GADI TV

GADI TV

Is an online television registered with the Tanzania Communications Regulatory Authority -TCRA for reporting all news, information, social events, politics, economics, sports and development around the world..

In addition GADI TV reserves the right to delete any comments that violate the laws, policies and guidelines of the State or KZread.

Ni runinga ya mtandaoni iliyosajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania -TCRA kwa ajili ya kuripoti habari zote, taarifa, matukio ya kijamii, siasa, uchumi, michezo na maendeleo duniani kote.

Aidha GADI TV ina haki ya kufuta maoni ya mtu yoyote yanayokiuka sheria, sera na miongozo ya Nchi na youtube.

Пікірлер

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith54794 сағат бұрын

    Hapa ndo tunapofeli Weka ile inayoonyesha kila alichoongea na muda alio ongea, km nchi za wenzetu huko Watu hawaamini

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith54794 сағат бұрын

    Itoshe kusema Mungu ana watu Ni kweli mama ulisema ila tulikuupuza Yametimia

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter7 сағат бұрын

    Yametimiya

  • @LeonardFrancis-hk9ku
    @LeonardFrancis-hk9ku11 сағат бұрын

    Unamwambia nani

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba805311 сағат бұрын

    Sasa naona watakuelewa ,kejeli zilikua nyingi na kubezwa.

  • @radimkuu
    @radimkuu13 сағат бұрын

    Mungu alishika fimbo au sijasikia vizuri

  • @Alihamdulil
    @Alihamdulil13 сағат бұрын

    Uko mjinga sana wewe mama uko muongo

  • @user-qk1we4qj7e
    @user-qk1we4qj7e13 сағат бұрын

    Uongo Huu Mtakuja!! Musa Kama Nabii Hakupewa Jina Hili Mungu!! Pia Hakuna Nabii Nje Ya Yahusalem!!

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa33114 сағат бұрын

    Huyu mama ni nabii au

  • @mahijayusuph8186
    @mahijayusuph818615 сағат бұрын

    Mamaa mrudishe jerry tunakuomba hata kama kakosea mahali yeye ni binadamu msamehe mrudishe tunakuomba sisi wapiga kura wako

  • @isaacndashuka5959
    @isaacndashuka595916 сағат бұрын

    Ikaongea na mungu live? Acheni kufuru nyie

  • @LovelyBassetHound-qg5tr
    @LovelyBassetHound-qg5tr16 сағат бұрын

    Tulijiuliza maswalli mengi sana mama ulipo warudisha madarakani watu wasio waadilifu

  • @bolelambunda6554
    @bolelambunda655418 сағат бұрын

    Zbado mwigulu

  • @GraceKazi-z8d
    @GraceKazi-z8d19 сағат бұрын

    Hv wengine mnafanyaje mpka mnaongea na Mungu Ana kwa Ana? Mnafanyajeeeee mnielekeze jmn😢

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula222014 сағат бұрын

    Maono

  • @kwisa4899
    @kwisa489919 сағат бұрын

    Hivi jamani huu ujinga munatoa wapi Mungu Yupi munae mtaja

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence181220 сағат бұрын

    Mungu anachukia waovu na waabudu sanamu wanaopigiwa madogori

  • @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
    @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly20 сағат бұрын

    Hata huyo aliyewekwa sasa hawezi kuwa Rais.

  • @Kabeya410
    @Kabeya41020 сағат бұрын

    Mambo ya paulo haya nae alisingizia ati kakutana na Yesu ati kamtuma 😅yaani aache kumtuma ktk wale 12 wa wana wa Israel amtume Mrumi aliye kuwa akiwaua wanafunzi wa yesu 😅wajinga ndiyo waliwao ndo maana mnauziwa mafuta, maji, mapapai ati ya upako 😅upako wa Nyooko

  • @Kabeya410
    @Kabeya41020 сағат бұрын

    Hovyooo ati kaongea na Mungu na mijanaba yako 😅

  • @swahibal-karama145
    @swahibal-karama14520 сағат бұрын

    @all huyu anafaa kupimwa akili na mimi naamini hana Ubongo. AMECHIZIKA LAKINI NYINYI MNAMUONA KAMA VILE MZIMA :

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho180021 сағат бұрын

    Ukweli ni kwamba mwanadamu hulindwa na Mumgu. Tanzania kweli tukimpenda Mungu nchi itakuwa imebarikiwa na lango la mbingu kwa wengi. Tumweke Mungu mbele hasa ktk kupata viongozi wanaokubalika sio wa

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti530321 сағат бұрын

    Chapa hao mama hawana hata sifa za kua Watendaji wa mitaa ..Ila Mama ujifunze kwa JPM alishawakataa hao maj-izy

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya272321 сағат бұрын

    Hongera sana mama unabii wako mzuri sana

  • @sambotofuraha9971
    @sambotofuraha997121 сағат бұрын

    👏🏾👏🏾

  • @neemanziku5403
    @neemanziku540322 сағат бұрын

    Mama mrudishe jerr slaa mama watanzania tunamlilia tumekosa Aman kabisa😭

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik22 сағат бұрын

    Magufuri hukuwa na baya bado Mwiguru

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba578822 сағат бұрын

    Amebaki Nchemba

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano295822 сағат бұрын

    Wewe ni mnafiki

  • @mirzah117
    @mirzah11722 сағат бұрын

    Viongozi wa hovyo sio kwamba hawajulikani wajulikana kwa yeyote mwenye akili za kupambanua mambo wala sio utabiri huu

