SHK SUNKAR: TAKBIIIR: KWA HALI HII USHINDI WA PALESTINA UMESHAKARIBIA
#riyadhTvZnz #zanzibar
Follow Us On:
INSTAGRAM: / riyadhtvznz
FACEBOOK: / riyadhtvonlineznz
TIKTOK: / riyadhtvonlineznz
KZread: www.youtube.com/@RiyadhTvOnli...
#riyadhTvZnz #zanzibar
Follow Us On:
INSTAGRAM: / riyadhtvznz
FACEBOOK: / riyadhtvonlineznz
TIKTOK: / riyadhtvonlineznz
KZread: www.youtube.com/@RiyadhTvOnli...
Пікірлер: 275
Allah amuhifadhi sheikh letu naamini uwezi kusema urongo ni kweli lsrael anakimbia vita jpo wana silaha nzito.inshallah nusra y.allah iko kwa mujaheedin w.palestine.
Ewe wenye zemungu tuna kuomba 🤲🤲 wape nusura ndugu zetu wa palestina
@user-wh8cy1bo5s
6 ай бұрын
🤲🤲🤲
@ZsbAlbarwani
6 ай бұрын
Insha'Allah amiin
@user-pb4tv5tl8x
6 ай бұрын
Amin
@azizayassin3623
6 ай бұрын
Ameen Ameen thumma Ameen
@zainabhussain4114
6 ай бұрын
Allahumma Amiin 🤲 yarabby
ALLAH U AKBAR!!
Inshallah Allah akufanyie wepesi uwaelimishe wasiojua hili.
Hongera shek Mungu atufanyie wepesi Insha'Allah
Shukran shekh wetu Allah akuhifadhi na mahasidi Huo niukweli mtupu na hiyo ndio Ahadi ya Allah na itatimiya tu hakuna mwenye kuipinga Mungu awashinde wote
Kweli sheikh you are very correct 💯 Allah akibariki
May Allah protect our brothers and sisters of palastine
Allahu Akbar, Allahu Akbar, Allahu Akbar. Nasuru mina Allah
Allah ashushe uahindi Palestinian lnshallah
Jazzaka Allah kheir ya sheikh
MashaALLAH sheikh ❤❤❤
Allah atuhifadhi awanusuru ndugu zetu allah awalani maa duwi wote yarab free palestine
@HappyAlbatross-us3bg
6 ай бұрын
Amen ndugu
Allah akbar
Naskiya umenifurahisha sana shekh wangu uko ningelikupa zawadi nono Allaah akubariki
Allahumma Aamyn 🙏🙏
Alhamdulilah
AllahuAkbar AllahuAkbar
Kweli sana kiburi cha masahyuni ndio kinowatia uchungu na ndio wanazidi kuuuwa...hawajetegea kua mpaka leo mwezi wa nne hawakaweza kushinda. Hizi Rehma na uwezo wa Allah. In sha Allah huu mwisho wa maadui hawa na nusra ya Phalasatine.❤
Shekh Allah akuhifadhi unachosema hofu ya Allah unayo najua unaelimu uadilifu na hekma, wanacoment matusi kejeli juu yako, wewe mwachie Allah yeye ndiye muweza na nusra ipo kwake
@khadijamohammed335
6 ай бұрын
Nusraiko mikononikwa Allah
Allahukadir
Allah akbar walilahi lihamdi Allah awanusuru waislam ndugu zetu
Mashalla
Amin
Subhaana Allah
Alhamdulillah
Mungu akufanyie wepes
Allahu Akbar
Inshaallah lkhery
Allahakbar
Sheykh ALLAH akupe afya njema na ulinzi wake maana kabla ya vita vya kuwamaliza Hamas usiku wake niliswali rakaa mbili kumuomba MUNGU awape nguvu Hamas waishinde Israel nilipopataatokeo chanya nilimshukuru ALLAH
Mungu baba wa mbinguni mimi ni mkristo lakini imenipa akiri ya kuchanganya mambo. Nakuomba baba simama na hamasi
@dominicksurusi4628
6 ай бұрын
😂😂
@Yotekwayangagood5610
6 ай бұрын
🤣
Sheikh huyu ana habari swahihi kabisa. Allah akubarik
lnshallah they will win.
ALLAHU AKIBARU . Mungu awape nguvu na wushindi nduguzetu wa PALESTINI , amina yaa rrabi . Ali Adam . visiwa vya KOMORO .
