MFAHAMU PAUL MAKONDA: UMRI MDOGO KAZI KUBWA - ALIAMINIWA na MAGUFULI - RAIS SAMIA HADI WANANCHI...
MFAHAMU PAUL MAKONDA: UMRI MDOGO KAZI KUBWA - ALIAMINIWA na MAGUFULI - RAIS SAMIA HADI WANANCHI...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 80
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mungu amlinde! Jamani wasije kuumuwa ana roho nzuri
Makonda Yuko vizuri
Ila mitandao mlishajua namba ya kupata fedha, Kwa tz ya Leo ukimtaja makonda au Jerry slaa utapiga MB za watu nyingi sana maana Hawa watu wanakubalika kwa watu wengi mno
Makonda = The new Magufuli
@user-oh6pc7zd4s
Ай бұрын
MBONA ALIMFUKUZA
@irenemkwizu2041
Ай бұрын
@@user-oh6pc7zd4s Hakufukuzwa alienda akagombea Ubunge Jimbo la Kigamboni, bahati mbaya akakosa Ubunge.
Mwenyezi Mungu ampatie afya njema na kuilinda roho yake oooh Makonda.
Mashallah Tabaraq Rahman ❤❤❤ Piga kazi Mh Makonda Mungu akulinde akusimamie jembe jeshi la mtu mmoja nguvu 💪💪
Nakupenda sana makonda❤❤❤❤❤🌹🌹💋🌷kamanijamani makonda ni roho yangu mm mchapa kazi wangu mtoto wa magufuli piga kazi kaka yangu mungu akupe umli mrefu ututumikie sisi wanyonge🌷🌹🌷🌹👌♥️♥️♥️♥️❤️🩹❤️🩹❤️🩹
Mwenye mungu akupe afya na umuri
Makonda na slaa waigwe na viongozi wote wanapiga kazi kwelkwel
Inshort jama anajua na ananyota
BigUp to PCM
Mh Makonda Anafaa sana Awe Waziri Wa Ulinzi Na Usalama
Asante Sana lais wetu kipenzi kumuweka makonda kwenye sistim atakusaidia Sana Hiro harina ubishi
John pombe = Paul Makonda
President Makonda. President Makonda. 🎉🎉🎉
Piga Kaz ,kazi iendelee
@esthermwikali5403
Ай бұрын
Makonda mimi ni mkenya lakini natamani angekua wetu kenya makonda pekeake
Mungu amlinde sana.he is A leader.
Amina
Na bado hamjasema. Makonda ni jiwe walilolikataa waashi ila likafaa
@denisyohana8104
Ай бұрын
inabidi tumpatie nchi
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤vzr Sana mwandishi umedadafua vzr Sana!!!!!!
Jpm ni amerudi kupitia makonda
Kila la kher makonda❤❤
Makonda no 2 ya magufuli, wewe nijembe lakazi Kweli, Kweli,, Samia oeee😊
Hakika tunamkubali sana.
Makonda piga kazi
Mungu pekee ndiye mlinzi wa kweli na hakika. Mungu amlinde na kumuinua zaidi kaka yangu Paul Makonda.
mchapa Kaz
Paul makonda atauja kuwa Raisi wa inchi ya Tanania mungu amulinde
Mungu akubaliki Makonda mtumishi wa haki
Mashalla mungu alinde makonda
My next president... makonda I really like him
Yn naomba kila mala ili uweke Jina 2025
❤❤❤
Inshallah 🙏
Anafaaaa kabisa kuwa rais
Yes yes ata mm namukubali makonda ila mm ni mkenya
Nyota haiwezi kung'aa bila kupambambana anajipambanua na mungu atamlinda maana mke wake naye awe na moyo huo alionao maana wakashindwa wataka hata mke awe aduwi iliwapate paingilia tuwaombee kwa mungu kweli
Iko roho ya Mungu ndani ya mtu siyo umri!!Ila ajihadhari na wanaomtumia!
Huyu tumpe kula zetu tu za urais jamani, he deserves it, narudia, he deserves it, this is Magufuli junior..❤
Maadui wa PCM wanahofia sana kuenea kwa jina hili nchini kuelekea 2030, watajiinua juu yake na hawatashinda. Big up Makonda
Naomba Mheshimiwa Makonda aangalie Filamu ya "Safari ya Gwalu (ru)" ...ya Muigizaji wa Kitanzania (Gabo). Mimi nilisoma Fasihi..... Simama Mheshimiwa Makonda.
