa kenya, now is 6 years since that contract was signed bt hio project bado haijawai kuarelease... Mateso tu na kunyimwa haki, bt now am doing my own thing ...... Ata kama ni kuende kwa choo na kichukua video nieke KZread I will do Bora sita kazi na studio anymore
@malakimoses61152 жыл бұрын
Diamond ni mswahili japo kuwa ametoboa
@saraha618
2 жыл бұрын
Hapo umesema
@joshuakusaga9407 Жыл бұрын
Noma Sana naitwa japhetizo toka njombe kusin nafanya mziki ingia youtube searchi japhetizo utapata ngoma Kali zote Asante
@alfabraxton2 жыл бұрын
*Waaah!! Kumbe Diamond Ako na roho mbaya hivo*
@wangash6144
2 жыл бұрын
nilijua time waligeuka mzee abdul, na kutoka hiyo time havumi sana
@eshyndibalema1529
2 жыл бұрын
Sana mjinga sana Diamond ana roho mbaya ndio maana alimdhalilisha mzee Abdul na alimllea
@janekavere
2 жыл бұрын
Mzee Abdul alimlani kitambo huyo
@annastaziamichael6344
2 жыл бұрын
@@janekavere 😂😂😂
@cheupestefano54242 жыл бұрын
Hiyo hirizi imeisha oza ndiyo maana jeshi kapata courage ya kutapika ukweli wote
@NduwimanaSammy2 жыл бұрын
Kumbe ndio maana unaitwa jeshiiiiiiiiii acha na Mimi nipambane umenifanya nilie
@brendamercy45082 жыл бұрын
We gat you bro Kenya 🥰
@tonystonekimutai78992 жыл бұрын
Love you harmonize from the start
@hadija8462 жыл бұрын
Pamoja sana Konde wangu kwa kweli unanitowa machozi Yaani unapata mitihani migumu pole sana lakini M/Mungu yupo nawe wakati wote. Aamiin🙏🏼😍
@naftalynaff78112 жыл бұрын
If whatever Harmonize has said is true then Diamond is not a human
@betsyakoko6810
2 жыл бұрын
His dybolic
@lucykiddo225
2 жыл бұрын
Kabisa. I’m disappointed with Diamond sio mtu mzuri
@NaomyNyanyuki
2 жыл бұрын
The same thing Diamond did to Rich Mavoko
@mohammedathman58162 жыл бұрын
Oe Hamo...big up brother yaani mzee baba wee ni mjeshi kweli n wala sio longo longo i pray for you pambanaaaa don't worry Mungu yupo nasi🔥🔥🔥🔥🔥🔥👊
@hawagkalume9016 Жыл бұрын
Pole sana konde gang pambana sana brother
@uyangasaidi7852 жыл бұрын
Polesana nduguyangu usifatene namanenoyawatu muombe mungu utashindatui iyilonijaribu itapitatuuuu
@kadzopurity79442 жыл бұрын
So painful 😥😥, Don't give up #Harmonize May God protect you and may your wishes and dreams come true 🤲🤲🙏🙏Just believe in God Everything will ouky Because God's time is always the best
@fizzyblinkboy Жыл бұрын
I appreciate you harmonize
@waitheranderitu42972 жыл бұрын
I love Tanzania bongo music I mean their music is on another lever but my favorite is harmonize
@mariamzara54982 жыл бұрын
Harmonize kuja mombasaaaa kenya 🇰🇪🇰🇪 usha tengeneza jeshi huku kuja kamanda respect
@kabuenakorodmusic54572 жыл бұрын
Your no # 1fun Harmonize keep it up.I feel your pain
@natashaamanda62342 жыл бұрын
Harmonize uko sawa broo
@thomasphilimonmolel88552 жыл бұрын
Harmonize jembe 💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💯☑️
@stsg27692 жыл бұрын
Mungu akupe kila la heri Tembo muti uliyo pandwa na mungu hakuna mwana damu wa kuwongowaa
@christineonyango59032 жыл бұрын
Harmonize wachana na wenye uwivu. This message is from Kenya 🇰🇪
@samiridicksoni90672 жыл бұрын
Harmonize pambana ii Dunia ni yamungu wote tunapita
@mwajitajunior76332 жыл бұрын
Whatever harmonize is telling people it's very true and you can just tell from his face
@georgenjeri8547
7 ай бұрын
True Bro 4 Sure This Is Coming From His Heart
@elizaberthpius4511 Жыл бұрын
