No video

MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..

MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..
Rais Dkt John Magufuli, leo Novemba 27, ameanza ziara rasmi katika mkoa wa Shinyanga, ambapo kabla ya kuwasili amesimama katika maeneo tofauti tofauti barabarani na kuzungumza na wananchi..
#MAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEW:
www.youtube.co...

Пікірлер: 710

  • @user-be8lz2xf2t
    @user-be8lz2xf2t3 ай бұрын

    2024 tunaoitazama gonga like.

  • @user-gi3wt5ml3k
    @user-gi3wt5ml3k6 ай бұрын

    Nitakukumbuka sana rais wangu magufuri mpaka mwisho wa maisha yangu

  • @boombasticjoseph1105
    @boombasticjoseph11053 жыл бұрын

    Now i understand why some Tanzanians were fainting during body viewing! The Best President i ever seen on earth, have never seen a leader who is very close to his people than this guy. RIP Mr. President!

  • @natafutapesa9678
    @natafutapesa96783 жыл бұрын

    Mungu anayaona machozi yetu. Pumzika kwa amani jemedali wetu mfalme wetu

  • @michaelmlelwamichael4371

    @michaelmlelwamichael4371

    2 жыл бұрын

    Mungu akusamehe akupunguzie Adhabu John wet hatutakusahahh

  • @user-st5ll8nb7j

    @user-st5ll8nb7j

    4 ай бұрын

    Kwell kabisa

  • @MerlinaKubadesha

    @MerlinaKubadesha

    23 күн бұрын

    Ameen

  • @mckiboevents
    @mckiboevents Жыл бұрын

    Niko 2023 bado nafuatilia hizi clips Hadi zitakapofutwa. Kama bado unafuatilia gonga like hapa.

  • @mustaphakijazi9807
    @mustaphakijazi9807 Жыл бұрын

    Wanao itazama hii mpaka sasa mwaka 2023 naombeni like zenu

  • @EdithaJohn-qc3me

    @EdithaJohn-qc3me

    6 ай бұрын

    Hawezi kusahaulika

  • @jonkarymalema1236

    @jonkarymalema1236

    5 ай бұрын

    Mpaka sasa 2024 tupooo

  • @JuliusRaphaelbundala

    @JuliusRaphaelbundala

    4 ай бұрын

    ​@@EdithaJohn-qc3me❤❤❤❤

  • @user-tl9oz4se6w

    @user-tl9oz4se6w

    4 ай бұрын

    Mpaka 2024 na kuendelea🎉

  • @HadiaMohammed-ec2dn

    @HadiaMohammed-ec2dn

    3 ай бұрын

    2024

  • @user-db8gh6yz5w
    @user-db8gh6yz5w11 ай бұрын

    Am a kenyan pastor,bt the presie has touched mie,he act like genuine pastor,may the lord protect his soul in heaven!❤❤❤❤❤

  • @SimonSamson-me2bo

    @SimonSamson-me2bo

    8 ай бұрын

    Ulipaswa kuishi Magufuli

  • @imanuelpoteza6846
    @imanuelpoteza68462 жыл бұрын

    Jamani waliommisi huyu mzee tujuane kwa like hapa

  • @JaredFabian-zy4ez

    @JaredFabian-zy4ez

    10 ай бұрын

    nimemkumbka sana jamaa

  • @BarakaLulay

    @BarakaLulay

    Ай бұрын

    Mic you dady

  • @MerlinaKubadesha

    @MerlinaKubadesha

    23 күн бұрын

    I miss u my dady magufuli forever

  • @jenifercynthiakazimoto5392
    @jenifercynthiakazimoto53923 жыл бұрын

    Asante Mungu kwakutupatia Raisi mwenye upendo Kama Raisi wetu Magufuri love you Baba.

