Hiki ndicho kinachomfanya Marekani na Israel wamuogope Iran

Пікірлер: 346

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre88262 ай бұрын

    Ebwana umetafsiri vizuri sn istoria nzuri kweli kumbe iran inanguvu ivyo nawasapoti iran mungu awalinde kilasiku mungu ukaha kwamwenye haki ❤❤❤❤ iran

  • @mussammanga7791

    @mussammanga7791

    2 ай бұрын

    Ulikuwa hujuwi ilo, kwa waarabu huyo ndie kidume anaeogopewa na nchi za kimagharibi.

  • @user-io8hn1jb4d

    @user-io8hn1jb4d

    2 ай бұрын

    Iran sio waarabu

  • @mussammanga7791

    @mussammanga7791

    2 ай бұрын

    @@user-io8hn1jb4d Upertia ni kabila tu, lkn ndio haohao. Au kwsbb wanazungumza Kifursi.

  • @user-hy5zd5rn6r

    @user-hy5zd5rn6r

    2 ай бұрын

    Uko na mchezo,angalia ni nchi ngapi ziko na mabomu ya nuclear uone kama Iran ni Moja wao.Nchi ni 9 na Iran haipo kwenye hiyo orodha

  • @awadhsalim2680

    @awadhsalim2680

    2 ай бұрын

    ​@@user-hy5zd5rn6riweke ww iwepo mgawaji wa technology 😅😅

  • @abdul-qadirkhamis2518
    @abdul-qadirkhamis25182 ай бұрын

    MA shaa Allah.. I wish nionane na wewe one day in shaa Allah.... You are genius, again and again, and more than again....

  • @ibrahimsalad1717
    @ibrahimsalad17172 ай бұрын

    Mashallah unajua history keep it up bro, hizi nchi za kiarabu ni vibaraka tu kukiongozwa na Saudi ile siku watashtuka itakua too late, nawaombea tu Iran mungu awasimamie nawakubali sana hawa

  • @somoeomar4861
    @somoeomar48612 ай бұрын

    Shukraan sana leo ndo nimeelewa kila kitu umetueleza vizuri sana thanx alot

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa6162 ай бұрын

    Asante sana kaka ❤❤ Wewe nimwana histor mzur sn,,anavitu vingi vya kutufundisha,,ukiashilia wachambuz uchwara,,binafsi nataman ungekuwa na jukwa maarum,,Ili tujifunze kutoka kwako,,Mungu akujalie afya njema ulichokipata nasisi tunufaike nacho❤❤❤💪💪,,

  • @saidiyusufumuhode3159
    @saidiyusufumuhode31592 ай бұрын

    Huyu Iran anatisha sanaa Allah aendelee kuwapa ufaham zaidi

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi28412 ай бұрын

    Mtenda akitendewa!! Yani hii Israel na America ndio chanzo cha balaa kubwa duniani hilo linajulikana!!

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid94692 ай бұрын

    Mashallah tabaraqah. Huyu mtaalamu umlete tenna kwa uchambuzi zaid

  • @JoalAlma-ci1hi

    @JoalAlma-ci1hi

    Ай бұрын

    Kwasababu anasema iran inaogopwa na marekani na israel😂😂😂😂😂et nawe unaamni et

  • @allynassor1119
    @allynassor11192 ай бұрын

    Nimekuelewa pongez kwako mungu akuongoze ktk kazi na maisha yk

  • @rk-rp2un
    @rk-rp2un2 ай бұрын

    Hongera sana brother,nimeipenda ushauri ulioutoa,Mungu akubariki sana

  • @dulax2457
    @dulax24572 ай бұрын

    Broo uko vizur from mombasa twakupata 100%wewe ni professer

  • @revocatusjilala2441

    @revocatusjilala2441

    2 ай бұрын

    Tanzania tumebobea kwa Tafukuri, kuelezea mambo kwa kina, watanzania wengi ni great thinker kuliko wakenya!! Wakenya kazi Yao ni kubwabwaja

