Tundu Lissu Amjibu Fatma Karume Sakata la "Ubaguzi"
Akihutubia wananchi wa jijini Dodoma Leo Aprili 29,2024, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu amemjibu Mwanasheria Fatma Karume aliyekosoa kauli za Tundu Lissu dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa ni za kibaguzi wakati akihutubia wananchi wa Babati siku ya Ijumaa, Aprili 26, 2024 ikiwa ni siku ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru.
Пікірлер: 918
Kwa mara ya kwanza toka nianze kumsikiliza huyu jamaa,Leo nimemuelewa sana
@rolencevedasto1009
2 ай бұрын
Nakichwa kizito sana Leo tu
@albertmbise2670
Ай бұрын
Umechelewa sana kumuelewa
@pascaladloph4719
Ай бұрын
Yaani tangu aanze hukuwahi kumwelewa? Basi kijani walikuwa wamekulevya sana
Lisu Hatari sana kwa hoja ,unapotaka kupambana naye ni kujiandaa sana
@unclepumpuu5920
2 ай бұрын
Hana hoja yyote ni mbaguzi
@mzeejumbe900
Ай бұрын
Tatizo la tudu lissu huwa anadhania kuwa hao anaoongea nao hapo na penginepo kuwa wanamfahamu asilimia kubwa ya watanzania wenye maono wanamfahamu kuwa ni mtu wa propaganda na mwenye kueneza chuki na sintofahamu baina ya watanzania na pande mbili za muungano ni mtu asiye na uzalendo na taifa kwani ameelekeza chuk zaidi sana kwa kiongozi wa nchi huku akisahau kuwa raisi aliyepo madarakani yupo hapo kikatiba. Tundu huna jipya nenda zako ukatumwe na wazungu hilo ndilo lililobakia kwako kwani huna sifa ya kuwa kiongozi kwa watanzania.
Tundu lissu wewe ni zawadi Mungu katupa Watanzania Mungu azidi kumlinda GENIUS
@hamadfaki7625
2 ай бұрын
Hapo amehusisha Tanganyika so zawad ya Tanganyika iyo
@user-us4tk2tk3c
2 ай бұрын
Mwehu tuu huyu. Hana jipya.
@user-us4tk2tk3c
2 ай бұрын
Hakika wewe ni Mbaguzi na siasa zako hazina nia njema kwa Watanzania.
@mkude
2 ай бұрын
Hahaha huyo lissi bado sanaa mtamkubali wachache kama nyinyi mnataka kugawa watu ili mfaidike kisiasa.
@user-dq7gi3li9q
2 ай бұрын
Na yule mbunge wa za
Ndugu Lissu nakuombea sana Mungu akulinde
@masoudsalum
2 ай бұрын
Amina
@eliamtanzaniaog6380
2 ай бұрын
@@masoudsalumAmina sasna
@user-zw4tf5os8b
Ай бұрын
Amlinde wakati anaongea pumba zake za ubaguzi vunjeni muungano
@user-ul5ei1vv7z
Ай бұрын
Amina
@habinezaabubakar4200
Ай бұрын
Hakika
Lissu huwa unatwambia mambo ambayo yamejificha heko nyingi kwako
Mimi ni mazanzibar lkn hizi nchi ni mbili wasituchanganye hawa. Ccm waweke wazi hizi nchi mbili. Serikali ziwe tatu
@Soon815
2 ай бұрын
Huna akili
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
Una miaka mingapi..? maana tusije kupoteza nguvu kumjibu mtoto kwa hoja. Nikupe home work. Nenda katafute, muungano wowote wa nchi mbili wenye serikali tatu. ukiupata utuambie
@Skomi-0nedayyes
2 ай бұрын
Lamuhimu hapo kila mmoja ashike 50 zake atuoni umuhimu wowote wa muungano pia upande wa Tanganyika kwa sasa unaathirika zaidi asa wananchi wake na tangia mzanzibar alipo kaimu kiti cha Marehem Rais Magufuli hoja alizo ongea Lissu zina mashiko makubwa Rai yangu 2025 tusifanye makosa watanganyika tuakikishe raisi ajae ni Mtanganyika acha neni na wapemba ao wanayo Nchi yao jamani watupishe 2025 Tanganyika kwanza
@laurentraphael5470
2 ай бұрын
Mzanzibar lakini una mashamba morogoro Pumbavu. Huu muungano hauna mantiki yoyote kwa watanganyika.
@mzarendo.com9624
2 ай бұрын
Hatuutaki muungano sie Watanganyika labda uwe wa serikali tatu.
Kutesa kwa zamu wazanzibar zamu yetu kukuongozenii mtake msi take😮
Wanataka kuhamisha mjadala. Asiyemuelewa Lissu sio mzima.
