"NAKUAGIZA MSIMAMISHE KAZI LEO, AMEUA, ETI ALILEWA, KHAA" - MAGUFULI

"NAKUAGIZA MSIMAMISHE KAZI LEO, AMEUA, ETI ALILEWA, KHAA" - MAGUFULI
Rais Dkt John Magufuli, leo Novemba 27, ameanza ziara rasmi katika mkoa wa Shinyanga, ambapo kabla ya kuwasili amesimama katika maeneo tofauti tofauti barabarani na kuzungumza na wananchi..
#MAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
kzread.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzread.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzread.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
kzread.info?li

Пікірлер: 498

  • @CK-ri1mo
    @CK-ri1mo5 ай бұрын

    Kama umerud hap kuangaliana Tena gonga like hapa!!!!

  • @jamesmwikwabe6811
    @jamesmwikwabe68113 жыл бұрын

    I'm Kenyan but always you're my mentor. Rest in peace legend 💪

  • @chibabydaniel
    @chibabydaniel3 жыл бұрын

    Tanzanians this man was a gift from God. You'll all live to remember this man. Meanwhile rest in peace kipenzi cha watu.

  • @masakaupdate1488
    @masakaupdate14884 жыл бұрын

    Mungu jamanii uyuu Rais nampenda kama babangu mungu angemuonesha tangu mapema tungefika mbali..

  • @nyotawauniquem7462

    @nyotawauniquem7462

    4 жыл бұрын

    Mnooooooo

  • @jumakivilo1933

    @jumakivilo1933

    3 жыл бұрын

    Mungu ailaze roho yake mahali pema

  • @masakaupdate1488

    @masakaupdate1488

    3 жыл бұрын

    @@jumakivilo1933 😭😭😭😭

  • @amtheevenus1627
    @amtheevenus16273 жыл бұрын

    Am a Kenyan bt wah this Man was a leader n prayerful rip

  • @hajingangila1558
    @hajingangila15584 жыл бұрын

    Wewe ni jembe hata kama halina mpini linalima tu Mwaaaaaaaa Mh Rais Magufuli nakukubali Sana Live Kiongozi unatenda haki.

  • @frankbunga488

    @frankbunga488

    4 жыл бұрын

    MH jpm njoo wikaya ya nzg rasmi kero ni nyingi sana

  • @idrissamussa9529

    @idrissamussa9529

    4 жыл бұрын

    mungu akupe miaka yote

  • @MohamedAli-ho5fq
    @MohamedAli-ho5fq4 жыл бұрын

    Yahani mimi machozi yananitoka Mungu amjalie uyu Rais wetu Yani akuna dunia nzima rais kama uyu dunia nzima ❤

  • @mohamedfaris3000
    @mohamedfaris30004 жыл бұрын

    Hakika wewe ni Faghari yetu, hakika huu ndio uadilifu, hongera Mheshimiwa bora Africa nzima

  • @dianekamariza623
    @dianekamariza6234 жыл бұрын

    Wa TANZANIA MUMEBARIKIWA RAISI MWEMA MUNGU AKUBARIKI SANA RAISI MAGUFUNLI🙏

  • @hjhj6230

    @hjhj6230

    4 жыл бұрын

    Amiin

  • @jescerprosper6229

    @jescerprosper6229

    3 жыл бұрын

    Daaaah magu mungu akuraze Mahala pema pepon

  • @yufusmalika8339
    @yufusmalika833910 ай бұрын

    Kenya needs a leader like you. Rest in peace.

  • @rahmakatotok3489
    @rahmakatotok34894 жыл бұрын

    Rais wangu mtetezi wa wanyonge hongera sana baba

  • @rosewairimu1217
    @rosewairimu12174 жыл бұрын

    Tutahamia TZ,Raisi wa maajabu,MUNGU akudumiahe

  • @eggysulle7988

    @eggysulle7988

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu2 ай бұрын

    CHUMA REST EASY DAD❤😢

  • @juwatv1789
    @juwatv17897 ай бұрын

    The spirit of magufuli makes me smile

  • @valorrugubira6016
    @valorrugubira60163 жыл бұрын

    THIS ONE WAS A GIFT FROM GOD TO TANZANIANS

  • @saidyussuf1039
    @saidyussuf10394 жыл бұрын

    Asante mjomba Magu kaz nzur

  • @agnesndetei4235
    @agnesndetei42353 жыл бұрын

    Rest in peace magufuli you were one in a million,that video speaks for itself.

