RAADI KWA MUHARRAM MZIWANDA || JE WATU WA MAULIDI WATAENDA MOTONI || Muhammad Bachu.

Ойындар

Пікірлер: 455

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8otАй бұрын

    Wallaahi napata raha sana Shekh Muhammad unapo fanya raddi kwa wazushi, kwa sbb wewe hukurupuki tu kama wanavyo kurupuka wao, wewe ni mtafiti na mpekuzi na mfatiliaji makini kwenye mambo ya kielimu kabla huja ongea. Maashaa Allaah.

  • @rahilaabdulrazzak9951
    @rahilaabdulrazzak9951Ай бұрын

    Natumai Sheikh Mziwanda atakuwa amekufahamu vyema na wale wengine wote waliokuwa wakifata msimamo wake kwa kuburuzwa, watakuwa wameelimika na kuifahamu hoja hii na wataweza kuieneza na kuitetea kwa nuru yake Allah Subhaanahu wa Taala. Allah akuzidishie elimu, maarifa na nguvu za kuupeleka mbele Uislamu.

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5lАй бұрын

    Jazaaka llaahu kheir sheikh,Kwa HAKIKA tumekuelewa sana Kwa darsa LAKO,NAAMINI HATA watu wa BID'AA wameelewa ila Kwa SABABU WANAFANYA Dini kama sehemu Yao ya KUTEKELEZA MASILAHI YAO ya KIMAISHA watazidi kupinga tu

  • @binhussein4411
    @binhussein4411Ай бұрын

    Allah akuekee katika mizan ya hasanaat yako...cc tullabu ilmin twanufaika sanaa na kufunza wengine

  • @Bombwejr18
    @Bombwejr18Ай бұрын

    @Muhammad Nassor bachu kama Utaona ujumbe huu Al Akhy sheikh wangu Naomba utoe darasa kuhusu Ibada ya swala na ilivothibiti swala zetu mtihani sheikh naomba Utuandalie darasa la kujua mambo ya swala na dhikir zake mpka swala inaisha Darasa ya swala sheikh allah akuhifadhi sheikh atuhifadhi na sisi piah 🙏🤲🤲

  • @aminahassani-jh5rp

    @aminahassani-jh5rp

    Ай бұрын

    Swala pia inakushinda loh

  • @Bombwejr18

    @Bombwejr18

    Ай бұрын

    @@aminahassani-jh5rp tunahitaji faida kila mtu na upungufu wake ww ukijua mshukuru Allah amekupa tawfiq yakufahamu swala

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319Ай бұрын

    M Mungu akuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu,kwa hakika unaelimisha vizuri sana sana,tena kwa lugha fasaha yenye kueleweka.M Mungu azidi kukupandisha darja wa darja

  • @othmanhaji862
    @othmanhaji862Ай бұрын

    Shukran Sheikh wetu Mungu akupe umri wa Barka

  • @binbuhakhamis4336
    @binbuhakhamis4336Ай бұрын

    ALLAHU akupe umri mrefu nanguvu yakuendelea kutu elimisha

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484Ай бұрын

    Maa shaa Allah baarakallahu fiyka yani bachu Allah akuthibitishe ktk haq na aendelee kukuongoza ktk sunna

  • @user-yu9gy6dg3g
    @user-yu9gy6dg3gАй бұрын

    Barakallah unajua sana abu muhaddith yani kwa furaha hadi nimeshindwa kujizuia kukoment kwakweli hongera ibnu bachu.

  • @user-fm1ys1rt7w
    @user-fm1ys1rt7wАй бұрын

    MaashaAllah tabarakallah nakupata mubashara kutoka Lusaka Zambia ❤

  • @AbdulkareemNyongoro
    @AbdulkareemNyongoroАй бұрын

    Shukran sana kijana mwenzetu allah anipe nawe ujuzi zaid katka dini hii

  • @khadijahwanjiku
    @khadijahwanjikuАй бұрын

    Sheikh wangu kipenzi Allahamdullilah Allah akupee umri wakutuelimisha, Allahamdullilah

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    Ай бұрын

    Aameen

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fmАй бұрын

    Tunatumia dalili na hadithi sio akili shukran sana sheikh wetu

  • @QeysMaxamed-kp4fh
    @QeysMaxamed-kp4fhАй бұрын

    Allah Akuhifadhi Sheikh Muhammad/Tunaomba ile Darsa ya tawhiid Iyendelee Tunaisubiri Kwa Hamu

