"NAKUAGIZA MSIMAMISHE KAZI LEO, AMEUA, ETI ALILEWA, KHAA" - MAGUFULI
"NAKUAGIZA MSIMAMISHE KAZI LEO, AMEUA, ETI ALILEWA, KHAA" - MAGUFULI
Rais Dkt John Magufuli, leo Novemba 27, ameanza ziara rasmi katika mkoa wa Shinyanga, ambapo kabla ya kuwasili amesimama katika maeneo tofauti tofauti barabarani na kuzungumza na wananchi..
#MAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
kzread.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzread.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzread.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
kzread.info?li
Пікірлер: 498
Kama umerud hap kuangaliana Tena gonga like hapa!!!!
I'm Kenyan but always you're my mentor. Rest in peace legend 💪
Tanzanians this man was a gift from God. You'll all live to remember this man. Meanwhile rest in peace kipenzi cha watu.
Mungu jamanii uyuu Rais nampenda kama babangu mungu angemuonesha tangu mapema tungefika mbali..
@nyotawauniquem7462
4 жыл бұрын
Mnooooooo
@jumakivilo1933
3 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yake mahali pema
@masakaupdate1488
3 жыл бұрын
@@jumakivilo1933 😭😭😭😭
Am a Kenyan bt wah this Man was a leader n prayerful rip
Wewe ni jembe hata kama halina mpini linalima tu Mwaaaaaaaa Mh Rais Magufuli nakukubali Sana Live Kiongozi unatenda haki.
@frankbunga488
4 жыл бұрын
MH jpm njoo wikaya ya nzg rasmi kero ni nyingi sana
@idrissamussa9529
4 жыл бұрын
mungu akupe miaka yote
Yahani mimi machozi yananitoka Mungu amjalie uyu Rais wetu Yani akuna dunia nzima rais kama uyu dunia nzima ❤
Hakika wewe ni Faghari yetu, hakika huu ndio uadilifu, hongera Mheshimiwa bora Africa nzima
Wa TANZANIA MUMEBARIKIWA RAISI MWEMA MUNGU AKUBARIKI SANA RAISI MAGUFUNLI🙏
@hjhj6230
4 жыл бұрын
Amiin
@jescerprosper6229
3 жыл бұрын
Daaaah magu mungu akuraze Mahala pema pepon
Kenya needs a leader like you. Rest in peace.
Rais wangu mtetezi wa wanyonge hongera sana baba
Tutahamia TZ,Raisi wa maajabu,MUNGU akudumiahe
@eggysulle7988
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
CHUMA REST EASY DAD❤😢
The spirit of magufuli makes me smile
THIS ONE WAS A GIFT FROM GOD TO TANZANIANS
Asante mjomba Magu kaz nzur
Rest in peace magufuli you were one in a million,that video speaks for itself.
I LOVE SO MUCH MAGUFULI KAA IKULU 2015 HADI 2035 SISI WATANZANIA TUKO TIYARI
@brownsebastianmwibi5647
4 жыл бұрын
Kweli hata mm namkubali sana Magufuli. Ila wewe hujui ulisemalo, eti akae mpaka 2035? Khaaa
@felixkamkala3303
4 жыл бұрын
@@brownsebastianmwibi5647 KWAIYO WEWE UNANIZUIA KUWA NA MAWAZO YANGU BINAFSI ETI??WEWE TOA NA WEWE YAKWAKO USITEMBEREE KWENYE MAWAZO YANGU VIP MZEE BABA
@charlesfarru4309
4 жыл бұрын
Acha kuongea ujinga 2035 kwa katiba ipi
@felixkamkala3303
4 жыл бұрын
@@charlesfarru4309 KWANI UNATESEKA?
