Magufuli akijadiliana na Makamu wake kuhusu Machinga kupangiwa maeneo ya biashara

Magufuli akijadiliana na Makamu wake kuhusu Machinga kupangiwa maeneo ya biashara

Пікірлер: 2 400

  • @nuruawadhi8841
    @nuruawadhi88412 жыл бұрын

    Mungu tunakuomba ututendee Jambo mbona wamemsaliti mnoo baba yetu hivi haya mama hayakumbuki kwelii😭😭😭 hajui km mwili llkn nafsi ipo yarabi wahukumu wasiotenda haki mambo yamerudi km zamani

  • @asiamussa3780

    @asiamussa3780

    2 жыл бұрын

    Na anavyoitikia kinafki sasa!!

  • @hellenvincent1809
    @hellenvincent18092 жыл бұрын

    Maneno yako yayarndelea kuishi baba,duuuu!!!tumepoteza Jembe hasaaa🌹

  • @wilsonemanuel9915

    @wilsonemanuel9915

    2 жыл бұрын

    Maneno ya baba nimazuri sana jaman tufate nyendo zake? Puzika baba malipema popon Amen

  • @HenriquesBernabeNdona

    @HenriquesBernabeNdona

    3 ай бұрын

    Henriguebernabena

  • @jacksonpascal5259
    @jacksonpascal52592 жыл бұрын

    Huyu mama anavyo hitikia sasa kama mtu mwema vile watanzania tunapata shida we kazi kuzurula nchini kwa watu 😭😭R.I.P JPM

  • @alphoncewilliam4325

    @alphoncewilliam4325

    Жыл бұрын

    Kampangua .vitambulisho kavitoa

  • @dickikahese9681

    @dickikahese9681

    Жыл бұрын

    Wapumbavu nyie waislamu wakiongoza nchi mnakuwa na maneno ya chokochoko sana kwanini

  • @nickalreadyknows

    @nickalreadyknows

    9 ай бұрын

    ​@@dickikahese9681Wewe wanakupumulia nn sasa swala la uislam limeingiaje au unadhan ni nchi za kiarabu hizi pumbavu mkubwa 🚮 mtu anapimwa kwa matokeo anayoyaleta sio udini Kama inakuuma sana kaishi nchi za kidini hutoona uislam unasemwa pumba 🚮

  • @kelvinenyareso5269
    @kelvinenyareso52692 жыл бұрын

    As a Kenyan and African, I greatly miss the dedication of this man. History will never fail to recognize your effort. RIP JPM

  • @kibeteliazersabbathmusiced5820

    @kibeteliazersabbathmusiced5820

    2 жыл бұрын

    Pia NAMI ndugu. Kenyatta na Raila waache kuteit wakenya mbaya. Watu walifukuzwa mau

  • @faidhaithnine4955

    @faidhaithnine4955

    2 жыл бұрын

    Has

  • @calebcaleb3193

    @calebcaleb3193

    Жыл бұрын

    Hapo utajua nini ambacho ibilisi anawaza juu ya maana wa mungu jipm sisi mamilioni ya watanzania tutakuombea usiku Na mchana kila Delila kamwe atakaa akaye Na amani

  • @mesutnyaryanga8932

    @mesutnyaryanga8932

    Жыл бұрын

    As Africans - we will never move on if we do not get this kind. Mtu anaetaka kufanya maendeleo kwa ajili ya watu na sio vikundi vya watu.

  • @emamkuyu4061
    @emamkuyu40612 жыл бұрын

    Jamani jamani aliyemuua ni nani? Basi huyu baba damu yake iwarukie wahusika wote ikiwa ni pamoja na waliofurahia kifo chakee Hakika alijitoa kwa ajili ya Watanzania Maskini.Tutakukumbuka daima JPM.

  • @mamausilamy1360

    @mamausilamy1360

    2 жыл бұрын

    Aliemuua aliemleta dunian kisha akampa roho

  • @neemayusuphu4266

    @neemayusuphu4266

    2 жыл бұрын

    Samia leo kamgeukia

  • @naalyhussen3253

    @naalyhussen3253

    2 жыл бұрын

    Unafiki sio mzuri . Ila wajue kuna kuulizwa kesho kesho kwa mungu baada ya kifo ila punzi ndio zina waadaa

  • @vanessajohn6046

    @vanessajohn6046

    2 жыл бұрын

    Kwelikabisa yaani huyu mama anaitikia kama sio alikua sasahivi amani huumsiba hautoisha molele kumbe aliaona mapema 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @mjeshimsofe9730

    @mjeshimsofe9730

    2 жыл бұрын

    @@neemayusuphu4266 kamgeuka kvp? Kila rais na mbinu zake kulingana na sheria za nchi....

  • @danielworshiper6002
    @danielworshiper60022 жыл бұрын

    LEGENDARY umeenda lala salama Magufuli wetu..... Wanafki walikua wanakusikiliza na wanasema nenda mwana kwenda tuwakomesha hao wanyonge wako ...... Nasikia mguno kana kwamba wako pamoja na mzungumzaji...daaahhhhh inaniuma sana

  • @zaharaamdilah6602

    @zaharaamdilah6602

    2 жыл бұрын

    Hatamimi inaniumasana jamani jamani hatuta sahau

  • @robosia2915

    @robosia2915

    2 жыл бұрын

    Mungu atawachoma na radi hao wanaouza nchi yetu. Mungu akulaze mahali pema peponi. 😭😭😭😭😭😭

  • @hadijandope6991
    @hadijandope69912 жыл бұрын

    We miss 😢 you so much. Am a Kenyan but loved this guy. A true leader he was chosen by God.

  • @elvissialala2068

    @elvissialala2068

    2 жыл бұрын

    rest in peace magufuli tunakupenda sana mi ni mkenya

  • @maureenmuma7515

    @maureenmuma7515

    2 жыл бұрын

    I am a Kenya but I really miss this gentleman. A wise leader indeed 😭😭

  • @fundileani1007
    @fundileani10072 жыл бұрын

    Laaana ziwashukiye wale wote walio support kifo chako 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Mwenyezimungu akufanyie wepesi Mzee wetu

  • @magellasaid3693
    @magellasaid36932 жыл бұрын

    Machozi ya watanzania masikini ikawe faraja kwako upate pumziko la milele baba! Hotuba zako siku zte hukuacha kututetea watanzania masikini, hakika tutakukumbuka daima umeweka alama ndani ya mioyo ytu JPM! Allah akulipe kwa wema wako baba, AMEEN.

  • @mwanamkuurashid7782

    @mwanamkuurashid7782

    2 жыл бұрын

    Ccm vitendo mnavyo tufanyia nailihali tuliwajiri sisi wenyewe kwakura zetu atupigi tena kura.

