DR.SLAA ANACHAMBUA MIKATABA MINGINE ILIYOSAINIWA NA RAIS SAMIA NCHINI KOREA. UTATA MZITO

Пікірлер: 6

  • @evelina9621
    @evelina9621Ай бұрын

    Kweli.mama Angalia Watu.sio Biashara.hi,zo.safari Punguza.kuomba.kubaya Tunajipunguzia.heshima

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4bАй бұрын

    asante sana baba Dr silaa kwa kutufumbua macho amkeni kwasasa msilale Tena tunaomba sana watanganyika kuwamakini sana na samia na CCM yake wewe Samia Tanganyika ni yetu sio yakuuzwa kwa wageni lazima tuseme aututaki kamwe CCM ipite mbele kwa kudanganywa na wachache mwsho wao umefika Samia atukukupigia kura ni katiba pia ulisema katiba ni karatasi je nauliza utawala ulioupata wacha ubaki kwa wenyewe kwetu sisi watanzanaiti nikisema ivyo sijakosea aijawai tokea toka tupate uhuru Tanganyika unyanyasaji wa dhalimu kwa raia wema atutambuliwi wabunge wetu wanapigwa marisasi kwasababu ya kukataa maeneo yetu ya Arusha mashamba yetu makubwa ya kahawa na malisho ya mifugo yetu Samia usijisumbue kubali yaishe roho safi wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika

  • @froma3732
    @froma3732Ай бұрын

    Utapata tabu sana tupo 2030

  • @majaliwabwitonde6900

    @majaliwabwitonde6900

    Ай бұрын

    Upo wapi 2030

  • @froma3732

    @froma3732

    Ай бұрын

    @@majaliwabwitonde6900 Mwenyewe kuelewa ameelewa au amefahamu

  • @husseinjosephitocho6754

    @husseinjosephitocho6754

    Ай бұрын

    hata milele kabisa ila kaa ukijua utaambulia mifupa tu makombo minofu na vinono wanakula wao

Келесі