HUYU ASKOFU NI BALAA, BILA WOGA ADAI RAIS SAMIA ANAHONGA PIKIPIKI NA GESI ILI APIGIWE KURA 2025
#TANZANIA: Huyu Askofu Mwanamapinduzi Machumu ni balaa, aanika siri nzito ya Rais Samia, adai anahonga pikipiki na mitungi ya gesi kwa Wananchi ili apigiwe kura uchaguzi ujao, wananchi wathibitishankupokea mitungi ya gesi.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZread Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Пікірлер: 88
Zimwi la Magufuli litamtafuna Mama Samia
@BartonyMwasambili
25 күн бұрын
Simba
Fisiyemu tulieni sindano iwaingie
Msisumbuke alilopanga Mungu HATA watu wasipolipenda litatimia tuu msijisumbue Kwa neno lolote Bali kila neno kusali kuomba pamoja na kumshukuru Mungu yeye atosha haleluya
Kesho utasikia yuko lupango" mchochezi" 😮😮
@hassannuru7399
Ай бұрын
hakuna mwenye time naye. hayo yalikuwa ni ya kipindi cha yule mwendazake.
@gowekogoweko5803
Ай бұрын
AA WAPII
@IssaMohamed-mp4hj
29 күн бұрын
Mchungaji atapotezwa na ccm
Fisiyemu halijitambui watanganyika tunajitambua tumewakataa hata mkiongea. Humu mautumbo yenu hamtaeleweka
Safi sana
Usutumie vibaya neno la Mungu askofu
Askofu Big up!
Watu tumechoka na maisha magumu ya huyu Raisin samia
Biblia nzima ukiisoma mgogoro mkubwa uliokuwepo ni baina ya viongozi wa kidini na serikali. Hovyo viongozi wa dini Wana wajibu wa kuingilia kati pale serikali inapokosea
kweli alitakiwa ajiuzulu
Ukipewa chukua piga kura kwa anayetetea rasilimali
Mama samia rudi kwenu znz
Watu wa mungu acheni siasa. Hubirini injili
Kweli maisha magum sana tz
Haya maneno angekuwa kayasema sheikh sasahivi angekuwa keshabambikwa kesi ya ugaidi
Mh samia atareta Vita ya wazanzibar na watanganyika kwa kuwasaport wazenji tuuu inchi itakua kama Rwanda kwa ujinga wake samia
@kassimualli1755
28 күн бұрын
Mkundu wako
Kweli Ajihadali Maguli.alisem@
Kachanganyikiwa na udini huyu cio kosAlake tumuombe amuongoze halafu askofu sijui hao anaowaongoza wakoje huu mtihani mungu Samia urais Kapewa na mungu wewe huwezi kulitengua Hilo na chuki zako binafs
Sio askofu huyu
Faida ya mungano huo munauziwa nchi yenu sasa na bado pumbavu kwa nini munataka mungano
Sasa Samia ni rais wa Z,bar we mpumbavu Nini na Kwa uchochezi huo naaoa kama mtapata ushidi,
@thepresidenttobe5481
29 күн бұрын
Mpumbavu ni wewe boya wewe
@martinisadru9899
27 күн бұрын
Umejaa matope kwenye ubongo
@AdamShaban-uu4en
19 күн бұрын
Watanzana amkeni ccm ni sawa na nguo ya zamani au nguo mtumba shauri yenu
😅
😢ombeni.kura.punguzeni.maneno.mkali.sera Zuri.mafundi sho Juu.uchaguzi.waamke.wasids
Hana kanisa kanisa kwanza
Huyu akawaulize wa Pemba na unguja, walifikia wapi. Upinzani uchwara hautachukua dola kwa vikaratasi vya kura
Samia naona amechanganyikiwa.Maana hata polisi wamemsaliti.
Hatujafikia steji ya kutumia siraha za jadi kwenye uchaguzi mnatutisha sisi wapiga kula tusiende hata kupiga kula siku ya uchaguzi mtaenda wenyewe wewe ni mchungaji unatakiwa kuhamasisha amani sio machafuko na swala la ccm kuiba kula kwakutumia vyombo vya dola kama wewe mtumishi wa Mungu unatakiwa ulikemee nakumuomba Mungu aingilie kati haki itendeke hakuna kisichowezekana kwa Mungu
@hassannuru7399
Ай бұрын
acha uongo mchungaji.Hakuna mtu anakataliwa na mungu.huna hoja mchungaji.kangombee uone kama utapata kura hata moja,kama kuna mtu anakataliwa na mungu kama unavyosema labda ni huyo aliyekufa akiwa ofcn.