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala33034 жыл бұрын

    I LOVE SO MUCH MAGUFULI KAA IKULU 2015 HADI 2035 SISI WATANZANIA TUKO TIYARI

  • @brownsebastianmwibi5647

    @brownsebastianmwibi5647

    4 жыл бұрын

    Kweli hata mm namkubali sana Magufuli. Ila wewe hujui ulisemalo, eti akae mpaka 2035? Khaaa

  • @felixkamkala3303

    @felixkamkala3303

    4 жыл бұрын

    @@brownsebastianmwibi5647 KWAIYO WEWE UNANIZUIA KUWA NA MAWAZO YANGU BINAFSI ETI??WEWE TOA NA WEWE YAKWAKO USITEMBEREE KWENYE MAWAZO YANGU VIP MZEE BABA

  • @charlesfarru4309

    @charlesfarru4309

    4 жыл бұрын

    Acha kuongea ujinga 2035 kwa katiba ipi

  • @felixkamkala3303

    @felixkamkala3303

    4 жыл бұрын

    @@charlesfarru4309 KWANI UNATESEKA?

  • @hassanmzee2878

    @hassanmzee2878

    4 жыл бұрын

    2060 twende magu mungu akupe umri mrefu

  • @wamaramugara495
    @wamaramugara4952 жыл бұрын

    Baba mungu wetu akupe mahali pema peponi

  • @kashindisimon5265
    @kashindisimon52654 жыл бұрын

    Asante magu kwa Hilo...uko.sawa

  • @bonifacendayisaba5198
    @bonifacendayisaba5198 Жыл бұрын

    Moyo mwema, JPM alikuwa mtumishi wa Bwana Yesu. RIP

  • @nadiahussein5892
    @nadiahussein58924 жыл бұрын

    Prezidaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤mungu akulinde baba

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani95224 жыл бұрын

    Mungu Akulinde Rais wetu.Akupe Afya na nguvu yakutuongoza.

  • @saidisalabi7693

    @saidisalabi7693

    4 жыл бұрын

    Ingekuwa Ni raiya wa kawaida angeozea jela. Lakini kwakuwa Ni traffic anaonaliwa tu.

  • @nasrakilela1607

    @nasrakilela1607

    4 жыл бұрын

    Ilove you Dady mungu akutangulie kwa kila ulifanyalo na akulinde kwa kila akuwindae

  • @saidiselemani7786
    @saidiselemani77864 жыл бұрын

    Rais Kama huyu duniani utamutafta sanaaaa sisi watanzania tuitumie nafasi hii

  • @mauriceogoma9591
    @mauriceogoma95914 жыл бұрын

    You are a great leader Mr president, ni wachache wanafanya kazi kama wewe na mwenyezi Mungu akubariki sana.

  • @calolinamwandali3599
    @calolinamwandali35993 жыл бұрын

    HIS EXCELLENCE,YOU ARE A PRESIDENT OF THE PIPO,AND,NOT ONLY TANZANIA,BUT EAST AFRICA, AS WHOLE,YOU LEAD WITH THE GUIDE OF THE LORD,COZ YOU HAVE WISDOM,WHICH IS THE FEAR OF THE LORD,THANK YOU,GOD BLESS YOU,PROTECT YOU IN YOUR DAILY UNDERTAKINGS!

  • @hassanluqman7823
    @hassanluqman78234 жыл бұрын

    Akuna LA kumuombeya ila tuh mungu akupe maisha mema na umri mrefu na akuongoze kwa njia ( DINI )Iliyo sahihi

  • @brownsebastianmwibi5647

    @brownsebastianmwibi5647

    4 жыл бұрын

    Unataka asilimu??

  • @hopekabano8051

    @hopekabano8051

    4 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @dyanatanz6574

    @dyanatanz6574

    4 жыл бұрын

    @@brownsebastianmwibi5647 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀maana waislam ndio uwa wanajiona wao ni watu wa mungu.

