Wallaahi napata raha sana Shekh Muhammad unapo fanya raddi kwa wazushi, kwa sbb wewe hukurupuki tu kama wanavyo kurupuka wao, wewe ni mtafiti na mpekuzi na mfatiliaji makini kwenye mambo ya kielimu kabla huja ongea. Maashaa Allaah.
@rahilaabdulrazzak9951Ай бұрын
Natumai Sheikh Mziwanda atakuwa amekufahamu vyema na wale wengine wote waliokuwa wakifata msimamo wake kwa kuburuzwa, watakuwa wameelimika na kuifahamu hoja hii na wataweza kuieneza na kuitetea kwa nuru yake Allah Subhaanahu wa Taala. Allah akuzidishie elimu, maarifa na nguvu za kuupeleka mbele Uislamu.
@user-ox4fv4cf5lАй бұрын
Jazaaka llaahu kheir sheikh,Kwa HAKIKA tumekuelewa sana Kwa darsa LAKO,NAAMINI HATA watu wa BID'AA wameelewa ila Kwa SABABU WANAFANYA Dini kama sehemu Yao ya KUTEKELEZA MASILAHI YAO ya KIMAISHA watazidi kupinga tu
@binhussein4411Ай бұрын
Allah akuekee katika mizan ya hasanaat yako...cc tullabu ilmin twanufaika sanaa na kufunza wengine
@Bombwejr18Ай бұрын
@Muhammad Nassor bachu kama Utaona ujumbe huu Al Akhy sheikh wangu Naomba utoe darasa kuhusu Ibada ya swala na ilivothibiti swala zetu mtihani sheikh naomba Utuandalie darasa la kujua mambo ya swala na dhikir zake mpka swala inaisha Darasa ya swala sheikh allah akuhifadhi sheikh atuhifadhi na sisi piah 🙏🤲🤲
@aminahassani-jh5rp
Ай бұрын
Swala pia inakushinda loh
@Bombwejr18
Ай бұрын
@@aminahassani-jh5rp tunahitaji faida kila mtu na upungufu wake ww ukijua mshukuru Allah amekupa tawfiq yakufahamu swala
@johariabdalla3319Ай бұрын
M Mungu akuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu,kwa hakika unaelimisha vizuri sana sana,tena kwa lugha fasaha yenye kueleweka.M Mungu azidi kukupandisha darja wa darja
@othmanhaji862Ай бұрын
Shukran Sheikh wetu Mungu akupe umri wa Barka
@binbuhakhamis4336Ай бұрын
ALLAHU akupe umri mrefu nanguvu yakuendelea kutu elimisha
@wazirihamisi6484Ай бұрын
Maa shaa Allah baarakallahu fiyka yani bachu Allah akuthibitishe ktk haq na aendelee kukuongoza ktk sunna
@user-yu9gy6dg3gАй бұрын
Barakallah unajua sana abu muhaddith yani kwa furaha hadi nimeshindwa kujizuia kukoment kwakweli hongera ibnu bachu.
@user-fm1ys1rt7wАй бұрын
MaashaAllah tabarakallah nakupata mubashara kutoka Lusaka Zambia ❤
@AbdulkareemNyongoroАй бұрын
Shukran sana kijana mwenzetu allah anipe nawe ujuzi zaid katka dini hii
@khadijahwanjikuАй бұрын
Sheikh wangu kipenzi Allahamdullilah Allah akupee umri wakutuelimisha, Allahamdullilah
@habibasalim3092
Ай бұрын
Aameen
@AliNassor-qt6fmАй бұрын
Tunatumia dalili na hadithi sio akili shukran sana sheikh wetu
@QeysMaxamed-kp4fhАй бұрын
Allah Akuhifadhi Sheikh Muhammad/Tunaomba ile Darsa ya tawhiid Iyendelee Tunaisubiri Kwa Hamu
@mohamadmaulidngava1510Ай бұрын
Mashaalwaa Shekh wangu nakupenda sana kwaajili ya Allhwa
@YassanYussuf-em3luАй бұрын
Bachu tusibabaishwe na watu bidaa Sunna ndio hiii hamna kurudi nyuma ila qiyami saa inshallah
@AhmedMohamed-mw3ev
Ай бұрын
Mashallah Muhammad tupe elimu mdogo wangu Allah atakulipa kheri
@Hassanihaji-uf9nbАй бұрын
Allah akuhifadhi shekh kwa ilmu unayotupa
@sheikhabuusakakin3243Ай бұрын
جزاك الله خيرا يا غالي ❤❤❤❤
@idisaidi287Ай бұрын
ALLAH akuhifadhi Sheikh Muhammad bachu
@OmarAlly-iz8otАй бұрын
Tunamuomba Allaah akuweke, na akupe nguvu ya kupambana na wazushi, na ainyanyuwe hadhi yako na jina lako duniani na akhera
@YahyaYahya-vp2ppАй бұрын
Kila nikituza masikio naona ndio nakuelewa zaid. Allah akulind Muhammad bachu. nimekuelewa vizur
@shadhilmakame
Ай бұрын
Ndo unasema nini
@Nuru_ya_sunnah.official
Ай бұрын
na wewe una uliza nini ambacho hujaelewa?😂😂😂 huu wa leo ni mwiba mkali sana umewachoma MAKHURAFI NA WATU WA MAULIDI😂😂😂 "eti unasema nini" 😅😅@@shadhilmakame
@imamushafiiforgoodislamict5420
Ай бұрын
Kwa uelewa wako na kiwango cha elimu yako utaona unamuelewa ila sisi wengine tunamshukuru allah tunaweza kumjua anaepiga kelele na anaeongea kwa kiwango
@@imamushafiiforgoodislamict5420 vizul pia usiache kumuomba mungu akonyeshe njia sasa hii ya kumuabudu yeye.. Useje ukafika mbele ya m/mungu hiyo elmu yako na ibada zako zikawa vumbe tu...
@husnajuma-md2ujАй бұрын
Alhamdulillah maneno yenye ladha Kwa mwenye elimu ktk kuielimisha jamii shukran Sheikh
@AlIrshaad-jАй бұрын
Allah akuhifadhi Muhammad bachu Nkupenda kwaajili ya Allah
@user-ox4fv4cf5lАй бұрын
JAZAAKA LLAAHU KHEIR SHEKH,ALLAH AKUZIDISHIE KILA LA KHERI, NGUVU NA SUBRA UZIDI KUWAPA RADDI HAWA WATU WA BID'AA NA UZUSHI WAO
@jumamohamed3168
Ай бұрын
Wewe unamuona Bachu ni mdogo kwa umri ,lakini elimu haiangalii udogo wa umri wala ukubwa , inategemea zaidi uwezo wako wa kuzingatia mambo katika kufundishwa na upeo wa ufahamu Mungu aliokunalia.
