DAKIKA 44 ZA SHK WALID ALHAD KUHUS MZOZO WA ARAFA | AWATAKA WAUMINI WASITOKE NJE WOTE WAKAE WAMSKIZE
#riyadhTvZnz #zanzibar
Жүктеу.....
Пікірлер: 47
@user-vc5ge1rs6t Жыл бұрын
Allah akulinde na akuhifadhi Sheikh wetu....🤲🤲🤲
@user-di8me2wb7p Жыл бұрын
MashaLLAH MASHEIKH ZETU ALLAH AWAZIDISHIE ILMU
@jimjam-xg7rv Жыл бұрын
MASHA ALLAH
@user-di8me2wb7p Жыл бұрын
MashaLLAH
@ttyyyyuuuuuu Жыл бұрын
*Arafah:* Ni pahali pako Maka panaitwa Arafah na hapo liko Jabali linaitwa Arafah au kwa kina jengine Jabal Arahma na mwaka mzima liko na pahala pako *Yaum Arafah:* Ni tareh tisa Dhul Hija ni siku inaitwa Arafah kwa wanao hiji wanatakiwa siku hio waweko pahala hapo ambapo panapoitwa Arafah, ni katika nguzo za Haji huko na waliokuwa hawahiji siku ya Arafah yaani tareh tisa Dul Hija ni suna kwao kufunga. Kuita tarekhe kwa kitendo au tokewo ni kawaida, kama vile Aam Al Fill (Mwaka wa tembo), yaum nahar (siku ya kuchinja,) ayam tashriq, ayam tasii, yawm tarwiya, ayam biydh, aam huzn n.k. *Vitu viwili tafauti baina pahala na tarehe na kila pahala pana tarehe yake haitangulizwi wala hairejeshwi* Haikuthibiti Kuwa Mtume (ﷺ) baada ya kuhamia Madina alikuwa akipeleka wajumbe Maka ili walete habari ya Mwandamo wa mwezi wa Maka ili na wao wafate Mwandamo wa Maka na wapate Arafat Moja, pamoja na Maka na pia haikuthibiti alipokuwepo Maka au alipohiji alikuwa akiwapeleka wajumbe wake katika Miji ya karibu kama Madina au Ttaif ili awape Waumini habari kuwa wafate mwandamo na Arafah ya Maka. Aliyekuweko katika nchi amabazo zimechelewa kuona mwandamo wa Mwezi basi si vibaya ikiwa atafunga siku ya tarehe nane ya Dhul-Hijjah ya nchi yake ambayo itakuwa ni siku ya tarehe 9 ya Maka yaani ni siku ya Arafah ya Maka kisha akakamilisha kufunga siku ya Tarehe 9 ya nchi yake ambayo itakuwa ni siku ya Arafah kwake. Lakini muhimu asifunge siku ya yarehe 10 Dhul-Hijjah ya nchi yake ambayo ni siku ya Idi kwao.
@abassmsellem2788
Жыл бұрын
This is best concept brother
@istambulahmed6664
Жыл бұрын
، شكرا وجزاك الله خيرا
@mwambamuyango9002
Жыл бұрын
hapa sichina acha uongo hizo njaa tu
@istambulahmed6664
Жыл бұрын
@@mwambamuyango9002 SHIDA NDIPO INA ANZIA HAPO, KUDHARAULIANA, NA KUPOTEZA NGUVU ZETU, NA MAADUI WA KIISLAMU NDIO WANAPENDA HILO, WAJIBU WETU NI KUHESHIMIANA NA NA KUELEZANA KWA BUSARA.
@farajichipote2437
Жыл бұрын
Sasa mbona kama sheikhi anajifunga mwenyewe akiigusa jiografia ni kwamba maeneo yote yanayotumia latitudo 1 hawa hawbadilishi hata sekunde ktk mda wao hata kama ni masafa marefu ila zikiwa tofauti hapo utalazimika kubadili mda kulingana na msitari wenu hata kama ni karibu sana na hapo ndipo hadithi inafanya kazi kutegemea na mwandamo wa huko
@abdullamasoud7324 Жыл бұрын
Kasema mchanganue na mkiwa na masuali baada ya aliyoyaeleza mukamuulize yeye mwenyewe. Wabillahi taufiq.
