Hiki ndicho kinachomfanya Marekani na Israel wamuogope Iran
Жүктеу.....
Пікірлер: 346
@ebengapierre88262 ай бұрын
Ebwana umetafsiri vizuri sn istoria nzuri kweli kumbe iran inanguvu ivyo nawasapoti iran mungu awalinde kilasiku mungu ukaha kwamwenye haki ❤❤❤❤ iran
@mussammanga7791
2 ай бұрын
Ulikuwa hujuwi ilo, kwa waarabu huyo ndie kidume anaeogopewa na nchi za kimagharibi.
@user-io8hn1jb4d
2 ай бұрын
Iran sio waarabu
@mussammanga7791
2 ай бұрын
@@user-io8hn1jb4d Upertia ni kabila tu, lkn ndio haohao. Au kwsbb wanazungumza Kifursi.
@user-hy5zd5rn6r
2 ай бұрын
Uko na mchezo,angalia ni nchi ngapi ziko na mabomu ya nuclear uone kama Iran ni Moja wao.Nchi ni 9 na Iran haipo kwenye hiyo orodha
@awadhsalim2680
2 ай бұрын
@@user-hy5zd5rn6riweke ww iwepo mgawaji wa technology 😅😅
@abdul-qadirkhamis25182 ай бұрын
MA shaa Allah.. I wish nionane na wewe one day in shaa Allah.... You are genius, again and again, and more than again....
@ibrahimsalad17172 ай бұрын
Mashallah unajua history keep it up bro, hizi nchi za kiarabu ni vibaraka tu kukiongozwa na Saudi ile siku watashtuka itakua too late, nawaombea tu Iran mungu awasimamie nawakubali sana hawa
@somoeomar48612 ай бұрын
Shukraan sana leo ndo nimeelewa kila kitu umetueleza vizuri sana thanx alot
@deusisindwa6162 ай бұрын
Asante sana kaka ❤❤ Wewe nimwana histor mzur sn,,anavitu vingi vya kutufundisha,,ukiashilia wachambuz uchwara,,binafsi nataman ungekuwa na jukwa maarum,,Ili tujifunze kutoka kwako,,Mungu akujalie afya njema ulichokipata nasisi tunufaike nacho❤❤❤💪💪,,
@saidiyusufumuhode31592 ай бұрын
Huyu Iran anatisha sanaa Allah aendelee kuwapa ufaham zaidi
@zahraalbaloochi28412 ай бұрын
Mtenda akitendewa!! Yani hii Israel na America ndio chanzo cha balaa kubwa duniani hilo linajulikana!!
@fatimasaid94692 ай бұрын
Mashallah tabaraqah. Huyu mtaalamu umlete tenna kwa uchambuzi zaid
@JoalAlma-ci1hi
Ай бұрын
Kwasababu anasema iran inaogopwa na marekani na israel😂😂😂😂😂et nawe unaamni et
@allynassor11192 ай бұрын
Nimekuelewa pongez kwako mungu akuongoze ktk kazi na maisha yk
@rk-rp2un2 ай бұрын
Hongera sana brother,nimeipenda ushauri ulioutoa,Mungu akubariki sana
@dulax24572 ай бұрын
Broo uko vizur from mombasa twakupata 100%wewe ni professer
@revocatusjilala2441
2 ай бұрын
Tanzania tumebobea kwa Tafukuri, kuelezea mambo kwa kina, watanzania wengi ni great thinker kuliko wakenya!! Wakenya kazi Yao ni kubwabwaja
@SuperMtani
2 ай бұрын
Asante
@snuramushi96122 ай бұрын
Mashallah umeisimulia vizuri sana tunategemea kukuona kwenye historia nyingine Inshaallah,,,kuhusu Iran kufanikiwa kujitengenezea vitu vyao wenyewe hii imesababishwa na ujasiri wao na utayari toka pale walipo uondoa utawala wa kifalme na kuweka utawala wakiislam walishakubali kupambana na lolote mbele yao sasa hawa wenzao bado waoga
@user-to7bs5pl4n
2 ай бұрын
MUNGU NDIYE ALIYE IBARIKI ISRAEL NA NDIYE ATAKAE ITETEA ISRAEL MUNGU LINDA MIPAKA YA ISRAEL ADUI WA ISRAEL NI ADUI WA MUNGU TUTAONA MUNGU WAO NA MUNGU WA ISRAEL NANI ZAIDI MUNGU IBARIKI ISRAEL NA MIPAKA YAKE HAKUNA ALIYE NA NGUVU KAMA MUNGU WA ISRAEL
@@user-to7bs5pl4nkwa hiyo wewe ni mpagani huna Mungu kama Mungu ni waisraeli?
@afrahamohamedi6301
2 ай бұрын
@@user-to7bs5pl4nwewe ni myahudi au 😮😮 ? wayahudi waliasi amri za Mungu ndio maana Yesu hana baba myahudi bali alizaliwa kwa njia tofauti bila manii ya mhuni mwizraeli . waizraeli ni watu washenzi wewe unawa entertain 😢😢 safari hii Izraeli itang'olewa na hata kama watatumia Atomiki bomu au haidrojeni bomu la Amerika au msaada wa urusi hautaleta manufaa yoyote kwa waizraeli
@hanspop69612 ай бұрын
Umeongea vitu Vizuri vya Mwanga Nimejifunza kitu kizuri sana Uendelee na Uchambuzi 🙏🏾
@user-db3vt4ei6b2 ай бұрын
Very good mr for this story and i believe that one day you will be a big man in this world in term of revolutionilist
@0diraWilson
25 күн бұрын
Unazungumzia Ujinga usio ujua. ISRAEL ni Taifa ambalo MUNGU wa IBRAHIM alimpa. Sasa hizo ni historia za kijinga haisaidii kitu ni porojo za mchana, hujui lolote.