  • @brownsebastianmwibi5647

    @brownsebastianmwibi5647

    4 жыл бұрын

    Ni hatari@@dyanatanz6574

  • @dyanatanz6574

    @dyanatanz6574

    4 жыл бұрын

    @@brownsebastianmwibi5647 kwel kaka haon kama tunatia aib kwa nn asiboleshe elim hicho kingeleza kifundishwe hata kwa shule za maskin. Et nilisain kumbe nimehukumiwa mm 😀😀😀😀kingeleza simama nishuke

  • @silverrichard2975
    @silverrichard29752 жыл бұрын

    R.I.P DR MAGUFULI uliwapenda wananchi wako na kifo chako kiliwaliza watanzania wengi hasa sisi masikini tulikupenda sana

  • @salmaomary7793
    @salmaomary77934 жыл бұрын

    Mungu mwema magufuri rais wa wanyonge

  • @judithsolanus5852
    @judithsolanus58524 жыл бұрын

    Daaaaah.... Magufuli mbonge la rais kwa kweli mungu akutunze baba 🙏🙏🙏🙏

  • @malkiawanguvu3150
    @malkiawanguvu31504 жыл бұрын

    Hakuna haja ya kupiga tena kura apitishwe kwa KURA za NDIO tz nzima, wewe baba unajua hadi keroooo, Mungu akulinde daima , kitu nakupendea hujali ulisoma nae, hujali ndg wa damu au msikaji akilet ukinga wewe unatumbua tu, love u moreeeeee

  • @majutomfaume5433
    @majutomfaume54334 жыл бұрын

    Magufuri wewe nikiongozi wa watu, hongera sana Rais wangu unatosha saaaaaaanaaaaaaaa....!!!! Namuomba Mungu nikikua niwe kama wewe.....!!!

  • @eldajoshua898

    @eldajoshua898

    4 жыл бұрын

    Mi naomba mungu akulinde uongoze miaka yoooooote

  • @danymwakanyamale4510

    @danymwakanyamale4510

    4 жыл бұрын

    Dany Mwakanyamale

  • @amirmikidad6380

    @amirmikidad6380

    11 ай бұрын

    utakufa mapema

  • @CONSOLE177
    @CONSOLE1778 ай бұрын

    Nguzo imeanguka jamani Pole 🇹🇿 Mungu amekupenda kuliko sisi😢

  • @happysanga3909
    @happysanga39093 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha ya Furaha uko uliko ulikua una moyo wa huruma sana nimeamini watu wema hawadumu kwakweli daah inauma sana

  • @eastafricabrokerkiller8028
    @eastafricabrokerkiller80284 жыл бұрын

    Safi kamanda magu

  • @sarahwambui8213
    @sarahwambui82133 жыл бұрын

    Raisi wa wanyonge,Mwenyezi Mungu akurehemu.. You loved God and you had a big heart. Nilikupenda bure tu.. Lala salama baba tutapatana baadaye..

  • @bizimanaadolphe171

    @bizimanaadolphe171

    8 ай бұрын

    Yooo nani uriwacia muzazi magufuri ware ambao urikuwa una watetea .mungu una uruma kweli?

  • @mohamedishabani4167
    @mohamedishabani41674 жыл бұрын

    Nimekukubali laisi wetu twende mpaka 2040

  • @ModdySalim

    @ModdySalim

    3 жыл бұрын

    Magufuli kigogo Babalao

  • @tanley9245

    @tanley9245

    3 жыл бұрын

    Too sad he didn't make it RIP JPM....

  • @danieldaniel-lb2on
    @danieldaniel-lb2on4 жыл бұрын

    Nimekuelewa afande!

