SOMA JINA HILI MARA 94 KUTAJIRIKA/KUPENDWA/ KUHESHIMIKA

Пікірлер: 117

  • @AminaMudy-su5tz
    @AminaMudy-su5tzАй бұрын

    Allah akulipe kila lakheri nawapenda kwaajili ya Allah

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Ameeen thumma ameen ahsante Kwa Dua Yako dada amina

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7lАй бұрын

    Tunashukuru sana Allah awape wepesi wa kila jambo

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Ameeen inshaa allah

  • @ZaitunMohammed-xo1vo
    @ZaitunMohammed-xo1vo14 күн бұрын

    Mash Allah nimesikiliza nimevutiwa na Dua hii,natama ningetuma chochote kati ya laptop au cm ili na mimi ukaniombea ila inshallah siku nikijaliwa nitafanya hivyo.

  • @TURIYU

    @TURIYU

    14 күн бұрын

    Inshaa allah hamna shida inshaa allah

  • @Next0011
    @Next001110 күн бұрын

    Mashaallah mungu akubariki naomba number yako nataka kutibiwa

  • @TURIYU

    @TURIYU

    10 күн бұрын

    Namba IPO kwenye hio video

  • @rizikladyherson8451
    @rizikladyherson8451Ай бұрын

    Mashallah

  • @TURIYU

    @TURIYU

    29 күн бұрын

    👍

  • @RizikiSizobakwira
    @RizikiSizobakwiraАй бұрын

    Mimi''muniombe''duwa''munguanilaishishiyeanipeye''mumeninaye''mupenda'sana''''''''nakinginemimi''nimefulahiiyishen''mimini''muklistu''nikiswa''nikifatisha'iyomashariti''nitajibiwa'''''''''inginé'''swali''mimi''sijuwepesaningapi''awomutu'anatowazenye'anazo'''''''naniko''congonitazitumaaje''''''kinginenawezakuslim''aje''''''''

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Maa shaa Allah kuhusu kusilim hebu njoo kwenye what's app yangu nikuelekeze Kwa no ±255713521944 au Tafuta masheikh huko ulipo waambie wakusilimishe inshaa allah

  • @zawadikimaro4087
    @zawadikimaro4087Ай бұрын

    Sheghe mwenyezi MUNGU Akubariki Sana. Pia kwa wasio waislamu inakuaje??

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Kama sio muislamu bas atamtafuta muislamu amfanyie

  • @FatumaSuleiman-ti7vq
    @FatumaSuleiman-ti7vqАй бұрын

    ALLAH AWALIPE KHEIR AWAONDOLLE KILA BAYA.

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Ameeen shukran dada fatma

  • @barkyabdallah170
    @barkyabdallah170Ай бұрын

    Mashallah Allah akulinde shekhe

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Ameen inshaa allah

  • @abacarjoao
    @abacarjoao2 ай бұрын

    Lailaha Illallah Mohammadur Rasulullah, Subhana Rabiyyl álaa.

  • @TURIYU

    @TURIYU

    2 ай бұрын

    Maa shaa allah

  • @abdallahsima7351

    @abdallahsima7351

    2 ай бұрын

    Sheikh fuata ushauri Wa dada Raya, Pia video zisiwe ndefu Sana mb zinaenda sana, Punguza mbwembwe na miqaddima mirefu Sana inakula mb, nenda kwenye Lengo watu wengi wataangalia video zako nyingi

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Abdallah sima dokta sima shukran Sana dokta wangu na nashkuru pia kua kipenzi changu tangu tukiwa watoto mpaka ukubwani shukran

  • @abdallahsima7351

    @abdallahsima7351

    Ай бұрын

    @@TURIYU Napenda sana ufanikiwe ndugu yangu, ukifanikiwa wewe, tunafanikiwa wengi INSHALLAH

