SOMA JINA HILI MARA 94 KUTAJIRIKA/KUPENDWA/ KUHESHIMIKA
Жүктеу.....
Пікірлер: 117
@AminaMudy-su5tzАй бұрын
Allah akulipe kila lakheri nawapenda kwaajili ya Allah
@TURIYU
Ай бұрын
Ameeen thumma ameen ahsante Kwa Dua Yako dada amina
@user-ng6yt2od7lАй бұрын
Tunashukuru sana Allah awape wepesi wa kila jambo
@TURIYU
Ай бұрын
Ameeen inshaa allah
@ZaitunMohammed-xo1vo14 күн бұрын
Mash Allah nimesikiliza nimevutiwa na Dua hii,natama ningetuma chochote kati ya laptop au cm ili na mimi ukaniombea ila inshallah siku nikijaliwa nitafanya hivyo.
@TURIYU
14 күн бұрын
Inshaa allah hamna shida inshaa allah
@Next001110 күн бұрын
Mashaallah mungu akubariki naomba number yako nataka kutibiwa
Maa shaa Allah kuhusu kusilim hebu njoo kwenye what's app yangu nikuelekeze Kwa no ±255713521944 au Tafuta masheikh huko ulipo waambie wakusilimishe inshaa allah
@zawadikimaro4087Ай бұрын
Sheghe mwenyezi MUNGU Akubariki Sana. Pia kwa wasio waislamu inakuaje??
@TURIYU
Ай бұрын
Kama sio muislamu bas atamtafuta muislamu amfanyie
Sheikh fuata ushauri Wa dada Raya, Pia video zisiwe ndefu Sana mb zinaenda sana, Punguza mbwembwe na miqaddima mirefu Sana inakula mb, nenda kwenye Lengo watu wengi wataangalia video zako nyingi
@TURIYU
Ай бұрын
Abdallah sima dokta sima shukran Sana dokta wangu na nashkuru pia kua kipenzi changu tangu tukiwa watoto mpaka ukubwani shukran
@abdallahsima7351
Ай бұрын
@@TURIYU Napenda sana ufanikiwe ndugu yangu, ukifanikiwa wewe, tunafanikiwa wengi INSHALLAH
@jumawaziri85012 ай бұрын
shukran sheikh
@TURIYU
2 ай бұрын
Ahsante maalim
@user-kk5nf3pu1g2 ай бұрын
Asante amen💋💋💋
@shabanimali245019 күн бұрын
Mungu awalipe Kwa Kila jambo jema
@TURIYU
19 күн бұрын
Ameen
@aminarama16332 ай бұрын
MashaALLALH shukran sanaa shehk wetu
@TURIYU
2 ай бұрын
Shukran
@ZainabuMussa-xm5jm16 күн бұрын
Maashaallah
@user-ct8kv9gs8s25 күн бұрын
Mashallah tabaraka allah 🎉🎉
@TURIYU
23 күн бұрын
Shukran sana
@AbdulyNyandaАй бұрын
Allah awape mnacho stail inshaallaah
@TURIYU
Ай бұрын
Ameen inshaa allah
@salamiharun29 күн бұрын
MashaAllah shukran
@TURIYU
29 күн бұрын
👍
@OgandaSak-vv8okАй бұрын
Allah akuwekee wepesi kwa kila jambo lako yote
@TURIYU
Ай бұрын
Inshaa allah ameen
@azizayassin36232 ай бұрын
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
@TURIYU
2 ай бұрын
Waalaikum salaam warahmatu llahi wabarakatuh
@TokoosFamilyАй бұрын
❤❤ naaamuu kbs
@TURIYU
Ай бұрын
👍👍
@faizaabdulrasul19623 сағат бұрын
Salam aleikum nitakutumia hela nunuwa lap top ni dollar ngapi nipe number ya whatsapp niko belguim
@user-oy8gk5fj2eАй бұрын
Ameena Allah akulipe
@TURIYU
Ай бұрын
Ameen
@abdallahsima73512 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@user-gd6kt9hu3t21 күн бұрын
Sasa kwa wanawake siku alizokua haswali jjee jee alitaje ivo ivo apange tu mda ule wa swala alitaje au inakuwaje hapo
@TURIYU
21 күн бұрын
Taja tu Haina shida ila kusoma qur aani ndio haifai ukiwa periode
@MombokaMomboka2 ай бұрын
Umesemakweri shekhe.
@TURIYU
2 ай бұрын
Shukrani inshaa allah
@salimfarid46902 ай бұрын
Masha'Allah!