  • @mohamadmaulidngava1510
    @mohamadmaulidngava1510Ай бұрын

    Mashaalwaa Shekh wangu nakupenda sana kwaajili ya Allhwa

  • @YassanYussuf-em3lu
    @YassanYussuf-em3luАй бұрын

    Bachu tusibabaishwe na watu bidaa Sunna ndio hiii hamna kurudi nyuma ila qiyami saa inshallah

  • @AhmedMohamed-mw3ev

    @AhmedMohamed-mw3ev

    Ай бұрын

    Mashallah Muhammad tupe elimu mdogo wangu Allah atakulipa kheri

  • @Hassanihaji-uf9nb
    @Hassanihaji-uf9nbАй бұрын

    Allah akuhifadhi shekh kwa ilmu unayotupa

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243Ай бұрын

    جزاك الله خيرا يا غالي ❤❤❤❤

  • @idisaidi287
    @idisaidi287Ай бұрын

    ALLAH akuhifadhi Sheikh Muhammad bachu

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8otАй бұрын

    Tunamuomba Allaah akuweke, na akupe nguvu ya kupambana na wazushi, na ainyanyuwe hadhi yako na jina lako duniani na akhera

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2ppАй бұрын

    Kila nikituza masikio naona ndio nakuelewa zaid. Allah akulind Muhammad bachu. nimekuelewa vizur

  • @shadhilmakame

    @shadhilmakame

    Ай бұрын

    Ndo unasema nini

  • @Nuru_ya_sunnah.official

    @Nuru_ya_sunnah.official

    Ай бұрын

    na wewe una uliza nini ambacho hujaelewa?😂😂😂 huu wa leo ni mwiba mkali sana umewachoma MAKHURAFI NA WATU WA MAULIDI😂😂😂 "eti unasema nini" 😅😅​@@shadhilmakame

  • @imamushafiiforgoodislamict5420

    @imamushafiiforgoodislamict5420

    Ай бұрын

    Kwa uelewa wako na kiwango cha elimu yako utaona unamuelewa ila sisi wengine tunamshukuru allah tunaweza kumjua anaepiga kelele na anaeongea kwa kiwango

  • @MgazaMhina

    @MgazaMhina

    Ай бұрын

    ​@@imamushafiiforgoodislamict5420mfumo haumo ndugu

  • @YahyaYahya-vp2pp

    @YahyaYahya-vp2pp

    Ай бұрын

    @@imamushafiiforgoodislamict5420 vizul pia usiache kumuomba mungu akonyeshe njia sasa hii ya kumuabudu yeye.. Useje ukafika mbele ya m/mungu hiyo elmu yako na ibada zako zikawa vumbe tu...

  • @husnajuma-md2uj
    @husnajuma-md2ujАй бұрын

    Alhamdulillah maneno yenye ladha Kwa mwenye elimu ktk kuielimisha jamii shukran Sheikh

  • @AlIrshaad-j
    @AlIrshaad-jАй бұрын

    Allah akuhifadhi Muhammad bachu Nkupenda kwaajili ya Allah

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5lАй бұрын

    JAZAAKA LLAAHU KHEIR SHEKH,ALLAH AKUZIDISHIE KILA LA KHERI, NGUVU NA SUBRA UZIDI KUWAPA RADDI HAWA WATU WA BID'AA NA UZUSHI WAO

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    Ай бұрын

    Wewe unamuona Bachu ni mdogo kwa umri ,lakini elimu haiangalii udogo wa umri wala ukubwa , inategemea zaidi uwezo wako wa kuzingatia mambo katika kufundishwa na upeo wa ufahamu Mungu aliokunalia.

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8otАй бұрын

    Maashaa Allaah, Ahsante Mwalimu, mwaga elimu na muongozo, atakae achukuwe asietaka basi

  • @user-xi4le1hp4y
    @user-xi4le1hp4yАй бұрын

    Nyinyi watu wa maulidi mnaijua dini sana kuliko mtume swalallahu alihi wa salam na maswahaba radhiya llahu anhum

  • @abdullahimohamudosman3695
    @abdullahimohamudosman3695Ай бұрын

    Maa shaa Allah sheikh Bachu Allah akubariki, mimi ni shabiki wako wa kindakindaki.