@OmarAlly-iz8otАй бұрын
Maashaa Allaah, Ahsante Mwalimu, mwaga elimu na muongozo, atakae achukuwe asietaka basi
@user-xi4le1hp4yАй бұрын
Nyinyi watu wa maulidi mnaijua dini sana kuliko mtume swalallahu alihi wa salam na maswahaba radhiya llahu anhum
@abdullahimohamudosman3695Ай бұрын
Maa shaa Allah sheikh Bachu Allah akubariki, mimi ni shabiki wako wa kindakindaki.
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
So shabiki DINI sio mpira sawa brooo "Huyo ni mwalimu wetu" sema "ww ni mwalimu wetu mzuri" Au "mm ni mwanafunzi wako namba moja" Au vyovyote vile ila usitumie shabiki asante safi sana mtu wa mwenendo kama wakwangu,, thanks🎉🎉🎉
@hilalalhabsi2047
Ай бұрын
Naomba MASHABIKI mniulizi kwa mwalimu wenu. Adhana ya kwanza ya swala ya ijumaa sio amri ya ALLAH SW wala hakusema Mtume saw. JEE SIO KHERI KWETU WALA IBADA KWASABABU MTUME SAW ALIIWACHA HAKUTUFUNZA AU MWENYEZI MUNGU SW NA MTUME WAKE HAWAKUKUMBUKA HILI MAANA ZAMA ZA MTUME SAW HAIKUWEPO?. NAOMBA JAWABU SIO MANONGWA
@ayububakari9942
Ай бұрын
@@hilalalhabsi2047 MTUME ﷺ ANASEMA LAZIMIANENI NA SUNNA YANGU NA SUNNA ZA MAKHALIFA WAONGOFU : (01)ABUU BAKRI (02) UMAR (03)UTHMAAN/AMBAE ALIAMRISHA IADHINIWE ADHANA YA KWANZA SIKU YA IJUMAA (04) ALLY رضي الله عنهم
@rashidmohamed1949Ай бұрын
Mziwanda kama anajua haqi basi hawezi kubisha. Hii ilimu ya Sheikh Muhamad Bachou iko juu. Ameweka wazi na usawa kila kitu
Bachu yupo anaburuza mbumbumbu wenzake. SUALI LA BACHU. 1) KAMA MAULID NI IBADA KWANINI HAJAYAAMRISHA ALLAH SW AU ALIKUWA HAJUI? 2) KAMA MTUME SAW AMETAKA ASHEHEREKEWE (AFURAHIWE) KWANINI HAKUAMRISHA MASWAHABA WAKE AU MTUME SAW HAKUJUA HIO IBADA?. JAWABU. KWASABABU KHERI YAFAA KUFANYA. SUALI LANGU, NO 1) KAMA ADHANA YA KWANZA YA SWALA YA IJUMAA NI IBADA KWANINI ALLAH SW HAKUAMRISHA AU ALIKUWA HAJUI KUWA WATU WATAONGEZEKA? 2) KAMA ADHANA YA KWANZA NI IBADA KWANI MTUME SAW ALISAHAU HATA HAKUWAITA MASWAHABA AKAWAKUSANYA DARSA AKAWAFUNZA KUWA IJUMAA NI ADHANA MBILI?. KAMA KESI NI MTUME HAKUFANYA NA ALLAH SW HAKUAMRISHA, JEE KWANINI MNACHAGUA KUYATUKANA YALE YA KUMPENDA MTUME SAW NA MAWALII?. HIVI BILA KUMPENDA MTUME SAW NA WAJA WEMA, HIO DINI INAFAIDA GANI KWAKO WEWE BACHU?
@Khatib-xp6fp
Ай бұрын
Hujamfaham mwalim ww upo kiushindani ndio ukatafuta Jambo ili ulinganishe msikilize vizuri Utapata kitu
@hilalalhabsi2047
Ай бұрын
@@Khatib-xp6fp sio kiushindani. Mnalazimisha lile munalochagua nyie MNAONA ndio haqi NA msilolipenda MNAONA baatwil. Kwanini kitu aseme ati kwasababu haja fanya MTUME SAW ni kharamu. KIGEZO HIKO HAKUNA KWENYE UISLAMU. PILI. MAULID MTUME SAW ALIFANYA
@nassleydady5783
Ай бұрын
@@hilalalhabsi2047shida kibur na kujua sna unazungumzia azana wakat mtume (saw) alikuwepo yy ndio alikua anahaki ya kusema hili linafaa hili halifai ss yy mtume (saw) aka funga kwa kusema dini ss imekamilika kisiongezeke kitu wala kisipunguzwe kitu ss kinamziwanda wao ninani waliotuengezea ibada yy sio swahaba wala sio mtume vyenginevo kitabu na sunna ndio alivotuambia mtume (saw) tukisema tufate mawazo atamm naweza nikasema kwaumma ulivo na maasi tuengezen swala badala ya 5 ziwe 6 je ilo nikosa kwa jili ya Allah?
@nassleydady5783
Ай бұрын
@@hilalalhabsi2047ushaur wang achakibur soma uelew ukielew huwez kuja na izo hoja
@user-db6pg7tx1hАй бұрын
جزاك الله خيرا في الدنيا والأخرة شيخنا محمد بن ناصر
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
آمين، وأنت مع جميع المسلمين
@IsmailKhamis-fh8nhАй бұрын
Mashaallah allah akuzidishe ufahamu wa kielimu tuzini kusoma kwako inshaallah
@user-ye3fy9kk6rАй бұрын
Baaraka llahu fik,umebarikiwa sheikh
@AliJabal-fx8pdАй бұрын
Jazaaka Allah kheir tume faidika.
@user-rp4eb5xw1zАй бұрын
Qweli ukiwe qwenye upotevu huwezi jua mpka ukae mbali ndo utajua.....sheh wangu Allah akupe muongoz nauzid kutunufaisha naallah atakulipa kila la kher
@samorajama8833Ай бұрын
MAAA SHAAA ALLLAAAH SHUKRAN SANA BAARAKA LLAAHU FIYKA ILA ULIUDHI SIKU ULOKUJA TANGA UKASEMA KILLA ANAEMCHUKIA SHEIKH FLANI WA TANGA AFE NGUVU ZA KIUMI ULINIUDHI SANA ILA HUMJUI NDIO MAANA UKASEMA HIVYO.
