Ruqyah ya kutibu hasad, uchawi na kutoa mashetani (Isikilize kila siku mpaka mpone, In Sha Allah)

Ruqya ya kutibu hasad, uchawi na kutoa mashetani (Isikilize kila siku mpaka mpone, In Sha Allah).
------------------
Kasema Allah Subhanallah Wataalah:
"وَإِذَا قُرِئَ ٱلْقُرْءَانُ فَٱسْتَمِعُوا۟ لَهُۥ وَأَنصِتُوا۟ لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ"
"Na isomwapo Qur'ani isikilizeni na mnyamaze ili mpate kurehemewa"

Пікірлер: 1 000

  • @medmusmus
    @medmusmus4 ай бұрын

    Eee mwenyezi Mungu naomba uniondoxhee shetwan aliyeko kichwani mwangu kupitia dua hii AMIN Amin

  • @user-ve3wu5jn1l

    @user-ve3wu5jn1l

    Ай бұрын

    Atakuondoshea inshalah

  • @user-uw9it7hn5d

    @user-uw9it7hn5d

    Ай бұрын

    Pole ujlnajisikiaje

  • @KuluthumShokath

    @KuluthumShokath

    16 күн бұрын

    ❤❤❤​@@user-ve3wu5jn1l

  • @josephmuiya2934
    @josephmuiya2934 Жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu nakuomba kupitia dua hii kutoka kwenye quran yako tukufu uniodolee kila mabalaa na makafara na matatizo yote yaliyo kusudiwa ndani ya mwili wangu amin

  • @chazcode-fl9jo

    @chazcode-fl9jo

    Ай бұрын

    Amin amin ya rabbialamin🙏🤲

  • @AbubarIsmailMsechu
    @AbubarIsmailMsechu2 ай бұрын

    Hiii Dua Ina saidia sana kuondoa majini nawashirikina,, Weka kifuani sikiliza kadri uwezavyo itakusaidia kwa kudra za ALLAH

  • @thuwaibaidrisa7802
    @thuwaibaidrisa78026 ай бұрын

    Naam kweli kabisa dua hizi zinazotoka kwenye quran ndo ponyo zetu wallahi Allahu aqbar Alahu aqbar Allahu aqbar

  • @blessingmushi-py6ug
    @blessingmushi-py6ug Жыл бұрын

    Alhamdulillah asanteh Allah nakuombea shekhe Allah akupe shifaa akulinde wewe na familia yako naomba azilinde na familia zetu sote atuondolee mabalaa shari majini mabaya husdaa ya Rabby naomba tuongezee nuru katika mambo yetu naomba utujaliw wepesi kwenye kila yalikua nagumu Ameen

  • @tohidaluvuno5858
    @tohidaluvuno5858 Жыл бұрын

    Ewe yarab nisamehe mm n wazazi wangu ewe yarrab nisamehe mm n ndungu zangu.ewe yarab nisamehe mm n kizazi changu.ewe yarab nisamehe mm n waislam wote n walio tangulia pia uwasamehe amin 🤲🤲🤲

  • @lamiaawino3768

    @lamiaawino3768

    Жыл бұрын

    Allahuma amiyn

  • @fatumaharuna8625

    @fatumaharuna8625

    Жыл бұрын

    Maashaallha

  • @user-rp3fe4zg2p

    @user-rp3fe4zg2p

    3 ай бұрын

    Allahuma amin

  • @ZaitunSeif

    @ZaitunSeif

    3 ай бұрын

    Yarabi mjalie tujaliee afia njema

  • @munirambarak1202

    @munirambarak1202

    2 ай бұрын

    Allahumma Ameen

  • @johnnyariza6460
    @johnnyariza646011 ай бұрын

    Eeeh Allah tupe mwisho mwema turudi kwako mazima maana sisi binadamu ni viumbe dhaifu sana ufanye Wema uwe Ndani yetu na tukujue wewe ni Allah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mankaswai5313

    @mankaswai5313

    9 ай бұрын

    Amiin 🤲

  • @user-ki9le1jy8e
    @user-ki9le1jy8e7 ай бұрын

    Yaarabii nijaalie subra katk maisha yangu uniepushe namaadui wanao nichukia bila sababu nipe subra katk utaftaj wangu nipe aman mm nafamilia yang kijaalie kizaz changu yaraab yadunia yakae mbl nas ujae wew ktk moy wang aaamiiiin

  • @jumannewazir6716
    @jumannewazir67167 ай бұрын

    Mungu wangu wangu mwenye rehema na amani nakuomba nipe mwisho mwema mimi na familia yangu pamoja na waislamu wote wanaokuamini kuwa unaweza kusema kitu kiwe na kikawa mungu wangu nawasogeza wazazi wangu mbele zako na kuwaombea mwisho mwema 🙏 mungu ninakila sababu ya kukuabudu na kukuheshimu kwakuwa unanijua hata kabla hujaniumba Allahumma taqabali duaa 🤲 ya Allah subukhana huwataallah nilindie kazi yangu nipe amani ya ndoa yangu yarabla Allah mina niondole husida ijicho na mashetani wabaya katika maisha yangu mungu nipe mwisho mwema allahumma taqabali duaa 🤲 😭🤲