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri85012 ай бұрын

    shukran sheikh

  • @TURIYU

    @TURIYU

    2 ай бұрын

    Ahsante maalim

  • @user-kk5nf3pu1g
    @user-kk5nf3pu1g2 ай бұрын

    Asante amen💋💋💋

  • @shabanimali2450
    @shabanimali245019 күн бұрын

    Mungu awalipe Kwa Kila jambo jema

  • @TURIYU

    @TURIYU

    19 күн бұрын

    Ameen

  • @aminarama1633
    @aminarama16332 ай бұрын

    MashaALLALH shukran sanaa shehk wetu

  • @TURIYU

    @TURIYU

    2 ай бұрын

    Shukran

  • @ZainabuMussa-xm5jm
    @ZainabuMussa-xm5jm16 күн бұрын

    Maashaallah

  • @user-ct8kv9gs8s
    @user-ct8kv9gs8s25 күн бұрын

    Mashallah tabaraka allah 🎉🎉

  • @TURIYU

    @TURIYU

    23 күн бұрын

    Shukran sana

  • @AbdulyNyanda
    @AbdulyNyandaАй бұрын

    Allah awape mnacho stail inshaallaah

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Ameen inshaa allah

  • @salamiharun
    @salamiharun29 күн бұрын

    MashaAllah shukran

  • @TURIYU

    @TURIYU

    29 күн бұрын

    👍

  • @OgandaSak-vv8ok
    @OgandaSak-vv8okАй бұрын

    Allah akuwekee wepesi kwa kila jambo lako yote

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Inshaa allah ameen

  • @azizayassin3623
    @azizayassin36232 ай бұрын

    Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh

  • @TURIYU

    @TURIYU

    2 ай бұрын

    Waalaikum salaam warahmatu llahi wabarakatuh

  • @TokoosFamily
    @TokoosFamilyАй бұрын

    ❤❤ naaamuu kbs

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    👍👍

  • @faizaabdulrasul1962
    @faizaabdulrasul19623 сағат бұрын

    Salam aleikum nitakutumia hela nunuwa lap top ni dollar ngapi nipe number ya whatsapp niko belguim

  • @user-oy8gk5fj2e
    @user-oy8gk5fj2eАй бұрын

    Ameena Allah akulipe

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Ameen

  • @abdallahsima7351
    @abdallahsima73512 ай бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @user-gd6kt9hu3t
    @user-gd6kt9hu3t21 күн бұрын

    Sasa kwa wanawake siku alizokua haswali jjee jee alitaje ivo ivo apange tu mda ule wa swala alitaje au inakuwaje hapo

  • @TURIYU

    @TURIYU

    21 күн бұрын

    Taja tu Haina shida ila kusoma qur aani ndio haifai ukiwa periode

  • @MombokaMomboka
    @MombokaMomboka2 ай бұрын

    Umesemakweri shekhe.

  • @TURIYU

    @TURIYU

    2 ай бұрын

    Shukrani inshaa allah

  • @salimfarid4690
    @salimfarid46902 ай бұрын

    Masha'Allah!

  • @TURIYU

    @TURIYU

    2 ай бұрын

    شكرن

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan61702 ай бұрын

    Shukran

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Ahsantum

  • @SaadaBenadi-pj2bn
    @SaadaBenadi-pj2bnАй бұрын

    ❤❤❤

  • @angle3600
    @angle36002 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @MariamSaidy
    @MariamSaidyАй бұрын

    Aslamykum kheh Allah akupe maisha marefu

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Ameeen ahsante sana dadaangu