@sultanbakary4292
9 күн бұрын
@@0diraWilsonMungu wa Israel ni marekan na ndio mungu wako pia
@josephwilliam58132 ай бұрын
Mchambuzi uko vizuri sana
@onelinelyrics2002 ай бұрын
Umetema facts! Ukweli Mchungu japo Mataifa ya kiarabu yanasaliti Ummah ikiwemo Suudia - kwa mfumo wa Petro-dolla kwa maslahi binafsi
@alibinali_2 ай бұрын
Thanks kwa uchambuzi mzuri sana kuna watu wanaongea mambo tofauti ila wewe umechambua vizuri na bila ubaguzi na vyombo vingi vyahabari hawaongie ukweli
@mohamedjakaya53552 ай бұрын
Maelezo mazuri sana pamoja na ushauri juu ya kuwekeza kwenye elimu ya ujuzi
@user-vj8eu7ih4k2 ай бұрын
Kaka umeeleza vizur sana nimegain kitu kikubwa sana na allah anifanyie wepes inshallah ,Allah akupe maisha marefu na yenye mafanikio
@user-uz9mw1ie6zАй бұрын
Mhadhiri umesaidia uchambuzi mzuri na umetupa manufaa sn kuelewa hali ilivyo mashariki ya kati na ht mgogoro wa Israel na Iran. Thanks
@hilalisaidseif84832 ай бұрын
MashaAllah kumbe bado Tz tunawanahistoria wazuri hivi endelea kutupa elimu
@gabrielmdem4271Ай бұрын
Duu safiii broooo
@user-uv8lo5jo3s2 ай бұрын
Basi mtu anaeongea vitu vya maana kama huyu huwezi kusikia media zina muhoji hatasikumoja innalilah wainailaih rajiun
@yussufmiraji94082 ай бұрын
Toka nianze kufatia siasa za mashariki ya kati ndiyo kwanza nitapate taluma mm nilikuwa najuwa iran ni nchi ya kawaida tu kumbe wana technology kubwa sana kiasi wazungu wamuogope iran irani is the best country in Islam in the world
@osmaniidrisa6290
2 ай бұрын
Lakini Iran ndio Audi mkubwa WA waislamu
@salimmalaka256
2 ай бұрын
@@osmaniidrisa6290ALAA SIO MUISRAEL ADUWI WA WAISLAMU???
@osmaniidrisa6290
2 ай бұрын
@@salimmalaka256 wote ni maadui WA uislamu lakini harari zaidi ni Yule anaejifanya sio Audi kumbe ni adui
@jumaali4893
2 ай бұрын
Unaushahidi wowote wa kuthibitisha ulichokiandika? au huna@@osmaniidrisa6290
@awadhsalim2680
2 ай бұрын
@@osmaniidrisa6290Naona bora Iran inaisapoti palestina kuliko Saudia ?!!! Sasa yupi aduwi zaidi ya waislam u ?
@ShadrackMwikoniАй бұрын
Teacher big up Sana natamani niwe kama wewe, wewe ni msomi mkubwa Allah akuzidishie ila niombee na mm mwanafunzi wako wa first year
@user-bo1ew3xq6w2 ай бұрын
Nimekkubali bro mambo unayo yasema yapo na maono makubwa sana.
@abdulpagali74762 ай бұрын
I appreciate your informed presentation. Shida humfanya mtu kuwa mdadisi, mbunifu na kuwa mwenye uthubutu wa kutenda. Iran imewekewa vikwazo vingi baada ya mapinduzi ya 1979. Suluhisho kwao ni kuwekeza kwenye teknolojia inayowafanya sasa waogopwe. Sisi tumewekeza zaidi kwenye siasa. Walimu, wahandisi na hata madaktari hukimbilia kwenye siasa ambako raslimali nyingi za taifa zimewekezwa huko. Sasa marndeleo tutayapataje kwa kukopi na kipesti kila kitu? Vijana wanasomea vyeti tu na sio utaalam, masrifa wala ujuzi. Je, ubunifu utatoka wapi? Asante mwalimu kwa kunielimisha 🎉🎉🎉.
@user-sc4ql5kf9v2 ай бұрын
Hongera brother
@user-tf3vf8rj8nАй бұрын
Wallah umenifunz mingi sana amby siikuw nayajua Kaka Allah akubarik
@hajimrisholukamba6022 ай бұрын
very knowledgeable, context analysis yako makes a lot of sense
WA SHIA ni watu hatari Sana, sio kama sisi wa SUNI waoga ule imam wawo khomein akitangaza tuu vita hapatokalika mashariki yakati wanamuamini ule mzee wawo kuliko Ata Wazazi wao akitowa amri hakuna wa kupinga amri yake.
@fadhilimnyanga64002 ай бұрын
Wapi mr Sebo..mmmh. nice historical facts.
@Mbmaster-os5oi2 ай бұрын
Hongera ndugu
@PatrickBarnabas-fs4ow25 күн бұрын
Umetisha
@user-ms1xg1fp4v2 ай бұрын
Tanzania inadaiwa deni kubwa sana na iran.Tumekopa tangu wakati wa Marehemu Ali hassan mwinyi akiwa Rais halafu tumeuchuna kama hatujui hatuna kamwe huo mpango wala hata hatujui tutalipa lini.Tunalipa madeni ya dhulma ya Riba ya wazungu na tumeacha kulipa deni lisilo na Riba yoyote.