@AbdallakalamuMwisheeАй бұрын
Alhajju arafa nao
@zaharamsuya4772 Жыл бұрын
Aslm aleikum kwa nini tusali tofauti Yani macca Leo wamesimama arafa halafu Tanzania idd iwe alhamis Ina maana kesho wakichinja sie ndio tufunge arafa!! Naomba nieleweshwe hapo
@rafiaahmad168
Жыл бұрын
Mbn kafafanua vizuri jaman 😢 rudia tena kusikiliza
@zeitunMohammed
Жыл бұрын
Fwata clips zake,za Muhammad idi na Ahmed uwes wallah utafahamu arafat.alafu
@mussahemed1286 Жыл бұрын
3:00
@ummya3996 Жыл бұрын
Asalaam alykum warhamatullah wabarakatuh.sasa jamani ukweli upo wapi?
@mwambamuyango9002
Жыл бұрын
weqw hapa nichina?
@abdullamasoud7324
Жыл бұрын
Uko ndani ya ability yako.
@mafiatv5479
Жыл бұрын
sote wakweli
@MusaDadi-pd3jd Жыл бұрын
Huyu sheikh nilikuwa namkubali sana kumbe ndo walewale
@kassimtz9567
Жыл бұрын
We wamkubali wekama nani nahuna vigezo vyakuweza kumkubali mtu kama huyu
@ashaothman-vz7ro Жыл бұрын
Shekh ubwabwauyo
@twahirburhan3726 Жыл бұрын
Tatizo la Bakwata wanatumia nguvu nyingi kulinda maslahi wanayoyapata pale,Mimi niwaulize swali kama wana kumbuka Wakati Mufti Zuberi anaingia madarakani mwaka wake wa kwanza tuliswali Idd Adh-ha kwa pamoja sote,swali baada ya hapo nini kilimkumba akabadilika?
@mafiatv5479
Жыл бұрын
inshu sio bakwata wala maslahi, inshu ni ikhtilafu acha ufala, yani huo ufala unaozungumza
@zeitunMohammed
Жыл бұрын
Kwa sababu mwezi wa Dhulhijja iliandama kwa 29. Hesabu yetu na Makkah ikawiana.lakini hesabu yetu ikiwa kwa siku 30.hatuwi pamoja na su'udi.kwa sababu Hadi kiyama su'udi mwezi wao huishia 29
@ibnomar8144 Жыл бұрын
Mimi kila siku na jiuliza hao ma sheikh wa Tanzania wenyewe pekee njoo wa kutoleya fatwa inchi za chia ao Australia kwani huko hakuna masheikh vigogo wa kutupa elimu hao ma sheikh wa Tanzania ao kenya ? Mbona wakati mwengine mnalazimisha jambo lenye hakuna? Mziwanda kasema ivi tatizo la masheikh wakileo kila moja anangaliya maslayi yake sio kwa ajili ya Allah njoo utasikiya mwenye kasoma fiqhi ao lugha anakuja kufuta swala la watu wa sheria hili ni tatizo kila moja angaliye fani yake na afanye kwa ajili ya Allah akauliza tena je pako kitabu cha mwanachuoni wowote alichotunga kuhusu Funga ya Arafat kumbe sio jambo la itilafu bali ni jambo la fatawa kumbe mwenye kutowa fatawa anaweza kukoseya ingikuwa ni itilafu lingeleweka mbona Ashura hamsemagi mnangaliya mwezi wenu 😂 huyu ni swiba tunaona weye angaliya ya Tanzania yako vipi kisha hao wa ichi zingine watapewa fatawa na ulama zao weye kama nani useme ulimwengu mzima kwa elimu gani sasa mbona izo inchi zenye unasema watafunga 9 arafat na iddi 10 kwa Calenda ya kiislam tuwambiye aje acheni ujanja mu dini kwa sababu ya tumbo zenu ndefu ngo iddy mbili inchi moja bala hili mbona mnaswali nyakati moja muwe mnasali na mda wenu
@mafiatv5479
Жыл бұрын
oky
@user-gz7gc4tm4t
Жыл бұрын
kunafatuwa za wanazuoni jamani tusomeni tusiwe wakosoaji wakt kichwani 🎉