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    Ай бұрын

    So shabiki DINI sio mpira sawa brooo "Huyo ni mwalimu wetu" sema "ww ni mwalimu wetu mzuri" Au "mm ni mwanafunzi wako namba moja" Au vyovyote vile ila usitumie shabiki asante safi sana mtu wa mwenendo kama wakwangu,, thanks🎉🎉🎉

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    Ай бұрын

    Naomba MASHABIKI mniulizi kwa mwalimu wenu. Adhana ya kwanza ya swala ya ijumaa sio amri ya ALLAH SW wala hakusema Mtume saw. JEE SIO KHERI KWETU WALA IBADA KWASABABU MTUME SAW ALIIWACHA HAKUTUFUNZA AU MWENYEZI MUNGU SW NA MTUME WAKE HAWAKUKUMBUKA HILI MAANA ZAMA ZA MTUME SAW HAIKUWEPO?. NAOMBA JAWABU SIO MANONGWA

  • @ayububakari9942

    @ayububakari9942

    Ай бұрын

    ​​@@hilalalhabsi2047 MTUME ﷺ ANASEMA LAZIMIANENI NA SUNNA YANGU NA SUNNA ZA MAKHALIFA WAONGOFU : (01)ABUU BAKRI (02) UMAR (03)UTHMAAN/AMBAE ALIAMRISHA IADHINIWE ADHANA YA KWANZA SIKU YA IJUMAA (04) ALLY رضي الله عنهم

  • @rashidmohamed1949
    @rashidmohamed1949Ай бұрын

    Mziwanda kama anajua haqi basi hawezi kubisha. Hii ilimu ya Sheikh Muhamad Bachou iko juu. Ameweka wazi na usawa kila kitu

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fpАй бұрын

    Unatufanya vijana tuzidi kusoma hongera mwalimu mashallah

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    Ай бұрын

    Bachu yupo anaburuza mbumbumbu wenzake. SUALI LA BACHU. 1) KAMA MAULID NI IBADA KWANINI HAJAYAAMRISHA ALLAH SW AU ALIKUWA HAJUI? 2) KAMA MTUME SAW AMETAKA ASHEHEREKEWE (AFURAHIWE) KWANINI HAKUAMRISHA MASWAHABA WAKE AU MTUME SAW HAKUJUA HIO IBADA?. JAWABU. KWASABABU KHERI YAFAA KUFANYA. SUALI LANGU, NO 1) KAMA ADHANA YA KWANZA YA SWALA YA IJUMAA NI IBADA KWANINI ALLAH SW HAKUAMRISHA AU ALIKUWA HAJUI KUWA WATU WATAONGEZEKA? 2) KAMA ADHANA YA KWANZA NI IBADA KWANI MTUME SAW ALISAHAU HATA HAKUWAITA MASWAHABA AKAWAKUSANYA DARSA AKAWAFUNZA KUWA IJUMAA NI ADHANA MBILI?. KAMA KESI NI MTUME HAKUFANYA NA ALLAH SW HAKUAMRISHA, JEE KWANINI MNACHAGUA KUYATUKANA YALE YA KUMPENDA MTUME SAW NA MAWALII?. HIVI BILA KUMPENDA MTUME SAW NA WAJA WEMA, HIO DINI INAFAIDA GANI KWAKO WEWE BACHU?

  • @Khatib-xp6fp

    @Khatib-xp6fp

    Ай бұрын

    Hujamfaham mwalim ww upo kiushindani ndio ukatafuta Jambo ili ulinganishe msikilize vizuri Utapata kitu

  • @hilalalhabsi2047

    @hilalalhabsi2047

    Ай бұрын

    @@Khatib-xp6fp sio kiushindani. Mnalazimisha lile munalochagua nyie MNAONA ndio haqi NA msilolipenda MNAONA baatwil. Kwanini kitu aseme ati kwasababu haja fanya MTUME SAW ni kharamu. KIGEZO HIKO HAKUNA KWENYE UISLAMU. PILI. MAULID MTUME SAW ALIFANYA

  • @nassleydady5783

    @nassleydady5783

    Ай бұрын

    ​@@hilalalhabsi2047shida kibur na kujua sna unazungumzia azana wakat mtume (saw) alikuwepo yy ndio alikua anahaki ya kusema hili linafaa hili halifai ss yy mtume (saw) aka funga kwa kusema dini ss imekamilika kisiongezeke kitu wala kisipunguzwe kitu ss kinamziwanda wao ninani waliotuengezea ibada yy sio swahaba wala sio mtume vyenginevo kitabu na sunna ndio alivotuambia mtume (saw) tukisema tufate mawazo atamm naweza nikasema kwaumma ulivo na maasi tuengezen swala badala ya 5 ziwe 6 je ilo nikosa kwa jili ya Allah?