@TURIYU
2 ай бұрын
شكرن
@mwanaidhassan61702 ай бұрын
Shukran
@TURIYU
Ай бұрын
Ahsantum
@SaadaBenadi-pj2bnАй бұрын
❤❤❤
@angle36002 ай бұрын
❤❤❤❤
@MariamSaidyАй бұрын
Aslamykum kheh Allah akupe maisha marefu
@TURIYU
Ай бұрын
Ameeen ahsante sana dadaangu
@tausiabdallah6402Ай бұрын
Masha allah
@TURIYU
Ай бұрын
👍
@shumpongАй бұрын
🙏😔
@bahatigeorge5416Ай бұрын
Nzurii sana
@TURIYU
Ай бұрын
Shukran
@mealiimwamasai34812 ай бұрын
Masha Allah inshaAllah Mwenyezi Mungu awajalie umri mrefu mzidi kutuelimisha
@TURIYU
2 ай бұрын
Ameen inshaa allah
@Naw892 ай бұрын
Allahu akbar Bi idhinillah nitafanya nitakuja kuleta jibu hapa hapa
@TURIYU
2 ай бұрын
Inshaa allah usiache kufanya
@rajabubuyege43112 ай бұрын
Maashalaah
@TURIYU
2 ай бұрын
Shukran
@khamismussa62582 ай бұрын
Masha Allah
@TURIYU
2 ай бұрын
Inshaa allah
@TURIYU
2 ай бұрын
شكرن
@user-wm7gu8os2i2 ай бұрын
سكرا❤😢
@TURIYU
Ай бұрын
انشا الله
@fatumakalombo392Ай бұрын
Mbona mnaficha sura zenu wapendwa? Tutaogopa tutafikir matapeli.
@TURIYU
Ай бұрын
Mimi sura yangu imejaa Sana katika video nyingi FUATILIA utaniona ila pia Mimi siuzi kitu hivyo hakuna element zozote za utapeli dadaangu
@fatmaabdallah7709
Ай бұрын
Unachekesha sasa hapo utapeli uko wapi na mtu hakutaka pesa kwako kakufundisha uradi wa maana. Kama ni tapeli hata akiweka sura ni bure
@FaidaRuamuka2 ай бұрын
❤❤❤❤ hasante
@TURIYU
Ай бұрын
بارك الله فيكم
@halimamvungi1Ай бұрын
N
@FaidaRuamuka2 ай бұрын
Amina❤❤❤
@TURIYU
2 ай бұрын
Karibu
@AhmadAlly-yt9xcАй бұрын
Marshall nitumiye namba yenu ya whatsapp
@TURIYU
Ай бұрын
±255713521944
@CatherineulediАй бұрын
sasa kwa mm mskristo na ruhusiwa kulitaja hill jina mara 94
@TURIYU
Ай бұрын
Mkristo Unaruhusiwa KUTAJA maana wewe ni mja wa mungu hata kama dini Yako ni tofauti maadam utambue kua unamtaja mungu tu
@Catherineuledi
Ай бұрын
sawa nashukuru sana nimefarijika. mungu akupe maisha marefu sasa natakiwa kulitaja muda gani.maana c jui chochote
@abdallahsima73512 ай бұрын
TURIYU TV MAA SHALLAH
@TURIYU
2 ай бұрын
Naaam alhabeeb dokta sima karibu dokta mwenzetu utupe na ushauri mwingine wa kidaktari pia
@abdallahsima7351
Ай бұрын
@@TURIYU Wallah Daktari Mkubwa ni wewe Shekhe, mí ntasema nini alhabib
@KAIPAAA32112 ай бұрын
Waongo, mbona hawasome misktni wakaacha kuchangisha ela
@kheriakida3309
2 ай бұрын
Makanisani kola siku yesu anatajwa na michango au sadaka zinaombwa, tofautisha sadaka na kuomba fedha
@kheriakida3309
2 ай бұрын
Sikiliza, ikiwa huelewi acha, au acha kuwasikiliza kabisa mana hawajakuita kwenye chanel yao
@alhajisengasu5956
2 ай бұрын
Neno km si lako achana nalo,sisi tumeelewa vzr sana
@NasmaThabith
Ай бұрын
Hivi unakijua unachokitamka???😢
@peterchilufya5688Ай бұрын
asalam alekum warahmatulahi wabarakatu mashala shehe naomba duwa mimi nnaishi nchini zambia natafuta kazi shehe tukopamoja Asalam ale kum
@TURIYU
Ай бұрын
Pole ila sikiliza vizuri hayo majina utapata tu ikupe barka ya kazi
@hikimaatimago2236Ай бұрын
Allah hammdulilah 🤲🤲🤲🤲🤲
@TURIYU
Ай бұрын
Maa shaa allah
@RayaRuta-lt4tm2 ай бұрын