  • @lovefisima8010

    @lovefisima8010

    4 жыл бұрын

    Hahahahaha sawa afande

  • @josewillson1813

    @josewillson1813

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @danielnaibei3244
    @danielnaibei32443 жыл бұрын

    Though you are gone, I salute you Doctor,RIP

  • @dazuujuma1211
    @dazuujuma12114 жыл бұрын

    💓💓💓💓 presider MAGU 💪💪💪

  • @geraldmollel4050

    @geraldmollel4050

    4 жыл бұрын

    Nambi muswahili

  • @LB3TATEGERERO
    @LB3TATEGERERO4 жыл бұрын

    Kutoka Congo DRC, Mungu aku baraki Rais magufuli, nimetowa machozi kuona roho Njuri ya Raisi John. Mungu aku bariki tena zaidi

  • @yusufhusen7067
    @yusufhusen70674 жыл бұрын

    Kwa kweli mungu akulipe

  • @aliloutfiya3
    @aliloutfiya33 жыл бұрын

    J'arrive pas à retenir mes larmes Qu'Allah vous protège monsieur le Président

  • @rafikielaniki124
    @rafikielaniki1244 жыл бұрын

    Kweli mtetezi wawanyonge barikiwa sana

  • @themutivas5843
    @themutivas58434 жыл бұрын

    Hongera raisi magufuli,mutetezi wa wanyongenge watching from kenya, nikama nitahamia TANZANIA

  • @jestinakanji8168
    @jestinakanji81684 жыл бұрын

    Hakika mungu katupa raisi mwenye huruma😭😭😭😭😭😭

  • @maidamwaipopo7645
    @maidamwaipopo76454 жыл бұрын

    Duuu nimelia sana kwa huyu rais magufuri jamani mimi sina cha kusema

  • @annakomba9599

    @annakomba9599

    4 жыл бұрын

    tumepata jembe lakweli

  • @vihamema8975

    @vihamema8975

    4 жыл бұрын

    Xx

  • @urassacharles2669
    @urassacharles26694 жыл бұрын

    Sijawah kupiga kura, lakin hili linanifanya nianze kukupgia kura ww

  • @barakaslvanus7493

    @barakaslvanus7493

    4 жыл бұрын

    Mheshimiwa anatosha🙏🙏

  • @salomemwasha337

    @salomemwasha337

    4 жыл бұрын

    Nahisi wew ni mungu wa pili hajawah kutokea rahis kama wewe mungu azidi kumuinua

  • @rhodakalolo9303

    @rhodakalolo9303

    4 жыл бұрын

    Nimelia kweli Mungu akulinde Baba,

  • @zaharaallymwndelezotunatak818

    @zaharaallymwndelezotunatak818

    4 жыл бұрын

    Du we rais unanifanya nipige kura kwajili yako

  • @agelkihaula5622

    @agelkihaula5622

    3 жыл бұрын

    Sijawahi kuona raisi anayelia kwaajili yawatu.wake jamani raisi magufuli nakupenda sana naandika message.mpk machoxi.yananitoka kwajinsi unavyowapenda wanaichi wako mungu.akubarik

  • @deusmallya6664
    @deusmallya66644 жыл бұрын

    Mungu azidi kukujalia maisha mrefu rais wetu🙏🙏

  • @georgemhalla3515
    @georgemhalla35154 жыл бұрын

    Duuuuu hatari sana, Hongera Mzee baba

  • @jabilishekusa2202

    @jabilishekusa2202

    4 жыл бұрын

    Duh mimi ni chadema lakini napenda sana raisi wangu magufuri mungu akupe umli mrefu akulinde nashali za wasiokupenda

  • @mchaggakilimanjaro1263

    @mchaggakilimanjaro1263

    4 жыл бұрын

    Abarikiwe tumepata kiongozi murwa Tz

  • @blessingsgeneral93
    @blessingsgeneral934 жыл бұрын

    JAMENI KIONGOZI KAMA HUYU TUTAMTOA WAPI? RAIS MAGUFULI MUNGU AKUBARIKI SAAANA AFYA NA MAISHA MAREFU

  • @edinahmaganga2722
    @edinahmaganga27224 жыл бұрын

    Nampenda sana Rais wangu ni mtu wa watu Mungu akubariki sana Baba uishi milele

  • @nestoryvunja2885
    @nestoryvunja28854 жыл бұрын

    God bless you my president Dr John Joseph Pombe Magufuli

  • @mecktyudithmgindo210
    @mecktyudithmgindo2104 жыл бұрын

    Nimelia Sana Mungu akuweke maisha marefu mkuu wetu machozi ya watu hayendi bure

  • @AnnKk-sj8ij
    @AnnKk-sj8ij4 жыл бұрын

    D.J P Magufuli you're one in a Million in all Presidents, superpower man ,Raisi wawanyonge i ungelikua ndio raisi wetu wa Kenya i sei.Hongera papa kazi nzuri unafanya kwa watanzania msaada wako na kazi yako inaonekana PAPA Lao. Tano 🤛tena