  • @nassleydady5783

    @nassleydady5783

    Ай бұрын

    ​@@hilalalhabsi2047ushaur wang achakibur soma uelew ukielew huwez kuja na izo hoja

  • @user-db6pg7tx1h
    @user-db6pg7tx1hАй бұрын

    جزاك الله خيرا في الدنيا والأخرة شيخنا محمد بن ناصر

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    Ай бұрын

    آمين، وأنت مع جميع المسلمين

  • @IsmailKhamis-fh8nh
    @IsmailKhamis-fh8nhАй бұрын

    Mashaallah allah akuzidishe ufahamu wa kielimu tuzini kusoma kwako inshaallah

  • @user-ye3fy9kk6r
    @user-ye3fy9kk6rАй бұрын

    Baaraka llahu fik,umebarikiwa sheikh

  • @AliJabal-fx8pd
    @AliJabal-fx8pdАй бұрын

    Jazaaka Allah kheir tume faidika.

  • @user-rp4eb5xw1z
    @user-rp4eb5xw1zАй бұрын

    Qweli ukiwe qwenye upotevu huwezi jua mpka ukae mbali ndo utajua.....sheh wangu Allah akupe muongoz nauzid kutunufaisha naallah atakulipa kila la kher

  • @samorajama8833
    @samorajama8833Ай бұрын

    MAAA SHAAA ALLLAAAH SHUKRAN SANA BAARAKA LLAAHU FIYKA ILA ULIUDHI SIKU ULOKUJA TANGA UKASEMA KILLA ANAEMCHUKIA SHEIKH FLANI WA TANGA AFE NGUVU ZA KIUMI ULINIUDHI SANA ILA HUMJUI NDIO MAANA UKASEMA HIVYO.

  • @manrectorz
    @manrectorzАй бұрын

    Mashaallah, Umepewa kipawa kikubwa sana cha kufanya Ufafanuzi na kum Raddi mtu mpaka anakuelewa japo Kumtoa mtu ambaye amepata mafanikio yake na Kufahamika kwake kumetoakana na Maulid ni ngumu sana ila kwa Taufiq ya Allah tu

  • @khamisali5942
    @khamisali5942Ай бұрын

    Me nakuelewa sana kabla sijamaliza kuiangalia na kuskiliza

  • @algakire
    @algakireАй бұрын

    معاكم عثمان من رواندا 🇷🇼. الله يحفظكم جميعا 🤲

  • @abdulfatahumarsaideazamo2654

    @abdulfatahumarsaideazamo2654

    Ай бұрын

    آمين و إياكم

  • @augustomariosama1542
    @augustomariosama154216 күн бұрын

    Mimi binafsi namuelewa sana huyu shaikh Muhammad Bachu maana ni mwepesi mno wakufafanua vitu

  • @MwajumaRamadhan-qi4wi
    @MwajumaRamadhan-qi4wiАй бұрын

    mashaallah unanitoa ukungu kwenye masikio yangu

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.officialАй бұрын

    😂😂😂ni ukweli usio pingika kua masufi wote Africa mashariki wanamjua bachu vizur ndo mana wote WANAMCHUKIA

  • @user-zj6uz6dt9j

    @user-zj6uz6dt9j

    Ай бұрын

    Sahihi kabisa, akhy

  • @Hamis-ks1sy

    @Hamis-ks1sy

    Ай бұрын

    Kingine wanapiga kelele eti ni mtoto mdogo hawajui kwamba elmu haina utoto waweza kuwa mkubwa halafu hamna kitu kwan Ibn Abbas Allah amwie radhi alkua na elimu kubwa yeye ndo alikua mkubwa sana mbele ya maswahaba! Watu hawataki kukubali ukweli

  • @giltaemi4017

    @giltaemi4017

    Ай бұрын

    ​@@Hamis-ks1sy Watu wa Bidaa huenda hawajui kua hata Wajinga pia hua wanazeeka.

