ZIPO HOJA SAMIA NA KINANA HAWAWEZI KUZIJIBU. ASKOFU MPEMBA KAMVAA KINANA NA RAIS SAMIA KUUZA TAIFA

Пікірлер: 45

  • @ashelmichael4308
    @ashelmichael43082 ай бұрын

    Mungu akubariki mtumishi unachoongea ni kweli

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo28522 ай бұрын

    Namuomba mungu uchaguzi wa mwaka huu unikute Niko hai nahisi kama anguko kubwa la ccm linakuja watu wanahasira sasahivi kutoa hela Makato yameongezeka tena jamani inchi hii hapana jamani viongozi muwe na huruma

  • @mgungulem3187
    @mgungulem31872 ай бұрын

    Kiburi na ubabe wa kijinga cha maccem

  • @user-wk4br3rc6u
    @user-wk4br3rc6u2 ай бұрын

    Nipo makini sana kukusikia mkuu ila nasikitika San waelewa wote wanaitwa wabaguzi baada ya kutupa majibu inshallah Allah anaanza kutuonyesha Nuru sasa amina

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo2 ай бұрын

    Huyu jamaa ni kipanga... Natamani kila mtanzania amsikilize huyu kaka!! Na anaitwa nani....

  • @user-rl6vf9tg8m
    @user-rl6vf9tg8m2 ай бұрын

    IPO ck Allah ataiona tanzania

  • @user-or2od2rz1c
    @user-or2od2rz1c2 ай бұрын

    good point mungu akulinde kuna mzuzu yanchi hii mengine uchawa mbele ukweli pembeni yanaangalia mutombo yao tu

  • @sabriabdalla9562
    @sabriabdalla95622 ай бұрын

    As long as Tanganyika haipo ni sawa tu Mzanzibari kuchukua nafasi za kazi kama Mtanzania... To solve issue hii tuidai Tanganyika kwanza.

  • @amayamaya2306
    @amayamaya23062 ай бұрын

    Udin tu

  • @user-lw3tg3yg5b
    @user-lw3tg3yg5b2 ай бұрын

    Tushikamanejamani Judaism Bandari na city vyetu yote alivowapa wageni huyu mama hafai hata kidogo

  • @raymondmwakalindile7315
    @raymondmwakalindile73152 ай бұрын

    Hawana majibu😢😢😢

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge78502 ай бұрын

    Mm nasubilia majibu kutoka kwa Wana ccm?????

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq2 ай бұрын

    Yaani Hawa hoja zao ni vitisho na kuiba kura

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko58032 ай бұрын

    UMEONGEA UKWELI BISHOP MPEMBA

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa61592 ай бұрын

    Shoga ni mama yako acha tusikilize hoja za msingi usilete ufara kwenye mambo sensitive

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz2 ай бұрын

    From zanzibar sijamaliza kuiskiliza lkn bro uko sahihi unacho nena

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho2 ай бұрын

    Ccm imefika mwisho jaman maana imetunyanyasa sana tumenyonya sana wao matajili sana

  • @estambuya3901
    @estambuya39012 ай бұрын

    Kweli mchungaji.

  • @thomasbrotherscotractorslt1299
    @thomasbrotherscotractorslt12992 ай бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa4272 ай бұрын

    Mbona hakuna watanganyika ambao ni wakuu wa wilaya au wa mikoa huko zanzibar?

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz2 ай бұрын

    Bro una upeo kama baba lissu

  • @juliethmziray
    @juliethmziray2 ай бұрын

    Kikokotoo kinaniumza sanaaaaa jamaniii tusaidienii

  • @prochesytesha8040
    @prochesytesha80402 ай бұрын

    Mkuu pmj

  • @user-un5dm8gj7p
    @user-un5dm8gj7p2 ай бұрын

    Hafai uyu kibaka anahonga Nchi yetu kwa waharabu pumbavu

  • @user-hi7df6js2m
    @user-hi7df6js2m2 ай бұрын

    Askofu Mpemba heko, lakini hivi sasa ni moja tu, Watanganyika tunataka katiba yetu na serikali yetu na hakuna Mzanzibari wa kuzuia katiba ya Tanganyika, mbona wenyewe Zanzibar ina katiba yake.