@fadhilimusa9732 Жыл бұрын
Kwenye huu ulimwengu kila anayeitwa wahabi ndie mpotoshaji
@softsoftbby8013 Жыл бұрын
Yaumi arafa inasema siku ya arafa sio mda wa arafa,sheikh walid na kuamini sana ila kwa hili unapotosha watu,je sala ya macca na madina ni sawa na sala ya misikiti mingine duniani?huoni kama hapo kuna utofauti
@user-gz7gc4tm4t
Жыл бұрын
tuchanganue
@fredquinbi2389 Жыл бұрын
Kapewa fupa
@selemankishema5780 Жыл бұрын
Nyie ni mizigo ktk waislam watanzani mkae mkijua
@mafiatv5479
Жыл бұрын
acha ufala
@ahmadnyidad2050
Жыл бұрын
Mzigoo mamaakooooooooooo
@selemankishema5780
Жыл бұрын
@@ahmadnyidad2050 ndio ukweli we hata kama utatukana haisaidii kitu sana sana unajipatia madhambi labda nikusaidie kitu haujafundua kama upumbavu huu tumebaki Tanzania peke yetu?
@twahirburhan3726
Жыл бұрын
Acheni kupotosha nyie na mashekh zenu wa Bakwata,suala la ikhtilaafu hapa jakuna maana Issue ya Arafa ipo waaazi kabisa bali hawataki kudhalilika Bakwata,mf.Wakati Mufti anaingia madarakani mwaka wa kwanza Watu wote tuliswali Idd Adh-ha kwa pamoja,sasa hatujui baada ya hapo nini kilimkumba...
@mafiatv5479
Жыл бұрын
@@twahirburhan3726 ushahidi unao au waropoka tu waleta ushoga wako
Пікірлер: 47
Allah akulinde na akuhifadhi Sheikh wetu....🤲🤲🤲
MashaLLAH MASHEIKH ZETU ALLAH AWAZIDISHIE ILMU
MASHA ALLAH
MashaLLAH
*Arafah:* Ni pahali pako Maka panaitwa Arafah na hapo liko Jabali linaitwa Arafah au kwa kina jengine Jabal Arahma na mwaka mzima liko na pahala pako *Yaum Arafah:* Ni tareh tisa Dhul Hija ni siku inaitwa Arafah kwa wanao hiji wanatakiwa siku hio waweko pahala hapo ambapo panapoitwa Arafah, ni katika nguzo za Haji huko na waliokuwa hawahiji siku ya Arafah yaani tareh tisa Dul Hija ni suna kwao kufunga. Kuita tarekhe kwa kitendo au tokewo ni kawaida, kama vile Aam Al Fill (Mwaka wa tembo), yaum nahar (siku ya kuchinja,) ayam tashriq, ayam tasii, yawm tarwiya, ayam biydh, aam huzn n.k. *Vitu viwili tafauti baina pahala na tarehe na kila pahala pana tarehe yake haitangulizwi wala hairejeshwi* Haikuthibiti Kuwa Mtume (ﷺ) baada ya kuhamia Madina alikuwa akipeleka wajumbe Maka ili walete habari ya Mwandamo wa mwezi wa Maka ili na wao wafate Mwandamo wa Maka na wapate Arafat Moja, pamoja na Maka na pia haikuthibiti alipokuwepo Maka au alipohiji alikuwa akiwapeleka wajumbe wake katika Miji ya karibu kama Madina au Ttaif ili awape Waumini habari kuwa wafate mwandamo na Arafah ya Maka. Aliyekuweko katika nchi amabazo zimechelewa kuona mwandamo wa Mwezi basi si vibaya ikiwa atafunga siku ya tarehe nane ya Dhul-Hijjah ya nchi yake ambayo itakuwa ni siku ya tarehe 9 ya Maka yaani ni siku ya Arafah ya Maka kisha akakamilisha kufunga siku ya Tarehe 9 ya nchi yake ambayo itakuwa ni siku ya Arafah kwake. Lakini muhimu asifunge siku ya yarehe 10 Dhul-Hijjah ya nchi yake ambayo ni siku ya Idi kwao.