Tundu Lissu Mungu ana sababu ya kukulinda na yote waliyo panga Mungu azidi kukulinda. Mungu hashindwi na lolote lile. Kama Mungu akuweka jicho lake nani atakuwa kinyume cha Mungu? Mungu anaona yote wanayofany maovu ya kutuibia watanganyika. Mungu hapendi dhuruma!
Shida uelewa hasa hawa mabumunda wa ccm Lissu yuko sahihi
Sisi wanzinzibar tunataka nchi yetu tumechoka kelele zenu nyinyi wenyewe watanga nyika mushauza sana vitu vyetu kua raisi mzanzibar ndo imekua shida hamujui kama kutesa kwa zamu😮😮
TUNDU ANTIPAS LISU MMMH🙌🙌🙌 UKIONGEA NA HIKI KICHWA JIPANGE SN. NI ZAWADI KUTOKA KWA. MUNGU TUNAOMBA MLINDE UNATUFAFANULIA VITU VILIVYOJIFICHA
@Ibrahim-ne3in
2 ай бұрын
Wewe n zawad kutoka Kwa shetan
I'm from Somalia, if you are complaining that the people of the islands are exploiting them, why are you on the mainland forcing the union. I say this because I follow the politics of East Africa a lot.
@fredrickchenga
2 ай бұрын
How did you know that is a complaint? This means you know the language. if that is the case, contribute to Swahili for the betterment of the viewers.
@hamidudongo1879
2 ай бұрын
Because they are Muslims-99%. They can't let them go. Some of their political -Christian leaders talked about it publicly.
@rockyvlogs2214
2 ай бұрын
@@fredrickchenga😂😂
@phillipmbuligwe6033
2 ай бұрын
Accept the fact my friend. Don't be unnecesarily defensive @@fredrickchenga
@johnsonkiwia6577
2 ай бұрын
@@fredrickchenga😂😂😂
Kwa hili Tundu lisu umeongea ukweli 100%
Daah lisu nakuelewa ila kwa hili sipo na ww unakosea sana. Piganieni katiba, tumehuru ya uchaguzi nk vikipatikana hivi hayo ya ubaguzi yatakaa kando
@williammbuzimai5744
Ай бұрын
Ukitulia na kuichambua kauli zake utamuelewa tu
@festussostenes4189
Ай бұрын
Ungekuwa umemuelewa usingeandika hayo mengine mbele
SAHIHI KABISA LISSU UNAYOYASEMA.
Mungu akubariki Mr tundu na akuongezeee miaka mingi ya kuishi ktk uso wa dunia
Nyinyi wa Tanganyika tusaidieni sisi wa zanzibar kuuvunja huu muungano feki usio na tija kwetu ili munufaike na tanganyika yenu
@bilalkhamis_
2 ай бұрын
Na mm natamani uvunjwe... mana hawa wabongo asaa 😢
@bahatielias6443
2 ай бұрын
Lakin lissu kasema ukweli ,sema CCM wako kimasilahi zaidi,Nanyie wanzanzibar muwe wakwanza kuukataa huu udhalimu,muungano feki
@philipombwambo1980
2 ай бұрын
Huu hauvunjiki kamwe labda mhame Zanzibar nyinyi
@FridayMwassa
2 ай бұрын
Rais wa sasa anatoka kwenu mwambieni avunje muungano mtaona maisha yenu yatakavyo kuwa magumu
@jumaseifjuma4185
2 ай бұрын
Kwani huu muungano ndo Mungu hata maisha yetu yawe magumu. Fahamu kwamba mambo ni kutegemeana hapa. Naona mmejaa tele hapa kutafuta maisha.@@FridayMwassa
Vizuri Mama etu wazanzibar nitafurahi ukiuuza ule mlima wao wa Kilimanjaro itakuwa saw na wao walivyokuwa wakiuuza vitu vyetu
Kwa haya namuunga mkono Tundu Lissu. Mtanganyika hawezi kununuwa aridhi Zanzibar, lakini muzanzibari anaweza kununuwa aridhi popote Tanganika
Kweli mfamaji haichi kutapapata. Bado ni mjinga Sana Lissu. Mbona husemi Kama. Mnasema muungano wa nchi mbili Wabunge wawe sawa bungeni. Nyie mko wengi. ?
