DAKIKA 44 ZA SHK WALID ALHAD KUHUS MZOZO WA ARAFA | AWATAKA WAUMINI WASITOKE NJE WOTE WAKAE WAMSKIZE

#riyadhTvZnz #zanzibar

Пікірлер: 47

  • @user-vc5ge1rs6t
    @user-vc5ge1rs6t Жыл бұрын

    Allah akulinde na akuhifadhi Sheikh wetu....🤲🤲🤲

  • @user-di8me2wb7p
    @user-di8me2wb7p Жыл бұрын

    MashaLLAH MASHEIKH ZETU ALLAH AWAZIDISHIE ILMU

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Жыл бұрын

    MASHA ALLAH

  • @user-di8me2wb7p
    @user-di8me2wb7p Жыл бұрын

    MashaLLAH

  • @ttyyyyuuuuuu
    @ttyyyyuuuuuu Жыл бұрын

    *Arafah:* Ni pahali pako Maka panaitwa Arafah na hapo liko Jabali linaitwa Arafah au kwa kina jengine Jabal Arahma na mwaka mzima liko na pahala pako *Yaum Arafah:* Ni tareh tisa Dhul Hija ni siku inaitwa Arafah kwa wanao hiji wanatakiwa siku hio waweko pahala hapo ambapo panapoitwa Arafah, ni katika nguzo za Haji huko na waliokuwa hawahiji siku ya Arafah yaani tareh tisa Dul Hija ni suna kwao kufunga. Kuita tarekhe kwa kitendo au tokewo ni kawaida, kama vile Aam Al Fill (Mwaka wa tembo), yaum nahar (siku ya kuchinja,) ayam tashriq, ayam tasii, yawm tarwiya, ayam biydh, aam huzn n.k. *Vitu viwili tafauti baina pahala na tarehe na kila pahala pana tarehe yake haitangulizwi wala hairejeshwi* Haikuthibiti Kuwa Mtume (ﷺ) baada ya kuhamia Madina alikuwa akipeleka wajumbe Maka ili walete habari ya Mwandamo wa mwezi wa Maka ili na wao wafate Mwandamo wa Maka na wapate Arafat Moja, pamoja na Maka na pia haikuthibiti alipokuwepo Maka au alipohiji alikuwa akiwapeleka wajumbe wake katika Miji ya karibu kama Madina au Ttaif ili awape Waumini habari kuwa wafate mwandamo na Arafah ya Maka. Aliyekuweko katika nchi amabazo zimechelewa kuona mwandamo wa Mwezi basi si vibaya ikiwa atafunga siku ya tarehe nane ya Dhul-Hijjah ya nchi yake ambayo itakuwa ni siku ya tarehe 9 ya Maka yaani ni siku ya Arafah ya Maka kisha akakamilisha kufunga siku ya Tarehe 9 ya nchi yake ambayo itakuwa ni siku ya Arafah kwake. Lakini muhimu asifunge siku ya yarehe 10 Dhul-Hijjah ya nchi yake ambayo ni siku ya Idi kwao.

  • @abassmsellem2788

    @abassmsellem2788

    Жыл бұрын

    This is best concept brother

  • @istambulahmed6664

    @istambulahmed6664

    Жыл бұрын

    ، شكرا وجزاك الله خيرا

  • @mwambamuyango9002

    @mwambamuyango9002

    Жыл бұрын

    hapa sichina acha uongo hizo njaa tu

  • @istambulahmed6664

    @istambulahmed6664

    Жыл бұрын

    @@mwambamuyango9002 SHIDA NDIPO INA ANZIA HAPO, KUDHARAULIANA, NA KUPOTEZA NGUVU ZETU, NA MAADUI WA KIISLAMU NDIO WANAPENDA HILO, WAJIBU WETU NI KUHESHIMIANA NA NA KUELEZANA KWA BUSARA.

