ZIPO HOJA SAMIA NA KINANA HAWAWEZI KUZIJIBU. ASKOFU MPEMBA KAMVAA KINANA NA RAIS SAMIA KUUZA TAIFA
Жүктеу.....
Пікірлер: 45
@ashelmichael43082 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi unachoongea ni kweli
@lucaschisamalo28522 ай бұрын
Namuomba mungu uchaguzi wa mwaka huu unikute Niko hai nahisi kama anguko kubwa la ccm linakuja watu wanahasira sasahivi kutoa hela Makato yameongezeka tena jamani inchi hii hapana jamani viongozi muwe na huruma
@mgungulem31872 ай бұрын
Kiburi na ubabe wa kijinga cha maccem
@user-wk4br3rc6u2 ай бұрын
Nipo makini sana kukusikia mkuu ila nasikitika San waelewa wote wanaitwa wabaguzi baada ya kutupa majibu inshallah Allah anaanza kutuonyesha Nuru sasa amina
@DiwaniMwafongo2 ай бұрын
Huyu jamaa ni kipanga... Natamani kila mtanzania amsikilize huyu kaka!! Na anaitwa nani....
@user-rl6vf9tg8m2 ай бұрын
IPO ck Allah ataiona tanzania
@user-or2od2rz1c2 ай бұрын
good point mungu akulinde kuna mzuzu yanchi hii mengine uchawa mbele ukweli pembeni yanaangalia mutombo yao tu
@sabriabdalla95622 ай бұрын
As long as Tanganyika haipo ni sawa tu Mzanzibari kuchukua nafasi za kazi kama Mtanzania... To solve issue hii tuidai Tanganyika kwanza.
@amayamaya23062 ай бұрын
Udin tu
@user-lw3tg3yg5b2 ай бұрын
Tushikamanejamani Judaism Bandari na city vyetu yote alivowapa wageni huyu mama hafai hata kidogo
@raymondmwakalindile73152 ай бұрын
Hawana majibu😢😢😢
@batwelimahenge78502 ай бұрын
Mm nasubilia majibu kutoka kwa Wana ccm?????
@SundaySteven-bz4yq2 ай бұрын
Yaani Hawa hoja zao ni vitisho na kuiba kura
@gowekogoweko58032 ай бұрын
UMEONGEA UKWELI BISHOP MPEMBA
@rebekakulwa61592 ай бұрын
Shoga ni mama yako acha tusikilize hoja za msingi usilete ufara kwenye mambo sensitive
@KhaleedHamad-vl7lz2 ай бұрын
From zanzibar sijamaliza kuiskiliza lkn bro uko sahihi unacho nena
@MuhojaMalicho2 ай бұрын
Ccm imefika mwisho jaman maana imetunyanyasa sana tumenyonya sana wao matajili sana
@estambuya39012 ай бұрын
Kweli mchungaji.
@thomasbrotherscotractorslt12992 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@raymondnlelwa4272 ай бұрын
Mbona hakuna watanganyika ambao ni wakuu wa wilaya au wa mikoa huko zanzibar?
Hafai uyu kibaka anahonga Nchi yetu kwa waharabu pumbavu
@user-hi7df6js2m2 ай бұрын
Askofu Mpemba heko, lakini hivi sasa ni moja tu, Watanganyika tunataka katiba yetu na serikali yetu na hakuna Mzanzibari wa kuzuia katiba ya Tanganyika, mbona wenyewe Zanzibar ina katiba yake.
@user-cj2iq1qv6n2 ай бұрын
SHIDA YA NCHI HII HELIMU NA UCHAWA TU
@evelynmwaimu-vd9jo2 ай бұрын
Udongo umekolea maji hawana majibu
@SundaySteven-bz4yq2 ай бұрын
Kwanza Hawa hata mungu ange wachukua TU maana kazi ya wazee ni kushauri sasa Hawa wazee wamegeuka kuwa wachonganishi maana ndio wanatia kiburi Hawa watawala one day we shall do things
@rashidissa58872 ай бұрын
Sisi wanaEAC wazamani ndio kabisaaa. Wametudhulumu
@aronimanirakiza56552 ай бұрын
Asante. Asikofu. Gumby’s. Gumby’s macho
@DiwaniMwafongo
2 ай бұрын
Asante......ni Askofu Gumby.. Hii huyu Askofu ni mwamba!!