  • @elinamadalali4740

    @elinamadalali4740

    3 жыл бұрын

    Asante mungu nilizaliwa tanzania

  • @kombosalehe3156
    @kombosalehe31563 жыл бұрын

    Kuna funzo kubwa sana kwenye crip hii! Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi! 😢

  • @bestonnziku4277

    @bestonnziku4277

    2 жыл бұрын

    Daaah

  • @tzbrmediashow7580

    @tzbrmediashow7580

    Жыл бұрын

    😢😢😢😢

  • @GraceKwayu-yo4zf

    @GraceKwayu-yo4zf

    10 ай бұрын

    Ameen

  • @MerlinaKubadesha

    @MerlinaKubadesha

    23 күн бұрын

    Ameen

  • @JONATHANMUMOMUSIC
    @JONATHANMUMOMUSIC6 ай бұрын

    ❤❤❤ I'm from Kenya and I really value this president my his soul rest in peace

  • @asiaissa976
    @asiaissa9764 жыл бұрын

    Namuomba mungu akuingize kwenye rehma zake amiin

  • @bestonnziku4277

    @bestonnziku4277

    2 жыл бұрын

    Amin atatenda daimaaa n mweemaa

  • @chuwaloonlinetv6672
    @chuwaloonlinetv66724 жыл бұрын

    Anaesema magufur mbabe mwache kwan hajui uchungu wa mwana much respect magufuri

  • @hadijasobo3695

    @hadijasobo3695

    3 жыл бұрын

    Umeonaeeee

  • @Steve-ij2lr

    @Steve-ij2lr

    2 жыл бұрын

    mungu amutuze rais makufuli

  • @user-st5ll8nb7j

    @user-st5ll8nb7j

    4 ай бұрын

    It will get a

  • @mzeemzee2467
    @mzeemzee24674 жыл бұрын

    Hapa ndo ninapomfahamu Mh. rais kuwa kazi ya urais ni kazi ngumu sana. Mungu akusaidie na akupe moyo huo huo wa kutatua matatizo ya wananchi wako.

  • @dominicsomola402

    @dominicsomola402

    4 жыл бұрын

    ...pamoja n hayo watu wanaikimbilia sana...kwa kweli inaliza kwa kweli...

  • @nicehonesty912

    @nicehonesty912

    4 ай бұрын

    😭😭😭😭 jaman nalia apumzike tu

  • @MerlinaKubadesha

    @MerlinaKubadesha

    23 күн бұрын

    Ameen

  • @feldeterchilanga2092
    @feldeterchilanga20923 жыл бұрын

    Tanzanians people am really sorry for the big loss magufuli you have broken my heart 😭😭😭😭😭😭💔💔😭

  • @mulongonzazi9241

    @mulongonzazi9241

    3 жыл бұрын

    Realy it is a big lost from Drcy heart is broken 🙈🙈🙈🙈🙈na muliya kabisa makufuli Mungu umushunge mutumishi wako

  • @MH-nq7wy

    @MH-nq7wy

    Жыл бұрын

    ​@@mulongonzazi9241 This big man as a socialist was killed by capitalist. TZ as a country of oportunities, Magufuli couldn't live longer!!

  • @MerlinaKubadesha

    @MerlinaKubadesha

    23 күн бұрын

    Hakika tunaliabna kusaga meno enzi hiz za Samia mungu atulindeb tz bila vita 2sije tukawa watumwa kumbe ni nch yetu

  • @robertsimba5081
    @robertsimba50814 жыл бұрын

    Am a Kenyan but I admire alot how this president comes to the ground ...what a humble person he is...God bless him always

  • @happymasaweyangababalao4486

    @happymasaweyangababalao4486

    3 жыл бұрын

    Mungu azidi kumtunza rais maguful ni rais wa wanyonge

  • @maro4525

    @maro4525

    8 ай бұрын

    ​@@happymasaweyangababalao4486😅

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki68984 жыл бұрын

    huyu baba magufuli mungu amuzidishiye maisha marefu anajuwa teteya haki za binadamu.

  • @rosekamwesa964
    @rosekamwesa964 Жыл бұрын

    This was a true shepherd who took interest in the experiences of those he led. Wish we had more of him in Africa!

  • @shaabansoma7661
    @shaabansoma76614 жыл бұрын

    I'm in love with magufuli a man of people, also a gift from Allah so as to save people who have been crying for long time without help.Magufuli a president of the century from Bongo.