@hassanmzee2878
4 жыл бұрын
2060 twende magu mungu akupe umri mrefu
Baba mungu wetu akupe mahali pema peponi
Asante magu kwa Hilo...uko.sawa
Moyo mwema, JPM alikuwa mtumishi wa Bwana Yesu. RIP
Prezidaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤mungu akulinde baba
Mungu Akulinde Rais wetu.Akupe Afya na nguvu yakutuongoza.
@saidisalabi7693
4 жыл бұрын
Ingekuwa Ni raiya wa kawaida angeozea jela. Lakini kwakuwa Ni traffic anaonaliwa tu.
@nasrakilela1607
4 жыл бұрын
Ilove you Dady mungu akutangulie kwa kila ulifanyalo na akulinde kwa kila akuwindae
Rais Kama huyu duniani utamutafta sanaaaa sisi watanzania tuitumie nafasi hii
You are a great leader Mr president, ni wachache wanafanya kazi kama wewe na mwenyezi Mungu akubariki sana.
HIS EXCELLENCE,YOU ARE A PRESIDENT OF THE PIPO,AND,NOT ONLY TANZANIA,BUT EAST AFRICA, AS WHOLE,YOU LEAD WITH THE GUIDE OF THE LORD,COZ YOU HAVE WISDOM,WHICH IS THE FEAR OF THE LORD,THANK YOU,GOD BLESS YOU,PROTECT YOU IN YOUR DAILY UNDERTAKINGS!
Akuna LA kumuombeya ila tuh mungu akupe maisha mema na umri mrefu na akuongoze kwa njia ( DINI )Iliyo sahihi
@brownsebastianmwibi5647
4 жыл бұрын
Unataka asilimu??
@hopekabano8051
4 жыл бұрын
🤣🤣
@dyanatanz6574
4 жыл бұрын
@@brownsebastianmwibi5647 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀maana waislam ndio uwa wanajiona wao ni watu wa mungu.
@brownsebastianmwibi5647
4 жыл бұрын
Ni hatari@@dyanatanz6574
@dyanatanz6574
4 жыл бұрын
@@brownsebastianmwibi5647 kwel kaka haon kama tunatia aib kwa nn asiboleshe elim hicho kingeleza kifundishwe hata kwa shule za maskin. Et nilisain kumbe nimehukumiwa mm 😀😀😀😀kingeleza simama nishuke
R.I.P DR MAGUFULI uliwapenda wananchi wako na kifo chako kiliwaliza watanzania wengi hasa sisi masikini tulikupenda sana
Mungu mwema magufuri rais wa wanyonge
Daaaaah.... Magufuli mbonge la rais kwa kweli mungu akutunze baba 🙏🙏🙏🙏
Hakuna haja ya kupiga tena kura apitishwe kwa KURA za NDIO tz nzima, wewe baba unajua hadi keroooo, Mungu akulinde daima , kitu nakupendea hujali ulisoma nae, hujali ndg wa damu au msikaji akilet ukinga wewe unatumbua tu, love u moreeeeee
Magufuri wewe nikiongozi wa watu, hongera sana Rais wangu unatosha saaaaaaanaaaaaaaa....!!!! Namuomba Mungu nikikua niwe kama wewe.....!!!
@eldajoshua898
4 жыл бұрын
Mi naomba mungu akulinde uongoze miaka yoooooote
@danymwakanyamale4510
4 жыл бұрын
Dany Mwakanyamale
@amirmikidad6380
11 ай бұрын
utakufa mapema
Nguzo imeanguka jamani Pole 🇹🇿 Mungu amekupenda kuliko sisi😢
Mungu akupe maisha ya Furaha uko uliko ulikua una moyo wa huruma sana nimeamini watu wema hawadumu kwakweli daah inauma sana
Safi kamanda magu
Raisi wa wanyonge,Mwenyezi Mungu akurehemu.. You loved God and you had a big heart. Nilikupenda bure tu.. Lala salama baba tutapatana baadaye..