  • @jamilamtemi3429

    @jamilamtemi3429

    6 күн бұрын

    Allahuma Amin

  • @AnabAbdallah-ii7ou
    @AnabAbdallah-ii7ou Жыл бұрын

    Mashallah na shukuru tangia nisikilizi hii duwa mambo yangu ya naenda vizuri paka wachawi wamenishindwa wanakimbia wenye we❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-hp6rx1gk2g
    @user-hp6rx1gk2g11 ай бұрын

    Yaarabi nakuomba utuondole mabalaa yoto yahapa duniani utupe maisha.mema utuondolee maradhi utupe afya njema mm pamojana family yangu wangu mume wangu ndugu zanamarafiki pamoja namama yangu waondolee Maradha wote kwajumla❤❤ Amiin

  • @Divathebawse
    @Divathebawse8 ай бұрын

    zkupitia dua hii Naomba Ya Allah SWT oniondoshee Maradhi Ya Nyonga, Pingili za Mgongo na tumbo na Maradhi Ya Moyo yanayoanza nisumbua Mungu Wangu Nilinde na wivu na chuki za waja niondolee wabaya katika maisha yangu niletee Mema jenga mema kwangu niongezee kila panapopungua timiza ndoto zangu na jaalia familia yangu

  • @Ommyson.

    @Ommyson.

    5 ай бұрын

    Allahumma amiina, Allah akujibu maombi yako inshallah amiin🙏

  • @azizauwase9207

    @azizauwase9207

    3 ай бұрын

    Allahuma aamiin Allah ukupokelee dua

  • @ElizabethLizzy-pk3zj

    @ElizabethLizzy-pk3zj

    3 ай бұрын

    Alluhamma amin tia nia 🤲

  • @halimakatetemela4955

    @halimakatetemela4955

    3 ай бұрын

    Allahuma Ameen

  • @munirambarak1202

    @munirambarak1202

    2 ай бұрын

    Allahumma Ameen

  • @user-xq3nh7kh5l
    @user-xq3nh7kh5l5 ай бұрын

    Nmeshindwa lala mauzauza yananijia moyo umekuwa na wasiwasi lakin kwa dua hili nmepata ata nguvu ya kuandika ujembe huu siamin na nlichokuwa nakisikia nje ya nyumba 🙏 inshaallah shekhe ulietuwekea hii dua allah azidi kukuweka utuponye waislam wote🙏

  • @user-ek7gk2yb1o
    @user-ek7gk2yb1o Жыл бұрын

    Yaalah nijalie mwisho mwema yaraabi jalia kizazi changu kiwe na hofu ya Allah waapushie na matatizo ya kidunia niaondolee mawazo niweze kuishi inchi ya watu kwa amani Amina yabii

  • @user-ix9nd2jt8j
    @user-ix9nd2jt8j2 ай бұрын

    Kwa mitihani niliyokua nayo ewe mwenyezimungu niondoshee kupitia Quran hii amiin 🤲

  • @mariamungendakumana6887
    @mariamungendakumana68872 жыл бұрын

    Mnsha Allah mnsha Allah yaa rabby nijaliyeee mema katika maisha yang niepushe namitihani iloja katika maisha yangu 😭😭🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏 Insha allah😭😭 niepushe na maradhi katika mwili wangu 🤲🤲🤲😭😭😭 Insha allah

  • @lisawilliam6623
    @lisawilliam6623 Жыл бұрын

    Allah kwa dua hii naomba niondoshee maradhi yote mwilini,niepushe na husda wajua mateso nayopitia kwa dua hii nitakuwa Sawa inshallah

  • @ibrahimuyusufu2890
    @ibrahimuyusufu2890 Жыл бұрын

    Alihadulillah mwenyezi mungu kwa ukubwa wako kwa utukufu wako kwa hekma yako na hikma ya quran yako tukufu na kwa ukalim wako na kwa upole wako nijalie niwe mja wako mwema na nijalie kwako niwe mwenye kutenda matendo yanayo kulizisha yaah allah nijalie nijalie mwisho mwema nijalie swala5 nakuomba ewe mwenyezi mungu kwa baraka yako na baraka za mtume Muhammad s w m nijalie lidhk na lidhk ilio ya halali amina

  • @user-td1qu5ku2e
    @user-td1qu5ku2e8 ай бұрын

    Alhamdulillah namshukur mwenyezi mungu kwakupitia dua hii ukaniondoshee husda na mabalaa yanayo nizinguka na uniepushie mapepo mabaya yaarabi kupitia dua hii naimani utaniponya.kupitua duahii nilindiye familia yangu nipindie kizazi changu na unipe mume bora Amin 🤲🤲🤲

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Жыл бұрын

    Allah nakuomba nipe rizik nene unifungulie mazuri kwenye biashara yangu na unitolee husda na macho mabaya inshallah

  • @user-rb1jd9gk6u
    @user-rb1jd9gk6u Жыл бұрын

    Ya allh nakuomba kupitia Qur'an yak tukufu uniondolee maradhwi yanayo nisumbua mwili na unijalie niwe afy njema na unijalie niwe mwenye kuipenda Qur'an ishaallh na utujarie mwisho mwema❤ 8:57

  • @sharifashabani7182
    @sharifashabani71822 жыл бұрын

    ALLAH AKULIPE DUNIA NA AKHERA INSHAALLAH

  • @teacherhassan5260
    @teacherhassan5260 Жыл бұрын

    Shukraan Jazeela..Qur'an ni tiba na pia ni Ukumbusho tosha...Ni maneno ya ajabu yanayotuliza hata nyoyo za wasokuwa waislamu❤️❤️❤️ Jazakallah khayr

