CHADEMA WANAJIBU MASWALI MAGUMU SABABU YA MSIGWA KUHAMIA CCM. CATHERINE RUGE KAFICHUA MAZITO
Жүктеу.....
Пікірлер: 41
@pennymahombo95285 күн бұрын
Ammekubaliana na mbuga za wanyama,bandari,misitu,uwanja Wa Kia,nk nk
@ambitiousholyspirit3953 күн бұрын
Msigwa alizinguliwa Kwa sababu intelligence ya chama Iko matured
@DanielMasubo-bv7zf5 күн бұрын
Tamaa na ubinafsi
@fadhilimoshi57545 күн бұрын
Msigwa ni msaliti mbinafsi mwenye matamaa na mtu anaependa utumwa hovyoooo
@user-ig3bu6lb5i5 күн бұрын
Mmeumia sana wana chadema
@mpefu_49364 күн бұрын
Njaa
@albertvalentino1305 күн бұрын
Kwakweli Msigwa,kama mchungaji,kwa maana ya kiongozi wa kanisa,amenitia mashaka kuju
@abdallahkihanza4825 күн бұрын
Msigwa kazoea vya kunyanga, ndio maana uzalendo umemshinda, ameona huko ndio atapata anachokitaka
@user-eu9cj5ho8d5 күн бұрын
Msigwa nazani anayasikia hayo yote. Yatosha tuendelee na talents zetu jamani.
@DenisonTheonest-yj3mk5 күн бұрын
Msigwa ni Malaya ananunulika anatabia za kimalaya acha aende
@AnnaMtulo-fc5tg5 күн бұрын
Yule fisadi kama fisadi wengine
@ramadhanmahongole92935 күн бұрын
Msigwa ni mroho wa madaraka sana
@ezralameck41504 күн бұрын
Ata huko akikosa cheo atahama tena😁
@rasnchimbi5 күн бұрын
Ili kujiheshimisha ni eidha angeamua kuachana na siasa arudi kulima au angeanzisha chama chake kwa kuwa anajiamini kuwa na wafuasi wengi au angehamia chama kilicho dhaifu akakistawishe,basss! Kulikoni kuyarudia matapishi alokuwa anayatukana na kuyalaani.🤔
@nelsonnyamle5 күн бұрын
Alitika ccn amerudi CCM huyu ni malaya wa kisiasa
@albertkamala68435 күн бұрын
Ubinafsi ni hali halisi ya kibinadam lkn maswala hayo..matakwa binafsi kisiasa, ki-taasisi na kijamii huwekewa utaratibu unaopaswa kuzingatia haki na democracy!
@odoieriasmonga65915 күн бұрын
msemaji wa mwisho umenikosha sanaa
@user-cz7bd9tc5k4 күн бұрын
Msigwa Ana fanana Sungura Alipo shindwa kuzifikia ndizi Aka Sema sizitaki kwanza Mbichi hazi fai kuliwa
@MusaOgwoko5 күн бұрын
Pesa inaua mziki wa kenya
@domymerinyo81654 күн бұрын
Unapoteza muda kujadili mwenye tamaa zake binafsi anaangalia faida zake,na sio mtu wa kuangalia kusaidia raia na kesho yao
@user133752 күн бұрын
Msimjibu msigwa huyo ana njaaa yake
@bernardmushi48695 күн бұрын
MUNGU NI WA HAKI NA ANACHUKIA UONEVU.MUNGU YUKO UPANDE WA WANAO-ONEWA NA PIA ANAWAKOMBOA WANAO-ONEWA.GOD IS NOT ON THE SIDE OF OPPRESSORS.GOD SENT MOSES WITH A MSG TO PHARAOH THE OPPRESSOR "THUS SAITH THE LORD; LET MY PEOPLE GO!".
@kaburi9205 күн бұрын
Mbowe ni tatizo Chadema kwa nn hataki kupisha wenzake nao walete mawazo na maono tofauti katika chama. Lissu anakubalika zaidi ya Mbowe. Mbowe ampishe Lissu na hakika atamwangusha Samia na CCM. Wewe Cathreen ni mmoja wa watu waliotumwa kumwangusha Msigwa. Mimi ni mshabiki wa Chadema na naona chama kinaenda kuanguka tusipokuwa makini. Bwana Zitto baada ya kipindi cha uongozi kwa mda fulani ameachia na wengine wanasukuma chama kwenda mbele. Kwa nn Mbowe hataki kuachia uenyekiti kwa wengine. Je ni kweli kwamba Anataka kugombea urais badala ya Lissu ambaye anakubaliwa na Watanzania wengi across the board.
@c2vconnection2 күн бұрын
Msigwa hawezi kuwa sahihi even if Chadema is wrong!!Na ifahamike kuwa Mbowe Soo mpigakura wa Kanda ya Nyasa.Na kama alikuwa bado upande wa upinzani kwa nn amejiunga na kile alichokiita"ukoo wa panya"? Je kujiunga kwake CCM ndo ataibadilisha isiwe tena"ukoo wa panya" kama alivyosema yeye?