  • @eliphaziamon8794
    @eliphaziamon87944 жыл бұрын

    HUYO NDIO RAIS TULIOKUWA TUNAMLILIA MUNGU ATUPE,,UTUKUFU UMRUDIE MUNGU

  • @anastansiamnenuka3548

    @anastansiamnenuka3548

    3 жыл бұрын

    😭😭😭R.I.P

  • @brunidamadege3747
    @brunidamadege374710 ай бұрын

    😭😭😭Baba rudi Baba tunakukumbuka saana Mungu Fanya njia tunalia.

  • @sirajimohammed3323
    @sirajimohammed33234 жыл бұрын

    sawa baba

  • @monyiaichimawole8924
    @monyiaichimawole89243 жыл бұрын

    Wakati mwingine binadamu atuna shukrani mm nimejaribu kuangalia kazi za mh na anavyotenda kwa hekima sina budi kusema yy sio malaika ata kama kuna anapokosea ila anatenda Mungu akulinde yapo mengi Bb ni vile tu huwezi fika na kusikia yote ubarikiwe sanaaaaa

  • @samsonki
    @samsonki2 жыл бұрын

    The addiction to this man is on another level

  • @nicholasmacharia3102
    @nicholasmacharia31028 ай бұрын

    The best gift Tanzania will ever have.

  • @rhodakalolo9303
    @rhodakalolo93034 жыл бұрын

    Tunakupenda Sana mungu akupe maisha marefu,

  • @magrethmacha6909
    @magrethmacha69093 жыл бұрын

    Mungu azd kukupa maisha marefu baba..

  • @eliahmashala5180
    @eliahmashala51804 жыл бұрын

    Majibu ya watanzania kupata kiongozi mwema yalisikika muda mrefu sana ila wakati wa MUNGU ulikuwa bado. .na sasa tunashuhudia jinsi mwenyezi MUNGU alivyotujibu kwa UPENDO wa dhati juu ya kiongozi mwenye hofu ya MUNGU. ..Tunakuombea mheshimiwa JPM kwa kazi zako njema MAY GOD BLESS TANZANIA AND THEIR PEOPLE'S. ..AMEN

  • @maxdizzo2560

    @maxdizzo2560

    Ай бұрын

    Amen

  • @samwelimuniki1292
    @samwelimuniki12924 жыл бұрын

    Huwa najiulizaga mh raisi alichelew wap

  • @biringanineregina3572
    @biringanineregina35723 жыл бұрын

    Baba muheshimiwa rahisi umepewa hekima na Mungu ubarikiwe milele kwa hekima uliyopewa na Mungu

  • @zurahassan9447
    @zurahassan94474 жыл бұрын

    mungu akuinuwe wendelee kuongoza Tanzania

  • @stevenmasangula2104
    @stevenmasangula21042 жыл бұрын

    Siku zote nitasema REST IN POWER MAGUFULI (RIP) RAIS WANGU WA REJEA

  • @sharifaselemani4608
    @sharifaselemani46084 жыл бұрын

    I love you baba nitakupenda suku zote

  • @emymtenga9895
    @emymtenga98954 жыл бұрын

    Magufuli oyeeeee

  • @isayahzachariah8135
    @isayahzachariah81354 жыл бұрын

    Eee mungu bariki taifa letu la tz na mubariki rais wetu magufuri

  • @priscamwita.mtotoniwakeham9126
    @priscamwita.mtotoniwakeham91264 жыл бұрын

    Mungu akubariki magufuri

  • @deboramngure1976
    @deboramngure19764 жыл бұрын

    Mungu akutangulie Baba wetu kipenzi

  • @jonaskikoti4309
    @jonaskikoti43094 жыл бұрын

    Magu hakika Mungu akulinde

  • @SAMWELLUKUMAY-w9w
    @SAMWELLUKUMAY-w9w15 күн бұрын

    Daaaah! Ulikua mwemaa sanaa. Mungu akupumzishee mahala pemaa

  • @zurahassan9447
    @zurahassan94474 жыл бұрын

    Nakupenda sana kwa imani yako

  • @mektildalutambi7746
    @mektildalutambi77463 жыл бұрын

    Wewe ni kiongozi wa mfano. Tunakuombea na Mungu akubariki sana.