  • @luckymsafiri9045
    @luckymsafiri9045 Жыл бұрын

    Mwenyenzi Mungu kutumia Dua hii naomba umuondoshee mama angu adhabu na kaburi na umueke kwenye waja wema inshallah

  • @najmajoneke7413
    @najmajoneke7413 Жыл бұрын

    Masha Allah Alhamdulillah Shukurni Sana Kwa Quran Hii Tukufu Alhamdulillah Hakika Kwa Allah Hakuna Linalo Shindikana ali Ya Jana Tofauti Na leo Alhamdulillah 🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾

  • @zainaramadhan4034
    @zainaramadhan40342 жыл бұрын

    Mashaallah Allah anijalie uzima na afya njema niendelee kuisikiliza kila siku maan nina mengi mazito allahumma ameen 🤲🤲🙏🏾🙏🏾😓

  • @KINGOFLOVE-lc2nb
    @KINGOFLOVE-lc2nbАй бұрын

    YAALLH kupitia kisomo hiki Nina kuomba niondolee maradhi ya kichwa nuksi Asadi na sihiri nilizo wekewa na familia yangu Na Mwanangu nasri umuwezeshe kutambaa kwa araka kwa kudra zako yarabi subuhnna Allah muondolee matatizo sugu mke wangu swaumu m,bwana Alihamdu lilakhi

  • @jacobponga1540
    @jacobponga15402 жыл бұрын

    Masha Allah, tabaraka Allah naskia moyo wangu una utulivu kabsa pindi tu Naskiza Qur'an inaposomwa ❤🧡💛💚💙💜🤎 jazakallahu kheri

  • @falhatmuhsin4930

    @falhatmuhsin4930

    2 жыл бұрын

    Mashallah💗💜💖💕

  • @zainabalex9810
    @zainabalex9810 Жыл бұрын

    Alhamduliliah yarabi naomba kupitia Dua hii ikapate kuniodoshea Kila lililo baya Kwngu inshallah

  • @nurujuma-qs4jr
    @nurujuma-qs4jr Жыл бұрын

    Yaa Allah nakuomba kupitia dua hii km kuna kitu chochote kibaya kimo ndani ya mwili wangu,ndani ya nyumba yangu,ndani ya familia yangu basi insha'Allah leo yote yaishe na yatoke kwa uwezo wako sw pia muondolee mama angu mzazi magonjwa yote na arudi ktk hali yake ya kawaida pia na mama mkwe wangu nifungulie millango ya risk na undoe nuksi kwenye familia yngu zidi kuwapa uelewa wanangu ktk elimu ya ekhera na dunia waepushe na majanga ya dunia ya rabilla allamina 🙏🙏

  • @rahmaally9151

    @rahmaally9151

    Ай бұрын

    Ameen yarrab

  • @chazcode-fl9jo

    @chazcode-fl9jo

    Ай бұрын

    Amin amina yaarabbi takabal dual!

  • @omarykatongo4943
    @omarykatongo49434 жыл бұрын

    Allah atujaalie wepesi ktk kila la kheri na atuepishe na kila la shari, bi idhnihii

  • @tafsiriyaqurantukufukwakis966

    @tafsiriyaqurantukufukwakis966

    4 жыл бұрын

    Ameen

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    4 жыл бұрын

    Amin Omar kwa sote

  • @aishaaaisha3815

    @aishaaaisha3815

    3 жыл бұрын

    Ameen 🤲🤲

  • @Awatee

    @Awatee

    3 жыл бұрын

    Amiin Yarabal alamin

  • @omarykatongo4943

    @omarykatongo4943

    3 жыл бұрын

    @@Awatee takabar mina

  • @fatumaharuna8625
    @fatumaharuna8625 Жыл бұрын

    Alhamdulillah Yani na Mimi Leo ndo naioa hii hapa naisikiloza jinsi ninvyojisikia Allha ndo anajua,shekhe Allha akulipe kheri,amiin,hili si jambo dogo utatutibu wengi ishaallha

  • @fatmanasor6362
    @fatmanasor63622 жыл бұрын

    Alhamdhulillah nashukuru Allah kwakunionyesha njia iliyo sahihi Alhamdhulillah naamini Quran n tiba kamili 🤲🤲🤲

  • @zamojuma9920

    @zamojuma9920

    Жыл бұрын

    Ya Allah nakuomba mungu wangu uniwekee wepes katika mazito nayopitia nijalie nipate mume mwiisilamu ya rabi bila wewe Mimi siwezi nipekipato Cha halali nirehemie wazazi wangu mabibi na wakubwa zangu na ndugu na jamaa walio tangulia mbele za haki inshallah

  • @timesaleh6756

    @timesaleh6756

    Жыл бұрын

    Utapata mume mwenye heri na wewe na kila mwenye kuhitaji basi Allah amtatulie shida zake

  • @tamarablack254
    @tamarablack254 Жыл бұрын

    Mungu na anifanyie wepesi kwa kila jambo langu, Insha'Allah 🙏.....Nipe amani ya moyo na furaha kwa jamaa zangu.....Niondolee Husda ,mikosi na nuksi za wabaya....Allah Wakbar

  • @aishalibaba
    @aishalibaba2 ай бұрын

    Mashallah mashallah alhamdu lilah ee mwenyezimungu muumba wavyote kupitia qulhan tukufu naomba uniondoshe namaradhi ya kishetwan ,uniepushe nahusda uniepushe nakila baya na unijalie mwisho mwema wa kukuabudu yarabi qarem