Anazaliwa
🔥🔥🔥🔥🔥
next presid...
Aruxha tumepata mtu🎉
Makondaaaaa🎉
Makonda nakutabiria mkubwa siku za uson utatuongoza naomba nam utanipa kaz nataman kupeperusha bendela ya TANZANIA
Kila la heri Makonda,nakuona mapema sana ukiwa Rais wa Tanzania.
Kwa sasa Makonda sii tu mkuu wa mkoa wa Arusha,,,,Bali ni mkuu wa mikoa yote kwa jinsi anavyofuatiliwa na kupendwa kwa utendakazi wake. Kuna kazi zinafanywa mikoa mingine kupitia mfano wa Makonda Arusha.😅
Wasifu wa Makonda
Mungu aturehemu tu ukweli makonda umekuwa faraja kwetu wengi sana hapa Tz tunaona matunda ya kazi yako.hatakama unapigwa kwa siri ama kwa wazi laki Mungu anajambo kubwa juu yako bro kazana kupiga goti tuko pamoja usiogope wewe ni mali ya Mungu .Nakushukuru kwakua unajuwa kwamba Mungu ndiye amekupa kibari mbele ya wakuu ili wakuone.heshima kwake ndipo wafuate hao.Sara dua maombi mkuu ndiokilakitu mkuu achana na matunguli yao , Uliye naye nikilakitu
Huyo Mungu ambae mna hofu naye,mmefanya nini?
Mama umecheza kama Pele kumumrudisha Makonda tena mchapa kazi kweli umeifufua Ccm ilikuwa inaondoka wananchi walikuwa wanataka Kiongozi anaetetea Wanyonge maskini walalahoi wazee wamachinga wanaomba utashindq kwa kishindo kwa nguvu zote
@ThomasIkerrs
Ай бұрын
Alitakiwa kuchapa kazi yeye kama Makonda,wengine wote wangeiga,sasa yeye anapiga usingizi tu,wengine nao si watalala.
Ndugu mwandishi,,Tanzania haijapata uhuru,,Iliyopata uhuru ni marehemu Tanganyika
amebaki Sabaya. huyu akirudi duuh Mungu wangu...Tanzania yetu twakushukuru eh Mungu Mkuu. Mungu mkumbuke Sabaya ni kijana mzuri sana
Wauwaji wote wanasifiwa kafanya nini nyerere mzalendo magu
Baba wa taifa Magufuli makonda viongozi hawa wanapaswa kuigwa
Raisi ajae
Wenye kutamka tamka vingereza Ili tujue kuwa ni wasomi,hao ndio bure kabisa hamna kitu.Walienda shule kusomea lugha si vinginevyo.Makonda hanaga utumwa utumwa huo.
Makonda no 1 kwa uthubutu wa kusikiliza wanyonge wa tz baada ya kuondokewa na magufuli. Viongizi wote walikaa kimya mnoo... Nakonda alivyo ingia2 ndo wakwnza kutatua kero za w tz no 1 makonda,,
2030 makonda RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA JERRY SLAA MAKAMU WA RAIS WALLAH TANZANIA ITAKUWA NCHI BORA KATIKA BARA LA AFRICA mawaziri ambao ni wadogo na wakuu wa mikoa na wilaya igeni mifano ya MAKONDA NA JERRY SLAA tufanyieni kazi nchi iwe bora natamani sana MAMA SAMIA ampe viti malumu MAKONDA ampe wizara na AFYA hakuna wa kuimudu zaidi ya MAKONDA
MBONA MAGU ALIMFUKUZA KAMA ALIMWAMINI
@Profshab_Company
Ай бұрын
Hakumfukuza Bali alijiuzuru mwenyewe
@GibsonNtamamilo
Ай бұрын
Hakufukuzwa alijiuzulu akaenda kugombea Jimbo la Kigamboni bahati mabaya alishindwa kura za maoni.
Wasukuma wameumbwa kufanya kazi kwa nguvu zote. Popote alipo ni mtu wakunitegemea Kila siku kwa kazi ni balaa
Vana Vakanaka
JPM=PCM
@josephpeter8511
Ай бұрын
JPM =PCM. Let Jesus continue to give you wisdom from above.
kweli kabisa vibaka wamepungua asaivi sasa wanaanza kurudi maan ya viongozi waliopo
Makonda = The new Magufuli
Jpm ni amerudi kupitia makonda
Kijana alie aminiwa na kikwete kwanza na kupewa ukuu wa wilaya