Ruqyah ya kutibu hasad, uchawi na kutoa mashetani (Isikilize kila siku mpaka mpone, In Sha Allah)
Ruqya ya kutibu hasad, uchawi na kutoa mashetani (Isikilize kila siku mpaka mpone, In Sha Allah).
------------------
Kasema Allah Subhanallah Wataalah:
"وَإِذَا قُرِئَ ٱلْقُرْءَانُ فَٱسْتَمِعُوا۟ لَهُۥ وَأَنصِتُوا۟ لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ"
"Na isomwapo Qur'ani isikilizeni na mnyamaze ili mpate kurehemewa"
Пікірлер: 1 000
Eee mwenyezi Mungu naomba uniondoxhee shetwan aliyeko kichwani mwangu kupitia dua hii AMIN Amin
@user-ve3wu5jn1l
Ай бұрын
Atakuondoshea inshalah
@user-uw9it7hn5d
Ай бұрын
Pole ujlnajisikiaje
@KuluthumShokath
16 күн бұрын
❤❤❤@@user-ve3wu5jn1l
Mwenyezi Mungu nakuomba kupitia dua hii kutoka kwenye quran yako tukufu uniodolee kila mabalaa na makafara na matatizo yote yaliyo kusudiwa ndani ya mwili wangu amin
@chazcode-fl9jo
Ай бұрын
Amin amin ya rabbialamin🙏🤲
Hiii Dua Ina saidia sana kuondoa majini nawashirikina,, Weka kifuani sikiliza kadri uwezavyo itakusaidia kwa kudra za ALLAH
Naam kweli kabisa dua hizi zinazotoka kwenye quran ndo ponyo zetu wallahi Allahu aqbar Alahu aqbar Allahu aqbar
Alhamdulillah asanteh Allah nakuombea shekhe Allah akupe shifaa akulinde wewe na familia yako naomba azilinde na familia zetu sote atuondolee mabalaa shari majini mabaya husdaa ya Rabby naomba tuongezee nuru katika mambo yetu naomba utujaliw wepesi kwenye kila yalikua nagumu Ameen
Ewe yarab nisamehe mm n wazazi wangu ewe yarrab nisamehe mm n ndungu zangu.ewe yarab nisamehe mm n kizazi changu.ewe yarab nisamehe mm n waislam wote n walio tangulia pia uwasamehe amin 🤲🤲🤲
@lamiaawino3768
Жыл бұрын
Allahuma amiyn
@fatumaharuna8625
Жыл бұрын
Maashaallha
@user-rp3fe4zg2p
3 ай бұрын
Allahuma amin
@ZaitunSeif
3 ай бұрын
Yarabi mjalie tujaliee afia njema
@munirambarak1202
2 ай бұрын
Allahumma Ameen
Eeeh Allah tupe mwisho mwema turudi kwako mazima maana sisi binadamu ni viumbe dhaifu sana ufanye Wema uwe Ndani yetu na tukujue wewe ni Allah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@mankaswai5313
9 ай бұрын
Amiin 🤲
Yaarabii nijaalie subra katk maisha yangu uniepushe namaadui wanao nichukia bila sababu nipe subra katk utaftaj wangu nipe aman mm nafamilia yang kijaalie kizaz changu yaraab yadunia yakae mbl nas ujae wew ktk moy wang aaamiiiin
Mungu wangu wangu mwenye rehema na amani nakuomba nipe mwisho mwema mimi na familia yangu pamoja na waislamu wote wanaokuamini kuwa unaweza kusema kitu kiwe na kikawa mungu wangu nawasogeza wazazi wangu mbele zako na kuwaombea mwisho mwema 🙏 mungu ninakila sababu ya kukuabudu na kukuheshimu kwakuwa unanijua hata kabla hujaniumba Allahumma taqabali duaa 🤲 ya Allah subukhana huwataallah nilindie kazi yangu nipe amani ya ndoa yangu yarabla Allah mina niondole husida ijicho na mashetani wabaya katika maisha yangu mungu nipe mwisho mwema allahumma taqabali duaa 🤲 😭🤲
@jamilamtemi3429
6 күн бұрын
Allahuma Amin
Mashallah na shukuru tangia nisikilizi hii duwa mambo yangu ya naenda vizuri paka wachawi wamenishindwa wanakimbia wenye we❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Yaarabi nakuomba utuondole mabalaa yoto yahapa duniani utupe maisha.mema utuondolee maradhi utupe afya njema mm pamojana family yangu wangu mume wangu ndugu zanamarafiki pamoja namama yangu waondolee Maradha wote kwajumla❤❤ Amiin
zkupitia dua hii Naomba Ya Allah SWT oniondoshee Maradhi Ya Nyonga, Pingili za Mgongo na tumbo na Maradhi Ya Moyo yanayoanza nisumbua Mungu Wangu Nilinde na wivu na chuki za waja niondolee wabaya katika maisha yangu niletee Mema jenga mema kwangu niongezee kila panapopungua timiza ndoto zangu na jaalia familia yangu
@Ommyson.
