Is an online television registered with the Tanzania Communications Regulatory Authority -TCRA for reporting all news, information, social events, politics, economics, sports and development around the world..
In addition GADI TV reserves the right to delete any comments that violate the laws, policies and guidelines of the State or KZread.
Ni runinga ya mtandaoni iliyosajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania -TCRA kwa ajili ya kuripoti habari zote, taarifa, matukio ya kijamii, siasa, uchumi, michezo na maendeleo duniani kote.
Aidha GADI TV ina haki ya kufuta maoni ya mtu yoyote yanayokiuka sheria, sera na miongozo ya Nchi na youtube.
Пікірлер
Hapa ndo tunapofeli Weka ile inayoonyesha kila alichoongea na muda alio ongea, km nchi za wenzetu huko Watu hawaamini
Itoshe kusema Mungu ana watu Ni kweli mama ulisema ila tulikuupuza Yametimia
Yametimiya
Unamwambia nani
Sasa naona watakuelewa ,kejeli zilikua nyingi na kubezwa.
Mungu alishika fimbo au sijasikia vizuri
Uko mjinga sana wewe mama uko muongo
Uongo Huu Mtakuja!! Musa Kama Nabii Hakupewa Jina Hili Mungu!! Pia Hakuna Nabii Nje Ya Yahusalem!!
Huyu mama ni nabii au
Mamaa mrudishe jerry tunakuomba hata kama kakosea mahali yeye ni binadamu msamehe mrudishe tunakuomba sisi wapiga kura wako
Ikaongea na mungu live? Acheni kufuru nyie
Tulijiuliza maswalli mengi sana mama ulipo warudisha madarakani watu wasio waadilifu
Zbado mwigulu
Hv wengine mnafanyaje mpka mnaongea na Mungu Ana kwa Ana? Mnafanyajeeeee mnielekeze jmn😢
Maono
Hivi jamani huu ujinga munatoa wapi Mungu Yupi munae mtaja
Mungu anachukia waovu na waabudu sanamu wanaopigiwa madogori
Hata huyo aliyewekwa sasa hawezi kuwa Rais.
Mambo ya paulo haya nae alisingizia ati kakutana na Yesu ati kamtuma 😅yaani aache kumtuma ktk wale 12 wa wana wa Israel amtume Mrumi aliye kuwa akiwaua wanafunzi wa yesu 😅wajinga ndiyo waliwao ndo maana mnauziwa mafuta, maji, mapapai ati ya upako 😅upako wa Nyooko
Hovyooo ati kaongea na Mungu na mijanaba yako 😅
@all huyu anafaa kupimwa akili na mimi naamini hana Ubongo. AMECHIZIKA LAKINI NYINYI MNAMUONA KAMA VILE MZIMA :
Ukweli ni kwamba mwanadamu hulindwa na Mumgu. Tanzania kweli tukimpenda Mungu nchi itakuwa imebarikiwa na lango la mbingu kwa wengi. Tumweke Mungu mbele hasa ktk kupata viongozi wanaokubalika sio wa
Chapa hao mama hawana hata sifa za kua Watendaji wa mitaa ..Ila Mama ujifunze kwa JPM alishawakataa hao maj-izy
Hongera sana mama unabii wako mzuri sana
👏🏾👏🏾
Mama mrudishe jerr slaa mama watanzania tunamlilia tumekosa Aman kabisa😭
Magufuri hukuwa na baya bado Mwiguru
Amebaki Nchemba
Wewe ni mnafiki
Viongozi wa hovyo sio kwamba hawajulikani wajulikana kwa yeyote mwenye akili za kupambanua mambo wala sio utabiri huu
amina amina
amina amina
Huyu mama anamfanya Mungu mshikaji wake😂et anamuuliza na kujibiwa kishikaji tu kweli tanzania si hami 😂😂😂. Makamba utendaji wake tu umemponza inaonekana na panga pangua ya mama ipo kitambo sana kwa hiyo probability ni kubwa acha kujikweza mjinga sana wewe mama
Hakuna utabiri hapa ni vitu vya mda kwa serikali ya saiv ni kupanga na kupangua tu kila mtu anajua
Watanzania hatuna sababu ya kutukanana ni vyema kufuatilia kama jambo ninla kweli au sio kweli
Acha uongo wsko
Uongo huwezi ongea na mungu acha utaperi
Mungu unaongea Sana tu kwa maomb
Sio swala la utabiri au unabii swala la makamba linajulikana kitaambo.
Kwa Mungu hapana kusema amekujia akakujulisha wwbx umtume
Utabili wap wapo kwenye mifumo na wana taarifa zote
Januari amepania sana uraisi I thought he should but now changing my mind for God’s sake
Hongera sana rais wetu kwa kuthamini maon ya watanzania
By by kwenye urais ndg yangu
Acha utani kaka yangu makamba ,hii ndio ccm yetu
Wapo kweri wana mng'ong'a uyo mama
Mama uko sawa
January Makamba will raise again..atainuka tena na tena. Tunzeni hii msg
Nakuelewa sana sanaa
@@goodluckmachangu5941I wish January angeona msg hii. jamaa atarudi kwenye chati tena kwa namna ya juu . hata kama siyo kesho au kesho kutwa ..anarudi kivingine katika ukuu
Hii dunia kila cku vituko😅
Hawezi kua Raisi atakua baba yako Baraka hawezi kua rais atakua nani Acha husda alio pewa kapewa
Biblia inasema unabii wa mtu usikilizie ujue kama ni ukweli. Kama alisema mwezi wa 3 na sasa mwezi wa saba huo utabiri ni sahihi. Mungu aendelee kukufunulia
Huyo Siyo Nabii!! Nape Na Makamba Hawa Jamaa Ni Hatari!! Mangi Kimambi Aliwahi Rusha Sauti Zao Wakimnanga Jiwe!!
Huna uwezo wakuongea namungu ww bibi kizee😅 nywele zakikahaba naumeachia kifua tuone nini sasa wakati umezeeka domo kama nyeo la punda.
Kakosa nini unamtukana huyu mama?. Sio vizuri
Umelaaniwa wewe mjinga😢
Wewe ni mpumbavu tu huna adabu pumbavu, pumbavu kabisa, hayo ndiyo maadili uliyo fundishwa na wakubwa zako. Umekua mwili tu lakini akili zako ni chafu.
Duuuh hatar
Sasa jamani huyu mama anakosa Gani mpka unamtukana kama hutaki kusikiliza acha
😂😂😂😂jamani