@manrectorzАй бұрын
Mashaallah, Umepewa kipawa kikubwa sana cha kufanya Ufafanuzi na kum Raddi mtu mpaka anakuelewa japo Kumtoa mtu ambaye amepata mafanikio yake na Kufahamika kwake kumetoakana na Maulid ni ngumu sana ila kwa Taufiq ya Allah tu
@khamisali5942Ай бұрын
Me nakuelewa sana kabla sijamaliza kuiangalia na kuskiliza
@algakireАй бұрын
معاكم عثمان من رواندا 🇷🇼. الله يحفظكم جميعا 🤲
@abdulfatahumarsaideazamo2654
Ай бұрын
آمين و إياكم
@augustomariosama154216 күн бұрын
Mimi binafsi namuelewa sana huyu shaikh Muhammad Bachu maana ni mwepesi mno wakufafanua vitu
@MwajumaRamadhan-qi4wiАй бұрын
mashaallah unanitoa ukungu kwenye masikio yangu
@Nuru_ya_sunnah.officialАй бұрын
😂😂😂ni ukweli usio pingika kua masufi wote Africa mashariki wanamjua bachu vizur ndo mana wote WANAMCHUKIA
@user-zj6uz6dt9j
Ай бұрын
Sahihi kabisa, akhy
@Hamis-ks1sy
Ай бұрын
Kingine wanapiga kelele eti ni mtoto mdogo hawajui kwamba elmu haina utoto waweza kuwa mkubwa halafu hamna kitu kwan Ibn Abbas Allah amwie radhi alkua na elimu kubwa yeye ndo alikua mkubwa sana mbele ya maswahaba! Watu hawataki kukubali ukweli
@giltaemi4017
Ай бұрын
@@Hamis-ks1sy Watu wa Bidaa huenda hawajui kua hata Wajinga pia hua wanazeeka.
@giltaemi4017
Ай бұрын
@@darajanida Makhurafi mna mambo ya ajabu sana
@giltaemi4017
Ай бұрын
@@darajanida Nani kutukanwa. Au kumuambia mjinga kua unachokifanya ni cha kijinga sasa acha kufanya mambo ya kijahili ili uonekane mtu safi kisha mjinga huyo akaendelea kufanya ujinga wake sasa mimi nikimuita mjinga nakua nimemuita kwa sifa yake au nimemtukana. Acha Ujaahili alafu ukiitwa jaahili ndo ulalamike. Huna hoja isipokuwa ni kutetea ujinga sasa kwa usalama wako ukiendelea kutetea ujinga na wewe utakua katika wao. Maneno ya mtume ni kwamba ukijifananisha na watu na wewe ni ni katika wao
@hassanmohamedlaizer569Ай бұрын
Sheikh mziwanda tatizo ukweli hataki kukubali
@lubuva708Ай бұрын
Makkah tunakupata vizur Ustadh Muhammad usikate tamaa zidisha kuelimisha na asihangaike na wanao taka kukushusha kwasababu ndio ubinadamu
@aminahassani-jh5rpАй бұрын
Eheheeeeeee😂 wallah nakupenda sana Mwalimu yetu yaani umenyoosha maelezo mno
@wazirihamisi6484Ай бұрын
Wachape tu masufi hao Allah Awaongoze ktk haq
@user-fo9xs1sc2cАй бұрын
Shehe wangu Allah Akulinde na husuda Natamani mwanangu Asome kwako ndio itakua kitu cha samanj na bahat aje kuelimisha watu shehe uko mjin hakika vivijin uku tuliko sis tuko mtupu watu wanakumbatia bidaa nakufanya kua ibada wakidai watapata malipo Shehe la mwisho mim mkulima mwanangu nataka asome elimu yenye manufaa nitalipia galama itayo kuwepo anamiaka 5 mim ndoto ya mwanangu ajekuwafundisha haki
@suraiyarashid456825 күн бұрын
Mashallah Allah akupe umri mrefu
@Hamis-ks1syАй бұрын
Maa shaa Allah,jazaakallahu khayran
@user-ir5ec5jn3wАй бұрын
Sheikh weka muhadhara InshaAllah uwakabili Mashia na Bida'a zao
@IsmailKhamis-fh8nhАй бұрын
جزاك الله خير
@AshrafBunuАй бұрын
Allah akuhifadhi sheikh letu
@defantasticacomedy636615 күн бұрын
Wallah huyu sheikh wanamchukia tu kwa maslahi yao binafsi ila anayoongea ni facts tupu na ana dalili za kutosha.Allah akulipe ujira mwema sheikh Muhammad Nassor Bachu.
@Nuru_ya_sunnah.officialАй бұрын
nimejifunza kitu kua shaikh bachu حفظك الله ورعاك HII RADDI umeiandaa ukiwa umemuomba ALLAH akupe ufasaha na kueleweka kwa watu ndo mana umeweka bayana amabyo mtu yeyote wa MAULIDI na BIDAA akiskia basi ataacha bidaa na maulid ila naamini pia wapo WAZUSHI watasema 🗣️🗣️🗣️🗣️ BACHU HUNA ELIMU NENDA KASOME 😂😂 ( pumbaaaav sana atakae sema hivyo), ✍️✍️✍️ila nimalize kusema kua hii RADDI ya leo imempiga vibaya sana MAWLANA WETU MZIWANDA, sjui kama atapona(Allah amuongoze) NB 🔴 shaikh bachu, ALLAH AKUHIFADHI kwani wewe ni katika wale wanaofanya operation safisha jiji liwe safi 🏝️🏝️🏝️ بارك الله فيك وعلى والديك، وعلم "إنتَنصُرُو الله يَنصُركم ويُثَبِّت أقْدَامَكُم"🏝️🏝️🏝️🏝️🏝️🏝️
@user-kh2hn8in1s
Ай бұрын
Allaahu amrehemu babaako, ampanulie kaburi lake na alinawirishe,
@seifhamid8329Ай бұрын
Allah akuhifadhi
@badrudinsalum3139Ай бұрын
Barakallahu fiyka
@user-er2ku2fs8yАй бұрын
Jazzakallahu khaira sheikh Mohammed
@YussufMohd-fc1djАй бұрын
Bachu we unajua hadi unakera
@user-yu9gy6dg3g
Ай бұрын
sema barakallah au mashallah waislamu tukisifiana tunapaswa tuseme hivyo yakhe
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
@@user-yu9gy6dg3g ww ni mzenji au? Naona yakheee. But nice
@user-yu9gy6dg3g
Ай бұрын
@@KhalfanMassoud hapana niko bara napenda tu kusema hivo
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
@@user-yu9gy6dg3g ahaa basi mzuri hio.
@wazirihamisi6484
Ай бұрын
Kweli
@k.kchakua1376Ай бұрын
Jazaqallahu khaira Sheikh Allah akuongezee Umri Aamin
@user-gy5en6cy8oАй бұрын
Allah bariki❤ message sent
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
Truly have been clarity,,,,,, May Allah guide all inventors to straight way? Ameen
@babatidaawa6550Ай бұрын
Masufi bhana ni tatizo kubwa sana aisee pambana sheikh wangu Muhammad bachu
@ramygichero1016
Ай бұрын
Hamna kitu huyo ubwa
@Nuru_ya_sunnah.official
Ай бұрын
@@ramygichero1016😂😂😂Lkn c umeelewa? au bado utaenda maulidi?? yan kama utaenda basi wewe ni KONKI SUFI
@mohagurey2214
Ай бұрын
Endelea na sherehe zako utakipata mbele ya Allah @@ramygichero1016
@KassimMuslih10 күн бұрын
Akhy kunywa maji ntalipia.. جزاك الله خيرا
@mohagurey2214Ай бұрын
May Allah guide them before it is too late
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
Ameen, before hereafter day
@user-wk5ju8kd3uАй бұрын
Maneno safi sana endelea kutuilimisha
@ameirameir4349Ай бұрын
Bibi Aisha mke wa Mtume aliishi muda mrefu baada ya mtume kufariki lakini hakuwahi kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume je alikuwa hampendi Mtume je alikuwa hajui kuwa kuna ibada ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume ? Hapana bali Bibi Aisha alitambua kuwa hakuna ibada ktk uislamu inayoitwa maulidi ya Mtume.
