Mzee mnafiki sana huyu.. mbona uliopoteuliwa balozi hukua unasema haya? Au kwa sababu mrija ulikatwa.. Unazeeka vibaya mzee wangu. 😂😂😂
@gowekogoweko5803Күн бұрын
😅😅😅😅😅Eti pafumu 😂😂😂Nacheka kama mazuri vilee 😂😢😢😢😢
@davidmpiluka5224Күн бұрын
Siku ile hata mtoto wa darasa la kwanza alitambua kuwa wale Wabunge waliochangia hoja kwa kumshambulia Mpina walikuwa wamepangwa.
@shabanikimpinga6769Күн бұрын
Ngojeni.kije.chama.kingine.mtajuta
@leahmgunda4154Күн бұрын
Una maana gani? Ungekuwepo wakati Nyerere anadai uhuru ungeungana na wazungu.
@victorkisenha5933Күн бұрын
Baba ni kweli, wew endelea kuwaelewesha watu,
@richardhosea8827Күн бұрын
Acha hizo mbona ww ulikimbia si urudi tuandamane sote
@kirimbakisalum1950Күн бұрын
Rev. I understand your motion.
@menyemusicКүн бұрын
Kwanza mngehoji wenye viwanda kwa nini sukari ilipotea? na imekuwa ni kawaida inafichwa ili ipande . mbona hamuwatetei wananchi. Wacha zipindishwe tu ilimradi tunapata sukari
@abdalahgunda1319Күн бұрын
Watanzania wamechoka lakini tunaburuzwa tuu tuanenda kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa bila tume huru kitu kitachofanyika kutoa baazi ya serekali za mitaa danganya toto lakini sio sulisho lazima hili watanzania waliangalie sana kwa makini ndio maana na muamini sana tundundulisu mwabukusi explanation tume. Huru kwanza hata km new costuetion ltachelewa tungelianziasha sasahivi ili Dunia kweke macho hapo
@allyfutto87632 күн бұрын
Lijamaa linakuwaga na ma'points, lakini linavyo chamba walengwa wana wananuna na kutoyafania kazi kwa wakati, asilimia 70 ya waTZ ukiwabwatiza wana hamaki japo si kwa kucharuka bali kubata pia kunasaidia na ujumbe unafika ki shari.
@ezrakaturitsaofficialtz78732 күн бұрын
Mhe Rais kumbuka hata hayati Magufuli alisifiwa mpaka kuitwa simba wa Yuda alikataa akasema mimi ni mwanadamu tu msinipigie magoti na wewe kuwa mkali wewe ni mwanadamu tu unahitaji msaada wa Mungu lakini ukiwa husikilizi ushauri wa viongozi wa dini itakugharimu kuwa mwenyenyekevu na usikie maonyo ya viongozi wa dini ukiwa kama chura kama unavyosema husikii neno la Mungu linasema pasipo mashauri nchi huangamia Mhe Rais this is your time to be serious and say your not an Example of GOD your just human being
@ezrakaturitsaofficialtz78732 күн бұрын
Kiongozi wa nchi ukiona unalaumiwa sana hakuna baraka hapo Mungu kumbuka Rehema na Mheshimiwa Rais Samia Jitokeze hadharani ukatae sifa ya kufananishwa na Mungu unayopewa na Nabii hiyo sifa usipoikataa itakugharimu na wewe umesema ni kama chura husikii saa endelea kusifiwa finally utakuja kuelewa kwamba hata herode Mungu alimpa hekima akasau kumrudishia Mungu utukufu akapigwa na chango Mhe Rais Samia wewe ni msikivu sasa jitokeze hadharani kwa ukali na ukatae kuitwa Mungu kiongozi wa nchi kusifiwa na watu kwamba ni mfano wa Mungu itakugharimu usipokemea hilo kuwa mkali kabisa ili hiyo hali ya kutukuzwa kama Mungu watu waache mara moja
@OdiloMagungu-uf5is2 күн бұрын
Ccm ni watu wabaya miaka yote
@saidisaidi45022 күн бұрын
Wewe ujielewi kwanza wacha ukafiri halafu ndio ulete huo😊 ujinga wako hakuna mtz muoga isipokuwa tunajielewa wewe umri wako ni wa nyerere Sasa ulifanyanini wakati nyerere anaitia nchi shimoni nyerere aliwanywesha uji wa njano na hukuchukua hiyo hatua ukuchukua watu walikufa wakati wa nyerere na ulikuwa kijana bona ukuvaa bomu kafiri wee
@gilbertmathias75942 күн бұрын
Wewe tunakujua sana mshenzi tu wa tabia ww unawambia waache woga wakati mwenyewe huko marekani mpumbavu mmoja tu.