@abdalahgunda13192 ай бұрын
Kigamboni education center to be ccm membership lean how experience of political education explanation democracy wich it has more tactics of propaganda mostly ccm believe that win peaple maindset is mix of little truth and much propaganda wich it has been there for long time But now we tanzania realize such political it let we Tanzania safering we no longer need such behavior to our national let all resources under forenor hand
@OmariNkalami-nh6fl2 ай бұрын
Makonda jibu2?😮
@sekrommbaga62342 ай бұрын
Ubaguzi unakudumbua
@user-cj2iq1qv6nАй бұрын
CCM HAWANA ULUMA NA WANANCHI WA NCHI HII CCM WOTE WEZI NA IPO SIKU NCHI CCM WATAITUMBUKIZA KWENYE MACHAFUKO KWA NN RAIS SAMIA ASIWATOE WANANCHI WA KIZIMKAZI AKAWAPELEKA MAFIA WAMASAI AKAWAACHA LOLIONDO?
@emanuelsinyinza2 ай бұрын
Ccm toweni majibu siyo matusi maana wajinga wataanza kusema ubaguzi ubaguzi tunaposema katiba ya muhimu ni pamoja nakuyaweka yote hayo sawa.
@rastheunique2 ай бұрын
I hate CCM to the maximum 😩😩
@user-lw3tg3yg5b
2 ай бұрын
So do I
@emanuelsinyinza2 ай бұрын
Ila mnawachoma bwege moja anaye sema lisu ni mbaguzi anajaribu. Kuweka vyama vya upinzani kuwa vinaunga mkono ubaguzi wa lisu hayupo mjinga kama huyo . Sisi hatupo tayari kura makombo.
@amayamaya23062 ай бұрын
Hojazote zimejibwa Tatizo ni udini tu Bandari mkapa Aliwapa wachina mbona hamkuhoji Mashoga wakichadem chama cha kidini na mashoga lgbt kwawaznz sio watanzania udiniiii unawamalizaaa
@emanuelmkama1325
2 ай бұрын
We mpemba una nchi yako iache tanganyik
@suleimansamweli7316
2 ай бұрын
Sikiliza ndugu usisebebe mambo juu juu
@KhaleedHamad-vl7lz
2 ай бұрын
Bro hakuna udini Wala nini huuniukweli from Zanzibar
@allyshaban4062 ай бұрын
Inawezekana Hawa Watawala waliopo ndio miongoni mwa wale aliowatuhumu CDF. Ndio maana hawana na hawajali maumivu wanayopitia na kufanyiwa Watanganyika.
Пікірлер: 45
Mungu akubariki mtumishi unachoongea ni kweli
Namuomba mungu uchaguzi wa mwaka huu unikute Niko hai nahisi kama anguko kubwa la ccm linakuja watu wanahasira sasahivi kutoa hela Makato yameongezeka tena jamani inchi hii hapana jamani viongozi muwe na huruma
Kiburi na ubabe wa kijinga cha maccem
Nipo makini sana kukusikia mkuu ila nasikitika San waelewa wote wanaitwa wabaguzi baada ya kutupa majibu inshallah Allah anaanza kutuonyesha Nuru sasa amina
Huyu jamaa ni kipanga... Natamani kila mtanzania amsikilize huyu kaka!! Na anaitwa nani....
IPO ck Allah ataiona tanzania
good point mungu akulinde kuna mzuzu yanchi hii mengine uchawa mbele ukweli pembeni yanaangalia mutombo yao tu
As long as Tanganyika haipo ni sawa tu Mzanzibari kuchukua nafasi za kazi kama Mtanzania... To solve issue hii tuidai Tanganyika kwanza.