Harmonize is de Best 🔥🔥🔥
@malkoabdi2 жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏 DIAMOND IS DEAD MAN WORKING BAD MAN
@user-wv1qy6uk6c7 ай бұрын
Shetani alipokuwa anataka kuwa mungu mungu alimfukuza mbinguni kinachomuuma harmonize nihaelewi nafac ake na alipo
@GkMbichwa17 күн бұрын
Jeshi inakufaa sana bro
@skydaddy68322 жыл бұрын
TULIHAMA wasafi kwa UJINGAH Wao, Wapuuzi sanah
@lyontheblessed8200
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gm2j266KppCuddY.html
@richardmweri7918
2 жыл бұрын
🏃♂️🏃♂️🏃♂️
@saidimwandoro74552 жыл бұрын
Diamond anawivu Sana mkundu wake pamoja na hiyo wasafi yake Kuma yeye
@berthamakortha83872 жыл бұрын
Duuuu pole sana kijana daaaa. M m m. Kweri TULICHUKIA KUMBEEEE NDIO HIVIIII DAAAA POLEEE KIJANA
@nellyatsango13992 жыл бұрын
Mob love 😍😍😍 to Konde boy from 🇰🇪
@andrewodionyi45632 жыл бұрын
Very painful😭😭but continue working smart hermonise
@sir.opondojunior99892 жыл бұрын
Much love and respect Bro i think it's always good and right to put things on light at least now we know. Much much love Brother respect
Siri ya mtungi aijuae ukata. Leo mtungi umevunjika Siri nje.🤭😁😁😁
@mercywagaki41542 жыл бұрын
Wagapi tutamsupport na kumfollow harmo ...
@frdmedia62352 жыл бұрын
Wewe mambo yamechacha ndio unamwaga mabaya iyo kawaida katikamaisha utakuw unahadisia kilasiku ndio dunia iyo
@winniemwesh55572 жыл бұрын
Mwaga yote baba hawatutishiiii kondegang for everybody jeshiiiiiii mwaga yote
@aminamsimbe40342 жыл бұрын
Kaza buti mwanangu mungu amekupa kipaji kitumie utaulizwa na mungu siku ya mwisho juu ya talanta ulizopewa achana na waswahili huyo ni Kama mo wa Simba
@omarbachu10742 жыл бұрын
Diamond Nimchawi wa kawaida
@qatarmobaile21532 жыл бұрын
Pole sana konde
@sifamushi17472 жыл бұрын
Uyu dogo tulimheshim sana. Lakin kwa UONGEAJI HUU kama bint wa uswahilini, imemshusha sana sana sana... Yani angekua tu cool afanye yake watu waone vitendo.. kwa mdomo huo daah Amejirudisha nyuma sana kwa watu wente class zao kumheshimu..
@happynessbenard1319
2 жыл бұрын
Hawezi kurudi nyuma cos kwenye label yalotoka wanamsema Sana vibaya wanamuundia mpka machawa ili wamshushe kimziki lkn mungu yupo na yeye ameshajishusha Sana kila siku wanamsema akitoa nyimbo machawa wanaanza nyimbo mbovu ndo nn hicho
Wow wale watu wanyama🙄🙄 diamond clean your heart uende mbinguni huo sio uislam
@robertmutasi75462 жыл бұрын
Utungu bana
@mariamrio82362 жыл бұрын
Mambo ya umasini ama utajili kawaida sema uki tubu zambi uta kuwa ume fa nikiwa
@donprinceabselhalims74212 жыл бұрын
Maneno ni Mengi Ila kuna haja ya hawa wasanii wetu kujiridhisha na Aina ya mikataba wanayoingia na lebo/makampuni vile wakifanikiwa ndio wanagundua kuwa walifanya Makosa kwenye mikataba Yao halafu wanategemea huruma ya wananchi kupitia media
@krifodysharifu2912 жыл бұрын
Uko juu sana mshit chib
@gugahmediaafrica94052 жыл бұрын
Roho za kiafrika ziko ivo bro mtu atakusaidia ili watu wamsifie ila sio wewe unufaike kumliko
@asiakheir86842 жыл бұрын
Wakumtegemea Allah pekee
@lyontheblessed8200
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gm2j266KppCuddY.html
@shabaniguma86962 жыл бұрын
Kila siku watu wakisema simba mchawi na kamkataa baba yake sio mtu mzuri ni mchawi sasa wata amini🙆🏿♂️🙆🏿♂️🙆🏿♂️
@harrietmurugi43452 жыл бұрын
Waah I knew from the start that diamond was not a good person at all... Sitwahi Tena kuskiza muziki wako nguruwe ww
