Magufuli amgeukia RC wa Mbeya kuwachapa wanafunzi: Fukuza wote!!, peleka Jela.

GADI TV ndiyo
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: gaditvhabari@gmail.com
Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV
Thanks.

Пікірлер: 47

  • @johnmasinga3698
    @johnmasinga36984 жыл бұрын

    huwa naenjoy sanaaa speech zake

  • @hedwigkimario6993

    @hedwigkimario6993

    4 жыл бұрын

    Hata mimi sanaaaaa

  • @GilishiBaguni
    @GilishiBaguniАй бұрын

    😢daima nitakukumbuka

  • @hajinuhu9511
    @hajinuhu95114 жыл бұрын

    We we ni Raisi wa dunia. Big up Uncle MAGU

  • @doreengomes3489
    @doreengomes34894 жыл бұрын

    Dear President Magufuli...please send these 17 students for detention with JWTZ...and thereafter every six months their progress should be televised at schools. Nobody will dare to repeat such a mistake. We must stay firm with our tomorrow's ambassadors.

  • @lovenessfelix1464

    @lovenessfelix1464

    4 жыл бұрын

    Safiiii

  • @blessingsgeneral93
    @blessingsgeneral933 жыл бұрын

    Amazing Wisdom 🖤❤💚

  • @JosephMasanja-wy7ud
    @JosephMasanja-wy7udАй бұрын

    Good president whom i didn't understand him before but as days progressed and saw what he did actually I have found myself loving him so much

  • @SiwaRobert-mj4pd
    @SiwaRobert-mj4pd4 ай бұрын

    Uko sawa, kabisa

  • @neemabaraka6421
    @neemabaraka64214 жыл бұрын

    Very Gud mhe.Rais we2

  • @kakaaignas3675

    @kakaaignas3675

    4 жыл бұрын

    Tia ndani

  • @barikilaizer9612
    @barikilaizer96124 жыл бұрын

    Kweli kabisa wazazi wote wa kidato cha tano na kidato cha sita wajenge mabweni watt wao warudi shule safi mheshimiwa rais wetu

  • @godymasawe6415
    @godymasawe64154 жыл бұрын

    Uko vizur mueshimiwa rais...nakupenda sanaaa..

  • @mariamsaidi9486
    @mariamsaidi94864 жыл бұрын

    Safi

  • @danielleboy5318
    @danielleboy5318 Жыл бұрын

    Naata🎉olendapaya❤

  • @alfredmichael7364
    @alfredmichael73644 жыл бұрын

    Best President in Africa

  • @kulwamahushi3852

    @kulwamahushi3852

    4 жыл бұрын

    Huyu ndiye raisi tunayemtaka hataki ujinga safi sana raisi mtoto usimnyime kiboko

  • @magicalfootball7854

    @magicalfootball7854

    4 жыл бұрын

    Mwendo wa bakoraaa!! tuu!! hawa wapuuzi sanaaa!! unafundisha halafu mtt analete ujingaa eti haki za binadamu!! na hao wanaosema haki za binadam walichapwa sanaa!! well done mzeee

  • @focuschristogon3638
    @focuschristogon36384 жыл бұрын

    Daah!!

  • @evanswatah1676
    @evanswatah16764 жыл бұрын

    Waaaaa this man

  • @hapinessbakuju2610
    @hapinessbakuju26104 жыл бұрын

    Mungu tusaidie sisi ambao watoto wetu bado ni wadogo,maana vikundi na malezi vinasababisha watoto wengi kuwa na tabia mbaya za ajabu sana

  • @remitharwezaura7760
    @remitharwezaura77604 жыл бұрын

    kweli kabisa baba!

  • @amouramour7143
    @amouramour71434 жыл бұрын

    Mia juu ya mia respect kama nakuona viboko virudi nakusapoti saaaaaana mzee

  • @vumiliamsemwa1339

    @vumiliamsemwa1339

    4 жыл бұрын

    amour amour ndio Mkuu Hapo Umenena Kwakweli Hayo Sio Malezi

  • @isaacsmasweya7030
    @isaacsmasweya70304 жыл бұрын

    Daaaaaah yamoto mzee

  • @dorakiyao4509
    @dorakiyao450911 ай бұрын

    Tuna kila kituuu??Baba yuko wapi Magu jmn;pumzika kwa amani ,

  • @elishamolell1830
    @elishamolell18304 жыл бұрын

    Saf sana rais umefanya vizuri

  • @DeogratiasNahashoni
    @DeogratiasNahashoni3 ай бұрын

    Wambie ukweri

  • @DeogratiasNahashoni
    @DeogratiasNahashoni3 ай бұрын

    Mhhhhhhh

  • @MosesMutuli
    @MosesMutuli8 күн бұрын

    Baba makukfli lala pema

  • @nadhifuchakulya1622
    @nadhifuchakulya16224 жыл бұрын

    ajemtina

  • @ivansumwike4028
    @ivansumwike40284 жыл бұрын

    Uko sahihi sana mkuu wa nchi, haya yote ni matokeo ya maandalio mabovu ya malezi ya wazaz, walaaniwe hao vijana, wamechafua sura ya shule yetu tuliyoipenda, hao wapigwe viboko mpaka waombe poooo. .......

  • @shadrackmisungwi3377
    @shadrackmisungwi33774 жыл бұрын

    odama

  • @pascalmstaarabu4372
    @pascalmstaarabu43724 жыл бұрын

    Mwanaume akiungurumaa

  • @allykigatta3239

    @allykigatta3239

    4 жыл бұрын

    Tupa jela wite...maanina zao...wanachima mabweni!!??

  • @kalimyusuph6616
    @kalimyusuph66164 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @Madanstars
    @Madanstars4 жыл бұрын

    Niko upande wa pili sikupend ila kwa hili nasema lahisi simamia viboko viludi maaana sasa taifa linaelekea pabaya kisa kuiga mambo yasiyo ya maana saluuuut

  • @ibrahjuma5026

    @ibrahjuma5026

    4 жыл бұрын

    Radian Tv we anaekupenda nan??? Hupendwi pia

  • @elbarickmollam6695

    @elbarickmollam6695

    4 жыл бұрын

    Sema rudia siyo ludia

  • @emmanueljosephat2892
    @emmanueljosephat28924 жыл бұрын

    Nikweli maandiko Matakatifu yanatuasa kuwarudi wana wakosefu

  • @juliusmose826
    @juliusmose8264 жыл бұрын

    ukimaliza kuingoza tz, kuja Kenya tafadhali tukupee kura

  • @shabanially1707

    @shabanially1707

    4 жыл бұрын

    Daimond

  • @mangalamngele1571
    @mangalamngele15714 жыл бұрын

    Ivi wanafunzi mnao soma Geographi Tanzania niya ngapi kiuchimi Africa?Magufuli usidaganye watu....

  • @Mkrist

    @Mkrist

    4 жыл бұрын

    Geography ndio inatoa hali ya uchumi wa nchi ?

  • @elbarickmollam6695

    @elbarickmollam6695

    4 жыл бұрын

    Zero kabs ww

  • @jeniphermaiko3886
    @jeniphermaiko38864 жыл бұрын

    Bible inasema usimnyime mtoto kiboko

  • @hapinessbakuju2610
    @hapinessbakuju26104 жыл бұрын

    Mungu tusaidie sisi ambao watoto wetu bado ni wadogo,maana vikundi na malezi vinasababisha watoto wengi kuwa na tabia mbaya za ajabu sana

Келесі