@user-jc8el6je5eКүн бұрын
Utakuwa ccm
@aaronswai3092Күн бұрын
Wewe hujitambui kama humuelewi Askofu Mpemba
@HamzaHeri2 күн бұрын
MBONA WEWE ASKOFU UNAPANDISHA KIDOLE JUU HUKO SAWA MIMI NAJIULIZA SANA
@user-io6yj9fs2h2 күн бұрын
Wewe ndomchungaji wakweli wengine machawa tu uko sawa sana ujinga umezidi chii kitwima padri nawewe nimewaelewa sana
@fabianmainchanyangachika50172 күн бұрын
Wambie baba wameongeza Kodi tena
@albertinamichael61232 күн бұрын
Mbwa nyie Magufuli hakuuwa mtu yeyote hawa wanao teka watu ndio walio kuwa wanauwa watu ili kumchafuwa JPM.
@sylvestercameo62632 күн бұрын
Akili ikikutuma kuandikia mbwa comment ukiamini kwamba mbwa ana uwezo wa kusoma na kuelewa ulichokiandik basi jitafakari akili yako, yawezekana ulishatoka katika utu wala wewe si binadamu bali uko kwenye kundi hilo unalowasiliana nalo!
@StevenGendo-vx9jo2 күн бұрын
Mbwa ni ww na familia yako yote ni mijibwa
@knight67572 күн бұрын
😂
@MwanakomboNassor-bw3by2 күн бұрын
Mwema kwako nani kila Rais unamchamba wewe utakufa nacho kijiba cha roho
@ShuwarMdudu2 күн бұрын
We msenge hanisiiii
@StevenGendo-vx9jo2 күн бұрын
Anamfila mama ako na baba ako
@desiderihugo57042 күн бұрын
Ccm waondoke tumewachoka jamaniii Mungu baba tuhurumie tuokoe na watesaji hawa . Safari wataondoka.
@edsonnelson44642 күн бұрын
Mhh wataondoka!. Wakati sasa watu wengi ndiyo kwanza wanahamia CCM?
@mariamfaicalhassan28902 күн бұрын
@@edsonnelson4464yaani msigwa kuhamia ndiyo wanahamia wanaohamia wamepotea
@Vickypaulo-kr8kj2 күн бұрын
Tuombe tuu mungu atawatengua 🤕🤕🤕
@FrankMwakatundu-cu6bd2 күн бұрын
Kama kila mmoja wetu ataona anao wajibu wa kupiga Kura ya ya kuikataa CCM na kulinda kura zetu basi CCM asubuhi na mapema itang'oka na kamwe haitakaa isimame!!?
@healingclinic698Күн бұрын
@@edsonnelson4464kuhamia kwa watu haibadilisha unyama ushenzi na ubaya wa CCM hata malaika wakihamia CCM haitabadilisha ukweli
@kashiririrkaasongwisye94872 күн бұрын
Mzee fumbua macho sikuizi wanaweka mtandao ila meter kumi tu kutoka office kuu ukitoka hapo hamna ni bando tu!
