ASKOFU MPEMBA KACHAFUKWA: TUWAULIZE WANAJESHI KWANINI HAWAMPIGII MIZINGA RAIS AKIWA ZANZIBAR.
Жүктеу.....
Пікірлер: 42
@HamisiMakasara-hb3nt2 ай бұрын
Tunaelekea kwenye siasa za Ukabila na Udini, karibuni mtupeleke huko,lakini watanzania tunajielewa
@ramadhanmahongole9293
2 ай бұрын
Mnao jiita Watanzania hamjielewi na hamtakuja mjielewe mmelishwa moshi wa mwenge mpk mmekuwa mazezeta mmesahau adi history yenu kuambiwa tarehe 9/12 ni siku ya uhuru wa tanzania bara nyie mnakenua meno tu kama mandondocha ya ccm kwasababu tayari mmelishwa moshi wa mwenge umewatoa akili mkiambiwa 9/12 ni siku ya uhuru wa TANGANYIKA nyie mnaita ubaguzi au ukabila ila zanzibar kuwa nchi yenye Rais wake na katiba yake huo sio ubaguzi mandondocha wakubwa nyie
@PhilipoMwita-wc1ku
2 ай бұрын
Tatizo ni Sheria na katiba
@HamisiMakasara-hb3nt
2 ай бұрын
@@PhilipoMwita-wc1ku hapo ni dhamira, na uongozi,watu Wana malengo yao tofauti na hayo unayofikiria na wapo wanao monitor hayo wako mbali na remote zao, ya kuambiwa changanya na ya kwako
@silvesterrichardhelenya1319
2 ай бұрын
Potelea mbali ukweli usemwe tuna siasa za upwani pwanu
mimi ni mtamganyika nilishaikataa tanzania ya ccm kitambo
@KhaleedHamad-vl7lz2 ай бұрын
From zanzibar hakuna udini dhidi ya waislam musipotoshe watu mtu akiongea ukweli munampeleka kwenye udini mimi muislam lkn namkubali sana bro
@rebekakulwa61592 ай бұрын
Tanganyika ni lazima tuipiganie
@ChristmasMaheri2 ай бұрын
Muungano wa Tanzania 🇹🇿 haupo!
@rojac-uq1sc2 ай бұрын
Ukweli mnauona na kuusikia lakini unajifanya husiikii. Je uhueu wa Tanzania kweli ni 9December ? Unapewa madini alafu unaziba masikio huo ni using .ndo maana tumenyimwa elimu ili tubaki kuamini kuwa embe ni chungwa.
@ChristmasMaheri
2 ай бұрын
Washirika wa muungano wowote wakijitoa katika ushirika kwa vitendo vyao,bado utaridhia kwamba wako kwenye muungano kwa sababu bado wanalipana?
@paulsanga65032 ай бұрын
🎉Hapa kazi tu
@rebekakulwa61592 ай бұрын
Misukule tu ndio. Haikuelewi inafikiria huu ni udini kamwe wenye akili. Timamu hatutorudi nyuma tutapigania Tanganyika yetu
@KhaleedHamad-vl7lz2 ай бұрын
Hahaha from Zanzibar nakukubali bro point nzuri
@OS-pf6op2 ай бұрын
Lakini uliangalia ufanisi wao ni mdogo sana, ukanjanja mwingi. Acha ukweli usemwe!
@KhaleedHamad-vl7lz2 ай бұрын
Bro hemu nomba wizara za Tanganyika na mawaziri wake tuwajue
@ahmedalbalooshi85182 ай бұрын
Tatizo lachimbukizi la muungano ni kwamba wananchi hawakushirikishwa tokea hapo awali.
@happyjeremiahmhuli40432 ай бұрын
Mm nimekuwa nasema hizi desturi za pwani ni kula bata sana na bara ni wapiga kazi.Tuliuona ubara ni ushaba na sasa tumekuwa watumwa wa akili za pwani.
@jesaminzo2 ай бұрын
Nashangaa kwenye kero za muungano hili huwa halipo!