  • @mercyokari8233
    @mercyokari82333 жыл бұрын

    Can't stop watching this😢😢😢continue resting in peace Mzee magufuli until we meet again in heaven😭😭😭

  • @aminashabani5399
    @aminashabani53994 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akulinde Rais wetu uweze ishi maisha marefu

  • @mudamape8415

    @mudamape8415

    3 жыл бұрын

    Inauma sana

  • @MerlinaKubadesha

    @MerlinaKubadesha

    23 күн бұрын

    Sana tena sana Kwan tulipenda sana hakuna aliyemuchukia ila mafisadi walikuwepo so hakuna m2 asiye chukiwa hapa duniani tumuombe mungu 2 atupe maisha marefu na yenye mibalak na tuepuke kuzimubtwende mbign 2ulith ufalmebwa mungu ameen gonga like kama umenielewa

  • @thulanicele7843
    @thulanicele78434 жыл бұрын

    this is the only president who has made me shade tears cause of what he does.the love for his people.much love my hero and role model.

  • @1josephmhenga83

    @1josephmhenga83

    4 жыл бұрын

    9999999

  • @mariamalongo8803

    @mariamalongo8803

    3 жыл бұрын

    I love him and the way he works

  • @pili1234
    @pili12343 жыл бұрын

    Allah akupe maisha marefu uzima na afya rais wetu wa wanyo wanyonge

  • @christophermzumara4267
    @christophermzumara42672 жыл бұрын

    This man was a true definition of a generous leader, backed with a sense of humor and integrity

  • @PetersonNyaga-dk5oi
    @PetersonNyaga-dk5oi6 ай бұрын

    The best president Africa has ever had,.. maghufuli was a real deal for this continent

  • @zeinabhassan6071
    @zeinabhassan60713 жыл бұрын

    African lost a great leader....Tanzania people are very lucky to have a wonderful leader like magufuli...may his soul rest in peace

  • @kamaukamau6233
    @kamaukamau62333 жыл бұрын

    Let negative people say what they want to say about the late President John Pombe Magufuli,but I don't know if Tanzanians will get another president with a heart of Gold like Magufuli,indeed he was like a real father to his countrymen

  • @hijaiddi6950

    @hijaiddi6950

    3 жыл бұрын

    Mung amuwoke mahalo pema

  • @mariaalfred8463

    @mariaalfred8463

    3 жыл бұрын

    Mungu akupumzishe laisi wetu laisi wawnyonge tunakukumbuka

  • @aminamussa5122
    @aminamussa51224 жыл бұрын

    Daudi atafutwe, JPM ahsante Muheshimiwa, Toeni hela ndio mtajifunza.

  • @edwardsostenes8048
    @edwardsostenes80482 жыл бұрын

    he will never die in my heart until I die

  • @jamesmasila6873

    @jamesmasila6873

    2 жыл бұрын

    Oh my God

  • @thomastarimo

    @thomastarimo

    Жыл бұрын

    Kaka magufuli maishani mwangu siwezi kukusau kamwe

  • @ChrispinusJuma

    @ChrispinusJuma

    9 ай бұрын

    Wewe ni shujaaa🎉🎉🎉❤❤❤

  • @pastorrusagarajosephsolo8692
    @pastorrusagarajosephsolo86922 жыл бұрын

    Tupate wapi tena mtu kama huyu ambaye Mungu alikaa ndani yake 😭😭😭😭😭😭

  • @Elimollel

    @Elimollel

    Жыл бұрын

    Yaani acha tu"!!