  • @zenasimango6801

    @zenasimango6801

    2 жыл бұрын

    MUNGU amuondolee Adhabu ya kaburi

  • @abdallahmagongo4403

    @abdallahmagongo4403

    2 жыл бұрын

    @@zenasimango6801 Duh!

  • @hadijajohn7434

    @hadijajohn7434

    2 жыл бұрын

    Amen..Amen kizuri hakikai R.L.P. Kamanda

  • @mayagilokasuka6045

    @mayagilokasuka6045

    2 жыл бұрын

    Etisamia anaitikia tu mmmmm ovyoooo

  • @eutychusthiongo1335
    @eutychusthiongo13352 жыл бұрын

    Rais wa awamu ya Tano hakuwa mtu wa kawaida.He should be made a Saint

  • @prosperkullaya6721

    @prosperkullaya6721

    2 жыл бұрын

    Sad mungu jamani

  • @issabilali3539

    @issabilali3539

    2 жыл бұрын

    He is already a Saint Magufuli

  • @samwelcharles4296

    @samwelcharles4296

    2 жыл бұрын

    Hapa tumepigw duu r.i p magu haitatokea

  • @user-iv2qg2hw2b

    @user-iv2qg2hw2b

    2 жыл бұрын

    Kitamu hakidumu

  • @stevenmeshack467
    @stevenmeshack4677 ай бұрын

    Naomba mungu snaaa ajee Rais mwingine kama uyuu magufuliii

  • @davidwainaina3899
    @davidwainaina3899 Жыл бұрын

    I'M from Kenya since the death of president sir teacher professor pastor JPM loosed the Hope of AFRICAN,RIP loved him from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪✝️✝️✝️✝️✝️🙆🙆🙆🙆🙆

  • @sylvesterbukoro6182
    @sylvesterbukoro61822 жыл бұрын

    Baada ya,mwaka mmoja...Magufuli amelala naamin wabaya watasema waliyomfanyia lbda kama sio Jiroma...pumzika kwa aman my school mate chato shule ya msingii😭😭😭😭

  • @leahgabriel6507

    @leahgabriel6507

    2 жыл бұрын

    Pumzika kwa Amani baba. 😭😭😭

  • @rwenenahomechannel1634

    @rwenenahomechannel1634

    2 жыл бұрын

    Komenti yako inanitowa machozi.Magufuli atakumbukwa daima si kwa mabaya. Alikuwa ni mtu mwenye utu ndani yake. Wenye akili tutamuenzi.

  • @reginasawe3356

    @reginasawe3356

    2 жыл бұрын

    😔😔😔😔

  • @naimaseif7615

    @naimaseif7615

    2 жыл бұрын

    😭😭😭

  • @gongojr2369

    @gongojr2369

    2 жыл бұрын

    Hii clip ni fundisho tosha Sana kwa viongozi wetu wa Sasa wanaotuongoza, wakuu wa mikoa, wabunge, na wenye viti, fanyeni maagizo ya hayati Baba Magufuli.

  • @happnessjohn839
    @happnessjohn8392 жыл бұрын

    "ni lini watanzania maskini watakuwa wawekezaji katika nchi Yao" Magufuli. ..😭😭😭moyo wakizalendo sana,

  • @youngdaddy3085

    @youngdaddy3085

    2 жыл бұрын

    So hurting wallah

  • @gaspermganga8900

    @gaspermganga8900

    2 жыл бұрын

    Dah it’s sad 😞

  • @mohamedkigwehe3561

    @mohamedkigwehe3561

    2 жыл бұрын

    Kabisa hujakoseya inahitaji sana kuwa na moyo wakizalendo

  • @braysonsimbo4435

    @braysonsimbo4435

    Жыл бұрын

    ,, ..

  • @RapandoFranklin
    @RapandoFranklin2 жыл бұрын

    Africa would be a heaven if it had leaders like Magufuli in every country

  • @iddyfadhili4430

    @iddyfadhili4430

    2 жыл бұрын

    Magufugi was really an advocate of the less fortunate

  • @taufiqkimpa904

    @taufiqkimpa904

    2 жыл бұрын

    Tunakukumbuka kwa mazuribaba uliotufanyiaaa ilasasa joto la jiwe tunalionaa

  • @twahathomas3514

    @twahathomas3514

    2 жыл бұрын

    Kiongozi mzalendo huleta maendeleo kirahisi kwenye nchi kwa kutumia rasilimali chache tu.

  • @jamalhussein4052

    @jamalhussein4052

    2 жыл бұрын

    YOU NAIL IT SIR

  • @shamreenkhaemba3674
    @shamreenkhaemba36742 жыл бұрын

    I'm a Kenyan but I really loved this president,it still hurts me that he is no more,just because of those who thinks they will never die ,may they the killers never never know peace,may they never go unpunished ,you kill with a sword you die with the sword,may sorrow never leave your homes you wicked people

  • @emmalunojo5791

    @emmalunojo5791

    2 жыл бұрын

    Absolutely!

  • @ngolwetv3523
    @ngolwetv35232 жыл бұрын

    Nikweli!! Ukitak watu wakuchukie sema kweli simamia haki za watu wa chini!! Mungu akusameh mapungufu yako, hakun binadam aliekamilika.

  • @epafrangweshemi4014

    @epafrangweshemi4014

    2 жыл бұрын

    Ukweli na kutaka haki ni uhalisia wa Mungu. Uongo, unafiki na hila ni uhalisia wa shetani. Wewe unapenda uhalisia upi? Mungu yupo!

  • @msukumatmf325
    @msukumatmf3252 жыл бұрын

    asee huju Jamaaa Asio Urahisi tu Alikua Ana akili Yakipekee na Utu. Kwa mimi kama nikifanikiwa kuwa mzee ninacho chakusimulia waijukuu wangu.

