SHK SUNKAR: TAKBIIIR: KWA HALI HII USHINDI WA PALESTINA UMESHAKARIBIA

#riyadhTvZnz #zanzibar
Follow Us On:
INSTAGRAM: / riyadhtvznz
FACEBOOK: / riyadhtvonlineznz
TIKTOK: / riyadhtvonlineznz
KZread: www.youtube.com/@RiyadhTvOnli...

Пікірлер: 275

  • @azizashaaban870
    @azizashaaban8706 ай бұрын

    Allah amuhifadhi sheikh letu naamini uwezi kusema urongo ni kweli lsrael anakimbia vita jpo wana silaha nzito.inshallah nusra y.allah iko kwa mujaheedin w.palestine.

  • @mwatimahassan965
    @mwatimahassan9656 ай бұрын

    Ewe wenye zemungu tuna kuomba 🤲🤲 wape nusura ndugu zetu wa palestina

  • @user-wh8cy1bo5s

    @user-wh8cy1bo5s

    6 ай бұрын

    🤲🤲🤲

  • @ZsbAlbarwani

    @ZsbAlbarwani

    6 ай бұрын

    Insha'Allah amiin

  • @user-pb4tv5tl8x

    @user-pb4tv5tl8x

    6 ай бұрын

    Amin

  • @azizayassin3623

    @azizayassin3623

    6 ай бұрын

    Ameen Ameen thumma Ameen

  • @zainabhussain4114

    @zainabhussain4114

    6 ай бұрын

    Allahumma Amiin 🤲 yarabby

  • @mohaakoleta8571
    @mohaakoleta85715 ай бұрын

    ALLAH U AKBAR!!

  • @MauilidiRajabu
    @MauilidiRajabu5 ай бұрын

    Inshallah Allah akufanyie wepesi uwaelimishe wasiojua hili.

  • @yassinmkumba8115
    @yassinmkumba81155 ай бұрын

    Hongera shek Mungu atufanyie wepesi Insha'Allah

  • @firdaushamid8200
    @firdaushamid82006 ай бұрын

    Shukran shekh wetu Allah akuhifadhi na mahasidi Huo niukweli mtupu na hiyo ndio Ahadi ya Allah na itatimiya tu hakuna mwenye kuipinga Mungu awashinde wote

  • @rajabumkoko3947
    @rajabumkoko394728 күн бұрын

    Kweli sheikh you are very correct 💯 Allah akibariki

  • @mahmoudkulatein5449
    @mahmoudkulatein54496 ай бұрын

    May Allah protect our brothers and sisters of palastine

  • @bishweko
    @bishweko6 ай бұрын

    Allahu Akbar, Allahu Akbar, Allahu Akbar. Nasuru mina Allah

  • @user-jg8yq8pm2y
    @user-jg8yq8pm2y4 ай бұрын

    Allah ashushe uahindi Palestinian lnshallah

  • @mashakabundala9955
    @mashakabundala99556 ай бұрын

    Jazzaka Allah kheir ya sheikh

  • @omytifa6403
    @omytifa64036 ай бұрын

    MashaALLAH sheikh ❤❤❤

  • @user-dq6jw1sg9f
    @user-dq6jw1sg9f6 ай бұрын

    Allah atuhifadhi awanusuru ndugu zetu allah awalani maa duwi wote yarab free palestine

  • @HappyAlbatross-us3bg

    @HappyAlbatross-us3bg

    6 ай бұрын

    Amen ndugu

  • @user-jt7vl4zo5w
    @user-jt7vl4zo5w4 ай бұрын

    Allah akbar

  • @user-nj1if8dl2c
    @user-nj1if8dl2c6 ай бұрын

    Naskiya umenifurahisha sana shekh wangu uko ningelikupa zawadi nono Allaah akubariki

  • @suleimanjokoro
    @suleimanjokoro6 ай бұрын

    Allahumma Aamyn 🙏🙏

  • @ashtube1333
    @ashtube13336 ай бұрын

    Alhamdulilah

  • @jamilaabdalla7059
    @jamilaabdalla70596 ай бұрын

    AllahuAkbar AllahuAkbar

  • @mozaalmahruqi4252
    @mozaalmahruqi42525 ай бұрын

    Kweli sana kiburi cha masahyuni ndio kinowatia uchungu na ndio wanazidi kuuuwa...hawajetegea kua mpaka leo mwezi wa nne hawakaweza kushinda. Hizi Rehma na uwezo wa Allah. In sha Allah huu mwisho wa maadui hawa na nusra ya Phalasatine.❤