5 ай бұрын
Allahumma amiina, Allah akujibu maombi yako inshallah amiin🙏
@azizauwase9207
3 ай бұрын
Allahuma aamiin Allah ukupokelee dua
@ElizabethLizzy-pk3zj
3 ай бұрын
Alluhamma amin tia nia 🤲
@halimakatetemela4955
3 ай бұрын
Allahuma Ameen
@munirambarak1202
2 ай бұрын
Allahumma Ameen
Nmeshindwa lala mauzauza yananijia moyo umekuwa na wasiwasi lakin kwa dua hili nmepata ata nguvu ya kuandika ujembe huu siamin na nlichokuwa nakisikia nje ya nyumba 🙏 inshaallah shekhe ulietuwekea hii dua allah azidi kukuweka utuponye waislam wote🙏
Yaalah nijalie mwisho mwema yaraabi jalia kizazi changu kiwe na hofu ya Allah waapushie na matatizo ya kidunia niaondolee mawazo niweze kuishi inchi ya watu kwa amani Amina yabii
Kwa mitihani niliyokua nayo ewe mwenyezimungu niondoshee kupitia Quran hii amiin 🤲
Mnsha Allah mnsha Allah yaa rabby nijaliyeee mema katika maisha yang niepushe namitihani iloja katika maisha yangu 😭😭🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏 Insha allah😭😭 niepushe na maradhi katika mwili wangu 🤲🤲🤲😭😭😭 Insha allah
Allah kwa dua hii naomba niondoshee maradhi yote mwilini,niepushe na husda wajua mateso nayopitia kwa dua hii nitakuwa Sawa inshallah
Alihadulillah mwenyezi mungu kwa ukubwa wako kwa utukufu wako kwa hekma yako na hikma ya quran yako tukufu na kwa ukalim wako na kwa upole wako nijalie niwe mja wako mwema na nijalie kwako niwe mwenye kutenda matendo yanayo kulizisha yaah allah nijalie nijalie mwisho mwema nijalie swala5 nakuomba ewe mwenyezi mungu kwa baraka yako na baraka za mtume Muhammad s w m nijalie lidhk na lidhk ilio ya halali amina
Alhamdulillah namshukur mwenyezi mungu kwakupitia dua hii ukaniondoshee husda na mabalaa yanayo nizinguka na uniepushie mapepo mabaya yaarabi kupitia dua hii naimani utaniponya.kupitua duahii nilindiye familia yangu nipindie kizazi changu na unipe mume bora Amin 🤲🤲🤲
Allah nakuomba nipe rizik nene unifungulie mazuri kwenye biashara yangu na unitolee husda na macho mabaya inshallah
Ya allh nakuomba kupitia Qur'an yak tukufu uniondolee maradhwi yanayo nisumbua mwili na unijalie niwe afy njema na unijalie niwe mwenye kuipenda Qur'an ishaallh na utujarie mwisho mwema❤ 8:57
ALLAH AKULIPE DUNIA NA AKHERA INSHAALLAH
Shukraan Jazeela..Qur'an ni tiba na pia ni Ukumbusho tosha...Ni maneno ya ajabu yanayotuliza hata nyoyo za wasokuwa waislamu❤️❤️❤️ Jazakallah khayr
Mwenyenzi Mungu kutumia Dua hii naomba umuondoshee mama angu adhabu na kaburi na umueke kwenye waja wema inshallah
Masha Allah Alhamdulillah Shukurni Sana Kwa Quran Hii Tukufu Alhamdulillah Hakika Kwa Allah Hakuna Linalo Shindikana ali Ya Jana Tofauti Na leo Alhamdulillah 🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾
Mashaallah Allah anijalie uzima na afya njema niendelee kuisikiliza kila siku maan nina mengi mazito allahumma ameen 🤲🤲🙏🏾🙏🏾😓