@user-pf2qk8fz9o2 ай бұрын
Much respect kakamkubwa technical school ndo msingi
@kokubukoba7510Ай бұрын
Great analysis, asante
@ramadhanmazije38822 ай бұрын
Hongera broo
@makhanguwakhutu24082 ай бұрын
Irani ni mfano mzuri wa afrika kufata tujifunze technically skills sio kusifiya tu Israel na marekani
@selemanshemea40932 ай бұрын
Lakini mbona tukio la Iran ndio linazungumzwa Sana?Israel kushambulia ubalozi wa Irani na kuua hilo sitatizo ,kweli dunia SASA IPO mikononi mwa waovu.
@suleim505
2 ай бұрын
Dunia imeshaharibiwa na waharibifu, na ndio wanaounga mkono uharibufu unaofanyika kwa mataifa ya wanyonge
@muhamadharun9432
2 ай бұрын
Propaganda za kusahaulisha uovu wa Israel
@GapsonRevoson-bn7ntАй бұрын
Nikili wazi napenda history lakin Kwa maelezo yako uliyoyatoa naona ninakazi kubwa kijifunza kutoka kwako ww umesimulia na kutatua Kwa maelezo yaliyonyooka na fact congratulations sana chief
@nassoromussa24232 ай бұрын
Ufafanuzi mzuri sana, ila mhadhiri ameacha maswali mengi kwa TZ lkn na Afrika kwa ujumla. Yaani, ni kwa namna gani nchi za Afrika zimeshindwa kuwekeza katika teknolojia?? Shida ni nini hapa! Lakini nini kifanyike...
@ndukulusudikucho_2 ай бұрын
Ubarikiwe saaana Kiongozi, haya unayosema karb wachambuzi wote wa kivita wametilia mkazo , hasa wanajeshi wastaafu wa Marekani karb wengi wamesisitiza israel awe mpole
@georgekimasaofficial1629
2 ай бұрын
Nyie endeleeni kudanganyana na kufarijiana badae tutakuja mezani hapa Kwa kauli za kutia huruma
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
2 ай бұрын
@@georgekimasaofficial1629endelea kua mini ivyo
@salimmalaka256
2 ай бұрын
@@georgekimasaofficial1629MSENGE MWENZAKO KAPIGWA HASARA 1.49 BILION DOLA KITUWO CHA NDEGE ZA ISRAEL KIMEANGAMIZWA CHOTE NA NCHI WANAIKIMBIA NENDA KAWASAIDIE MKUNDU WEWE.
@martinisadru9899
2 ай бұрын
@@salimmalaka256unafirwa kweli wewe, kuma kibuyu. Waliungana mabasha wako wote, inchi zote za warabu mwaka 67, kumpiga simba wa yuda! Walitepeta, na enzi hizo warabu ndio walikua wanaongoza kwa utajiri dunia mzima, ataweza leo iran na vi inchi vake, yemen, lebanoni, Syria. Israel ni simba wa yuda! Mkataba wao na MUNGU hauvunjwi na YESU wala muhamadi, MUNGU alisha mwahidi Israel, hata akibaki mmoja vitani, atashinda vita, na hata dunia yote tuungane tukaipige Israel! Hatutashinda vita hiyo.
@georgekimasaofficial1629
2 ай бұрын
@@salimmalaka256 Axa matusi yanini ndugu afu mnataka Allah wenu awasaidie kwenye vita vya ndugu zenu ktk Iman duh au ndiyo allah anaruhusu Waislam kutukana watu? Au matusi ndiyo ushindi wenu? 🙄🙄🙄 mtaendelea kuteseka sana, sisi Wakristo Mungu wetu haturuhusu kutukana mtu. Afu pia tu nikukumbushe Israel wakipiga adui yao akafa wanatoa na lipoti kuwa wamemuua nani na kazi yake ilikuwa ni nini yaani wanajuwa kupiga Kwa tageti na panapo uma.😅😅😅😅
Ni vigumu sana ku gundua Marekani na Esraeli ni Nchi moja lakini uki chunguza na kufatilia matukio kwa akili tangu azimio laku anzishwa Taifa hilo na matukio yaliyo fuata hadi leo uta gundua
@jumamayonga89142 ай бұрын
Nakuunga mkono sasa hivi serikali inatakiwa kuwekeza kwenye Teknolojia
@user-pe4lj4zl5n2 ай бұрын
Kweli kaka niwakati wa technology bro! 🎉
@imanuelnguya92772 ай бұрын
Aisee umeongea vzr sana ndg mchambuzi nimekusikiliza kwa umakin sana unaongea kwa utaratibu kabisa ongera bas pokea maua yako na pongezi sana kwa Iran
@fadhilimnyanga64002 ай бұрын
Nice work broo..nakusoma mjomba
@HabibuMudhwahir2 ай бұрын
اللهم صل على محمد وال محمد
@user-yv2mx1vq3w
2 ай бұрын
I am the National Chairman of Indiginous Shia Community: Tanzania lthna'ashariyyah Community (T.l.C)
@mohamedsheikh66182 ай бұрын
Mkuu, umejitahidi lakini pia irani wako vizur hata katika matibabu, ukweli irani ni taifa pekee lililobaki duniani kuwa ni huru kutokana na Mataifa ya magharib Iran imebaki kuwa ni kikwazo pekee kwa nchi za magharib na marekani kuitawala mashariki ya kati, nia ya Israel ni kuiburuza marekani iingie katika vita ili wao wa Israel wawe mabwana wa mashariki ya kati
@ramadhanmazije38822 ай бұрын
Tatizo ukijaribu tuu kuwekeza kwenye elimu itakayoikomboa nchi west wataleta figisu na hatuziwez figisu zao kwa kuwa uchumi wetu ni tegemez
@NgamelaYussuph2 ай бұрын
Hivyo Vikundo Vimezuia Miaka Kumi Na mbili Marekani Kumuangusha Rais wa Siria
@akidashekue1632 ай бұрын
Muingeleza na Mmarekani Ndiyo Israel
@zuberisalum2004
2 ай бұрын
Mmmhhhh pole bhana
@salimmalaka256
2 ай бұрын
NDIO WAO WOTE HAO LAKINI ZAO ZIMEFIKA.