@user-zj4ii6uf7t
2 ай бұрын
Lissu siyo njinga,na siyo mpubavu na siyo mbaguzi,na anacho kisema yuko sahihi kabisa,ila ninyi Viongozi wa roho wa madaraka mliokalia madaraka ndo mnaoziharibu baina za hizi nchi mbili?maana mnamuona Lissu km mwiba kwenu,wakati anawambia ukweli viongozi,na wtz kwa ujumla!!!!mnamuona Lissu km hayuko sahihi maana anawatomaso,lkn mjue kuwa haki haipotei ila inacheleweshwa tu,Kuna siku itakuja kutimilika tu,asanteni,ila viongozi kumbukeni kuwa Mungu yupo,na mbeba maono hafi mpaka yatimiye asanten
Kumbe tuna miaka ya uhuru na tanganyika na miaka 60 ya mungano
@manilabonalumanula9210
2 ай бұрын
Uhuru wa Tanganyika ikifika 9 Desemba 2024 na Muungano ilipofika 26 Aprili 2024 ulitimiza miaka 60.
Hizo ni nchi mbili tofauti, hata kama.jimbo moja kwa kura moja. Tundu Lissu.ameona abadilishe gia angani.
Kama we Ni mtu wa bara na ulishagaenda Zanzibar ndo utamuelewa lisu anachosema
@AhmedZahor
2 ай бұрын
Mumejaa kama taka huku Zanzibar kazi yenu wizi na Ujambazi muekezaji anauza sumu ya panya na mifuko nitafutie mzanzibari mmoja tu anauza sumu ya panya Bara au karanga Mukitaka Musitake Sisi tuko juu tutakutumeni tu
@omaryjumas6327
2 ай бұрын
Haeleweki. Zanzibar ardhi yake ni ndogo.sasa wageni milioni 50 kutoka Bara wakiamua kumiliki ardhi.Zanzibar. Jee! Wazanzibari Wenyewe wataishi wapi? Au mnataka mzanzibari akizaliwa tu akatafute makaazi nje ya nchi yake? Tambuweni kwamba Zanzibar ni nchi Tangu enzi na enzi, Muungano usiwe sababu ya Zanzibar kupoteza hadhi yake ya kuwa nchi. Tuliungana kwa kushirikiana baadhi ya mambo hatukuungana kwa kuuwa nchi.
@rayisadesigns2646
2 ай бұрын
We paulo kama kweli hicho unachosema Mwinyi anatoka wapi?! Zanzibar au Tanganyika?! ametoka Mkuranga Tanganyika mbona anatawala kule?! Wazanzibari na watanzania wote hatupo hivyo kaka, hizo no chuki tu mnazopandikiziwa na wanasiasa ili muivuruge amani ya taifa lenu!! Kuna mabwana zao nje huko wanaowatuma.
@PaulFaustinemisaraba-bp8md
2 ай бұрын
@@omaryjumas6327 na kwann raia wa Zanzibar anaweza kutawala bara Ila raia wa bara kutawala Zanzibar Ni changamoto
@festussostenes4189
Ай бұрын
@@omaryjumas6327'nchi yake' ipi tena? Sisi si ni nchi moja?
Piga kazi Lisu, sisi tunakuelewa sana
Wanzanzibar tulio wengi tumechoka na muungano na ndio maana wapo waliowekwa jela kwa muungani tanganyika mnakwama wapi kuupenda huu muungano kama x kutojiamini kwa Zanzibar
Huyu jamaa kuna mda anazungmza ukweli lakni hutuba hii pumba tupu kuna mitanganyika kibao inamiliki ardhi Zanzibar
The only a living miracle! God have blessed us this human right defender and Democracy fighter. Mungu akulinde sana kamanda Mhe Tundu Lissu
Bado sanaa,hakuna wa kupanbana na Mama Samia Suluhu
@user-vg9sd2fc1k
2 ай бұрын
Hakuna anaepambana nae shida marekebisho yanatakiwa yafanyike.
@TegemeaFutemakatifu
2 ай бұрын
Akili Yako kisoda
@athumankaswaga605
2 ай бұрын
Madhara ya kuishi kwa shemeji😅😅😅😅😅
@elinamilyatuu7337
2 ай бұрын
We ni mjinga kama wajinga wengine
@yousuphnzira3209
2 ай бұрын
Hakuna
Mungu akutunze mtetezi wa wanyonge wa Tanzania 👏👏
Lissu nakupenda sana kutoka moyoni hasa maana mungu kakujalia baraka zote. Nawaomba Watanganyika wote tuungane maana lissu katuamsha. Ney wa mitego nae alisha tuamsha kupitia wimbo wake wa Amkeni Wake up TANGANYIKA
@user-zj4ii6uf7t
2 ай бұрын
Amen
Mlikua mkituzarau na kutucheka saivi zamu yenu munalialia tulieni si mulikua mkijiita Tanganyika kiumeni Zanzibar ukeni mtablooo
Kwakweli ukweli unauma kamanda nakupenda sana wewe ndo kila kitu tunashukulu Kwa kutuelimisha watanganyika mungu aendele kukutunza
Lisu wewe ni hazina kwa taifa letu,bali ugonjwa mkubwa unaotutafuna watanzania ni kutokubali ukweli na wavivu wa kusoma ili kuwa na uelewa mpana wa mambo na uwezo wa kuchambua mambo.