  • @azizaallliez7627
    @azizaallliez76273 жыл бұрын

    Mashallha kila mwenye shari na mimi yatamrejea mwenyewe kwa uwezo wa allha tulindiee na mabalaa mola wanguu tuepushe na kila ushirikina na kila bayaa amin yarrabi

  • @harithtwaha

    @harithtwaha

    3 жыл бұрын

    Hiii dua imenisaidia

  • @mankaswai5313

    @mankaswai5313

    9 ай бұрын

    Mashallah amiin🤲

  • @Divathebawse

    @Divathebawse

    8 ай бұрын

    amin

  • @user-rd9lv8bj1m
    @user-rd9lv8bj1m9 ай бұрын

    Mashaallah ninavyozidi kusikiliza Qur an tukufu ndipo navyozidi kupata amani ndani ya nafsi yangu

  • @enzoon5796
    @enzoon5796 Жыл бұрын

    Penye uzito allah atufanyie wepesi atuondolee maradhi inshallah 👏

  • @OmanNizwa-uc4ub
    @OmanNizwa-uc4ub26 күн бұрын

    Namuomba mwenyezmungu kupitia duahii aniondoshee mitihani matati husuda hasad na anilindye kizazichangu na ndoa yangu na wazazi wangu na haya macho yanay nisumbua anajua mungu nakupitiya dua hii iwe tiba kwangu aamn❤

  • @aishayusuf6862
    @aishayusuf68623 жыл бұрын

    Maasha Allah Allah atukinge na mabaya yote dhidi ya mashetwan Amiin 🤲🤲🤲

  • @aldeneliseo7500

    @aldeneliseo7500

    2 жыл бұрын

    InstaBlaster...

  • @husnaabdulrahman8457
    @husnaabdulrahman84572 жыл бұрын

    Allah atutatulie dhiki na mitihani ya mahasidi atujalie wepesi kwa aya hizii yarabi

  • @ashashaban6484
    @ashashaban64842 жыл бұрын

    ALLAH AKULINDE ZAIDI NA SHARI ZA WALIMWENGU SHEIKH WETU NA AKUUJAALIE KATIKA WATU WA PEPONI INASHALLAH NA MIMI NAMUOMBA ALLAH ANIONDOSHEE MARADHI HASADI MAADUI WALONIZINGUKA KOTE KWENYE MAINSHA YANGU NA FAMIRIA YANGU ALLAH ATUJAALIE UPONYAJI KUPITIA DUA HII INSHALLAH NA ATUJAALIE MWISHO MWEMA WAISLAAM WOTE ULIMWENGUNI ISHALLAH

  • @maidajuma9331
    @maidajuma933110 ай бұрын

    Kupitia dua hii namwomba Allah atulinde mie na familia yangu dhidi ya hasadi za walimwengu na kutujalia Afya njema

  • @rehemafeysali4444

    @rehemafeysali4444

    4 ай бұрын

    Amiin 🙏

  • @mwajeyhassan9248
    @mwajeyhassan9248 Жыл бұрын

    Tunashuk kwa kisomo hiki Allha atufanyie wepesi wote wenye huitaji.

  • @samirasadasalum5974
    @samirasadasalum59742 жыл бұрын

    Ninaimani na Quran kitabu kitukufu hakika tutaponywa nayo kwa idhini ya ALLAH, Inshaallah

  • @africanoguy5140

    @africanoguy5140

    2 жыл бұрын

    Maashaallah tabaraka’llah🙏🏾 huja kosea kweli Qur’an ni shifaa kwa wanao amini

  • @mariamchuwa7916

    @mariamchuwa7916

    Жыл бұрын

    Mashallah allhamdullillah namshukuru

  • @tumuabdallah9663
    @tumuabdallah96632 жыл бұрын

    Mashaallah Allah Awajaaliye umri mrefu muzidi kutufanyiya duwa zakutuepusha nashari

  • @naimarasheed5857
    @naimarasheed58572 жыл бұрын

    Kwa uwezo Wa Allah najua mitihani ninayo ypitia kila siku in shaallah kwa uwezo Wa Allah itakwisha tu naomba unipe nguvu uvumilivu na afya njema hakuna unalo shindwa mungu wangu in shaallah 😭🙏

  • @rehemafeysali7968

    @rehemafeysali7968

    Жыл бұрын

    Amin inshaalah 🙏

  • @zainabalex9810

    @zainabalex9810

    Жыл бұрын

    Amiin inshallah

  • @alphoncymatara5108

    @alphoncymatara5108

    4 ай бұрын

    Amiin 🤲

  • @azizauwase9207

    @azizauwase9207

    3 ай бұрын

    Aamiin.kwa uwezo wa Allah utaweza

  • @faridasabir6571
    @faridasabir6571 Жыл бұрын

    Mungu mkubwa sasa moyo wangu umetulia kwa kusikiliza hii dua

  • @salamsinani2301
    @salamsinani23012 жыл бұрын

    Masha Allah Mungu mkubwa nilipatwa na mtihani ya kishetwani lakini baada ya kuskiliza hii ruqiya nimepata unafuu hata kazi zangu nafanya ALLAH awape shifaa wote mnausumbuliwa na maradh🤲