  • @mohamedS-yd9wh
    @mohamedS-yd9wh6 ай бұрын

    Shekh Allah akuhifadhi unachosema hofu ya Allah unayo najua unaelimu uadilifu na hekma, wanacoment matusi kejeli juu yako, wewe mwachie Allah yeye ndiye muweza na nusra ipo kwake

  • @khadijamohammed335

    @khadijamohammed335

    6 ай бұрын

    Nusraiko mikononikwa Allah

  • @salemaliy1963
    @salemaliy19636 ай бұрын

    Allahukadir

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l6 ай бұрын

    Allah akbar walilahi lihamdi Allah awanusuru waislam ndugu zetu

  • @AlaweInssa
    @AlaweInssa4 ай бұрын

    Mashalla

  • @user-xs4xf6qm6v
    @user-xs4xf6qm6v6 ай бұрын

    Amin

  • @musalumbi8490
    @musalumbi84905 ай бұрын

    Subhaana Allah

  • @Zubaiba
    @Zubaiba5 ай бұрын

    Alhamdulillah

  • @user-ni9gx1ho6c
    @user-ni9gx1ho6c6 ай бұрын

    Mungu akufanyie wepes

  • @mesaidikazungu4299
    @mesaidikazungu42996 ай бұрын

    Allahu Akbar

  • @eddiemay547
    @eddiemay5474 ай бұрын

    Inshaallah lkhery

  • @blessingblessing9641
    @blessingblessing96416 ай бұрын

    Allahakbar

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu18925 ай бұрын

    Sheykh ALLAH akupe afya njema na ulinzi wake maana kabla ya vita vya kuwamaliza Hamas usiku wake niliswali rakaa mbili kumuomba MUNGU awape nguvu Hamas waishinde Israel nilipopataatokeo chanya nilimshukuru ALLAH

  • @mathayomaulid911
    @mathayomaulid9116 ай бұрын

    Mungu baba wa mbinguni mimi ni mkristo lakini imenipa akiri ya kuchanganya mambo. Nakuomba baba simama na hamasi

  • @dominicksurusi4628

    @dominicksurusi4628

    6 ай бұрын

    😂😂

  • @Yotekwayangagood5610

    @Yotekwayangagood5610

    6 ай бұрын

    🤣

  • @fulgencearsene9829
    @fulgencearsene98295 ай бұрын

    Sheikh huyu ana habari swahihi kabisa. Allah akubarik

  • @adijabedane4354
    @adijabedane43545 ай бұрын

    lnshallah they will win.

  • @AliAdam-bz9wx
    @AliAdam-bz9wx6 ай бұрын

    ALLAHU AKIBARU . Mungu awape nguvu na wushindi nduguzetu wa PALESTINI , amina yaa rrabi . Ali Adam . visiwa vya KOMORO .

  • @SWABRASWALEH-nc2lf
    @SWABRASWALEH-nc2lf6 ай бұрын

    Ahsant sheikh

  • @user-nj1if8dl2c
    @user-nj1if8dl2c6 ай бұрын

    Tunakuaminiya shekh wangu

  • @saudaumar3354
    @saudaumar33546 ай бұрын

    well done shekh waongea kweli kabisaa.muamerica ni panya na bani izrail majeuri.hamas ndio mashujaa watu watake wasitake

  • @aminashekuwe670
    @aminashekuwe6706 ай бұрын

    Alaysallah biahkamal hakimeen ya Raab ushindi kwa Palastine

  • @abdibule6290
    @abdibule62905 ай бұрын

    Assalam Alleikum Sheikh MashaAlah, pia Hamas wamefaulu kugonganisha Netanyahu na wa Isreali wenyewe kwa wenyewe. Mandammo pia ya shuhudiwa Isreali na dunia nzima ikiwepo amerikani

  • @salamabakari8384
    @salamabakari83846 ай бұрын

    Alhamdullah

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn5 ай бұрын

    Yaa Rabbi waponye majeraha yao ndugu zetu wa Falastin

  • @ashtube1333
    @ashtube13336 ай бұрын

    Mungu ni muweza wa kila kitu

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya56 ай бұрын

    Masha allaah Allaah akulinde tunapta vitu adim sana Isha allaah

  • @user-hc1ir8en9d
    @user-hc1ir8en9d6 ай бұрын

    MwenyeziMungu mkubwa

  • @antonyndege3278
    @antonyndege32786 ай бұрын

    Netanyahu ni mbwa kabisa

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m6 ай бұрын

    Kuna kuuuwa wana jeshi na kuna kuuwa laia wayahudi wana uwa laiya hamasi wana uwa wana jeshi na ndoo maana wakiuwa kiongozi yeyote yeyote vyv