@user-sd5hj2im4q2 ай бұрын
Maashaallah umetufunza
@MohamedKasalama2 ай бұрын
Tuache ushabiki sikiliza point pamoja na vikwazo Iran imejweza ki uchumi na tecnolog tujifunze halafu jitu linaleta ushabiki hongera mchambuzi
@shabaniramadhan67512 ай бұрын
Ume eleza hali alisi vizuri. Wale walio Kalia eti dini dini,taifa teule walewe kwamba kule ni iporaji wa rasili mali. Usipo jisalimisha kama nchi zetu za Afrika unaitwa gaidi, tishio la dunia.
@saidngumbi62222 ай бұрын
@simulizi na sauti
@peterokoo79622 ай бұрын
Jamaa akovizuri sana
@safarichui85512 ай бұрын
Iran ni Noma 🔥 ana makombora kyasi kwamba hao majamaa hawanaidadi au ufahamu ndo mana wamemnangania tokea 1979
@athumanimvula37182 ай бұрын
Irani wako vizuri sio kwenye tekrnolkgia tub, pia wamesomesha watu wao dini ilimtu hataakipata uongozi awe na hofu ya Mungu.
@YassinAwami-yi8jd2 ай бұрын
Tuwekeze kwenye TECHNICAL KNOWLEDGE... That is a point
@user-fn5zt6tm1h2 ай бұрын
Anaejua anajua tu Hongera umetufumbua macho
@jumasaidswaiguti41902 ай бұрын
Hongera kwa presentation nzuri na kwa ushauri uliotoa kwa serikali na jamii kuwekeze kwenye technologia badala ya vyuo vikuu.
@NoelNjementi21 күн бұрын
Kwer mumeamini kuwa Israel inatisha ee vita inakufa nawatu wengi
@saiddarrus64002 ай бұрын
Hats off brother
@Inbrajabtv2 ай бұрын
Ebanaeeh we uk vzr ahsant saana
@AnthonyGabriel-ou7wzАй бұрын
Tuambie imekuwaje Ajali ya Raisi wao?
@abdulkasukari54812 ай бұрын
Good Presentation
@omaryyusuph32512 ай бұрын
Ushauri mzuri sana serikali ilione hilo kwa jicho la tatu
@issackmfeti6708Ай бұрын
Mtu kama huyu ni msaada sana kwa nchi, ama kweli ni mchambuzi nimemuelewa vizuri sana
@stanslauslawa47772 ай бұрын
Bro comment yako juu ya elimu nimeikubali 100%
@sameerbaksh982 ай бұрын
Tatizo watanzania huwa hatatuk kupata elimu kila kitu tufata ushabik please ongezen elimu kusoma bila kutumia din wala ushabik
@mohamedsheikh66182 ай бұрын
Silaha wanazopewa waarabu hazitakiwi kuzidi uwezo wa Israel
@zahraalbaloochi28412 ай бұрын
Iran fumua nuclear hao mazayuni na huyo mmarekani
@mohamedsheikh66182 ай бұрын
Uko sawa tuingie kwenye innovations lakini kwanza tupambanie uhuru sio kulazimishwa miko, hebu angalia ibrahim traore magufuli wa bukina Faso
@EzekiaMyilaАй бұрын
Israel na marekani hawaiogopi Bali wanataka watu Iran inatakiwa wawe Huru hawapo huru kwaana siyo mda mrefu tulishuhudia wanawake wakiuwa bila sababu wanaandamana lakini hawakuweza kwahiyo Mimi naona siyo nchi ambayo inaviongozi making huko mashari ya kati Kuna nchi Zina nguvu ila zimetulia sana mfano nchi yenye nguvu kama Kuwait Iran inapenda ukubwa ingali haijafikia level hiyo
@mohamedsheikh66182 ай бұрын
Jordan mfalme wake mama ni mzungu so wale ni wajomba zake
@salimmalaka256
2 ай бұрын
TENA UFALME ALIKIWA APEWE HAMZA SIO YEYE MAMA MZUNGU WAKAMWEKA KIBARAKA HUYO KIBARAKA.
@NoelNjementi21 күн бұрын
Israel iliwambia Italipa kisasi mliona kisasi chake mliona kisasi chakutosha mpaka amtosaau mlivyo fanywa
@SaidiChinduli2 ай бұрын
Elimu sahihi wakati sahihi pokea🎉🎉🎉🎉🎉 yako.
@user-nc7fx2qc2v2 ай бұрын
Wairani hawakubali utumwa kama waarabu
@kilungoramadhani72912 ай бұрын
Selekali yetu haipendi kushauliwa Apo ukiludiatu Utaenda kupumuzishwa
@user-fc1kn9jd4f2 ай бұрын
ZAO LA PROFESA JUMA
@SuperMtani
2 ай бұрын
😂😂
@salimali-rf9er2 ай бұрын
Sadakta maneno yako👍🏻
@user-ze6lx9ng6sАй бұрын
Shida Tanzania siasa imetawala na uchawa tu,
@user-nk4oq4ek9y2 ай бұрын
Yani bro apo umenionyesha kitu kikubwa sanaa Leo bro
@aleyidukury83332 ай бұрын
Nimekuelewa Sana hii nchi kumbe tunawatu wamaana kabisa lkn hamtakiwi kabisa mkifika juu tu kifo
@NoelNjementi21 күн бұрын
Naisi tokea afe mlisi wahaminey naisi ujapona vzr kk
@rajabungomile33072 ай бұрын
Kaka acha tu watufundishe kuwa mtu wa kwanza alikua nyani, Awana mpango na technology Wala nn alafu tunajicfu kuwa nchi yetu ni ya kwanza kupgana vita ya ardhini wakat wao waktaka pgana awaleti watu Bali ndege zsizokua na rubani ksha znawaua wote, daaaah😂😂😂😂😂 technology kwanza jaman
@RamadhanmwidiniUduleleАй бұрын
My love teacher % fact
@le-grandimmoimmo977Ай бұрын
Wewe ujui unasema nini bwana ujaenda kwa ngome zote za america.
