MJADALA MZITO USALAMA WA MPINA BAADA YA KUFICHUA UFISADI MKUBWA SAKATA LA SUKARI TANZANIA

Пікірлер: 59

  • @user-ru4wm6bn7y
    @user-ru4wm6bn7yАй бұрын

    Mungu kwa neema yake akulinde.Amina.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_14 күн бұрын

    Mmejipanga saana, hongereni, Muumini wenu atukane , akashifu, atoe shutuma za Uongo, lakini bado atatetewa tu , Hongereni saaana mko vizuri

  • @bcozhenry2698

    @bcozhenry2698

    14 күн бұрын

    Unadhani akili za kujua hili unazo?

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s26 күн бұрын

    Mbunge Mpina ndiyo mtetezi wa wananchi wa taifa hili,

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1bАй бұрын

    Mpina kamungu siyo mtoto kufa Kwa mkilisto ni sawa na hama duniani kwenda mbinguni usiogope wezi wazima Hana nguvu jitowe ccm uwa ukweli hawataki watu wa kweli wanataka wapiga makofi usikubali

  • @user-us4tk2tk3c

    @user-us4tk2tk3c

    26 күн бұрын

    Ni kama ninyi mnavyotaka mijitu miongo, mipotoshaji na miwakala ya ushoga na makuwadi wa mabeberu.

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gvАй бұрын

    mpina big love to you our really mp,,,,work hard for our citizens

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9xАй бұрын

    Huyu Mpina Anapaswa kuungwa mkono na watanzania wote. Lakini watanzania tusipoamka na kupinga mafisadi kama hawa ambao mpina amewafichua. Basi nchi yetu itazidi kuwa masikini kupindukia.

  • @AizackKalenge-ro5rc

    @AizackKalenge-ro5rc

    Ай бұрын

    Kama tunaipenda nchi yetu,Tupige ufisadi na wizi wa pesa za umma

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    Ай бұрын

    Siyo rahisi kutoka kwenye usingizi tulionao la sivyo tuwapate vitukuu wa mganga wa Nyerere watuelezee kile kifimbo cha Nyerere alichokuwa anatembea nacho, kinasemekana kuwa na nguvu za ajabu...na kifimbo hicho kilitumika kutupu..... hadi leo

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7yАй бұрын

    Mungu awtangulie

  • @user-nh7ie5kz7l
    @user-nh7ie5kz7l18 күн бұрын

    Mungu akutunze

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395Ай бұрын

    Mpina ni Mbunge wa Taifa! Mungu akulinde.

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704Ай бұрын

    Aiseee hali ni ngumu sana . Pesa nyingi sana znapigwa nchi hii ndiyo maana tunazidi kuteseka . Mungu wa mbinguni tukuinulia macho tunaomba usikilize kilio chetu . Wewe Mungu uonae yanayo yanayofanyika gizani tunaomba ubatilishe mipango yote ya hawa maibilisi .

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443Ай бұрын

    Watanzania wanahitaji kumtetea. Maana wengi hawana uthubutu wakuweka wazi madudu yanayoendelea maana kiukweli ye yote anayethubutu hupotezwa ama kupata kama yanayoyompata Mpina.

  • @abeidsanga7361
    @abeidsanga7361Ай бұрын

    Tuta tembea na mpina

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy20 күн бұрын

    Magufuli ndio mwamba achana nae rip magu

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9xАй бұрын

    Ni mtanzania tu ambaye hafikri vizuri ndo atamchagua ila Mimi siwezi hata kidogo

  • @Worldunite

    @Worldunite

    Ай бұрын

    Nani?

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    Ай бұрын

    Achana naye wagonga meza wengi tu

  • @healingsschool4630
    @healingsschool4630Ай бұрын

    Hata kama mpina umesema kweli subiri utaratibu ukamulike. No a single tree can make a forest. Hao masikini unaotetea watakutosa, hawana maana kama hutumii utaratibu na sheria , si unakumbuka akina mrema alivyokua anabebwa, desi walipokusanyika nk. Mnyonge hana kinyongo mpina, mnyonge akipewa pesa anakutosa mheshimiwa mpina

  • @evelynmwaimu-vd9jo

    @evelynmwaimu-vd9jo

    Ай бұрын

    Aaa si kweli

  • @user-jj7qv7kh2s

    @user-jj7qv7kh2s

    Ай бұрын

    wewe hovyo kabisa huna maana kibaraka wewe.

  • @user-ry4kx9hg7o
    @user-ry4kx9hg7oАй бұрын

    Mpina mungu akulinde.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743827 күн бұрын

    Kuna nani hataki ridhiki mantashalla hao Chadema watazichukua tu

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza48228 күн бұрын

    Chamsingi ni katiba mpya tu, ndio sululisho, bila hivo wananchi tutaendelea kunyanyaswa na wenyewe mamlaka

  • @davidmeyasa8232
    @davidmeyasa823223 күн бұрын

    Ina maana ninyi ndo mna akili kuliko watu wengine mtajua hamjui

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438Ай бұрын

    Mpina haba kosa lolote ilq Viongozi wa Ccm hawataki kukosolewa hatufuati katiba inavyosemq ya Ccm Kiongozi qsiyekubali kukosolewa hastahili kuwa kiongozi soma katiba humo Bungeni unafiki umetawala sanaaaa wabunge ndiyo ni wengi sanaaaa wamuache Mpina na bado kila kitu kitakuwa hadharani