YAALLH kupitia kisomo hiki Nina kuomba niondolee maradhi ya kichwa nuksi Asadi na sihiri nilizo wekewa na familia yangu Na Mwanangu nasri umuwezeshe kutambaa kwa araka kwa kudra zako yarabi subuhnna Allah muondolee matatizo sugu mke wangu swaumu m,bwana Alihamdu lilakhi
Masha Allah, tabaraka Allah naskia moyo wangu una utulivu kabsa pindi tu Naskiza Qur'an inaposomwa ❤🧡💛💚💙💜🤎 jazakallahu kheri
@falhatmuhsin4930
2 жыл бұрын
Mashallah💗💜💖💕
Alhamduliliah yarabi naomba kupitia Dua hii ikapate kuniodoshea Kila lililo baya Kwngu inshallah
Yaa Allah nakuomba kupitia dua hii km kuna kitu chochote kibaya kimo ndani ya mwili wangu,ndani ya nyumba yangu,ndani ya familia yangu basi insha'Allah leo yote yaishe na yatoke kwa uwezo wako sw pia muondolee mama angu mzazi magonjwa yote na arudi ktk hali yake ya kawaida pia na mama mkwe wangu nifungulie millango ya risk na undoe nuksi kwenye familia yngu zidi kuwapa uelewa wanangu ktk elimu ya ekhera na dunia waepushe na majanga ya dunia ya rabilla allamina 🙏🙏
@rahmaally9151
Ай бұрын
Ameen yarrab
@chazcode-fl9jo
Ай бұрын
Amin amina yaarabbi takabal dual!
Allah atujaalie wepesi ktk kila la kheri na atuepishe na kila la shari, bi idhnihii
@tafsiriyaqurantukufukwakis966
4 жыл бұрын
Ameen
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
Amin Omar kwa sote
@aishaaaisha3815
3 жыл бұрын
Ameen 🤲🤲
@Awatee
3 жыл бұрын
Amiin Yarabal alamin
@omarykatongo4943
3 жыл бұрын
@@Awatee takabar mina
Alhamdulillah Yani na Mimi Leo ndo naioa hii hapa naisikiloza jinsi ninvyojisikia Allha ndo anajua,shekhe Allha akulipe kheri,amiin,hili si jambo dogo utatutibu wengi ishaallha
Alhamdhulillah nashukuru Allah kwakunionyesha njia iliyo sahihi Alhamdhulillah naamini Quran n tiba kamili 🤲🤲🤲
@zamojuma9920
Жыл бұрын
Ya Allah nakuomba mungu wangu uniwekee wepes katika mazito nayopitia nijalie nipate mume mwiisilamu ya rabi bila wewe Mimi siwezi nipekipato Cha halali nirehemie wazazi wangu mabibi na wakubwa zangu na ndugu na jamaa walio tangulia mbele za haki inshallah
@timesaleh6756
Жыл бұрын
Utapata mume mwenye heri na wewe na kila mwenye kuhitaji basi Allah amtatulie shida zake
Mungu na anifanyie wepesi kwa kila jambo langu, Insha'Allah 🙏.....Nipe amani ya moyo na furaha kwa jamaa zangu.....Niondolee Husda ,mikosi na nuksi za wabaya....Allah Wakbar
Mashallah mashallah alhamdu lilah ee mwenyezimungu muumba wavyote kupitia qulhan tukufu naomba uniondoshe namaradhi ya kishetwan ,uniepushe nahusda uniepushe nakila baya na unijalie mwisho mwema wa kukuabudu yarabi qarem
Mashallha kila mwenye shari na mimi yatamrejea mwenyewe kwa uwezo wa allha tulindiee na mabalaa mola wanguu tuepushe na kila ushirikina na kila bayaa amin yarrabi
@harithtwaha
3 жыл бұрын
Hiii dua imenisaidia
@mankaswai5313
9 ай бұрын
Mashallah amiin🤲