  • @mwanasaidi5092

    @mwanasaidi5092

    Жыл бұрын

    Aamiin 🤲🤲🤲

  • @rahmaally9151

    @rahmaally9151

    Жыл бұрын

    Ameen thumma ameen

  • @malickrashid2672

    @malickrashid2672

    Жыл бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ameeeeb

  • @lamiaawino3768

    @lamiaawino3768

    Жыл бұрын

    Amiyn Kwa sote

  • @tauhidajumahamad1218

    @tauhidajumahamad1218

    Жыл бұрын

    Amin🤲

  • @issahamisi4066
    @issahamisi40668 ай бұрын

    Asante San kwa kuweza fungua moyo baada ya miaka takriban 5 sikuweza gusa msikiti Ila SAA 9 hii ya usiku nimeweza shika udhu na kushuhudilia apana mola apasae kuabudiwa Ila ni Allah tu na mtume Muhammad ni mjumbe wake na nimesujud na kutubia

  • @munirachipeta7829

    @munirachipeta7829

    Ай бұрын

    Mola ndio muwezq you're akuna wakupingana nae

  • @Zafaabutterfly

    @Zafaabutterfly

    13 күн бұрын

    ​@@munirachipeta7829m

  • @ASHURAASHURA-jx2if
    @ASHURAASHURA-jx2if7 ай бұрын

    Yaaa allah yaaa allah ninakuomba mola wangu mlezi kupitia dua hii yarabi ninakuomba nikaondokewe NA kila shali kila husda kila mikos kila nuksi NA kila balaa NA nikapone kila maumivu ninayo yaskia mwilini mwangu pia nikathaminike NA kuonekana kazini kwangu maana hata nifanye jemagan sionekan sionekan lkn nasema alhamdulilah kwa rehma zako alaah yote yataisha nanitakaa sawa NA kazin nitaonekana NA kukubalika inshaallah allah qarim❤❤❤❤❤❤

  • @hamisaramadhani9640
    @hamisaramadhani9640Ай бұрын

    Ee Mwenyezi Mungu , niondoshee dhiki ,ufakiri, na maradhi , na hasadi za viumbe wako, EWE ALLAH, Nisamehe makosa yangu , na uwarehemu wazazi wangu, na family yangu yote , Mwenyezi Mungu nifungulie Maisha yangu na ya watoto wangu na Mume wangu i 21:11 21:13

  • @pilicharo4123
    @pilicharo4123 Жыл бұрын

    mashallah dua hii uwa naipenda kuisikiliza nikisikiliza navizuri allah anijalie niendelee kusiliza

  • @bunuadiyo5944
    @bunuadiyo59442 жыл бұрын

    Masha Allah.Mwenyeezi Mungu atujaalie Kila la heri in Shaa Allah. Amin Amin Amin

  • @aminajuma7162
    @aminajuma7162 Жыл бұрын

    Mashaallah ❤ nashukru kwa kupata hiki some japo kwa mtandao lakini kimenipa imani ndani yamoyo wangu maana niko na matatizo mengi ndani ya mwili wangu kwa uwezo wa ALLAH na imani yangu kitanitibu kwa imani yangu.

  • @TausRamadan-fq9zd
    @TausRamadan-fq9zd Жыл бұрын

    Ewee Allah nakuomba kupitia dua ukaniondolee maradhi yote katika mwili wangu 🤲🤲🤲

  • @babykasisi307
    @babykasisi307 Жыл бұрын

    Masha Allah. Namuomba Allah anijaalie rizki ktk shughuri zang, aniondolee husda mbaya, aniepushe na mabalaa, anikingu na maradhi makubwa na madogo, awaajalie watoto wang elimu dunia na elimu akhera wawe vichwa wasiwe mkia, amfanyie Mama yangu wepesi na kumuondoshea maradhi makubwa na madogo, atujalie familia tyweze kuelewana na kuoendana. Amiina Insha Allah

  • @zainabalex9810

    @zainabalex9810

    Жыл бұрын

    Amiin yarabi

  • @juliusaloyce5526

    @juliusaloyce5526

    Жыл бұрын

    Manshalla🙏

  • @zuenaali7391

    @zuenaali7391

    Жыл бұрын

    Amiin ya Allah

  • @AnitaMalko

    @AnitaMalko

    9 ай бұрын

    Masha Allah naamini atatizo yangu yataisha nasumbuliwa na mashweitani yakiwanga,

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum23023 жыл бұрын

    Shukran jazakallahu lkhair biidhnillah in shaa Allah matatizo yetu yoote yatatoka kwa hichi kisomo yaarab

  • @mishikitendo4441

    @mishikitendo4441

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @ustadhkamoleabubakar0013

    @ustadhkamoleabubakar0013

    3 жыл бұрын

    mishi mm ni ustadh abubakar nitafute inshallah +254728750946

  • @mishikitendo4441

    @mishikitendo4441

    3 жыл бұрын

    @@ustadhkamoleabubakar0013 inshaallah

  • @fatimamzigua8333

    @fatimamzigua8333

    2 жыл бұрын

    Amiiiin yarabi 🤲🙏

  • @azizaosman3062

    @azizaosman3062

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @wardmohamood5845
    @wardmohamood5845 Жыл бұрын

    Amen Allah atuondolee mabay Nami pamoja na Familia yngu atufanyie wepesi kweny nzito maradhi vifungo viishe

  • @aishafeysal9630
    @aishafeysal96303 жыл бұрын

    Ivi aowatu wanao dislike wanajua kweli utukufu wa qur'an au awajui walitendalo yaraby wasamehe😢😢😢

