Soma Suurah Hii X73 Ukidhulumiwa Na Kuonewa / Dawa Ya Dhuluma Ni Hii /Sheikh Hashimu Rusaganya

Ойын-сауық

Soma Suurah Hii X73 Ukidhulumiwa Na Kuonewa / Dawa Ya Dhuluma Ni Hii /Sheikh Hashimu Rusaganya
Mashaa Allah Sheikh Hashimu Rusaganya akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Soma Suurah Hii X73 Ukidhulumiwa Na Kuonewa / Dawa Ya Dhuluma Ni Hii /Sheikh Hashimu Rusaganya
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv

Пікірлер: 32

  • @KashanoKashano
    @KashanoKashano4 күн бұрын

    Alhamdullah Allaah subhaanahu wataala akuhifadhi

  • @rahmaismaily3358
    @rahmaismaily33583 ай бұрын

    Mashaallah ...shekh Allah akuhifadh

  • @katore1982
    @katore19823 ай бұрын

    TabarakaAllah fii ustadhi

  • @LeilaWilfred-zc7gn
    @LeilaWilfred-zc7gn3 ай бұрын

    Amiin shekh wetuu

  • @mussampeyama6795
    @mussampeyama67952 ай бұрын

    Shehee hiyo duwa ya kuzurumiwa na kuonewa naomba MSAADA nisome kwa kiswahili

  • @ashamhina3233
    @ashamhina32333 ай бұрын

    Jadhakallah kheri Shekh wangu

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi28413 ай бұрын

    MashaAllah be blessed Ameen

  • @havijawabakari7445
    @havijawabakari74452 ай бұрын

    Allah akuzidishie

  • @faizunmohd9839
    @faizunmohd98393 ай бұрын

    Mashaallah tabarakallah

  • @user-ed1tt9tb1i
    @user-ed1tt9tb1i3 ай бұрын

    Mashaallah shekhe wangu

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi28413 ай бұрын

    MashaAllah

  • @eddymaphy
    @eddymaphy3 ай бұрын

    Aamin yarabbil'alamin

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi33773 ай бұрын

    شكرا جزيل

  • @UmuMakangira-ch8ot
    @UmuMakangira-ch8otАй бұрын

    Shekhe naomba namba ya simu nina shida na ww sana tafadhali

  • @AkilidjumaMundu-ub9os
    @AkilidjumaMundu-ub9os11 күн бұрын

    Nahuliza sheikh wetu akuna fusho? Utafusha?

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati36413 ай бұрын

    Ni Udikteta ukikamatwa na polisi kama wamekizuia lazima wakupe chakula, mnaishi katika nchi ambayo haifuati sheria.

  • @mussampeyama6795
    @mussampeyama67952 ай бұрын

    Shehee tafadhali naomba namba no ya simu

  • @AbdallahMbutu-ps9uk
    @AbdallahMbutu-ps9uk3 ай бұрын

    Sheikh ni siku gani na saa ngapi kufanya/kusoma dua hii?

  • @JackilineNdokole
    @JackilineNdokoleАй бұрын

    Naomba niisome kwa kiswahili kiarabu sikijui mm mkiristo

  • @DarsaTV.

    @DarsaTV.

    Ай бұрын

    aya sawa

  • @AbdallaMwagora-sm1rj

    @AbdallaMwagora-sm1rj

    Ай бұрын

    Usilimu kwanza maana hiyo ni Quran na haitafanya kazi ukiwa huna Imani ya kiislamu.

  • @ummysaid7619
    @ummysaid7619Ай бұрын

    Leo nafanya kuna mtu kanitapel pesa yng

  • @shelabaruani9391
    @shelabaruani93913 ай бұрын

    Shekhe mimi naomba namba namba zako

  • @sulekhan7119
    @sulekhan71193 ай бұрын

    Shekhe mimi naisoma naweka maji kwa glas najina lahuyo mtu ninaye mnuia nikisha maliza nayapaka mwilini nalala sasa kazi kwenye ndoto Allah akibar nawanyanyasa

  • @abdulkisome9538

    @abdulkisome9538

    28 күн бұрын

    Kaka nipe ujuzi huu

  • @sulekhan7119

    @sulekhan7119

    28 күн бұрын

    @@abdulkisome9538 Huwa mimi binafsi naswali lakaa 2 nikishatoa saramu nasoma Alamtallah 27 Tambati adah 27 nikisha maliza natia nia tu

  • @user-gw4ti6vi5e
    @user-gw4ti6vi5e3 ай бұрын

    Na fatilia nikiwa saudia

  • @joycebongo9275

    @joycebongo9275

    3 ай бұрын

    Mashallah

  • @user-uz3nu3pc4i
    @user-uz3nu3pc4iАй бұрын

    utamswalia mtume mara ngap

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b3 ай бұрын

    Ivi Mtume ndivyo katufundisha hivi ukidhumiwa??? Dalili juu ya hili Shekhe

  • @eddymaphy

    @eddymaphy

    3 ай бұрын

    Wauliza swali au watoa ukumbusho wa mtume ?

  • @raidataty8502

    @raidataty8502

    Ай бұрын

    Kwenye u Islam ni Sawa kurudisha ubaya kwa aliye kudhulumu ila kusamehe ni bora zaid

Келесі