MFAHAMU PAUL MAKONDA: UMRI MDOGO KAZI KUBWA - ALIAMINIWA na MAGUFULI - RAIS SAMIA HADI WANANCHI...

MFAHAMU PAUL MAKONDA: UMRI MDOGO KAZI KUBWA - ALIAMINIWA na MAGUFULI - RAIS SAMIA HADI WANANCHI...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 80

  • @globaltv_online
    @globaltv_onlineАй бұрын

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @catherinemukami4190
    @catherinemukami4190Ай бұрын

    Mungu amlinde! Jamani wasije kuumuwa ana roho nzuri

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511Ай бұрын

    Makonda Yuko vizuri

  • @piusmaduka
    @piusmadukaАй бұрын

    Ila mitandao mlishajua namba ya kupata fedha, Kwa tz ya Leo ukimtaja makonda au Jerry slaa utapiga MB za watu nyingi sana maana Hawa watu wanakubalika kwa watu wengi mno

  • @BMDESIGNZ
    @BMDESIGNZАй бұрын

    Makonda = The new Magufuli

  • @user-oh6pc7zd4s

    @user-oh6pc7zd4s

    Ай бұрын

    MBONA ALIMFUKUZA

  • @irenemkwizu2041

    @irenemkwizu2041

    Ай бұрын

    @@user-oh6pc7zd4s Hakufukuzwa alienda akagombea Ubunge Jimbo la Kigamboni, bahati mbaya akakosa Ubunge.

  • @MamaBambala
    @MamaBambalaАй бұрын

    Mwenyezi Mungu ampatie afya njema na kuilinda roho yake oooh Makonda.

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6gАй бұрын

    Mashallah Tabaraq Rahman ❤❤❤ Piga kazi Mh Makonda Mungu akulinde akusimamie jembe jeshi la mtu mmoja nguvu 💪💪

  • @pillyolsen8377
    @pillyolsen8377Ай бұрын

    Nakupenda sana makonda❤❤❤❤❤🌹🌹💋🌷kamanijamani makonda ni roho yangu mm mchapa kazi wangu mtoto wa magufuli piga kazi kaka yangu mungu akupe umli mrefu ututumikie sisi wanyonge🌷🌹🌷🌹👌♥️♥️♥️♥️❤️‍🩹❤️‍🩹❤️‍🩹

  • @user-mj5wo5hb3u
    @user-mj5wo5hb3uАй бұрын

    Mwenye mungu akupe afya na umuri

  • @saidimdoe5246
    @saidimdoe5246Ай бұрын

    Makonda na slaa waigwe na viongozi wote wanapiga kazi kwelkwel

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615Ай бұрын

    Inshort jama anajua na ananyota

  • @touchonesavemany
    @touchonesavemanyАй бұрын

    BigUp to PCM

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6djАй бұрын

    Mh Makonda Anafaa sana Awe Waziri Wa Ulinzi Na Usalama

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511Ай бұрын

    Asante Sana lais wetu kipenzi kumuweka makonda kwenye sistim atakusaidia Sana Hiro harina ubishi

  • @BMDESIGNZ
    @BMDESIGNZАй бұрын

    John pombe = Paul Makonda

  • @COMPASSIONMEDIA
    @COMPASSIONMEDIAАй бұрын

    President Makonda. President Makonda. 🎉🎉🎉

  • @user-ch5fo2gl3v
    @user-ch5fo2gl3vАй бұрын

    Piga Kaz ,kazi iendelee

  • @esthermwikali5403

    @esthermwikali5403

    Ай бұрын

    Makonda mimi ni mkenya lakini natamani angekua wetu kenya makonda pekeake

  • @mussaabdurabi2739
    @mussaabdurabi2739Ай бұрын

    Mungu amlinde sana.he is A leader.

  • @user-hb4oy3en1f
    @user-hb4oy3en1fАй бұрын

    Amina

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4gАй бұрын

    Na bado hamjasema. Makonda ni jiwe walilolikataa waashi ila likafaa

  • @denisyohana8104

    @denisyohana8104

    Ай бұрын

    inabidi tumpatie nchi

  • @Leonardmpemba-xj1wy
    @Leonardmpemba-xj1wyАй бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @eliasnjoolay6454
    @eliasnjoolay6454Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤vzr Sana mwandishi umedadafua vzr Sana!!!!!!

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933Ай бұрын

    Jpm ni amerudi kupitia makonda

  • @Zubaiba
    @ZubaibaАй бұрын

    Kila la kher makonda❤❤

  • @mercyzakariah
    @mercyzakariahАй бұрын

    Makonda no 2 ya magufuli, wewe nijembe lakazi Kweli, Kweli,, Samia oeee😊

  • @MarioMwambasa
    @MarioMwambasaАй бұрын

    Hakika tunamkubali sana.