  • @JosephSila-rd1wz

    @JosephSila-rd1wz

    11 ай бұрын

    Labda azaliwe mwaka huu

  • @IreneCtz

    @IreneCtz

    6 ай бұрын

    😢

  • @samuelmtasha9272
    @samuelmtasha92724 жыл бұрын

    Maskini Rais hadi analia, so painful! Mungu mbariki Rais wetu

  • @husseinbararukaza428

    @husseinbararukaza428

    3 жыл бұрын

    Eee MUNGU sidhani kama itakujatokea Rais wa wanyonge km huyu daaah MUNGU ninamuweka Rais wetu mikononi mwako umlinde na kila aina ya uadui na magonjwa mpe kibali cha kuongoza mpaka utakapo sema bac

  • @athumankigoma4585

    @athumankigoma4585

    3 жыл бұрын

    @@husseinbararukaza428 j

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo41773 жыл бұрын

    Tutakukumbuka sn Rais wetu!! Viatu vyako ni vikubwa sn

  • @crispinmsongole8875

    @crispinmsongole8875

    2 жыл бұрын

    Sanaaaaaaaa

  • @mamymdogomamy3670
    @mamymdogomamy36704 жыл бұрын

    Masikini mpaka mwafanya Rais yuwalia mungu amjalie apite tena muhula ujao🙏🙏

  • @lightnessgamasa6022

    @lightnessgamasa6022

    4 жыл бұрын

    Mungu akubariki kwafaraja barikiwa

  • @officialnaa8470
    @officialnaa84704 жыл бұрын

    Hongera sana Rais wetu na pole kwa kwa kazi ngumu

  • @emmysam1510
    @emmysam15103 жыл бұрын

    John wangu jamani..we miss you babaaaa😭😭

  • @uchebemediatz4640

    @uchebemediatz4640

    3 жыл бұрын

    We will always mic uuuuu

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc3 жыл бұрын

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa!

  • @josephsabuni4521

    @josephsabuni4521

    3 жыл бұрын

    True

  • @royfordmwenda3311

    @royfordmwenda3311

    Жыл бұрын

    true 👍 he died of heart problems

  • @estherkamate8061
    @estherkamate80613 жыл бұрын

    He was a really father, tume poteza jameni

  • @ahmadrajabu5796

    @ahmadrajabu5796

    3 жыл бұрын

    Hakika jamani

  • @miriambony3679
    @miriambony36798 ай бұрын

    PRISDAT MAQUFULI NI MOTO MAZURI KUWA WANAISHI YAKI MAQUFULI JUUU JUUU JUUU SANA❤

  • @angelatarimo1969
    @angelatarimo19693 жыл бұрын

    Hapa ndipo nampompenda rais kwa kweli Gold bless you Magu 🙏

  • @hijaiddi6950

    @hijaiddi6950

    3 жыл бұрын

    Tutakukumbuk Sana baba♥️♥️♥️

  • @emanuelsiara3937
    @emanuelsiara39374 жыл бұрын

    Mwenyenzi Mungu, umlinde rais wetu.

  • @donardndalu3100

    @donardndalu3100

    4 жыл бұрын

    Nc

  • @moddysalim5839
    @moddysalim58394 жыл бұрын

    Moddy from kenya hongera rais makufuli marais wote wa Africa hasa east africa wangize mwenendo wake mungu akulinde rais mtenda kazi

  • @ahmadisaidi8195
    @ahmadisaidi819511 ай бұрын

    Wen ever I watche magufuli😢😢😢😢so sad my god bless him rip

  • @user-wp2uj7wt1i
    @user-wp2uj7wt1i6 ай бұрын

    ..this man was an Angel sent from heaven. I can't stop crying for him😭 My one wish kama Kuna uwezekano Mungu amuinue jman😭 Rest in peace Dr.JPM❤

  • @mugishachance8844
    @mugishachance88443 жыл бұрын

    Iam really crying like now! Nimeguswa na ubinadamu Dr president Magufuri alikuwa nao kweli ameondoka Imeniuma na kuona Video zake jinsi alikuwa Anasaidia watu yani machozi tuuu nalia tu. Yani alikuwa na ubinadamu mwingi moyoni mwake ,, kweli tungekuwa na watu Kama yeye dunia ingebadirika Paradise. Rest in Peace Sasa hivi umekaa na mungu mbinguni ulisha fika. Tutakukumbuka forever.