@bizimanaadolphe171
8 ай бұрын
Yooo nani uriwacia muzazi magufuri ware ambao urikuwa una watetea .mungu una uruma kweli?
Nimekukubali laisi wetu twende mpaka 2040
@ModdySalim
3 жыл бұрын
Magufuli kigogo Babalao
@tanley9245
3 жыл бұрын
Too sad he didn't make it RIP JPM....
Nimekuelewa afande!
@lovefisima8010
4 жыл бұрын
Hahahahaha sawa afande
@josewillson1813
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Though you are gone, I salute you Doctor,RIP
💓💓💓💓 presider MAGU 💪💪💪
@geraldmollel4050
4 жыл бұрын
Nambi muswahili
Kutoka Congo DRC, Mungu aku baraki Rais magufuli, nimetowa machozi kuona roho Njuri ya Raisi John. Mungu aku bariki tena zaidi
Kwa kweli mungu akulipe
J'arrive pas à retenir mes larmes Qu'Allah vous protège monsieur le Président
Kweli mtetezi wawanyonge barikiwa sana
Hongera raisi magufuli,mutetezi wa wanyongenge watching from kenya, nikama nitahamia TANZANIA
Hakika mungu katupa raisi mwenye huruma😭😭😭😭😭😭
Duuu nimelia sana kwa huyu rais magufuri jamani mimi sina cha kusema
@annakomba9599
4 жыл бұрын
tumepata jembe lakweli
@vihamema8975
4 жыл бұрын
Xx
Sijawah kupiga kura, lakin hili linanifanya nianze kukupgia kura ww
@barakaslvanus7493
4 жыл бұрын
Mheshimiwa anatosha🙏🙏
@salomemwasha337
4 жыл бұрын
Nahisi wew ni mungu wa pili hajawah kutokea rahis kama wewe mungu azidi kumuinua
@rhodakalolo9303
4 жыл бұрын
Nimelia kweli Mungu akulinde Baba,
@zaharaallymwndelezotunatak818
4 жыл бұрын
Du we rais unanifanya nipige kura kwajili yako
@agelkihaula5622
3 жыл бұрын
Sijawahi kuona raisi anayelia kwaajili yawatu.wake jamani raisi magufuli nakupenda sana naandika message.mpk machoxi.yananitoka kwajinsi unavyowapenda wanaichi wako mungu.akubarik
Mungu azidi kukujalia maisha mrefu rais wetu🙏🙏
Duuuuu hatari sana, Hongera Mzee baba
@jabilishekusa2202
4 жыл бұрын
Duh mimi ni chadema lakini napenda sana raisi wangu magufuri mungu akupe umli mrefu akulinde nashali za wasiokupenda
@mchaggakilimanjaro1263
4 жыл бұрын
Abarikiwe tumepata kiongozi murwa Tz
JAMENI KIONGOZI KAMA HUYU TUTAMTOA WAPI? RAIS MAGUFULI MUNGU AKUBARIKI SAAANA AFYA NA MAISHA MAREFU
Nampenda sana Rais wangu ni mtu wa watu Mungu akubariki sana Baba uishi milele
God bless you my president Dr John Joseph Pombe Magufuli
Nimelia Sana Mungu akuweke maisha marefu mkuu wetu machozi ya watu hayendi bure
D.J P Magufuli you're one in a Million in all Presidents, superpower man ,Raisi wawanyonge i ungelikua ndio raisi wetu wa Kenya i sei.Hongera papa kazi nzuri unafanya kwa watanzania msaada wako na kazi yako inaonekana PAPA Lao. Tano 🤛tena
HUYO NDIO RAIS TULIOKUWA TUNAMLILIA MUNGU ATUPE,,UTUKUFU UMRUDIE MUNGU
@anastansiamnenuka3548
3 жыл бұрын
😭😭😭R.I.P
😭😭😭Baba rudi Baba tunakukumbuka saana Mungu Fanya njia tunalia.
sawa baba
Wakati mwingine binadamu atuna shukrani mm nimejaribu kuangalia kazi za mh na anavyotenda kwa hekima sina budi kusema yy sio malaika ata kama kuna anapokosea ila anatenda Mungu akulinde yapo mengi Bb ni vile tu huwezi fika na kusikia yote ubarikiwe sanaaaaa
The addiction to this man is on another level
The best gift Tanzania will ever have.