Ahsant sheikh
Tunakuaminiya shekh wangu
well done shekh waongea kweli kabisaa.muamerica ni panya na bani izrail majeuri.hamas ndio mashujaa watu watake wasitake
Alaysallah biahkamal hakimeen ya Raab ushindi kwa Palastine
Assalam Alleikum Sheikh MashaAlah, pia Hamas wamefaulu kugonganisha Netanyahu na wa Isreali wenyewe kwa wenyewe. Mandammo pia ya shuhudiwa Isreali na dunia nzima ikiwepo amerikani
Alhamdullah
Yaa Rabbi waponye majeraha yao ndugu zetu wa Falastin
Mungu ni muweza wa kila kitu
Masha allaah Allaah akulinde tunapta vitu adim sana Isha allaah
MwenyeziMungu mkubwa
Netanyahu ni mbwa kabisa
Kuna kuuuwa wana jeshi na kuna kuuwa laia wayahudi wana uwa laiya hamasi wana uwa wana jeshi na ndoo maana wakiuwa kiongozi yeyote yeyote vyv
Sunkar
Sisi waislam tunaimani linalotokea Allah ashapanga pia tuna iman Allah hajahafilika na madhalimu Hawa alimtoa firauni ashindwe napanya hawa
@0diraWilson
6 ай бұрын
Julio Pants ni Nani. Mini midi pants buku
@user13375
6 ай бұрын
Wakati wa firaun Mungu alikuwa upande wa Israel, Palestine ni kama firaun tu
Mbona hukusema Iran nayo iko mstari wa mbele ktk mapabano hayo? Tambua kuwa Iran ndo inawapa hizbollah,hammas ba wayemen silaha za kuwatungua hawa maadui waisrael
hivi kuna watu mpaka leo wanautumwa wa kiakil unaaminishwa ujinga mpaka leo ety unaamin israel ni taifa la mungu kwaio ss wa tanzania ni taifa la nan km hujui mataifa wote ni ya mung na hawa israel ni madhalim inshaaAllah ushind upo karib
@mawazoaliselemani
6 ай бұрын
Mimi mboni naona wewe na huyo unayemkosoa kama mnafanana?maana we pia unashabikia Palestrina unasahau congo Kuna shida na wakongo ni waafrika wenzio,badala yake una sikitikia waarabu?
@pastorzakariatv1786
6 ай бұрын
Unajuwa taila naye akiwa na matahila wenzake Huwa anajiona ni mwenye AKILI.
@regnaldymambaly9880
5 ай бұрын
@@pastorzakariatv1786umesema kweli, hawa jamaa hawajui kuwA Mungu hafanyi mambo yake kama wanavyo fikiria hawajasoma habari ya samson,wafilist walipo mtoboa macho walifikiri ndio wameshinda vita kumbe ndio wame kwisha kwasababu samson alipo poromosha lile jengo walifia huko wote,pia hawajui kuwa Mungu anataka kujitukuza kwao wakati watakapo kuwa wakijivunia kuwa wame shinda vita.mimi naamini atakacho kifanya Mungu kita wafanya wengi wamjue kwa hatua kubwa zaidi
Mhuu
Pia tuipe sifa iran inayosupply silaha kwa makundi ya muqawama
Mimi si kubali taarifa zinazo sambazwa kwenye mitandao ya wa Cristo kwa sababu a uongo wa nae sambaza
@user-ef8pn2ut1y
6 ай бұрын
Sikiliza za waarabu ndo za kweli.
Hata kwenye vita hivyo vya siku sita marekani iliwasaidia israel kiujasusi ndio muisraeli akazishambulia ndege za kimisri kabla hazija paa angani zikiwa kwenye uwanja wa ndege za kivita na huyo aliye panda ndege ni mfalme wa jordan 🇯🇴 ambaye ni mfalme Hussein
Israel taifa la Mungu teule
Marekani hana rafiki wa kudumu watamkimbia mhyahudi
Na je kuhusu hizi inchi za kinafiki falme za kiarabu ni vipi hukmu zao sababu na wao pia wako pamoja na inchi za magharibi pamoja na israel sababu wao ndio walio iuza Palestine 🇵🇸 kwa wayahudi kwa kumuogopa muirani
Kweli,izo ni sifa zao
unayoyasema ata wakati wa osama sadam na wengine walisema kama usemavyo mwisho wa siku akuna Allah wala nani waliuwa acha kutupa moyo
Kusalitiana nikubaya sana
Kifaru kimoja kina beba watu wanane
Allah nimueza juu ya Kila kitu
Allah anamakusudi yake katka vita vinavyoendelea km wanasilaha nawamzuie ziraili asitowe roho zao ikifika siku ya kufa😂😂😂
Mr Zkayo na Mr Gerand wewe ndio mbumbavu mkubwa tena ni miongoni mwa makafiri ambao kesho adhabu ya moto inawangoja.
