MAJIBU KWA MUHAMMAD AL-HATIMIY | SEHEMU YA NNE |Muhammad Bachu
Жүктеу.....
Пікірлер: 546
@fatmamusa4552 Жыл бұрын
Yaa Allah. Allah akuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu, Allah akujaalie umri mrefu wenye kheir tuzidi kupata tanabahi. Afu huyu sheikh mwengine Allah amuongoze yaa Rabb maana daaah
@saeedabunajash6235 Жыл бұрын
Huwezi kumuelewa sheikh Muhammad Bachu Hafidhwahu Allah mpaka upate rehema za Allah. Bila ya hivyo utaona ana bwabwaja, lakini ukweli yuko kwenye fact kwenye maelezo yake. Allah amjaalie elimu zaidi na yenye ucha Mungu
@yussuphsaleh2165 Жыл бұрын
Shekh Muhammad bachu tunakutakia KILA la kheri katika kuweka Sawa pale penye makosa , tunamuomba mungu akuephshie KILA la shari,, Amin
@seinabelimi2296 Жыл бұрын
mashaa Allah yani umemueza kwa kusema malaika wote wakaacha kaz zao majukumu yao wakaacha wakaja kupanga line yani ulistaili kumwambia muongo kaka mola akuhifadhi zaid na zaid tupate ilmu zaid Ammyn🤲🤲
@abuuabuurashid2754 Жыл бұрын
Mashaalah ALLAH akupe uhai na afya njema uzidi kutuelimisha sisi tuofuata tu kila tunayoambiwa na mashekh
@user-ro5wf3xx2h Жыл бұрын
Yarabi nakuomba muhifadhi sheikh wetu Muhamed Bachu. Mengi nimejifunza kutoka kwake.nilikuwa ni mtu wa maulidi baada ya kujua ya kwamba haya hayamo kwenye quran na Suna. walahi nilishtuka kama nimetoka usingizini. Mimi niseme tu sheikh umetuzindua kwa wale ambao hatujui chochote Mungu akulipe kila la heri. Pambania haki usiogope viumbe hawatoku saidia chochote mbele ya Mungu.
@fatmasuleiman2710 Жыл бұрын
Tunapata ilmu ya kutosha Alhamdulillah sheikh Allah amuhifadhi kigogo wetu.
@seifkifundi904
Жыл бұрын
ELIMU GANI MBAYOPATA YA.KUPIGANA RADDI WAISLAMU KILA SIKU NDIO ELIMU MNAYOPATA...MNAUWA NGUVU YA KIISLAMU THEN MNAFURAHIYA
@saadiramadhani4190
Жыл бұрын
Mwana wa bachu yaonyesha bado ni mchanga sana katika ilmu japo wasiojua ambao ni washabiki2 hawana wajualo ndio wamuungao mkono
@saadiramadhani4190
Жыл бұрын
Tuacheni ushabiki katika dini jamaniiiii. Akhera tutamjibu nini ALLAAH???
@BADAWY575 Жыл бұрын
Inasilitisha sana tena hawa ni ma ostadth wenye kidundisha dini na dini inatufundisha kusitiriana ukiona mwezio anafanya makosa mfate umwambie ana kwa ana huo ndio uislamu sasa hawa wanagombana huu sio uislamu .Allah awasamehe na awape ufahamu kwa wanalolifanya na wajielewe wanacho kifanya .
@BADAWY575
Жыл бұрын
Kabisa shekh wangu hizi zama zinatisha .kuna aya katika Qur'an tukufu inasema hakika mashekh wenu ndio watakua ni fitna kubwa.sasa hawa wakifundisha watoto ile hadith kua muislamu hafai kumkosoa mwenzie hazarani ni kusitiriana.unaona hapo kua hawa ni fitna.media ni Dajal mfano huuu ni mkubwa hawa yamepoteza imani kwajili ya viwes pesa yani unawacha dini unataka pesa kama sio Dajal ni nn hizi media.
@abdulazizabdallahsalim8392 Жыл бұрын
Allah akupe hikma na afya na elmu zaidi Sheikh Muhammad bachu,, nakupenda Kwa ajili ya Allah
@salehaljadidi8206
Жыл бұрын
Mungu amlaani huyu Mbulushi koko Bachuu arudi kwao Gawadar Pakistan
@abdulazizabdallahsalim8392
Жыл бұрын
@@salehaljadidi8206 ulaaniwe ww unaetukana mashekhe, hujajua daraja zao na kazi kubwa anayoifanya, ww usiwe kama wale summum bukmun umyun fahum laa yarjiun
@salehaljadidi8206
Жыл бұрын
Kelb naar wewe abidi mmoja wewe, kazi kutukana madhehebu ya watu wengine, nenda ukafirwe mbali huko wewe kenge mmoja
@salehaljadidi8206
Жыл бұрын
@@abdulazizabdallahsalim8392Labda wewe na huyo Bachu wako mnafirana ndio maana unamtetea huyo Mbulushi koko
@abdulazizabdallahsalim8392
Жыл бұрын
Allah akusameh
@omaryomaryally7420 Жыл бұрын
Mashaallah tunajivuniasana kua na watukama nyinyi mungu akupe afya njema na mwisho mwema Muhammad bachu
@omarally6819 Жыл бұрын
Mimi daaiman wa abadan namuomba Mola Mlezi wetu Allaah Azza Wajalla akulinde na akuhifadhi na shari za watu waovu na watu wazushi-watu wa bid'ah. Ila elimu unayo itowa kuelimisha na kurekebisha ufahamu ulio kwenda upande ni Elimu kubwa sana kwakweli, yalaiti watu wange zingatia kisemwacho na wasiangalie aliesema basi Ummah wa Kiislamu unge piga hatua kubwa sana.
@kasimukiduba4484
Жыл бұрын
Mashalaah kweli kbs sheikh wetu
@mohagurey2214 Жыл бұрын
Umekuwa kero kwa wazushi. Mungu akulinde na vitimbi vyao
@abuuamourmuhamed1934
Жыл бұрын
Hahahaaaa uko sahihi
@ibrahimameir8063 Жыл бұрын
Wewe ni SHEIKH miongoni mwa Masheikh Allah akujaalie pepo InshAllah
@cishahayoali1136 Жыл бұрын
Asalam alaykum warahmatullahi Wabarakatuh! Tunashukuru sana sheikh Muhammad nasor bachu kwa kusahihisha mada muhimu sana kwa waislam, twaomba waislamu wote popote pale walipo duniani tuwe makini sana na tuchukuwe tahadhari na maneno yasiyo kuwa na ushahidi kutoka katika qur’an na sunah!
@ayubosman129
Жыл бұрын
kusahihisha kwa mtandaoni hio sio sunna ya mtumme s,a,w
@asraoman735
Жыл бұрын
@@ayubosman129 bora hivi mana hata yy alipoteza wengi mitandaoni
@yussufsaid8223 Жыл бұрын
Shekh Muhammad kaka angu Allah akuhifadh na husda akupe istqama katika dini,
@Haruna-kz1qk
11 ай бұрын
Duh mungu amuongze huyu shekh
@GoodluckPaul-wf9gnАй бұрын
Sheikh endelea kutoa elmu ya haki na Mwenyezi MUNGU atazidi kukujaalia afya,kheri dunian na Akhera. InshaAllah.