@zawadimbwambo1091
Ай бұрын
Mungu kashaa ombwa Sana haki itendeke na haikutendeka Hadi Leo. Sasa nikummaliza tu atakaejaribu kupora haki.
@EmmanuelKuzenza
29 күн бұрын
Mtukutu haishi kwa maombi. Fimbo hutumika kumwelimisha mtukutu.
Umeyakamyaga
siku mkirudi njooni G Lema
Yaani askofu u nahimiza watu kubeba silaha mungutuepushe.
Askofu pokea 100% kwako,
Kweri wewenichawa wasamia mpaka unasema mungu samia
Wenye akili timamu tutaenda misukule ibaki. Nyumbani
pole sanaaaa huwezi kuisinda Ccm hata ufanye pamoja na uaskofi wako
@philemonsnyanda9450
28 күн бұрын
Kuisinda😂
@martinisadru9899
27 күн бұрын
Kwani ccm ni MUNGU?
Asikofu mjinga anapingana na mungu wewe Kama Nani mungu hajamkataa samia ila wewe mpumbavu aliekwambia bandali zimeuzwa nani wewe unachuki za kidini sio acha uongo askofu mzima unamused mjinga
@thepresidenttobe5481
29 күн бұрын
Mjinga ni wewe kenge wewe. Askofu kasema huyo kakataliwa na Mungu, wewe unasema mungu, sasa huyo mungu ni shetani. Jifunze ili uelewe boya mkubwa
HABARI NDO HIYOO
@davidkawesa3594
Ай бұрын
Pole sana
Chadema UDINI UTAWAMALIZA.
@erickmsigala138
28 күн бұрын
Utahira wako ndiyo unawaza udini
Huyu ni askofu au mwanasiasa?
@philemonsnyanda9450
28 күн бұрын
Gwajima yeye unamusemaje
@jumakapilima7295
27 күн бұрын
@@philemonsnyanda9450 ulishawahi kumuona Gwajima anavaa nguo za kiaskofu na misalaba katika majukwaa ya kisiasa?
Askofu mwana mapinduzi Mungu yupo na Wewe tanganyika irudi Zanzibar iende Mungu aripanga sio Nyerere mbweha
Askofu wewe huogopi.
Ujinga wa askofu huyu .Mheshimiwa Samia hahongi pikipiki kwani vitendea kazi vya CCM vinakuhusu nini .Siasa na dini hiviendi njia moja .Askofu uliyechanganyiikiwa kama Tundulisu.Mungu hajakwambia hayo nimajukuu .
Huyu mtawala hatumtaki kabisa ila analazimisha tu
@kassimualli1755
28 күн бұрын
Mkundu wew
@emanuelmkama1325
26 күн бұрын
@@kassimualli1755acha matus boya wew
Kafiri mkubwa huyu analeta uchochezi wa wazi kuma la mama yake huyu askofu
@erickmsigala138
28 күн бұрын
Umelaaniwa kwa laana huna Mungu wewe ni shetani umekosa elimu kichwani umejaza kinyesi ndiyo maana huoni haya kutamka matusi matandaoni hujuwi madhara yake kwasababu u mjinga tu
@emanuelmkama1325
26 күн бұрын
Wew imetokea wap kwa mam ako
@user-wt7vz1xx6c
24 күн бұрын
Mapema tulia sindano ningie
@AdamShaban-uu4en
19 күн бұрын
Unamtukana askofu wewe ni shoga hujielewi unafirwa na ccm
Nyie ni wadini sana Na ndio maana wakirusto wenzenu wakiongoza hamsemi chochote. Nyerere ndio Raisi anaeingoza kufanya hali ya watanzani kuwa mbaya tena kwa muda zaidi miaka 20. Mkapa.alibinafsisha vitu vingine vya umma na hamkusema chochote
@GodfreyOsward
Ай бұрын