@Divathebawse
8 ай бұрын
amin
Mashaallah ninavyozidi kusikiliza Qur an tukufu ndipo navyozidi kupata amani ndani ya nafsi yangu
Penye uzito allah atufanyie wepesi atuondolee maradhi inshallah 👏
Namuomba mwenyezmungu kupitia duahii aniondoshee mitihani matati husuda hasad na anilindye kizazichangu na ndoa yangu na wazazi wangu na haya macho yanay nisumbua anajua mungu nakupitiya dua hii iwe tiba kwangu aamn❤
Maasha Allah Allah atukinge na mabaya yote dhidi ya mashetwan Amiin 🤲🤲🤲
@aldeneliseo7500
2 жыл бұрын
InstaBlaster...
Allah atutatulie dhiki na mitihani ya mahasidi atujalie wepesi kwa aya hizii yarabi
ALLAH AKULINDE ZAIDI NA SHARI ZA WALIMWENGU SHEIKH WETU NA AKUUJAALIE KATIKA WATU WA PEPONI INASHALLAH NA MIMI NAMUOMBA ALLAH ANIONDOSHEE MARADHI HASADI MAADUI WALONIZINGUKA KOTE KWENYE MAINSHA YANGU NA FAMIRIA YANGU ALLAH ATUJAALIE UPONYAJI KUPITIA DUA HII INSHALLAH NA ATUJAALIE MWISHO MWEMA WAISLAAM WOTE ULIMWENGUNI ISHALLAH
Kupitia dua hii namwomba Allah atulinde mie na familia yangu dhidi ya hasadi za walimwengu na kutujalia Afya njema
@rehemafeysali4444
4 ай бұрын
Amiin 🙏
Tunashuk kwa kisomo hiki Allha atufanyie wepesi wote wenye huitaji.
Ninaimani na Quran kitabu kitukufu hakika tutaponywa nayo kwa idhini ya ALLAH, Inshaallah
@africanoguy5140
2 жыл бұрын
Maashaallah tabaraka’llah🙏🏾 huja kosea kweli Qur’an ni shifaa kwa wanao amini
@mariamchuwa7916
Жыл бұрын
Mashallah allhamdullillah namshukuru
Mashaallah Allah Awajaaliye umri mrefu muzidi kutufanyiya duwa zakutuepusha nashari
Kwa uwezo Wa Allah najua mitihani ninayo ypitia kila siku in shaallah kwa uwezo Wa Allah itakwisha tu naomba unipe nguvu uvumilivu na afya njema hakuna unalo shindwa mungu wangu in shaallah 😭🙏
@rehemafeysali7968
Жыл бұрын
Amin inshaalah 🙏
@zainabalex9810
Жыл бұрын
Amiin inshallah
@alphoncymatara5108
4 ай бұрын
Amiin 🤲
@azizauwase9207
3 ай бұрын
Aamiin.kwa uwezo wa Allah utaweza
Mungu mkubwa sasa moyo wangu umetulia kwa kusikiliza hii dua
Masha Allah Mungu mkubwa nilipatwa na mtihani ya kishetwani lakini baada ya kuskiliza hii ruqiya nimepata unafuu hata kazi zangu nafanya ALLAH awape shifaa wote mnausumbuliwa na maradh🤲
@mwanasaidi5092
Жыл бұрын
Aamiin 🤲🤲🤲
@rahmaally9151
Жыл бұрын
Ameen thumma ameen
@malickrashid2672
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ameeeeb
@lamiaawino3768
Жыл бұрын
Amiyn Kwa sote
@tauhidajumahamad1218
Жыл бұрын
Amin🤲
Asante San kwa kuweza fungua moyo baada ya miaka takriban 5 sikuweza gusa msikiti Ila SAA 9 hii ya usiku nimeweza shika udhu na kushuhudilia apana mola apasae kuabudiwa Ila ni Allah tu na mtume Muhammad ni mjumbe wake na nimesujud na kutubia
@munirachipeta7829
Ай бұрын
Mola ndio muwezq you're akuna wakupingana nae
@Zafaabutterfly
13 күн бұрын
@@munirachipeta7829m