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321Ай бұрын

    Makonda piga kazi

  • @user-ve9sb4lz3u
    @user-ve9sb4lz3uАй бұрын

    Mungu pekee ndiye mlinzi wa kweli na hakika. Mungu amlinde na kumuinua zaidi kaka yangu Paul Makonda.

  • @mussaMagaji-ey1tu
    @mussaMagaji-ey1tuАй бұрын

    mchapa Kaz

  • @johnboscontirandekura6010
    @johnboscontirandekura6010Ай бұрын

    Paul makonda atauja kuwa Raisi wa inchi ya Tanania mungu amulinde

  • @jojomario916
    @jojomario916Ай бұрын

    Mungu akubaliki Makonda mtumishi wa haki

  • @esthermwikali5403
    @esthermwikali5403Ай бұрын

    Mashalla mungu alinde makonda

  • @mrmisosiliuma9366
    @mrmisosiliuma9366Ай бұрын

    My next president... makonda I really like him

  • @katondostudio652
    @katondostudio652Ай бұрын

    Yn naomba kila mala ili uweke Jina 2025

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179Ай бұрын

    ❤❤❤

  • @user-vh1st4fk3j
    @user-vh1st4fk3jАй бұрын

    Inshallah 🙏

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052Ай бұрын

    Anafaaaa kabisa kuwa rais

  • @alimzee
    @alimzeeАй бұрын

    Yes yes ata mm namukubali makonda ila mm ni mkenya

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyilaАй бұрын

    Nyota haiwezi kung'aa bila kupambambana anajipambanua na mungu atamlinda maana mke wake naye awe na moyo huo alionao maana wakashindwa wataka hata mke awe aduwi iliwapate paingilia tuwaombee kwa mungu kweli

  • @felixsanga
    @felixsangaАй бұрын

    Iko roho ya Mungu ndani ya mtu siyo umri!!Ila ajihadhari na wanaomtumia!

  • @MOPEBLETv657
    @MOPEBLETv657Ай бұрын

    Huyu tumpe kula zetu tu za urais jamani, he deserves it, narudia, he deserves it, this is Magufuli junior..❤

  • @emmanuelkubambala1998
    @emmanuelkubambala1998Ай бұрын

    Maadui wa PCM wanahofia sana kuenea kwa jina hili nchini kuelekea 2030, watajiinua juu yake na hawatashinda. Big up Makonda

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1hАй бұрын

    Naomba Mheshimiwa Makonda aangalie Filamu ya "Safari ya Gwalu (ru)" ...ya Muigizaji wa Kitanzania (Gabo). Mimi nilisoma Fasihi..... Simama Mheshimiwa Makonda.

  • @scoutpwanimchangani6711
    @scoutpwanimchangani6711Ай бұрын

    Anazaliwa

  • @kingbkmusic
    @kingbkmusicАй бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jumannesaid4873
    @jumannesaid4873Ай бұрын

    next presid...

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314Ай бұрын

    Aruxha tumepata mtu🎉

  • @ThomasMagoti-it4ty
    @ThomasMagoti-it4tyАй бұрын

    Makondaaaaa🎉

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933Ай бұрын

    Makonda nakutabiria mkubwa siku za uson utatuongoza naomba nam utanipa kaz nataman kupeperusha bendela ya TANZANIA

  • @ThomasIkerrs
    @ThomasIkerrsАй бұрын

    Kila la heri Makonda,nakuona mapema sana ukiwa Rais wa Tanzania.

  • @COMPASSIONMEDIA
    @COMPASSIONMEDIAАй бұрын

    Kwa sasa Makonda sii tu mkuu wa mkoa wa Arusha,,,,Bali ni mkuu wa mikoa yote kwa jinsi anavyofuatiliwa na kupendwa kwa utendakazi wake. Kuna kazi zinafanywa mikoa mingine kupitia mfano wa Makonda Arusha.😅

  • @MichaelKazungu-sw5xy
    @MichaelKazungu-sw5xy27 күн бұрын

    Wasifu wa Makonda

  • @uziasinkamba7380
    @uziasinkamba7380Ай бұрын

    Mungu aturehemu tu ukweli makonda umekuwa faraja kwetu wengi sana hapa Tz tunaona matunda ya kazi yako.hatakama unapigwa kwa siri ama kwa wazi laki Mungu anajambo kubwa juu yako bro kazana kupiga goti tuko pamoja usiogope wewe ni mali ya Mungu .Nakushukuru kwakua unajuwa kwamba Mungu ndiye amekupa kibari mbele ya wakuu ili wakuone.heshima kwake ndipo wafuate hao.Sara dua maombi mkuu ndiokilakitu mkuu achana na matunguli yao , Uliye naye nikilakitu