  • @Elimollel

    @Elimollel

    Жыл бұрын

    Hatutamsahau milele

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili48064 жыл бұрын

    Kuna siku tutayajibu haya mbele ya mungu na nalipo ni hapa hapa duniani. Yaani kumbe bila Rais utu haupo viongozi wa ngazi za mikoa, wilaya ,tarafa , kata viongozi wa kijiji na viongozi wa dini kweli hatuyaoni haya hayatuumi mioyo yetu mpaka Raisi aje basi tumuogope hata mungu jamani.

  • @johnmathenge3406

    @johnmathenge3406

    2 жыл бұрын

    Ukweli kaka yangu hadi mimi nashangaa kuwa huyu mama hakusaidiwa mpaka Rais JPM alikuja kumsaidia. Hata hapa nchini mwetu Kenya wabunge, mawaziri, polisi, viongozi hawajali maisha ya wananchi wao heri jeshi ndio watu wanategemea pamoja na Mungu.

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi63784 жыл бұрын

    Nimempenda sana huyu rpc Yuko vizuri sana aise

  • @AugenBatista-qg3rc
    @AugenBatista-qg3rc7 ай бұрын

    He was logical and reasonable 🙌

  • @ianolango8207
    @ianolango82073 жыл бұрын

    I can't just stop watching this man and for sure, the world will never find a man like this and Africa has lost Her Son. Poleni sana wana Tanzania na Mungu awarehemu

  • @maryonejose3857

    @maryonejose3857

    2 жыл бұрын

    ,m

  • @ngisian
    @ngisian3 жыл бұрын

    Ooh GOD..What a leader we've lost. Mungu alikupenda zaidi

  • @georgekimboka6218
    @georgekimboka62184 жыл бұрын

    Nakupenda sana Mh Raisi Magufuli nakupenda sana nakuombea sana mema makubwa sana toka kwa Mwenyenzi Mungu Mkuu Mtakatifu

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu37814 жыл бұрын

    Nimeambulia Julia tu machozi mie.Nasema mungu mtunze magufuli nakuombea Sana

  • @geraldmakaranga9385
    @geraldmakaranga93854 жыл бұрын

    Rais mungu akulipe kwa mema unayowafanyia wa2 wako unaowaongoza mungu akupiganie kwan unasafar ndef shetan yupo mawindon akikuwinda lakin kwa jna la yesu ashindwe milele

  • @gastonamnon7005
    @gastonamnon70053 жыл бұрын

    Tumempoteza Mtu mmoja kama watu Billion 1 😭😭😭😭😭💔🕊🕊🕊

  • @mangretiluboya2990

    @mangretiluboya2990

    3 жыл бұрын

    Pooole saana, nakuombea sana rais kwa kuondok

  • @theresakalambo2435

    @theresakalambo2435

    3 жыл бұрын

    REST IN Peace BABA

  • @nyirahategekimanadjasumin3028

    @nyirahategekimanadjasumin3028

    3 жыл бұрын

    Akonamapenzi ka ma yesukristo

  • @irenemathenge5637

    @irenemathenge5637

    3 жыл бұрын

    @@mangretiluboya2990 W

  • @saumuhassan3796
    @saumuhassan37964 жыл бұрын

    Mheshimiwa mm ni Mzbar binafsi kura yng ilikuja kwako na 2020 in sha Allah sirudi nyuma. Ila na sisi huku shida tunazo.

  • @ruqayaruqaya4283

    @ruqayaruqaya4283

    3 жыл бұрын

    Polen sn sie tz bara tuna peta tu na rais wetu mtetez wa wanyonge lkn huko zanzibar mwinyi c yupo?

  • @emmysam1510

    @emmysam1510

    3 жыл бұрын

    Mwinyi si yupo..siye kashatangulia mbele za haki

  • @evab5386
    @evab53864 жыл бұрын

    Makufuli mungu akubariki you're a good president in African 🌹😭😭😭😭

  • @mbereser0saidi318
    @mbereser0saidi3182 жыл бұрын

    Mungu akurehemu rais wetu mpendwa umeondoka bado tulikuwa tunakuhitaji mungu tunaomba utende maajabu katika karine hii wewe ndy kimbilio letu