@noelnjementi85112 ай бұрын
Ilo Co tatizo kuingia sirya wara rebanoni shida apo kuingia China au kuingia urusi au kuingia Korea
@omarybakunda25542 ай бұрын
Mchambuzi nakushukuru sana
@pembemussa28042 ай бұрын
Nchi zenye kufanya maajabu makubwa kama hayo zilijikita na ku invest ktk masomo ya Sayansi Sisi Nchi zetu kufikia hizo level sio leo wala kesho kwani tumejikita zaidi kuwaandaa vijana wetu Kuja kua Wana sheria tuna wanasheria wengi mno kazi kujisifia WAKILI MSOMI 😂
@user-me3dy9zk7e2 ай бұрын
Labbayka Yaa Imam
@OmmyJames-xn7ji
2 ай бұрын
Taqiya 😢😢
@abdilahmohamed6679
2 ай бұрын
Hawa watu me nashangaa hata waislam kuwafurahia Iran ila hawa ni wabaya kuliko hata waisrael na niwatalaam wa propaganda nataman umgewajua kwanza hawa Shia na mipango yao then ndo tuje tuongee wameua watoto Syria,Iraq na yemen na kila wakiua wanaweka vikundi kama hizbullah,IS na hamas ili waweke ushia kama yemen na kuua SUNNI 😢
Пікірлер: 346
Ebwana umetafsiri vizuri sn istoria nzuri kweli kumbe iran inanguvu ivyo nawasapoti iran mungu awalinde kilasiku mungu ukaha kwamwenye haki ❤❤❤❤ iran
@mussammanga7791
2 ай бұрын
Ulikuwa hujuwi ilo, kwa waarabu huyo ndie kidume anaeogopewa na nchi za kimagharibi.
@user-io8hn1jb4d
2 ай бұрын
Iran sio waarabu
@mussammanga7791
2 ай бұрын
@@user-io8hn1jb4d Upertia ni kabila tu, lkn ndio haohao. Au kwsbb wanazungumza Kifursi.
@user-hy5zd5rn6r
2 ай бұрын
Uko na mchezo,angalia ni nchi ngapi ziko na mabomu ya nuclear uone kama Iran ni Moja wao.Nchi ni 9 na Iran haipo kwenye hiyo orodha
@awadhsalim2680
2 ай бұрын
@@user-hy5zd5rn6riweke ww iwepo mgawaji wa technology 😅😅
MA shaa Allah.. I wish nionane na wewe one day in shaa Allah.... You are genius, again and again, and more than again....
Mashallah unajua history keep it up bro, hizi nchi za kiarabu ni vibaraka tu kukiongozwa na Saudi ile siku watashtuka itakua too late, nawaombea tu Iran mungu awasimamie nawakubali sana hawa
Shukraan sana leo ndo nimeelewa kila kitu umetueleza vizuri sana thanx alot
Asante sana kaka ❤❤ Wewe nimwana histor mzur sn,,anavitu vingi vya kutufundisha,,ukiashilia wachambuz uchwara,,binafsi nataman ungekuwa na jukwa maarum,,Ili tujifunze kutoka kwako,,Mungu akujalie afya njema ulichokipata nasisi tunufaike nacho❤❤❤💪💪,,
Huyu Iran anatisha sanaa Allah aendelee kuwapa ufaham zaidi
Mtenda akitendewa!! Yani hii Israel na America ndio chanzo cha balaa kubwa duniani hilo linajulikana!!
Mashallah tabaraqah. Huyu mtaalamu umlete tenna kwa uchambuzi zaid
@JoalAlma-ci1hi
Ай бұрын
Kwasababu anasema iran inaogopwa na marekani na israel😂😂😂😂😂et nawe unaamni et
Nimekuelewa pongez kwako mungu akuongoze ktk kazi na maisha yk
Hongera sana brother,nimeipenda ushauri ulioutoa,Mungu akubariki sana
Broo uko vizur from mombasa twakupata 100%wewe ni professer
@revocatusjilala2441
2 ай бұрын
Tanzania tumebobea kwa Tafukuri, kuelezea mambo kwa kina, watanzania wengi ni great thinker kuliko wakenya!! Wakenya kazi Yao ni kubwabwaja
@SuperMtani
2 ай бұрын
Asante
Mashallah umeisimulia vizuri sana tunategemea kukuona kwenye historia nyingine Inshaallah,,,kuhusu Iran kufanikiwa kujitengenezea vitu vyao wenyewe hii imesababishwa na ujasiri wao na utayari toka pale walipo uondoa utawala wa kifalme na kuweka utawala wakiislam walishakubali kupambana na lolote mbele yao sasa hawa wenzao bado waoga
@user-to7bs5pl4n
2 ай бұрын
MUNGU NDIYE ALIYE IBARIKI ISRAEL NA NDIYE ATAKAE ITETEA ISRAEL MUNGU LINDA MIPAKA YA ISRAEL ADUI WA ISRAEL NI ADUI WA MUNGU TUTAONA MUNGU WAO NA MUNGU WA ISRAEL NANI ZAIDI MUNGU IBARIKI ISRAEL NA MIPAKA YAKE HAKUNA ALIYE NA NGUVU KAMA MUNGU WA ISRAEL
@saphinalutaha9077
2 ай бұрын
@@user-to7bs5pl4n😂😂😂😂 mtajpa puresha bure kwaiyo mungu ndo Alie waambia wawe wanachokoza watu😂😂😂😂
@Alkaburu
2 ай бұрын
@@user-to7bs5pl4nkwa hiyo wewe ni mpagani huna Mungu kama Mungu ni waisraeli?