Mlikua mkituzarau na kutucheka saivi zamu yenu munalialia tulieni si mulikua mkijiita Tanganyika kiumeni Zanzibar ukeni mtablooo 😅😅
Wazanzibari hatutaki kelele nyingi nyinyi ndio mnaong'a Ng'ania muungano hebu vunjeni muone tutakavosheherekea then after 10 yrs muone maendeleo yetu .tushachoka na ukoloni wenu
@mussamussa8181
Ай бұрын
Unazan rahis
@sheikhasalim1190
Ай бұрын
@@mussamussa8181kwani kabla ya muungano ilikuaje? ama hujawahi kusoma historia ya Zanzibar?
WATANGANYIKA NI SAWA NA MISUKULE, MAANA HAJIELEWI KAMA NCHI YAO NA TANGANGINYIKA🤣🤣CCM NA SAMIA SULUHU OYEEE
@HasaMediaTv
2 ай бұрын
Mitano tena
@zamorad5654
2 ай бұрын
Ukiwa na matope kichwani huwezi kumuelewa Lisu
@natafutamatatizo4382
2 ай бұрын
@@zamorad5654 Nimemuelewa LISSU ila Watanganyika ndio tatizo la kuungana nå watu laki tatu, na sasa WAZANZIBARI wanuza ardhi ya watu MILIONI 60!
@MilloWamilonga-ft8ir
2 ай бұрын
Na hasa ukijaa mavi ya kuku kama wana chagadema @@zamorad5654
@awatifalghanim1106
2 ай бұрын
@@zamorad5654Mugufuli😂 Rais wenu mpendwa alimtowa mbio Lisu Tanzania Bara. Rais Samia Hassan kutoka Zanzibar Island Rais wa United Republic of Tanzania kampa ruhusa kubwa sana ya kurejea Lisu na kuendelea na maisha yake Tanzania kwa upendo Kama ndugu, Imani na heshima aliyo funzwa na wazazi wake. Mungu mbariki Rais Samia na mhifadhi kwenye kazi yake muondoshee maaduwi wabaya mbele ya macho yake. Kila aduwi yake Mungu mlipe hapa hapa Duniani kesho akhera ni hisabu.
Haya mambo yataisha tukishavunja muungano
@godwinkileo7702
2 ай бұрын
Kweli kabisa, mimi siutaki huu muungano wa mchongo
Huyu tundu lissu role model wake ni rev mtikila, amefilisika sera kichwani anajihalalisha kwa utanganyika, walianza kumbagua mzee rukhsa na zambi ya ubaguzi anaiendeleza kwa samia...
Huu ndo ujinga tunaukataa wazanzibar nyinyi mliunganisha idadi ya watu au mliunganisha nchi ndo maana tunasema watu waulizwe
@HassanHassan-sr3fq
2 ай бұрын
Watanganyika wameyataka wenyewe
Kwan Tanaganyik imewafanyi mangapi zanzibar mbona munawachagulia mpka Raisi mbona hamunaweka mpka leo acount ya muungano inayosaidia Zanzibar mbona mpka hii leo hamujaipa zanzibar mamlaka yake yakujitawala wenyewe mumekaa kinyaa hamusemi chochote
@maonezinyagalu9393
2 ай бұрын
😂 waulize ccm
Tunataka serikali tatu kila nchi ijitegemee ibaki muungano tu
@EdwardSamson-uf1ee
2 ай бұрын
ukiwa na serikali tatu hauna maana ya kuwa na muungano. otherwise ni kupoteza buree pesa ya walima kodi. kuendesha serikali tatu ni kuwa na mabunge matatu marais watatu majeshi matatu ,benki kuu tatu na vitu vingine vyote vitatu vitatu. fikiria kidogo gharama za uendeshaji hapo !! ukimaliza kufikiria nikwambie tu ,kuna mambo ya muungano na yasio ya muungano. Mambo yasio ya muungano ndo hayo yanayo fanywa na kila nchi pekee yake kama mfumo wa elimu etc kuliko kuwa na Serikali tatu ani ya Zanzibar,Tanganyika na Serikali ya Muungano ni bora tu tusiwe na Muungano maana mpaka hapo utakuwa hauna maana tena. hakuna maana ya kuungana alafu uwe na serikali tofauti.