  • @user-eb8rf5sp3o
    @user-eb8rf5sp3o6 ай бұрын

    Sunkar

  • @salemaliy1963
    @salemaliy19636 ай бұрын

    Sisi waislam tunaimani linalotokea Allah ashapanga pia tuna iman Allah hajahafilika na madhalimu Hawa alimtoa firauni ashindwe napanya hawa

  • @0diraWilson

    @0diraWilson

    6 ай бұрын

    Julio Pants ni Nani. Mini midi pants buku

  • @user13375

    @user13375

    6 ай бұрын

    Wakati wa firaun Mungu alikuwa upande wa Israel, Palestine ni kama firaun tu

  • @Worldunite
    @Worldunite6 ай бұрын

    Mbona hukusema Iran nayo iko mstari wa mbele ktk mapabano hayo? Tambua kuwa Iran ndo inawapa hizbollah,hammas ba wayemen silaha za kuwatungua hawa maadui waisrael

  • @intisarsuleiman4717
    @intisarsuleiman47176 ай бұрын

    hivi kuna watu mpaka leo wanautumwa wa kiakil unaaminishwa ujinga mpaka leo ety unaamin israel ni taifa la mungu kwaio ss wa tanzania ni taifa la nan km hujui mataifa wote ni ya mung na hawa israel ni madhalim inshaaAllah ushind upo karib

  • @mawazoaliselemani

    @mawazoaliselemani

    6 ай бұрын

    Mimi mboni naona wewe na huyo unayemkosoa kama mnafanana?maana we pia unashabikia Palestrina unasahau congo Kuna shida na wakongo ni waafrika wenzio,badala yake una sikitikia waarabu?

  • @pastorzakariatv1786

    @pastorzakariatv1786

    6 ай бұрын

    Unajuwa taila naye akiwa na matahila wenzake Huwa anajiona ni mwenye AKILI.

  • @regnaldymambaly9880

    @regnaldymambaly9880

    5 ай бұрын

    ​@@pastorzakariatv1786umesema kweli, hawa jamaa hawajui kuwA Mungu hafanyi mambo yake kama wanavyo fikiria hawajasoma habari ya samson,wafilist walipo mtoboa macho walifikiri ndio wameshinda vita kumbe ndio wame kwisha kwasababu samson alipo poromosha lile jengo walifia huko wote,pia hawajui kuwa Mungu anataka kujitukuza kwao wakati watakapo kuwa wakijivunia kuwa wame shinda vita.mimi naamini atakacho kifanya Mungu kita wafanya wengi wamjue kwa hatua kubwa zaidi

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313Ай бұрын

    Mhuu

  • @Husenimikidadi
    @Husenimikidadi2 күн бұрын

    Pia tuipe sifa iran inayosupply silaha kwa makundi ya muqawama

  • @MikelSitoe
    @MikelSitoe6 ай бұрын

    Mimi si kubali taarifa zinazo sambazwa kwenye mitandao ya wa Cristo kwa sababu a uongo wa nae sambaza

  • @user-ef8pn2ut1y

    @user-ef8pn2ut1y

    6 ай бұрын

    Sikiliza za waarabu ndo za kweli.

  • @kinanaomar
    @kinanaomar6 ай бұрын

    Hata kwenye vita hivyo vya siku sita marekani iliwasaidia israel kiujasusi ndio muisraeli akazishambulia ndege za kimisri kabla hazija paa angani zikiwa kwenye uwanja wa ndege za kivita na huyo aliye panda ndege ni mfalme wa jordan 🇯🇴 ambaye ni mfalme Hussein

  • @josephmchila6467
    @josephmchila64672 ай бұрын

    Israel taifa la Mungu teule

  • @user-tf4er2iq7k
    @user-tf4er2iq7k6 ай бұрын

    Marekani hana rafiki wa kudumu watamkimbia mhyahudi

  • @kinanaomar
    @kinanaomar6 ай бұрын

    Na je kuhusu hizi inchi za kinafiki falme za kiarabu ni vipi hukmu zao sababu na wao pia wako pamoja na inchi za magharibi pamoja na israel sababu wao ndio walio iuza Palestine 🇵🇸 kwa wayahudi kwa kumuogopa muirani

  • @safiayusuf3482
    @safiayusuf34826 ай бұрын

    Kweli,izo ni sifa zao

  • @ndomimimkaliwadonta5715
    @ndomimimkaliwadonta57154 ай бұрын

    unayoyasema ata wakati wa osama sadam na wengine walisema kama usemavyo mwisho wa siku akuna Allah wala nani waliuwa acha kutupa moyo