Mm nawapenda sana ila mukieka jina tayari na faida zake lzm mtu atakuwa ashajua ni jina gani na faida yake Nini lkn musipoliweka mkalitaja katikati ya kipindi.wstu watatakakujua ni jina gani lkn nyinyi mwaeka jina tayari na faida zake lzm mtu ataipita video maana ashajua ni jina gani
@TURIYU
2 ай бұрын
Naam dada Raya ruta twashkuru Sana Kwa ushauri wako mzuri ila lengo letu sio watu kusikiliza tu Bali hata kusoma pia ni Moja ya lengo letu kutimia kikubwa zaidi ni kupata radhi za mola wetu kwakutoa elimu kwanjia mbalimbali inshaa allah
@zahraabdul9652
Ай бұрын
Mashallah 🥰
@user-kt4kk4cs5s
Ай бұрын
MashaAllah Allah awahifadhi mzidi kutupa elmu na faida ktk dini yetu
@AbdulyNyanda
Ай бұрын
Assalaam alykum shehe ukifunga unafunga siku mfululizo na ukiwa unaswali nilazima swala za jamaa au
@user-hm5jl1kh2t
16 күн бұрын
Mm naona hakuna ttzo mana ataa mtume aliwaambia maswahaba zake Fanya kitu flan kwa ajili ya kupata kitu utakacho sasa kwa kutuelimisha sio ttzo cous kila mtu ana matatizo yake
@FatmaAbdulkadir-in2zxАй бұрын
Asalam Aleykum naomba kujua Dua yakuwacha kusahausahau shukran
@TURIYU
Ай бұрын
Dua ya KUACHA kusahau fungua jina la arrahmani utapata maelekezo yake inshaa allah
@user-mx9pm4xm7m
Ай бұрын
Tuko wengi wa kusahau sahau
@timahachimoassane9386Ай бұрын
Naomba dua sheikh nasumbulia sana na kizunguzungu
@TURIYU
Ай бұрын
Pole Sana ndugu yangu inshaa allah mungu atakusimamia mi nadhani hao ni mashaitwani tu
@RehemaWereАй бұрын
Àsalam aleiqum warahmatullahi wabarakatu Nko na swali iwapo hzi swala sitapata mda wa kuisoma naeza zisoma usiku nilipishe ama??? Alafu niulize mtu akitaka kuwanunulia hyo za kutumia mko wapi, mm nko kenya na naeza jitolea kwa ajili ya Àllah 🙏
@TURIYU
Ай бұрын
Yes unaweza kulisha usiku lakini pia sisi twapatikana Tanzania dar es salaam hivyo ikiwa utafanikiwa kutuchukulia hivyo vifaa au kifaa ni rahisi Sana kutuma Kwa hapa tz ±255713521944
Пікірлер: 117
Allah akulipe kila lakheri nawapenda kwaajili ya Allah
@TURIYU
Ай бұрын
Ameeen thumma ameen ahsante Kwa Dua Yako dada amina
Tunashukuru sana Allah awape wepesi wa kila jambo
@TURIYU
Ай бұрын
Ameeen inshaa allah
Mash Allah nimesikiliza nimevutiwa na Dua hii,natama ningetuma chochote kati ya laptop au cm ili na mimi ukaniombea ila inshallah siku nikijaliwa nitafanya hivyo.
@TURIYU
14 күн бұрын
Inshaa allah hamna shida inshaa allah
Mashaallah mungu akubariki naomba number yako nataka kutibiwa
@TURIYU
10 күн бұрын
Namba IPO kwenye hio video
Mashallah
@TURIYU
29 күн бұрын
👍
Mimi''muniombe''duwa''munguanilaishishiyeanipeye''mumeninaye''mupenda'sana''''''''nakinginemimi''nimefulahiiyishen''mimini''muklistu''nikiswa''nikifatisha'iyomashariti''nitajibiwa'''''''''inginé'''swali''mimi''sijuwepesaningapi''awomutu'anatowazenye'anazo'''''''naniko''congonitazitumaaje''''''kinginenawezakuslim''aje''''''''
@TURIYU
Ай бұрын
Maa shaa Allah kuhusu kusilim hebu njoo kwenye what's app yangu nikuelekeze Kwa no ±255713521944 au Tafuta masheikh huko ulipo waambie wakusilimishe inshaa allah
Sheghe mwenyezi MUNGU Akubariki Sana. Pia kwa wasio waislamu inakuaje??