@salmaabubakar1686 Жыл бұрын
Assalamu alaykum hongera kwa kuufafanulia ummah haki na Allah azidi kukuhifadhi ila naomba jambo moja shekh mwisho wa ujumbe huu na baadhi nyengine kuna ala za muziki ziondowe .....Allah akuzidishie elimu inashaAllah
@omarally6819 Жыл бұрын
Allaah akupe nguvu na qabuul ktk kusafisha yasiofaa ktk Dini yetu, wewe na Mashaayikh wa Sunnah walio baki
@Hamidhamid-xe8dz Жыл бұрын
MashaAllah umemyoroshs kiilmu,Allah akuhifashi shekh wangu, watu wa maulidi wana tabu kweli
@mwaramimwarami1479 Жыл бұрын
Sheikh Muhammad bachu we noma!!... namuomba M'mungu akujaalie mwisho mwema na elimu itakayotunufaisha,unajua kutengeneza hoja,nipo na ww na maulidi siendi
@yunusali5728
Жыл бұрын
Maa shaa Allah
@Yanga_sc_30 Жыл бұрын
Daaaah we jamaa unaakili kiduchu kweli aysee Allah Akuongoze unahoja nyepesi alaf unazitngia maneno ili ziwe nzito daaaah innalillah
@tushuhassan3809 Жыл бұрын
Allah akupe umri Mohammed bachu uzidi kuwanyosha hii dini ina mipaka wasionge kwa matamanio yao
@omarally6819 Жыл бұрын
Nakuombea maisha marefu na afya njema na muda wa kutosha wa kufanya ba'hthi Shekh Muhammad
@safiakhamis6749
Жыл бұрын
Amin
@abdillahally872
Жыл бұрын
Adabu huna mtoto wa Bachu kama hujamuelewa sheikh Alhatimy huwezi kuelewa tena umepewa ushahidi bado tu huelewi
@abdillahally872
Жыл бұрын
Wewe ndio wahamahama
@imamuhamisi4421 Жыл бұрын
برك الله يا شيخنا، الله يعطيك عمر طويل، اللهم آمين
@saidmohammed2830 Жыл бұрын
Shekh Mohamed nasor bachu mungu azidi kukupa subra
@fahmymasoud1205
Жыл бұрын
Sio kumpa subra...awe na adabu na masheikh wenzake...yy atoe mawaidha km masheikh wenzake sio kuparamia wenzake...nikutaka umaarufu tuu mbona wenzake wala baba yake hakua hivyo...tunawapa faida gani wasiokua waislamu
@saidmohammed2830
Жыл бұрын
@@fahmymasoud1205 ndungu kwani huyo alhatmy alimjibu Tena alimtaja jina ama huoni kwamba huko nikukosa adabu pia
@walidrashid9787 Жыл бұрын
Maashaallah yunamuomba allah akupe umri wenye manfaaa
@jamaldineali3228 Жыл бұрын
Barakallahu fiika sheikh wango mpendwa natamani siku moja niwe mwanafunzi wako, Na usiku wa jana kuamkia leo nimeota wakati umekuja inchi yetu ki daawah alafu ukawa unatusomesha kwenye msikiti flani
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Maashaallah
@yussufali8883 Жыл бұрын
Subhanallahh yaani maiti imeshuka wenyewe hii kweli ilokuaa haijawahi tokea
@mohammedshikanda7706 Жыл бұрын
Assalaam aleikum sheikh Muhammad , wallahi Allah akuhifadhi. Nina uhakika hii haezi jibu...tunafaidika sana na ufafanuzi wako.
@nercyb7619 Жыл бұрын
Mola Akujaze Kheir Na Ilmu Na Akuhifadhi Utuelimishe Zaidi Akhui
@YusufuYusufujuma9 ай бұрын
Sheikh Muhammad bachu Allha akuzishie ilmu Hawajamaa ukweli washaufahamu ilatu kwakutaka kutetea ukubwawao kwa wanao wafata ndo unakutawanatoa maneno ya kebehi jeur nazaraukwako Ila ukweliwoote washaufahamu
@barakahoma2956 Жыл бұрын
Mimi nampenda kwa ajili ya Allah Allah hamsafishie njia ya sawa sawa na hawaongoe walipotea na kuupotosha umma kwa ajili ya maslah ya kidunia Allah ampe Nuru na uwongofu wa sawa sawa na hatufundishe kupita yy Muhammad bachu Yale Allah na mtume Yale ya sawasaw
@johariabdalla3319 Жыл бұрын
Daaah!Ustadh Muhammad Bachu..M Mungu akuhifadhi,tunasoma mengi kupitia wewe,endelea kuwafunuwa watu vichwa.Watu wanaharibu sana diniii
@ibrahimomar1073 Жыл бұрын
Al akhi Muhamad Bachu,Kwanza kabisa Namuomba Allah msamaha juu ya HILI nililolifanya kisha Nakuomba msamaha kuwa nakutaja sana KWA ubaya,na juzi pia niliweka status kukudhalilisha KWA kuandika.
@AW-vt9pw Жыл бұрын
MashaAllah, Sheikh Allah akuzidishie fahamu zaidi na zaidi tufaidike na mengi mengineyo. الحمدالله
@abubakarabdulrahman2869 ай бұрын
ALLAH AKUPE UMRI TWAWIIL WENYE MANFAA HABIIB
@omarally6819 Жыл бұрын
Na kwakweli hao waliopanga mipango ya kuja kukuchafua wata chafuka wao Kwa uwezo wa Allaah, Na tunashangaa Uislamu na Imani za watu hawa, wanajifanya na elimu ya Dini lkn kazi yao ni kupindisha maandiko na kuwafanyia uaduwi Mashekhe wa Haqqi. Hii ni dhahiri kua watu hawako kwa ajili ya Dini, bali kuna mambo yako mbele yao hayo ndio wanayo yaangalia ndiomana wana kua na uaduwi usiopimika. Allaah akulinde na shari zao
@abdallahmgaya7521
Жыл бұрын
Kwa kweli kupitia Media hizi tunapata kuwajuwa Masheikh waongo na uzushi mkubwa katika dini. Allah tujaalie kuona haki haki tupate kuifuata, na tuoneshe baatili baatili tupate kuiepuka(Amin)
@abdulfattaahnassir8266 Жыл бұрын
اللهم ارزقني حسن الخاتمة وبارك الله فيك أخانا محمد باشو
@aminaliabdulle9428
Жыл бұрын
ا
@seinabelimi2296 Жыл бұрын
hakika uko sahihi na ww ndo unatuzindua wengi Allah akulipe ujira mkubwa ndani yke akuweke na kizaz chako Thuma Ammyn🤲🤲
@ibn_maleeqqeibraheem_188 Жыл бұрын
Sheikh muhammad bachu uko juu mpe ilmu uyo khurafi awache mawlidi kwanzo na mabarzanji yao ya shirk
@MahraMansoor5969 Жыл бұрын
Wallshi shekh mie nakufatilia sana na tunakupenda kwa ajili ya Allah huyu kazowea ndio kawaida yake anakupnea wivu na hakuwezi na pia hana adabu kwa ufupi hakuwezi Allah akupe umri mrefu allah humma amin yarabil alamin🤲🤲
@masoudamour Жыл бұрын
MINAIC APO NIKUGHAFILIKA KM NINADAMU WAKAWAID MUSAMEHEANE YU KWAN WAIS LAMA NIWATU WENY KUPENDANA PIA TUNAPO FAHAMISHA TUTU MIE HEKMA KM ALIVO MYUME ILI HATA YULE UNAEMKOSOA ACPATE JAZBA KIKUBWA APO NYOTE MUNAONGEA VZR MASHALLAH ILA TUJITAID KUA NAHEKMA APO NDO INAYO SABABISHA MBUTANO
@salumsimai642 Жыл бұрын
Kweli ikija haqi batili hupotea MashaaAllah
@salimuawadhi8043 Жыл бұрын
Shekh Muhammad mungu akulinde na Shari za kilakitu na akuhifadhi na yote mabaya tumestafid sana na elimu.uliotoa Sisi hatuna Cha kukulipa Ila kukuombea dua Kwa Allah TU baasi huyu shekh Al hatimy mungu amuongoze na Mimi napenda kumkumbusha TU kua HII ni DINI na inafuatiliwa na wengi so achunge maneno ya kuongea ahakikishe kayapokea wapi asione anajilemba kubwa akaona kila atakachosema tutakiamini bila dalili shukran
@jumanjenga7682 Жыл бұрын
Tafadhali mashekhe tumieni lugha nzuri kukosoa au penye tofauti.Hasa wadogo Kwa wakubwa.Maimamu wakubwa walitofautiana na walitumia lugha nzuri.