  • @eliudmwakasendile9408

    @eliudmwakasendile9408

    2 жыл бұрын

    Well said ndugu, huyu mtu alikua hazina kubwa ya taifa letu

  • @halunisitafodi5792

    @halunisitafodi5792

    2 жыл бұрын

    Yes

  • @libbemwamposhi4305

    @libbemwamposhi4305

    2 жыл бұрын

    Yes huyu mtu ni kama alikusudiwa na MUNGU jamanii 😭😭😭😭

  • @user-hz4tt2qk5i
    @user-hz4tt2qk5i Жыл бұрын

    Machozi yetu 😭😭😭😭 yakawe faraja kwako mzee wetu pumzika kwa amani

  • @nuruhmangoli1232
    @nuruhmangoli12322 жыл бұрын

    Huku Kenya kuna tayari makundi ya watu,,kuna wenye Wanaskizwa saaana,kuna wenye wakishkwa wanafungwa miaka ,lakini kunao wakishikwa wanatolewa hapo hapo baada ya kuiba mabilioni ya hela . Raila must be the Magufuli of Kenya

  • @samwelilaizer4420
    @samwelilaizer44202 жыл бұрын

    Ewe Mungu wangu tusaidie asa machinga

  • @gracemima5234
    @gracemima52342 жыл бұрын

    Samia anayakubali yote ya Hayati Magufuli. Sasa hatunaye mama kavaa viatu vya Kikwete., kavivuwa viatu vya Magufuli.,Huyu ndiye kiongozi aliye wathamini Watanzania. Na alikuwa akisema kweli bila unafiki wala kuogopa mtu. Ameacha kumbu kumbu nyingi sana kwa Watanzania. Legacy hamuwezi kamwe kuizika naye. Watanzania watamuemzi daima

  • @evasadala7768

    @evasadala7768

    2 жыл бұрын

    Huyu mkara co yeye uongozi wa juu unaagiza kufukuzwa wamachinga watafanyaje ndo yie wajinga mnasifia huyu Bibi anaendesha nchi vzri yni mkimchagua huyu Bibi tena mnataka mgawanyike mkitakakuona huyu rais hafai saiv kla ktu kinasuasua . Miradi ya magufuri yote ss inasuasua .watu wanafanya kazi wanavyo taka kla mtu hapa anavimba kivyake wanaume jipangeni kunusuru hii nchi amesha jua ulaya

  • @hymtv8504

    @hymtv8504

    2 жыл бұрын

    Machozi yananitoka, huyu Baba Mungu amuweke pema peponi, lkn kama tulivyompatia Mwl. Nyerere hadhi ya Baba wa Taifa ipo haja ya kumtafutia jina zuri la kumuenzi

  • @ericmgalla2590

    @ericmgalla2590

    2 жыл бұрын

    Samia haez kazi ya Magu,atapokea ruswa na awafukuze

  • @rozaliarwezaula6924

    @rozaliarwezaula6924

    2 жыл бұрын

    Ukute tunaongonzwa na kikwete bila kujua

  • @msalikemedia

    @msalikemedia

    2 жыл бұрын

    @@rozaliarwezaula6924 Hahaha nimecheka kama mazuri kwakweli nch imepatwa

  • @olenchoejunior8383
    @olenchoejunior83832 жыл бұрын

    He is the gallant, a legendary not only in east Africa but in also in all Africa..... R. I. P Dr

  • @dancanaloo8434
    @dancanaloo84342 жыл бұрын

    Magufuli am a Kenyan yes but forever yu will remain in my heart

  • @mbegumpangile9937
    @mbegumpangile99372 жыл бұрын

    Uyu ndiyo alikuwa alikuwa kiongozi wa wanyonge katika nchi hii

  • @hasamjebe4685
    @hasamjebe46852 жыл бұрын

    Siwezi kumlaum jafo agizo ni la boss wake yy atafanya nini, tatizo ni huyu mama ndio afai kabisaaa

  • @hassanmadele1011

    @hassanmadele1011

    2 жыл бұрын

    Mama aliambiwa ukwer tunafukuzwa km wanyama wapolini bna unazani dunia yakwao wenyew mali yangu tuitumie wote

  • @mussatayarjames639

    @mussatayarjames639

    2 жыл бұрын

    huyu mama ulikua unafanya nae kaz ila alikua msalit wako

  • @wilfredmokoima5988
    @wilfredmokoima59882 жыл бұрын

    I'm Kenyan who truly Loves ❤ President Joseph John pombe Magufuli, he was such big help to us all in Africa.May the Almighty God Give him eternal life.

  • @mashamasha2854

    @mashamasha2854

    2 жыл бұрын

    unαkutα wαkєnчα wєngí wαlímpєndα вαвα чєtu kulíkσ ѕѕ wєnчєwє😥😥r.í.p

  • @saidindaro5533

    @saidindaro5533

    Жыл бұрын

    SIWEZI KUMALIZA hotuba BILA machozi kunitoka KWA haya yaliopo KWA Sasa Alla akulehem.

  • @AlyShomari-gj3hb
    @AlyShomari-gj3hb Жыл бұрын

    Daaah!!!!! Yaani kiukweli nilikuwa nakukubali sana Rais wangu ila naamini mungu alikupenda zaidi na ndo maana amekutanguliza ili ukaongoze malaika wake

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde59452 жыл бұрын

    Pumzika kwa Amani baba yetu, Lala mzalendo lala

  • @abdioxboy8396

    @abdioxboy8396

    2 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima mzalendo wa kweli shujaa wetu

  • @ahmadkilili4204

    @ahmadkilili4204

    2 жыл бұрын

    Wako

  • @happymrema7723

    @happymrema7723

    2 жыл бұрын

    So sad

  • @evamwakifulefule9073

    @evamwakifulefule9073

    2 жыл бұрын

    Yaani kikulacho kinguoni mwako.

  • @eliasduuly9447

    @eliasduuly9447

    2 жыл бұрын

    Umeonae🤭🤭😭

  • @gosbertireneus5558
    @gosbertireneus55582 жыл бұрын

    Ni lini watanzania masikini watakuwa wawekezaji ktk nchi yao...?? Yaani mwekezaji anakuwa na nguvu kuliko wananchi tunaowaongoza!!!....🙏🙏🙏

  • @reginaphabian7032

    @reginaphabian7032

    2 жыл бұрын

    So sad

  • @cosmasnyehetse6503

    @cosmasnyehetse6503

    2 жыл бұрын

    Kweli magufuri alikua miongoni mwa mitume wa mungu

  • @farajimussa4923
    @farajimussa49232 жыл бұрын

    Hii itakuwa history isio futika milele mungu ailaze mahal pema pepon roho ya marehem John pombe magufuli

  • @joethigz
    @joethigz2 жыл бұрын

    He was a thorn to the mighty. Kenya, they have grouped and calling themselves Mt. Kenya Foundation

  • @etiberiusaberi2614

    @etiberiusaberi2614

    2 жыл бұрын

    Good relationship between the President and the Dp

  • @andrewmrosso5976

    @andrewmrosso5976

    2 жыл бұрын

    Magufuli Mungu akulaze Mahala pema

  • @Alfredmusa24
    @Alfredmusa242 жыл бұрын

    We love you and people of Tanzania we really need and miss you Sir

  • @reymathomas1562
    @reymathomas15622 жыл бұрын

    Mm had Leo naona nidoto kama kweli hayupo duniani Jamaica mungu jinalako lihimidiwe

  • @seraphinjj2012
    @seraphinjj20122 жыл бұрын

    Whenever we get something good in Africa, it doesn’t last long. RIP in peace baba. 💔💔💔