  • @aminaibrahim7438

    @aminaibrahim7438

    3 жыл бұрын

    Hawa sio wasilamu

  • @fatumahussein4705

    @fatumahussein4705

    3 жыл бұрын

    Allah awazidishie

  • @najmaharoub280

    @najmaharoub280

    3 жыл бұрын

    Allah atawaongoza ishaallah wajue dini ya khaki

  • @NammanaMobile

    @NammanaMobile

    3 жыл бұрын

    Hakuna quran inayosomwa kwa mtindo huo iyo ni shirki ndugu... Kama mgonjwa anaumwa na akaitaji asomewe quran soma sura yote au hata msahafu mzima.. Na pia dawa zipo.. Na atakaekuletea hadith inayohalalisha uwo usomaji.. Allah anasema unaposoma maneno yake usipunguze wala kuzidisha.

  • @salhajuma2250

    @salhajuma2250

    3 жыл бұрын

    Allah awaongozee

  • @rukiaathman6247
    @rukiaathman62472 жыл бұрын

    MashaAllah Allah anijaalia niweze kuiskiza kila siku InshaAllah

  • @habibasaidi5206

    @habibasaidi5206

    2 жыл бұрын

    Ewee mwezi mungu nijalie dua hii Mimi na familia yangu

  • @user-yh7zk8kp8u

    @user-yh7zk8kp8u

    7 күн бұрын

    Amiin

  • @nuruddin5074
    @nuruddin5074 Жыл бұрын

    MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKUJAALIE KILA LA KHERI SHEIKH WETU NA FAMIRIA YAKO ALLAH AIJAZE NURU INSHALLAH

  • @user-xp1ph4xm6g
    @user-xp1ph4xm6gСағат бұрын

    Allah nakuomba kupitia dua hii niepushe na husda za walimwengu majin wachafu wachai na kunipa ulinzi zidi yao🤲🤲

  • @bintihemedmwarundu4615
    @bintihemedmwarundu46152 жыл бұрын

    Yarabi anipatie subra katika kazi zangu ,anifungulie rizik, mwenye hubaya na mm humrudie inshaaallah🤲🤲

  • @hawaamohammed6687

    @hawaamohammed6687

    2 жыл бұрын

    Haswaaa umrudie aoneyana vyouma nakuteseka

  • @agiraali7693

    @agiraali7693

    Жыл бұрын

    Haswaaa

  • @ukhtymdee8557

    @ukhtymdee8557

    Жыл бұрын

    Àlhumma Aaaamin 🤲 Yarababy Allah min

  • @rehemafeysali4444

    @rehemafeysali4444

    4 ай бұрын

    insha'Allah 🙏

  • @bety1995
    @bety1995 Жыл бұрын

    Allah anijalie katika MAISHA yangu na familia yangu,anisimamie katika Kila jambo langu

  • @jumamuhammed2777
    @jumamuhammed2777 Жыл бұрын

    Yarib wandoshe maradhi walionayo wanangu mugunisaidie zidikunipa shufa🤲🏼🤲🏼🤲🏼amiin amiin amiin👩‍👩‍👦‍👦💕💕💕💕💕

  • @AliMohamed-ng5ps
    @AliMohamed-ng5ps8 ай бұрын

    Ya ALLAH ss waja wako tufanyie wepesi kwa kila mtihani tunayopitia ya RABBI tuondolee matatizo mwilini mwetu ya RABBI kupitia dua hii sheikh ALLAH akujalie mema duniani na akhera amiiiiiiiin

  • @ASHURAASHURA-jx2if
    @ASHURAASHURA-jx2if7 ай бұрын

    Yaallah nakuomba kupitia dua hii kwa imani yangu mm kama mzazi kama mama naomba wanangu waondokokewe NA husda masheitwan majina ka kilichojificha kikafichuke kupia dua hii NA nguvu zako allah wape ulinz wako adui asiwe NA nafas abadan kila mwenye kusu uyu kuwafanyia ubaya aka aibike hazalani pia wajalie wtt wangu wawe wtt bola wenye maadili yako NA hofu yako pia wafike mbali kielimu ya dini NA elimu ya kizungu kwa rehma zako inshaallah ❤❤❤

  • @safiasleiman6176
    @safiasleiman61762 жыл бұрын

    Tunaomba za kudawnlod maalim hii haikubali kudawnlod kwa kweli ni nzuri sana

  • @mwakakigona2803

    @mwakakigona2803

    Жыл бұрын

    Dah kweli haikubal

  • @SULUMUABDUL

    @SULUMUABDUL

    2 ай бұрын

    Mungu nifungue kwenye vifungo vibovu nipe amani ya moyo nilinde na usda za waja walinde wanangu na mume wangu namzazi wangu amina nisamee makosa yangu

  • @sameonesample4548

    @sameonesample4548

    Ай бұрын

    Mm pia nimeshindwa jamani msaada

  • @tatukais6367
    @tatukais63673 жыл бұрын

    Allaah awalipe maana tunapata falaja kubwa in shaaalh

  • @hamismahmood
    @hamismahmood9 күн бұрын

    Ewe mwenyezi mungu ama hakika ww ndio kila kitu katika huu ulimwengu tunakuomba utukinge na vitimbi vya wachawi mashwetani na majini wasiokutumikia ww mola wangu...amiin