@msafiridiary Жыл бұрын
Wallahi Bachu nakupenda kwaajili ya Allah mpaka basi, hao waliotumwa kutoka bara na znz ni maboya tuu hawana hoja kwa Qur'an na hadith sasa wanataka kukufanyia fitna tuu, ila wewe andelea kutupa elymu sisi waislam wa kawaida tunusuru
@jumamahmoud9271 Жыл бұрын
Maremba maremba kanasa kalitafuta kusudi.haqi itabaki kua haqi tuu.sheikh muhamed bachu tunaomba darasa ya vitabu iendelee.
@shelalialishelali958 Жыл бұрын
Mashaa Allah jazakaAllah kheir kwaufunuo wako sheikhi
@suleimankindy6465 Жыл бұрын
Mashaa Allah... hii nimependa na inapendeza... Baarakallahu fiyk
@mawaidha386 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikh Muhammad bachu ... Hawa jamaa ni wapungufu wa kumbukumbu hii mijadala ilishapita jamaa wao kaja kuamsha juz.. mlango wameufungua wenyewe lkn kuufunga Sasa ndio kishindo... halafu wengine nao Ati umaarufu dah wamekubwaa na fikra za kijaahili kwaiyo mtu ndio akiwa marufu akikosea ndio asikosolewe na akitokea mtu kumkosoa ndio anatafuta umarufu ?? Subuhana llah alikosolewa firaini na alikua akijulikanwa sana Sasa ww nani mtu wa kawaida tu asikoselewe .... Kisa maarufu mbele ya Allah hakuna mtu maarufu... We pitisha jitihada Allah anaona kwamba umefikisha .. shukran
@saudahassan6667 Жыл бұрын
Mashaallah mashaallah sheikh wetu allah akuongoze
@kaykastro9302 Жыл бұрын
ALLAH AKUHIFADHI , USTADH MUHAMMAD BACHU ..... AMEEN
Mtu akisema maneno ya haki ashapewa majina na aenda sijui wapi, thats racial bruh ..... wacha watu wapime maneno ya sehemu zote na wafuate haki iko wapi. Kila mukiponda mtu, watu wanazaidi kumskiza anapondewa nn ! Hakki will always prevail.
@salehaljadidi8206
Жыл бұрын
Bachu arudi kwao Gawadar au Mekran akawasaidie ndugu zake wanakufa na njaa. Kang'ang'ania Zanzibar kama kwao. Babu zake waliletwa na Sultan wa Oman kama askari, Sasa Sultan hayupo tena nini anachongojea asirudi kwao Baluchistan
@mgobondalo6104 Жыл бұрын
Maashaallah! Allah amrehemu sheikh Nassoro Bacho hakika ameacha alama nzuri ya kuigwa katika dini. Wenye elimu wanajua madhara na hatari ya kuongeza kitu chochote katika dini hata kama utakiona ni kidogo sana mithiri ya mdudu chungu. Allah amlipe kila muislamu kwenye kuuhami uislamu kwa mujibu wa Qur'anj na Sunnah na pia Allah amlipe malipo makubwa zaidi kila muislamu mwenye uchungu wa dhati na dini ya Allah anakubali kurekebishwa pale anapoteleza ili umma wa kiislamu unufaike. Sheikh Muhammad Bacho Allah akuzidishie ufahamu zaidi katika dini.
@abiabi9353
Жыл бұрын
Sheikh wako hajajibu kitu.tatizo la mawahabi hawajui kutumia nyenzo za lugha.ndiyo maana wameingia kwenye mtego wa mujasima. Hapo sheikh Hatimi alichokusudia siyo malaika wote kwa maana ya wote.hapo alichokusudia ni malaika wengi.sasa msomi gani anatoa misuli yote kwa kitu kidogo hicho
@fauznuhu9981 Жыл бұрын
Kwakeli na kubali ufahamu wa hiyu muhamadi bachi ina kili abaso hazina fahamu
@baalawibaalawi5702 Жыл бұрын
Assalamualaikum, kwako shk, Muhammad bach,Alhamdulillah unajitahidi k.t.k. d'aawa tunamumba Allah akulipe ujidra mkubwa, Yaa shk, Kitukidooogo tu jitahidi uwe nacho nacho ni hekma katika kutangaza elimu, Usiwaite baadhi ya mashk waongo tena kwa dharau, itapelekea upinza nani, chuki, na uwadi baina yetu.
@officialsalim3955 Жыл бұрын
Mashallah mashallah....
@YuzzoJamal-qd3dd Жыл бұрын
Je mtume S.A.W alifanya ivi dini mnaifanya km tarabuuu sio sawa hakuna mwenye kujuwa zaidi ya Mungu
@mubarakhemed2414 Жыл бұрын
Sh. Muhammad bachu Allah akuzidishie elimu ya hakki na kupe subra na hekma na nguvu na wepesi insha'Allah ili uweze kutuelimisha sisi na hao wanaotaka kukufedhehi kwa chuki zao lakini kwa idhni ya Allah watanyooka tuu, ipo siku wataielewa haki na kwa uwezo wa Allah wataifuata, na sisi tunamumba Allah atudumishe kakika haki, tuko pamoja insha'Allah
@suleiman5257 Жыл бұрын
Hapo umemshika vizuri sana Hatmy akubali tu amekosea Wala asiendelee ataiabisha
@mkude Жыл бұрын
MAASHA ALLAH, ALLAH A KULIPE KILA LA KHEIR UPO SAHIHI AKHUY,ALLAH AKULINDE NA AKUPE UMRI MREFU.