@abassmsellem2788
Жыл бұрын
This is best concept brother
@istambulahmed6664
Жыл бұрын
، شكرا وجزاك الله خيرا
@mwambamuyango9002
Жыл бұрын
hapa sichina acha uongo hizo njaa tu
@istambulahmed6664
Жыл бұрын
@@mwambamuyango9002 SHIDA NDIPO INA ANZIA HAPO, KUDHARAULIANA, NA KUPOTEZA NGUVU ZETU, NA MAADUI WA KIISLAMU NDIO WANAPENDA HILO, WAJIBU WETU NI KUHESHIMIANA NA NA KUELEZANA KWA BUSARA.
@farajichipote2437
Жыл бұрын
Sasa mbona kama sheikhi anajifunga mwenyewe akiigusa jiografia ni kwamba maeneo yote yanayotumia latitudo 1 hawa hawbadilishi hata sekunde ktk mda wao hata kama ni masafa marefu ila zikiwa tofauti hapo utalazimika kubadili mda kulingana na msitari wenu hata kama ni karibu sana na hapo ndipo hadithi inafanya kazi kutegemea na mwandamo wa huko
Kasema mchanganue na mkiwa na masuali baada ya aliyoyaeleza mukamuulize yeye mwenyewe. Wabillahi taufiq.
Alhajju arafa nao
Aslm aleikum kwa nini tusali tofauti Yani macca Leo wamesimama arafa halafu Tanzania idd iwe alhamis Ina maana kesho wakichinja sie ndio tufunge arafa!! Naomba nieleweshwe hapo
@rafiaahmad168
Жыл бұрын
Mbn kafafanua vizuri jaman 😢 rudia tena kusikiliza
@zeitunMohammed
Жыл бұрын
Fwata clips zake,za Muhammad idi na Ahmed uwes wallah utafahamu arafat.alafu
3:00
Asalaam alykum warhamatullah wabarakatuh.sasa jamani ukweli upo wapi?
@mwambamuyango9002
Жыл бұрын
weqw hapa nichina?
@abdullamasoud7324
Жыл бұрын
Uko ndani ya ability yako.
@mafiatv5479
Жыл бұрын
sote wakweli
Huyu sheikh nilikuwa namkubali sana kumbe ndo walewale
@kassimtz9567
Жыл бұрын
We wamkubali wekama nani nahuna vigezo vyakuweza kumkubali mtu kama huyu
Shekh ubwabwauyo
Tatizo la Bakwata wanatumia nguvu nyingi kulinda maslahi wanayoyapata pale,Mimi niwaulize swali kama wana kumbuka Wakati Mufti Zuberi anaingia madarakani mwaka wake wa kwanza tuliswali Idd Adh-ha kwa pamoja sote,swali baada ya hapo nini kilimkumba akabadilika?