Udin tu
Tushikamanejamani Judaism Bandari na city vyetu yote alivowapa wageni huyu mama hafai hata kidogo
Hawana majibu😢😢😢
Mm nasubilia majibu kutoka kwa Wana ccm?????
Yaani Hawa hoja zao ni vitisho na kuiba kura
UMEONGEA UKWELI BISHOP MPEMBA
Shoga ni mama yako acha tusikilize hoja za msingi usilete ufara kwenye mambo sensitive
From zanzibar sijamaliza kuiskiliza lkn bro uko sahihi unacho nena
Ccm imefika mwisho jaman maana imetunyanyasa sana tumenyonya sana wao matajili sana
Kweli mchungaji.
🙏🙏🙏🙏🙏
Mbona hakuna watanganyika ambao ni wakuu wa wilaya au wa mikoa huko zanzibar?
Bro una upeo kama baba lissu
Kikokotoo kinaniumza sanaaaaa jamaniii tusaidienii
Mkuu pmj
Hafai uyu kibaka anahonga Nchi yetu kwa waharabu pumbavu
Askofu Mpemba heko, lakini hivi sasa ni moja tu, Watanganyika tunataka katiba yetu na serikali yetu na hakuna Mzanzibari wa kuzuia katiba ya Tanganyika, mbona wenyewe Zanzibar ina katiba yake.
SHIDA YA NCHI HII HELIMU NA UCHAWA TU
Udongo umekolea maji hawana majibu
Kwanza Hawa hata mungu ange wachukua TU maana kazi ya wazee ni kushauri sasa Hawa wazee wamegeuka kuwa wachonganishi maana ndio wanatia kiburi Hawa watawala one day we shall do things
Sisi wanaEAC wazamani ndio kabisaaa. Wametudhulumu
Asante. Asikofu. Gumby’s. Gumby’s macho
@DiwaniMwafongo
2 ай бұрын
Asante......ni Askofu Gumby.. Hii huyu Askofu ni mwamba!!
Kigamboni education center to be ccm membership lean how experience of political education explanation democracy wich it has more tactics of propaganda mostly ccm believe that win peaple maindset is mix of little truth and much propaganda wich it has been there for long time But now we tanzania realize such political it let we Tanzania safering we no longer need such behavior to our national let all resources under forenor hand
Makonda jibu2?😮
Ubaguzi unakudumbua
CCM HAWANA ULUMA NA WANANCHI WA NCHI HII CCM WOTE WEZI NA IPO SIKU NCHI CCM WATAITUMBUKIZA KWENYE MACHAFUKO KWA NN RAIS SAMIA ASIWATOE WANANCHI WA KIZIMKAZI AKAWAPELEKA MAFIA WAMASAI AKAWAACHA LOLIONDO?
Ccm toweni majibu siyo matusi maana wajinga wataanza kusema ubaguzi ubaguzi tunaposema katiba ya muhimu ni pamoja nakuyaweka yote hayo sawa.
I hate CCM to the maximum 😩😩
@user-lw3tg3yg5b
2 ай бұрын
So do I
Ila mnawachoma bwege moja anaye sema lisu ni mbaguzi anajaribu. Kuweka vyama vya upinzani kuwa vinaunga mkono ubaguzi wa lisu hayupo mjinga kama huyo . Sisi hatupo tayari kura makombo.
Hojazote zimejibwa Tatizo ni udini tu Bandari mkapa Aliwapa wachina mbona hamkuhoji Mashoga wakichadem chama cha kidini na mashoga lgbt kwawaznz sio watanzania udiniiii unawamalizaaa
@emanuelmkama1325
2 ай бұрын
We mpemba una nchi yako iache tanganyik
@suleimansamweli7316
2 ай бұрын
Sikiliza ndugu usisebebe mambo juu juu
@KhaleedHamad-vl7lz
2 ай бұрын
Bro hakuna udini Wala nini huuniukweli from Zanzibar
Inawezekana Hawa Watawala waliopo ndio miongoni mwa wale aliowatuhumu CDF. Ndio maana hawana na hawajali maumivu wanayopitia na kufanyiwa Watanganyika.