  • @giltaemi4017

    @giltaemi4017

    Ай бұрын

    @@darajanida Makhurafi mna mambo ya ajabu sana

  • @giltaemi4017

    @giltaemi4017

    Ай бұрын

    @@darajanida Nani kutukanwa. Au kumuambia mjinga kua unachokifanya ni cha kijinga sasa acha kufanya mambo ya kijahili ili uonekane mtu safi kisha mjinga huyo akaendelea kufanya ujinga wake sasa mimi nikimuita mjinga nakua nimemuita kwa sifa yake au nimemtukana. Acha Ujaahili alafu ukiitwa jaahili ndo ulalamike. Huna hoja isipokuwa ni kutetea ujinga sasa kwa usalama wako ukiendelea kutetea ujinga na wewe utakua katika wao. Maneno ya mtume ni kwamba ukijifananisha na watu na wewe ni ni katika wao

  • @hassanmohamedlaizer569
    @hassanmohamedlaizer569Ай бұрын

    Sheikh mziwanda tatizo ukweli hataki kukubali

  • @lubuva708
    @lubuva708Ай бұрын

    Makkah tunakupata vizur Ustadh Muhammad usikate tamaa zidisha kuelimisha na asihangaike na wanao taka kukushusha kwasababu ndio ubinadamu

  • @aminahassani-jh5rp
    @aminahassani-jh5rpАй бұрын

    Eheheeeeeee😂 wallah nakupenda sana Mwalimu yetu yaani umenyoosha maelezo mno

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484Ай бұрын

    Wachape tu masufi hao Allah Awaongoze ktk haq

  • @user-fo9xs1sc2c
    @user-fo9xs1sc2cАй бұрын

    Shehe wangu Allah Akulinde na husuda Natamani mwanangu Asome kwako ndio itakua kitu cha samanj na bahat aje kuelimisha watu shehe uko mjin hakika vivijin uku tuliko sis tuko mtupu watu wanakumbatia bidaa nakufanya kua ibada wakidai watapata malipo Shehe la mwisho mim mkulima mwanangu nataka asome elimu yenye manufaa nitalipia galama itayo kuwepo anamiaka 5 mim ndoto ya mwanangu ajekuwafundisha haki

  • @suraiyarashid4568
    @suraiyarashid456825 күн бұрын

    Mashallah Allah akupe umri mrefu

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1syАй бұрын

    Maa shaa Allah,jazaakallahu khayran

  • @user-ir5ec5jn3w
    @user-ir5ec5jn3wАй бұрын

    Sheikh weka muhadhara InshaAllah uwakabili Mashia na Bida'a zao

  • @IsmailKhamis-fh8nh
    @IsmailKhamis-fh8nhАй бұрын

    جزاك الله خير

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunuАй бұрын

    Allah akuhifadhi sheikh letu

  • @defantasticacomedy6366
    @defantasticacomedy636615 күн бұрын

    Wallah huyu sheikh wanamchukia tu kwa maslahi yao binafsi ila anayoongea ni facts tupu na ana dalili za kutosha.Allah akulipe ujira mwema sheikh Muhammad Nassor Bachu.

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.officialАй бұрын

    nimejifunza kitu kua shaikh bachu حفظك الله ورعاك HII RADDI umeiandaa ukiwa umemuomba ALLAH akupe ufasaha na kueleweka kwa watu ndo mana umeweka bayana amabyo mtu yeyote wa MAULIDI na BIDAA akiskia basi ataacha bidaa na maulid ila naamini pia wapo WAZUSHI watasema 🗣️🗣️🗣️🗣️ BACHU HUNA ELIMU NENDA KASOME 😂😂 ( pumbaaaav sana atakae sema hivyo), ✍️✍️✍️ila nimalize kusema kua hii RADDI ya leo imempiga vibaya sana MAWLANA WETU MZIWANDA, sjui kama atapona(Allah amuongoze) NB 🔴 shaikh bachu, ALLAH AKUHIFADHI kwani wewe ni katika wale wanaofanya operation safisha jiji liwe safi 🏝️🏝️🏝️ بارك الله فيك وعلى والديك، وعلم "إنتَنصُرُو الله يَنصُركم ويُثَبِّت أقْدَامَكُم"🏝️🏝️🏝️🏝️🏝️🏝️