@isaliisu3408
2 ай бұрын
Na mimi nasema leyo mkapa asingeuwa wazanzibar kama si muungano na katiba
@isaliisu3408
2 ай бұрын
Tutundu waambiye hivi zanzibar ilikuwa huru na kutambulika kimataifa kuliko Tanganyika na kenya ukubwa wa puwa siyo wingi wa makamasi
@isaliisu3408
2 ай бұрын
Hebu tuachiyeni hakuna kisiwa chenye watu milioni 50 kama munataka ka hayo unganeni na kongo
@isaliisu3408
2 ай бұрын
Suala Ardhi za Visiwa zinalindwa kimataifa ili visiharibiwe uhalisiya wske hebu waambiye kuhusu ayalendi na unaited kingdom mungano ukoje
M/mungu akubariki namna unavyopambana kuherimisha watanzania .
Tundu you spoke well kuuza vitu vya Tanganyika si sawa kwa huyo Mzanzibar
@MohamedAbdallahSaid
Ай бұрын
Porojo zina mwisho wake.Wakati bandari itakapo immarika na inchi kunawiri porojo sizitakuwa kama mashuzi tuu😂
Siasa hizo kwa karne hii its totally failure.. jamaa yupo vzr sn, ila anaongozwa na jazba na mihemko na sio busara.
@geraldgedi4657
2 ай бұрын
Yaani unaoneshwa jambo muhimu wewe ni zuzu kweli usiejitambua harafu unakubali nchi yako inatolewa sadaka harafu unajifyatua ubongo. Shenzi sana wewe.
@TegemeaFutemakatifu
2 ай бұрын
Anajibu alichotuhumiwa, ndo maana mapema amekwambia anafafanua kile alichotuhumiwa nacho, Kwahio tulia ufafanuliwe alichotuhumiwa usichukie kuambiwa Ukweli
@hafidhhemed1514
2 ай бұрын
@@geraldgedi4657 ata kiswahili hujui kuandika, Sasa zuzu ni Mimi au ww.. achana na siasa ingia darasani ukasome kwanza
@hafidhhemed1514
2 ай бұрын
@@TegemeaFutemakatifu sawa me sijakataa, ila kama chadema Ina lengo la kuja kuchukua serikali nchi hii, inabidi watumie busara kubwa na sio mihemko, ubabe na kebehi havitawasaidia zaidi ya kupata hasara na kupoteza mvuto Kwa wananchi.. matokeo ya watakachokipita ni hasara, watawekwa ndani, wapigwe au kuuliwa kama ilivyokua ikifanywa na mwenda zake, au watafungiwa mikutano ya hadhara wasipate tena nafasi ya kupayuka... Na muheshim sn Mboe ana siasa za kiungwana sn, sio huyu msomi aliezidiwa na elimu yake na kulosa busara za kutatua shida zinazimzunguka.. anahisi shida hutatuliwa Kwa kebehi, ubabe na majivuno.. angekua mwalimu nyere au Mandela walitumia namna hio ya ukombozi historia ya Tanzania na SA ingeandikwa vyengine hii leo
Nakuelewa Sana kiongozi
Swali kwa tundu. Muungano ungekuwa unawapendelea wazanzinar, na hao wazanzinar wanataka kujiunga na OIC kwanini watanganyika tinawakatalia?
@mathiaszakaria7052
2 ай бұрын
Wanakataliwa na watawala wa ccm wa Zanzibar na Tanganyika na syo raia wa kawaida.Raia wengi wa kawaida hawaoni umuhimu wa Muungano
@user-qk2wu5wm1f
Ай бұрын
Sio watanganyika wanaowakatalia Ni huko huko ktk ccm yako😂
@amourmzeeali8464
Ай бұрын
Wazanzibar hatunufaiki na muungano rabda ulizi tu kiukweli mungu akajalia sku moja muungano uvunjike ili zanzibar upunzike kero 😢
TUNDU LISU USISEME ANOFANYA SAMIA KWA WABARA YASEME WALOFANYA VIONGOZI WATANGANYIKA WENZIO DHIDI YA ZANZIBAR
Huyu jamaa ana akili sana, basi tu ngozi nyeusi ina laana alipaswa awe sehemu ya system.
Big brain brilliant intellectual treasure of Tanzania next president of Tanzania republic excellently president honorable Tundu Antipas Mugwahi Lissu
@halimamasai2234
2 ай бұрын
Ni raisi wako nani anamtaka huyu tahira kwanza ni mbeligiji si mtanzania shenzi huyu
@petersilas4234
2 ай бұрын
Never
Yan mm siomshabiki wa ccm ila namuunga mkono mama Samia ili muzidi kuumia nyinyi vichogo Samia mitano kumi inakusubir 👏
Huyu jamaa ni BRIGHT sana
Safi sana,, wajinga ndo hawaelewi siku zote,, lisu safi sana mkuu.