@nercyb7619 Жыл бұрын
Haitokei Wala Haitotokea Kwa Akhi Al-Hatimi Kueka Mjadala Wa Ana Kwa Ana Sababu Hana Hoja Za Kimsingi Na Hilo Analijua Yeye Hatimi
@mawaidha386 Жыл бұрын
Yani wakitokea watano tu halafu wakiwa na msimamo Kam wa Muhammad bachu .... Bidaa na uongo umekwisha
@khamisjuma7616 Жыл бұрын
Usitumie neno muongo sheikh wangu wala usitumie nguvu kubwa sisi tunakuelewa
@abdulmwakubambanya9091 Жыл бұрын
Barakh Allah Khair
@hajikomora703 Жыл бұрын
بارك الله فيك لبيان الحق
@ikraamathman1107 Жыл бұрын
Mashaallah shekh Muhammed bacho
@mootelahamongus633 Жыл бұрын
Jazaaka Allaahu khyra
@isackwsmithwsmith9027 Жыл бұрын
MaashaAllah sheikh bachu
@faudhiasaidi3669 Жыл бұрын
Maa shaa Allah tunapata elimu apa ❤❤❤
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Maashaallah tabarakallah
@muhamadsuleiman1719 Жыл бұрын
Pole sn shekh Muhammad banchu kwa elimu yk ndogo jitahidi sana kuelewa na kusoma maana ww kwel haupo sawa samahan lkn hapa ndonimejua kuwa elim yk ndog hilo swali lako ni laki toto
@omaryissa2562
Жыл бұрын
We unaelimu ya kuongea na Mohammad bach au wataka kiki
@mohdslim8278 Жыл бұрын
Je Elimu yako imekamilika . Kuwa na Hekima na maneno mazuri sio kuzalilishana . Huu sio uislamu unadhalilisha Uislamu. Allah akusaidie.
@jumamuhammed7421 Жыл бұрын
Nyote ni mashekhe wazur nawapenda kwa ajilo ya Allah, ila nahisi mungetafuta njia nzuri na sahih yakurekebishana ktk njia sahihi sio malumbano mitandaoni.
@abuusalim158 Жыл бұрын
A.akm. Mashekhe wanapoteza nguvu katika ubishi usiokuwa Na faida. Umma unapotea ,ushoga umekithiri,waislamu wanaritadi vijijini. Wao wanahubiri madhehebu Yao. Hawa niwakutiwa bakora wote.
@naahla19 Жыл бұрын
Maasha Allah. M/Mungu akuhifadhi akuzidishie hikma umri mrefu na ilmu Ummah tuzidi kufaidika. Usisite kuisema haki Allah ndie mlinzi atakulinda.
@yunusjulhum6066 Жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu ili uazindue umma wetu wa kiisalamu
@seremaboubakar8981 Жыл бұрын
Naam Uko vizuri sana
@issahabdallah9018 Жыл бұрын
Wajua shekh bachu mpaka Leo naiona hii clip na nacheka pekeangu lakini sijui nacheka nini,
@kibakombe1020 Жыл бұрын
Kuzungumza kwa ukali sio kwamba una elimu sana, kwanza jifunze adabu za kujadiliana na wengine hasa wenye elimu, nakushauri ukasome tena lakini mara hii usiende madina kule madina wanafundisha taasubi kwa madhehebu mengine kama ulivyo wewe MUHAMMAD BACHUUUUU. KWAJIFUNZE TENAA
@ibn_maleeqqeibraheem_188 Жыл бұрын
Muhammad bachu uko juu...hakuezi huyo khurafi🤣🤣🤣🤣
@fatmamuhamad3762 Жыл бұрын
Asalamu aleikum allah Yuko na wewe in Sha allah tuko pamoja allah Akbar haya makumbwa sasa
@seifkifundi904 Жыл бұрын
HUZUNI KWA WAISLAMU WANAPIGANA MADONGO KAMA.WAIMBAJI TAARAB
@saidmadizi9152
Жыл бұрын
Watu wanachukua ilimu we unaskia malumbano badala uchukue uache kupotoshwa
@user-pq7bf7sz2h Жыл бұрын
Na hata kama ni wote,,Kwa mungu sio kazi kubwa kujaalia hivo,,ama lashindikana Kwa mungu?bachu huna hoja Wallahi..hata usiendelee kujiaibisha
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Allaah akulide kwauwezo wake. Hawa mashehe wa Madufu na wakuomba watuwa makaburini ni. Mtihani sana Allah atujaaliemwishomwema🤲
@abiabi9353
Жыл бұрын
Hapi sheikh wako hajajibu kitu .nikwamba mawahabi hawaeliwi kutumia nyenzo za kilugha.ndiyo maana wameingia kwenye mtego wa mujasima. Yani kumpa mungu viungo.ambao ni ukafiri
Na yule mwengine pia umemwambia coz nae amemuuliza uko sawa kweli??
@maharusimedia8310 Жыл бұрын
Haifai mashekhe kulumbana hadharani na kuitana waongo na kusutana Mtasababisha uislam uonekane hauna mana. 😭 Ni bora mkakutana kwa wema mkafahamishana yakaisha kwa salama.
@khalmudodoma6271
Жыл бұрын
Hawalumbani bali watupe eliminate ya kweli sio kuifanya dini kuwa ngumu aliyakuwa wanaongea kwa kubahatisha na kusoma hadithi wasijuwe maana
@msarama5406
Жыл бұрын
Wakilutana wao sisi wa mbali tutapataje ilmu hizi
@abdallahmgaya7521
Жыл бұрын
Humu katika Media za kijamii tunapata kujuwa Haki na Batwili. Maana Mungu amesema Haki IPO wazi na Batwili IPO wazi
@msarama5406
Жыл бұрын
@@abdallahmgaya7521 hakika ni kujitahidi kutumia kwa faida mitandao hii miongoni mwa faida ni kama hizi elimu
@msarama5406
Жыл бұрын
@@abdallahmgaya7521 hakika ni kujitahidi kutumia kwa faida mitandao hii miongoni mwa faida ni kama hizi elimu
@abuibra Жыл бұрын
Sheikh MUHAMMAD Sawa kabisa Usemayo, ALLAH Akuhifadhi tafadhali sana usirudi nyuma kuwakosoa maana wamezidi Dini yetu imekamilika haihitaji kuzidisha wala kupunguza,wengi wanajitia kuhubiri dini lakini elimu zao ndogo sana alafu wakikosolewa wanachukia.hadithi nyingi zilikua zinatolewa na bibi zetu kabla ya kulala usiku nawatu wamezichukulia kweli.
@abdullahihirbo1677
Жыл бұрын
Hakuna haja ya kubishana kwa media kama kweli wanapendana kwa ajili ya Allah wangetafutana wakae mahali waonyeshane ndio watupe habari ya ukweli...
@abuibra
Жыл бұрын
@@abdullahihirbo1677 hiyo ni kwako wewe kutaka kujua ukweli lakini mimi nafahamu ukweli na ukweli wenyewe ndio anao usema Shaikh Mohammad Bachu.