  • @mohamedjackson5593
    @mohamedjackson55936 ай бұрын

    Kusalitiana nikubaya sana

  • @kinanaomar
    @kinanaomar6 ай бұрын

    Kifaru kimoja kina beba watu wanane

  • @salemaliy1963
    @salemaliy19636 ай бұрын

    Allah nimueza juu ya Kila kitu

  • @ghhyhh7591
    @ghhyhh75916 ай бұрын

    Allah anamakusudi yake katka vita vinavyoendelea km wanasilaha nawamzuie ziraili asitowe roho zao ikifika siku ya kufa😂😂😂

  • @alijuju8697
    @alijuju86976 ай бұрын

    Mr Zkayo na Mr Gerand wewe ndio mbumbavu mkubwa tena ni miongoni mwa makafiri ambao kesho adhabu ya moto inawangoja.

  • @BilalbinRabba
    @BilalbinRabba5 ай бұрын

    MUHAMMAD QASIM BIN ABDULKAREEM KUTOKA PAKISTAN NDIYE IMAM AL MAHD ENYI WAISLAM MUAMININI MUHAMMAD QASIM KWANI NDIYE USHINDI WETU

  • @user-uw5nz8zz1e

    @user-uw5nz8zz1e

    5 ай бұрын

    Toka apa

  • @BilalbinRabba

    @BilalbinRabba

    5 ай бұрын

    @@user-uw5nz8zz1e swali swala ya istikhara kama unaijua muulize Allah utapata majibu inshaallah

  • @geofreyndambo8635
    @geofreyndambo86356 ай бұрын

    Qur'an 5:21 nchi gani wamepewa Palestine (wafilisiti)

  • @user-yo6yv1xl7c

    @user-yo6yv1xl7c

    5 ай бұрын

    Acha uchokoz fata mambo yako Una lazimisha kusikiliza

  • @DamasEmanuel-gw7lj
    @DamasEmanuel-gw7lj6 ай бұрын

    Wewe shibe inakusumbua

  • @user-uw5nz8zz1e

    @user-uw5nz8zz1e

    5 ай бұрын

    Na wewe njaa inakusumbua?

  • @IbnuAlly-cg2gn
    @IbnuAlly-cg2gn6 ай бұрын

    Jeshi la izrail linamalizika wao wanauwa raia na sio hamas kiukwel hawajatoboa bado

  • @user-ef8pn2ut1y

    @user-ef8pn2ut1y

    6 ай бұрын

    Pole sana.

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk6 ай бұрын

    NA ASILIMIA 99 YA WALIMWENGU WANAFURAHI KUPIGWA KWA WA IZRAELI.

  • @user-ef8pn2ut1y
    @user-ef8pn2ut1y6 ай бұрын

    Usifaliji watu kwa uongo israel hatoanguka yupo sana sana adui zake wataanguka yeye yupo.

  • @user-ef8pn2ut1y

    @user-ef8pn2ut1y

    6 ай бұрын

    @AhmedMahfoudh-uo5jc Ninyi mtajifunza kwa vitendo maana kwa kuambiwa vichwa vigumu.

  • @user-uw5nz8zz1e

    @user-uw5nz8zz1e

    5 ай бұрын

    Nyinyi ndio wale wametajwa kwa bibilia wana macho na hawaoni wana masikio hawasikii???😅😅

  • @user-ef8pn2ut1y

    @user-ef8pn2ut1y

    5 ай бұрын

    @@user-uw5nz8zz1e utaona vizur mwenye macho.

  • @jeryjery8566
    @jeryjery85665 ай бұрын

    Shekhe gani mwenye mapengo

  • @user-uw5nz8zz1e

    @user-uw5nz8zz1e

    5 ай бұрын

    Inshaallah utapata yako soon

  • @user-uw8pg9ju5s
    @user-uw8pg9ju5s6 ай бұрын

    .

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha29516 ай бұрын

    Unazunguza sana nimesubiri point mpaka nimeàma

  • @davisfidelis4149

    @davisfidelis4149

    6 ай бұрын

    Umeona ee!