  • @user-kh2hn8in1s

    @user-kh2hn8in1s

    Ай бұрын

    Allaahu amrehemu babaako, ampanulie kaburi lake na alinawirishe,

  • @seifhamid8329
    @seifhamid8329Ай бұрын

    Allah akuhifadhi

  • @badrudinsalum3139
    @badrudinsalum3139Ай бұрын

    Barakallahu fiyka

  • @user-er2ku2fs8y
    @user-er2ku2fs8yАй бұрын

    Jazzakallahu khaira sheikh Mohammed

  • @YussufMohd-fc1dj
    @YussufMohd-fc1djАй бұрын

    Bachu we unajua hadi unakera

  • @user-yu9gy6dg3g

    @user-yu9gy6dg3g

    Ай бұрын

    sema barakallah au mashallah waislamu tukisifiana tunapaswa tuseme hivyo yakhe

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    Ай бұрын

    ​@@user-yu9gy6dg3g ww ni mzenji au? Naona yakheee. But nice

  • @user-yu9gy6dg3g

    @user-yu9gy6dg3g

    Ай бұрын

    @@KhalfanMassoud hapana niko bara napenda tu kusema hivo

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    Ай бұрын

    @@user-yu9gy6dg3g ahaa basi mzuri hio.

  • @wazirihamisi6484

    @wazirihamisi6484

    Ай бұрын

    Kweli

  • @k.kchakua1376
    @k.kchakua1376Ай бұрын

    Jazaqallahu khaira Sheikh Allah akuongezee Umri Aamin

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8oАй бұрын

    Allah bariki❤ message sent

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    Ай бұрын

    Truly have been clarity,,,,,, May Allah guide all inventors to straight way? Ameen

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550Ай бұрын

    Masufi bhana ni tatizo kubwa sana aisee pambana sheikh wangu Muhammad bachu

  • @ramygichero1016

    @ramygichero1016

    Ай бұрын

    Hamna kitu huyo ubwa

  • @Nuru_ya_sunnah.official

    @Nuru_ya_sunnah.official

    Ай бұрын

    ​@@ramygichero1016😂😂😂Lkn c umeelewa? au bado utaenda maulidi?? yan kama utaenda basi wewe ni KONKI SUFI

  • @mohagurey2214

    @mohagurey2214

    Ай бұрын

    Endelea na sherehe zako utakipata mbele ya Allah ​@@ramygichero1016

  • @KassimMuslih
    @KassimMuslih10 күн бұрын

    Akhy kunywa maji ntalipia.. جزاك الله خيرا

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214Ай бұрын

    May Allah guide them before it is too late

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    Ай бұрын

    Ameen, before hereafter day

  • @user-wk5ju8kd3u
    @user-wk5ju8kd3uАй бұрын

    Maneno safi sana endelea kutuilimisha

  • @ameirameir4349
    @ameirameir4349Ай бұрын

    Bibi Aisha mke wa Mtume aliishi muda mrefu baada ya mtume kufariki lakini hakuwahi kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume je alikuwa hampendi Mtume je alikuwa hajui kuwa kuna ibada ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume ? Hapana bali Bibi Aisha alitambua kuwa hakuna ibada ktk uislamu inayoitwa maulidi ya Mtume.

  • @hassanadam6272
    @hassanadam6272Ай бұрын

    اللهم بارك

  • @muhamadyabubakary6750
    @muhamadyabubakary6750Ай бұрын

    mashaaah jazaka lahu khayra

  • @fakijecha
    @fakijechaАй бұрын

    Mm sina ninacho kupinga ila uwislamu tunapowelekeza tunaufaya km timu za mpira ni hatari sana na ndo mana kila kukicha tunapigwa vita na wala hatusemi lolte tunatukanana wenye kwa weye tusipo amka tukawa sisi tunajitoa kwa ajil ya din kwenda sehemu tofaut kuisambaza dini basi tujue tutabeba zima kubwa km huwuwelewan walimu wetu tafuteni njia ya kuitana muwekane sw mana siai tunawapenda kwa ajil ya allah na sijengine

  • @iddimutua420
    @iddimutua420Ай бұрын

    Watu wa matwalaga ni vipofu na viziwi hawaoni haki wala hawaisikii pia,usichoke sheikh wetu malipo yako yapo kwa Allah.

  • @KhamisHaroub-uj5ci
    @KhamisHaroub-uj5ciАй бұрын

    Shukran Simba wa Allah ❤️❤️❤️

  • @ShabanHassan-td3lx

    @ShabanHassan-td3lx

    Ай бұрын

    Hahahahahh! Simba wa Allah wko msituni uko, hawpo kwny udahyya, huyu muhammad bachu.