@duncangichure60902 жыл бұрын
Kondeee boy
@lyontheblessed8200
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gm2j266KppCuddY.html
@kelvinjuma96462 жыл бұрын
Jeshiiiii
@saraphinajoely70472 жыл бұрын
Pole piga kazi konde tupopamoja
@aminatanditse49872 жыл бұрын
Ni kweli tena pole jeshi huyo asikutishe
@sifamushi17472 жыл бұрын
Airport security wangemtoa apo akafanyie media zake uswahilin uko
@johncharles94392 жыл бұрын
Achana na mjinga km mashabiki tupo kwa Sana tambua yakua yeye sio mungu hawezi kukuzibia liziki liziki hutoka mungu na si binadam Ila pole na misuko suko ipo siku mungu atakulipia ,
@lyontheblessed8200
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gm2j266KppCuddY.html
@rosemwaka29242 жыл бұрын
Duniani sote tunapita
@fintaniferx95352 жыл бұрын
Umenifulaisha kwa kujali ndugu zako nyuma wote ubalikiwe
@irenemsamba47632 жыл бұрын
Keke
@madaiincubationcenter49472 жыл бұрын
Inasikitisha sana sasa Watanzania wengi wamejua ukweli Diamond atakosa thamani yake itashuka sana
@mcrago88052 жыл бұрын
Najua ni namna ya kubust album yako
@mtsifabregascongo56542 жыл бұрын
Pole sana bro diamond ni ndoki
@caretakerwajela41942 жыл бұрын
We banae, makubwa, siri ulikuwa nayo kweli, wakuache bwana, umewazidi wote bro
@hawagkalume9016 Жыл бұрын
Nami pia nitasajiliwa
@safirisalama69122 жыл бұрын
big up
@bonifacelutumo11962 жыл бұрын
Go on boy
@AfroMedic2 жыл бұрын
Harmonize ana ushoga sana , sasa unarekodi watu iweje. Mambo ya kinadada hayo. Apo Ndio umekosea.
@crescentvscross11322 жыл бұрын
Kimtoshacho binadamu ni mchanga (udogo) tu
@hgcbj6352 жыл бұрын
Kujiita jeshii kunasababu kweli kweli
@sharrifidris34222 жыл бұрын
Sasa umetuambia yote hayo,, unataka tufanyeje? Ama umemumiss bossi wako wa awali tukuombee msamaha..Wewe ni mzuri haukosei MashaAllah.. Lakini ungetutajia mapungufu yako japo kidogo..
@mariamzara54982 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️🙌🏽💯
@dianasospeter17082 жыл бұрын
Tuko pamoja usijal haya maisha tu!
@aluwiakatana10202 жыл бұрын
Mm naswali bro natoka Kenya .kunaonyesha Kuna kitu mlishea sasa anaona akikubali anajua ww utazidi kuvuka. Sasa ww Eka mungu mbele. Alafu dawa za mwisho
@AmisiJaribuni-gz1zd Жыл бұрын
Tukopamoja nakukubali mwamba
@magrethmallya77282 жыл бұрын
Povu tuu hilo. Hata wewe nimchawi tuu. Daimondi atabaki kuwa juuu.
@ImuDabo7 ай бұрын
Unanjaaa simba humuwezi
@ocholarose46542 жыл бұрын
Diamond is not God keep on the world is waiting for you .. Kenyans are happy about you..
@dwere94602 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@suleimanmbarak12602 жыл бұрын
Kwendeni zenu. Nyote ni washirikina. Hamuimbi bila ushirikina. Freemason nyie. Wenzenu wangapi wana struggle kuimba na ni wazuri sana lakini bila ya majuju na mahirizi na kutoingia Freemason basi hufiki popote.
@shirfadigubike79202 жыл бұрын
Maneno yapo hata kwenye familia .itakuwa hapo sio familia moja.
@clementgabriel17082 жыл бұрын
Ukinizingua tunazinguana je ulifanya kosa gani mpaka akakwambia hvo without any problem akwambie tu hvo sema na mazuri aliyokufanyia sasa
@jamesmwandepu96132 жыл бұрын
Irizi ni nini?? Hata kiswahili hamjui??
@alainebengasaligo74472 жыл бұрын
mimi ni mkongo Nipo uvira
@lucykiddo2252 жыл бұрын
Harmoniza anaujasiri sana
@chibamaroofrank99422 жыл бұрын
Kwa maneno hayo hamtopatana..