  • @hamzaswaibu9470

    @hamzaswaibu9470

    5 ай бұрын

    Akili mgando haiwezi kumuelewa huyu shekh

  • @user-uw5nz8zz1e

    @user-uw5nz8zz1e

    5 ай бұрын

    ​@@hamzaswaibu9470😅😅😅

  • @salimabdallah4382
    @salimabdallah43826 ай бұрын

    Ushindi wa vita sikupigga raia ,mazayuni wa kijeshi wanauliwa kama kuku wajinga nyiye

  • @jaberalyafei274
    @jaberalyafei2746 ай бұрын

    Makafiri hawaamin Quraan sio? Wangoje siku hiyo

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas13415 ай бұрын

    Yani baada ya kuwaombea wasiangamie unasifia kwan Vita hii sio yakutafutia kiki hata kidogo au Kwa sababu hayajakukuta nenda Palestine ukajione au ukrein kiongoz wadin wengine bwana, au unajua wanaokufa hawafai kuish

  • @rajabumkoko3947

    @rajabumkoko3947

    28 күн бұрын

    Tatizo nyinyi wakristo mnasikiliza kwa mihemko hiyo ni ahadi ya Allah na itatimia inshaa Allaah na falestina itakuwa free... hakika ya dini mbele ya Allah ni uislamu

  • @meshackthomas1341

    @meshackthomas1341

    28 күн бұрын

    @@rajabumkoko3947 bro usipo shugurisha Akiri Yako vyema. Utakuja kuuwa hat mama alie kuza famili Yako kwa vigezo. Vya kukaririshwa soma vitabu vya mungu Kwa kutafakari wewe bro da ( Mungu tuongeze ufahamu wa nyakat hizi!, naufumbue fumbo la maandiko yanyakat hizi,.) bro elewa vizazi vya wakat huu nichukizo. Hata Kwa shetan elewa mungu katofautsha Akiri zetu nawanyama Kwasasa wanyama wanaelekea kutuzidi akiri wanadamu tumekua navisingizio vingi kwasabab tu et maandiko ya mungu yanasema Hadi yake itimie swal tunaabudu Mungu ili iweje au akitaka kutuondoa Dunia nzima anashindwa ama anachelewa ? elewa Dunian nikutenda mema tu na usilopenda kutendewa wwe usitendee kiumbe mwenzio. Hiyo ndiyo kanuni yakuipata pepo ya Mungu tusdanganyane. 🙏

  • @hamzanangameta6243
    @hamzanangameta62435 ай бұрын

    Ya Allah muumba wa mbingu na vyote vilivyomo wajaalie umma wako wa Palestine na wawe wenye kuisimamisha karma ya lailah illallah

  • @saidiyusufumuhode3159
    @saidiyusufumuhode31595 ай бұрын

    Shida kubwa ya warabu ni vibaraka wanakera sana hawa jamaa

  • @meckmussa1840
    @meckmussa18406 ай бұрын

    Mmesahau kuwa Israel ni taifa teule la Mungu?

  • @BADILIKA

    @BADILIKA

    6 ай бұрын

    Mashoga hawawez kuwa Wateule

  • @iddyothman163

    @iddyothman163

    6 ай бұрын

    Taifa la mmungu linafadhili ushoga ndio makao makuu yake Israel na sherehe zote za ushoga zipo pale. taifa la mungu linauwa watu.watoto kama hawana akili.soma tena fatilia soma vitabu vya ukweli,taifa la mmungu sio Israel hao wa mchongo mashoga,changanya na akili zako utajuwa ukweli

  • @mazengojohn2090
    @mazengojohn20906 ай бұрын

    Mhh

  • @saliminyusuph6122

    @saliminyusuph6122

    6 ай бұрын

    Mh Nini. Tafakari. Ewe kiumbe.

  • @sadikimtega4135
    @sadikimtega41356 ай бұрын

    Mimi ni a wasiwasi kama Israel itaanguka maana hawa jamaa ni imara sana

  • @hajiramadhanihaji355

    @hajiramadhanihaji355

    6 ай бұрын

    Sio kuanguka tu bila juhudi . Hii inatuonesha kuwa Islamic republic of Iran ndio mhimili wa kweli katika juhudi hii, na kuonesha unafiki wa mataifa ya kiarabu ya kisuni kwa kuungana na makafiri kuwaua wapalestina.

  • @hamzaswaibu9470

    @hamzaswaibu9470

    5 ай бұрын

    Kwa MUNGU hakuna mbabe

  • @user-uw5nz8zz1e

    @user-uw5nz8zz1e

    5 ай бұрын

    Lau wangekua imara hawangejikojolea hadi inabidi kutumia diapers

  • @rajabumkoko3947

    @rajabumkoko3947

    28 күн бұрын

    46:31

  • @husseingitonga8921
    @husseingitonga89216 ай бұрын

    Sheikh hakuna wakati waisrail wemepigani pekeyao 1948 walikuwa na waingereza 69 ulaya yote waliwapa usaidizi kama wanavyo fanya sasa.