  • @user-mh4kb7ke6b
    @user-mh4kb7ke6b4 ай бұрын

    Minapenda magufuri sana but African presidents plz work magufuri RIP

  • @manmwananzungu8945
    @manmwananzungu89454 жыл бұрын

    Ww nirais wa wanyonge nakupenda cn makufuli kimbilio la wanyonge mungu akupe umri mrefu

  • @jacquesntabagara3682
    @jacquesntabagara36823 жыл бұрын

    God bless our Africa United president Pompe Magufuli for real.Jah know

  • @zipporamosinya4193
    @zipporamosinya41933 жыл бұрын

    Makuvuri Ali fanya kazi nzuri mungu humuweke pazuri hapumusike sarama amina

  • @nancymohamedy7672
    @nancymohamedy76723 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu ampe maisha marefu muheshimiwa rais wetu Magufuri

  • @saidiuchebe5203
    @saidiuchebe52033 жыл бұрын

    We will miss you so much our dad Magufuli😭😭

  • @neemamayco3238
    @neemamayco32384 жыл бұрын

    Magu cna neno na ww ila nakuombea kwa mwenyeenzi mungu akusimamie

  • @elizabethdeus1343
    @elizabethdeus13434 жыл бұрын

    Oyoooooo miaka Mia baba kweliweweni laisi wa wanyonge

  • @JamesJunior-dy6wr
    @JamesJunior-dy6wr20 күн бұрын

    Yaan nimejikita nalia 😢😢 tu mungu akulaze mahali pema baba tutakukumbuka hakika

  • @ZuaideeGermain-qr6bz
    @ZuaideeGermain-qr6bz7 ай бұрын

    Congo 🇨🇩 tungelipata rahisi kama magufuli mungu aku weke pama

  • @fidelisvenance6431
    @fidelisvenance64313 жыл бұрын

    R.I.P HERO JPM 🙏

  • @merryloya4893
    @merryloya48934 жыл бұрын

    Mungu akutunze Rais wetu

  • @petrofidelis5751
    @petrofidelis57512 жыл бұрын

    Mungu akulaze mahala pema peponi Jemedari wa Africa

  • @isaacmasibo3183
    @isaacmasibo3183 Жыл бұрын

    Not only Tanzania lost a very power committed president but African, worl we lost very powerful Man who could one day Transform Africa 😢😢😢😢😢 may your soul rest easy President John Pombe Magufuli still hear in +254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 its like we have lost you today ur words solving issues was more of a leadership God grand Tanzania, Uganda Kenya such people 😢😢😢

  • @SiwaRobert-mj4pd
    @SiwaRobert-mj4pd5 ай бұрын

    We have lost the great leader of Africa who showed good heart to his people and showed other leaders the way of ruling your own people, may your soul rest in peace mzee

  • @wanguibundi4017
    @wanguibundi40174 жыл бұрын

    Mungu akubariki kwa kazi nzuri mheshimiwa raisi

  • @iddikibaitz514
    @iddikibaitz5142 ай бұрын

    Mungu akuwekee sehem salama ishaallah peponi

  • @evelynlehnard3928
    @evelynlehnard39284 жыл бұрын

    Rais akiwa mcha Mungu inchi inabarikiwa.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf4 жыл бұрын

    Hapo ndio utajua rais pia NI binadamu , anachukizwa na uzembe na ucheleweshwaji wa maamuzi , sio kwamba anatumia pesa au nguvu...... Huo ndio ukweli watanzania tunamazoea yàkipumbavu sana

  • @aminamussa5122
    @aminamussa51224 жыл бұрын

    Kagonga kaua halafu anazurura tuu mtaani? Apate life in prison wajifunze Naaaah wanaonewa sana ahsante JPM.

  • @mariamuseifu3065
    @mariamuseifu30653 жыл бұрын

    Allah akupe maisha marefu Rais wetu Insha Allah

  • @hdmtanzania2617
    @hdmtanzania26174 жыл бұрын

    Mwenyez Mungu akujalie mh Rais

  • @masambamichel6453
    @masambamichel64533 жыл бұрын

    I can't stop crying for mister magufuli

  • @kilimanjaro77international26

    @kilimanjaro77international26

    2 жыл бұрын

    Tears dropping when absorbing this

  • @GraceKwayu-yo4zf
    @GraceKwayu-yo4zf10 ай бұрын

    Nimelia tena upya jmn!!! Tumpate wapi tena mtu km huyu... Ambaye Mungu anakaa ndani yake... Pumzika kwa Amani baba yetu...