@daudimwamwaja51282 жыл бұрын
Mwizi huyo diamond
@sifamushi17472 жыл бұрын
Mzee mpaka unakauka koo.. kunywa maji ukapumzuke . Tafuta mda waite media mahali pengine uongee yako..
@habimanaseraphin81242 жыл бұрын
Mnafiki asira yakuto sapotiwa marekani
@jcrackcrack16692 жыл бұрын
Msema pekee siku zote hubakia kua mkweli,bt subiri wajibu pigo lako mjomba
@samiridicksoni9067
2 жыл бұрын
Mwanaume.ckuzote ni yule anae sema ukweli
@missmwayway4704
2 жыл бұрын
@@samiridicksoni9067 Umeonaeee 💪
@saidomary3645
2 жыл бұрын
wajibu pigo gani sasa kwa mfano ukweli wote umeongelewa eti maana ukweli ushaongelewa na tunahama wcb kuanzia kuda huu
@user-po8hz7xw9j
2 жыл бұрын
Wengine nawashangaa ushabiki maandazi pakulala kwako Shida kula matatizo eti wajibu pigo nani asiowajua kwenda Aaaa hata wakijibu hatuwaogopi wala wlhawatutishi wachawi wakubwa
Пікірлер: 229
This the same thing Diamond did to Rich Mavoko.....
Aisee konde una moyo kwa mapito ulio pitia Ila usihofu Mungu asimame nawe 🙏🙏🙏
I feel your pain brother 😥😥nishaawai fanya contract na studio moja apa kenya, now is 6 years since that contract was signed bt hio project bado haijawai kuarelease... Mateso tu na kunyimwa haki, bt now am doing my own thing ...... Ata kama ni kuende kwa choo na kichukua video nieke KZread I will do Bora sita kazi na studio anymore
Diamond ni mswahili japo kuwa ametoboa
@saraha618
2 жыл бұрын
Hapo umesema
Noma Sana naitwa japhetizo toka njombe kusin nafanya mziki ingia youtube searchi japhetizo utapata ngoma Kali zote Asante
*Waaah!! Kumbe Diamond Ako na roho mbaya hivo*
@wangash6144
2 жыл бұрын
nilijua time waligeuka mzee abdul, na kutoka hiyo time havumi sana
@eshyndibalema1529
2 жыл бұрын
Sana mjinga sana Diamond ana roho mbaya ndio maana alimdhalilisha mzee Abdul na alimllea
@janekavere
2 жыл бұрын
Mzee Abdul alimlani kitambo huyo
@annastaziamichael6344
2 жыл бұрын
@@janekavere 😂😂😂
Hiyo hirizi imeisha oza ndiyo maana jeshi kapata courage ya kutapika ukweli wote
Kumbe ndio maana unaitwa jeshiiiiiiiiii acha na Mimi nipambane umenifanya nilie
We gat you bro Kenya 🥰
Love you harmonize from the start
Pamoja sana Konde wangu kwa kweli unanitowa machozi Yaani unapata mitihani migumu pole sana lakini M/Mungu yupo nawe wakati wote. Aamiin🙏🏼😍
If whatever Harmonize has said is true then Diamond is not a human
@betsyakoko6810
2 жыл бұрын
His dybolic
@lucykiddo225
2 жыл бұрын
Kabisa. I’m disappointed with Diamond sio mtu mzuri
@NaomyNyanyuki
2 жыл бұрын
The same thing Diamond did to Rich Mavoko
Oe Hamo...big up brother yaani mzee baba wee ni mjeshi kweli n wala sio longo longo i pray for you pambanaaaa don't worry Mungu yupo nasi🔥🔥🔥🔥🔥🔥👊
Pole sana konde gang pambana sana brother
Polesana nduguyangu usifatene namanenoyawatu muombe mungu utashindatui iyilonijaribu itapitatuuuu
So painful 😥😥, Don't give up #Harmonize May God protect you and may your wishes and dreams come true 🤲🤲🙏🙏Just believe in God Everything will ouky Because God's time is always the best
I appreciate you harmonize
I love Tanzania bongo music I mean their music is on another lever but my favorite is harmonize
Harmonize kuja mombasaaaa kenya 🇰🇪🇰🇪 usha tengeneza jeshi huku kuja kamanda respect
Your no # 1fun Harmonize keep it up.I feel your pain
Harmonize uko sawa broo
Harmonize jembe 💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💯☑️
Mungu akupe kila la heri Tembo muti uliyo pandwa na mungu hakuna mwana damu wa kuwongowaa