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n2 ай бұрын

    SHIDA YA NCHI HII HELIMU NA UCHAWA TU

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo2 ай бұрын

    Udongo umekolea maji hawana majibu

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq2 ай бұрын

    Kwanza Hawa hata mungu ange wachukua TU maana kazi ya wazee ni kushauri sasa Hawa wazee wamegeuka kuwa wachonganishi maana ndio wanatia kiburi Hawa watawala one day we shall do things

  • @rashidissa5887
    @rashidissa58872 ай бұрын

    Sisi wanaEAC wazamani ndio kabisaaa. Wametudhulumu

  • @aronimanirakiza5655
    @aronimanirakiza56552 ай бұрын

    Asante. Asikofu. Gumby’s. Gumby’s macho

  • @DiwaniMwafongo

    @DiwaniMwafongo

    2 ай бұрын

    Asante......ni Askofu Gumby.. Hii huyu Askofu ni mwamba!!

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda13192 ай бұрын

    Kigamboni education center to be ccm membership lean how experience of political education explanation democracy wich it has more tactics of propaganda mostly ccm believe that win peaple maindset is mix of little truth and much propaganda wich it has been there for long time But now we tanzania realize such political it let we Tanzania safering we no longer need such behavior to our national let all resources under forenor hand

  • @OmariNkalami-nh6fl
    @OmariNkalami-nh6fl2 ай бұрын

    Makonda jibu2?😮

  • @sekrommbaga6234
    @sekrommbaga62342 ай бұрын

    Ubaguzi unakudumbua

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6nАй бұрын

    CCM HAWANA ULUMA NA WANANCHI WA NCHI HII CCM WOTE WEZI NA IPO SIKU NCHI CCM WATAITUMBUKIZA KWENYE MACHAFUKO KWA NN RAIS SAMIA ASIWATOE WANANCHI WA KIZIMKAZI AKAWAPELEKA MAFIA WAMASAI AKAWAACHA LOLIONDO?

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza2 ай бұрын

    Ccm toweni majibu siyo matusi maana wajinga wataanza kusema ubaguzi ubaguzi tunaposema katiba ya muhimu ni pamoja nakuyaweka yote hayo sawa.

  • @rastheunique
    @rastheunique2 ай бұрын

    I hate CCM to the maximum 😩😩

  • @user-lw3tg3yg5b

    @user-lw3tg3yg5b

    2 ай бұрын

    So do I

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza2 ай бұрын

    Ila mnawachoma bwege moja anaye sema lisu ni mbaguzi anajaribu. Kuweka vyama vya upinzani kuwa vinaunga mkono ubaguzi wa lisu hayupo mjinga kama huyo . Sisi hatupo tayari kura makombo.

  • @amayamaya2306
    @amayamaya23062 ай бұрын

    Hojazote zimejibwa Tatizo ni udini tu Bandari mkapa Aliwapa wachina mbona hamkuhoji Mashoga wakichadem chama cha kidini na mashoga lgbt kwawaznz sio watanzania udiniiii unawamalizaaa

  • @emanuelmkama1325

    @emanuelmkama1325

    2 ай бұрын

    We mpemba una nchi yako iache tanganyik

  • @suleimansamweli7316

    @suleimansamweli7316

    2 ай бұрын

    Sikiliza ndugu usisebebe mambo juu juu

  • @KhaleedHamad-vl7lz

    @KhaleedHamad-vl7lz

    2 ай бұрын

    Bro hakuna udini Wala nini huuniukweli from Zanzibar

  • @allyshaban406
    @allyshaban4062 ай бұрын

    Inawezekana Hawa Watawala waliopo ndio miongoni mwa wale aliowatuhumu CDF. Ndio maana hawana na hawajali maumivu wanayopitia na kufanyiwa Watanganyika.

Келесі