  • @SuperMtani

    @SuperMtani

    2 ай бұрын

    Asante

  • @snuramushi9612
    @snuramushi96122 ай бұрын

    Mashallah umeisimulia vizuri sana tunategemea kukuona kwenye historia nyingine Inshaallah,,,kuhusu Iran kufanikiwa kujitengenezea vitu vyao wenyewe hii imesababishwa na ujasiri wao na utayari toka pale walipo uondoa utawala wa kifalme na kuweka utawala wakiislam walishakubali kupambana na lolote mbele yao sasa hawa wenzao bado waoga

  • @user-to7bs5pl4n

    @user-to7bs5pl4n

    2 ай бұрын

    MUNGU NDIYE ALIYE IBARIKI ISRAEL NA NDIYE ATAKAE ITETEA ISRAEL MUNGU LINDA MIPAKA YA ISRAEL ADUI WA ISRAEL NI ADUI WA MUNGU TUTAONA MUNGU WAO NA MUNGU WA ISRAEL NANI ZAIDI MUNGU IBARIKI ISRAEL NA MIPAKA YAKE HAKUNA ALIYE NA NGUVU KAMA MUNGU WA ISRAEL

  • @saphinalutaha9077

    @saphinalutaha9077

    2 ай бұрын

    ​@@user-to7bs5pl4n😂😂😂😂 mtajpa puresha bure kwaiyo mungu ndo Alie waambia wawe wanachokoza watu😂😂😂😂

  • @Alkaburu

    @Alkaburu

    2 ай бұрын

    ​@@user-to7bs5pl4nkwa hiyo wewe ni mpagani huna Mungu kama Mungu ni waisraeli?

  • @afrahamohamedi6301

    @afrahamohamedi6301

    2 ай бұрын

    ​@@user-to7bs5pl4nwewe ni myahudi au 😮😮 ? wayahudi waliasi amri za Mungu ndio maana Yesu hana baba myahudi bali alizaliwa kwa njia tofauti bila manii ya mhuni mwizraeli . waizraeli ni watu washenzi wewe unawa entertain 😢😢 safari hii Izraeli itang'olewa na hata kama watatumia Atomiki bomu au haidrojeni bomu la Amerika au msaada wa urusi hautaleta manufaa yoyote kwa waizraeli

  • @hanspop6961
    @hanspop69612 ай бұрын

    Umeongea vitu Vizuri vya Mwanga Nimejifunza kitu kizuri sana Uendelee na Uchambuzi 🙏🏾

  • @user-db3vt4ei6b
    @user-db3vt4ei6b2 ай бұрын

    Very good mr for this story and i believe that one day you will be a big man in this world in term of revolutionilist

  • @0diraWilson

    @0diraWilson

    25 күн бұрын

    Unazungumzia Ujinga usio ujua. ISRAEL ni Taifa ambalo MUNGU wa IBRAHIM alimpa. Sasa hizo ni historia za kijinga haisaidii kitu ni porojo za mchana, hujui lolote.

  • @sultanbakary4292

    @sultanbakary4292

    9 күн бұрын

    ​@@0diraWilsonMungu wa Israel ni marekan na ndio mungu wako pia

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam58132 ай бұрын

    Mchambuzi uko vizuri sana

  • @onelinelyrics200
    @onelinelyrics2002 ай бұрын

    Umetema facts! Ukweli Mchungu japo Mataifa ya kiarabu yanasaliti Ummah ikiwemo Suudia - kwa mfumo wa Petro-dolla kwa maslahi binafsi

  • @alibinali_
    @alibinali_2 ай бұрын

    Thanks kwa uchambuzi mzuri sana kuna watu wanaongea mambo tofauti ila wewe umechambua vizuri na bila ubaguzi na vyombo vingi vyahabari hawaongie ukweli

  • @mohamedjakaya5355
    @mohamedjakaya53552 ай бұрын

    Maelezo mazuri sana pamoja na ushauri juu ya kuwekeza kwenye elimu ya ujuzi

  • @user-vj8eu7ih4k
    @user-vj8eu7ih4k2 ай бұрын

    Kaka umeeleza vizur sana nimegain kitu kikubwa sana na allah anifanyie wepes inshallah ,Allah akupe maisha marefu na yenye mafanikio

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6zАй бұрын

    Mhadhiri umesaidia uchambuzi mzuri na umetupa manufaa sn kuelewa hali ilivyo mashariki ya kati na ht mgogoro wa Israel na Iran. Thanks