  • @bertaberta8143

    @bertaberta8143

    2 жыл бұрын

    I you vii

  • @KIZOB

    @KIZOB

    2 жыл бұрын

    We sell our own in Africa

  • @zippileiyok4261

    @zippileiyok4261

    2 жыл бұрын

    I think God hate us too

  • @saidowpuffdaddy7898

    @saidowpuffdaddy7898

    2 жыл бұрын

    But why

  • @francismuhuga8158

    @francismuhuga8158

    2 жыл бұрын

    No no noo God doesnt hate any human being but we africans we dont love each other, we are selfish, hated and Evil. Tunashirikiana na wazungu kuwaua wenzetu ili wazungu waje wachume watuwekee pesa ulaya migogoro haiwezi kuisha madini hayatusaidii wala viongozi waadilifu hawatakiwi afrika anauwawa na sisi wenyewe kuwatumikia weupe. Tazama Rais wa Burundi 🇧🇮, Tanzania 🇹🇿, Rais Sankara, Patrice Lumumba, Gaddafi, Nkuruma nk wako wa wapi maana umasikini wetu ji kero kwa western kama china 🇨🇳, Korea, Turkey, Iraq, Iran nk ona walivyokero kwa western.

  • @ludanishayo1851
    @ludanishayo18512 жыл бұрын

    R.I.P Rais wa wanyonge! Mungu akusamee mapungufu yako akupokee kwake mbinguni!! Amin.

  • @elizafumbuka9377

    @elizafumbuka9377

    2 жыл бұрын

    Amina

  • @isackmtepa4955

    @isackmtepa4955

    2 жыл бұрын

    Mbona uyo mama Amekugeka mzee

  • @ndayambajefaby4864

    @ndayambajefaby4864

    2 жыл бұрын

    @@elizafumbuka9377 ipoxku

  • @ndayambajefaby4864

    @ndayambajefaby4864

    2 жыл бұрын

    Unxemje

  • @mouhameddiallo7483

    @mouhameddiallo7483

    2 жыл бұрын

    I don’t understand the language but I am pretty sure he is one of the best presidents in Africa…. Because of hol I want to go live in Tanzania after my studies in Europe.!

  • @serviousmwampaho8089
    @serviousmwampaho80892 жыл бұрын

    Rais amesahau Mara hii muongozo wa maneno ya Rais hayati magufuri Mara hii mbona Mambo yanaeleweka Hapo shida ninini? si angesimamia hata huo mwongozo

  • @benithongoga4451

    @benithongoga4451

    2 жыл бұрын

    Waafrika wengi ni wanafiki tu

  • @imanimlimba9859

    @imanimlimba9859

    2 жыл бұрын

    Tutakukumbuka

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    2 жыл бұрын

    😭😭

  • @rashidkimbwerezamsangi6908

    @rashidkimbwerezamsangi6908

    2 жыл бұрын

    Dar mtihani sana jamani

  • @nemhinaallymwalimu8415
    @nemhinaallymwalimu84152 жыл бұрын

    Miss u Bb JPM nimejikuta nalia Tena sanaaaaa Mungu akurehemu Rais wangu magufuli

  • @rebeccajacobo6676
    @rebeccajacobo66762 жыл бұрын

    Mama samia mbona makufuri ulimsikia vizuri sana mama waonee huruma wamachinga wanateseka sana eemungu sikia kilio chetu

  • @kelvin7ithuiumwasamaki987
    @kelvin7ithuiumwasamaki9872 жыл бұрын

    Jamani me naomba mmoja anieleze ubaya wa Magufuli ulikuwa wapi!!? Mbona me sioni Kuna wapumbavu huwa wanamponda Sana huyu mzee!! Magufuli daaaaaah alikuwa bonge la rahisi!!

  • @gamc773

    @gamc773

    2 жыл бұрын

    Hata sijui

  • @jassonfurgence6180

    @jassonfurgence6180

    2 жыл бұрын

    Huyu mtu alikuwa shujaa na wakipekee sana, mimi nilimuelewa sana tena mapema mno alipoingia madarakani kwani nyota njema uonekana asubuhi!!.

  • @kelvin7ithuiumwasamaki987

    @kelvin7ithuiumwasamaki987

    2 жыл бұрын

    Kweliii vizury havidumuuu

  • @livingstonekabantega

    @livingstonekabantega

    2 жыл бұрын

    Nimetafakali ubaya wake siuoni

  • @kelvin7ithuiumwasamaki987

    @kelvin7ithuiumwasamaki987

    2 жыл бұрын

    @@livingstonekabantega me nashangaa Sana ndugu yangu unakuta watu wanasema Timu Magufuli et tunapata shida et Mama anaupiga mwingi.. wanashindwa kusema wazalendo tunapata shida jins Mambo yanavoenda kombo!!

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun30152 жыл бұрын

    MKUU WA MKOA DAR, JIUZULU MWENYEWE HATUKUTAKI.

  • @hamisijuma3276

    @hamisijuma3276

    2 жыл бұрын

    Ww wasema

  • @yuzotv458

    @yuzotv458

    2 жыл бұрын

    @@hamisijuma3276 WEE HUONI WANAKIUKA KABISA MAAGIZO YA RAIS,AU KWASABU KASHAKUFA NDIO ASIHESHIMIKE???. HUYU MKUU WA MKOA HAFAI KABISA.

  • @abdallahngakola6125

    @abdallahngakola6125

    2 жыл бұрын

    Nikweli ajiuzuru

  • @ashamwandu6572

    @ashamwandu6572

    2 жыл бұрын

    Aya afe tu,ananyanyasa watu hawana Raha KBS

  • @J4UPro

    @J4UPro

    2 жыл бұрын

    Kweli

  • @mcmi469
    @mcmi4692 жыл бұрын

    Kindly, Would you please arrange for English subtitle so that we may all understand these Great speach of our beloved African Great president Dr. Magufuli!? 🙏

  • @LEDAMASUKE

    @LEDAMASUKE

    2 жыл бұрын

    Enrollment for Kiswahili classes recommended

  • @chachamagoti2400

    @chachamagoti2400

    2 жыл бұрын

    We c msukuma inakuaje hujui kiswahili. Wabongo bhn

  • @happypascal9557

    @happypascal9557

    2 жыл бұрын

    Baba was Rehem mungu Wa I man I umemchukua MTU muhimu tutakukumbuk daima uliongea utazn nabii ndio kinatokea sasa

  • @janeshigami8769
    @janeshigami87692 жыл бұрын

    Am a Kenyan 🇰🇪 ; there is no President I loved in Africa like Dr. Magufuli.....Infact I used to tune to TBC Channel just to hear something from Dr. Magufuli... I was heart broken when he died.... R.I.P. Dr....