MUHAMMAD QASIM BIN ABDULKAREEM KUTOKA PAKISTAN NDIYE IMAM AL MAHD ENYI WAISLAM MUAMININI MUHAMMAD QASIM KWANI NDIYE USHINDI WETU
@user-uw5nz8zz1e
5 ай бұрын
Toka apa
@BilalbinRabba
5 ай бұрын
@@user-uw5nz8zz1e swali swala ya istikhara kama unaijua muulize Allah utapata majibu inshaallah
Qur'an 5:21 nchi gani wamepewa Palestine (wafilisiti)
@user-yo6yv1xl7c
5 ай бұрын
Acha uchokoz fata mambo yako Una lazimisha kusikiliza
Wewe shibe inakusumbua
@user-uw5nz8zz1e
5 ай бұрын
Na wewe njaa inakusumbua?
Jeshi la izrail linamalizika wao wanauwa raia na sio hamas kiukwel hawajatoboa bado
@user-ef8pn2ut1y
6 ай бұрын
Pole sana.
NA ASILIMIA 99 YA WALIMWENGU WANAFURAHI KUPIGWA KWA WA IZRAELI.
Usifaliji watu kwa uongo israel hatoanguka yupo sana sana adui zake wataanguka yeye yupo.
@user-ef8pn2ut1y
6 ай бұрын
@AhmedMahfoudh-uo5jc Ninyi mtajifunza kwa vitendo maana kwa kuambiwa vichwa vigumu.
@user-uw5nz8zz1e
5 ай бұрын
Nyinyi ndio wale wametajwa kwa bibilia wana macho na hawaoni wana masikio hawasikii???😅😅
@user-ef8pn2ut1y
5 ай бұрын
@@user-uw5nz8zz1e utaona vizur mwenye macho.
Shekhe gani mwenye mapengo
@user-uw5nz8zz1e
5 ай бұрын
Inshaallah utapata yako soon
.
Unazunguza sana nimesubiri point mpaka nimeàma
@davisfidelis4149
6 ай бұрын
Umeona ee!
@hamzaswaibu9470
5 ай бұрын
Akili mgando haiwezi kumuelewa huyu shekh
@user-uw5nz8zz1e
5 ай бұрын
@@hamzaswaibu9470😅😅😅
Ushindi wa vita sikupigga raia ,mazayuni wa kijeshi wanauliwa kama kuku wajinga nyiye
Makafiri hawaamin Quraan sio? Wangoje siku hiyo
Yani baada ya kuwaombea wasiangamie unasifia kwan Vita hii sio yakutafutia kiki hata kidogo au Kwa sababu hayajakukuta nenda Palestine ukajione au ukrein kiongoz wadin wengine bwana, au unajua wanaokufa hawafai kuish
@rajabumkoko3947
28 күн бұрын
Tatizo nyinyi wakristo mnasikiliza kwa mihemko hiyo ni ahadi ya Allah na itatimia inshaa Allaah na falestina itakuwa free... hakika ya dini mbele ya Allah ni uislamu
@meshackthomas1341
28 күн бұрын
@@rajabumkoko3947 bro usipo shugurisha Akiri Yako vyema. Utakuja kuuwa hat mama alie kuza famili Yako kwa vigezo. Vya kukaririshwa soma vitabu vya mungu Kwa kutafakari wewe bro da ( Mungu tuongeze ufahamu wa nyakat hizi!, naufumbue fumbo la maandiko yanyakat hizi,.) bro elewa vizazi vya wakat huu nichukizo. Hata Kwa shetan elewa mungu katofautsha Akiri zetu nawanyama Kwasasa wanyama wanaelekea kutuzidi akiri wanadamu tumekua navisingizio vingi kwasabab tu et maandiko ya mungu yanasema Hadi yake itimie swal tunaabudu Mungu ili iweje au akitaka kutuondoa Dunia nzima anashindwa ama anachelewa ? elewa Dunian nikutenda mema tu na usilopenda kutendewa wwe usitendee kiumbe mwenzio. Hiyo ndiyo kanuni yakuipata pepo ya Mungu tusdanganyane. 🙏
Ya Allah muumba wa mbingu na vyote vilivyomo wajaalie umma wako wa Palestine na wawe wenye kuisimamisha karma ya lailah illallah
Shida kubwa ya warabu ni vibaraka wanakera sana hawa jamaa
Mmesahau kuwa Israel ni taifa teule la Mungu?