@hassanadam6272Ай бұрын
اللهم بارك
@muhamadyabubakary6750Ай бұрын
mashaaah jazaka lahu khayra
@fakijechaАй бұрын
Mm sina ninacho kupinga ila uwislamu tunapowelekeza tunaufaya km timu za mpira ni hatari sana na ndo mana kila kukicha tunapigwa vita na wala hatusemi lolte tunatukanana wenye kwa weye tusipo amka tukawa sisi tunajitoa kwa ajil ya din kwenda sehemu tofaut kuisambaza dini basi tujue tutabeba zima kubwa km huwuwelewan walimu wetu tafuteni njia ya kuitana muwekane sw mana siai tunawapenda kwa ajil ya allah na sijengine
@iddimutua420Ай бұрын
Watu wa matwalaga ni vipofu na viziwi hawaoni haki wala hawaisikii pia,usichoke sheikh wetu malipo yako yapo kwa Allah.
@KhamisHaroub-uj5ciАй бұрын
Shukran Simba wa Allah ❤️❤️❤️
@ShabanHassan-td3lx
Ай бұрын
Hahahahahh! Simba wa Allah wko msituni uko, hawpo kwny udahyya, huyu muhammad bachu.
@ShabanHassan-td3lx
Ай бұрын
Akhiy khamis huo ni utani tu nimeipenda comment yko sn.
@isaack100Ай бұрын
SubhanaAllah yaani unamanisha qiyas itangulie Qur'an Sunna na Ijmaa?
@uledihassan6065Ай бұрын
Muhammad bachu wewe ni mwanazuoni na hao wengine ni wapotoshaji
Langu ni nasiha kwenu: Sura Ar Rum: 28-37 Lakini nitagusia tu aya 32 من الذين فرقوا دينهم وكانوا شيعا كل حزب بما لديهم فرحون. Jama rudini kwa Qur'an badala ya vitabu vyenu أفلم يدبروا القول أم جأهم ما لم يأت أبأهم الاولين
@stanleykipingu228Ай бұрын
Mashaallah nakuelewa vyema
@canoksancomprehensivelearn7182Ай бұрын
Mziwanda nampenda kitu kimoja huwa akipata dalili sawa sawa harudishii kwa kibri sijamuona na hilo na sidhan kama inafikia matamanio namuomba Allah amuongoze nasi atuongoze maana ni mujtahid japo yupo na watu wengine sio.
@ashrafkhamis6746Ай бұрын
Yaani vitu vya msingi, vya kutuweka pamoja mmesahau. Mmesahau hata wachamungu wa zamani kuna itirafuu hazikuwafanya wavunjiane heshima.
Huyo mwalimu lkn spite kwenye kila engo ili ahakikishe umepata uelewa,lkn anzie deep,ww tu ndo unashida,tumia akili
@MwanaishaAuma-th4edАй бұрын
Alhamdulilah
@ramadhankilango9088Ай бұрын
Kama Kuna aya inayokataza kutaja na kumsifu mungu na mtume Muhammad s.a.w ndiyo bidaa inaingia vinginevyo ukisema hasara ya ghalama za sadaka utaeleweka
@binismail8527
Ай бұрын
Namna yakutukuza na kumsifu imebainishwa Sasa ww mwenye mapito haya ya mkusanyiko na ubwabwa mmeitoa wapi???????????
@ExcitedCave-cx9rxАй бұрын
MAULIDI NI IBADA KUBWA MNO KUSWALIA MTUME ,VITABU VYOTE UNAVYO TUMIA VYA WAPINGA MTUME ,VIBARAKA NYNY WA MYAHUDI
@user-kh2hn8in1sАй бұрын
حياكم اللّٰه يابني
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
آمين، بارك الله في شيخنا محمد الباشو وفيك وفي جميع المسلمين
@canoksancomprehensivelearn7182Ай бұрын
Sheih Mzwanda Allah amuongize na atuongoze na sisi na sioni kuna haja ya kumlaumu maana makosa ni waalimu alosoma kwao kuna ike misingi ya elimu ila anapenda kheri baki mazingira na elimu ya mwanzo alikopatia. Allah atunusuru na atuongoze maana ni hatari sana maneno haya na dini sio akili ya mtu kabisa akili inafuata sana matamanio (Unahokipenda ndicho akili itakupeleka) na akili zatofautiana na akili ya binaadam ni kitu dhaif sana
@AmanYusufuАй бұрын
Bada hajajuw vigawanywo vya ibada bachu anay kuxukuma tunazid kufahamuudhaifu wako ustadh kusoma xi kilimo cha miyez3 alaf xoma kama kulivo andikwa hauna amana ya elimu xom vizuri
@user-ox4fv4cf5lАй бұрын
INA MAANA NYIE MASUFI AU MATWARIQA MNA AKILI NYINGI KUMZIDI MTUME MUHAMMAD S.A.W NA MASWAHABA ZAKE??
@kombomakame9541Ай бұрын
Bachu huna Kazi ya kufanya. Toa andiko ktk Quran au hadithi inayoonesha kwamba mtu akisoma maulid anaenda Motoni. Kusoma Maulid ni kitu kisichoepukika Kwa Waumini wa kweli. Tumswalieni Mtume Muhammad! "Allah hummaswali wasalim wabaarika alyh."