  • @magemushi5594
    @magemushi55943 жыл бұрын

    Nitakumisi Sana raisi wangu magufuli nitalia milele

  • @rahelgika3870
    @rahelgika38704 жыл бұрын

    Tawala milele Raisi wetu🙏

  • @jamesfadhili5905
    @jamesfadhili59053 жыл бұрын

    Can't stop mourning this man magufuli

  • @Shuku-w1b
    @Shuku-w1b13 күн бұрын

    Tunae tazama 2024 gonga like

  • @mwajumakitano842
    @mwajumakitano8423 жыл бұрын

    Nakuombea kwa Mungu Raisi Wangu, ili uzidi kutu tetea wananchi wako heko Baba. kweli Mungu mwema🤩🤩🤗Tanzania juu sana,ukarim, upendo na Amani. Mungu akubari Raisi wetu. Amen.

  • @christowellukizenga1335

    @christowellukizenga1335

    2 жыл бұрын

    Rest in peace magufur

  • @user-hh1sy2qz1j
    @user-hh1sy2qz1j2 ай бұрын

    Feels heavenly when a prominent person got humanity and believes in God. SO HEAVENLY

  • @kibonaamenye6878
    @kibonaamenye68784 жыл бұрын

    ubarikiwe sana mkuu, Mungu akuzidishie ukawe taa kwa wenye giza la kunyanyaswa

  • @emmanuelmagembe8256
    @emmanuelmagembe82564 жыл бұрын

    Pole sana mama angu mungu yupo atakusaidi mama

  • @ahmedamar1329
    @ahmedamar13293 жыл бұрын

    MH..Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Una Kazi Kweli Baba Angu Maana Haya Mambo Yapo Kweli Baba Akuu Amini Ilo Sema Wewe Ni Raisi Wa Wa Wa Nyonge Mungu Akupe Umri Mrefu Na Nguvu Kwa Ilo

  • @veronicaoman8764
    @veronicaoman87644 жыл бұрын

    Nampenda Rais wangu mambo yake ni makuu yakinabii

  • @michaelmbata8582
    @michaelmbata858211 ай бұрын

    Truely you were a servant of people. May you continue resting in peace. John Pombe Magufuli

  • @ashasalehe7726
    @ashasalehe77263 жыл бұрын

    Pumzika SHUJAA WETU😭😭😭😭

  • @user-gd9jf6pn4c
    @user-gd9jf6pn4c6 ай бұрын

    He was a good leader indeed RIP Daddy🎉🎉🎉🎉🎉our hero

  • @mariekyosse2684
    @mariekyosse26842 жыл бұрын

    Mungu akupokeye baba

  • @NajvanNilivan
    @NajvanNilivan2 ай бұрын

    Jamani tulip mmiss uyu baba yetuu gonga like

  • @selemanijeanpierre7931
    @selemanijeanpierre79314 жыл бұрын

    Nakupenda RAIS sana magufuli

  • @willywaire50
    @willywaire502 жыл бұрын

    Sometime s I watch this & cry 😭😭 may God 🙏 keep magufulis soul on internal peace..

  • @user-solange968

    @user-solange968

    17 күн бұрын

    Same here 😢😢

  • @mariammohamed4772
    @mariammohamed47724 жыл бұрын

    Mungu umlinde raisi wetu magufuri

  • @lusajomwandambo853
    @lusajomwandambo8532 жыл бұрын

    Tunakukumbuka sana mweshimiwa hayati magufuli ukweli ulitenda haki kwa wanyonge.

  • @naomymoraa1154
    @naomymoraa11543 жыл бұрын

    Why did you die😭😭😭?may you rest in peace mkombozi wa wanyonge,,,I wish Kenya we had such a leader,

Келесі