  • @hilalisaidseif8483
    @hilalisaidseif84832 ай бұрын

    MashaAllah kumbe bado Tz tunawanahistoria wazuri hivi endelea kutupa elimu

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271Ай бұрын

    Duu safiii broooo

  • @user-uv8lo5jo3s
    @user-uv8lo5jo3s2 ай бұрын

    Basi mtu anaeongea vitu vya maana kama huyu huwezi kusikia media zina muhoji hatasikumoja innalilah wainailaih rajiun

  • @yussufmiraji9408
    @yussufmiraji94082 ай бұрын

    Toka nianze kufatia siasa za mashariki ya kati ndiyo kwanza nitapate taluma mm nilikuwa najuwa iran ni nchi ya kawaida tu kumbe wana technology kubwa sana kiasi wazungu wamuogope iran irani is the best country in Islam in the world

  • @osmaniidrisa6290

    @osmaniidrisa6290

    2 ай бұрын

    Lakini Iran ndio Audi mkubwa WA waislamu

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    2 ай бұрын

    ​@@osmaniidrisa6290ALAA SIO MUISRAEL ADUWI WA WAISLAMU???

  • @osmaniidrisa6290

    @osmaniidrisa6290

    2 ай бұрын

    @@salimmalaka256 wote ni maadui WA uislamu lakini harari zaidi ni Yule anaejifanya sio Audi kumbe ni adui

  • @jumaali4893

    @jumaali4893

    2 ай бұрын

    Unaushahidi wowote wa kuthibitisha ulichokiandika? au huna​@@osmaniidrisa6290

  • @awadhsalim2680

    @awadhsalim2680

    2 ай бұрын

    ​@@osmaniidrisa6290Naona bora Iran inaisapoti palestina kuliko Saudia ?!!! Sasa yupi aduwi zaidi ya waislam u ?

  • @ShadrackMwikoni
    @ShadrackMwikoniАй бұрын

    Teacher big up Sana natamani niwe kama wewe, wewe ni msomi mkubwa Allah akuzidishie ila niombee na mm mwanafunzi wako wa first year

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w2 ай бұрын

    Nimekkubali bro mambo unayo yasema yapo na maono makubwa sana.

  • @abdulpagali7476
    @abdulpagali74762 ай бұрын

    I appreciate your informed presentation. Shida humfanya mtu kuwa mdadisi, mbunifu na kuwa mwenye uthubutu wa kutenda. Iran imewekewa vikwazo vingi baada ya mapinduzi ya 1979. Suluhisho kwao ni kuwekeza kwenye teknolojia inayowafanya sasa waogopwe. Sisi tumewekeza zaidi kwenye siasa. Walimu, wahandisi na hata madaktari hukimbilia kwenye siasa ambako raslimali nyingi za taifa zimewekezwa huko. Sasa marndeleo tutayapataje kwa kukopi na kipesti kila kitu? Vijana wanasomea vyeti tu na sio utaalam, masrifa wala ujuzi. Je, ubunifu utatoka wapi? Asante mwalimu kwa kunielimisha 🎉🎉🎉.

  • @user-sc4ql5kf9v
    @user-sc4ql5kf9v2 ай бұрын

    Hongera brother

  • @user-tf3vf8rj8n
    @user-tf3vf8rj8nАй бұрын

    Wallah umenifunz mingi sana amby siikuw nayajua Kaka Allah akubarik

  • @hajimrisholukamba602
    @hajimrisholukamba6022 ай бұрын

    very knowledgeable, context analysis yako makes a lot of sense

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme84552 ай бұрын

    Cuba ndio nchi yenye vikwazo zaid

  • @senikomanya7223
    @senikomanya72232 ай бұрын

    Kweli aisee kama iran ingekua inasubir kupewa hakika ingekua imeisha anguka

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn2 ай бұрын

    Mhh nimefumbuka mambo mengi Hsante Kaka

  • @radjabusuleiman6486
    @radjabusuleiman64862 ай бұрын

    WA SHIA ni watu hatari Sana, sio kama sisi wa SUNI waoga ule imam wawo khomein akitangaza tuu vita hapatokalika mashariki yakati wanamuamini ule mzee wawo kuliko Ata Wazazi wao akitowa amri hakuna wa kupinga amri yake.