Yaaa allah yaaa allah ninakuomba mola wangu mlezi kupitia dua hii yarabi ninakuomba nikaondokewe NA kila shali kila husda kila mikos kila nuksi NA kila balaa NA nikapone kila maumivu ninayo yaskia mwilini mwangu pia nikathaminike NA kuonekana kazini kwangu maana hata nifanye jemagan sionekan sionekan lkn nasema alhamdulilah kwa rehma zako alaah yote yataisha nanitakaa sawa NA kazin nitaonekana NA kukubalika inshaallah allah qarim❤❤❤❤❤❤
Ee Mwenyezi Mungu , niondoshee dhiki ,ufakiri, na maradhi , na hasadi za viumbe wako, EWE ALLAH, Nisamehe makosa yangu , na uwarehemu wazazi wangu, na family yangu yote , Mwenyezi Mungu nifungulie Maisha yangu na ya watoto wangu na Mume wangu i 21:11 21:13
mashallah dua hii uwa naipenda kuisikiliza nikisikiliza navizuri allah anijalie niendelee kusiliza
Masha Allah.Mwenyeezi Mungu atujaalie Kila la heri in Shaa Allah. Amin Amin Amin
Mashaallah ❤ nashukru kwa kupata hiki some japo kwa mtandao lakini kimenipa imani ndani yamoyo wangu maana niko na matatizo mengi ndani ya mwili wangu kwa uwezo wa ALLAH na imani yangu kitanitibu kwa imani yangu.
Ewee Allah nakuomba kupitia dua ukaniondolee maradhi yote katika mwili wangu 🤲🤲🤲
Masha Allah. Namuomba Allah anijaalie rizki ktk shughuri zang, aniondolee husda mbaya, aniepushe na mabalaa, anikingu na maradhi makubwa na madogo, awaajalie watoto wang elimu dunia na elimu akhera wawe vichwa wasiwe mkia, amfanyie Mama yangu wepesi na kumuondoshea maradhi makubwa na madogo, atujalie familia tyweze kuelewana na kuoendana. Amiina Insha Allah
@zainabalex9810
Жыл бұрын
Amiin yarabi
@juliusaloyce5526
Жыл бұрын
Manshalla🙏
@zuenaali7391
Жыл бұрын
Amiin ya Allah
@AnitaMalko
9 ай бұрын
Masha Allah naamini atatizo yangu yataisha nasumbuliwa na mashweitani yakiwanga,
Shukran jazakallahu lkhair biidhnillah in shaa Allah matatizo yetu yoote yatatoka kwa hichi kisomo yaarab
@mishikitendo4441
3 жыл бұрын
Amiin
@ustadhkamoleabubakar0013
3 жыл бұрын
mishi mm ni ustadh abubakar nitafute inshallah +254728750946
@mishikitendo4441
3 жыл бұрын
@@ustadhkamoleabubakar0013 inshaallah
@fatimamzigua8333
2 жыл бұрын
Amiiiin yarabi 🤲🙏
@azizaosman3062
2 жыл бұрын
Amiin
Amen Allah atuondolee mabay Nami pamoja na Familia yngu atufanyie wepesi kweny nzito maradhi vifungo viishe
Ivi aowatu wanao dislike wanajua kweli utukufu wa qur'an au awajui walitendalo yaraby wasamehe😢😢😢
@aminaibrahim7438
3 жыл бұрын
Hawa sio wasilamu
@fatumahussein4705
3 жыл бұрын
Allah awazidishie
@najmaharoub280
3 жыл бұрын
Allah atawaongoza ishaallah wajue dini ya khaki
@NammanaMobile
3 жыл бұрын
Hakuna quran inayosomwa kwa mtindo huo iyo ni shirki ndugu... Kama mgonjwa anaumwa na akaitaji asomewe quran soma sura yote au hata msahafu mzima.. Na pia dawa zipo.. Na atakaekuletea hadith inayohalalisha uwo usomaji.. Allah anasema unaposoma maneno yake usipunguze wala kuzidisha.