  • @ukhtyhumairah73
    @ukhtyhumairah7311 ай бұрын

    Allah nakuomba unizidishie imani ndani ya moyo wangu unisame napo kosea mimi na waislam wenzag yaa rabbii

  • @hamidahamada3913
    @hamidahamada39133 жыл бұрын

    Jazaakallahu khayral jazaa Sheikh, Allah atutatulie mazito yawe mepesi.... Allahumma Ameen

  • @ajumaakange1483

    @ajumaakange1483

    2 жыл бұрын

    Amini yarabla Amin 🙏🙏♥️♥️

  • @mudyzuber6500

    @mudyzuber6500

    2 жыл бұрын

    Jazakallaah lkheri

  • @abuunuwairibin7569

    @abuunuwairibin7569

    2 жыл бұрын

    اللهم آمين يارب العالمين 🤲

  • @mariummarium8958
    @mariummarium895810 ай бұрын

    Mimi sio msilamu lakini anapenda kusikiliza Koran na dua yao🎉🎉

  • @hbnkingi

    @hbnkingi

    4 ай бұрын

    MashaAllah 🤝🏽

  • @reenkim8390

    @reenkim8390

    3 ай бұрын

    Mimi pia kwani naiman Mungu ni mmoja tunae mwabudu …. Inshaallah mwenyenzimungu atufanyie wepesi katika kila jambo 🤲

  • @maita25589
    @maita2558927 күн бұрын

    eeh mwenyezi mungu mwenye huruma telee, nihurumie mimi mkosefu mbele zako nipe moyo wa kukuabudu wewe pekee na kuachana na mambo ya dunia. Niondolee chuki na husuda za kila aina. eeeh mwenyezi mungu wajaalie makuzi mwma watoto wangu abdulrahim na alya, mjalie hekima mke wangu zulfa Ameen.

  • @rukiarajab959
    @rukiarajab9593 жыл бұрын

    Mashallah Allah akuzidishie yarabi luv it

  • @nadiafahad3926
    @nadiafahad39262 жыл бұрын

    Masha Allah, Jazzakhah Allah khery namuombea M/mungu aniondoshee aya mazito niliyo nayo ,nipo mbali na family Allah aniondoshee aya maradhi na anifanyie wepesi katika utafutaji wangu pia nipate ridhiki kwa wepesi🤲🤲

  • @rehemafeysali7968

    @rehemafeysali7968

    Жыл бұрын

    Amin inshaalah 🙏

  • @user-ng9gy3xv6s
    @user-ng9gy3xv6s7 ай бұрын

    MashaAllah Allah aniepushe na USDA zinazoniadama Amin insha'Allah

  • @ladukarisa6968
    @ladukarisa69683 жыл бұрын

    Ewe Mwenyezi Mungu tujaliye mwisho mwema

  • @rukiarajab959

    @rukiarajab959

    3 жыл бұрын

    Ameen yarabi

  • @aishamdoe7

    @aishamdoe7

    3 жыл бұрын

    Ameen Insha'Allah

  • @malak-lz6kx

    @malak-lz6kx

    2 жыл бұрын

    Amiiin.

  • @mwanasaidi5092

    @mwanasaidi5092

    Жыл бұрын

    Amiin Yarabi

  • @mankaswai5313

    @mankaswai5313

    9 ай бұрын

    Amiin 🤲

  • @user-pl8ju6zc3r
    @user-pl8ju6zc3r8 ай бұрын

    I love is quran😍❤❤❤

  • @enzoon5796
    @enzoon5796 Жыл бұрын

    Ya allah tuondoree hasadi katika familia yetu inshallah na umponye mama yetu inshallah 🙏

  • @user-ch5vi1eo4o
    @user-ch5vi1eo4o2 күн бұрын

    Yaallah nakuomba ktk dua hii nip0ne maradhi yanayonitesa na nipate mtoto na umremu mama angu umuondoshe adhabu ya kaburi iwe shufaa kwangu na ndoa yangu amin yarabi

  • @enzoon5796
    @enzoon5796 Жыл бұрын

    Ya allah mponye mama angu na amini dua hii inakwenda kumfungua vifungo vyote alivyofungwa na majini mabaya aliotumiwa inshallah 🤲🙏

  • @rahmaally9151

    @rahmaally9151

    Ай бұрын

    Aamiin yarrab

  • @hamiskindamba6929

    @hamiskindamba6929

    14 сағат бұрын

    Amin

  • @jemasaidi967
    @jemasaidi967 Жыл бұрын

    ewe alla nijalie niwe na afya njema ijalie ndoa yangu iwe na amani inshallah

  • @zeanamleri5530
    @zeanamleri55302 жыл бұрын

    Alhamdulillah Mwenyezi MUNGU akuzidishie heri in sha allah. Shukrani.