Harmonize wachana na wenye uwivu. This message is from Kenya 🇰🇪
Harmonize pambana ii Dunia ni yamungu wote tunapita
Whatever harmonize is telling people it's very true and you can just tell from his face
@georgenjeri8547
7 ай бұрын
True Bro 4 Sure This Is Coming From His Heart
Harmonize is de Best 🔥🔥🔥
❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏 DIAMOND IS DEAD MAN WORKING BAD MAN
Shetani alipokuwa anataka kuwa mungu mungu alimfukuza mbinguni kinachomuuma harmonize nihaelewi nafac ake na alipo
Jeshi inakufaa sana bro
TULIHAMA wasafi kwa UJINGAH Wao, Wapuuzi sanah
@lyontheblessed8200
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gm2j266KppCuddY.html
@richardmweri7918
2 жыл бұрын
🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Diamond anawivu Sana mkundu wake pamoja na hiyo wasafi yake Kuma yeye
Duuuu pole sana kijana daaaa. M m m. Kweri TULICHUKIA KUMBEEEE NDIO HIVIIII DAAAA POLEEE KIJANA
Mob love 😍😍😍 to Konde boy from 🇰🇪
Very painful😭😭but continue working smart hermonise
Much love and respect Bro i think it's always good and right to put things on light at least now we know. Much much love Brother respect
@bernardngaiza5444
2 жыл бұрын
Pppppppp
@bernardngaiza5444
2 жыл бұрын
P
@betsyakoko6810
2 жыл бұрын
Very true
@lyontheblessed8200
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gm2j266KppCuddY.html
@lyontheblessed8200
2 жыл бұрын
@@betsyakoko6810 kzread.info/dash/bejne/gm2j266KppCuddY.html
Diamond issa witch for real .Who does this??
Siri ya mtungi aijuae ukata. Leo mtungi umevunjika Siri nje.🤭😁😁😁
Wagapi tutamsupport na kumfollow harmo ...
Wewe mambo yamechacha ndio unamwaga mabaya iyo kawaida katikamaisha utakuw unahadisia kilasiku ndio dunia iyo
Mwaga yote baba hawatutishiiii kondegang for everybody jeshiiiiiii mwaga yote
Kaza buti mwanangu mungu amekupa kipaji kitumie utaulizwa na mungu siku ya mwisho juu ya talanta ulizopewa achana na waswahili huyo ni Kama mo wa Simba
Diamond Nimchawi wa kawaida
Pole sana konde
Uyu dogo tulimheshim sana. Lakin kwa UONGEAJI HUU kama bint wa uswahilini, imemshusha sana sana sana... Yani angekua tu cool afanye yake watu waone vitendo.. kwa mdomo huo daah Amejirudisha nyuma sana kwa watu wente class zao kumheshimu..
@happynessbenard1319
2 жыл бұрын
Hawezi kurudi nyuma cos kwenye label yalotoka wanamsema Sana vibaya wanamuundia mpka machawa ili wamshushe kimziki lkn mungu yupo na yeye ameshajishusha Sana kila siku wanamsema akitoa nyimbo machawa wanaanza nyimbo mbovu ndo nn hicho
@richardmweri7918
2 жыл бұрын
Wewe ndo unafeli
@andrewmethors5837
2 жыл бұрын
Pumbafu we ...hujui kupambana mtoto wa mama
Kumbe anaroho mbaya sana hivo huyo jamaa diamond
Mmm sipendi kumsema nassib hafu wewe napenda unavyo imba lakini makelele unayo fanya sipendi
Wow wale watu wanyama🙄🙄 diamond clean your heart uende mbinguni huo sio uislam
Utungu bana
Mambo ya umasini ama utajili kawaida sema uki tubu zambi uta kuwa ume fa nikiwa
Maneno ni Mengi Ila kuna haja ya hawa wasanii wetu kujiridhisha na Aina ya mikataba wanayoingia na lebo/makampuni vile wakifanikiwa ndio wanagundua kuwa walifanya Makosa kwenye mikataba Yao halafu wanategemea huruma ya wananchi kupitia media
Uko juu sana mshit chib
Roho za kiafrika ziko ivo bro mtu atakusaidia ili watu wamsifie ila sio wewe unufaike kumliko
Wakumtegemea Allah pekee
@lyontheblessed8200
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gm2j266KppCuddY.html