@user-cr7wq1ko9h Жыл бұрын
Allah akubariki sheikh wangu nakupenda Kwa ajili ya Allah
@sidrasidra8616 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi akulinde na shari zao
@fahmymasoud1205 Жыл бұрын
Toa mawaidha watu wapate faida sio kujifanya kumradi sheikh mwenzako ili uonekane ww unajua sana zaidi ya wenzako
@chelseafcinafrica4313 Жыл бұрын
Sheikh wangu wallahi ninashida namawasiliano
@abdulrahmanmussa4479 Жыл бұрын
Mashaallah sheikh langu umefanya mtu aonge kimombo sio mchezo swadakta
@hakizimanaomar8055 Жыл бұрын
Allah atuhifadh hamwezi kukosoana kihishima Bira kuaibiana nakubomowana
@mawaidha386 Жыл бұрын
Watu wamechotwa katika usingizi mzito Sasa mtu achafue akitokea mwnginne wa kueka sawa eti anaambiwa anatafuta umarufu kwaiyo subuhana llah imebakia watu wamwabie Mtume alikua anatafuta umarufu mana aliwakosoa majaahili wakubwa tena walikua maarufu kuliko hata huyu Al hatimy ... Na watu tuchunge kauli zetu tusije kuingia katika madhambi ... Shukran
@hilalalhabsi2047 Жыл бұрын
WEWE BACHU ULISEMA HAKUNA ANOJUA GHAIBU ILA ALLAH SW, LEO UNASEMA KUWA MTUME SAW AMEFUNGULIWA GHAIBU. UWAHABIA NI KAZI. KILA SAA FATWA ZINABADILIKA. UTAFAHAMU TU KAMA MPAKA MAWALII PIA WAMEFUNGULIWA GHAIBU
@hilalalhabsi2047
Жыл бұрын
NASHKURU PIA BACHU KUWAMINI KUWA MALAIKA WANAOKOA MTOTO MELI IKIZAMA. KUWA KUNA UOKOVU MWENGINE ALLAH SW KAWAPA WAJA WAKE WAWEZE . UNAJITAHIDI UTAELEWA TU INSHAALLAH KIDOGO DOGO. NAONA UMEKUWA UNAFAHAMU KIDOGO SKUIZI UNATIA MOYO
@mbaroukbakar572 Жыл бұрын
Masha Allah
@khelefomary4486 Жыл бұрын
We we huna hekma futa jina LA Bachu. Huwezi ukatumia muongo mkubwa sio neno zuri ulo tumia. Au alikuchukulia mkeo. Ndo ukawa na hasira hizo. Itakuwa we we huna adabu ya elimu.
@alindaro7978 Жыл бұрын
Hivi vita vyenu mwatuletea fitna katika uislamu. Kila mtu nabaki na kujua kwake mana mwawapa nguvu wasokuwa waisilamu . Huo ufahari wenu hauleti shangwe bora mkafuatana Ana kwa Ana kuliko kuanikana kwa mitandao.
Пікірлер: 546
Yaa Allah. Allah akuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu, Allah akujaalie umri mrefu wenye kheir tuzidi kupata tanabahi. Afu huyu sheikh mwengine Allah amuongoze yaa Rabb maana daaah
Huwezi kumuelewa sheikh Muhammad Bachu Hafidhwahu Allah mpaka upate rehema za Allah. Bila ya hivyo utaona ana bwabwaja, lakini ukweli yuko kwenye fact kwenye maelezo yake. Allah amjaalie elimu zaidi na yenye ucha Mungu
Shekh Muhammad bachu tunakutakia KILA la kheri katika kuweka Sawa pale penye makosa , tunamuomba mungu akuephshie KILA la shari,, Amin
mashaa Allah yani umemueza kwa kusema malaika wote wakaacha kaz zao majukumu yao wakaacha wakaja kupanga line yani ulistaili kumwambia muongo kaka mola akuhifadhi zaid na zaid tupate ilmu zaid Ammyn🤲🤲
Mashaalah ALLAH akupe uhai na afya njema uzidi kutuelimisha sisi tuofuata tu kila tunayoambiwa na mashekh
Yarabi nakuomba muhifadhi sheikh wetu Muhamed Bachu. Mengi nimejifunza kutoka kwake.nilikuwa ni mtu wa maulidi baada ya kujua ya kwamba haya hayamo kwenye quran na Suna. walahi nilishtuka kama nimetoka usingizini. Mimi niseme tu sheikh umetuzindua kwa wale ambao hatujui chochote Mungu akulipe kila la heri. Pambania haki usiogope viumbe hawatoku saidia chochote mbele ya Mungu.
Tunapata ilmu ya kutosha Alhamdulillah sheikh Allah amuhifadhi kigogo wetu.
@seifkifundi904
Жыл бұрын
ELIMU GANI MBAYOPATA YA.KUPIGANA RADDI WAISLAMU KILA SIKU NDIO ELIMU MNAYOPATA...MNAUWA NGUVU YA KIISLAMU THEN MNAFURAHIYA
@saadiramadhani4190
Жыл бұрын
Mwana wa bachu yaonyesha bado ni mchanga sana katika ilmu japo wasiojua ambao ni washabiki2 hawana wajualo ndio wamuungao mkono
@saadiramadhani4190
Жыл бұрын
Tuacheni ushabiki katika dini jamaniiiii. Akhera tutamjibu nini ALLAAH???
Inasilitisha sana tena hawa ni ma ostadth wenye kidundisha dini na dini inatufundisha kusitiriana ukiona mwezio anafanya makosa mfate umwambie ana kwa ana huo ndio uislamu sasa hawa wanagombana huu sio uislamu .Allah awasamehe na awape ufahamu kwa wanalolifanya na wajielewe wanacho kifanya .
@BADAWY575
Жыл бұрын
Kabisa shekh wangu hizi zama zinatisha .kuna aya katika Qur'an tukufu inasema hakika mashekh wenu ndio watakua ni fitna kubwa.sasa hawa wakifundisha watoto ile hadith kua muislamu hafai kumkosoa mwenzie hazarani ni kusitiriana.unaona hapo kua hawa ni fitna.media ni Dajal mfano huuu ni mkubwa hawa yamepoteza imani kwajili ya viwes pesa yani unawacha dini unataka pesa kama sio Dajal ni nn hizi media.
Allah akupe hikma na afya na elmu zaidi Sheikh Muhammad bachu,, nakupenda Kwa ajili ya Allah
@salehaljadidi8206
Жыл бұрын
Mungu amlaani huyu Mbulushi koko Bachuu arudi kwao Gawadar Pakistan
@abdulazizabdallahsalim8392
Жыл бұрын
@@salehaljadidi8206 ulaaniwe ww unaetukana mashekhe, hujajua daraja zao na kazi kubwa anayoifanya, ww usiwe kama wale summum bukmun umyun fahum laa yarjiun
@salehaljadidi8206
Жыл бұрын
Kelb naar wewe abidi mmoja wewe, kazi kutukana madhehebu ya watu wengine, nenda ukafirwe mbali huko wewe kenge mmoja
@salehaljadidi8206
Жыл бұрын
@@abdulazizabdallahsalim8392Labda wewe na huyo Bachu wako mnafirana ndio maana unamtetea huyo Mbulushi koko
@abdulazizabdallahsalim8392
Жыл бұрын
Allah akusameh
Mashaallah tunajivuniasana kua na watukama nyinyi mungu akupe afya njema na mwisho mwema Muhammad bachu
Mimi daaiman wa abadan namuomba Mola Mlezi wetu Allaah Azza Wajalla akulinde na akuhifadhi na shari za watu waovu na watu wazushi-watu wa bid'ah. Ila elimu unayo itowa kuelimisha na kurekebisha ufahamu ulio kwenda upande ni Elimu kubwa sana kwakweli, yalaiti watu wange zingatia kisemwacho na wasiangalie aliesema basi Ummah wa Kiislamu unge piga hatua kubwa sana.