@canoksancomprehensivelearn7182
Ай бұрын
Nawe toa katka hadithi au aya kuwa bangi ukivuta unaenda motoni. Wacheni ushabiki dini haiendi kama unavyotaka wewe na vitu vipo wazi Aya yasema "Nani alodhalimu kamaamsingiziaye Allah uongo ..." Na kusemamaulid ni ibada ni kumsingizia Allah aliposema kuwa dini haijakamilika na Alllah asema "Leo nimeikamilisha dini yenu...." maulid ni bidaa uzushi wa kishia na maulid ni bidaa na kila bidaa ni upotevu na kila upotevu ni katka moto
@MrRaviniАй бұрын
Tunaomba RADDI kwa watu wanao sikiliza makaswida shekhe
@jumamukoko66626 күн бұрын
Nanyiyi ndiyo mko na njaa, mziwanda hana njaa
@jumamukoko66626 күн бұрын
Anaye jua nani yuko ni Allah pekee tu
@saidimkwinzu9106Ай бұрын
ALLAH akuhifadhi sheikh Muhammadi bacho watabainikiwa tu na hakki hata kama wanapindisha ukweli
@user-ug8hc4yh5kАй бұрын
Maulid ni bidah na itaendelea kuwa bidah Lakini usitusikilizishe hivi vinanda wanao piga hawa waimba tarabu Waonyeshe tu hawa waimba tarabu bila sauti
@bigemagomabigemagoma631229 күн бұрын
Huyo mpiga kinanda na gita ndio walidai amekushinda kwenye ule munakasha! Matwarika hawajielewi
@user-do7ui5wi3nАй бұрын
Maulid si ibada ila ni mashairi tu lkn ni mashairi ambayo yanamtaja Mtume (s.a.w) kwa mujibu wa hadithi ya Mtume anapotajwa aswalie hapa ibada ni kumswalia mtume sh. Bachu
@RamaNassryАй бұрын
THAT IS BACHU(HAFIDHWAHULLAH)
@abdulkhaliqmuhammed456Ай бұрын
Bachu anajiona hapo ktk hyo video kazungumza kiakili saaana 😂😂😂
@AbdallahSalim-tf1eeАй бұрын
Mwanzo Bachu fataha na kasiri umeshajua kuweka pahali kwake mana twakujua ukipewa kitabu hakina mayaka kwako mtihani
@wazirihamisi6484
Ай бұрын
Fuata dalili acha na makasira na mafataha hayo
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
Hawanashehe wa maulini nimtihani sana katika Uislam wanageuzageuzatu hadithi ilimladikuwaxiba wasijua hatawasizinduke
@natafutamatatizo4382Ай бұрын
MAMEENDEKEZA MATUMBO NA NJAA TU KWA MAMBO AMBAYO HAYAPO KTK DINI!
@iddimohamed254Ай бұрын
Watu wa maulidi washakufa wameoza hawawezi badilika coz wanadai n ibada ...bachu endelea ivyo ivyo kaka.
Пікірлер: 455
Wallaahi napata raha sana Shekh Muhammad unapo fanya raddi kwa wazushi, kwa sbb wewe hukurupuki tu kama wanavyo kurupuka wao, wewe ni mtafiti na mpekuzi na mfatiliaji makini kwenye mambo ya kielimu kabla huja ongea. Maashaa Allaah.
Natumai Sheikh Mziwanda atakuwa amekufahamu vyema na wale wengine wote waliokuwa wakifata msimamo wake kwa kuburuzwa, watakuwa wameelimika na kuifahamu hoja hii na wataweza kuieneza na kuitetea kwa nuru yake Allah Subhaanahu wa Taala. Allah akuzidishie elimu, maarifa na nguvu za kuupeleka mbele Uislamu.
Jazaaka llaahu kheir sheikh,Kwa HAKIKA tumekuelewa sana Kwa darsa LAKO,NAAMINI HATA watu wa BID'AA wameelewa ila Kwa SABABU WANAFANYA Dini kama sehemu Yao ya KUTEKELEZA MASILAHI YAO ya KIMAISHA watazidi kupinga tu
Allah akuekee katika mizan ya hasanaat yako...cc tullabu ilmin twanufaika sanaa na kufunza wengine
@Muhammad Nassor bachu kama Utaona ujumbe huu Al Akhy sheikh wangu Naomba utoe darasa kuhusu Ibada ya swala na ilivothibiti swala zetu mtihani sheikh naomba Utuandalie darasa la kujua mambo ya swala na dhikir zake mpka swala inaisha Darasa ya swala sheikh allah akuhifadhi sheikh atuhifadhi na sisi piah 🙏🤲🤲
@aminahassani-jh5rp
Ай бұрын
Swala pia inakushinda loh
@Bombwejr18
Ай бұрын
@@aminahassani-jh5rp tunahitaji faida kila mtu na upungufu wake ww ukijua mshukuru Allah amekupa tawfiq yakufahamu swala
M Mungu akuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu,kwa hakika unaelimisha vizuri sana sana,tena kwa lugha fasaha yenye kueleweka.M Mungu azidi kukupandisha darja wa darja
Shukran Sheikh wetu Mungu akupe umri wa Barka
ALLAHU akupe umri mrefu nanguvu yakuendelea kutu elimisha
Maa shaa Allah baarakallahu fiyka yani bachu Allah akuthibitishe ktk haq na aendelee kukuongoza ktk sunna
Barakallah unajua sana abu muhaddith yani kwa furaha hadi nimeshindwa kujizuia kukoment kwakweli hongera ibnu bachu.
MaashaAllah tabarakallah nakupata mubashara kutoka Lusaka Zambia ❤
Shukran sana kijana mwenzetu allah anipe nawe ujuzi zaid katka dini hii
Sheikh wangu kipenzi Allahamdullilah Allah akupee umri wakutuelimisha, Allahamdullilah
@habibasalim3092
Ай бұрын
Aameen
Tunatumia dalili na hadithi sio akili shukran sana sheikh wetu
Allah Akuhifadhi Sheikh Muhammad/Tunaomba ile Darsa ya tawhiid Iyendelee Tunaisubiri Kwa Hamu
Mashaalwaa Shekh wangu nakupenda sana kwaajili ya Allhwa
Bachu tusibabaishwe na watu bidaa Sunna ndio hiii hamna kurudi nyuma ila qiyami saa inshallah
@AhmedMohamed-mw3ev
Ай бұрын
Mashallah Muhammad tupe elimu mdogo wangu Allah atakulipa kheri
Allah akuhifadhi shekh kwa ilmu unayotupa
جزاك الله خيرا يا غالي ❤❤❤❤
ALLAH akuhifadhi Sheikh Muhammad bachu
Tunamuomba Allaah akuweke, na akupe nguvu ya kupambana na wazushi, na ainyanyuwe hadhi yako na jina lako duniani na akhera
Kila nikituza masikio naona ndio nakuelewa zaid. Allah akulind Muhammad bachu. nimekuelewa vizur
@shadhilmakame
Ай бұрын
Ndo unasema nini
@Nuru_ya_sunnah.official
Ай бұрын
na wewe una uliza nini ambacho hujaelewa?😂😂😂 huu wa leo ni mwiba mkali sana umewachoma MAKHURAFI NA WATU WA MAULIDI😂😂😂 "eti unasema nini" 😅😅@@shadhilmakame
@imamushafiiforgoodislamict5420
Ай бұрын
Kwa uelewa wako na kiwango cha elimu yako utaona unamuelewa ila sisi wengine tunamshukuru allah tunaweza kumjua anaepiga kelele na anaeongea kwa kiwango
@MgazaMhina
Ай бұрын
@@imamushafiiforgoodislamict5420mfumo haumo ndugu
@YahyaYahya-vp2pp
Ай бұрын
@@imamushafiiforgoodislamict5420 vizul pia usiache kumuomba mungu akonyeshe njia sasa hii ya kumuabudu yeye.. Useje ukafika mbele ya m/mungu hiyo elmu yako na ibada zako zikawa vumbe tu...