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru13566 ай бұрын

    Kama waislam ni watu woman warlike dad's zetu wanaoajiriwa Uarabuni matendo ya kinyama wansyofanyiwa. Pia jiridhishe kwamba Waa rabu haha waliwachukua babu zetu wengi sana na hakuna hats mmoja alive hai walk mwenye kizazi usrabuni je watt wema haha ndugu zetu walienda wapi

  • @geofreyndambo8635
    @geofreyndambo86356 ай бұрын

    Mimi ninamashaka na hayo,soma piaKwa maana, ndugu zangu, sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa Mataifa uwasili. Warumi 11:25

  • @abuubilal2646

    @abuubilal2646

    6 ай бұрын

    Muongozo wetu ni quran kitabu cha mwisho kutoka kwa Allah

  • @geofreyndambo8635

    @geofreyndambo8635

    5 ай бұрын

    @@abuubilal2646 wale waliotolewa Misiri ni wapalestina? Je hao ndio Qur'an 5: 21 inawazunguza?hebu nieleweshe kama wewe ni mkweli.

  • @user-xs7xq4vi9y
    @user-xs7xq4vi9y5 ай бұрын

    Inamal yusiri yusraa Popote penye uzito upo wepesi

  • @georgeurembo4553
    @georgeurembo45536 ай бұрын

    Kwa hiyo Palestine ameshinda vita?

  • @johnkiswili-do4yh

    @johnkiswili-do4yh

    6 ай бұрын

    Muulize tena

  • @user-chungamali
    @user-chungamali6 ай бұрын

    Kwenda nyinyi munapenda ugovi .hapendi kutangaza amani

  • @ziadasadiki8196

    @ziadasadiki8196

    6 ай бұрын

    Ukweli utasimama MWZ MUNGU NI MWINGI WA SUBIRA ( Nabii MUSSA aliteseka sana na watu haohao , Yesu /INabii SSA BIN MARIAM aliteseka sana na watu haohao SASA Waparestine ni nani hadi wasiteswe na hao watu??! MWZ MUNGU kwenye INJILI TAKATIFU TAKATIFU NA QURAAN TUKUFU hakosei bali kwenye vitabu vingine ambayo siyo INJILI QURAAN, ZABURI wala TAURAT. Hivyo vitabu VITUKUFU NA VIMEKAMILIKA NA HAVIBADILIKI MAJINA WALA HAVIBADILISHWI NENO. ( Kazi ipo kwenye vitabu vya MUNGU vyenye hila za kibinaadamu hili vipotoshe Dunia).

  • @user-uw5nz8zz1e

    @user-uw5nz8zz1e

    5 ай бұрын

    Unaelewa historia wewe au unabweka tu.. angalia ni nani huzusha vita wanatoka maili ngapi kujileta nchi za wengine ili kuwapiga. Tunapenda amani sana kwa mwenye kutupa amani lkn hatugeuzi shavu la pili

  • @user-chungamali
    @user-chungamali6 ай бұрын

    Ndunia umefika mwisho heri utubu nakuomba munaongelea uchijezi tu. wafwasi ibilisi nyinyi

  • @mustafarashid2484

    @mustafarashid2484

    6 ай бұрын

    Wacha chuki,babayenu ana karagwa huko.

  • @ziadasadiki8196

    @ziadasadiki8196

    6 ай бұрын

    Pole sana ndugu yangu, kwani hujui NABII MUSSA NA YESU/ ISSA BIN MARIAM Waliteseka sana na watu hawahawa??! Leo hatushangai hawa hawa kuwatesa Waparestina ( MWZ MUNGU MWENYE SUBIRA NA HAKOSEI)

  • @AlmachiusFaustine-fm1xq
    @AlmachiusFaustine-fm1xq6 ай бұрын

    Since when god has been the god of muslims.even your book quran is so amazing what Inside there very horrofic

  • @ghhyhh7591
    @ghhyhh75916 ай бұрын

    Kwan kufa wengi ndo tatizo wanaweza kubaki wa 2 tu na ushindin ukapatika kafir ww

  • @mustafarashid2484

    @mustafarashid2484

    6 ай бұрын

    Kafir ni ww mutashindwa inshallah.