@kasimukiduba4484
Жыл бұрын
Mashalaah kweli kbs sheikh wetu
Umekuwa kero kwa wazushi. Mungu akulinde na vitimbi vyao
@abuuamourmuhamed1934
Жыл бұрын
Hahahaaaa uko sahihi
Wewe ni SHEIKH miongoni mwa Masheikh Allah akujaalie pepo InshAllah
Asalam alaykum warahmatullahi Wabarakatuh! Tunashukuru sana sheikh Muhammad nasor bachu kwa kusahihisha mada muhimu sana kwa waislam, twaomba waislamu wote popote pale walipo duniani tuwe makini sana na tuchukuwe tahadhari na maneno yasiyo kuwa na ushahidi kutoka katika qur’an na sunah!
@ayubosman129
Жыл бұрын
kusahihisha kwa mtandaoni hio sio sunna ya mtumme s,a,w
@asraoman735
Жыл бұрын
@@ayubosman129 bora hivi mana hata yy alipoteza wengi mitandaoni
Shekh Muhammad kaka angu Allah akuhifadh na husda akupe istqama katika dini,
@Haruna-kz1qk
11 ай бұрын
Duh mungu amuongze huyu shekh
Sheikh endelea kutoa elmu ya haki na Mwenyezi MUNGU atazidi kukujaalia afya,kheri dunian na Akhera. InshaAllah.
Assalamu alaykum hongera kwa kuufafanulia ummah haki na Allah azidi kukuhifadhi ila naomba jambo moja shekh mwisho wa ujumbe huu na baadhi nyengine kuna ala za muziki ziondowe .....Allah akuzidishie elimu inashaAllah
Allaah akupe nguvu na qabuul ktk kusafisha yasiofaa ktk Dini yetu, wewe na Mashaayikh wa Sunnah walio baki
MashaAllah umemyoroshs kiilmu,Allah akuhifashi shekh wangu, watu wa maulidi wana tabu kweli
Sheikh Muhammad bachu we noma!!... namuomba M'mungu akujaalie mwisho mwema na elimu itakayotunufaisha,unajua kutengeneza hoja,nipo na ww na maulidi siendi
@yunusali5728
Жыл бұрын
Maa shaa Allah
Daaaah we jamaa unaakili kiduchu kweli aysee Allah Akuongoze unahoja nyepesi alaf unazitngia maneno ili ziwe nzito daaaah innalillah
Allah akupe umri Mohammed bachu uzidi kuwanyosha hii dini ina mipaka wasionge kwa matamanio yao
Nakuombea maisha marefu na afya njema na muda wa kutosha wa kufanya ba'hthi Shekh Muhammad
@safiakhamis6749
Жыл бұрын
Amin
@abdillahally872
Жыл бұрын
Adabu huna mtoto wa Bachu kama hujamuelewa sheikh Alhatimy huwezi kuelewa tena umepewa ushahidi bado tu huelewi
@abdillahally872
Жыл бұрын
Wewe ndio wahamahama
برك الله يا شيخنا، الله يعطيك عمر طويل، اللهم آمين
Shekh Mohamed nasor bachu mungu azidi kukupa subra
@fahmymasoud1205
Жыл бұрын
Sio kumpa subra...awe na adabu na masheikh wenzake...yy atoe mawaidha km masheikh wenzake sio kuparamia wenzake...nikutaka umaarufu tuu mbona wenzake wala baba yake hakua hivyo...tunawapa faida gani wasiokua waislamu
@saidmohammed2830
Жыл бұрын
@@fahmymasoud1205 ndungu kwani huyo alhatmy alimjibu Tena alimtaja jina ama huoni kwamba huko nikukosa adabu pia
Maashaallah yunamuomba allah akupe umri wenye manfaaa
Barakallahu fiika sheikh wango mpendwa natamani siku moja niwe mwanafunzi wako, Na usiku wa jana kuamkia leo nimeota wakati umekuja inchi yetu ki daawah alafu ukawa unatusomesha kwenye msikiti flani
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Maashaallah
Subhanallahh yaani maiti imeshuka wenyewe hii kweli ilokuaa haijawahi tokea
Assalaam aleikum sheikh Muhammad , wallahi Allah akuhifadhi. Nina uhakika hii haezi jibu...tunafaidika sana na ufafanuzi wako.
Mola Akujaze Kheir Na Ilmu Na Akuhifadhi Utuelimishe Zaidi Akhui
Sheikh Muhammad bachu Allha akuzishie ilmu Hawajamaa ukweli washaufahamu ilatu kwakutaka kutetea ukubwawao kwa wanao wafata ndo unakutawanatoa maneno ya kebehi jeur nazaraukwako Ila ukweliwoote washaufahamu
Mimi nampenda kwa ajili ya Allah Allah hamsafishie njia ya sawa sawa na hawaongoe walipotea na kuupotosha umma kwa ajili ya maslah ya kidunia Allah ampe Nuru na uwongofu wa sawa sawa na hatufundishe kupita yy Muhammad bachu Yale Allah na mtume Yale ya sawasaw
Daaah!Ustadh Muhammad Bachu..M Mungu akuhifadhi,tunasoma mengi kupitia wewe,endelea kuwafunuwa watu vichwa.Watu wanaharibu sana diniii
Al akhi Muhamad Bachu,Kwanza kabisa Namuomba Allah msamaha juu ya HILI nililolifanya kisha Nakuomba msamaha kuwa nakutaja sana KWA ubaya,na juzi pia niliweka status kukudhalilisha KWA kuandika.
MashaAllah, Sheikh Allah akuzidishie fahamu zaidi na zaidi tufaidike na mengi mengineyo. الحمدالله
ALLAH AKUPE UMRI TWAWIIL WENYE MANFAA HABIIB
Na kwakweli hao waliopanga mipango ya kuja kukuchafua wata chafuka wao Kwa uwezo wa Allaah, Na tunashangaa Uislamu na Imani za watu hawa, wanajifanya na elimu ya Dini lkn kazi yao ni kupindisha maandiko na kuwafanyia uaduwi Mashekhe wa Haqqi. Hii ni dhahiri kua watu hawako kwa ajili ya Dini, bali kuna mambo yako mbele yao hayo ndio wanayo yaangalia ndiomana wana kua na uaduwi usiopimika. Allaah akulinde na shari zao
@abdallahmgaya7521
Жыл бұрын
Kwa kweli kupitia Media hizi tunapata kuwajuwa Masheikh waongo na uzushi mkubwa katika dini. Allah tujaalie kuona haki haki tupate kuifuata, na tuoneshe baatili baatili tupate kuiepuka(Amin)
اللهم ارزقني حسن الخاتمة وبارك الله فيك أخانا محمد باشو
@aminaliabdulle9428
Жыл бұрын
ا
hakika uko sahihi na ww ndo unatuzindua wengi Allah akulipe ujira mkubwa ndani yke akuweke na kizaz chako Thuma Ammyn🤲🤲
Sheikh muhammad bachu uko juu mpe ilmu uyo khurafi awache mawlidi kwanzo na mabarzanji yao ya shirk
Wallshi shekh mie nakufatilia sana na tunakupenda kwa ajili ya Allah huyu kazowea ndio kawaida yake anakupnea wivu na hakuwezi na pia hana adabu kwa ufupi hakuwezi Allah akupe umri mrefu allah humma amin yarabil alamin🤲🤲
MINAIC APO NIKUGHAFILIKA KM NINADAMU WAKAWAID MUSAMEHEANE YU KWAN WAIS LAMA NIWATU WENY KUPENDANA PIA TUNAPO FAHAMISHA TUTU MIE HEKMA KM ALIVO MYUME ILI HATA YULE UNAEMKOSOA ACPATE JAZBA KIKUBWA APO NYOTE MUNAONGEA VZR MASHALLAH ILA TUJITAID KUA NAHEKMA APO NDO INAYO SABABISHA MBUTANO
Kweli ikija haqi batili hupotea MashaaAllah
Shekh Muhammad mungu akulinde na Shari za kilakitu na akuhifadhi na yote mabaya tumestafid sana na elimu.uliotoa Sisi hatuna Cha kukulipa Ila kukuombea dua Kwa Allah TU baasi huyu shekh Al hatimy mungu amuongoze na Mimi napenda kumkumbusha TU kua HII ni DINI na inafuatiliwa na wengi so achunge maneno ya kuongea ahakikishe kayapokea wapi asione anajilemba kubwa akaona kila atakachosema tutakiamini bila dalili shukran
Tafadhali mashekhe tumieni lugha nzuri kukosoa au penye tofauti.Hasa wadogo Kwa wakubwa.Maimamu wakubwa walitofautiana na walitumia lugha nzuri.