  • @fadhilimnyanga6400
    @fadhilimnyanga64002 ай бұрын

    Wapi mr Sebo..mmmh. nice historical facts.

  • @Mbmaster-os5oi
    @Mbmaster-os5oi2 ай бұрын

    Hongera ndugu

  • @PatrickBarnabas-fs4ow
    @PatrickBarnabas-fs4ow25 күн бұрын

    Umetisha

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v2 ай бұрын

    Tanzania inadaiwa deni kubwa sana na iran.Tumekopa tangu wakati wa Marehemu Ali hassan mwinyi akiwa Rais halafu tumeuchuna kama hatujui hatuna kamwe huo mpango wala hata hatujui tutalipa lini.Tunalipa madeni ya dhulma ya Riba ya wazungu na tumeacha kulipa deni lisilo na Riba yoyote.

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o2 ай бұрын

    Much respect kakamkubwa technical school ndo msingi

  • @kokubukoba7510
    @kokubukoba7510Ай бұрын

    Great analysis, asante

  • @ramadhanmazije3882
    @ramadhanmazije38822 ай бұрын

    Hongera broo

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu24082 ай бұрын

    Irani ni mfano mzuri wa afrika kufata tujifunze technically skills sio kusifiya tu Israel na marekani

  • @selemanshemea4093
    @selemanshemea40932 ай бұрын

    Lakini mbona tukio la Iran ndio linazungumzwa Sana?Israel kushambulia ubalozi wa Irani na kuua hilo sitatizo ,kweli dunia SASA IPO mikononi mwa waovu.

  • @suleim505

    @suleim505

    2 ай бұрын

    Dunia imeshaharibiwa na waharibifu, na ndio wanaounga mkono uharibufu unaofanyika kwa mataifa ya wanyonge

  • @muhamadharun9432

    @muhamadharun9432

    2 ай бұрын

    Propaganda za kusahaulisha uovu wa Israel

  • @GapsonRevoson-bn7nt
    @GapsonRevoson-bn7ntАй бұрын

    Nikili wazi napenda history lakin Kwa maelezo yako uliyoyatoa naona ninakazi kubwa kijifunza kutoka kwako ww umesimulia na kutatua Kwa maelezo yaliyonyooka na fact congratulations sana chief

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa24232 ай бұрын

    Ufafanuzi mzuri sana, ila mhadhiri ameacha maswali mengi kwa TZ lkn na Afrika kwa ujumla. Yaani, ni kwa namna gani nchi za Afrika zimeshindwa kuwekeza katika teknolojia?? Shida ni nini hapa! Lakini nini kifanyike...

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_2 ай бұрын

    Ubarikiwe saaana Kiongozi, haya unayosema karb wachambuzi wote wa kivita wametilia mkazo , hasa wanajeshi wastaafu wa Marekani karb wengi wamesisitiza israel awe mpole

  • @georgekimasaofficial1629

    @georgekimasaofficial1629

    2 ай бұрын

    Nyie endeleeni kudanganyana na kufarijiana badae tutakuja mezani hapa Kwa kauli za kutia huruma

  • @peteremmanuelymatwimatwiem3258

    @peteremmanuelymatwimatwiem3258

    2 ай бұрын

    ​@@georgekimasaofficial1629endelea kua mini ivyo

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    2 ай бұрын

    ​@@georgekimasaofficial1629MSENGE MWENZAKO KAPIGWA HASARA 1.49 BILION DOLA KITUWO CHA NDEGE ZA ISRAEL KIMEANGAMIZWA CHOTE NA NCHI WANAIKIMBIA NENDA KAWASAIDIE MKUNDU WEWE.

  • @martinisadru9899

    @martinisadru9899

    2 ай бұрын

    ​​@@salimmalaka256unafirwa kweli wewe, kuma kibuyu. Waliungana mabasha wako wote, inchi zote za warabu mwaka 67, kumpiga simba wa yuda! Walitepeta, na enzi hizo warabu ndio walikua wanaongoza kwa utajiri dunia mzima, ataweza leo iran na vi inchi vake, yemen, lebanoni, Syria. Israel ni simba wa yuda! Mkataba wao na MUNGU hauvunjwi na YESU wala muhamadi, MUNGU alisha mwahidi Israel, hata akibaki mmoja vitani, atashinda vita, na hata dunia yote tuungane tukaipige Israel! Hatutashinda vita hiyo.