  • @festofeisag392

    @festofeisag392

    2 жыл бұрын

    Uko sawa broker angu

  • @pilimohamedi794

    @pilimohamedi794

    2 жыл бұрын

    Mama kimbo

  • @gallousgosbert4993

    @gallousgosbert4993

    2 жыл бұрын

    Asante

  • @janeshigami8769

    @janeshigami8769

    2 жыл бұрын

    @@pilimohamedi794 😄😄

  • @twahathomas3514

    @twahathomas3514

    2 жыл бұрын

    Now tunakiona cha moto the late president and the present presdnt are very different ppl. Huwa hata sisikilizi tena taarifa ya habari

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel90272 жыл бұрын

    Magufuli atabaki mioyoni mwa wanyonge kwa muda mrefu sana.R.I.P JPM.

  • @happymrema7723

    @happymrema7723

    2 жыл бұрын

    Hakuna tena rais kama Magufuli

  • @esterkanuda5002

    @esterkanuda5002

    2 жыл бұрын

    Kabisa

  • @adamsaid6217

    @adamsaid6217

    2 жыл бұрын

    Yani kira nikiona hizi naumia san

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 жыл бұрын

    @@adamsaid6217 Usiumiye yeye yake yashamuishiya. Sasa jifikiriye wewe bado uko Duniani. Mungu amlipe kwa mazuri yake aliyo yafanya hapa DUNIANI.

  • @awatifalghanim1106

    @awatifalghanim1106

    2 жыл бұрын

    @@happymrema7723 Watakuja wazuri...wengi tu...na huyo alokuwepo pia ni mzuri kwa time yake...Mungu amsaidie..Hujuwi labda wewe utakuja kuwa Rais siku zitakazokuja...Tulijuwa kama Magufuli atakufa??? Siku yake ilifika. Ilisikitisha sana....

  • @janethtito4777
    @janethtito47772 жыл бұрын

    Kumbe ulikua waitikia unafk tu Samia ila Mungu anakuona

  • @khadijachembela5946

    @khadijachembela5946

    2 жыл бұрын

    2025 hiyooooooo lnakuja

  • @jumongjr5837

    @jumongjr5837

    2 жыл бұрын

    Tutamtoa ndukiiiiiiiii

  • @azizahamisi7349

    @azizahamisi7349

    2 жыл бұрын

    @@jumongjr5837 nataman ningekua na kura ya Tanzanian nisinge mpigia kura samia

  • @alexkihongola798

    @alexkihongola798

    2 жыл бұрын

    Eti anaongezea na hizo ndiyo ajira zenyewe, Jamani Dunia ngumu hii, Ngoja tuishi tuondoke tu.

  • @ngwanasongowelero7153
    @ngwanasongowelero71532 жыл бұрын

    Ukumbukwe sana baba wawanyonge rohoyako Mungu ailaze mahali pema peboni

  • @alimasha8490
    @alimasha8490 Жыл бұрын

    Uncle Magufuli was indeed a true stateman, am a Kenyan but your like our food in my family, a day was never end without searching your steps on KZread, one day God willing will pay visit to your grave for prayers with family. Mola akurehemu.

  • @jacksonimwasoni2520
    @jacksonimwasoni25202 жыл бұрын

    Hakuna kama ww tena popote duniani, Mapungufu kila mtu anayo.

  • @zakayojoseph1499

    @zakayojoseph1499

    2 жыл бұрын

    Ninge kuwa nauwezo nigekufufua ukamariza mwendo salama

  • @neychitinde2345

    @neychitinde2345

    2 жыл бұрын

    Hakika wewe Mungu alikuleta kwa kusudi la watanzania. Mungu alikutumia kwa kila jambo.

  • @mountzionrestoration4228
    @mountzionrestoration42282 жыл бұрын

    We lost an able bodied leader, a down to earth president. Continue resting in peace

  • @alexiasimba3707

    @alexiasimba3707

    2 жыл бұрын

    In vizuri viongoz waamin kuwa Makufuli alikuwa jembe na wafuate maagizo yake watu hatulingan Mwenye uwezo muige mambo mema take mabaya yaachen huyu tulipewa na Mungu maisha hayako vizuri KWA sasa Raid Samia asiamin kuwa maisha yako powa vitu viko juu saana bidhaa kuliko miez michache aliyokuwapo mtetez wa. Wanyonge asiwaulize watu WA juu maisha awaulize wanyonge maisha yamezid ugumu amuombe Mungu amsaidie

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi47952 жыл бұрын

    Safii sn hayati Dk.John Pombe Magufuli tutaendelea Kukupenda Daima Rais wa Wanyonge 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏...R.I.P

  • @sistermery4581
    @sistermery45812 жыл бұрын

    Mhhhhh sitaki kusema Mie wali muua wapo wanajulika sema t Domo koma baba Rudi always wanawake wanakuag wajanja hat chumbani hata kwenye kuongoza wananchiii😭😭😭😭

  • @mussathomasdossa4687
    @mussathomasdossa46872 жыл бұрын

    Mama kakusaliti utawara wa huyu mama hauna huruma na wanyonge Mambo ya kikwete yamerudi

  • @azizawadh5973

    @azizawadh5973

    2 жыл бұрын

    Kila kitu na utaratibu wake sio kupanga vitu barabarani

  • @shafiibashiru592

    @shafiibashiru592

    2 жыл бұрын

    R.i.p

  • @evancymassawekenya7521
    @evancymassawekenya75212 жыл бұрын

    Nimeshangaa toka huyu kiongozi atoke Kwa Dunia madini ya tanzanite tunayapata yakisafishwa inchi zingine

  • @azizawadh5973

    @azizawadh5973

    2 жыл бұрын

    Ulitaka yasisafirishwe

  • @mwinyikadhi2870

    @mwinyikadhi2870

    2 жыл бұрын

    Anamaanisha kusafirishwa..sio kusafishwa

  • @trillhappybeautypoint9874

    @trillhappybeautypoint9874

    2 жыл бұрын

    Mungu atasikia kilio chetu,Mungu halali tutampata mwingine ninaamini

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    2 жыл бұрын

    @@trillhappybeautypoint9874 inabidi tuombe sana maana huyu kikwete na mtandao wake si mchezo

  • @faridamikindo4524
    @faridamikindo45242 жыл бұрын

    RIP magufuli umeondoka mapema ,,wangenyooka HAWA wote uliowaacha mungu,,tuangalie,,,tulinde MANENO YAKO yote magufuli..yametimia your the greatest we love you

  • @shantelshanne12
    @shantelshanne122 жыл бұрын

    Mungu azidi kuilazaa roho yakoo mahali pema peponi🙏🙏🙏

  • @abdullahhashimu2380
    @abdullahhashimu23802 жыл бұрын

    Mzee tutakukumbuka

  • @annamassawe1805

    @annamassawe1805

    2 жыл бұрын

    R.i.p

  • @annamassawe1805

    @annamassawe1805

    2 жыл бұрын

    R.i.p

  • @emmanuelshavunza4314
    @emmanuelshavunza43142 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭,,, daaaah aiseeee machozi yamenitoka,,, Eeeee Mungu tukumbuke.