@afrahamohamedi6301
2 ай бұрын
@@user-to7bs5pl4nwewe ni myahudi au 😮😮 ? wayahudi waliasi amri za Mungu ndio maana Yesu hana baba myahudi bali alizaliwa kwa njia tofauti bila manii ya mhuni mwizraeli . waizraeli ni watu washenzi wewe unawa entertain 😢😢 safari hii Izraeli itang'olewa na hata kama watatumia Atomiki bomu au haidrojeni bomu la Amerika au msaada wa urusi hautaleta manufaa yoyote kwa waizraeli
Umeongea vitu Vizuri vya Mwanga Nimejifunza kitu kizuri sana Uendelee na Uchambuzi 🙏🏾
Very good mr for this story and i believe that one day you will be a big man in this world in term of revolutionilist
@0diraWilson
25 күн бұрын
Unazungumzia Ujinga usio ujua. ISRAEL ni Taifa ambalo MUNGU wa IBRAHIM alimpa. Sasa hizo ni historia za kijinga haisaidii kitu ni porojo za mchana, hujui lolote.
@sultanbakary4292
9 күн бұрын
@@0diraWilsonMungu wa Israel ni marekan na ndio mungu wako pia
Mchambuzi uko vizuri sana
Umetema facts! Ukweli Mchungu japo Mataifa ya kiarabu yanasaliti Ummah ikiwemo Suudia - kwa mfumo wa Petro-dolla kwa maslahi binafsi
Thanks kwa uchambuzi mzuri sana kuna watu wanaongea mambo tofauti ila wewe umechambua vizuri na bila ubaguzi na vyombo vingi vyahabari hawaongie ukweli
Maelezo mazuri sana pamoja na ushauri juu ya kuwekeza kwenye elimu ya ujuzi
Kaka umeeleza vizur sana nimegain kitu kikubwa sana na allah anifanyie wepes inshallah ,Allah akupe maisha marefu na yenye mafanikio
Mhadhiri umesaidia uchambuzi mzuri na umetupa manufaa sn kuelewa hali ilivyo mashariki ya kati na ht mgogoro wa Israel na Iran. Thanks
MashaAllah kumbe bado Tz tunawanahistoria wazuri hivi endelea kutupa elimu
Duu safiii broooo
Basi mtu anaeongea vitu vya maana kama huyu huwezi kusikia media zina muhoji hatasikumoja innalilah wainailaih rajiun
Toka nianze kufatia siasa za mashariki ya kati ndiyo kwanza nitapate taluma mm nilikuwa najuwa iran ni nchi ya kawaida tu kumbe wana technology kubwa sana kiasi wazungu wamuogope iran irani is the best country in Islam in the world
@osmaniidrisa6290
2 ай бұрын
Lakini Iran ndio Audi mkubwa WA waislamu
@salimmalaka256
2 ай бұрын
@@osmaniidrisa6290ALAA SIO MUISRAEL ADUWI WA WAISLAMU???
@osmaniidrisa6290
2 ай бұрын
@@salimmalaka256 wote ni maadui WA uislamu lakini harari zaidi ni Yule anaejifanya sio Audi kumbe ni adui
@jumaali4893
2 ай бұрын
Unaushahidi wowote wa kuthibitisha ulichokiandika? au huna@@osmaniidrisa6290
@awadhsalim2680
2 ай бұрын
@@osmaniidrisa6290Naona bora Iran inaisapoti palestina kuliko Saudia ?!!! Sasa yupi aduwi zaidi ya waislam u ?
Teacher big up Sana natamani niwe kama wewe, wewe ni msomi mkubwa Allah akuzidishie ila niombee na mm mwanafunzi wako wa first year
Nimekkubali bro mambo unayo yasema yapo na maono makubwa sana.
I appreciate your informed presentation. Shida humfanya mtu kuwa mdadisi, mbunifu na kuwa mwenye uthubutu wa kutenda. Iran imewekewa vikwazo vingi baada ya mapinduzi ya 1979. Suluhisho kwao ni kuwekeza kwenye teknolojia inayowafanya sasa waogopwe. Sisi tumewekeza zaidi kwenye siasa. Walimu, wahandisi na hata madaktari hukimbilia kwenye siasa ambako raslimali nyingi za taifa zimewekezwa huko. Sasa marndeleo tutayapataje kwa kukopi na kipesti kila kitu? Vijana wanasomea vyeti tu na sio utaalam, masrifa wala ujuzi. Je, ubunifu utatoka wapi? Asante mwalimu kwa kunielimisha 🎉🎉🎉.
Hongera brother
Wallah umenifunz mingi sana amby siikuw nayajua Kaka Allah akubarik
very knowledgeable, context analysis yako makes a lot of sense
Cuba ndio nchi yenye vikwazo zaid
Kweli aisee kama iran ingekua inasubir kupewa hakika ingekua imeisha anguka
Mhh nimefumbuka mambo mengi Hsante Kaka
WA SHIA ni watu hatari Sana, sio kama sisi wa SUNI waoga ule imam wawo khomein akitangaza tuu vita hapatokalika mashariki yakati wanamuamini ule mzee wawo kuliko Ata Wazazi wao akitowa amri hakuna wa kupinga amri yake.
Wapi mr Sebo..mmmh. nice historical facts.