  • @georgekimasaofficial1629

    @georgekimasaofficial1629

    2 ай бұрын

    @@salimmalaka256 Axa matusi yanini ndugu afu mnataka Allah wenu awasaidie kwenye vita vya ndugu zenu ktk Iman duh au ndiyo allah anaruhusu Waislam kutukana watu? Au matusi ndiyo ushindi wenu? 🙄🙄🙄 mtaendelea kuteseka sana, sisi Wakristo Mungu wetu haturuhusu kutukana mtu. Afu pia tu nikukumbushe Israel wakipiga adui yao akafa wanatoa na lipoti kuwa wamemuua nani na kazi yake ilikuwa ni nini yaani wanajuwa kupiga Kwa tageti na panapo uma.😅😅😅😅

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo34782 ай бұрын

    Uchambuzi mzuri sana

  • @krisantmwaipungu1434
    @krisantmwaipungu1434Ай бұрын

    Well said brother

  • @jafariHabibu-jc9zf
    @jafariHabibu-jc9zf2 ай бұрын

    Nakushukuru sana bro nimekupata vyema

  • @jumamohammed2748

    @jumamohammed2748

    2 ай бұрын

    Mashallah mwalimu wangu Mr Mtani, nimekuelewa sana.

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy73602 ай бұрын

    Ni vigumu sana ku gundua Marekani na Esraeli ni Nchi moja lakini uki chunguza na kufatilia matukio kwa akili tangu azimio laku anzishwa Taifa hilo na matukio yaliyo fuata hadi leo uta gundua

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga89142 ай бұрын

    Nakuunga mkono sasa hivi serikali inatakiwa kuwekeza kwenye Teknolojia

  • @user-pe4lj4zl5n
    @user-pe4lj4zl5n2 ай бұрын

    Kweli kaka niwakati wa technology bro! 🎉

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya92772 ай бұрын

    Aisee umeongea vzr sana ndg mchambuzi nimekusikiliza kwa umakin sana unaongea kwa utaratibu kabisa ongera bas pokea maua yako na pongezi sana kwa Iran

  • @fadhilimnyanga6400
    @fadhilimnyanga64002 ай бұрын

    Nice work broo..nakusoma mjomba

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahir2 ай бұрын

    اللهم صل على محمد وال محمد

  • @user-yv2mx1vq3w

    @user-yv2mx1vq3w

    2 ай бұрын

    I am the National Chairman of Indiginous Shia Community: Tanzania lthna'ashariyyah Community (T.l.C)

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh66182 ай бұрын

    Mkuu, umejitahidi lakini pia irani wako vizur hata katika matibabu, ukweli irani ni taifa pekee lililobaki duniani kuwa ni huru kutokana na Mataifa ya magharib Iran imebaki kuwa ni kikwazo pekee kwa nchi za magharib na marekani kuitawala mashariki ya kati, nia ya Israel ni kuiburuza marekani iingie katika vita ili wao wa Israel wawe mabwana wa mashariki ya kati

  • @ramadhanmazije3882
    @ramadhanmazije38822 ай бұрын

    Tatizo ukijaribu tuu kuwekeza kwenye elimu itakayoikomboa nchi west wataleta figisu na hatuziwez figisu zao kwa kuwa uchumi wetu ni tegemez

  • @NgamelaYussuph
    @NgamelaYussuph2 ай бұрын

    Hivyo Vikundo Vimezuia Miaka Kumi Na mbili Marekani Kumuangusha Rais wa Siria

  • @akidashekue163
    @akidashekue1632 ай бұрын

    Muingeleza na Mmarekani Ndiyo Israel

  • @zuberisalum2004

    @zuberisalum2004

    2 ай бұрын

    Mmmhhhh pole bhana

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    2 ай бұрын

    NDIO WAO WOTE HAO LAKINI ZAO ZIMEFIKA.

