"RPC Una DHARAU SANA, Yaani LUGOLA Anatoa MAAGIZO Hutekelezi, NITAKUFUKUZA" - JPM
"RPC Una DHARAU SANA, Yaani LUGOLA Anatoa MAAGIZO Hutekelezi, NITAKUFUKUZA" - JPM
Rais Dkt John Magufuli, leo Oktoba 06, anaendelea na ziara yake nchini ambapo leo Oktoba 06, ameanzan rasmi ziara mkoani Rukwa kwa kuzindua barabara ya Tunduma - Sumbawanga..
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: kzread.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:kzread.info?list...
GLOBAL RADIO TV:kzread.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEWS:kzread.info?list...
Пікірлер: 38
Namshukuru Mungu huyu RPC kapona, ukweli Rais ungemtumbua huyu ungemuonea wa chini yake ndio tatizo,leo huyu hatalala maskini.
Watanzania wanamjulia rais wao mbwembwe na wananyuka nguo za kijani woote kuonyesha ishara ya kumkubali kiongozi wao hongereni Sana wa East Africa
Tunakuomba jpm uctuache mpaka 2050 mungu akulinde sana
Hakuna sijaonapo Kama Tanzania president the people president hio ndio Mambo nakupongeza Sana Mr president namimi ni fun wa magufuli maendeleo
@ramadhanimussa205
4 жыл бұрын
Mungu tumshukuru site kwa tunu alotupatia watanzania
Mh Rais nataman ututembelee kilimanjaro.
Huyu rpc mungu amemulinda tuu. Sema asante mungu
@kennethkoech7951
4 жыл бұрын
Hahahaha
Rais wa Dunia kapatikana Tanzania
Daa natamani ungefika Kilimanjaro
Kwa maradhi sugu,uzazi na mifupa karibu kituoni kwetu Chanika kwa Dadi DSM
Rais njoo Same,
Daaah pumzika Kwa Aman Rais wangu 😭😭😭😭😭😭😭😭
Hahaha Raisi wetu kiboko Afrika tungekuwa na viongozi wa hivi tungekuwa mbali....
haya baba wabaje seba akulinde
Khaa magufuri huyu ni kiboko yao ngongoti.
Hiiii so nzr mambo menginee banaaaa rpc hajui ATA ajibu nnn😅😅😅😅
Awamu achen mchezo na kazi
Rai magufuli ziara Sumba wang
Shida ya utawala
@faustinepeter8551
4 жыл бұрын
habarizamàrekni
We don forget this presdent never
magu m-babeee
@eliyaerisha7470
4 жыл бұрын
magufuli akiwa nkas
piga nyundoo babaaaa
😁😁😁😁
Ayo ndo mambo xo porojo za makonda
Mzee nyange Kawa mpole kweli
Hongera rais ulichaguliwa na mungu uongozee wanyonge
Rip
@eugenepoultryfarmlimited
8 ай бұрын
Rip again sir
02:50 01:05 02:03
WE ULIONEA WANGAPI!?
P
Rpc pole wachini yako mafisad
@salomemalando3798
4 жыл бұрын
maizone
Chuma