@TURIYU
Ай бұрын
Kama sio muislamu bas atamtafuta muislamu amfanyie
ALLAH AWALIPE KHEIR AWAONDOLLE KILA BAYA.
@TURIYU
Ай бұрын
Ameeen shukran dada fatma
Mashallah Allah akulinde shekhe
@TURIYU
Ай бұрын
Ameen inshaa allah
Lailaha Illallah Mohammadur Rasulullah, Subhana Rabiyyl álaa.
@TURIYU
2 ай бұрын
Maa shaa allah
@abdallahsima7351
2 ай бұрын
Sheikh fuata ushauri Wa dada Raya, Pia video zisiwe ndefu Sana mb zinaenda sana, Punguza mbwembwe na miqaddima mirefu Sana inakula mb, nenda kwenye Lengo watu wengi wataangalia video zako nyingi
@TURIYU
Ай бұрын
Abdallah sima dokta sima shukran Sana dokta wangu na nashkuru pia kua kipenzi changu tangu tukiwa watoto mpaka ukubwani shukran
@abdallahsima7351
Ай бұрын
@@TURIYU Napenda sana ufanikiwe ndugu yangu, ukifanikiwa wewe, tunafanikiwa wengi INSHALLAH
shukran sheikh
@TURIYU
2 ай бұрын
Ahsante maalim
Asante amen💋💋💋
Mungu awalipe Kwa Kila jambo jema
@TURIYU
19 күн бұрын
Ameen
MashaALLALH shukran sanaa shehk wetu
@TURIYU
2 ай бұрын
Shukran
Maashaallah
Mashallah tabaraka allah 🎉🎉
@TURIYU
23 күн бұрын
Shukran sana
Allah awape mnacho stail inshaallaah
@TURIYU
Ай бұрын
Ameen inshaa allah
MashaAllah shukran
@TURIYU
29 күн бұрын
👍
Allah akuwekee wepesi kwa kila jambo lako yote
@TURIYU
Ай бұрын
Inshaa allah ameen
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
@TURIYU
2 ай бұрын
Waalaikum salaam warahmatu llahi wabarakatuh
❤❤ naaamuu kbs
@TURIYU
Ай бұрын
👍👍
Salam aleikum nitakutumia hela nunuwa lap top ni dollar ngapi nipe number ya whatsapp niko belguim
Ameena Allah akulipe
@TURIYU
Ай бұрын
Ameen
🙏🙏🙏🙏
Sasa kwa wanawake siku alizokua haswali jjee jee alitaje ivo ivo apange tu mda ule wa swala alitaje au inakuwaje hapo
@TURIYU
21 күн бұрын
Taja tu Haina shida ila kusoma qur aani ndio haifai ukiwa periode
Umesemakweri shekhe.
@TURIYU
2 ай бұрын
Shukrani inshaa allah
Masha'Allah!
@TURIYU
2 ай бұрын
شكرن
Shukran
@TURIYU
Ай бұрын
Ahsantum
❤❤❤
❤❤❤❤
Aslamykum kheh Allah akupe maisha marefu
@TURIYU
Ай бұрын
Ameeen ahsante sana dadaangu
Masha allah
@TURIYU
Ай бұрын
👍
🙏😔
Nzurii sana
@TURIYU
Ай бұрын
Shukran
Masha Allah inshaAllah Mwenyezi Mungu awajalie umri mrefu mzidi kutuelimisha
@TURIYU
2 ай бұрын
Ameen inshaa allah
Allahu akbar Bi idhinillah nitafanya nitakuja kuleta jibu hapa hapa
@TURIYU
2 ай бұрын
Inshaa allah usiache kufanya
Maashalaah
@TURIYU
2 ай бұрын
Shukran
Masha Allah
@TURIYU
2 ай бұрын
Inshaa allah
@TURIYU
2 ай бұрын
شكرن
سكرا❤😢
@TURIYU
Ай бұрын
انشا الله
Mbona mnaficha sura zenu wapendwa? Tutaogopa tutafikir matapeli.