  • @jafarimoshi9269
    @jafarimoshi92694 жыл бұрын

    Binafs nimelizika namaamuz yako rais Wang love you mungu akulinde

  • @jamilasuleiman6438
    @jamilasuleiman64384 жыл бұрын

    Mungu akubariki sanaa

  • @dianafancy6726
    @dianafancy67263 жыл бұрын

    He's such an amazing soul

  • @agelkihaula5622
    @agelkihaula56223 жыл бұрын

    Mungu akurinde raisi.wetu akupe.afya njemaaaaaa

  • @bayorobby1866
    @bayorobby18663 жыл бұрын

    +254 long live rais Magufuli! Napenda Tanzania

  • @edgarpius6344
    @edgarpius63444 жыл бұрын

    Kwa hiki raisi mungu akubaliki

  • @gasipanesitor9610
    @gasipanesitor96104 жыл бұрын

    Amakweli laisi wetu magufuli nimpakwa mafuta Mungu anakaandani yake ana nibaliki sana. Tuzidi kumuombea kwa Mungu asongembere.

  • @naomymasawe2062
    @naomymasawe20624 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana rais wetu tunakupenda sana

  • @jacksoncharlz5613
    @jacksoncharlz56138 ай бұрын

    Mungu amlinde sana uyu mwamba daaah

  • @yusufhusen7067
    @yusufhusen70674 жыл бұрын

    Jembe fanya kazi

  • @Official83640
    @Official83640 Жыл бұрын

    Taifa leo linasherehekea uongozi wa mama huku washakusahau baba mie sitakusahau kamwe😢😢😢

  • @ramshetmlawa2272
    @ramshetmlawa22723 жыл бұрын

    Dah mungu akulaze maalipema no one like u

  • @bintmlimba1876
    @bintmlimba18764 жыл бұрын

    Mungu ibariki Tanzanian, Mungu mbariki Raisi wetu.

  • @amosyohana5351
    @amosyohana53513 жыл бұрын

    Tutakukumbuka my presedent 😭😭😭😭

  • @sultanramadhan5269
    @sultanramadhan5269 Жыл бұрын

    Sophia jongo ana changamoto mno mungu atakulinda

  • @abdul-rahmanfakijuma1879
    @abdul-rahmanfakijuma18794 жыл бұрын

    I have no more longer to say, only 👍👍👍

  • @aminamichael1706
    @aminamichael17063 жыл бұрын

    Mungu yupo siku zote akuhifadhi unapostahili magufuli Wetumpka

  • @CatherineAloyce-ew4go
    @CatherineAloyce-ew4go10 ай бұрын

    Roho yako ilale maalipema peponi baba 🙏

  • @user-zz7ep5of2m
    @user-zz7ep5of2m5 ай бұрын

    Allah anapenda viongozi Kama Hawa wenye haki siku ya kiama Allah atawapa kivuli angali iyoo siku akuto kua na kivuli mungu amlipe nimeona malaisi lakini uyuuu mungu amlipe kwa haki izii alizo fanya enzi za uhai wake

  • @godliverbilagambalaye6246
    @godliverbilagambalaye62464 жыл бұрын

    Jamani baba mungu akuongoze baba Nina wimbo wako

  • @princealex5291
    @princealex52914 жыл бұрын

    Mungu andelee kukup moyo kam huo Rais wetu

  • @lucyombayzakayo2660
    @lucyombayzakayo26604 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akulinde baba Magufuli!

  • @juliusjohn9453
    @juliusjohn94534 жыл бұрын

    Maoni 20 yaliyotangulia yanatosha kufafanua upendo na imani waliyonayo wananchi kwa Mheshimiwa. JPM. Ukatofautiana na hao una lako jambo.

  • @evancesolomon5494

    @evancesolomon5494

    4 жыл бұрын

    Lazima utakuwa mchawi ukimchukia JPM