Wallahi Bachu nakupenda kwaajili ya Allah mpaka basi, hao waliotumwa kutoka bara na znz ni maboya tuu hawana hoja kwa Qur'an na hadith sasa wanataka kukufanyia fitna tuu, ila wewe andelea kutupa elymu sisi waislam wa kawaida tunusuru
Maremba maremba kanasa kalitafuta kusudi.haqi itabaki kua haqi tuu.sheikh muhamed bachu tunaomba darasa ya vitabu iendelee.
Mashaa Allah jazakaAllah kheir kwaufunuo wako sheikhi
Mashaa Allah... hii nimependa na inapendeza... Baarakallahu fiyk
Allah akuhifadhi sheikh Muhammad bachu ... Hawa jamaa ni wapungufu wa kumbukumbu hii mijadala ilishapita jamaa wao kaja kuamsha juz.. mlango wameufungua wenyewe lkn kuufunga Sasa ndio kishindo... halafu wengine nao Ati umaarufu dah wamekubwaa na fikra za kijaahili kwaiyo mtu ndio akiwa marufu akikosea ndio asikosolewe na akitokea mtu kumkosoa ndio anatafuta umarufu ?? Subuhana llah alikosolewa firaini na alikua akijulikanwa sana Sasa ww nani mtu wa kawaida tu asikoselewe .... Kisa maarufu mbele ya Allah hakuna mtu maarufu... We pitisha jitihada Allah anaona kwamba umefikisha .. shukran
Mashaallah mashaallah sheikh wetu allah akuongoze
ALLAH AKUHIFADHI , USTADH MUHAMMAD BACHU ..... AMEEN
@salehaljadidi8206
Жыл бұрын
Huyu Mbulushi koko Bachuu mbona hataki kurudi kwao Gawadar Pakistan, kakaa anang'ang'ania kuishi Zanzibar.
@kaykastro9302
Жыл бұрын
Mtu akisema maneno ya haki ashapewa majina na aenda sijui wapi, thats racial bruh ..... wacha watu wapime maneno ya sehemu zote na wafuate haki iko wapi. Kila mukiponda mtu, watu wanazaidi kumskiza anapondewa nn ! Hakki will always prevail.
@salehaljadidi8206
Жыл бұрын
Bachu arudi kwao Gawadar au Mekran akawasaidie ndugu zake wanakufa na njaa. Kang'ang'ania Zanzibar kama kwao. Babu zake waliletwa na Sultan wa Oman kama askari, Sasa Sultan hayupo tena nini anachongojea asirudi kwao Baluchistan
Maashaallah! Allah amrehemu sheikh Nassoro Bacho hakika ameacha alama nzuri ya kuigwa katika dini. Wenye elimu wanajua madhara na hatari ya kuongeza kitu chochote katika dini hata kama utakiona ni kidogo sana mithiri ya mdudu chungu. Allah amlipe kila muislamu kwenye kuuhami uislamu kwa mujibu wa Qur'anj na Sunnah na pia Allah amlipe malipo makubwa zaidi kila muislamu mwenye uchungu wa dhati na dini ya Allah anakubali kurekebishwa pale anapoteleza ili umma wa kiislamu unufaike. Sheikh Muhammad Bacho Allah akuzidishie ufahamu zaidi katika dini.
@abiabi9353
Жыл бұрын
Sheikh wako hajajibu kitu.tatizo la mawahabi hawajui kutumia nyenzo za lugha.ndiyo maana wameingia kwenye mtego wa mujasima. Hapo sheikh Hatimi alichokusudia siyo malaika wote kwa maana ya wote.hapo alichokusudia ni malaika wengi.sasa msomi gani anatoa misuli yote kwa kitu kidogo hicho
Kwakeli na kubali ufahamu wa hiyu muhamadi bachi ina kili abaso hazina fahamu
Assalamualaikum, kwako shk, Muhammad bach,Alhamdulillah unajitahidi k.t.k. d'aawa tunamumba Allah akulipe ujidra mkubwa, Yaa shk, Kitukidooogo tu jitahidi uwe nacho nacho ni hekma katika kutangaza elimu, Usiwaite baadhi ya mashk waongo tena kwa dharau, itapelekea upinza nani, chuki, na uwadi baina yetu.
Mashallah mashallah....
Je mtume S.A.W alifanya ivi dini mnaifanya km tarabuuu sio sawa hakuna mwenye kujuwa zaidi ya Mungu
Sh. Muhammad bachu Allah akuzidishie elimu ya hakki na kupe subra na hekma na nguvu na wepesi insha'Allah ili uweze kutuelimisha sisi na hao wanaotaka kukufedhehi kwa chuki zao lakini kwa idhni ya Allah watanyooka tuu, ipo siku wataielewa haki na kwa uwezo wa Allah wataifuata, na sisi tunamumba Allah atudumishe kakika haki, tuko pamoja insha'Allah
Hapo umemshika vizuri sana Hatmy akubali tu amekosea Wala asiendelee ataiabisha
MAASHA ALLAH, ALLAH A KULIPE KILA LA KHEIR UPO SAHIHI AKHUY,ALLAH AKULINDE NA AKUPE UMRI MREFU.
Haitokei Wala Haitotokea Kwa Akhi Al-Hatimi Kueka Mjadala Wa Ana Kwa Ana Sababu Hana Hoja Za Kimsingi Na Hilo Analijua Yeye Hatimi
Yani wakitokea watano tu halafu wakiwa na msimamo Kam wa Muhammad bachu .... Bidaa na uongo umekwisha
Usitumie neno muongo sheikh wangu wala usitumie nguvu kubwa sisi tunakuelewa
Barakh Allah Khair
بارك الله فيك لبيان الحق
Mashaallah shekh Muhammed bacho
Jazaaka Allaahu khyra
MaashaAllah sheikh bachu
Maa shaa Allah tunapata elimu apa ❤❤❤
Maashaallah tabarakallah
Pole sn shekh Muhammad banchu kwa elimu yk ndogo jitahidi sana kuelewa na kusoma maana ww kwel haupo sawa samahan lkn hapa ndonimejua kuwa elim yk ndog hilo swali lako ni laki toto
@omaryissa2562
Жыл бұрын
We unaelimu ya kuongea na Mohammad bach au wataka kiki
Je Elimu yako imekamilika . Kuwa na Hekima na maneno mazuri sio kuzalilishana . Huu sio uislamu unadhalilisha Uislamu. Allah akusaidie.