@muharamijuma15692 күн бұрын
ASK MPEMBA NI TAPERII MAMA TENA 2225
@petromgaya1746Күн бұрын
Iyo 2225 nadhani mtamchagua 🚮🚮🚮 chawa wa mama 😝
@MyahudiMgalilaya-vh6ssКүн бұрын
Hata kuandika hujui unakazana na mama tena! Kilema wa hakili
@deogratiusmaila6762 күн бұрын
Lete vitu tiririka Mtumishi
@estambuya39012 күн бұрын
Asante baba mchungaji.
@HenryKisusi2 күн бұрын
Haha hahahaha tulia 😂😂 Bangaladesh, nyosha miguu, kaza mkanda, kunywa uji. Agayaaa bakwigwa duhu! Watu wanatekwa ovyo ovyo tu, tumepuzwa na mama Abul wa Kizimkazi Zanzibari anatukanyaga tumechoka.
@HenryKisusi2 күн бұрын
Twende kazi 🔥🔥🔥 Mzee Fumbua Macho, Submarine, Agayaaa bakwigwa duhu bawilage namhala 💪💪💪, hatuna viongozi wa katika serikali Tanzania,
@ndukulusudikucho_2 күн бұрын
Mmejipanga saana, hongereni, Muumini wenu atukane , akashifu, atoe shutuma za Uongo, lakini bado atatetewa tu , Hongereni saaana mko vizuri
@bcozhenry26982 күн бұрын
Unadhani akili za kujua hili unazo?
@c2vconnection2 күн бұрын
Msigwa hawezi kuwa sahihi even if Chadema is wrong!!Na ifahamike kuwa Mbowe Soo mpigakura wa Kanda ya Nyasa.Na kama alikuwa bado upande wa upinzani kwa nn amejiunga na kile alichokiita"ukoo wa panya"? Je kujiunga kwake CCM ndo ataibadilisha isiwe tena"ukoo wa panya" kama alivyosema yeye?
@user133752 күн бұрын
Msimjibu msigwa huyo ana njaaa yake
@c2vconnection2 күн бұрын
Je huyo F. A. Mbowe hajawahi kuwa mwema kwa Msigwa?Je hakuna mema yoyote ambayo Msigwa alitendewa? Hana jema analoweza kunikumbuka kulikumbuka?Amepetwa na nini huyo? Mbona alikuwa so eloquent kutetea chama na wale anaowatukana leo?
@2003hintay2 күн бұрын
Wewe slaa huna jipya Kama lakwako unangoja uanzishiwe halafu ulivalie njuga ujinga mtupu macho yanakutoka kwa Mambo ya watu. Umeshapoteza hadhi umebaki Kama machinga tu
@ambitiousholyspirit3953 күн бұрын
Msigwa alizinguliwa Kwa sababu intelligence ya chama Iko matured
@AlphaMagomba3 күн бұрын
Asamehewe maana much msigwa amepotoka tu
@HoxeaPius3 күн бұрын
😅😅kumbe mpina alikuwa sahihi na anajua kbsa madhaifu yalipo
@ChristmasMaheri3 күн бұрын
Kuhusu muda wa mwenyekiti Mbowe kuongoza chama,siyo hoja muhimu.Kwa mfano:TANU ya Tanganyika ilibadilisha mwenyekiti J.K.Nyerere mara ngapi?,CCP ya 🇨🇳 China imebadili mwenyekiti wake Mao mara ngapi? Muda unategemea Chama chenyewe.Hayo maelezo ya ndugu Msigwa ni upungufu wa ukweli.
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey3 күн бұрын
WE MZEE WACHA UPUNDA WEWE MWENYEWE UNAUJUWA VYEMA MUNGU HAKUPENDI KANISANI UMEFUKUZWA KWA SABABU YA MATATIZO YAKO UNATAKA KUAMBUKIZA TAIFA
@user-wu2du6jy5c4 күн бұрын
Duu siasa wew mzee siulikimbiga chadema
@ezralameck41504 күн бұрын
Ata huko akikosa cheo atahama tena😁
@user-su6xu7ks7m4 күн бұрын
SPEAKER WA MCHONGO.