  • @jamesmasila6873

    @jamesmasila6873

    2 жыл бұрын

    Pole Sana Emanuel

  • @monica1244
    @monica12442 жыл бұрын

    Nikweli kabisa baba ila mungu atakulipa uko ulipo

  • @halimakihongosi924
    @halimakihongosi9242 жыл бұрын

    Yupo Mungu alietupa Magufuli na akamchukua, ndiye atakae tugaiya Watanzania Raisi mwingine wa kufanana na hayati Magufuli Amin🙏

  • @faustinemavere1450
    @faustinemavere14502 жыл бұрын

    Baba ulikuwa na maono ya kuona mbali yameishatokea kuvunjiwa vibanda na mali zao kuibwa ee Mungu tusaidie sisi wa machinga na sisi tuna haki ya kufanya biashara jamani inauma sana Mungu akupumzishi kwa amani kipenzi chetu Ameen

  • @AhmedMohammed-de4ke

    @AhmedMohammed-de4ke

    2 жыл бұрын

    Ni kweli lakini walionyanganywa mali zao waliokufa ndgu zao ktk utawala wake huyu ndio wanajua zaidi kua Magu alikua mtu wa aina gani. Sio mm na ww ambae tunamsifu kwa kujenga barabara na kununua ndege

  • @faustinemavere1450

    @faustinemavere1450

    2 жыл бұрын

    @@AhmedMohammed-de4ke mweee hayo unayajua wewe kama aliua lakini nimekuelewa mafumbo yako mimi siwezi hukumu ila Mungu amweke pema siyo barabara na ndege tu wewe ndo uliviona mimi alinitoa mbali sana nikiwa kama machinga lakini wewe uliyezoea kupinga hata mazuri aliyoyafanya sawa niuelewa wako pole na ww ndugu zako wangapi aliwaua?jitambue

  • @shadrackkamugisha4481

    @shadrackkamugisha4481

    2 жыл бұрын

    @@AhmedMohammed-de4ke wewe ulivyoaminishwa ni tofauti na sisi tuliyoyaona itoshe kusema ivyo

  • @bahatimohamedi720
    @bahatimohamedi7202 жыл бұрын

    Shunjaaa wetu pumuzika kwa Aman 😭😭😭😭

  • @gitiganiibrahimdanhi7692
    @gitiganiibrahimdanhi76922 жыл бұрын

    Continue Resting in peace JPM,we really miss you Baba. Return if Possible Magufuli Wetu 😭😭😭😭

  • @joakimmasawe1657
    @joakimmasawe16572 жыл бұрын

    Kwa huu ujumbe sisi tuliokusikia tutakuombea Kwa mungu wetu akupe uzima wa milele na wale waliokua wanakupinga Mungu anawaona na siku ya mwisho kilakitu kitafichuliwa na kuonekanana azarani mimi nasema olewao wanaozani siku aitafika.

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda27732 жыл бұрын

    Uwiiiiii hii kali ya mwaka. UPASUAJI WA JIPU HILI LINAHITAJI HEKIMA

  • @fetychina3273
    @fetychina32732 жыл бұрын

    😭😭😭hii laana itatembea na kila msaliti

  • @gamc773

    @gamc773

    2 жыл бұрын

    Kabisa mama ni msaliti sana hata lisu kasema jana

  • @kikotikikoti7176

    @kikotikikoti7176

    2 жыл бұрын

    Jamani huyu mama hajawahi kuwa kiongozi wa kuchaguliwa yeye alikuwa ni was kuteuliwa tuu

  • @ndomimielpidi5832

    @ndomimielpidi5832

    2 жыл бұрын

    Hapo ndo kuna umuhimu wa kuwa na katiba mpya ili kuwekwe scope ya taifa ili kila kiongozi awe anaifuata,, sio kila kiongozi aje na mambo yake..

  • @fetychina3273

    @fetychina3273

    2 жыл бұрын

    @@gamc773 🥰

  • @christinanonde9056

    @christinanonde9056

    2 жыл бұрын

    Laana itamgusa kila msalati mungu hulipa kwa matendo uyayendayo malipo yapo tena yapo watalipwa

  • @jamesmwangi8598
    @jamesmwangi85982 жыл бұрын

    Hongera baba mtetezi wa wanjonge MUNGU akuweke mahali pema peponi asante

  • @mcgb5725
    @mcgb5725 Жыл бұрын

    Ulkuwa baba wa kwel Mkuu endelea kupumzika kwa Aman .tutakukumbuka daima President John Joseph Pombe Magufuli.

  • @arafahashi5043
    @arafahashi50432 жыл бұрын

    U are forever missed and loved JPM. U are 1 in a million.

  • @rwenenahomechannel1634

    @rwenenahomechannel1634

    2 жыл бұрын

    Huyu uliyemwamini baba,kasha kusaliti. Hata sisi ameenda kutuuza UN.Ameomba chanjo ya uviko. Je hizo chanjo ndo ilani muliotuahidi?

  • @rajabmasika9658

    @rajabmasika9658

    2 жыл бұрын

    The best ever African president

  • @mageema9272

    @mageema9272

    2 жыл бұрын

    Huyu Mama mnafiki kweli kweli, ndo maana hamjui Mungu wake, anatusalimia kwa jina la jamhuli ya Muungano

  • @mageema9272

    @mageema9272

    2 жыл бұрын

    Wabadirishe katiba, wangekua wamebadilisha leo hii tusinge fikia hapa tulipo, mwenzenu kaokota Embe Hana shida, tusiumie Sana kwasababu hatukumchagu Mungu wetu yupo atatutetea

  • @mariethjohn3074

    @mariethjohn3074

    Жыл бұрын

    Ila mama tukiacha yote chakula kishuke beii angalia watu wako daaa

  • @jamesnteleva7073
    @jamesnteleva70732 жыл бұрын

    I really miss my beloved President JPM.