  • @ShabanHassan-td3lx

    @ShabanHassan-td3lx

    Ай бұрын

    Akhiy khamis huo ni utani tu nimeipenda comment yko sn.

  • @isaack100
    @isaack100Ай бұрын

    SubhanaAllah yaani unamanisha qiyas itangulie Qur'an Sunna na Ijmaa?

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065Ай бұрын

    Muhammad bachu wewe ni mwanazuoni na hao wengine ni wapotoshaji

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243Ай бұрын

    وَعَلَيْكُمُ السَّلَامْ وَرَحْمَةُ اللهِ وَبَرَكاتُهُ‎🤝

  • @BushDoctor-dw8el
    @BushDoctor-dw8elАй бұрын

    Langu ni nasiha kwenu: Sura Ar Rum: 28-37 Lakini nitagusia tu aya 32 من الذين فرقوا دينهم وكانوا شيعا كل حزب بما لديهم فرحون. Jama rudini kwa Qur'an badala ya vitabu vyenu أفلم يدبروا القول أم جأهم ما لم يأت أبأهم الاولين

  • @stanleykipingu228
    @stanleykipingu228Ай бұрын

    Mashaallah nakuelewa vyema

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182Ай бұрын

    Mziwanda nampenda kitu kimoja huwa akipata dalili sawa sawa harudishii kwa kibri sijamuona na hilo na sidhan kama inafikia matamanio namuomba Allah amuongoze nasi atuongoze maana ni mujtahid japo yupo na watu wengine sio.

  • @ashrafkhamis6746
    @ashrafkhamis6746Ай бұрын

    Yaani vitu vya msingi, vya kutuweka pamoja mmesahau. Mmesahau hata wachamungu wa zamani kuna itirafuu hazikuwafanya wavunjiane heshima.

  • @Khamismwtn
    @KhamismwtnАй бұрын

    Mashallah mwalimu wang

  • @swalehabdulrahman4118
    @swalehabdulrahman4118Ай бұрын

    Bacho hujamuelewa Shekh Muharram Allah amhifadh,lakini kingine umezungumzia vitu vingi kaa mahala mamoja

  • @user-ye3fy9kk6r

    @user-ye3fy9kk6r

    Ай бұрын

    Huyo mwalimu lkn spite kwenye kila engo ili ahakikishe umepata uelewa,lkn anzie deep,ww tu ndo unashida,tumia akili

  • @MwanaishaAuma-th4ed
    @MwanaishaAuma-th4edАй бұрын

    Alhamdulilah

  • @ramadhankilango9088
    @ramadhankilango9088Ай бұрын

    Kama Kuna aya inayokataza kutaja na kumsifu mungu na mtume Muhammad s.a.w ndiyo bidaa inaingia vinginevyo ukisema hasara ya ghalama za sadaka utaeleweka

  • @binismail8527

    @binismail8527

    Ай бұрын

    Namna yakutukuza na kumsifu imebainishwa Sasa ww mwenye mapito haya ya mkusanyiko na ubwabwa mmeitoa wapi???????????

  • @ExcitedCave-cx9rx
    @ExcitedCave-cx9rxАй бұрын

    MAULIDI NI IBADA KUBWA MNO KUSWALIA MTUME ,VITABU VYOTE UNAVYO TUMIA VYA WAPINGA MTUME ,VIBARAKA NYNY WA MYAHUDI

  • @user-kh2hn8in1s
    @user-kh2hn8in1sАй бұрын

    حياكم اللّٰه يابني

  • @KhalfanMassoud

    @KhalfanMassoud

    Ай бұрын

    آمين، بارك الله في شيخنا محمد الباشو وفيك وفي جميع المسلمين

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182Ай бұрын

    Sheih Mzwanda Allah amuongize na atuongoze na sisi na sioni kuna haja ya kumlaumu maana makosa ni waalimu alosoma kwao kuna ike misingi ya elimu ila anapenda kheri baki mazingira na elimu ya mwanzo alikopatia. Allah atunusuru na atuongoze maana ni hatari sana maneno haya na dini sio akili ya mtu kabisa akili inafuata sana matamanio (Unahokipenda ndicho akili itakupeleka) na akili zatofautiana na akili ya binaadam ni kitu dhaif sana

  • @AmanYusufu
    @AmanYusufuАй бұрын

    Bada hajajuw vigawanywo vya ibada bachu anay kuxukuma tunazid kufahamuudhaifu wako ustadh kusoma xi kilimo cha miyez3 alaf xoma kama kulivo andikwa hauna amana ya elimu xom vizuri

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5lАй бұрын

    INA MAANA NYIE MASUFI AU MATWARIQA MNA AKILI NYINGI KUMZIDI MTUME MUHAMMAD S.A.W NA MASWAHABA ZAKE??