Hongera ndugu
Umetisha
Tanzania inadaiwa deni kubwa sana na iran.Tumekopa tangu wakati wa Marehemu Ali hassan mwinyi akiwa Rais halafu tumeuchuna kama hatujui hatuna kamwe huo mpango wala hata hatujui tutalipa lini.Tunalipa madeni ya dhulma ya Riba ya wazungu na tumeacha kulipa deni lisilo na Riba yoyote.
Much respect kakamkubwa technical school ndo msingi
Great analysis, asante
Hongera broo
Irani ni mfano mzuri wa afrika kufata tujifunze technically skills sio kusifiya tu Israel na marekani
Lakini mbona tukio la Iran ndio linazungumzwa Sana?Israel kushambulia ubalozi wa Irani na kuua hilo sitatizo ,kweli dunia SASA IPO mikononi mwa waovu.
@suleim505
2 ай бұрын
Dunia imeshaharibiwa na waharibifu, na ndio wanaounga mkono uharibufu unaofanyika kwa mataifa ya wanyonge
@muhamadharun9432
2 ай бұрын
Propaganda za kusahaulisha uovu wa Israel
Nikili wazi napenda history lakin Kwa maelezo yako uliyoyatoa naona ninakazi kubwa kijifunza kutoka kwako ww umesimulia na kutatua Kwa maelezo yaliyonyooka na fact congratulations sana chief
Ufafanuzi mzuri sana, ila mhadhiri ameacha maswali mengi kwa TZ lkn na Afrika kwa ujumla. Yaani, ni kwa namna gani nchi za Afrika zimeshindwa kuwekeza katika teknolojia?? Shida ni nini hapa! Lakini nini kifanyike...
Ubarikiwe saaana Kiongozi, haya unayosema karb wachambuzi wote wa kivita wametilia mkazo , hasa wanajeshi wastaafu wa Marekani karb wengi wamesisitiza israel awe mpole
@georgekimasaofficial1629
2 ай бұрын
Nyie endeleeni kudanganyana na kufarijiana badae tutakuja mezani hapa Kwa kauli za kutia huruma
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
2 ай бұрын
@@georgekimasaofficial1629endelea kua mini ivyo
@salimmalaka256
2 ай бұрын
@@georgekimasaofficial1629MSENGE MWENZAKO KAPIGWA HASARA 1.49 BILION DOLA KITUWO CHA NDEGE ZA ISRAEL KIMEANGAMIZWA CHOTE NA NCHI WANAIKIMBIA NENDA KAWASAIDIE MKUNDU WEWE.
@martinisadru9899
2 ай бұрын
@@salimmalaka256unafirwa kweli wewe, kuma kibuyu. Waliungana mabasha wako wote, inchi zote za warabu mwaka 67, kumpiga simba wa yuda! Walitepeta, na enzi hizo warabu ndio walikua wanaongoza kwa utajiri dunia mzima, ataweza leo iran na vi inchi vake, yemen, lebanoni, Syria. Israel ni simba wa yuda! Mkataba wao na MUNGU hauvunjwi na YESU wala muhamadi, MUNGU alisha mwahidi Israel, hata akibaki mmoja vitani, atashinda vita, na hata dunia yote tuungane tukaipige Israel! Hatutashinda vita hiyo.
@georgekimasaofficial1629
2 ай бұрын
@@salimmalaka256 Axa matusi yanini ndugu afu mnataka Allah wenu awasaidie kwenye vita vya ndugu zenu ktk Iman duh au ndiyo allah anaruhusu Waislam kutukana watu? Au matusi ndiyo ushindi wenu? 🙄🙄🙄 mtaendelea kuteseka sana, sisi Wakristo Mungu wetu haturuhusu kutukana mtu. Afu pia tu nikukumbushe Israel wakipiga adui yao akafa wanatoa na lipoti kuwa wamemuua nani na kazi yake ilikuwa ni nini yaani wanajuwa kupiga Kwa tageti na panapo uma.😅😅😅😅
Uchambuzi mzuri sana
Well said brother
Nakushukuru sana bro nimekupata vyema
@jumamohammed2748
2 ай бұрын
Mashallah mwalimu wangu Mr Mtani, nimekuelewa sana.
Ni vigumu sana ku gundua Marekani na Esraeli ni Nchi moja lakini uki chunguza na kufatilia matukio kwa akili tangu azimio laku anzishwa Taifa hilo na matukio yaliyo fuata hadi leo uta gundua
Nakuunga mkono sasa hivi serikali inatakiwa kuwekeza kwenye Teknolojia
Kweli kaka niwakati wa technology bro! 🎉
Aisee umeongea vzr sana ndg mchambuzi nimekusikiliza kwa umakin sana unaongea kwa utaratibu kabisa ongera bas pokea maua yako na pongezi sana kwa Iran
Nice work broo..nakusoma mjomba
اللهم صل على محمد وال محمد
@user-yv2mx1vq3w
2 ай бұрын
I am the National Chairman of Indiginous Shia Community: Tanzania lthna'ashariyyah Community (T.l.C)
Mkuu, umejitahidi lakini pia irani wako vizur hata katika matibabu, ukweli irani ni taifa pekee lililobaki duniani kuwa ni huru kutokana na Mataifa ya magharib Iran imebaki kuwa ni kikwazo pekee kwa nchi za magharib na marekani kuitawala mashariki ya kati, nia ya Israel ni kuiburuza marekani iingie katika vita ili wao wa Israel wawe mabwana wa mashariki ya kati
Tatizo ukijaribu tuu kuwekeza kwenye elimu itakayoikomboa nchi west wataleta figisu na hatuziwez figisu zao kwa kuwa uchumi wetu ni tegemez
Hivyo Vikundo Vimezuia Miaka Kumi Na mbili Marekani Kumuangusha Rais wa Siria
Muingeleza na Mmarekani Ndiyo Israel
@zuberisalum2004
2 ай бұрын
Mmmhhhh pole bhana
@salimmalaka256
2 ай бұрын
NDIO WAO WOTE HAO LAKINI ZAO ZIMEFIKA.