  • @zachariasanane1537

    @zachariasanane1537

    2 жыл бұрын

    Hayo yote Samia anayakumbuka au alikuwa anamchola t

  • @annapeter1458
    @annapeter14582 жыл бұрын

    Ungefufuka baba ukaja kuona ubabe ulotumika kuwaondoa machinga ungelia ila tumekukumbuka Sana BABA

  • @kulthummsuakollo208
    @kulthummsuakollo2082 жыл бұрын

    Kama mungu angekupa dk chache tu urud dunian Allah akupe kaul thabit nas atupe mwsho mwema inshallah pumzika kwa aman mtetez wa wanyonge

  • @zariadunia6328
    @zariadunia63282 жыл бұрын

    Mungu anisamehe kwa hili huyu baba walimuondoa ili wafanye mambo yao kabisa eti mtu alikuwa anaitikia kumbe ni snitch tu anayoyafanya sasa tofauti

  • @darlenepaschal4912

    @darlenepaschal4912

    2 жыл бұрын

    apo sasa

  • @patrickmbaji2737

    @patrickmbaji2737

    2 жыл бұрын

    Bhana wee mjinga huyu mama twawaonea huruma tukiwa Kenya

  • @nobertkavishe8835

    @nobertkavishe8835

    2 жыл бұрын

    Anaitikia mh mh mh🤣

  • @tamastajeremiah9057

    @tamastajeremiah9057

    2 жыл бұрын

    Tunajjitaji MUNGU

  • @ayobow2468

    @ayobow2468

    2 жыл бұрын

    Njoo DM tafadhal shujaa mwenzang

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed12942 жыл бұрын

    Samia alikuwa akisikiliza lakini kalewa madaraka, 😥😥😥😥 Jpm you'll always remain a hero

  • @mahmoudally4824

    @mahmoudally4824

    2 жыл бұрын

    Ww boy unasemaj

  • @nguchilojr8278

    @nguchilojr8278

    2 жыл бұрын

    Tunaishinao

  • @neemayusuphu4266

    @neemayusuphu4266

    2 жыл бұрын

    .kamsaliti leo alivo kufa kageuka

  • @maishamazuri9897

    @maishamazuri9897

    2 жыл бұрын

    yes..kalewa tilalila. nchi inaelekea wapi sijui..hatujulishwi

  • @officiallugano8991

    @officiallugano8991

    2 жыл бұрын

    Ukimtaja huyu malaya naumia achana nae mpuuzi yule

  • @bihusnaiddy6804
    @bihusnaiddy68042 жыл бұрын

    tutakukumbuka sana baba yetu rais wawanyonge lala salam

  • @rehemaburuna4641
    @rehemaburuna46412 жыл бұрын

    Naumia sanaa😭😭😭😭😭, such kind of president jmn !!! atatoka wap tena 😭😭😭😭😭😭 continue resting in peace baba

  • @johnkashaija8191
    @johnkashaija81912 жыл бұрын

    Sikiliza vizuri hanavyo chomekea .Samia. Bongo hatari.

  • @omanabcd9249

    @omanabcd9249

    2 жыл бұрын

    Hana hata haya huyu kikongwe nahana dini ndiomaana kakata hata salamu yamungu

  • @obadiamushi5952

    @obadiamushi5952

    2 жыл бұрын

    Msikilize anavyo jibi kumbe ni unafki mtupu

  • @ziadasadiki8196

    @ziadasadiki8196

    2 жыл бұрын

    @@omanabcd9249 Salaam ya MUNGU ni ipi hiyo wakati kila mtu ana MUNGU yake.

  • @ntibashimamathiasidicksony1409

    @ntibashimamathiasidicksony1409

    2 жыл бұрын

    Linaguna tuu mmmh,mmh kama nguruwe

  • @patriciapatrick7747

    @patriciapatrick7747

    2 жыл бұрын

    @@ntibashimamathiasidicksony1409 kama bundi vile hovyoooooo!

  • @hamismtengwa9657
    @hamismtengwa96572 жыл бұрын

    .,magufùli baba tutaķulilia sana MZEE wet kwauliotufanyia mungu ataķulipa Pepo kwa ulichotutendea ww hutuoni lkn tunataabika na maisha yetu ķwani hatuelewi hatima ya maisha yetu itakuaje ķwani ni tete hail zetu tuombee kwa mungu baba

  • @gallousgosbert4993
    @gallousgosbert49932 жыл бұрын

    YOUR LEGACY STILL IN MY HEART,R.I.P BABA YOU AND MY DAD

  • @titomhagama5545
    @titomhagama55452 жыл бұрын

    Mimi na magufuli ni kitu kimoja, kumbe ilikuwa sio kweli

  • @jumatingi2047

    @jumatingi2047

    2 жыл бұрын

    Samia ni mnafiki waziwazi. Hivi sasa amejionesha dhahiri ni msaliti. Laana za Mwenyezi Mungu zimshukie

  • @damarisgongo5531

    @damarisgongo5531

    2 жыл бұрын

    Huyu mama ni mnafiki sana, ila Mungu yupo hatasahau watuwake.

  • @mrdeniskomba6199
    @mrdeniskomba61992 жыл бұрын

    MB zangu zimetumika kihalali. This is the president of Africa. Kwa Umri wang sijawahi kuona Raisi mwenye uchungu na upendo kwa wanainchi wake hasa wanyonge kama jpm

  • @rehemafungo5042

    @rehemafungo5042

    2 жыл бұрын

    Hakika😭😭😭

  • @hassanhalletu1475

    @hassanhalletu1475

    2 жыл бұрын

    Will never happen a such president

  • @J4UPro

    @J4UPro

    2 жыл бұрын

    Hakika

  • @annachristopher3460

    @annachristopher3460

    2 жыл бұрын

    Rlp dady tunakukumbuka Sanaa Mungu akupokee umefanya kazi Sanaa .

  • @zawadhassan5144

    @zawadhassan5144

    2 жыл бұрын

    Yani weacha tu

  • @kibeteliazersabbathmusiced5820
    @kibeteliazersabbathmusiced58202 жыл бұрын

    He was a man of the people,,, Kenyans president aigize magufuli. Utamwona Mumba Kwa kazi Yako mzuri

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82762 жыл бұрын

    OMG! LEGENDS REMAIN FOREVER. RIP OUR DEAR PRESIDENT. THIS VIDEO AND MANY OTHER WILL REMIND US YOUR PRECIOUS SERMONS.