@BADILIKA
6 ай бұрын
Mashoga hawawez kuwa Wateule
@iddyothman163
6 ай бұрын
Taifa la mmungu linafadhili ushoga ndio makao makuu yake Israel na sherehe zote za ushoga zipo pale. taifa la mungu linauwa watu.watoto kama hawana akili.soma tena fatilia soma vitabu vya ukweli,taifa la mmungu sio Israel hao wa mchongo mashoga,changanya na akili zako utajuwa ukweli
Mhh
@saliminyusuph6122
6 ай бұрын
Mh Nini. Tafakari. Ewe kiumbe.
Mimi ni a wasiwasi kama Israel itaanguka maana hawa jamaa ni imara sana
@hajiramadhanihaji355
6 ай бұрын
Sio kuanguka tu bila juhudi . Hii inatuonesha kuwa Islamic republic of Iran ndio mhimili wa kweli katika juhudi hii, na kuonesha unafiki wa mataifa ya kiarabu ya kisuni kwa kuungana na makafiri kuwaua wapalestina.
@hamzaswaibu9470
5 ай бұрын
Kwa MUNGU hakuna mbabe
@user-uw5nz8zz1e
5 ай бұрын
Lau wangekua imara hawangejikojolea hadi inabidi kutumia diapers
@rajabumkoko3947
28 күн бұрын
46:31
Sheikh hakuna wakati waisrail wemepigani pekeyao 1948 walikuwa na waingereza 69 ulaya yote waliwapa usaidizi kama wanavyo fanya sasa.
Kama waislam ni watu woman warlike dad's zetu wanaoajiriwa Uarabuni matendo ya kinyama wansyofanyiwa. Pia jiridhishe kwamba Waa rabu haha waliwachukua babu zetu wengi sana na hakuna hats mmoja alive hai walk mwenye kizazi usrabuni je watt wema haha ndugu zetu walienda wapi
Mimi ninamashaka na hayo,soma piaKwa maana, ndugu zangu, sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa Mataifa uwasili. Warumi 11:25
@abuubilal2646
6 ай бұрын
Muongozo wetu ni quran kitabu cha mwisho kutoka kwa Allah
@geofreyndambo8635
5 ай бұрын
@@abuubilal2646 wale waliotolewa Misiri ni wapalestina? Je hao ndio Qur'an 5: 21 inawazunguza?hebu nieleweshe kama wewe ni mkweli.
Inamal yusiri yusraa Popote penye uzito upo wepesi
Kwa hiyo Palestine ameshinda vita?
@johnkiswili-do4yh
6 ай бұрын
Muulize tena
Kwenda nyinyi munapenda ugovi .hapendi kutangaza amani
@ziadasadiki8196
6 ай бұрын
Ukweli utasimama MWZ MUNGU NI MWINGI WA SUBIRA ( Nabii MUSSA aliteseka sana na watu haohao , Yesu /INabii SSA BIN MARIAM aliteseka sana na watu haohao SASA Waparestine ni nani hadi wasiteswe na hao watu??! MWZ MUNGU kwenye INJILI TAKATIFU TAKATIFU NA QURAAN TUKUFU hakosei bali kwenye vitabu vingine ambayo siyo INJILI QURAAN, ZABURI wala TAURAT. Hivyo vitabu VITUKUFU NA VIMEKAMILIKA NA HAVIBADILIKI MAJINA WALA HAVIBADILISHWI NENO. ( Kazi ipo kwenye vitabu vya MUNGU vyenye hila za kibinaadamu hili vipotoshe Dunia).
