Mwendokasi TV ni chombo cha Habari kinachozingatia weledi na maadili kwa kiwango cha Juu kutoka katika muongozo wa maadili ya uandishi wa Habari nchini.
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha karola kwa watu mashuhuri kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini.
Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake.
Kktokuingilia faragha ya mtu.
Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
Mwendokasi Tv inaruhusu Maoni ya mtazamaji yasiyovunja maadili na tamaduni zetu na nchi yanapewa nafasi kama sheria ya nchi inavyoelekeza na yanayokiuka tunayaondoa Kabisa.
Mwendokasi Tv "We Run Together "
Пікірлер
Masudi na kibibi
🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
He mungu walehemu nduguzetu na waweke mahali pema peponiAmiin❤
❤❤
nakukubali sana kaka yangu jeshi
wewe mruguru
Good hâta wamakonde hajui ni wawapi huyu anaonekana suyo mtanzania
Wairak mmedanganywa
Huo ni upumbavu acha kukosoa uumbaji ushamba ni wako ntombanebe
Wewe umepotoka nahao unao wasema wemfanya utafiti mkosoe MUNGU ndue kaumba pumbavu
Huyu jamaa kweli kaokoka😂
Tuxikomet kwa hixia marioy ni hatar
Dr Shika mwingine huyu
Pibi anakudaii mulipee bc
Mashallah anawezea sana sele na sitiv mweusi
Ushahidi alitoa akamkabidhi spika, ndipo akaja kuwambia wananchi kwani bunge lile ni la wananchi wa tz kosa ni ni
HAPO MGANGA ATAKUWA KAFANYA KAZIYAKE KWA UFANIS MKUBWA😂😂😂
Nachukia mm basata awamuni uyu wakampa kitengo mbona wasanii watafadika sana
Mavazi tuu so poa
Huyu jama ni noma sana nilimjuwa kweny snake boy
ww bro jambo lililofanyika hapo siolakawaida ww jifanye chawa ss kwenye ujinga mpaka akutoe kafala ndo utaelewa kichwa chako
Huyu si aseme yeye ni chawa tena nene? Shame on you nshomile. Umefwanya hata nionee aibu PhD yangu niliyoitesekea Kaanada! Mbweno nugambaki nshomile?
Msomii!
Nakubal dada
safi sana brether
Chinga uy0 ùna ela ya kumpita daimondi fala wewe
Mbn kiuno kigum
Kinyago
Acheni ufala je angekua mwanao
Nyie mnaomtetea huyo mwalimu je angekua mwanao ungefurahi
Unaakili Sana bro
Welcome back Brother thumb up❤
Shida wairaq mnapenda chini umalaya
Hamumuezi Mange Kimambi nyie machawa wa serikali
Duh siku ngumu
Love our song mbosso from Burundi
Hamisa utunzwe na mungu hakika unajitaid misiban
❤
Mungu aki kubariki kwa nini Nawe usi bariki mwengine
Piga kelele kwa wanyakyusa wake weweeeeeeeeeeeee ❤❤❤ sana my trible black buty 2najivunia ukarim we2 waoooooooo
Kweli kabisa mtoto ni wake hamo pa
Beka ibrozama
Oe huyo jamaa ameweza sana na kwa kilila part zote kwa comedy ruta nimarufu sana aendelee sana mmi ni mkenya mombasa huku bamburi sehemu ya kwa bull nafatilia sana vitu vyake uko vizuri ruta man
Kazi nzuri
Naweza kumshauri amkumbuke mung pia
Nakukubali sana 💥👊
Una lolote
Jama wamawche hale pesa zake😅😅😅
We zombie sikutaji umuuu upooo vizur
Pole dada angu😢😢