@salhajuma2250
3 жыл бұрын
Allah awaongozee
MashaAllah Allah anijaalia niweze kuiskiza kila siku InshaAllah
@habibasaidi5206
2 жыл бұрын
Ewee mwezi mungu nijalie dua hii Mimi na familia yangu
@user-yh7zk8kp8u
7 күн бұрын
Amiin
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKUJAALIE KILA LA KHERI SHEIKH WETU NA FAMIRIA YAKO ALLAH AIJAZE NURU INSHALLAH
Allah nakuomba kupitia dua hii niepushe na husda za walimwengu majin wachafu wachai na kunipa ulinzi zidi yao🤲🤲
Yarabi anipatie subra katika kazi zangu ,anifungulie rizik, mwenye hubaya na mm humrudie inshaaallah🤲🤲
@hawaamohammed6687
2 жыл бұрын
Haswaaa umrudie aoneyana vyouma nakuteseka
@agiraali7693
Жыл бұрын
Haswaaa
@ukhtymdee8557
Жыл бұрын
Àlhumma Aaaamin 🤲 Yarababy Allah min
@rehemafeysali4444
4 ай бұрын
insha'Allah 🙏
Allah anijalie katika MAISHA yangu na familia yangu,anisimamie katika Kila jambo langu
Yarib wandoshe maradhi walionayo wanangu mugunisaidie zidikunipa shufa🤲🏼🤲🏼🤲🏼amiin amiin amiin👩👩👦👦💕💕💕💕💕
Ya ALLAH ss waja wako tufanyie wepesi kwa kila mtihani tunayopitia ya RABBI tuondolee matatizo mwilini mwetu ya RABBI kupitia dua hii sheikh ALLAH akujalie mema duniani na akhera amiiiiiiiin
Yaallah nakuomba kupitia dua hii kwa imani yangu mm kama mzazi kama mama naomba wanangu waondokokewe NA husda masheitwan majina ka kilichojificha kikafichuke kupia dua hii NA nguvu zako allah wape ulinz wako adui asiwe NA nafas abadan kila mwenye kusu uyu kuwafanyia ubaya aka aibike hazalani pia wajalie wtt wangu wawe wtt bola wenye maadili yako NA hofu yako pia wafike mbali kielimu ya dini NA elimu ya kizungu kwa rehma zako inshaallah ❤❤❤
Tunaomba za kudawnlod maalim hii haikubali kudawnlod kwa kweli ni nzuri sana
@mwakakigona2803
Жыл бұрын
Dah kweli haikubal
@SULUMUABDUL
2 ай бұрын
Mungu nifungue kwenye vifungo vibovu nipe amani ya moyo nilinde na usda za waja walinde wanangu na mume wangu namzazi wangu amina nisamee makosa yangu
@sameonesample4548
Ай бұрын
Mm pia nimeshindwa jamani msaada
Allaah awalipe maana tunapata falaja kubwa in shaaalh
Ewe mwenyezi mungu ama hakika ww ndio kila kitu katika huu ulimwengu tunakuomba utukinge na vitimbi vya wachawi mashwetani na majini wasiokutumikia ww mola wangu...amiin