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk6 ай бұрын

    Sadamu Hussain wa Iraq pia aliwahi kuwadanganya waislamu wote Duniani eti tulieni tuta yapiga haya makafiri mpaka yajuwe yakuwa yamekutana na wanaume kweli kweli ona kilicho mkuta nikushauri mzee wetu ungana nasi tuiombee Gaza Tusipo omba Gaza itateketea na Iran pia hatasalimika hicho ndicho kitakacho tokea kama mzee hauna elimu ya Mungu ya kujua ni taifa gani linalo tafutwa basi nyamaza.

  • @salehkhalfan7345

    @salehkhalfan7345

    6 ай бұрын

    Sawa lkn ss tunakubaliana ya kwmb Izrael haijawah kupat kipigo kw muda wa Miaka 70 iliyopit km wanachokipata sas pale Ghazza Wenyew hawaamin na ndio man mwnzon walisema wataiangamiza Hamas ndn ya cku 3

  • @salimali3688

    @salimali3688

    6 ай бұрын

  • @salimali3688

    @salimali3688

    6 ай бұрын

  • @salimali3688

    @salimali3688

    6 ай бұрын

  • @salimali3688

    @salimali3688

    6 ай бұрын

  • @GeraldDanieltarimo-ke3ik
    @GeraldDanieltarimo-ke3ik6 ай бұрын

    Kweli nimeamini kunamajitu ni mashetani,wenzenu wanaangamia badala muwahimize wajisalimishe mnasema wanapata ushindi? Pumbavu kweli,mpakasasa wapalestina 24,340/ wameshauwawa,acheni upuuzi

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    6 ай бұрын

    Tatizo ww ni kufaar, ungekua umeongoka ungeelewa tu.

  • @hawa6052

    @hawa6052

    6 ай бұрын

    Wajisalimishe ili waendelee kutawaliwa siunajua Israel wanakalia Ardhi ya Palestine kimabavu

  • @MikelSitoe

    @MikelSitoe

    6 ай бұрын

    Makafiri lazma yaagamizwe wa lisema wa ta ingamiza Hamas kwa wiki moja lakini Leo 😂😂😂😂😂😂😂

  • @MikelSitoe

    @MikelSitoe

    6 ай бұрын

    Kuna siku wee nkristo Uta jiuliza vip Tena

  • @user-bo2ms3pu6u

    @user-bo2ms3pu6u

    6 ай бұрын

    Kashindwa sana tu maana angekuwa hodari angewaokowa mateka wao walio tekwa na hamas mbona wameshindwa kuwapa mpaka wakasalim amri kwa kubadilisha tokea lini israil kufanya hivyo

  • @user-by5dy3jy5r
    @user-by5dy3jy5r6 ай бұрын

    Sheikh amezungumza vizuri lakini anaonekana atataasubi na chuki za kimadhehebu. Ameshindwa hata kuawataja Hebullah, wanamgambo wa Iraq na Iran yenyewe. Hawa ndiyo wanaowafanya Hamas wawe na nguvu. lkn sheikh ameshindwa kuwataja kwasababu ni mashia, Chuki kama hizi na unafiki kama huu ndiyo unaorudisha waislam nyuma.

  • @mustafarashid2484

    @mustafarashid2484

    6 ай бұрын

    Mashia sio waislam kamili nawe wacha ubonzo.hatutambui mashia wanao kashifu maswahaba wa Mtume (SAW)

  • @user-td6zc2pd3e

    @user-td6zc2pd3e

    6 ай бұрын

    Duuh wewe mmh aya

  • @user-by5dy3jy5r

    @user-by5dy3jy5r

    6 ай бұрын

    @@mustafarashid2484 Sasa makafiri wanaowasaidia wapalestina na nyinyi waumini mliyo ungana na mayahudi kuwapiga wapalestina nani bora zaidi?

  • @rajabumkoko3947

    @rajabumkoko3947

    28 күн бұрын

    Hapna Allah huwatumia waja wake walio wema na wasio wema kuleta hidaya kwa mwenyezi Mungu ko hata km shia inasemekana sio katika uislamu kutoka na tabia na imani yao ingawa kitabu ni kimoja ila Allah huwatumia pia... katika kuleta nusra MBN hilter alitumia ila si katika uislamu kuwauwa mayahudi

  • @deusNjimba
    @deusNjimba6 ай бұрын

    Wamekufa watu. Ishilini natatu elfu. Kwa elfu na miambli mwasema ushindi huo islael ni kiboko