Maashaallah umetufunza
Tuache ushabiki sikiliza point pamoja na vikwazo Iran imejweza ki uchumi na tecnolog tujifunze halafu jitu linaleta ushabiki hongera mchambuzi
Ume eleza hali alisi vizuri. Wale walio Kalia eti dini dini,taifa teule walewe kwamba kule ni iporaji wa rasili mali. Usipo jisalimisha kama nchi zetu za Afrika unaitwa gaidi, tishio la dunia.
@simulizi na sauti
Jamaa akovizuri sana
Iran ni Noma 🔥 ana makombora kyasi kwamba hao majamaa hawanaidadi au ufahamu ndo mana wamemnangania tokea 1979
Irani wako vizuri sio kwenye tekrnolkgia tub, pia wamesomesha watu wao dini ilimtu hataakipata uongozi awe na hofu ya Mungu.
Tuwekeze kwenye TECHNICAL KNOWLEDGE... That is a point
Anaejua anajua tu Hongera umetufumbua macho
Hongera kwa presentation nzuri na kwa ushauri uliotoa kwa serikali na jamii kuwekeze kwenye technologia badala ya vyuo vikuu.
Kwer mumeamini kuwa Israel inatisha ee vita inakufa nawatu wengi
Hats off brother
Ebanaeeh we uk vzr ahsant saana
Tuambie imekuwaje Ajali ya Raisi wao?
Good Presentation
Ushauri mzuri sana serikali ilione hilo kwa jicho la tatu
Mtu kama huyu ni msaada sana kwa nchi, ama kweli ni mchambuzi nimemuelewa vizuri sana
Bro comment yako juu ya elimu nimeikubali 100%
Tatizo watanzania huwa hatatuk kupata elimu kila kitu tufata ushabik please ongezen elimu kusoma bila kutumia din wala ushabik
Silaha wanazopewa waarabu hazitakiwi kuzidi uwezo wa Israel
Iran fumua nuclear hao mazayuni na huyo mmarekani
Uko sawa tuingie kwenye innovations lakini kwanza tupambanie uhuru sio kulazimishwa miko, hebu angalia ibrahim traore magufuli wa bukina Faso
Israel na marekani hawaiogopi Bali wanataka watu Iran inatakiwa wawe Huru hawapo huru kwaana siyo mda mrefu tulishuhudia wanawake wakiuwa bila sababu wanaandamana lakini hawakuweza kwahiyo Mimi naona siyo nchi ambayo inaviongozi making huko mashari ya kati Kuna nchi Zina nguvu ila zimetulia sana mfano nchi yenye nguvu kama Kuwait Iran inapenda ukubwa ingali haijafikia level hiyo
Jordan mfalme wake mama ni mzungu so wale ni wajomba zake
@salimmalaka256
2 ай бұрын
TENA UFALME ALIKIWA APEWE HAMZA SIO YEYE MAMA MZUNGU WAKAMWEKA KIBARAKA HUYO KIBARAKA.
Israel iliwambia Italipa kisasi mliona kisasi chake mliona kisasi chakutosha mpaka amtosaau mlivyo fanywa
Elimu sahihi wakati sahihi pokea🎉🎉🎉🎉🎉 yako.
Wairani hawakubali utumwa kama waarabu
Selekali yetu haipendi kushauliwa Apo ukiludiatu Utaenda kupumuzishwa
ZAO LA PROFESA JUMA
@SuperMtani
2 ай бұрын
😂😂
Sadakta maneno yako👍🏻
Shida Tanzania siasa imetawala na uchawa tu,
Yani bro apo umenionyesha kitu kikubwa sanaa Leo bro
Nimekuelewa Sana hii nchi kumbe tunawatu wamaana kabisa lkn hamtakiwi kabisa mkifika juu tu kifo
Naisi tokea afe mlisi wahaminey naisi ujapona vzr kk
Kaka acha tu watufundishe kuwa mtu wa kwanza alikua nyani, Awana mpango na technology Wala nn alafu tunajicfu kuwa nchi yetu ni ya kwanza kupgana vita ya ardhini wakat wao waktaka pgana awaleti watu Bali ndege zsizokua na rubani ksha znawaua wote, daaaah😂😂😂😂😂 technology kwanza jaman
My love teacher % fact
Wewe ujui unasema nini bwana ujaenda kwa ngome zote za america.
Ilo Co tatizo kuingia sirya wara rebanoni shida apo kuingia China au kuingia urusi au kuingia Korea
Mchambuzi nakushukuru sana
Nchi zenye kufanya maajabu makubwa kama hayo zilijikita na ku invest ktk masomo ya Sayansi Sisi Nchi zetu kufikia hizo level sio leo wala kesho kwani tumejikita zaidi kuwaandaa vijana wetu Kuja kua Wana sheria tuna wanasheria wengi mno kazi kujisifia WAKILI MSOMI 😂
Labbayka Yaa Imam
@OmmyJames-xn7ji
2 ай бұрын
Taqiya 😢😢
@abdilahmohamed6679
2 ай бұрын
Hawa watu me nashangaa hata waislam kuwafurahia Iran ila hawa ni wabaya kuliko hata waisrael na niwatalaam wa propaganda nataman umgewajua kwanza hawa Shia na mipango yao then ndo tuje tuongee wameua watoto Syria,Iraq na yemen na kila wakiua wanaweka vikundi kama hizbullah,IS na hamas ili waweke ushia kama yemen na kuua SUNNI 😢
@OmmyJames-xn7ji
2 ай бұрын
@@abdilahmohamed6679 kweli ni movie ya KIHINDI