@user-su6xu7ks7m4 күн бұрын
AMUKENI WATANZANIA MAMA NI MWIZI NA ANAFUGA WEZI.
@user-cz7bd9tc5k4 күн бұрын
Msigwa Ana fanana Sungura Alipo shindwa kuzifikia ndizi Aka Sema sizitaki kwanza Mbichi hazi fai kuliwa
@domymerinyo81654 күн бұрын
Unapoteza muda kujadili mwenye tamaa zake binafsi anaangalia faida zake,na sio mtu wa kuangalia kusaidia raia na kesho yao
@yasminmustafa22824 күн бұрын
In kenya we hold demos as from low as our highschools..we know what we want and fight for it
@yasminmustafa22824 күн бұрын
We are kenyans and kenya is our business,its so sad when you prioritise arabs and can't believe your fellow black man can stand for their rights...you are a shame to our African freedom fighters
@yasminmustafa22824 күн бұрын
We don't have a leader WE ARE TRIBELESS, FACELESS and LEADERLESS...why is it so hard for you to believe that we cant do it...we all meet at x space..you guys are still in dictatorship era and have no clue what democracy means
@user-cx4nx7xi7s4 күн бұрын
NI SAWA LAKINI LOWASA HAKUTUKANA NA KUKASHIFU. KWANINI ANAMKASHIFU MWENYEKITI? MCHUNGAJI HAJATUTENDEA HAKI ALITAKIWA ATULIE AAME KWA USALAMA KAMA LOWASA.
Пікірлер
Mzee mnafiki sana huyu.. mbona uliopoteuliwa balozi hukua unasema haya? Au kwa sababu mrija ulikatwa.. Unazeeka vibaya mzee wangu. 😂😂😂
😅😅😅😅😅Eti pafumu 😂😂😂Nacheka kama mazuri vilee 😂😢😢😢😢
Siku ile hata mtoto wa darasa la kwanza alitambua kuwa wale Wabunge waliochangia hoja kwa kumshambulia Mpina walikuwa wamepangwa.
Ngojeni.kije.chama.kingine.mtajuta
Una maana gani? Ungekuwepo wakati Nyerere anadai uhuru ungeungana na wazungu.
Baba ni kweli, wew endelea kuwaelewesha watu,
Acha hizo mbona ww ulikimbia si urudi tuandamane sote
Rev. I understand your motion.
Kwanza mngehoji wenye viwanda kwa nini sukari ilipotea? na imekuwa ni kawaida inafichwa ili ipande . mbona hamuwatetei wananchi. Wacha zipindishwe tu ilimradi tunapata sukari
Watanzania wamechoka lakini tunaburuzwa tuu tuanenda kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa bila tume huru kitu kitachofanyika kutoa baazi ya serekali za mitaa danganya toto lakini sio sulisho lazima hili watanzania waliangalie sana kwa makini ndio maana na muamini sana tundundulisu mwabukusi explanation tume. Huru kwanza hata km new costuetion ltachelewa tungelianziasha sasahivi ili Dunia kweke macho hapo
Lijamaa linakuwaga na ma'points, lakini linavyo chamba walengwa wana wananuna na kutoyafania kazi kwa wakati, asilimia 70 ya waTZ ukiwabwatiza wana hamaki japo si kwa kucharuka bali kubata pia kunasaidia na ujumbe unafika ki shari.