Alhamdulillah maneno yenye ladha Kwa mwenye elimu ktk kuielimisha jamii shukran Sheikh
Allah akuhifadhi Muhammad bachu Nkupenda kwaajili ya Allah
JAZAAKA LLAAHU KHEIR SHEKH,ALLAH AKUZIDISHIE KILA LA KHERI, NGUVU NA SUBRA UZIDI KUWAPA RADDI HAWA WATU WA BID'AA NA UZUSHI WAO
@jumamohamed3168
Ай бұрын
Wewe unamuona Bachu ni mdogo kwa umri ,lakini elimu haiangalii udogo wa umri wala ukubwa , inategemea zaidi uwezo wako wa kuzingatia mambo katika kufundishwa na upeo wa ufahamu Mungu aliokunalia.
Maashaa Allaah, Ahsante Mwalimu, mwaga elimu na muongozo, atakae achukuwe asietaka basi
Nyinyi watu wa maulidi mnaijua dini sana kuliko mtume swalallahu alihi wa salam na maswahaba radhiya llahu anhum
Maa shaa Allah sheikh Bachu Allah akubariki, mimi ni shabiki wako wa kindakindaki.
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
So shabiki DINI sio mpira sawa brooo "Huyo ni mwalimu wetu" sema "ww ni mwalimu wetu mzuri" Au "mm ni mwanafunzi wako namba moja" Au vyovyote vile ila usitumie shabiki asante safi sana mtu wa mwenendo kama wakwangu,, thanks🎉🎉🎉
@hilalalhabsi2047
Ай бұрын
Naomba MASHABIKI mniulizi kwa mwalimu wenu. Adhana ya kwanza ya swala ya ijumaa sio amri ya ALLAH SW wala hakusema Mtume saw. JEE SIO KHERI KWETU WALA IBADA KWASABABU MTUME SAW ALIIWACHA HAKUTUFUNZA AU MWENYEZI MUNGU SW NA MTUME WAKE HAWAKUKUMBUKA HILI MAANA ZAMA ZA MTUME SAW HAIKUWEPO?. NAOMBA JAWABU SIO MANONGWA
@ayububakari9942
Ай бұрын
@@hilalalhabsi2047 MTUME ﷺ ANASEMA LAZIMIANENI NA SUNNA YANGU NA SUNNA ZA MAKHALIFA WAONGOFU : (01)ABUU BAKRI (02) UMAR (03)UTHMAAN/AMBAE ALIAMRISHA IADHINIWE ADHANA YA KWANZA SIKU YA IJUMAA (04) ALLY رضي الله عنهم
Mziwanda kama anajua haqi basi hawezi kubisha. Hii ilimu ya Sheikh Muhamad Bachou iko juu. Ameweka wazi na usawa kila kitu
Unatufanya vijana tuzidi kusoma hongera mwalimu mashallah
@hilalalhabsi2047
Ай бұрын
Bachu yupo anaburuza mbumbumbu wenzake. SUALI LA BACHU. 1) KAMA MAULID NI IBADA KWANINI HAJAYAAMRISHA ALLAH SW AU ALIKUWA HAJUI? 2) KAMA MTUME SAW AMETAKA ASHEHEREKEWE (AFURAHIWE) KWANINI HAKUAMRISHA MASWAHABA WAKE AU MTUME SAW HAKUJUA HIO IBADA?. JAWABU. KWASABABU KHERI YAFAA KUFANYA. SUALI LANGU, NO 1) KAMA ADHANA YA KWANZA YA SWALA YA IJUMAA NI IBADA KWANINI ALLAH SW HAKUAMRISHA AU ALIKUWA HAJUI KUWA WATU WATAONGEZEKA? 2) KAMA ADHANA YA KWANZA NI IBADA KWANI MTUME SAW ALISAHAU HATA HAKUWAITA MASWAHABA AKAWAKUSANYA DARSA AKAWAFUNZA KUWA IJUMAA NI ADHANA MBILI?. KAMA KESI NI MTUME HAKUFANYA NA ALLAH SW HAKUAMRISHA, JEE KWANINI MNACHAGUA KUYATUKANA YALE YA KUMPENDA MTUME SAW NA MAWALII?. HIVI BILA KUMPENDA MTUME SAW NA WAJA WEMA, HIO DINI INAFAIDA GANI KWAKO WEWE BACHU?
@Khatib-xp6fp
Ай бұрын
Hujamfaham mwalim ww upo kiushindani ndio ukatafuta Jambo ili ulinganishe msikilize vizuri Utapata kitu
@hilalalhabsi2047
Ай бұрын
@@Khatib-xp6fp sio kiushindani. Mnalazimisha lile munalochagua nyie MNAONA ndio haqi NA msilolipenda MNAONA baatwil. Kwanini kitu aseme ati kwasababu haja fanya MTUME SAW ni kharamu. KIGEZO HIKO HAKUNA KWENYE UISLAMU. PILI. MAULID MTUME SAW ALIFANYA
@nassleydady5783
Ай бұрын
@@hilalalhabsi2047shida kibur na kujua sna unazungumzia azana wakat mtume (saw) alikuwepo yy ndio alikua anahaki ya kusema hili linafaa hili halifai ss yy mtume (saw) aka funga kwa kusema dini ss imekamilika kisiongezeke kitu wala kisipunguzwe kitu ss kinamziwanda wao ninani waliotuengezea ibada yy sio swahaba wala sio mtume vyenginevo kitabu na sunna ndio alivotuambia mtume (saw) tukisema tufate mawazo atamm naweza nikasema kwaumma ulivo na maasi tuengezen swala badala ya 5 ziwe 6 je ilo nikosa kwa jili ya Allah?
@nassleydady5783
Ай бұрын
@@hilalalhabsi2047ushaur wang achakibur soma uelew ukielew huwez kuja na izo hoja
جزاك الله خيرا في الدنيا والأخرة شيخنا محمد بن ناصر
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
آمين، وأنت مع جميع المسلمين
Mashaallah allah akuzidishe ufahamu wa kielimu tuzini kusoma kwako inshaallah
Baaraka llahu fik,umebarikiwa sheikh
Jazaaka Allah kheir tume faidika.
Qweli ukiwe qwenye upotevu huwezi jua mpka ukae mbali ndo utajua.....sheh wangu Allah akupe muongoz nauzid kutunufaisha naallah atakulipa kila la kher
MAAA SHAAA ALLLAAAH SHUKRAN SANA BAARAKA LLAAHU FIYKA ILA ULIUDHI SIKU ULOKUJA TANGA UKASEMA KILLA ANAEMCHUKIA SHEIKH FLANI WA TANGA AFE NGUVU ZA KIUMI ULINIUDHI SANA ILA HUMJUI NDIO MAANA UKASEMA HIVYO.