  • @yassinhamza1969

    @yassinhamza1969

    6 ай бұрын

    Taarifa zao za vifo wanaficha lakin nao wamekufa karibia elfu kumi

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6r6 ай бұрын

    Hamas kushinda Israel hiyo ni uongo.Angalieni taarifa

  • @shenjamamzingi7950

    @shenjamamzingi7950

    6 ай бұрын

    KALE KIMBA

  • @consolataisangia273

    @consolataisangia273

    5 ай бұрын

    Wanadanganyana kweli,yaani u Islam bila uongo umekufa

  • @yusuphdachi1387
    @yusuphdachi13876 ай бұрын

    Yaani Sheikh umeshindwa kabisa kuitaja Iran 🇮🇷 wakati hata hao wazayuni wanalia na Iran kisa ni mashia Inalilah wainailah rajuon

  • @user-ml7jz5rf3n
    @user-ml7jz5rf3n6 ай бұрын

    wacha uongo wewe baada ya kuhimiza vita iishee, wewe unawasha moto, wacha unafik, watu wanaangamia

  • @mwawekomiuda9779

    @mwawekomiuda9779

    6 ай бұрын

    Umezoea kutukana wewe. Wacha kuropoka unao kubabaisha ni ukafiri wako

  • @mashakabundala9955

    @mashakabundala9955

    6 ай бұрын

    Utawajuwa tuu maabudu sanam haina adab wala heshima idols worspers mikristo

  • @0diraWilson

    @0diraWilson

    6 ай бұрын

    Dunks ilipoangamizwa kwa maji ulikuwa wadi? Some BIBLIA vizier, usitumie skill. Ni kitabu kimoja tu cha KWELI NA HAKI, kinaitwa BIBLIA utajua ni kwanini Palestina au Waite WAFILISTI hawana nchi.Soma BIBLIA itakupa jibu kwa urahisi tu. Jambo ambalo unatakiwa uelewe ni KUWA'BWANAMUNGU" katika Kristo YESU alishatoa shuluhisho THABITI. mwaminini YESU KRISTO ili mfanyike Watoto wake.Leo kuna waislamu kibao wanaokoka na kumwamini Yesu Kristo.Nao wanatoa ushuhuda. Pia ujue jina HILO **ISRAEL** ni jina la Nani? . Ngoja nikutoe upofu. Je unaweza kumshitaki BWANA MUNGU YESU KRISTO katika mahakama ya Kibinadamu au yoyote ile hivi sasa?.

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo15626 ай бұрын

    Mungu akurehemu shekhe ,unaelezea uongo mtupu ,palestina inaisha unaleta ushabiki m bovu,Hamas hawana ubavu juu ya Israel na Allah alishawapa kisogo na miaka mingi amegoma kuwapigania ,dua zimekataa wapalestina wamekua kafara ,inawezekana we hujui kinachojiri gaza wafurahishe wasiojua kinachoendelea kwani mwisho itajulikana nani anapiganiwa na Mungu wa kweli.

  • @abunajreenELSESANY

    @abunajreenELSESANY

    6 ай бұрын

    Leta DATA sasa, Usiongee kwa HISIA.

  • @Ramso.

    @Ramso.

    6 ай бұрын

    basi wewe itakua umenuna na mwanaume hanuni.

  • @tyronemofekeng7152

    @tyronemofekeng7152

    6 ай бұрын

    Hawa waisrail kama wanamjua mungu wa kweli basi wakristo itakua hawajui mungu. Kwa kua wayahudi hawamtambui yesu wala ukristo. Pamoja na kujitahidi kwao wakristo kujipendekeza kwa wayahudi baso hawawqtambui na hawawakubali kabisa. Amka ndugu yangu. Umepandikizwa cbuki mpaka ukweli huuoni. Kwa nguvu aliyonayo myahudi alijitapa kuipoteza Palestine kwa wiki moja. Sasa ni miezi mine inaenda bado hajafanikiwa. Huko tayari ni kufanikiwa. Fatilia vizuri vita hivi.

  • @tyronemofekeng7152

    @tyronemofekeng7152

    6 ай бұрын

    Ameshindwa kukimaliza kikundi tu mpaka sasa. Alitangaza wiki sasa ni miezi mine. Kashashindwa mpaka hapo na mpalestine ndio kafaniikiwa

  • @EdhaOmar-jd6os

    @EdhaOmar-jd6os

    6 ай бұрын

    nickson uko kaburi ulele fumbua macho

  • @johnkiswili-do4yh
    @johnkiswili-do4yh6 ай бұрын

    Wacha kudanganya watu, Palestine Kuna shida ajabu na Hamas wameshindwa kumzuia Israel,na Gaza imechukuliwa,wapelestina wanakunywa maji ya bahari

  • @saidmsuya3165

    @saidmsuya3165

    6 ай бұрын

    We ndo huyo beast anaeongelewa hapo