Mhe Rais kumbuka hata hayati Magufuli alisifiwa mpaka kuitwa simba wa Yuda alikataa akasema mimi ni mwanadamu tu msinipigie magoti na wewe kuwa mkali wewe ni mwanadamu tu unahitaji msaada wa Mungu lakini ukiwa husikilizi ushauri wa viongozi wa dini itakugharimu kuwa mwenyenyekevu na usikie maonyo ya viongozi wa dini ukiwa kama chura kama unavyosema husikii neno la Mungu linasema pasipo mashauri nchi huangamia Mhe Rais this is your time to be serious and say your not an Example of GOD your just human being
Kiongozi wa nchi ukiona unalaumiwa sana hakuna baraka hapo Mungu kumbuka Rehema na Mheshimiwa Rais Samia Jitokeze hadharani ukatae sifa ya kufananishwa na Mungu unayopewa na Nabii hiyo sifa usipoikataa itakugharimu na wewe umesema ni kama chura husikii saa endelea kusifiwa finally utakuja kuelewa kwamba hata herode Mungu alimpa hekima akasau kumrudishia Mungu utukufu akapigwa na chango Mhe Rais Samia wewe ni msikivu sasa jitokeze hadharani kwa ukali na ukatae kuitwa Mungu kiongozi wa nchi kusifiwa na watu kwamba ni mfano wa Mungu itakugharimu usipokemea hilo kuwa mkali kabisa ili hiyo hali ya kutukuzwa kama Mungu watu waache mara moja
Ccm ni watu wabaya miaka yote
Wewe ujielewi kwanza wacha ukafiri halafu ndio ulete huo😊 ujinga wako hakuna mtz muoga isipokuwa tunajielewa wewe umri wako ni wa nyerere Sasa ulifanyanini wakati nyerere anaitia nchi shimoni nyerere aliwanywesha uji wa njano na hukuchukua hiyo hatua ukuchukua watu walikufa wakati wa nyerere na ulikuwa kijana bona ukuvaa bomu kafiri wee
Wewe tunakujua sana mshenzi tu wa tabia ww unawambia waache woga wakati mwenyewe huko marekani mpumbavu mmoja tu.
Utakuwa ccm
Wewe hujitambui kama humuelewi Askofu Mpemba
MBONA WEWE ASKOFU UNAPANDISHA KIDOLE JUU HUKO SAWA MIMI NAJIULIZA SANA
Wewe ndomchungaji wakweli wengine machawa tu uko sawa sana ujinga umezidi chii kitwima padri nawewe nimewaelewa sana
Wambie baba wameongeza Kodi tena
Mbwa nyie Magufuli hakuuwa mtu yeyote hawa wanao teka watu ndio walio kuwa wanauwa watu ili kumchafuwa JPM.
Akili ikikutuma kuandikia mbwa comment ukiamini kwamba mbwa ana uwezo wa kusoma na kuelewa ulichokiandik basi jitafakari akili yako, yawezekana ulishatoka katika utu wala wewe si binadamu bali uko kwenye kundi hilo unalowasiliana nalo!
Mbwa ni ww na familia yako yote ni mijibwa
😂
Mwema kwako nani kila Rais unamchamba wewe utakufa nacho kijiba cha roho
We msenge hanisiiii
Anamfila mama ako na baba ako
Ccm waondoke tumewachoka jamaniii Mungu baba tuhurumie tuokoe na watesaji hawa . Safari wataondoka.
Mhh wataondoka!. Wakati sasa watu wengi ndiyo kwanza wanahamia CCM?
@@edsonnelson4464yaani msigwa kuhamia ndiyo wanahamia wanaohamia wamepotea
Tuombe tuu mungu atawatengua 🤕🤕🤕
Kama kila mmoja wetu ataona anao wajibu wa kupiga Kura ya ya kuikataa CCM na kulinda kura zetu basi CCM asubuhi na mapema itang'oka na kamwe haitakaa isimame!!?
@@edsonnelson4464kuhamia kwa watu haibadilisha unyama ushenzi na ubaya wa CCM hata malaika wakihamia CCM haitabadilisha ukweli
Mzee fumbua macho sikuizi wanaweka mtandao ila meter kumi tu kutoka office kuu ukitoka hapo hamna ni bando tu!
ASK MPEMBA NI TAPERII MAMA TENA 2225
Iyo 2225 nadhani mtamchagua 🚮🚮🚮 chawa wa mama 😝
Hata kuandika hujui unakazana na mama tena! Kilema wa hakili
Lete vitu tiririka Mtumishi
Asante baba mchungaji.