Kila siku watu wakisema simba mchawi na kamkataa baba yake sio mtu mzuri ni mchawi sasa wata amini🙆🏿♂️🙆🏿♂️🙆🏿♂️
Waah I knew from the start that diamond was not a good person at all... Sitwahi Tena kuskiza muziki wako nguruwe ww
Kondeee boy
@lyontheblessed8200
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gm2j266KppCuddY.html
Jeshiiiii
Pole piga kazi konde tupopamoja
Ni kweli tena pole jeshi huyo asikutishe
Airport security wangemtoa apo akafanyie media zake uswahilin uko
Achana na mjinga km mashabiki tupo kwa Sana tambua yakua yeye sio mungu hawezi kukuzibia liziki liziki hutoka mungu na si binadam Ila pole na misuko suko ipo siku mungu atakulipia ,
@lyontheblessed8200
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/gm2j266KppCuddY.html
Duniani sote tunapita
Umenifulaisha kwa kujali ndugu zako nyuma wote ubalikiwe
Keke
Inasikitisha sana sasa Watanzania wengi wamejua ukweli Diamond atakosa thamani yake itashuka sana
Najua ni namna ya kubust album yako
Pole sana bro diamond ni ndoki
We banae, makubwa, siri ulikuwa nayo kweli, wakuache bwana, umewazidi wote bro
Nami pia nitasajiliwa
big up
Go on boy
Harmonize ana ushoga sana , sasa unarekodi watu iweje. Mambo ya kinadada hayo. Apo Ndio umekosea.
Kimtoshacho binadamu ni mchanga (udogo) tu
Kujiita jeshii kunasababu kweli kweli
Sasa umetuambia yote hayo,, unataka tufanyeje? Ama umemumiss bossi wako wa awali tukuombee msamaha..Wewe ni mzuri haukosei MashaAllah.. Lakini ungetutajia mapungufu yako japo kidogo..
❤️❤️❤️❤️🙌🏽💯
Tuko pamoja usijal haya maisha tu!
Mm naswali bro natoka Kenya .kunaonyesha Kuna kitu mlishea sasa anaona akikubali anajua ww utazidi kuvuka. Sasa ww Eka mungu mbele. Alafu dawa za mwisho
Tukopamoja nakukubali mwamba
Povu tuu hilo. Hata wewe nimchawi tuu. Daimondi atabaki kuwa juuu.
Unanjaaa simba humuwezi
Diamond is not God keep on the world is waiting for you .. Kenyans are happy about you..
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kwendeni zenu. Nyote ni washirikina. Hamuimbi bila ushirikina. Freemason nyie. Wenzenu wangapi wana struggle kuimba na ni wazuri sana lakini bila ya majuju na mahirizi na kutoingia Freemason basi hufiki popote.
Maneno yapo hata kwenye familia .itakuwa hapo sio familia moja.
Ukinizingua tunazinguana je ulifanya kosa gani mpaka akakwambia hvo without any problem akwambie tu hvo sema na mazuri aliyokufanyia sasa
Irizi ni nini?? Hata kiswahili hamjui??
mimi ni mkongo Nipo uvira
Harmoniza anaujasiri sana
Kwa maneno hayo hamtopatana..
Mwizi huyo diamond
Mzee mpaka unakauka koo.. kunywa maji ukapumzuke . Tafuta mda waite media mahali pengine uongee yako..
Mnafiki asira yakuto sapotiwa marekani
Msema pekee siku zote hubakia kua mkweli,bt subiri wajibu pigo lako mjomba
@samiridicksoni9067
2 жыл бұрын
Mwanaume.ckuzote ni yule anae sema ukweli
@missmwayway4704
2 жыл бұрын
@@samiridicksoni9067 Umeonaeee 💪
@saidomary3645
2 жыл бұрын
wajibu pigo gani sasa kwa mfano ukweli wote umeongelewa eti maana ukweli ushaongelewa na tunahama wcb kuanzia kuda huu
@user-po8hz7xw9j
2 жыл бұрын
Wengine nawashangaa ushabiki maandazi pakulala kwako Shida kula matatizo eti wajibu pigo nani asiowajua kwenda Aaaa hata wakijibu hatuwaogopi wala wlhawatutishi wachawi wakubwa
@user-po8hz7xw9j
2 жыл бұрын
@@missmwayway4704 umeona nini acheni uchwa washamba nyinyi
Huwezi chukiwa na kila mtu jeshiiii
Harmonizeee atafika tuuuu
Dogo komaa unapambanasana usiogope sio mungu huyo
Kumbe
Ndo Kiba aligoma kutoa mkono