  • @kombomakame9541
    @kombomakame9541Ай бұрын

    Bachu huna Kazi ya kufanya. Toa andiko ktk Quran au hadithi inayoonesha kwamba mtu akisoma maulid anaenda Motoni. Kusoma Maulid ni kitu kisichoepukika Kwa Waumini wa kweli. Tumswalieni Mtume Muhammad! "Allah hummaswali wasalim wabaarika alyh."

  • @canoksancomprehensivelearn7182

    @canoksancomprehensivelearn7182

    Ай бұрын

    Nawe toa katka hadithi au aya kuwa bangi ukivuta unaenda motoni. Wacheni ushabiki dini haiendi kama unavyotaka wewe na vitu vipo wazi Aya yasema "Nani alodhalimu kamaamsingiziaye Allah uongo ..." Na kusemamaulid ni ibada ni kumsingizia Allah aliposema kuwa dini haijakamilika na Alllah asema "Leo nimeikamilisha dini yenu...." maulid ni bidaa uzushi wa kishia na maulid ni bidaa na kila bidaa ni upotevu na kila upotevu ni katka moto

  • @MrRavini
    @MrRaviniАй бұрын

    Tunaomba RADDI kwa watu wanao sikiliza makaswida shekhe

  • @jumamukoko6662
    @jumamukoko66626 күн бұрын

    Nanyiyi ndiyo mko na njaa, mziwanda hana njaa

  • @jumamukoko6662
    @jumamukoko66626 күн бұрын

    Anaye jua nani yuko ni Allah pekee tu

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106Ай бұрын

    ALLAH akuhifadhi sheikh Muhammadi bacho watabainikiwa tu na hakki hata kama wanapindisha ukweli

  • @user-ug8hc4yh5k
    @user-ug8hc4yh5kАй бұрын

    Maulid ni bidah na itaendelea kuwa bidah Lakini usitusikilizishe hivi vinanda wanao piga hawa waimba tarabu Waonyeshe tu hawa waimba tarabu bila sauti

  • @bigemagomabigemagoma6312
    @bigemagomabigemagoma631229 күн бұрын

    Huyo mpiga kinanda na gita ndio walidai amekushinda kwenye ule munakasha! Matwarika hawajielewi

  • @user-do7ui5wi3n
    @user-do7ui5wi3nАй бұрын

    Maulid si ibada ila ni mashairi tu lkn ni mashairi ambayo yanamtaja Mtume (s.a.w) kwa mujibu wa hadithi ya Mtume anapotajwa aswalie hapa ibada ni kumswalia mtume sh. Bachu

  • @RamaNassry
    @RamaNassryАй бұрын

    THAT IS BACHU(HAFIDHWAHULLAH)

  • @abdulkhaliqmuhammed456
    @abdulkhaliqmuhammed456Ай бұрын

    Bachu anajiona hapo ktk hyo video kazungumza kiakili saaana 😂😂😂

  • @AbdallahSalim-tf1ee
    @AbdallahSalim-tf1eeАй бұрын

    Mwanzo Bachu fataha na kasiri umeshajua kuweka pahali kwake mana twakujua ukipewa kitabu hakina mayaka kwako mtihani

  • @wazirihamisi6484

    @wazirihamisi6484

    Ай бұрын

    Fuata dalili acha na makasira na mafataha hayo

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4plАй бұрын

    Hawanashehe wa maulini nimtihani sana katika Uislam wanageuzageuzatu hadithi ilimladikuwaxiba wasijua hatawasizinduke

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382Ай бұрын

    MAMEENDEKEZA MATUMBO NA NJAA TU KWA MAMBO AMBAYO HAYAPO KTK DINI!

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254Ай бұрын

    Watu wa maulidi washakufa wameoza hawawezi badilika coz wanadai n ibada ...bachu endelea ivyo ivyo kaka.

Келесі