Ukweli ni Ukweli hakuna funika kombe, Lisu yupo huru moyoni na kichwani so no gibberish, he calls a spade for its name not otherwise 🎉
Mungu ajali upate kura uvunje mungano dah tumechoka sisi wazanzibar jaman
Nampenda sana tundu lisu ni mwana siasa asiye yumbishwa kwa kile anacho kiamini, huyu ni legendary
Watanganyika wote ni vipofu kiakili kabisa. Watawala siku moja ndiyo sababu Samia anaandaa Warabu kujitayarisha kuja kuwatawala watanganyika. Hata kama CCM siku moja itawakula kwenu pia mtajikuta mnatawaliwa na Wazanzibari na wakati huu Samia anautumia vizuri kweli ili warabu waje wajazane hapa ili waungane na Zanzibar kutawala Tanganyika. Pole sana hata sasa mmeisha tawaliwa kiakili kabisa sijui ni ushamba au uchawa.
@AhmedZahor
2 ай бұрын
Wewe Kinacho kusumbua Ugalatia mbona huwataji Wazungu nyie Mulitawaliwa na Wajerumani na Waingereza mbona hamusemi kitu si kitu warabu nyie mbn kila siku munajipeleka
@mkude
2 ай бұрын
Unaongea pumba tupu,ulifikiri nyinyi wagala ndo wenye mamlaka ya kuwapa wazungu kuwa wawekezaji peke Yao matokeo Yao wanakufundisheni ushoga
@MilloWamilonga-ft8ir
2 ай бұрын
Upo mjinga sana sawa na huyo mkimbizi kilema
@user-zw6xv1vt1p
2 ай бұрын
Nayy atauwawa tuu km alimuuwa makufuli apate madalaka basi hata yy hana maisha mm mwenyewe ingekuwa mtoa roho ninavyo mchukia huyu ningemnyongelea mbali uko
@AhmedZahor
2 ай бұрын
@@user-zw6xv1vt1p wewe Mgalatia uko kijijini na Ujinga wako hata kiswahili hujui eti Madalaka Sema Madaraka kwani Tangu Dunia ilipo Umbwa alie kufa Magu tu Wamekufa Mitume itakua yeye yeye kama nani asife
UKIWA NA UBAGUZI WA KIKABILA NI DHAHIRI UTAKUWA NA UBAGUZI WA KIDINI PIA
@elinamilyatuu7337
2 ай бұрын
Hayo mambo ameyatunga?Acha kua fwaken
Karume was right. You can't say she is selling the ports because of her zanzibar origin. She is doing that because, she is the president. Deal with her as a present not as a citizen from zanzibar. Shame on you Tundu.
Wanasheria na Waandishi hucheza na document kujenga na kubomoa hoja. Marungu hayaruhusiwi..!
Ameuza akiwa rais w Tanzania. Hana kosa lolote kama mzanzibari. Tatizo mi Katiba ya Tanzania
@user-ti5ik2le1i
2 ай бұрын
Hata Lisu tangu mwanzo alisema katiba ndo imemfanya auze,,,sikiliza hotuba ya babati pia sikiliza kwenye hii hotuba mwanzoni kaongeza kuwa katiba ndo imefanya bandari zetu ziuzwe
@fredsonjaphet
Ай бұрын
Hata yeye kasema ivoivo
Cjawahi juta kukufaham umenyooka sana tatizo binadam hatupend ukweli hakuna baya ulilosema mkuu ni vle ww ni mkweli sana ndio tatizo
Jamaaa mbaguzi kweli kwani amewahamisha kuwapeleka zanzibar si humohumo hiyo Tanganyika yenu mnayodai kosa liko wapi?
@roidysimchimba7103
2 ай бұрын
Jamaa yuko sahihi kabsa msikilize vzr hana ubaguz ata kidgo na ukwel wazanzibar wengi ndy mnaasir hii na tanganyika hawana kabsa tabia ya kumbagua mzanzibar i
Nilipokuwa TZ 1994 i was told mtu kutoka TZ bara you wanted a visa to visit Zanziber. I really wanted to visit zanzibar for holiday niliposikia hivo and me us a foreigner nilidhani ni Country moja so i refused to Travel to zanzibar. Nilikuwa nataka ku Travel na my friend from TZ bara.