Allah nakuomba unizidishie imani ndani ya moyo wangu unisame napo kosea mimi na waislam wenzag yaa rabbii
Jazaakallahu khayral jazaa Sheikh, Allah atutatulie mazito yawe mepesi.... Allahumma Ameen
@ajumaakange1483
2 жыл бұрын
Amini yarabla Amin 🙏🙏♥️♥️
@mudyzuber6500
2 жыл бұрын
Jazakallaah lkheri
@abuunuwairibin7569
2 жыл бұрын
اللهم آمين يارب العالمين 🤲
Mimi sio msilamu lakini anapenda kusikiliza Koran na dua yao🎉🎉
@hbnkingi
4 ай бұрын
MashaAllah 🤝🏽
@reenkim8390
3 ай бұрын
Mimi pia kwani naiman Mungu ni mmoja tunae mwabudu …. Inshaallah mwenyenzimungu atufanyie wepesi katika kila jambo 🤲
eeh mwenyezi mungu mwenye huruma telee, nihurumie mimi mkosefu mbele zako nipe moyo wa kukuabudu wewe pekee na kuachana na mambo ya dunia. Niondolee chuki na husuda za kila aina. eeeh mwenyezi mungu wajaalie makuzi mwma watoto wangu abdulrahim na alya, mjalie hekima mke wangu zulfa Ameen.
Mashallah Allah akuzidishie yarabi luv it
Masha Allah, Jazzakhah Allah khery namuombea M/mungu aniondoshee aya mazito niliyo nayo ,nipo mbali na family Allah aniondoshee aya maradhi na anifanyie wepesi katika utafutaji wangu pia nipate ridhiki kwa wepesi🤲🤲
@rehemafeysali7968
Жыл бұрын
Amin inshaalah 🙏
MashaAllah Allah aniepushe na USDA zinazoniadama Amin insha'Allah
Ewe Mwenyezi Mungu tujaliye mwisho mwema
@rukiarajab959
3 жыл бұрын
Ameen yarabi
@aishamdoe7
3 жыл бұрын
Ameen Insha'Allah
@malak-lz6kx
2 жыл бұрын
Amiiin.
@mwanasaidi5092
Жыл бұрын
Amiin Yarabi
@mankaswai5313
9 ай бұрын
Amiin 🤲
I love is quran😍❤❤❤
Ya allah tuondoree hasadi katika familia yetu inshallah na umponye mama yetu inshallah 🙏
Yaallah nakuomba ktk dua hii nip0ne maradhi yanayonitesa na nipate mtoto na umremu mama angu umuondoshe adhabu ya kaburi iwe shufaa kwangu na ndoa yangu amin yarabi
Ya allah mponye mama angu na amini dua hii inakwenda kumfungua vifungo vyote alivyofungwa na majini mabaya aliotumiwa inshallah 🤲🙏
@rahmaally9151
Ай бұрын
Aamiin yarrab
@hamiskindamba6929
14 сағат бұрын
Amin
ewe alla nijalie niwe na afya njema ijalie ndoa yangu iwe na amani inshallah
Alhamdulillah Mwenyezi MUNGU akuzidishie heri in sha allah. Shukrani.