Tunakupenda Sana mungu akupe maisha marefu,
Mungu azd kukupa maisha marefu baba..
Majibu ya watanzania kupata kiongozi mwema yalisikika muda mrefu sana ila wakati wa MUNGU ulikuwa bado. .na sasa tunashuhudia jinsi mwenyezi MUNGU alivyotujibu kwa UPENDO wa dhati juu ya kiongozi mwenye hofu ya MUNGU. ..Tunakuombea mheshimiwa JPM kwa kazi zako njema MAY GOD BLESS TANZANIA AND THEIR PEOPLE'S. ..AMEN
@maxdizzo2560
Ай бұрын
Amen
Huwa najiulizaga mh raisi alichelew wap
Baba muheshimiwa rahisi umepewa hekima na Mungu ubarikiwe milele kwa hekima uliyopewa na Mungu
mungu akuinuwe wendelee kuongoza Tanzania
Siku zote nitasema REST IN POWER MAGUFULI (RIP) RAIS WANGU WA REJEA
I love you baba nitakupenda suku zote
Magufuli oyeeeee
Eee mungu bariki taifa letu la tz na mubariki rais wetu magufuri
Mungu akubariki magufuri
Mungu akutangulie Baba wetu kipenzi
Magu hakika Mungu akulinde
Daaaah! Ulikua mwemaa sanaa. Mungu akupumzishee mahala pemaa
Nakupenda sana kwa imani yako
Wewe ni kiongozi wa mfano. Tunakuombea na Mungu akubariki sana.
Binafs nimelizika namaamuz yako rais Wang love you mungu akulinde
Mungu akubariki sanaa
He's such an amazing soul
Mungu akurinde raisi.wetu akupe.afya njemaaaaaa
+254 long live rais Magufuli! Napenda Tanzania
Kwa hiki raisi mungu akubaliki
Amakweli laisi wetu magufuli nimpakwa mafuta Mungu anakaandani yake ana nibaliki sana. Tuzidi kumuombea kwa Mungu asongembere.
Ubarikiwe sana rais wetu tunakupenda sana
Mungu amlinde sana uyu mwamba daaah
Jembe fanya kazi
Taifa leo linasherehekea uongozi wa mama huku washakusahau baba mie sitakusahau kamwe😢😢😢
Dah mungu akulaze maalipema no one like u
Mungu ibariki Tanzanian, Mungu mbariki Raisi wetu.
Tutakukumbuka my presedent 😭😭😭😭
Sophia jongo ana changamoto mno mungu atakulinda
I have no more longer to say, only 👍👍👍
Mungu yupo siku zote akuhifadhi unapostahili magufuli Wetumpka
Roho yako ilale maalipema peponi baba 🙏
Allah anapenda viongozi Kama Hawa wenye haki siku ya kiama Allah atawapa kivuli angali iyoo siku akuto kua na kivuli mungu amlipe nimeona malaisi lakini uyuuu mungu amlipe kwa haki izii alizo fanya enzi za uhai wake
Jamani baba mungu akuongoze baba Nina wimbo wako
Mungu andelee kukup moyo kam huo Rais wetu
Mwenyezi Mungu akulinde baba Magufuli!
Maoni 20 yaliyotangulia yanatosha kufafanua upendo na imani waliyonayo wananchi kwa Mheshimiwa. JPM. Ukatofautiana na hao una lako jambo.
@evancesolomon5494
4 жыл бұрын
Lazima utakuwa mchawi ukimchukia JPM