  • @alexiasimba3707

    @alexiasimba3707

    2 жыл бұрын

    yaan msiwatafutie mbali na sehemu zao kama.wao WA manzese watafutien sehemu hizohizo sehemu kubwa sio waende mbali kama.WA magomen wapate sehemu.maalum magomen kama Wa banana itafutwe hukohuko sio wawekwe.mbali ambapo mteja hawez kwenda mfano Niko bugurun nifate mitumba mbesi sio saw a mazingira mazuri sehemu walizokuwapo patafutwe sehemu ya pamoja hikohuko Amina

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga15182 жыл бұрын

    The real president of low level p,ple

  • @fakihnyange8821
    @fakihnyange88212 жыл бұрын

    We actually remember you our hero, rest in peace baba

  • @ramsohamza7179
    @ramsohamza71792 жыл бұрын

    Hakika tutakukumbuka daima baba mungu akulaze mahali pema. Akuondoshee azabu😭😭😭😭😭

  • @emmykinoge9549
    @emmykinoge95492 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu ailaze roho yake mahali pema peponi mtetezi wetu wanyonge amina

  • @braysonmwakatage2950
    @braysonmwakatage29502 жыл бұрын

    Wamemsaliti JPM ila inauma kweli yamerudi ya zamani, Sasa hivi ni chukua chako mapema baba pumzika Kwa amani baba yetu

  • @patriciasamuel7643

    @patriciasamuel7643

    2 жыл бұрын

    Pole

  • @rizickmombury7598

    @rizickmombury7598

    2 жыл бұрын

    Utadhani alikuwa anamwelewa vile

  • @chipegwakuselya1742

    @chipegwakuselya1742

    2 жыл бұрын

    Yan huyu mama Hadi afanani na huu uchafu anaoufanya

  • @tinajulya6876

    @tinajulya6876

    2 жыл бұрын

    😭😭 tutakukumbuka daima baba yetu

  • @epafrangweshemi4014

    @epafrangweshemi4014

    2 жыл бұрын

    @@chipegwakuselya1742 hata ukiwa na nguvu kiasi gani wakikuwahi kabali huwezi kufurukuta. Yajayo yatawafundisha. Mungu sio Mrisho. Yeye ni Mungu tu!

  • @goergemtei8707
    @goergemtei87072 жыл бұрын

    Duu mungu nifundishe kunyamaza, pumzika kwa amani mzalendo wetu.

  • @mohamedkondo6392

    @mohamedkondo6392

    2 жыл бұрын

    Ongea tu kaka, mi mwenyewe sijafurahixhwa na awamu hii kiukweli, mic my president 😢.

  • @epafrangweshemi4014

    @epafrangweshemi4014

    2 жыл бұрын

    Tunapenda sana kunyamaza lkn tunashindwa. Unapokuwa unaona nuru ghafla giza huelewi dira lazima sauti itoke ili uone uko salama au lah! Fikiria mko gerezani mnatangaziwa kuwa huru mnajiandaa kutoka ghafla anatokea mtu asiyejulikana anawaamuru hakuna kutoka mnarudi sero. Itafakari picha hiyo. Kwa vyovyote mtakesha kuitafakari sana amri hiyo!

  • @mohamedkondo6392

    @mohamedkondo6392

    2 жыл бұрын

    @@epafrangweshemi4014 Well Said 🙌🏿

  • @abdallahmaulid6005

    @abdallahmaulid6005

    2 жыл бұрын

    Kukaakimya kazisana kwenye awamuhii.yani unajitahid kukaa kimya lakini unashindwa.mama unatuangusha.itikiaitikia nyiingi kumbe hamnakitu

  • @C.Ltv1
    @C.Ltv1Ай бұрын

    We Baba yetu udumu Roho yako iangukie kwa mmoja wa nchi hii aje kua Raisi tena kama wewe

  • @dianwilfred8541
    @dianwilfred8541 Жыл бұрын

    Kikulacho ki nguoni mwako😥😥😥😥 Dah! Pumzika kwa Amani Baba, vizuri kweli havidumu

  • @bestbagaza8896
    @bestbagaza88962 жыл бұрын

    Pumzika baba JPM !!Nyota ya ulimwengu ,shujaa tuta kukumbuka milele 😭😭😭😭😭

  • @asantekwahuuwimbozubeda873

    @asantekwahuuwimbozubeda873

    2 жыл бұрын

    Jamn kila nikiziangalia clip za magufu najikuta nalia siwezi kujizuia kabisa😭😭😭

  • @levisduiza1474

    @levisduiza1474

    2 жыл бұрын

    Kwel mwamba pumzika kwa Aman

  • @hajratramadhani5346

    @hajratramadhani5346

    2 жыл бұрын

    yaan huyu baba 😭😭sauti yako kama upo

  • @ananiainyasio9834
    @ananiainyasio98342 жыл бұрын

    Mwone anavoitikia kama kweli binadamu sisi vigeugeu wasaliti kwanini wanataka kuihalibu nchii hii

  • @enocknzao2184

    @enocknzao2184

    2 жыл бұрын

    Ni hatari hao

  • @rahmaomary8021
    @rahmaomary80212 жыл бұрын

    Pumzika kwa aman baba. Uyo Samia alikuw anaandika joki pumbavu mungu anakuona mama ww na laana itakurudia mpuuzi ww Samia hassani suluu

  • @mohamediiddi2159
    @mohamediiddi21592 жыл бұрын

    Mungu akurehemu na akuondolee adhabu ya kabri mwamba uliyoyasema ni tofauti kabisaaa mbele nyuma nyuma mbele

  • @mengimagimbi483
    @mengimagimbi4832 жыл бұрын

    Mbona mmesahau kirais mama jitahid kukumbuka haya,,,🖐️🖐️👍

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx76772 жыл бұрын

    Ee mama mungu anakuona maana sote ni wasafili duniani

  • @ramadhanmajid1789

    @ramadhanmajid1789

    2 жыл бұрын

    Baba amekufa tumebak na mama wa kambo watoto tutanyooka

  • @williammpuya3035

    @williammpuya3035

    2 жыл бұрын

    Hahahhah NA NDIZO AJILA ZENYEWE BT NOW KESHASAHAU Daaah aiseeee

  • @dickmagafu7397

    @dickmagafu7397

    2 жыл бұрын

    Mama anachangia vizuri tu. Leo wamefukuzwa.

  • @salmaseif8755
    @salmaseif87552 жыл бұрын

    Mungu ck zote huwaangalia wenye haki na maskini wanyonge na watu wanaojitafutia kwa jasho lao, Sasa mama samia endelea kumskiliza huyo timua timua wanaojitafutia riziki zao hata shule wazazi wao wslishindwa kuwasomesha kwa hali duni ya maisha, UNATAFUTA VITA NA ALLAH

  • @nyabendasayumwe8514
    @nyabendasayumwe85142 жыл бұрын

    Asante sana JPM.wewe uko mbinguni

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun30152 жыл бұрын

    R.I.P MZEE WETU JPM TUTAENDELEA KUMKUMBUKA DAIMA 😭

  • @stevembuhilo2956

    @stevembuhilo2956

    2 жыл бұрын

    Hakika huyu,,,,ni mtu muhim,

  • @coolestboytz9682
    @coolestboytz96822 жыл бұрын

    2025 naona mbali kabisa yani ambao tunaisubiri 2025 tupieni like

Келесі