@mafiatv5479
Жыл бұрын
inshu sio bakwata wala maslahi, inshu ni ikhtilafu acha ufala, yani huo ufala unaozungumza
@zeitunMohammed
Жыл бұрын
Kwa sababu mwezi wa Dhulhijja iliandama kwa 29. Hesabu yetu na Makkah ikawiana.lakini hesabu yetu ikiwa kwa siku 30.hatuwi pamoja na su'udi.kwa sababu Hadi kiyama su'udi mwezi wao huishia 29
Mimi kila siku na jiuliza hao ma sheikh wa Tanzania wenyewe pekee njoo wa kutoleya fatwa inchi za chia ao Australia kwani huko hakuna masheikh vigogo wa kutupa elimu hao ma sheikh wa Tanzania ao kenya ? Mbona wakati mwengine mnalazimisha jambo lenye hakuna? Mziwanda kasema ivi tatizo la masheikh wakileo kila moja anangaliya maslayi yake sio kwa ajili ya Allah njoo utasikiya mwenye kasoma fiqhi ao lugha anakuja kufuta swala la watu wa sheria hili ni tatizo kila moja angaliye fani yake na afanye kwa ajili ya Allah akauliza tena je pako kitabu cha mwanachuoni wowote alichotunga kuhusu Funga ya Arafat kumbe sio jambo la itilafu bali ni jambo la fatawa kumbe mwenye kutowa fatawa anaweza kukoseya ingikuwa ni itilafu lingeleweka mbona Ashura hamsemagi mnangaliya mwezi wenu 😂 huyu ni swiba tunaona weye angaliya ya Tanzania yako vipi kisha hao wa ichi zingine watapewa fatawa na ulama zao weye kama nani useme ulimwengu mzima kwa elimu gani sasa mbona izo inchi zenye unasema watafunga 9 arafat na iddi 10 kwa Calenda ya kiislam tuwambiye aje acheni ujanja mu dini kwa sababu ya tumbo zenu ndefu ngo iddy mbili inchi moja bala hili mbona mnaswali nyakati moja muwe mnasali na mda wenu
@mafiatv5479
Жыл бұрын
oky
@user-gz7gc4tm4t
Жыл бұрын
kunafatuwa za wanazuoni jamani tusomeni tusiwe wakosoaji wakt kichwani 🎉
Kwenye huu ulimwengu kila anayeitwa wahabi ndie mpotoshaji
Yaumi arafa inasema siku ya arafa sio mda wa arafa,sheikh walid na kuamini sana ila kwa hili unapotosha watu,je sala ya macca na madina ni sawa na sala ya misikiti mingine duniani?huoni kama hapo kuna utofauti
@user-gz7gc4tm4t
Жыл бұрын
tuchanganue
Kapewa fupa
Nyie ni mizigo ktk waislam watanzani mkae mkijua
@mafiatv5479
Жыл бұрын
acha ufala
@ahmadnyidad2050
Жыл бұрын
Mzigoo mamaakooooooooooo
@selemankishema5780
Жыл бұрын
@@ahmadnyidad2050 ndio ukweli we hata kama utatukana haisaidii kitu sana sana unajipatia madhambi labda nikusaidie kitu haujafundua kama upumbavu huu tumebaki Tanzania peke yetu?
@twahirburhan3726
Жыл бұрын
Acheni kupotosha nyie na mashekh zenu wa Bakwata,suala la ikhtilaafu hapa jakuna maana Issue ya Arafa ipo waaazi kabisa bali hawataki kudhalilika Bakwata,mf.Wakati Mufti anaingia madarakani mwaka wa kwanza Watu wote tuliswali Idd Adh-ha kwa pamoja,sasa hatujui baada ya hapo nini kilimkumba...
@mafiatv5479
Жыл бұрын
@@twahirburhan3726 ushahidi unao au waropoka tu waleta ushoga wako
Kichaa kinamuanza huyu jamaa dah
@mafiatv5479
Жыл бұрын
kichaa wewe
@user-bz1wl4si8j
Жыл бұрын
Kichaa wewe... huna adabu
@mafiatv5479
Жыл бұрын
@@user-bz1wl4si8j sorry nimekosea
Swali sisi na maka tunatofautiana masaa mangapi?
@jumakumala1337
Жыл бұрын
Hakuna tofauti ya kima saa ,