@TURIYU
Ай бұрын
Mimi sura yangu imejaa Sana katika video nyingi FUATILIA utaniona ila pia Mimi siuzi kitu hivyo hakuna element zozote za utapeli dadaangu
@fatmaabdallah7709
Ай бұрын
Unachekesha sasa hapo utapeli uko wapi na mtu hakutaka pesa kwako kakufundisha uradi wa maana. Kama ni tapeli hata akiweka sura ni bure
❤❤❤❤ hasante
@TURIYU
Ай бұрын
بارك الله فيكم
N
Amina❤❤❤
@TURIYU
2 ай бұрын
Karibu
Marshall nitumiye namba yenu ya whatsapp
@TURIYU
Ай бұрын
±255713521944
sasa kwa mm mskristo na ruhusiwa kulitaja hill jina mara 94
@TURIYU
Ай бұрын
Mkristo Unaruhusiwa KUTAJA maana wewe ni mja wa mungu hata kama dini Yako ni tofauti maadam utambue kua unamtaja mungu tu
@Catherineuledi
Ай бұрын
sawa nashukuru sana nimefarijika. mungu akupe maisha marefu sasa natakiwa kulitaja muda gani.maana c jui chochote
TURIYU TV MAA SHALLAH
@TURIYU
2 ай бұрын
Naaam alhabeeb dokta sima karibu dokta mwenzetu utupe na ushauri mwingine wa kidaktari pia
@abdallahsima7351
Ай бұрын
@@TURIYU Wallah Daktari Mkubwa ni wewe Shekhe, mí ntasema nini alhabib
Waongo, mbona hawasome misktni wakaacha kuchangisha ela
@kheriakida3309
2 ай бұрын
Makanisani kola siku yesu anatajwa na michango au sadaka zinaombwa, tofautisha sadaka na kuomba fedha
@kheriakida3309
2 ай бұрын
Sikiliza, ikiwa huelewi acha, au acha kuwasikiliza kabisa mana hawajakuita kwenye chanel yao
@alhajisengasu5956
2 ай бұрын
Neno km si lako achana nalo,sisi tumeelewa vzr sana
@NasmaThabith
Ай бұрын
Hivi unakijua unachokitamka???😢
asalam alekum warahmatulahi wabarakatu mashala shehe naomba duwa mimi nnaishi nchini zambia natafuta kazi shehe tukopamoja Asalam ale kum
@TURIYU
Ай бұрын
Pole ila sikiliza vizuri hayo majina utapata tu ikupe barka ya kazi
Allah hammdulilah 🤲🤲🤲🤲🤲
@TURIYU
Ай бұрын
Maa shaa allah
Mm nawapenda sana ila mukieka jina tayari na faida zake lzm mtu atakuwa ashajua ni jina gani na faida yake Nini lkn musipoliweka mkalitaja katikati ya kipindi.wstu watatakakujua ni jina gani lkn nyinyi mwaeka jina tayari na faida zake lzm mtu ataipita video maana ashajua ni jina gani
@TURIYU
2 ай бұрын
Naam dada Raya ruta twashkuru Sana Kwa ushauri wako mzuri ila lengo letu sio watu kusikiliza tu Bali hata kusoma pia ni Moja ya lengo letu kutimia kikubwa zaidi ni kupata radhi za mola wetu kwakutoa elimu kwanjia mbalimbali inshaa allah
@zahraabdul9652
Ай бұрын
Mashallah 🥰
@user-kt4kk4cs5s
Ай бұрын
MashaAllah Allah awahifadhi mzidi kutupa elmu na faida ktk dini yetu
@AbdulyNyanda
Ай бұрын
Assalaam alykum shehe ukifunga unafunga siku mfululizo na ukiwa unaswali nilazima swala za jamaa au
@user-hm5jl1kh2t
16 күн бұрын
Mm naona hakuna ttzo mana ataa mtume aliwaambia maswahaba zake Fanya kitu flan kwa ajili ya kupata kitu utakacho sasa kwa kutuelimisha sio ttzo cous kila mtu ana matatizo yake
Asalam Aleykum naomba kujua Dua yakuwacha kusahausahau shukran
@TURIYU
Ай бұрын
Dua ya KUACHA kusahau fungua jina la arrahmani utapata maelekezo yake inshaa allah
@user-mx9pm4xm7m
Ай бұрын
Tuko wengi wa kusahau sahau
Naomba dua sheikh nasumbulia sana na kizunguzungu
@TURIYU
Ай бұрын
Pole Sana ndugu yangu inshaa allah mungu atakusimamia mi nadhani hao ni mashaitwani tu
Àsalam aleiqum warahmatullahi wabarakatu Nko na swali iwapo hzi swala sitapata mda wa kuisoma naeza zisoma usiku nilipishe ama??? Alafu niulize mtu akitaka kuwanunulia hyo za kutumia mko wapi, mm nko kenya na naeza jitolea kwa ajili ya Àllah 🙏
@TURIYU
Ай бұрын
Yes unaweza kulisha usiku lakini pia sisi twapatikana Tanzania dar es salaam hivyo ikiwa utafanikiwa kutuchukulia hivyo vifaa au kifaa ni rahisi Sana kutuma Kwa hapa tz ±255713521944
Mashallah
Mashallah