  • @farajichipote2437

    @farajichipote2437

    Жыл бұрын

    Sasa mbona kama sheikhi anajifunga mwenyewe akiigusa jiografia ni kwamba maeneo yote yanayotumia latitudo 1 hawa hawbadilishi hata sekunde ktk mda wao hata kama ni masafa marefu ila zikiwa tofauti hapo utalazimika kubadili mda kulingana na msitari wenu hata kama ni karibu sana na hapo ndipo hadithi inafanya kazi kutegemea na mwandamo wa huko

  • @abdullamasoud7324
    @abdullamasoud7324 Жыл бұрын

    Kasema mchanganue na mkiwa na masuali baada ya aliyoyaeleza mukamuulize yeye mwenyewe. Wabillahi taufiq.

  • @AbdallakalamuMwishee
    @AbdallakalamuMwisheeАй бұрын

    Alhajju arafa nao

  • @zaharamsuya4772
    @zaharamsuya4772 Жыл бұрын

    Aslm aleikum kwa nini tusali tofauti Yani macca Leo wamesimama arafa halafu Tanzania idd iwe alhamis Ina maana kesho wakichinja sie ndio tufunge arafa!! Naomba nieleweshwe hapo

  • @rafiaahmad168

    @rafiaahmad168

    Жыл бұрын

    Mbn kafafanua vizuri jaman 😢 rudia tena kusikiliza

  • @zeitunMohammed

    @zeitunMohammed

    Жыл бұрын

    Fwata clips zake,za Muhammad idi na Ahmed uwes wallah utafahamu arafat.alafu

  • @mussahemed1286
    @mussahemed1286 Жыл бұрын

    3:00

  • @ummya3996
    @ummya3996 Жыл бұрын

    Asalaam alykum warhamatullah wabarakatuh.sasa jamani ukweli upo wapi?

  • @mwambamuyango9002

    @mwambamuyango9002

    Жыл бұрын

    weqw hapa nichina?

  • @abdullamasoud7324

    @abdullamasoud7324

    Жыл бұрын

    Uko ndani ya ability yako.

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    sote wakweli

  • @MusaDadi-pd3jd
    @MusaDadi-pd3jd Жыл бұрын

    Huyu sheikh nilikuwa namkubali sana kumbe ndo walewale

  • @kassimtz9567

    @kassimtz9567

    Жыл бұрын

    We wamkubali wekama nani nahuna vigezo vyakuweza kumkubali mtu kama huyu

  • @ashaothman-vz7ro
    @ashaothman-vz7ro Жыл бұрын

    Shekh ubwabwauyo

  • @twahirburhan3726
    @twahirburhan3726 Жыл бұрын

    Tatizo la Bakwata wanatumia nguvu nyingi kulinda maslahi wanayoyapata pale,Mimi niwaulize swali kama wana kumbuka Wakati Mufti Zuberi anaingia madarakani mwaka wake wa kwanza tuliswali Idd Adh-ha kwa pamoja sote,swali baada ya hapo nini kilimkumba akabadilika?

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    inshu sio bakwata wala maslahi, inshu ni ikhtilafu acha ufala, yani huo ufala unaozungumza

  • @zeitunMohammed

    @zeitunMohammed

    Жыл бұрын

    Kwa sababu mwezi wa Dhulhijja iliandama kwa 29. Hesabu yetu na Makkah ikawiana.lakini hesabu yetu ikiwa kwa siku 30.hatuwi pamoja na su'udi.kwa sababu Hadi kiyama su'udi mwezi wao huishia 29