@HijaSaid-xd7fg2 ай бұрын
Mfumo wa miungu miwatu
@MartinAloisMosha-ff8rb2 ай бұрын
Tuseme kweli nchi mbili zimeungana: Hiyo ya pili iko wapi jamani:
@jeanmusamba84482 ай бұрын
ni mitazamo yako hauko sawa shida ni viongozi hawana uwezo wa kujitoa mhanga kama magufuli kupigana na wizi wa wazungu kama Magu,Wacha kukariri
@user-hu9bf7nw4cАй бұрын
Anachosema ni kweli na sio ubinafsi, anazungmza ukwel watu wa pwan hua wanamaneno maneno mengi yakumtoa nyoka pangon kumbe ya ujanja ujanja, na wanategemeaga ujanja wa maneno tu, na ndio maana wanapenda ulain maisha wa mambo ya maneno hapo nazungumzia wanasiasa ,sio wachapakaz ,Bali wanategemea maneno ili wawe wanakula madili kwa uongo wa maneno, maana wanasiasa wengi wa juu si wa pwani na siasa ilianzishwa huku kwakua ndipo ,makao makuu ilipoanza ya ikulu na bandar ,na ndio wanaohalibu nchi, na kuambukiza wengne mambo hayo hayo, na hata nyazfa za hazi ya juu wanalisishana watoto kwa wajukuu, ndio maana mifumo ya uendeshaj wa nchi ni ileile haibadiliki
@bugotatumain31532 ай бұрын
kweli kabisa
@froma37322 ай бұрын
Watanganyika ndio wanajuwa Sasa kuwa wanaburuzwa Zanzibar waliyajuwa zamani hayo walipokuwa wakisema Kuna wingine waliwekwa Jela Sasa hivi Rais anatoka znz ndio imekuwa kero kwenu
@rabiakitigwa9120
2 ай бұрын
Iwe mzanzibari au mtanganyika si mtuache na sisi tupambanie Tanganyika yetu?
@leonardchoma37652 ай бұрын
Hivi haya maneno ya kibaguzi namna hii yanavumilika kweli?Tunaomba viongozi wetu wa juu watusaidie hata kuwakemea watu wa namna hii.Mwl Nyerere aliwahi kusema,"Mtu aliyefilisika kichwani atakimbilia kwenye ukabila au udini".Hawa jamaa wamefilisika hoja.
@jesaminzo
2 ай бұрын
Kemea wewe kwa kueleza ukweli wako unaoujua kuhusu muungano huu!
@JacksonFrances
2 ай бұрын
Acha Kucomment Ujinga Ww imefika Wakati Lazima Tuamke Tujitambue Hatutaki Tena Kutawaliwa Kienyeji"
@mugemainyas52412 ай бұрын
DOMO KAYA HUNA LOLOTE
@JacksonFrances
2 ай бұрын
Wewe ndo Domo Kaya Hujielewi Acha Sisi Tunaojielewa Tuendelee Kusikiliza Watu Wanaojitambua "
@mugemainyas5241
2 ай бұрын
@@JacksonFrances mwambie mpumbavu mwenzio .
@hamzakimaro37642 ай бұрын
PUMBAVU SANA,SIJAONA LIJITU LINA UBAGUZI NA CHUKI KWA DINI YA UISLAM KAMA HILI LIJINGA!! ETI WATU WA PWANI NI WAONGO WAONGO!! MAANA PWANI NI KWA WAISLAM SIYO!! KUFENI KWA CHUKI ZENU!!
@silvesterrichardhelenya1319
2 ай бұрын
Sasa wewe kimaro na wewe Ni Mtu wa pwanu?
@mabondolawrence1812
2 ай бұрын
Hata kama ni mpumbavu, Kwa hili ni mwerevu inahitajika elimu isiyozidi darasa la nne kuelewa.
Пікірлер: 42
Tunaelekea kwenye siasa za Ukabila na Udini, karibuni mtupeleke huko,lakini watanzania tunajielewa
@ramadhanmahongole9293
2 ай бұрын
Mnao jiita Watanzania hamjielewi na hamtakuja mjielewe mmelishwa moshi wa mwenge mpk mmekuwa mazezeta mmesahau adi history yenu kuambiwa tarehe 9/12 ni siku ya uhuru wa tanzania bara nyie mnakenua meno tu kama mandondocha ya ccm kwasababu tayari mmelishwa moshi wa mwenge umewatoa akili mkiambiwa 9/12 ni siku ya uhuru wa TANGANYIKA nyie mnaita ubaguzi au ukabila ila zanzibar kuwa nchi yenye Rais wake na katiba yake huo sio ubaguzi mandondocha wakubwa nyie
@PhilipoMwita-wc1ku
2 ай бұрын
Tatizo ni Sheria na katiba
@HamisiMakasara-hb3nt
2 ай бұрын
@@PhilipoMwita-wc1ku hapo ni dhamira, na uongozi,watu Wana malengo yao tofauti na hayo unayofikiria na wapo wanao monitor hayo wako mbali na remote zao, ya kuambiwa changanya na ya kwako
@silvesterrichardhelenya1319
2 ай бұрын
Potelea mbali ukweli usemwe tuna siasa za upwani pwanu
@jesaminzo
2 ай бұрын
Kivipi ndg? Umeamua kuziba ufahamu wako wako ili usisikie ukweli huu!
Hamis sikiliza hoja,usikurupuke kukomet usichokielewa
mimi ni mtamganyika nilishaikataa tanzania ya ccm kitambo
From zanzibar hakuna udini dhidi ya waislam musipotoshe watu mtu akiongea ukweli munampeleka kwenye udini mimi muislam lkn namkubali sana bro
Tanganyika ni lazima tuipiganie
Muungano wa Tanzania 🇹🇿 haupo!