  • @tausiabdallah6402
    @tausiabdallah6402Ай бұрын

    Masha allah

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    👍

  • @shumpong
    @shumpongАй бұрын

    🙏😔

  • @bahatigeorge5416
    @bahatigeorge5416Ай бұрын

    Nzurii sana

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Shukran

  • @mealiimwamasai3481
    @mealiimwamasai34812 ай бұрын

    Masha Allah inshaAllah Mwenyezi Mungu awajalie umri mrefu mzidi kutuelimisha

  • @TURIYU

    @TURIYU

    2 ай бұрын

    Ameen inshaa allah

  • @Naw89
    @Naw892 ай бұрын

    Allahu akbar Bi idhinillah nitafanya nitakuja kuleta jibu hapa hapa

  • @TURIYU

    @TURIYU

    2 ай бұрын

    Inshaa allah usiache kufanya

  • @rajabubuyege4311
    @rajabubuyege43112 ай бұрын

    Maashalaah

  • @TURIYU

    @TURIYU

    2 ай бұрын

    Shukran

  • @khamismussa6258
    @khamismussa62582 ай бұрын

    Masha Allah

  • @TURIYU

    @TURIYU

    2 ай бұрын

    Inshaa allah

  • @TURIYU

    @TURIYU

    2 ай бұрын

    شكرن

  • @user-wm7gu8os2i
    @user-wm7gu8os2i2 ай бұрын

    سكرا❤😢

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    انشا الله

  • @fatumakalombo392
    @fatumakalombo392Ай бұрын

    Mbona mnaficha sura zenu wapendwa? Tutaogopa tutafikir matapeli.

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Mimi sura yangu imejaa Sana katika video nyingi FUATILIA utaniona ila pia Mimi siuzi kitu hivyo hakuna element zozote za utapeli dadaangu

  • @fatmaabdallah7709

    @fatmaabdallah7709

    Ай бұрын

    Unachekesha sasa hapo utapeli uko wapi na mtu hakutaka pesa kwako kakufundisha uradi wa maana. Kama ni tapeli hata akiweka sura ni bure

  • @FaidaRuamuka
    @FaidaRuamuka2 ай бұрын

    ❤❤❤❤ hasante

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    بارك الله فيكم

  • @halimamvungi1
    @halimamvungi1Ай бұрын

    N

  • @FaidaRuamuka
    @FaidaRuamuka2 ай бұрын

    Amina❤❤❤

  • @TURIYU

    @TURIYU

    2 ай бұрын

    Karibu

  • @AhmadAlly-yt9xc
    @AhmadAlly-yt9xcАй бұрын

    Marshall nitumiye namba yenu ya whatsapp

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    ±255713521944

  • @Catherineuledi
    @CatherineulediАй бұрын

    sasa kwa mm mskristo na ruhusiwa kulitaja hill jina mara 94

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Mkristo Unaruhusiwa KUTAJA maana wewe ni mja wa mungu hata kama dini Yako ni tofauti maadam utambue kua unamtaja mungu tu

  • @Catherineuledi

    @Catherineuledi

    Ай бұрын

    sawa nashukuru sana nimefarijika. mungu akupe maisha marefu sasa natakiwa kulitaja muda gani.maana c jui chochote

  • @abdallahsima7351
    @abdallahsima73512 ай бұрын

    TURIYU TV MAA SHALLAH

  • @TURIYU

    @TURIYU

    2 ай бұрын

    Naaam alhabeeb dokta sima karibu dokta mwenzetu utupe na ushauri mwingine wa kidaktari pia

  • @abdallahsima7351

    @abdallahsima7351

    Ай бұрын

    @@TURIYU Wallah Daktari Mkubwa ni wewe Shekhe, mí ntasema nini alhabib

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA32112 ай бұрын

    Waongo, mbona hawasome misktni wakaacha kuchangisha ela

  • @kheriakida3309

    @kheriakida3309

    2 ай бұрын

    Makanisani kola siku yesu anatajwa na michango au sadaka zinaombwa, tofautisha sadaka na kuomba fedha

  • @kheriakida3309

    @kheriakida3309

    2 ай бұрын

    Sikiliza, ikiwa huelewi acha, au acha kuwasikiliza kabisa mana hawajakuita kwenye chanel yao