@user-cx4nx7xi7s4 күн бұрын
NI SAWA LAKINI LOWASA HAKUTUKANA NA KUKASHIFU. KWANINI ANAMKASHIFU MWENYEKITI? MCHUNGAJI HAJATUTENDEA HAKI ALITAKIWA ATULIE AAME KWA USALAMA KAMA LOWASA.
@user-ig3bu6lb5i5 күн бұрын
Labda miaka50
@knight67575 күн бұрын
🐍
@c2vconnection2 күн бұрын
Je huyo F. A. Mbowe hajawahi kuwa mwema kwa Msigwa?Je hakuna mema yoyote ambayo Msigwa alitendewa? Hana jema analoweza kunikumbuka kulikumbuka?Amepetwa na nini huyo? Mbona alikuwa so eloquent kutetea chama na wale anaowatukana leo?
@JamesAbel-ig8wb5 күн бұрын
Kama wamemuudhi wenzake angefanya kama W. Slaa na James Mbatia wameonyesha msimamo wao wa kutopenda ccm
@albertvalentino1305 күн бұрын
Du kwakweli Msigwa,kama Mchungsji --- kama kiongozi wa kanisa,sikutaraji kama angeweza kufanya alilolifanya --- Mchungaji anatarajiwa kuwa rol model --- lakini hakuna shida " maisha lazima yaendelee " Nakubaliana na Biblia. 2 Petro 2: 22.
@desiderihugo57045 күн бұрын
Ndyo nasema bora angeenda kwenye chama kingine cha upinzani .
@halimamasai2234
5 күн бұрын
Inawakera sana Msigwa kwenda CCM na mtakerekwa sana na bado Hongera sana Msigwa upo sehemu salama CCM CCM CCM CCM 💪💪💪💪
@rebekakulwa61595 күн бұрын
Waliomununua wamemwambia amtukane mbowe ili kudhoofisha chama atachemka hata huyo penyeza alitukana sana wanapewa psesa nyingi sana
@SaidAlly-uh4qw5 күн бұрын
Chadema imeoza haina mvuto tena tangu nipate niwe mdogo mpaka leo mwenyekiti ni huyo huyo kiufupi mbowe na genge lake watafute kazi ya kufanya siasa imewashinda
@samuelmakara1475
5 күн бұрын
Nafikiri sasa umekuwa mtu mzima nakushauri ukamng'oe mbowe amekaa sana
@kaguripenina63
5 күн бұрын
Inaomekana ccm inamuogopa mboe
@SaidAlly-uh4qw5 күн бұрын
Chadema ni chama cha mbowe ni kweli ni mwenyekiti wa maisha mchungaji msigwa yupo sahihi
@NixonJohnson-zn8nk
5 күн бұрын
Sawa waanzishe Chao sio kudandia vyama vya watu
@josephwilliammnyune5464
5 күн бұрын
Kiongozi kama anafanya vizuri, aendelee tu. Mbona huko nako walipendekeza viongozi wao waongezewe muda wa kuongoza. Wala si ajabu.
@thembarikiwa5 күн бұрын
Karibu wa Kanda Ziwa nimependa maneno yako na nakupenda imeongea kwa UPENDO na Heshima kubwa Mchungaji Msigwa amechekesha KIFUPI
Пікірлер: 41
Ammekubaliana na mbuga za wanyama,bandari,misitu,uwanja Wa Kia,nk nk
Msigwa alizinguliwa Kwa sababu intelligence ya chama Iko matured
Tamaa na ubinafsi
Msigwa ni msaliti mbinafsi mwenye matamaa na mtu anaependa utumwa hovyoooo
Mmeumia sana wana chadema
Njaa
Kwakweli Msigwa,kama mchungaji,kwa maana ya kiongozi wa kanisa,amenitia mashaka kuju
Msigwa kazoea vya kunyanga, ndio maana uzalendo umemshinda, ameona huko ndio atapata anachokitaka
Msigwa nazani anayasikia hayo yote. Yatosha tuendelee na talents zetu jamani.
Msigwa ni Malaya ananunulika anatabia za kimalaya acha aende
Yule fisadi kama fisadi wengine
Msigwa ni mroho wa madaraka sana
Ata huko akikosa cheo atahama tena😁
Ili kujiheshimisha ni eidha angeamua kuachana na siasa arudi kulima au angeanzisha chama chake kwa kuwa anajiamini kuwa na wafuasi wengi au angehamia chama kilicho dhaifu akakistawishe,basss! Kulikoni kuyarudia matapishi alokuwa anayatukana na kuyalaani.🤔
Alitika ccn amerudi CCM huyu ni malaya wa kisiasa
Ubinafsi ni hali halisi ya kibinadam lkn maswala hayo..matakwa binafsi kisiasa, ki-taasisi na kijamii huwekewa utaratibu unaopaswa kuzingatia haki na democracy!