Haha hahahaha tulia 😂😂 Bangaladesh, nyosha miguu, kaza mkanda, kunywa uji. Agayaaa bakwigwa duhu! Watu wanatekwa ovyo ovyo tu, tumepuzwa na mama Abul wa Kizimkazi Zanzibari anatukanyaga tumechoka.
Twende kazi 🔥🔥🔥 Mzee Fumbua Macho, Submarine, Agayaaa bakwigwa duhu bawilage namhala 💪💪💪, hatuna viongozi wa katika serikali Tanzania,
Mmejipanga saana, hongereni, Muumini wenu atukane , akashifu, atoe shutuma za Uongo, lakini bado atatetewa tu , Hongereni saaana mko vizuri
Unadhani akili za kujua hili unazo?
Msigwa hawezi kuwa sahihi even if Chadema is wrong!!Na ifahamike kuwa Mbowe Soo mpigakura wa Kanda ya Nyasa.Na kama alikuwa bado upande wa upinzani kwa nn amejiunga na kile alichokiita"ukoo wa panya"? Je kujiunga kwake CCM ndo ataibadilisha isiwe tena"ukoo wa panya" kama alivyosema yeye?
Msimjibu msigwa huyo ana njaaa yake
Je huyo F. A. Mbowe hajawahi kuwa mwema kwa Msigwa?Je hakuna mema yoyote ambayo Msigwa alitendewa? Hana jema analoweza kunikumbuka kulikumbuka?Amepetwa na nini huyo? Mbona alikuwa so eloquent kutetea chama na wale anaowatukana leo?
Wewe slaa huna jipya Kama lakwako unangoja uanzishiwe halafu ulivalie njuga ujinga mtupu macho yanakutoka kwa Mambo ya watu. Umeshapoteza hadhi umebaki Kama machinga tu
Msigwa alizinguliwa Kwa sababu intelligence ya chama Iko matured
Asamehewe maana much msigwa amepotoka tu
😅😅kumbe mpina alikuwa sahihi na anajua kbsa madhaifu yalipo
Kuhusu muda wa mwenyekiti Mbowe kuongoza chama,siyo hoja muhimu.Kwa mfano:TANU ya Tanganyika ilibadilisha mwenyekiti J.K.Nyerere mara ngapi?,CCP ya 🇨🇳 China imebadili mwenyekiti wake Mao mara ngapi? Muda unategemea Chama chenyewe.Hayo maelezo ya ndugu Msigwa ni upungufu wa ukweli.
WE MZEE WACHA UPUNDA WEWE MWENYEWE UNAUJUWA VYEMA MUNGU HAKUPENDI KANISANI UMEFUKUZWA KWA SABABU YA MATATIZO YAKO UNATAKA KUAMBUKIZA TAIFA
Duu siasa wew mzee siulikimbiga chadema
Ata huko akikosa cheo atahama tena😁
SPEAKER WA MCHONGO.
AMUKENI WATANZANIA MAMA NI MWIZI NA ANAFUGA WEZI.
Msigwa Ana fanana Sungura Alipo shindwa kuzifikia ndizi Aka Sema sizitaki kwanza Mbichi hazi fai kuliwa
Unapoteza muda kujadili mwenye tamaa zake binafsi anaangalia faida zake,na sio mtu wa kuangalia kusaidia raia na kesho yao
In kenya we hold demos as from low as our highschools..we know what we want and fight for it
We are kenyans and kenya is our business,its so sad when you prioritise arabs and can't believe your fellow black man can stand for their rights...you are a shame to our African freedom fighters
We don't have a leader WE ARE TRIBELESS, FACELESS and LEADERLESS...why is it so hard for you to believe that we cant do it...we all meet at x space..you guys are still in dictatorship era and have no clue what democracy means
NI SAWA LAKINI LOWASA HAKUTUKANA NA KUKASHIFU. KWANINI ANAMKASHIFU MWENYEKITI? MCHUNGAJI HAJATUTENDEA HAKI ALITAKIWA ATULIE AAME KWA USALAMA KAMA LOWASA.
Njaa