  • @ibnomar8144
    @ibnomar8144 Жыл бұрын

    Mimi kila siku na jiuliza hao ma sheikh wa Tanzania wenyewe pekee njoo wa kutoleya fatwa inchi za chia ao Australia kwani huko hakuna masheikh vigogo wa kutupa elimu hao ma sheikh wa Tanzania ao kenya ? Mbona wakati mwengine mnalazimisha jambo lenye hakuna? Mziwanda kasema ivi tatizo la masheikh wakileo kila moja anangaliya maslayi yake sio kwa ajili ya Allah njoo utasikiya mwenye kasoma fiqhi ao lugha anakuja kufuta swala la watu wa sheria hili ni tatizo kila moja angaliye fani yake na afanye kwa ajili ya Allah akauliza tena je pako kitabu cha mwanachuoni wowote alichotunga kuhusu Funga ya Arafat kumbe sio jambo la itilafu bali ni jambo la fatawa kumbe mwenye kutowa fatawa anaweza kukoseya ingikuwa ni itilafu lingeleweka mbona Ashura hamsemagi mnangaliya mwezi wenu 😂 huyu ni swiba tunaona weye angaliya ya Tanzania yako vipi kisha hao wa ichi zingine watapewa fatawa na ulama zao weye kama nani useme ulimwengu mzima kwa elimu gani sasa mbona izo inchi zenye unasema watafunga 9 arafat na iddi 10 kwa Calenda ya kiislam tuwambiye aje acheni ujanja mu dini kwa sababu ya tumbo zenu ndefu ngo iddy mbili inchi moja bala hili mbona mnaswali nyakati moja muwe mnasali na mda wenu

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    oky

  • @user-gz7gc4tm4t

    @user-gz7gc4tm4t

    Жыл бұрын

    kunafatuwa za wanazuoni jamani tusomeni tusiwe wakosoaji wakt kichwani 🎉

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 Жыл бұрын

    Kwenye huu ulimwengu kila anayeitwa wahabi ndie mpotoshaji

  • @softsoftbby8013
    @softsoftbby8013 Жыл бұрын

    Yaumi arafa inasema siku ya arafa sio mda wa arafa,sheikh walid na kuamini sana ila kwa hili unapotosha watu,je sala ya macca na madina ni sawa na sala ya misikiti mingine duniani?huoni kama hapo kuna utofauti

  • @user-gz7gc4tm4t

    @user-gz7gc4tm4t

    Жыл бұрын

    tuchanganue

  • @fredquinbi2389
    @fredquinbi2389 Жыл бұрын

    Kapewa fupa

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Жыл бұрын

    Nyie ni mizigo ktk waislam watanzani mkae mkijua

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    acha ufala

  • @ahmadnyidad2050

    @ahmadnyidad2050

    Жыл бұрын

    Mzigoo mamaakooooooooooo

  • @selemankishema5780

    @selemankishema5780

    Жыл бұрын

    @@ahmadnyidad2050 ndio ukweli we hata kama utatukana haisaidii kitu sana sana unajipatia madhambi labda nikusaidie kitu haujafundua kama upumbavu huu tumebaki Tanzania peke yetu?

  • @twahirburhan3726

    @twahirburhan3726

    Жыл бұрын

    Acheni kupotosha nyie na mashekh zenu wa Bakwata,suala la ikhtilaafu hapa jakuna maana Issue ya Arafa ipo waaazi kabisa bali hawataki kudhalilika Bakwata,mf.Wakati Mufti anaingia madarakani mwaka wa kwanza Watu wote tuliswali Idd Adh-ha kwa pamoja,sasa hatujui baada ya hapo nini kilimkumba...

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    @@twahirburhan3726 ushahidi unao au waropoka tu waleta ushoga wako

  • @user-yh1gs2se7e
    @user-yh1gs2se7e Жыл бұрын

    Kichaa kinamuanza huyu jamaa dah

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    kichaa wewe

  • @user-bz1wl4si8j

    @user-bz1wl4si8j

    Жыл бұрын

    Kichaa wewe... huna adabu

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    @@user-bz1wl4si8j sorry nimekosea

  • @user-yq1ku4hm9l
    @user-yq1ku4hm9l Жыл бұрын

    Swali sisi na maka tunatofautiana masaa mangapi?

  • @jumakumala1337

    @jumakumala1337

    Жыл бұрын

    Hakuna tofauti ya kima saa ,

Келесі