@user-uw5nz8zz1e
5 ай бұрын
Unaelewa historia wewe au unabweka tu.. angalia ni nani huzusha vita wanatoka maili ngapi kujileta nchi za wengine ili kuwapiga. Tunapenda amani sana kwa mwenye kutupa amani lkn hatugeuzi shavu la pili
Ndunia umefika mwisho heri utubu nakuomba munaongelea uchijezi tu. wafwasi ibilisi nyinyi
@mustafarashid2484
6 ай бұрын
Wacha chuki,babayenu ana karagwa huko.
@ziadasadiki8196
6 ай бұрын
Pole sana ndugu yangu, kwani hujui NABII MUSSA NA YESU/ ISSA BIN MARIAM Waliteseka sana na watu hawahawa??! Leo hatushangai hawa hawa kuwatesa Waparestina ( MWZ MUNGU MWENYE SUBIRA NA HAKOSEI)
Since when god has been the god of muslims.even your book quran is so amazing what Inside there very horrofic
Kwan kufa wengi ndo tatizo wanaweza kubaki wa 2 tu na ushindin ukapatika kafir ww
@mustafarashid2484
6 ай бұрын
Kafir ni ww mutashindwa inshallah.
Sadamu Hussain wa Iraq pia aliwahi kuwadanganya waislamu wote Duniani eti tulieni tuta yapiga haya makafiri mpaka yajuwe yakuwa yamekutana na wanaume kweli kweli ona kilicho mkuta nikushauri mzee wetu ungana nasi tuiombee Gaza Tusipo omba Gaza itateketea na Iran pia hatasalimika hicho ndicho kitakacho tokea kama mzee hauna elimu ya Mungu ya kujua ni taifa gani linalo tafutwa basi nyamaza.
@salehkhalfan7345
6 ай бұрын
Sawa lkn ss tunakubaliana ya kwmb Izrael haijawah kupat kipigo kw muda wa Miaka 70 iliyopit km wanachokipata sas pale Ghazza Wenyew hawaamin na ndio man mwnzon walisema wataiangamiza Hamas ndn ya cku 3
@salimali3688
6 ай бұрын
@salimali3688
6 ай бұрын
@salimali3688
6 ай бұрын
@salimali3688
6 ай бұрын
Kweli nimeamini kunamajitu ni mashetani,wenzenu wanaangamia badala muwahimize wajisalimishe mnasema wanapata ushindi? Pumbavu kweli,mpakasasa wapalestina 24,340/ wameshauwawa,acheni upuuzi
@myunaniniahmad6463
6 ай бұрын
Tatizo ww ni kufaar, ungekua umeongoka ungeelewa tu.
@hawa6052
6 ай бұрын
Wajisalimishe ili waendelee kutawaliwa siunajua Israel wanakalia Ardhi ya Palestine kimabavu
@MikelSitoe
6 ай бұрын
Makafiri lazma yaagamizwe wa lisema wa ta ingamiza Hamas kwa wiki moja lakini Leo 😂😂😂😂😂😂😂
@MikelSitoe
6 ай бұрын
Kuna siku wee nkristo Uta jiuliza vip Tena
@user-bo2ms3pu6u
6 ай бұрын
Kashindwa sana tu maana angekuwa hodari angewaokowa mateka wao walio tekwa na hamas mbona wameshindwa kuwapa mpaka wakasalim amri kwa kubadilisha tokea lini israil kufanya hivyo
Sheikh amezungumza vizuri lakini anaonekana atataasubi na chuki za kimadhehebu. Ameshindwa hata kuawataja Hebullah, wanamgambo wa Iraq na Iran yenyewe. Hawa ndiyo wanaowafanya Hamas wawe na nguvu. lkn sheikh ameshindwa kuwataja kwasababu ni mashia, Chuki kama hizi na unafiki kama huu ndiyo unaorudisha waislam nyuma.
@mustafarashid2484
6 ай бұрын
Mashia sio waislam kamili nawe wacha ubonzo.hatutambui mashia wanao kashifu maswahaba wa Mtume (SAW)
@user-td6zc2pd3e
6 ай бұрын
Duuh wewe mmh aya
@user-by5dy3jy5r
6 ай бұрын
@@mustafarashid2484 Sasa makafiri wanaowasaidia wapalestina na nyinyi waumini mliyo ungana na mayahudi kuwapiga wapalestina nani bora zaidi?
