Magufuli amgeukia RC wa Mbeya kuwachapa wanafunzi: Fukuza wote!!, peleka Jela.
GADI TV ndiyo
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: gaditvhabari@gmail.com
Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV
Thanks.
Пікірлер: 47
huwa naenjoy sanaaa speech zake
@hedwigkimario6993
4 жыл бұрын
Hata mimi sanaaaaa
😢daima nitakukumbuka
We we ni Raisi wa dunia. Big up Uncle MAGU
Dear President Magufuli...please send these 17 students for detention with JWTZ...and thereafter every six months their progress should be televised at schools. Nobody will dare to repeat such a mistake. We must stay firm with our tomorrow's ambassadors.
@lovenessfelix1464
4 жыл бұрын
Safiiii
Amazing Wisdom 🖤❤💚
Good president whom i didn't understand him before but as days progressed and saw what he did actually I have found myself loving him so much
Uko sawa, kabisa
Very Gud mhe.Rais we2
@kakaaignas3675
4 жыл бұрын
Tia ndani
Kweli kabisa wazazi wote wa kidato cha tano na kidato cha sita wajenge mabweni watt wao warudi shule safi mheshimiwa rais wetu
Uko vizur mueshimiwa rais...nakupenda sanaaa..
Safi
Naata🎉olendapaya❤
Best President in Africa
@kulwamahushi3852
4 жыл бұрын
Huyu ndiye raisi tunayemtaka hataki ujinga safi sana raisi mtoto usimnyime kiboko
@magicalfootball7854
4 жыл бұрын
Mwendo wa bakoraaa!! tuu!! hawa wapuuzi sanaaa!! unafundisha halafu mtt analete ujingaa eti haki za binadamu!! na hao wanaosema haki za binadam walichapwa sanaa!! well done mzeee
Daah!!
Waaaaa this man
Mungu tusaidie sisi ambao watoto wetu bado ni wadogo,maana vikundi na malezi vinasababisha watoto wengi kuwa na tabia mbaya za ajabu sana
kweli kabisa baba!
Mia juu ya mia respect kama nakuona viboko virudi nakusapoti saaaaaana mzee
@vumiliamsemwa1339
4 жыл бұрын
amour amour ndio Mkuu Hapo Umenena Kwakweli Hayo Sio Malezi
Daaaaaah yamoto mzee
Tuna kila kituuu??Baba yuko wapi Magu jmn;pumzika kwa amani ,
Saf sana rais umefanya vizuri
Wambie ukweri
Mhhhhhhh
Baba makukfli lala pema
ajemtina
Uko sahihi sana mkuu wa nchi, haya yote ni matokeo ya maandalio mabovu ya malezi ya wazaz, walaaniwe hao vijana, wamechafua sura ya shule yetu tuliyoipenda, hao wapigwe viboko mpaka waombe poooo. .......
odama
Mwanaume akiungurumaa
@allykigatta3239
4 жыл бұрын
Tupa jela wite...maanina zao...wanachima mabweni!!??
Hahahaha
Niko upande wa pili sikupend ila kwa hili nasema lahisi simamia viboko viludi maaana sasa taifa linaelekea pabaya kisa kuiga mambo yasiyo ya maana saluuuut
@ibrahjuma5026
4 жыл бұрын
Radian Tv we anaekupenda nan??? Hupendwi pia
@elbarickmollam6695
4 жыл бұрын
Sema rudia siyo ludia
Nikweli maandiko Matakatifu yanatuasa kuwarudi wana wakosefu
ukimaliza kuingoza tz, kuja Kenya tafadhali tukupee kura
@shabanially1707
4 жыл бұрын
Daimond
Ivi wanafunzi mnao soma Geographi Tanzania niya ngapi kiuchimi Africa?Magufuli usidaganye watu....
@Mkrist
4 жыл бұрын
Geography ndio inatoa hali ya uchumi wa nchi ?
@elbarickmollam6695
4 жыл бұрын
Zero kabs ww
Bible inasema usimnyime mtoto kiboko
Mungu tusaidie sisi ambao watoto wetu bado ni wadogo,maana vikundi na malezi vinasababisha watoto wengi kuwa na tabia mbaya za ajabu sana