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q2 ай бұрын

    Maashaallah umetufunza

  • @MohamedKasalama
    @MohamedKasalama2 ай бұрын

    Tuache ushabiki sikiliza point pamoja na vikwazo Iran imejweza ki uchumi na tecnolog tujifunze halafu jitu linaleta ushabiki hongera mchambuzi

  • @shabaniramadhan6751
    @shabaniramadhan67512 ай бұрын

    Ume eleza hali alisi vizuri. Wale walio Kalia eti dini dini,taifa teule walewe kwamba kule ni iporaji wa rasili mali. Usipo jisalimisha kama nchi zetu za Afrika unaitwa gaidi, tishio la dunia.

  • @saidngumbi6222
    @saidngumbi62222 ай бұрын

    @simulizi na sauti

  • @peterokoo7962
    @peterokoo79622 ай бұрын

    Jamaa akovizuri sana

  • @safarichui8551
    @safarichui85512 ай бұрын

    Iran ni Noma 🔥 ana makombora kyasi kwamba hao majamaa hawanaidadi au ufahamu ndo mana wamemnangania tokea 1979

  • @athumanimvula3718
    @athumanimvula37182 ай бұрын

    Irani wako vizuri sio kwenye tekrnolkgia tub, pia wamesomesha watu wao dini ilimtu hataakipata uongozi awe na hofu ya Mungu.

  • @YassinAwami-yi8jd
    @YassinAwami-yi8jd2 ай бұрын

    Tuwekeze kwenye TECHNICAL KNOWLEDGE... That is a point

  • @user-fn5zt6tm1h
    @user-fn5zt6tm1h2 ай бұрын

    Anaejua anajua tu Hongera umetufumbua macho

  • @jumasaidswaiguti4190
    @jumasaidswaiguti41902 ай бұрын

    Hongera kwa presentation nzuri na kwa ushauri uliotoa kwa serikali na jamii kuwekeze kwenye technologia badala ya vyuo vikuu.

  • @NoelNjementi
    @NoelNjementi21 күн бұрын

    Kwer mumeamini kuwa Israel inatisha ee vita inakufa nawatu wengi

  • @saiddarrus6400
    @saiddarrus64002 ай бұрын

    Hats off brother

  • @Inbrajabtv
    @Inbrajabtv2 ай бұрын

    Ebanaeeh we uk vzr ahsant saana

  • @AnthonyGabriel-ou7wz
    @AnthonyGabriel-ou7wzАй бұрын

    Tuambie imekuwaje Ajali ya Raisi wao?

  • @abdulkasukari5481
    @abdulkasukari54812 ай бұрын

    Good Presentation

  • @omaryyusuph3251
    @omaryyusuph32512 ай бұрын

    Ushauri mzuri sana serikali ilione hilo kwa jicho la tatu

  • @issackmfeti6708
    @issackmfeti6708Ай бұрын

    Mtu kama huyu ni msaada sana kwa nchi, ama kweli ni mchambuzi nimemuelewa vizuri sana

  • @stanslauslawa4777
    @stanslauslawa47772 ай бұрын

    Bro comment yako juu ya elimu nimeikubali 100%

  • @sameerbaksh98
    @sameerbaksh982 ай бұрын

    Tatizo watanzania huwa hatatuk kupata elimu kila kitu tufata ushabik please ongezen elimu kusoma bila kutumia din wala ushabik

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh66182 ай бұрын

    Silaha wanazopewa waarabu hazitakiwi kuzidi uwezo wa Israel

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi28412 ай бұрын

    Iran fumua nuclear hao mazayuni na huyo mmarekani

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh66182 ай бұрын

    Uko sawa tuingie kwenye innovations lakini kwanza tupambanie uhuru sio kulazimishwa miko, hebu angalia ibrahim traore magufuli wa bukina Faso

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyilaАй бұрын

    Israel na marekani hawaiogopi Bali wanataka watu Iran inatakiwa wawe Huru hawapo huru kwaana siyo mda mrefu tulishuhudia wanawake wakiuwa bila sababu wanaandamana lakini hawakuweza kwahiyo Mimi naona siyo nchi ambayo inaviongozi making huko mashari ya kati Kuna nchi Zina nguvu ila zimetulia sana mfano nchi yenye nguvu kama Kuwait Iran inapenda ukubwa ingali haijafikia level hiyo

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh66182 ай бұрын

    Jordan mfalme wake mama ni mzungu so wale ni wajomba zake

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    2 ай бұрын

    TENA UFALME ALIKIWA APEWE HAMZA SIO YEYE MAMA MZUNGU WAKAMWEKA KIBARAKA HUYO KIBARAKA.