Mashaallah, Umepewa kipawa kikubwa sana cha kufanya Ufafanuzi na kum Raddi mtu mpaka anakuelewa japo Kumtoa mtu ambaye amepata mafanikio yake na Kufahamika kwake kumetoakana na Maulid ni ngumu sana ila kwa Taufiq ya Allah tu
Me nakuelewa sana kabla sijamaliza kuiangalia na kuskiliza
معاكم عثمان من رواندا 🇷🇼. الله يحفظكم جميعا 🤲
@abdulfatahumarsaideazamo2654
Ай бұрын
آمين و إياكم
Mimi binafsi namuelewa sana huyu shaikh Muhammad Bachu maana ni mwepesi mno wakufafanua vitu
mashaallah unanitoa ukungu kwenye masikio yangu
😂😂😂ni ukweli usio pingika kua masufi wote Africa mashariki wanamjua bachu vizur ndo mana wote WANAMCHUKIA
@user-zj6uz6dt9j
Ай бұрын
Sahihi kabisa, akhy
@Hamis-ks1sy
Ай бұрын
Kingine wanapiga kelele eti ni mtoto mdogo hawajui kwamba elmu haina utoto waweza kuwa mkubwa halafu hamna kitu kwan Ibn Abbas Allah amwie radhi alkua na elimu kubwa yeye ndo alikua mkubwa sana mbele ya maswahaba! Watu hawataki kukubali ukweli
@giltaemi4017
Ай бұрын
@@Hamis-ks1sy Watu wa Bidaa huenda hawajui kua hata Wajinga pia hua wanazeeka.
@giltaemi4017
Ай бұрын
@@darajanida Makhurafi mna mambo ya ajabu sana
@giltaemi4017
Ай бұрын
@@darajanida Nani kutukanwa. Au kumuambia mjinga kua unachokifanya ni cha kijinga sasa acha kufanya mambo ya kijahili ili uonekane mtu safi kisha mjinga huyo akaendelea kufanya ujinga wake sasa mimi nikimuita mjinga nakua nimemuita kwa sifa yake au nimemtukana. Acha Ujaahili alafu ukiitwa jaahili ndo ulalamike. Huna hoja isipokuwa ni kutetea ujinga sasa kwa usalama wako ukiendelea kutetea ujinga na wewe utakua katika wao. Maneno ya mtume ni kwamba ukijifananisha na watu na wewe ni ni katika wao
Sheikh mziwanda tatizo ukweli hataki kukubali
Makkah tunakupata vizur Ustadh Muhammad usikate tamaa zidisha kuelimisha na asihangaike na wanao taka kukushusha kwasababu ndio ubinadamu
Eheheeeeeee😂 wallah nakupenda sana Mwalimu yetu yaani umenyoosha maelezo mno
Wachape tu masufi hao Allah Awaongoze ktk haq
Shehe wangu Allah Akulinde na husuda Natamani mwanangu Asome kwako ndio itakua kitu cha samanj na bahat aje kuelimisha watu shehe uko mjin hakika vivijin uku tuliko sis tuko mtupu watu wanakumbatia bidaa nakufanya kua ibada wakidai watapata malipo Shehe la mwisho mim mkulima mwanangu nataka asome elimu yenye manufaa nitalipia galama itayo kuwepo anamiaka 5 mim ndoto ya mwanangu ajekuwafundisha haki
Mashallah Allah akupe umri mrefu
Maa shaa Allah,jazaakallahu khayran
Sheikh weka muhadhara InshaAllah uwakabili Mashia na Bida'a zao
جزاك الله خير
Allah akuhifadhi sheikh letu
Wallah huyu sheikh wanamchukia tu kwa maslahi yao binafsi ila anayoongea ni facts tupu na ana dalili za kutosha.Allah akulipe ujira mwema sheikh Muhammad Nassor Bachu.
nimejifunza kitu kua shaikh bachu حفظك الله ورعاك HII RADDI umeiandaa ukiwa umemuomba ALLAH akupe ufasaha na kueleweka kwa watu ndo mana umeweka bayana amabyo mtu yeyote wa MAULIDI na BIDAA akiskia basi ataacha bidaa na maulid ila naamini pia wapo WAZUSHI watasema 🗣️🗣️🗣️🗣️ BACHU HUNA ELIMU NENDA KASOME 😂😂 ( pumbaaaav sana atakae sema hivyo), ✍️✍️✍️ila nimalize kusema kua hii RADDI ya leo imempiga vibaya sana MAWLANA WETU MZIWANDA, sjui kama atapona(Allah amuongoze) NB 🔴 shaikh bachu, ALLAH AKUHIFADHI kwani wewe ni katika wale wanaofanya operation safisha jiji liwe safi 🏝️🏝️🏝️ بارك الله فيك وعلى والديك، وعلم "إنتَنصُرُو الله يَنصُركم ويُثَبِّت أقْدَامَكُم"🏝️🏝️🏝️🏝️🏝️🏝️
@user-kh2hn8in1s
Ай бұрын
Allaahu amrehemu babaako, ampanulie kaburi lake na alinawirishe,
Allah akuhifadhi
Barakallahu fiyka
Jazzakallahu khaira sheikh Mohammed
Bachu we unajua hadi unakera
@user-yu9gy6dg3g
Ай бұрын
sema barakallah au mashallah waislamu tukisifiana tunapaswa tuseme hivyo yakhe
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
@@user-yu9gy6dg3g ww ni mzenji au? Naona yakheee. But nice
@user-yu9gy6dg3g
Ай бұрын
@@KhalfanMassoud hapana niko bara napenda tu kusema hivo
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
@@user-yu9gy6dg3g ahaa basi mzuri hio.
@wazirihamisi6484
Ай бұрын
Kweli
Jazaqallahu khaira Sheikh Allah akuongezee Umri Aamin
Allah bariki❤ message sent
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
Truly have been clarity,,,,,, May Allah guide all inventors to straight way? Ameen
Masufi bhana ni tatizo kubwa sana aisee pambana sheikh wangu Muhammad bachu
@ramygichero1016
Ай бұрын
Hamna kitu huyo ubwa
@Nuru_ya_sunnah.official
Ай бұрын
@@ramygichero1016😂😂😂Lkn c umeelewa? au bado utaenda maulidi?? yan kama utaenda basi wewe ni KONKI SUFI
@mohagurey2214
Ай бұрын
Endelea na sherehe zako utakipata mbele ya Allah @@ramygichero1016
Akhy kunywa maji ntalipia.. جزاك الله خيرا
May Allah guide them before it is too late
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
Ameen, before hereafter day
Maneno safi sana endelea kutuilimisha
Bibi Aisha mke wa Mtume aliishi muda mrefu baada ya mtume kufariki lakini hakuwahi kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume je alikuwa hampendi Mtume je alikuwa hajui kuwa kuna ibada ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume ? Hapana bali Bibi Aisha alitambua kuwa hakuna ibada ktk uislamu inayoitwa maulidi ya Mtume.