Nyote ni mashekhe wazur nawapenda kwa ajilo ya Allah, ila nahisi mungetafuta njia nzuri na sahih yakurekebishana ktk njia sahihi sio malumbano mitandaoni.
A.akm. Mashekhe wanapoteza nguvu katika ubishi usiokuwa Na faida. Umma unapotea ,ushoga umekithiri,waislamu wanaritadi vijijini. Wao wanahubiri madhehebu Yao. Hawa niwakutiwa bakora wote.
Maasha Allah. M/Mungu akuhifadhi akuzidishie hikma umri mrefu na ilmu Ummah tuzidi kufaidika. Usisite kuisema haki Allah ndie mlinzi atakulinda.
Allah akupe umri mrefu ili uazindue umma wetu wa kiisalamu
Naam Uko vizuri sana
Wajua shekh bachu mpaka Leo naiona hii clip na nacheka pekeangu lakini sijui nacheka nini,
Kuzungumza kwa ukali sio kwamba una elimu sana, kwanza jifunze adabu za kujadiliana na wengine hasa wenye elimu, nakushauri ukasome tena lakini mara hii usiende madina kule madina wanafundisha taasubi kwa madhehebu mengine kama ulivyo wewe MUHAMMAD BACHUUUUU. KWAJIFUNZE TENAA
Muhammad bachu uko juu...hakuezi huyo khurafi🤣🤣🤣🤣
Asalamu aleikum allah Yuko na wewe in Sha allah tuko pamoja allah Akbar haya makumbwa sasa
HUZUNI KWA WAISLAMU WANAPIGANA MADONGO KAMA.WAIMBAJI TAARAB
@saidmadizi9152
Жыл бұрын
Watu wanachukua ilimu we unaskia malumbano badala uchukue uache kupotoshwa
Na hata kama ni wote,,Kwa mungu sio kazi kubwa kujaalia hivo,,ama lashindikana Kwa mungu?bachu huna hoja Wallahi..hata usiendelee kujiaibisha
Allaah akulide kwauwezo wake. Hawa mashehe wa Madufu na wakuomba watuwa makaburini ni. Mtihani sana Allah atujaaliemwishomwema🤲
@abiabi9353
Жыл бұрын
Hapi sheikh wako hajajibu kitu .nikwamba mawahabi hawaeliwi kutumia nyenzo za kilugha.ndiyo maana wameingia kwenye mtego wa mujasima. Yani kumpa mungu viungo.ambao ni ukafiri
Hoja zakufarakana hazijengi angalia luha sheh bachu acheni kutufarakanisha masheh wetu nyinyi
@saidmadizi9152
Жыл бұрын
Na yule mwengine pia umemwambia coz nae amemuuliza uko sawa kweli??
Haifai mashekhe kulumbana hadharani na kuitana waongo na kusutana Mtasababisha uislam uonekane hauna mana. 😭 Ni bora mkakutana kwa wema mkafahamishana yakaisha kwa salama.
@khalmudodoma6271
Жыл бұрын
Hawalumbani bali watupe eliminate ya kweli sio kuifanya dini kuwa ngumu aliyakuwa wanaongea kwa kubahatisha na kusoma hadithi wasijuwe maana
@msarama5406
Жыл бұрын
Wakilutana wao sisi wa mbali tutapataje ilmu hizi
@abdallahmgaya7521
Жыл бұрын
Humu katika Media za kijamii tunapata kujuwa Haki na Batwili. Maana Mungu amesema Haki IPO wazi na Batwili IPO wazi
@msarama5406
Жыл бұрын
@@abdallahmgaya7521 hakika ni kujitahidi kutumia kwa faida mitandao hii miongoni mwa faida ni kama hizi elimu
@msarama5406
Жыл бұрын
@@abdallahmgaya7521 hakika ni kujitahidi kutumia kwa faida mitandao hii miongoni mwa faida ni kama hizi elimu
Sheikh MUHAMMAD Sawa kabisa Usemayo, ALLAH Akuhifadhi tafadhali sana usirudi nyuma kuwakosoa maana wamezidi Dini yetu imekamilika haihitaji kuzidisha wala kupunguza,wengi wanajitia kuhubiri dini lakini elimu zao ndogo sana alafu wakikosolewa wanachukia.hadithi nyingi zilikua zinatolewa na bibi zetu kabla ya kulala usiku nawatu wamezichukulia kweli.
@abdullahihirbo1677
Жыл бұрын
Hakuna haja ya kubishana kwa media kama kweli wanapendana kwa ajili ya Allah wangetafutana wakae mahali waonyeshane ndio watupe habari ya ukweli...
@abuibra
Жыл бұрын
@@abdullahihirbo1677 hiyo ni kwako wewe kutaka kujua ukweli lakini mimi nafahamu ukweli na ukweli wenyewe ndio anao usema Shaikh Mohammad Bachu.
Allah akubariki sheikh wangu nakupenda Kwa ajili ya Allah
Allah akuhifadhi akulinde na shari zao
Toa mawaidha watu wapate faida sio kujifanya kumradi sheikh mwenzako ili uonekane ww unajua sana zaidi ya wenzako
Sheikh wangu wallahi ninashida namawasiliano
Mashaallah sheikh langu umefanya mtu aonge kimombo sio mchezo swadakta
Allah atuhifadh hamwezi kukosoana kihishima Bira kuaibiana nakubomowana
Watu wamechotwa katika usingizi mzito Sasa mtu achafue akitokea mwnginne wa kueka sawa eti anaambiwa anatafuta umarufu kwaiyo subuhana llah imebakia watu wamwabie Mtume alikua anatafuta umarufu mana aliwakosoa majaahili wakubwa tena walikua maarufu kuliko hata huyu Al hatimy ... Na watu tuchunge kauli zetu tusije kuingia katika madhambi ... Shukran
WEWE BACHU ULISEMA HAKUNA ANOJUA GHAIBU ILA ALLAH SW, LEO UNASEMA KUWA MTUME SAW AMEFUNGULIWA GHAIBU. UWAHABIA NI KAZI. KILA SAA FATWA ZINABADILIKA. UTAFAHAMU TU KAMA MPAKA MAWALII PIA WAMEFUNGULIWA GHAIBU
@hilalalhabsi2047
Жыл бұрын
NASHKURU PIA BACHU KUWAMINI KUWA MALAIKA WANAOKOA MTOTO MELI IKIZAMA. KUWA KUNA UOKOVU MWENGINE ALLAH SW KAWAPA WAJA WAKE WAWEZE . UNAJITAHIDI UTAELEWA TU INSHAALLAH KIDOGO DOGO. NAONA UMEKUWA UNAFAHAMU KIDOGO SKUIZI UNATIA MOYO
Masha Allah
We we huna hekma futa jina LA Bachu. Huwezi ukatumia muongo mkubwa sio neno zuri ulo tumia. Au alikuchukulia mkeo. Ndo ukawa na hasira hizo. Itakuwa we we huna adabu ya elimu.
Hivi vita vyenu mwatuletea fitna katika uislamu. Kila mtu nabaki na kujua kwake mana mwawapa nguvu wasokuwa waisilamu . Huo ufahari wenu hauleti shangwe bora mkafuatana Ana kwa Ana kuliko kuanikana kwa mitandao.
Allah Akuhifadh
Mashallah Shukran