@rajabumkoko3947
28 күн бұрын
Hapna Allah huwatumia waja wake walio wema na wasio wema kuleta hidaya kwa mwenyezi Mungu ko hata km shia inasemekana sio katika uislamu kutoka na tabia na imani yao ingawa kitabu ni kimoja ila Allah huwatumia pia... katika kuleta nusra MBN hilter alitumia ila si katika uislamu kuwauwa mayahudi
Wamekufa watu. Ishilini natatu elfu. Kwa elfu na miambli mwasema ushindi huo islael ni kiboko
@yassinhamza1969
6 ай бұрын
Taarifa zao za vifo wanaficha lakin nao wamekufa karibia elfu kumi
Hamas kushinda Israel hiyo ni uongo.Angalieni taarifa
@shenjamamzingi7950
6 ай бұрын
KALE KIMBA
@consolataisangia273
5 ай бұрын
Wanadanganyana kweli,yaani u Islam bila uongo umekufa
Yaani Sheikh umeshindwa kabisa kuitaja Iran 🇮🇷 wakati hata hao wazayuni wanalia na Iran kisa ni mashia Inalilah wainailah rajuon
wacha uongo wewe baada ya kuhimiza vita iishee, wewe unawasha moto, wacha unafik, watu wanaangamia
@mwawekomiuda9779
6 ай бұрын
Umezoea kutukana wewe. Wacha kuropoka unao kubabaisha ni ukafiri wako
@mashakabundala9955
6 ай бұрын
Utawajuwa tuu maabudu sanam haina adab wala heshima idols worspers mikristo
@0diraWilson
6 ай бұрын
Dunks ilipoangamizwa kwa maji ulikuwa wadi? Some BIBLIA vizier, usitumie skill. Ni kitabu kimoja tu cha KWELI NA HAKI, kinaitwa BIBLIA utajua ni kwanini Palestina au Waite WAFILISTI hawana nchi.Soma BIBLIA itakupa jibu kwa urahisi tu. Jambo ambalo unatakiwa uelewe ni KUWA'BWANAMUNGU" katika Kristo YESU alishatoa shuluhisho THABITI. mwaminini YESU KRISTO ili mfanyike Watoto wake.Leo kuna waislamu kibao wanaokoka na kumwamini Yesu Kristo.Nao wanatoa ushuhuda. Pia ujue jina HILO **ISRAEL** ni jina la Nani? . Ngoja nikutoe upofu. Je unaweza kumshitaki BWANA MUNGU YESU KRISTO katika mahakama ya Kibinadamu au yoyote ile hivi sasa?.
Mungu akurehemu shekhe ,unaelezea uongo mtupu ,palestina inaisha unaleta ushabiki m bovu,Hamas hawana ubavu juu ya Israel na Allah alishawapa kisogo na miaka mingi amegoma kuwapigania ,dua zimekataa wapalestina wamekua kafara ,inawezekana we hujui kinachojiri gaza wafurahishe wasiojua kinachoendelea kwani mwisho itajulikana nani anapiganiwa na Mungu wa kweli.
@abunajreenELSESANY
6 ай бұрын
Leta DATA sasa, Usiongee kwa HISIA.
@Ramso.
6 ай бұрын
basi wewe itakua umenuna na mwanaume hanuni.
@tyronemofekeng7152
6 ай бұрын
Hawa waisrail kama wanamjua mungu wa kweli basi wakristo itakua hawajui mungu. Kwa kua wayahudi hawamtambui yesu wala ukristo. Pamoja na kujitahidi kwao wakristo kujipendekeza kwa wayahudi baso hawawqtambui na hawawakubali kabisa. Amka ndugu yangu. Umepandikizwa cbuki mpaka ukweli huuoni. Kwa nguvu aliyonayo myahudi alijitapa kuipoteza Palestine kwa wiki moja. Sasa ni miezi mine inaenda bado hajafanikiwa. Huko tayari ni kufanikiwa. Fatilia vizuri vita hivi.
@tyronemofekeng7152
6 ай бұрын
Ameshindwa kukimaliza kikundi tu mpaka sasa. Alitangaza wiki sasa ni miezi mine. Kashashindwa mpaka hapo na mpalestine ndio kafaniikiwa
@EdhaOmar-jd6os
6 ай бұрын
nickson uko kaburi ulele fumbua macho
Wacha kudanganya watu, Palestine Kuna shida ajabu na Hamas wameshindwa kumzuia Israel,na Gaza imechukuliwa,wapelestina wanakunywa maji ya bahari
@saidmsuya3165
6 ай бұрын
We ndo huyo beast anaeongelewa hapo