Yarabi naomba uniongoze katika njiya iliyonyooka isowe ya wale ulowakasirikia na unijaalie mimi pamoja na wazaza wangu na wadogo zangu na unipe moyo wa subra na uniepushe na kila asri na sheirwani la kike na la kiume amiiiiiin yarabilaala miiiiin
Mashallah tabarakallah,ya allah ijalie iwe tiba kwa waislam wote
@user-yh7zk8kp8u
7 күн бұрын
Amin
Kheri inshaaAllah Allah atutatulie mazito yetu kupitia duaa hii Aamiin yaarab
namshukuru Allah kwa kunipa nafasi hii kwa mara ya kwanza tangu nimeolewa na kubadili dini nimepata faraja kusikiliza hii dua. nimepitia misukosuko mingi namuomba Allah anijalie afya njema mimi na familia yangu anilinde dhidi ya hasadi za walimwengu atimize haja ya moyo wangu inshallah!
Eee Allah nilinde na Hasadi za huu ulimwengu… nipe muongozo mzur wa kuku tumikia kila siku niamkapo….linda familia yangu katika mabaya Allah ….. fungua riski ndogondogo na zile kubwa kubwa katika maisha haya ulio tupatia ya mda mfupi apa duniani…. Nilinde na magonjwa yasinipate.. nijaalie mume bora wa kunipenda na haliyangu pamoja na familia yangu.. hakika Allah nijaalie mwisho mwema 🤲 inshaallah nikiomb na kwakuamini ndivyo itakavyo kuwa… Amin 🙏
Mwenyezi mungu atufanyie wepesi katika kila jambo amin!!
Shukuran shekhe wetu allah akuhifadhi na mabaya yote🙏🙏🙏🙏
Ya Rabb Alaamiin Azza wa Jal,Muumba wa mbingu na ardhi,mwenye kurehem,neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo..nikaomba na kutubu mbele zako Allah,nayakabidh maisha yangu,wazazi wangu,wangu,mume wangu na ndugu zangu..ya rabb tuongoze katika njia salama na yenye kukupendeza.tusamehe madhambi yetu,tujaalie mwisho mwema ya Allah.kupitia duah hii naomba unifungue vifungo vyote ima vya binaadam ama majini,hakuna linaloshindikana kwako Allah.tabaqal duah 😢🥹🤲
Ya Allah tulinde waislam wote na husda za shaitwani
@faridasabir6571
Жыл бұрын
Amin Allah Akbar ❤❤
@rahmaally9151
19 күн бұрын
Amiin thumma amiin
Masha Allah.. Allah bless you more shukran
Mashallah may Allah bless you and protect us from all the evil plans inshallah
@aminambarukmohammed6684
2 жыл бұрын
Ameen ya Rabb
@lamiaawino3768
Жыл бұрын
Amiin
@rizikiBinti-kv5jw
6 ай бұрын
Amiin 🤲ya Rabb
Mashaallah allah awafunguliye milango ya kher kwa kutuekea hiki kisomo
@irenenzembi4317
3 жыл бұрын
Yaarabi tujalie kheri kupitia hii dua inshallah tuepushie shari sisi waja wako jaza kalahukheri
@maryamkhamis9545
2 жыл бұрын
Mashallah allah atujalie kile lenye hery kwenye maish yetu yaraby
Namshukur Allah kunifanya kuwa mwislam amenipenda angalia zawadi hii ❤❤❤😂
Mashallah, YAA ALLAH NIPE SHIFAA kwa haya matatizo niliyonayo ndani ya mwili wangu🤲🤲🤲
@BENJAMINMWINUKA-zn5xc
10 ай бұрын
Nasumbuliwa na Jini mahaba. Kwa hii Dua naomba mwenyezimungu nitolee huyu kiumbe mbaya mabaya mengine yaliyokusudiwa kwangu
Mashaallah Shukran Allah awajalie nanyi afya njema awastri na mitihani kwa rehema zake Allah
@tafsiriyaqurantukufukwakis966
4 жыл бұрын
Ameen kwa wote
@zayyatiyussuf9566
4 жыл бұрын
@@tafsiriyaqurantukufukwakis966 Allahumma amin
@cristinakatana6809
3 жыл бұрын
Christina katana mwenyezi mungu aw zidishie her hap duniani na hahera
@fatumamohamed5608
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲
@Awatee
3 жыл бұрын
Amiin