  • @alhajisengasu5956

    @alhajisengasu5956

    2 ай бұрын

    Neno km si lako achana nalo,sisi tumeelewa vzr sana

  • @NasmaThabith

    @NasmaThabith

    Ай бұрын

    Hivi unakijua unachokitamka???😢

  • @peterchilufya5688
    @peterchilufya5688Ай бұрын

    asalam alekum warahmatulahi wabarakatu mashala shehe naomba duwa mimi nnaishi nchini zambia natafuta kazi shehe tukopamoja Asalam ale kum

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Pole ila sikiliza vizuri hayo majina utapata tu ikupe barka ya kazi

  • @hikimaatimago2236
    @hikimaatimago2236Ай бұрын

    Allah hammdulilah 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Maa shaa allah

  • @RayaRuta-lt4tm
    @RayaRuta-lt4tm2 ай бұрын

    Mm nawapenda sana ila mukieka jina tayari na faida zake lzm mtu atakuwa ashajua ni jina gani na faida yake Nini lkn musipoliweka mkalitaja katikati ya kipindi.wstu watatakakujua ni jina gani lkn nyinyi mwaeka jina tayari na faida zake lzm mtu ataipita video maana ashajua ni jina gani

  • @TURIYU

    @TURIYU

    2 ай бұрын

    Naam dada Raya ruta twashkuru Sana Kwa ushauri wako mzuri ila lengo letu sio watu kusikiliza tu Bali hata kusoma pia ni Moja ya lengo letu kutimia kikubwa zaidi ni kupata radhi za mola wetu kwakutoa elimu kwanjia mbalimbali inshaa allah

  • @zahraabdul9652

    @zahraabdul9652

    Ай бұрын

    Mashallah 🥰

  • @user-kt4kk4cs5s

    @user-kt4kk4cs5s

    Ай бұрын

    MashaAllah Allah awahifadhi mzidi kutupa elmu na faida ktk dini yetu

  • @AbdulyNyanda

    @AbdulyNyanda

    Ай бұрын

    Assalaam alykum shehe ukifunga unafunga siku mfululizo na ukiwa unaswali nilazima swala za jamaa au

  • @user-hm5jl1kh2t

    @user-hm5jl1kh2t

    16 күн бұрын

    Mm naona hakuna ttzo mana ataa mtume aliwaambia maswahaba zake Fanya kitu flan kwa ajili ya kupata kitu utakacho sasa kwa kutuelimisha sio ttzo cous kila mtu ana matatizo yake

  • @FatmaAbdulkadir-in2zx
    @FatmaAbdulkadir-in2zxАй бұрын

    Asalam Aleykum naomba kujua Dua yakuwacha kusahausahau shukran

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Dua ya KUACHA kusahau fungua jina la arrahmani utapata maelekezo yake inshaa allah

  • @user-mx9pm4xm7m

    @user-mx9pm4xm7m

    Ай бұрын

    Tuko wengi wa kusahau sahau

  • @timahachimoassane9386
    @timahachimoassane9386Ай бұрын

    Naomba dua sheikh nasumbulia sana na kizunguzungu

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Pole Sana ndugu yangu inshaa allah mungu atakusimamia mi nadhani hao ni mashaitwani tu

  • @RehemaWere
    @RehemaWereАй бұрын

    Àsalam aleiqum warahmatullahi wabarakatu Nko na swali iwapo hzi swala sitapata mda wa kuisoma naeza zisoma usiku nilipishe ama??? Alafu niulize mtu akitaka kuwanunulia hyo za kutumia mko wapi, mm nko kenya na naeza jitolea kwa ajili ya Àllah 🙏

  • @TURIYU

    @TURIYU

    Ай бұрын

    Yes unaweza kulisha usiku lakini pia sisi twapatikana Tanzania dar es salaam hivyo ikiwa utafanikiwa kutuchukulia hivyo vifaa au kifaa ni rahisi Sana kutuma Kwa hapa tz ±255713521944

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928Ай бұрын

    Mashallah

  • @ZuhuraAbass
    @ZuhuraAbassАй бұрын

    Mashallah

Келесі