msemaji wa mwisho umenikosha sanaa
Msigwa Ana fanana Sungura Alipo shindwa kuzifikia ndizi Aka Sema sizitaki kwanza Mbichi hazi fai kuliwa
Pesa inaua mziki wa kenya
Unapoteza muda kujadili mwenye tamaa zake binafsi anaangalia faida zake,na sio mtu wa kuangalia kusaidia raia na kesho yao
Msimjibu msigwa huyo ana njaaa yake
MUNGU NI WA HAKI NA ANACHUKIA UONEVU.MUNGU YUKO UPANDE WA WANAO-ONEWA NA PIA ANAWAKOMBOA WANAO-ONEWA.GOD IS NOT ON THE SIDE OF OPPRESSORS.GOD SENT MOSES WITH A MSG TO PHARAOH THE OPPRESSOR "THUS SAITH THE LORD; LET MY PEOPLE GO!".
Mbowe ni tatizo Chadema kwa nn hataki kupisha wenzake nao walete mawazo na maono tofauti katika chama. Lissu anakubalika zaidi ya Mbowe. Mbowe ampishe Lissu na hakika atamwangusha Samia na CCM. Wewe Cathreen ni mmoja wa watu waliotumwa kumwangusha Msigwa. Mimi ni mshabiki wa Chadema na naona chama kinaenda kuanguka tusipokuwa makini. Bwana Zitto baada ya kipindi cha uongozi kwa mda fulani ameachia na wengine wanasukuma chama kwenda mbele. Kwa nn Mbowe hataki kuachia uenyekiti kwa wengine. Je ni kweli kwamba Anataka kugombea urais badala ya Lissu ambaye anakubaliwa na Watanzania wengi across the board.
Msigwa hawezi kuwa sahihi even if Chadema is wrong!!Na ifahamike kuwa Mbowe Soo mpigakura wa Kanda ya Nyasa.Na kama alikuwa bado upande wa upinzani kwa nn amejiunga na kile alichokiita"ukoo wa panya"? Je kujiunga kwake CCM ndo ataibadilisha isiwe tena"ukoo wa panya" kama alivyosema yeye?
NI SAWA LAKINI LOWASA HAKUTUKANA NA KUKASHIFU. KWANINI ANAMKASHIFU MWENYEKITI? MCHUNGAJI HAJATUTENDEA HAKI ALITAKIWA ATULIE AAME KWA USALAMA KAMA LOWASA.
Labda miaka50
🐍
Je huyo F. A. Mbowe hajawahi kuwa mwema kwa Msigwa?Je hakuna mema yoyote ambayo Msigwa alitendewa? Hana jema analoweza kunikumbuka kulikumbuka?Amepetwa na nini huyo? Mbona alikuwa so eloquent kutetea chama na wale anaowatukana leo?
Kama wamemuudhi wenzake angefanya kama W. Slaa na James Mbatia wameonyesha msimamo wao wa kutopenda ccm
Du kwakweli Msigwa,kama Mchungsji --- kama kiongozi wa kanisa,sikutaraji kama angeweza kufanya alilolifanya --- Mchungaji anatarajiwa kuwa rol model --- lakini hakuna shida " maisha lazima yaendelee " Nakubaliana na Biblia. 2 Petro 2: 22.
Ndyo nasema bora angeenda kwenye chama kingine cha upinzani .
@halimamasai2234
5 күн бұрын
Inawakera sana Msigwa kwenda CCM na mtakerekwa sana na bado Hongera sana Msigwa upo sehemu salama CCM CCM CCM CCM 💪💪💪💪
Waliomununua wamemwambia amtukane mbowe ili kudhoofisha chama atachemka hata huyo penyeza alitukana sana wanapewa psesa nyingi sana
Chadema imeoza haina mvuto tena tangu nipate niwe mdogo mpaka leo mwenyekiti ni huyo huyo kiufupi mbowe na genge lake watafute kazi ya kufanya siasa imewashinda
@samuelmakara1475
5 күн бұрын
Nafikiri sasa umekuwa mtu mzima nakushauri ukamng'oe mbowe amekaa sana
@kaguripenina63
5 күн бұрын
Inaomekana ccm inamuogopa mboe
Chadema ni chama cha mbowe ni kweli ni mwenyekiti wa maisha mchungaji msigwa yupo sahihi
@NixonJohnson-zn8nk
5 күн бұрын
Sawa waanzishe Chao sio kudandia vyama vya watu
@josephwilliammnyune5464
5 күн бұрын
Kiongozi kama anafanya vizuri, aendelee tu. Mbona huko nako walipendekeza viongozi wao waongezewe muda wa kuongoza. Wala si ajabu.
Karibu wa Kanda Ziwa nimependa maneno yako na nakupenda imeongea kwa UPENDO na Heshima kubwa Mchungaji Msigwa amechekesha KIFUPI