Kwenye hili nasimama na Tundu Lissu
Lol Lissu peke yake hashindi hii vita. Watanganyika poleni sana sijui mtaamka lini masikini
Mh. Kumbe chama cha CHADEMA kina Mazuzu eti. Mwanzo nilijua wanajielewa kumbe siasa zao ni Chiki na Ubaguzi tu kama hizi. Bora niendelee tu kuipambania CCM chama la wana. CCM hatumbagui mtu yyte si kwa Utaifa, jinsia, wala rangi. Kwetu ss ni Umoja, usawa na Utaifa mbele. ccm oyeeeeee🔥🔥🔥💚💚💛💛
M/mungu akubariki namna unavyopambana kuelimisha watanzania
Huu muungano ujadiliwe upya ikiwamunataka ubaki
Umejitahid kufafanua lakini still ulichosema ni ubaguzi. Kupotea kwa Tanganyika kumesababishwa na watanganyika wenyewe. Ubaguzi hausaidii.
@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr
2 ай бұрын
Zanzibar ni nn
@user-cq4lp5rv1l
Ай бұрын
@@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr Zanzibar ni ya wazanzibr wenyewe watanganyika ndo nn
@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr
Ай бұрын
@@user-cq4lp5rv1l haya tuseme mnajitawala haya kila xku mnalilia nn
Safi sana❤
Tundu Lissu is a school of its own. Halafu kuna hao washua wanaitikia in the background...wanafurahisha sana plus wanaonyesha elimu inawaingia haswaa.
One of the confused politicians on earth.
@geographyteacher.2961
2 ай бұрын
😂😂😂
@richardmbasha1411
2 ай бұрын
Just like you
@Wastara001
2 ай бұрын
@@richardmbasha1411 am not and I cannot be a politician
@kazimotomaswi9700
2 ай бұрын
And you aconfused utuber
@Wastara001
2 ай бұрын
@@kazimotomaswi9700 ikiwa hamuelewi lugha fulani afadhali unyamaze
Kichwa kina niuma
@awatifalghanim1106
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Kwani lazima huu Muungano???? iwe Tanganyika na Zanzibar kama Zamani Nchi mbili majirani wazuri kama zamani.
@ahmedworldsports
8 күн бұрын
Yaani mtanganyika hawezi kununua shamba Zanzibar? Ila nimuungano 😂
Aisee wewe ni mwalimu, una akili sanaa, wala hoja zako haziwez kujibiwa na hawa CCC hata kidogo. Tunakuelewa sanaa
Napenda lisu akielinisha juu ya tanganyika ili watanganyika wajieliwe tupate tanganyika huru na Zanzibar huru
Sasa leo ndio nimekujua Lisu kwamba kumbe nimtu ambae haufai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi. Mimi sitaki kusema kwamba eti Raisi samia amepatia ktk hilo au amekose bali ninanachokiona kwako lisu nisiasa za kibaguzi, kwanini labda tu usisemee yaliofanyika kwamba sio sahihi na sjui ametokea zanzibar sjui nini... labda umeishiwa na chakuwashawishi watu na unaanza kuingiza fikra za kibaguzi kwa watanzania
@TegemeaFutemakatifu
2 ай бұрын
Ungesikiliza vizuri inachosema katiba ya Zanzibar ungemwelewa Lisu, Lakini kama hujui isemacho katiba ya Zanzibar utaona anakosea Lakini katiba zetu ndo Zinatengeneza Ubaguzi
😂😂 Kuna mzee anaskika miyeyusho kichizi KASEMA "Lahaullah tumeliwa mbona anakula na uku" 😂😂
Zamani nilikua nakuona wa maana lkn saiv unapotea
@elishalomay4895
Ай бұрын
Correct
Bado tunahitaj shule kwlkwl watanzania Lisu hapo tumekuelew san
Hivi watu wanataka Nani atueleweshe mpaka wamwelewe
@deluxwoiso999
2 ай бұрын
Adi una nachoka kama kuna watu awa elewi broo
Pambana lisu hadi Tanganyika itoke kwasababu nyinyi mumeingia chakike 😂z,one mamlaka kamili❤ Tanganyika kanyaga😂
Hayo maneno ni ya kibaguzi kabisa kwani chadema mmeishiwa sera? Mimi naona hamna jipya zaidi ya kutengeneza chuki tu
@bungamassingisa2643
Ай бұрын
Nahisi wewe ni mzenj!!! Ajui???
Wapizani siku zote huwa wanatowa Ajenda watafanya nini Wakipata Serekali
@user-vg9sd2fc1k
2 ай бұрын
😎😎😎
@TegemeaFutemakatifu
2 ай бұрын
Sasa huoni hapo ankwenda nayo Moja Kwa Moja? Hataivo huu si wakati wa Kampeni, Ukifika wakati wa Kampeni ndo Kazi yake kutoa Sera watafanya Nini wakipewa nchi? Kumbe wee hujui ni Wakati Gani wakunadi Sera eti? Labda nikusaidie, Wakifanya Kampeni saizi watakuwa wamekiuka Sheria ya Nchi maana mda Bado.