اللهم بارك
mashaaah jazaka lahu khayra
Mm sina ninacho kupinga ila uwislamu tunapowelekeza tunaufaya km timu za mpira ni hatari sana na ndo mana kila kukicha tunapigwa vita na wala hatusemi lolte tunatukanana wenye kwa weye tusipo amka tukawa sisi tunajitoa kwa ajil ya din kwenda sehemu tofaut kuisambaza dini basi tujue tutabeba zima kubwa km huwuwelewan walimu wetu tafuteni njia ya kuitana muwekane sw mana siai tunawapenda kwa ajil ya allah na sijengine
Watu wa matwalaga ni vipofu na viziwi hawaoni haki wala hawaisikii pia,usichoke sheikh wetu malipo yako yapo kwa Allah.
Shukran Simba wa Allah ❤️❤️❤️
@ShabanHassan-td3lx
Ай бұрын
Hahahahahh! Simba wa Allah wko msituni uko, hawpo kwny udahyya, huyu muhammad bachu.
@ShabanHassan-td3lx
Ай бұрын
Akhiy khamis huo ni utani tu nimeipenda comment yko sn.
SubhanaAllah yaani unamanisha qiyas itangulie Qur'an Sunna na Ijmaa?
Muhammad bachu wewe ni mwanazuoni na hao wengine ni wapotoshaji
وَعَلَيْكُمُ السَّلَامْ وَرَحْمَةُ اللهِ وَبَرَكاتُهُ🤝
Langu ni nasiha kwenu: Sura Ar Rum: 28-37 Lakini nitagusia tu aya 32 من الذين فرقوا دينهم وكانوا شيعا كل حزب بما لديهم فرحون. Jama rudini kwa Qur'an badala ya vitabu vyenu أفلم يدبروا القول أم جأهم ما لم يأت أبأهم الاولين
Mashaallah nakuelewa vyema
Mziwanda nampenda kitu kimoja huwa akipata dalili sawa sawa harudishii kwa kibri sijamuona na hilo na sidhan kama inafikia matamanio namuomba Allah amuongoze nasi atuongoze maana ni mujtahid japo yupo na watu wengine sio.
Yaani vitu vya msingi, vya kutuweka pamoja mmesahau. Mmesahau hata wachamungu wa zamani kuna itirafuu hazikuwafanya wavunjiane heshima.
Mashallah mwalimu wang
Bacho hujamuelewa Shekh Muharram Allah amhifadh,lakini kingine umezungumzia vitu vingi kaa mahala mamoja
@user-ye3fy9kk6r
Ай бұрын
Huyo mwalimu lkn spite kwenye kila engo ili ahakikishe umepata uelewa,lkn anzie deep,ww tu ndo unashida,tumia akili
Alhamdulilah
Kama Kuna aya inayokataza kutaja na kumsifu mungu na mtume Muhammad s.a.w ndiyo bidaa inaingia vinginevyo ukisema hasara ya ghalama za sadaka utaeleweka
@binismail8527
Ай бұрын
Namna yakutukuza na kumsifu imebainishwa Sasa ww mwenye mapito haya ya mkusanyiko na ubwabwa mmeitoa wapi???????????
MAULIDI NI IBADA KUBWA MNO KUSWALIA MTUME ,VITABU VYOTE UNAVYO TUMIA VYA WAPINGA MTUME ,VIBARAKA NYNY WA MYAHUDI
حياكم اللّٰه يابني
@KhalfanMassoud
Ай бұрын
آمين، بارك الله في شيخنا محمد الباشو وفيك وفي جميع المسلمين
Sheih Mzwanda Allah amuongize na atuongoze na sisi na sioni kuna haja ya kumlaumu maana makosa ni waalimu alosoma kwao kuna ike misingi ya elimu ila anapenda kheri baki mazingira na elimu ya mwanzo alikopatia. Allah atunusuru na atuongoze maana ni hatari sana maneno haya na dini sio akili ya mtu kabisa akili inafuata sana matamanio (Unahokipenda ndicho akili itakupeleka) na akili zatofautiana na akili ya binaadam ni kitu dhaif sana
Bada hajajuw vigawanywo vya ibada bachu anay kuxukuma tunazid kufahamuudhaifu wako ustadh kusoma xi kilimo cha miyez3 alaf xoma kama kulivo andikwa hauna amana ya elimu xom vizuri
INA MAANA NYIE MASUFI AU MATWARIQA MNA AKILI NYINGI KUMZIDI MTUME MUHAMMAD S.A.W NA MASWAHABA ZAKE??
Bachu huna Kazi ya kufanya. Toa andiko ktk Quran au hadithi inayoonesha kwamba mtu akisoma maulid anaenda Motoni. Kusoma Maulid ni kitu kisichoepukika Kwa Waumini wa kweli. Tumswalieni Mtume Muhammad! "Allah hummaswali wasalim wabaarika alyh."
@canoksancomprehensivelearn7182
Ай бұрын
Nawe toa katka hadithi au aya kuwa bangi ukivuta unaenda motoni. Wacheni ushabiki dini haiendi kama unavyotaka wewe na vitu vipo wazi Aya yasema "Nani alodhalimu kamaamsingiziaye Allah uongo ..." Na kusemamaulid ni ibada ni kumsingizia Allah aliposema kuwa dini haijakamilika na Alllah asema "Leo nimeikamilisha dini yenu...." maulid ni bidaa uzushi wa kishia na maulid ni bidaa na kila bidaa ni upotevu na kila upotevu ni katka moto
Tunaomba RADDI kwa watu wanao sikiliza makaswida shekhe
Nanyiyi ndiyo mko na njaa, mziwanda hana njaa
Anaye jua nani yuko ni Allah pekee tu
ALLAH akuhifadhi sheikh Muhammadi bacho watabainikiwa tu na hakki hata kama wanapindisha ukweli
Maulid ni bidah na itaendelea kuwa bidah Lakini usitusikilizishe hivi vinanda wanao piga hawa waimba tarabu Waonyeshe tu hawa waimba tarabu bila sauti
Huyo mpiga kinanda na gita ndio walidai amekushinda kwenye ule munakasha! Matwarika hawajielewi
Maulid si ibada ila ni mashairi tu lkn ni mashairi ambayo yanamtaja Mtume (s.a.w) kwa mujibu wa hadithi ya Mtume anapotajwa aswalie hapa ibada ni kumswalia mtume sh. Bachu
THAT IS BACHU(HAFIDHWAHULLAH)
Bachu anajiona hapo ktk hyo video kazungumza kiakili saaana 😂😂😂
Mwanzo Bachu fataha na kasiri umeshajua kuweka pahali kwake mana twakujua ukipewa kitabu hakina mayaka kwako mtihani
@wazirihamisi6484
Ай бұрын
Fuata dalili acha na makasira na mafataha hayo
Hawanashehe wa maulini nimtihani sana katika Uislam wanageuzageuzatu hadithi ilimladikuwaxiba wasijua hatawasizinduke
MAMEENDEKEZA MATUMBO NA NJAA TU KWA MAMBO AMBAYO HAYAPO KTK DINI!
Watu wa maulidi washakufa wameoza hawawezi badilika coz wanadai n ibada ...bachu endelea ivyo ivyo kaka.