Ukweli mnauona na kuusikia lakini unajifanya husiikii. Je uhueu wa Tanzania kweli ni 9December ? Unapewa madini alafu unaziba masikio huo ni using .ndo maana tumenyimwa elimu ili tubaki kuamini kuwa embe ni chungwa.
@ChristmasMaheri
2 ай бұрын
Washirika wa muungano wowote wakijitoa katika ushirika kwa vitendo vyao,bado utaridhia kwamba wako kwenye muungano kwa sababu bado wanalipana?
🎉Hapa kazi tu
Misukule tu ndio. Haikuelewi inafikiria huu ni udini kamwe wenye akili. Timamu hatutorudi nyuma tutapigania Tanganyika yetu
Hahaha from Zanzibar nakukubali bro point nzuri
Lakini uliangalia ufanisi wao ni mdogo sana, ukanjanja mwingi. Acha ukweli usemwe!
Bro hemu nomba wizara za Tanganyika na mawaziri wake tuwajue
Tatizo lachimbukizi la muungano ni kwamba wananchi hawakushirikishwa tokea hapo awali.
Mm nimekuwa nasema hizi desturi za pwani ni kula bata sana na bara ni wapiga kazi.Tuliuona ubara ni ushaba na sasa tumekuwa watumwa wa akili za pwani.
Nashangaa kwenye kero za muungano hili huwa halipo!
Mfumo wa miungu miwatu
Tuseme kweli nchi mbili zimeungana: Hiyo ya pili iko wapi jamani:
ni mitazamo yako hauko sawa shida ni viongozi hawana uwezo wa kujitoa mhanga kama magufuli kupigana na wizi wa wazungu kama Magu,Wacha kukariri
Anachosema ni kweli na sio ubinafsi, anazungmza ukwel watu wa pwan hua wanamaneno maneno mengi yakumtoa nyoka pangon kumbe ya ujanja ujanja, na wanategemeaga ujanja wa maneno tu, na ndio maana wanapenda ulain maisha wa mambo ya maneno hapo nazungumzia wanasiasa ,sio wachapakaz ,Bali wanategemea maneno ili wawe wanakula madili kwa uongo wa maneno, maana wanasiasa wengi wa juu si wa pwani na siasa ilianzishwa huku kwakua ndipo ,makao makuu ilipoanza ya ikulu na bandar ,na ndio wanaohalibu nchi, na kuambukiza wengne mambo hayo hayo, na hata nyazfa za hazi ya juu wanalisishana watoto kwa wajukuu, ndio maana mifumo ya uendeshaj wa nchi ni ileile haibadiliki
kweli kabisa
Watanganyika ndio wanajuwa Sasa kuwa wanaburuzwa Zanzibar waliyajuwa zamani hayo walipokuwa wakisema Kuna wingine waliwekwa Jela Sasa hivi Rais anatoka znz ndio imekuwa kero kwenu
@rabiakitigwa9120
2 ай бұрын
Iwe mzanzibari au mtanganyika si mtuache na sisi tupambanie Tanganyika yetu?
Hivi haya maneno ya kibaguzi namna hii yanavumilika kweli?Tunaomba viongozi wetu wa juu watusaidie hata kuwakemea watu wa namna hii.Mwl Nyerere aliwahi kusema,"Mtu aliyefilisika kichwani atakimbilia kwenye ukabila au udini".Hawa jamaa wamefilisika hoja.
@jesaminzo
2 ай бұрын
Kemea wewe kwa kueleza ukweli wako unaoujua kuhusu muungano huu!
@JacksonFrances
2 ай бұрын
Acha Kucomment Ujinga Ww imefika Wakati Lazima Tuamke Tujitambue Hatutaki Tena Kutawaliwa Kienyeji"
DOMO KAYA HUNA LOLOTE
@JacksonFrances
2 ай бұрын
Wewe ndo Domo Kaya Hujielewi Acha Sisi Tunaojielewa Tuendelee Kusikiliza Watu Wanaojitambua "
@mugemainyas5241
2 ай бұрын
@@JacksonFrances mwambie mpumbavu mwenzio .
PUMBAVU SANA,SIJAONA LIJITU LINA UBAGUZI NA CHUKI KWA DINI YA UISLAM KAMA HILI LIJINGA!! ETI WATU WA PWANI NI WAONGO WAONGO!! MAANA PWANI NI KWA WAISLAM SIYO!! KUFENI KWA CHUKI ZENU!!
@silvesterrichardhelenya1319
2 ай бұрын
Sasa wewe kimaro na wewe Ni Mtu wa pwanu?
@mabondolawrence1812
2 ай бұрын
Hata kama ni mpumbavu, Kwa hili ni mwerevu inahitajika elimu isiyozidi darasa la nne kuelewa.