  • @Yusra-fi4ww
    @Yusra-fi4wwАй бұрын

    Yarabi naomba uniongoze katika njiya iliyonyooka isowe ya wale ulowakasirikia na unijaalie mimi pamoja na wazaza wangu na wadogo zangu na unipe moyo wa subra na uniepushe na kila asri na sheirwani la kike na la kiume amiiiiiin yarabilaala miiiiin

  • @neemarashed3391
    @neemarashed33912 жыл бұрын

    Mashallah tabarakallah,ya allah ijalie iwe tiba kwa waislam wote

  • @user-yh7zk8kp8u

    @user-yh7zk8kp8u

    7 күн бұрын

    Amin

  • @mounalondo8707
    @mounalondo87073 жыл бұрын

    Kheri inshaaAllah Allah atutatulie mazito yetu kupitia duaa hii Aamiin yaarab

  • @delphinebusongo7078
    @delphinebusongo70787 ай бұрын

    namshukuru Allah kwa kunipa nafasi hii kwa mara ya kwanza tangu nimeolewa na kubadili dini nimepata faraja kusikiliza hii dua. nimepitia misukosuko mingi namuomba Allah anijalie afya njema mimi na familia yangu anilinde dhidi ya hasadi za walimwengu atimize haja ya moyo wangu inshallah!

  • @reenkim8390
    @reenkim83903 ай бұрын

    Eee Allah nilinde na Hasadi za huu ulimwengu… nipe muongozo mzur wa kuku tumikia kila siku niamkapo….linda familia yangu katika mabaya Allah ….. fungua riski ndogondogo na zile kubwa kubwa katika maisha haya ulio tupatia ya mda mfupi apa duniani…. Nilinde na magonjwa yasinipate.. nijaalie mume bora wa kunipenda na haliyangu pamoja na familia yangu.. hakika Allah nijaalie mwisho mwema 🤲 inshaallah nikiomb na kwakuamini ndivyo itakavyo kuwa… Amin 🙏

  • @muhidinishauri5035
    @muhidinishauri50352 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu atufanyie wepesi katika kila jambo amin!!

  • @munalove450
    @munalove450 Жыл бұрын

    Shukuran shekhe wetu allah akuhifadhi na mabaya yote🙏🙏🙏🙏

  • @AzzaSoud-ij8by
    @AzzaSoud-ij8by3 ай бұрын

    Ya Rabb Alaamiin Azza wa Jal,Muumba wa mbingu na ardhi,mwenye kurehem,neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo..nikaomba na kutubu mbele zako Allah,nayakabidh maisha yangu,wazazi wangu,wangu,mume wangu na ndugu zangu..ya rabb tuongoze katika njia salama na yenye kukupendeza.tusamehe madhambi yetu,tujaalie mwisho mwema ya Allah.kupitia duah hii naomba unifungue vifungo vyote ima vya binaadam ama majini,hakuna linaloshindikana kwako Allah.tabaqal duah 😢🥹🤲

  • @saidymohamedy7289
    @saidymohamedy7289 Жыл бұрын

    Ya Allah tulinde waislam wote na husda za shaitwani

  • @faridasabir6571

    @faridasabir6571

    Жыл бұрын

    Amin Allah Akbar ❤❤

  • @rahmaally9151

    @rahmaally9151

    19 күн бұрын

    Amiin thumma amiin

  • @zubedatatu7852
    @zubedatatu78523 жыл бұрын

    Masha Allah.. Allah bless you more shukran

  • @wilsonbaya9268
    @wilsonbaya92682 жыл бұрын

    Mashallah may Allah bless you and protect us from all the evil plans inshallah

  • @aminambarukmohammed6684

    @aminambarukmohammed6684

    2 жыл бұрын

    Ameen ya Rabb

  • @lamiaawino3768

    @lamiaawino3768

    Жыл бұрын

    Amiin

  • @rizikiBinti-kv5jw

    @rizikiBinti-kv5jw

    6 ай бұрын

    Amiin 🤲ya Rabb

  • @luyenamohammed2408
    @luyenamohammed24083 жыл бұрын

    Mashaallah allah awafunguliye milango ya kher kwa kutuekea hiki kisomo

  • @irenenzembi4317

    @irenenzembi4317

    3 жыл бұрын

    Yaarabi tujalie kheri kupitia hii dua inshallah tuepushie shari sisi waja wako jaza kalahukheri

  • @maryamkhamis9545

    @maryamkhamis9545

    2 жыл бұрын

    Mashallah allah atujalie kile lenye hery kwenye maish yetu yaraby

  • @jawahiriaelmy
    @jawahiriaelmyАй бұрын

    Namshukur Allah kunifanya kuwa mwislam amenipenda angalia zawadi hii ❤❤❤😂

  • @mwanasaidi5092
    @mwanasaidi5092 Жыл бұрын

    Mashallah, YAA ALLAH NIPE SHIFAA kwa haya matatizo niliyonayo ndani ya mwili wangu🤲🤲🤲

  • @BENJAMINMWINUKA-zn5xc

    @BENJAMINMWINUKA-zn5xc

    10 ай бұрын

    Nasumbuliwa na Jini mahaba. Kwa hii Dua naomba mwenyezimungu nitolee huyu kiumbe mbaya mabaya mengine yaliyokusudiwa kwangu

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf95664 жыл бұрын

    Mashaallah Shukran Allah awajalie nanyi afya njema awastri na mitihani kwa rehema zake Allah

  • @tafsiriyaqurantukufukwakis966

    @tafsiriyaqurantukufukwakis966

    4 жыл бұрын

    Ameen kwa wote

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    4 жыл бұрын

    @@tafsiriyaqurantukufukwakis966 Allahumma amin

  • @cristinakatana6809

    @cristinakatana6809

    3 жыл бұрын

    Christina katana mwenyezi mungu aw zidishie her hap duniani na hahera

  • @fatumamohamed5608

    @fatumamohamed5608

    3 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲

  • @Awatee

    @Awatee

    3 жыл бұрын

    Amiin

Келесі