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270Ай бұрын

    Huyo Mungu ambae mna hofu naye,mmefanya nini?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438Ай бұрын

    Mama umecheza kama Pele kumumrudisha Makonda tena mchapa kazi kweli umeifufua Ccm ilikuwa inaondoka wananchi walikuwa wanataka Kiongozi anaetetea Wanyonge maskini walalahoi wazee wamachinga wanaomba utashindq kwa kishindo kwa nguvu zote

  • @ThomasIkerrs

    @ThomasIkerrs

    Ай бұрын

    Alitakiwa kuchapa kazi yeye kama Makonda,wengine wote wangeiga,sasa yeye anapiga usingizi tu,wengine nao si watalala.

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041Ай бұрын

    Ndugu mwandishi,,Tanzania haijapata uhuru,,Iliyopata uhuru ni marehemu Tanganyika

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241Ай бұрын

    amebaki Sabaya. huyu akirudi duuh Mungu wangu...Tanzania yetu twakushukuru eh Mungu Mkuu. Mungu mkumbuke Sabaya ni kijana mzuri sana

  • @e11said23
    @e11said23Ай бұрын

    Wauwaji wote wanasifiwa kafanya nini nyerere mzalendo magu

  • @Lucas-xx2lb
    @Lucas-xx2lbАй бұрын

    Baba wa taifa Magufuli makonda viongozi hawa wanapaswa kuigwa

  • @MakoyeBq
    @MakoyeBqАй бұрын

    Raisi ajae

  • @ThobiasAlexander
    @ThobiasAlexanderАй бұрын

    Wenye kutamka tamka vingereza Ili tujue kuwa ni wasomi,hao ndio bure kabisa hamna kitu.Walienda shule kusomea lugha si vinginevyo.Makonda hanaga utumwa utumwa huo.

  • @mercyzakariah
    @mercyzakariahАй бұрын

    Makonda no 1 kwa uthubutu wa kusikiliza wanyonge wa tz baada ya kuondokewa na magufuli. Viongizi wote walikaa kimya mnoo... Nakonda alivyo ingia2 ndo wakwnza kutatua kero za w tz no 1 makonda,,

  • @FahmiNassor
    @FahmiNassorАй бұрын

    2030 makonda RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA JERRY SLAA MAKAMU WA RAIS WALLAH TANZANIA ITAKUWA NCHI BORA KATIKA BARA LA AFRICA mawaziri ambao ni wadogo na wakuu wa mikoa na wilaya igeni mifano ya MAKONDA NA JERRY SLAA tufanyieni kazi nchi iwe bora natamani sana MAMA SAMIA ampe viti malumu MAKONDA ampe wizara na AFYA hakuna wa kuimudu zaidi ya MAKONDA

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4sАй бұрын

    MBONA MAGU ALIMFUKUZA KAMA ALIMWAMINI

  • @Profshab_Company

    @Profshab_Company

    Ай бұрын

    Hakumfukuza Bali alijiuzuru mwenyewe

  • @GibsonNtamamilo

    @GibsonNtamamilo

    Ай бұрын

    Hakufukuzwa alijiuzulu akaenda kugombea Jimbo la Kigamboni bahati mabaya alishindwa kura za maoni.

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931Ай бұрын

    Wasukuma wameumbwa kufanya kazi kwa nguvu zote. Popote alipo ni mtu wakunitegemea Kila siku kwa kazi ni balaa

  • @AsumaniMAtanga
    @AsumaniMAtangaАй бұрын

    Vana Vakanaka

  • @josephpeter8511
    @josephpeter8511Ай бұрын

    JPM=PCM

  • @josephpeter8511

    @josephpeter8511

    Ай бұрын

    JPM =PCM. Let Jesus continue to give you wisdom from above.

  • @TangaMashewa-qe8kk
    @TangaMashewa-qe8kkАй бұрын

    kweli kabisa vibaka wamepungua asaivi sasa wanaanza kurudi maan ya viongozi waliopo

  • @BMDESIGNZ
    @BMDESIGNZАй бұрын

    Makonda = The new Magufuli

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933Ай бұрын

    Jpm ni amerudi kupitia makonda

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5Ай бұрын

    Kijana alie aminiwa na kikwete kwanza na kupewa ukuu wa wilaya

Келесі