Ww tundu mjinga,mbona Maraisi wa tanganyika unapowasema vibaya hutaji wanakotoka?
@richardmbasha1411
2 ай бұрын
Akili mgando ww
@faustinombilinyi9809
2 ай бұрын
ZANZIBAR ni nchi inarais wake kaatiba yake bunge lake kwann ss Tanganyika hawaendi wawakilishi kule bunge la Zanzibar MUUNGANO wa upendeleo mno
@user-vg9sd2fc1k
2 ай бұрын
Ngoja nicheke 2
@user-fr3vz2np4e
2 ай бұрын
@@faustinombilinyi9809 Ww una wazimu kweli,kwan Bunge la Tanzania ni la Tanganyika?wazanzibar wapo kwenye Bunge kama upande wa muungano. Ss wazanzibar tulipiga kelele kipindi kirefu ninyi muwe na serikali yenu ya tanganyika,mumekataa na mumejivisha koti la muungano. Daini Serikali yenu na ss tuwe na yetu then tukubaliane vipi serikali ya muungano iwe
@EmanuelBlassy-uz4gm
2 ай бұрын
Ujanja ujanja
Hongera mheshimiwa Lisu
Najivunia kuwa MZANZIBARI❤❤❤
Wewe naona elimu ikizidi Sana huwa ni athari ya kichwa
Hana Shukrani. wema wote unaofanyiwa na WZNZBR Hushukuru? umelazwa hospital Rais Samia Alikuona Kenya, Ulikimbia nchi Rais Samia amekurejesha kwa Amani na umepata utetezi was Fatma Karume. Jitathmini kuwa MZNZ hawana Shida n'a mtu.
@user-xx1je7sy4h
2 ай бұрын
Shida ni kasoro za Muungano bro sijuwi unamuelewa vizur lisu wew
Zanzibar ni Dola kubwa Africa lazima makao makuu ya Tanganyika yawe Zanzibar na tutapandisha bendera ya Zanzibar hadi uko kwenu
Huyu bangi zinamsumbua fala kweli huyu
@leonardjohnson2058
2 ай бұрын
Mtu anasoma kwenye katiba bado unasema bangi wewe utakuwa ni kiaz kikuu
Kama unaempenda lisu gonga like
Bora vunjeni muungano tu
Basi mrejesheni Rais Samia kwao Zanzibar awe Rais wa Zanz na kusiwe na MUUNGANO mambo yatakwisha. Ende kwao akafanye maendeleo na aiyuze Bandari maana ile Bandari ya Zanzibar ni taabani.
@user-sf3hq3tl8j
Ай бұрын
😂😂🎉🎉
Yani watanzania sielewi wamelogwa nanani maana tunapata mtu kama Lisu anatuelewesha lakini watu wengine hawaelewi kinachoendelea
@SoudShuraim
2 ай бұрын
Anaelewesha nn anaongea pointless...mbaguzi
LISU ni msumari wa moto kwa serikali ya ccm, wacha ukweli usemwe tuujue.
@hamisijuma8124
2 ай бұрын
Huyunikichaa naniampenchi
Alie kupiga risasi alikua mzanzibari au hao wanganyika wacha kupoa watu usiendekeze njaa wewe ndo una vunja undugu na upendo
@user-cx1bd1pp9o
2 ай бұрын
Cn lakukwambia mzungu mweusi mn njokushamaliza mkuu hukuchaka kumka lisu bulee😂
Mzanzibar kununua ardhi na kuishi bara ni halali, lakini Mtanganyika kununua ardhi na kuishi Zanzibar ni haramu! Hata ukitaka kujenga hoteli au kiwanda kuwekeza Zanzibar ni haramu! Muungano huu una haki sawa zipi?!.Serikali ya ccm Muungano huu msiotaka kuondoa kero ni muungano wa aina gani?!
Unacho nikera kumzungumzia magufuri vibaya wewe mwanaharamu
Huyu jamaa Halifai kuishi Tanzania ni mchochezi wa kutupa anawadanganya watu
@TegemeaFutemakatifu
2 ай бұрын
Anakudanganya wewe usie na Uwezo wakuelewa, Si tunao mwelewa tuache, Mtu anasema ukweli unasema anawadamganya watu wakati anasema Ukweli!! Shidaako akili huna ndo maana unaona anawadanganya watu, ni vile tu hampendi wanavotufungua Akili
@jonasdaniel1025
2 ай бұрын
Tulia wewe juma lokole
@KedymoundKulebaBoniphace
2 ай бұрын
Kipi kachochea. ama uelewa wako ni mdogo
@godsson5954
2 ай бұрын
sawa lokole