Sio kweli,ukitaka kufanya kubuka historia mkapa alipingwa kwa sera ya ubinasaj, mchanga wa dhaabu kupelekwa nje ulipingwa rejea doc za bunge, Tics ikija bandari mkurugenzi wa badandari alilamika mbele yake akikataa uwezaji. Mbunge aloys kimaro alitaka Kwa hoja mkapa ashitakiwe. Huyo mbuge mali zake arushwa Ilihujumiwa. Magu alipingwa kila kona na akitwa dictator. Vyombo ya habari kama BBc, hazikukosa habari ya kukosa kila leo. Mwl Nyerere historia inaonyesha alikuwa apinduliwe. Sisi tuna kasumba ya kumjadili mambo ya kutupotezea mda. Kama mzalendo hoja mfano kwa nini kiwanda kinateneza chupa za glass kwa kutumia maligafi za nje wakati Ziko hapa nchini? Kwa nini hua hatuoni haya?. Kwa nini tusifufue viwanda vya mikakati kama general tyre. Hivi hawa tunaowatetea kwa Imani Zetu kwa nini tushauri kwa Watoe uongozi wao Raia tufufue viwanda. Kule nchi ya Ethiopia bwa la umeme limejengwa kwa hisa za raia. Sisi hapa hoja uchwara na ukuwadi wa mali, rushwa.
@edosha3137
Ай бұрын
Wote walikuwa Watanganyika hawakuuza kwa Waarabu.
@Al.habeebAl.habaaib
Ай бұрын
@@edosha3137 wameuza kwa wazungu
@jumakapilima7295
Ай бұрын
@@edosha3137 Msenge wewe, kwahiyo nchi ilivyouzwa Kwa wengine hiyo ni Sawa, kuuzwa Kwa waarabu ndio tatizo? Msenge sana wewe
@martinisadru9899
27 күн бұрын
Hao akina mkapa waliuza kwa nani? Kwahiyo wewe mtu akiwa wa imani mwenzako, hata kama ni jambazi, utamtetea, hii tanganyika ni mkate wa wote, sio wachache wamege pakubwa, wengine wakose, kwa nyie waislamu hamna jeuri ya kuipinga serikali, sababu ni waoga sana,, wapinzani wenye nguvu duniani kote ni wakristo. Hata katika vitabu vya dini, manabii wengi wa MUNGU walizipinga tawala za miaka ile kwa uzalimu waloufanya.
Acha uaskofu uwe mwanasiasa yani wee dogo umekuwa aibu na unalitia aibu Kanisa na kwataarifa yako samia atapita kwa kishindo 2025 unapoteza muda wako bure Bwanamdogo utakufa na kijiba cha roho
@user-ry3zq8vp5c
Ай бұрын
Naonamachawa mnamzoga asikofu mtapatauteuzi waobarozo hata wanyumba kumi asante
@edosha3137
Ай бұрын
Kama Chawa wake mtaiba kura. Na haipendi Tanganyika yenu.
@edosha3137
Ай бұрын
Hamuipendi Tanganyika. Mnapenda kutawaliwa na Wazanzibar
@PetroMpunga-rt7hv
Ай бұрын
Katiba mpya
@karolikisaka8991
Ай бұрын
Uaskofu ni kazi,na kazi mojawapo ya askofu ni kuwasemea wasioweza kusema
Hivi vitabu vya Mungu nchini. Tanzania vinaruhusu unafiki hivi sasa Dunia inakwenda wapi ? Ona huyu mchungaji wa Mungu kweli? Mbona anawapeleka kondoo wake kwenye mto wenye mamba ili wakaliwe ivi Baibo la Mungu kweli limeandikwa hivyo kweli ? Jamani hii njaa wa Tanzania itatupeleka pabaya. Ndiyo maana Tanzania wachugaji wanajitundika kwa kujinyonga ndiyo kama hayo anayoyafanya kama huyojivisha ngozi ya kondoo huyu sio mchungaji bali ni mtu anayetafuta lana kwa Mungu. Emen
@user-iy8mq9ii8t
Ай бұрын
Sio lazima umkubali anyesema usiyopenda.bali Mungu atasmama na kweli daima
@jumakapilima7295
Ай бұрын
Uko sahihi