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-9622 сағат бұрын

    amina amina

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-9622 сағат бұрын

    amina amina

  • @amirinestory
    @amirinestory23 сағат бұрын

    Huyu mama anamfanya Mungu mshikaji wake😂et anamuuliza na kujibiwa kishikaji tu kweli tanzania si hami 😂😂😂. Makamba utendaji wake tu umemponza inaonekana na panga pangua ya mama ipo kitambo sana kwa hiyo probability ni kubwa acha kujikweza mjinga sana wewe mama

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard403122 сағат бұрын

    Hakuna utabiri hapa ni vitu vya mda kwa serikali ya saiv ni kupanga na kupangua tu kila mtu anajua

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa333323 сағат бұрын

    Watanzania hatuna sababu ya kutukanana ni vyema kufuatilia kama jambo ninla kweli au sio kweli

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi412223 сағат бұрын

    Acha uongo wsko

  • @user-zh3cf5wk1k
    @user-zh3cf5wk1kКүн бұрын

    Uongo huwezi ongea na mungu acha utaperi

  • @emanuelmkama1325
    @emanuelmkama132521 сағат бұрын

    Mungu unaongea Sana tu kwa maomb

  • @emmanuelchacha6718
    @emmanuelchacha6718Күн бұрын

    Sio swala la utabiri au unabii swala la makamba linajulikana kitaambo.

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4chКүн бұрын

    Kwa Mungu hapana kusema amekujia akakujulisha wwbx umtume

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233Күн бұрын

    Utabili wap wapo kwenye mifumo na wana taarifa zote

  • @ibel4lf
    @ibel4lfКүн бұрын

    Januari amepania sana uraisi I thought he should but now changing my mind for God’s sake

  • @Bugondo
    @BugondoКүн бұрын

    Hongera sana rais wetu kwa kuthamini maon ya watanzania

  • @Bugondo
    @BugondoКүн бұрын

    By by kwenye urais ndg yangu

  • @Bugondo
    @BugondoКүн бұрын

    Acha utani kaka yangu makamba ,hii ndio ccm yetu

  • @MehmetMtonga
    @MehmetMtongaКүн бұрын

    Wapo kweri wana mng'ong'a uyo mama

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699Күн бұрын

    Mama uko sawa

  • @justussebastian4779
    @justussebastian4779Күн бұрын

    January Makamba will raise again..atainuka tena na tena. Tunzeni hii msg

  • @goodluckmachangu5941
    @goodluckmachangu5941Күн бұрын

    Nakuelewa sana sanaa

  • @justussebastian4779
    @justussebastian4779Күн бұрын

    @@goodluckmachangu5941I wish January angeona msg hii. jamaa atarudi kwenye chati tena kwa namna ya juu . hata kama siyo kesho au kesho kutwa ..anarudi kivingine katika ukuu

  • @saidkhatib9146
    @saidkhatib9146Күн бұрын

    Hii dunia kila cku vituko😅

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541Күн бұрын

    Hawezi kua Raisi atakua baba yako Baraka hawezi kua rais atakua nani Acha husda alio pewa kapewa

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7lКүн бұрын

    Biblia inasema unabii wa mtu usikilizie ujue kama ni ukweli. Kama alisema mwezi wa 3 na sasa mwezi wa saba huo utabiri ni sahihi. Mungu aendelee kukufunulia

  • @user-qk1we4qj7e
    @user-qk1we4qj7e13 сағат бұрын

    Huyo Siyo Nabii!! Nape Na Makamba Hawa Jamaa Ni Hatari!! Mangi Kimambi Aliwahi Rusha Sauti Zao Wakimnanga Jiwe!!

  • @selasboy3966
    @selasboy3966Күн бұрын

    Huna uwezo wakuongea namungu ww bibi kizee😅 nywele zakikahaba naumeachia kifua tuone nini sasa wakati umezeeka domo kama nyeo la punda.

  • @kafulirahillaryhabel6728
    @kafulirahillaryhabel6728Күн бұрын

    Kakosa nini unamtukana huyu mama?. Sio vizuri

  • @abelianraphili5150
    @abelianraphili5150Күн бұрын

    Umelaaniwa wewe mjinga😢

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676Күн бұрын

    Wewe ni mpumbavu tu huna adabu pumbavu, pumbavu kabisa, hayo ndiyo maadili uliyo fundishwa na wakubwa zako. Umekua mwili tu lakini akili zako ni chafu.

  • @MabulaDoto-xb6xr
    @MabulaDoto-xb6xrКүн бұрын

    Duuuh hatar

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv23 сағат бұрын

    Sasa jamani huyu mama anakosa Gani mpka unamtukana kama hutaki kusikiliza acha

  • @joysekiza3944
    @joysekiza3944Күн бұрын

    😂😂😂😂jamani