  • @NoelNjementi
    @NoelNjementi21 күн бұрын

    Israel iliwambia Italipa kisasi mliona kisasi chake mliona kisasi chakutosha mpaka amtosaau mlivyo fanywa

  • @SaidiChinduli
    @SaidiChinduli2 ай бұрын

    Elimu sahihi wakati sahihi pokea🎉🎉🎉🎉🎉 yako.

  • @user-nc7fx2qc2v
    @user-nc7fx2qc2v2 ай бұрын

    Wairani hawakubali utumwa kama waarabu

  • @kilungoramadhani7291
    @kilungoramadhani72912 ай бұрын

    Selekali yetu haipendi kushauliwa Apo ukiludiatu Utaenda kupumuzishwa

  • @user-fc1kn9jd4f
    @user-fc1kn9jd4f2 ай бұрын

    ZAO LA PROFESA JUMA

  • @SuperMtani

    @SuperMtani

    2 ай бұрын

    😂😂

  • @salimali-rf9er
    @salimali-rf9er2 ай бұрын

    Sadakta maneno yako👍🏻

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6sАй бұрын

    Shida Tanzania siasa imetawala na uchawa tu,

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y2 ай бұрын

    Yani bro apo umenionyesha kitu kikubwa sanaa Leo bro

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury83332 ай бұрын

    Nimekuelewa Sana hii nchi kumbe tunawatu wamaana kabisa lkn hamtakiwi kabisa mkifika juu tu kifo

  • @NoelNjementi
    @NoelNjementi21 күн бұрын

    Naisi tokea afe mlisi wahaminey naisi ujapona vzr kk

  • @rajabungomile3307
    @rajabungomile33072 ай бұрын

    Kaka acha tu watufundishe kuwa mtu wa kwanza alikua nyani, Awana mpango na technology Wala nn alafu tunajicfu kuwa nchi yetu ni ya kwanza kupgana vita ya ardhini wakat wao waktaka pgana awaleti watu Bali ndege zsizokua na rubani ksha znawaua wote, daaaah😂😂😂😂😂 technology kwanza jaman

  • @RamadhanmwidiniUdulele
    @RamadhanmwidiniUduleleАй бұрын

    My love teacher % fact

  • @le-grandimmoimmo977
    @le-grandimmoimmo977Ай бұрын

    Wewe ujui unasema nini bwana ujaenda kwa ngome zote za america.

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi85112 ай бұрын

    Ilo Co tatizo kuingia sirya wara rebanoni shida apo kuingia China au kuingia urusi au kuingia Korea

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda25542 ай бұрын

    Mchambuzi nakushukuru sana

  • @pembemussa2804
    @pembemussa28042 ай бұрын

    Nchi zenye kufanya maajabu makubwa kama hayo zilijikita na ku invest ktk masomo ya Sayansi Sisi Nchi zetu kufikia hizo level sio leo wala kesho kwani tumejikita zaidi kuwaandaa vijana wetu Kuja kua Wana sheria tuna wanasheria wengi mno kazi kujisifia WAKILI MSOMI 😂

  • @user-me3dy9zk7e
    @user-me3dy9zk7e2 ай бұрын

    Labbayka Yaa Imam

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    2 ай бұрын

    Taqiya 😢😢

  • @abdilahmohamed6679

    @abdilahmohamed6679

    2 ай бұрын

    Hawa watu me nashangaa hata waislam kuwafurahia Iran ila hawa ni wabaya kuliko hata waisrael na niwatalaam wa propaganda nataman umgewajua kwanza hawa Shia na mipango yao then ndo tuje tuongee wameua watoto Syria,Iraq na yemen na kila wakiua wanaweka vikundi kama hizbullah,IS na hamas ili waweke ushia kama yemen na kuua SUNNI 😢

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    2 ай бұрын

    @@abdilahmohamed6679 kweli ni movie ya KIHINDI

Келесі