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438Ай бұрын

    Muacheni Mpina Ccm mnamshtumu kwa kosa gani kusema ukweli

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438Ай бұрын

    Kwa huduma hospitalini hamna kitu kabisa mahospitali mengi ya Serikali hovyo kabisa

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano706729 күн бұрын

    Watz tuondokane naushenzi tuchukuwe hatua tumuondowemwizi mkuu wanchihii hatakama watahonga mahelamengi lakini tusimame imara nchihii Inaenda kienyeji kienyeji

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn29 күн бұрын

    Sisi wanawake hajatua ndoo kichwani hatumtaki

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962Ай бұрын

    Hawa uwaziri anatakiwa kupelekwa kwa mwendo wangili kama huu wa Mpina

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo760Ай бұрын

    Hii ndiyo njia nzuri inayoshinikiza uwajibikaji serikalini. Madhali aliyoyaibua ni ya kweli, ni vizuri ameyaleta kwa wananchi ili waujue ufisadi uliomo serikalini! Isingelikuwa sahihi kwake kumsubiri spika auambie umma kwa vile inajulikana spika hatafanya hivyo, yupo pale kuilinda serikali hata ikifanya maovu! Na ushahidi wa hilo upo bayana!! Kumtaraji spika aliyewekwa na executive (ikulu) kusimama kidete na kuuambia umma wa waTZ ukweli ni kupoteza wakati kwa vile yeye anawajali waliompa u spika!

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743827 күн бұрын

    Sasa Mpina anahusika na nini hapo kwenye huo mtandao

  • @user-hu3bz3lv7s
    @user-hu3bz3lv7sАй бұрын

    Tozo ni kuwakamua wananchi ni ufisadi tu

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwokoАй бұрын

    Tz tumehamka sana umasikini. Toza hatari

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704Ай бұрын

    Basi uchaguzi usifanyike .

  • @davidmeyasa8232
    @davidmeyasa823223 күн бұрын

    Kwani ninyi amtaki awe raisi

  • @georgempogomi7329
    @georgempogomi7329Ай бұрын

    Ufisadi ni dini kuu ya CCM na Bunge la Tulia Mpina hana hiyo dini ni Bora awaachie dini Yao na tuwaondoe kabisa

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    Ай бұрын

    Mungu ibariki Tanzania

  • @user-tq4go3sn5b
    @user-tq4go3sn5bАй бұрын

    Mungu akubariki mkuu

  • @widimaelimushi

    @widimaelimushi

    Ай бұрын

    Asante mpina, japo wajinga wengi hawaelewi mungu akubariki Sana wengine,hawajui Uma, hawajuii hanga chama,hawajui,serikali,wafundishe

  • @FosterBwalya-rh9lh
    @FosterBwalya-rh9lhАй бұрын

    Pema sijapo pema ukipema SI pema Tena

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7uАй бұрын

    HUYU SPIKA WA BUNGE ANATUMIKA KUFICHA RUSHWA NA UFISADI KWENYE BIASHARA YA SUKARI KWA KUMFUNGA MDOGO MH. MPINA....WATANZANIA SIO WAJINGA.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578Ай бұрын

    Mpina wewe ni mzalendo

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbiАй бұрын

    👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344Ай бұрын

    Mhe: Mpina mimi nimetokea kuwa shabiki wako pale ulipojitokeza kuchukuwa nafasi tuliyoikosa kutoka kwa wabunge wa upinzani, ila naanza kuwa na mashaka juu ya msemo niliokuwa nausikia ukisemwa "SIASA NI MCHEZO MCHAFU" Nisiwe mnafiki nahisi ni mpango mahususi wa chama chako!?? Ila kama ni msimamo wako nakushauri utoke huko uungane na wenye hoja hizo..!

  • @user-tq4go3sn5b
    @user-tq4go3sn5bАй бұрын

    Mbowe kibaraka tu

  • @dhamirshariff9415
    @dhamirshariff9415Ай бұрын

    watanzania ufahamu wetu wengi ni mdogo sana Mpina alikuwa na hoja ila alitakiwa awasilishe kwa taratibu zilizo wekwa hata kama una hoja fata taratibu tusiwe wajinga

  • @clarencehilary5588

    @clarencehilary5588

    Ай бұрын

    Pumbavu mkubwa wewe msenge mkubwa

  • @adenmwakalobo760

    @adenmwakalobo760

    Ай бұрын

    Pale ambapo ni dhahir taratibu zimewekwa kimizengwe ili kuficha maovu ya serikali, ni bora kutozifuata taratibu za namna hiyo! Nahisi wewe usiyeng'amua hadi sasa kwamba hakuwezi kutokea uwajibikaji TZ kwa kufuata TARATIBU zilizopo, basi wewe ndiye mjinga na unatuchelewesha! Bila kuziruka taratibu hizi zilizojaa kulindana, huwezi kubadili chochote popote!

  • @allymusira2153

    @allymusira2153

    Ай бұрын

    Bashe kaeleza vizuri sana kuhusu sukari

  • @MathewNathan-yb2bz

    @MathewNathan-yb2bz

    Ай бұрын

    Kwanza bunge lenyewe ni haramu uwepo wake umetokana na kuvuruga uchaguzi 2020 kinyume cha katiba.je wale wale wabunge 19 wa chadema uwepo wao umefuata sheria?spika hovyo sana.

  • @MathewNathan-yb2bz

    @MathewNathan-yb2bz

    Ай бұрын

    ​@@allymusira2153labda kaeleza vizuri kwako ww chawa wake

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342Ай бұрын

    Mpe mpina wizaraaa...mbona anatufaaa

Келесі