MJADALA MZITO USALAMA WA MPINA BAADA YA KUFICHUA UFISADI MKUBWA SAKATA LA SUKARI TANZANIA
Жүктеу.....
Пікірлер: 59
@user-ru4wm6bn7yАй бұрын
Mungu kwa neema yake akulinde.Amina.
@ndukulusudikucho_14 күн бұрын
Mmejipanga saana, hongereni, Muumini wenu atukane , akashifu, atoe shutuma za Uongo, lakini bado atatetewa tu , Hongereni saaana mko vizuri
@bcozhenry2698
14 күн бұрын
Unadhani akili za kujua hili unazo?
@user-ze6lx9ng6s26 күн бұрын
Mbunge Mpina ndiyo mtetezi wa wananchi wa taifa hili,
@user-sw7tf1ob1bАй бұрын
Mpina kamungu siyo mtoto kufa Kwa mkilisto ni sawa na hama duniani kwenda mbinguni usiogope wezi wazima Hana nguvu jitowe ccm uwa ukweli hawataki watu wa kweli wanataka wapiga makofi usikubali
@user-us4tk2tk3c
26 күн бұрын
Ni kama ninyi mnavyotaka mijitu miongo, mipotoshaji na miwakala ya ushoga na makuwadi wa mabeberu.
@FredymaswiMwita-oj6gvАй бұрын
mpina big love to you our really mp,,,,work hard for our citizens
@user-mm6sm9rt9xАй бұрын
Huyu Mpina Anapaswa kuungwa mkono na watanzania wote. Lakini watanzania tusipoamka na kupinga mafisadi kama hawa ambao mpina amewafichua. Basi nchi yetu itazidi kuwa masikini kupindukia.
@AizackKalenge-ro5rc
Ай бұрын
Kama tunaipenda nchi yetu,Tupige ufisadi na wizi wa pesa za umma
@ezekieljacob5795
Ай бұрын
Siyo rahisi kutoka kwenye usingizi tulionao la sivyo tuwapate vitukuu wa mganga wa Nyerere watuelezee kile kifimbo cha Nyerere alichokuwa anatembea nacho, kinasemekana kuwa na nguvu za ajabu...na kifimbo hicho kilitumika kutupu..... hadi leo
@user-my7fj6wn7yАй бұрын
Mungu awtangulie
@user-nh7ie5kz7l18 күн бұрын
Mungu akutunze
@ambitiousholyspirit395Ай бұрын
Mpina ni Mbunge wa Taifa! Mungu akulinde.
@desiderihugo5704Ай бұрын
Aiseee hali ni ngumu sana . Pesa nyingi sana znapigwa nchi hii ndiyo maana tunazidi kuteseka . Mungu wa mbinguni tukuinulia macho tunaomba usikilize kilio chetu . Wewe Mungu uonae yanayo yanayofanyika gizani tunaomba ubatilishe mipango yote ya hawa maibilisi .
@samwelshepa8443Ай бұрын
Watanzania wanahitaji kumtetea. Maana wengi hawana uthubutu wakuweka wazi madudu yanayoendelea maana kiukweli ye yote anayethubutu hupotezwa ama kupata kama yanayoyompata Mpina.
@abeidsanga7361Ай бұрын
Tuta tembea na mpina
@MohamedBlanker-jw9qy20 күн бұрын
Magufuli ndio mwamba achana nae rip magu
@user-mm6sm9rt9xАй бұрын
Ni mtanzania tu ambaye hafikri vizuri ndo atamchagua ila Mimi siwezi hata kidogo
@Worldunite
Ай бұрын
Nani?
@ezekieljacob5795
Ай бұрын
Achana naye wagonga meza wengi tu
@healingsschool4630Ай бұрын
Hata kama mpina umesema kweli subiri utaratibu ukamulike. No a single tree can make a forest. Hao masikini unaotetea watakutosa, hawana maana kama hutumii utaratibu na sheria , si unakumbuka akina mrema alivyokua anabebwa, desi walipokusanyika nk. Mnyonge hana kinyongo mpina, mnyonge akipewa pesa anakutosa mheshimiwa mpina
@evelynmwaimu-vd9jo
Ай бұрын
Aaa si kweli
@user-jj7qv7kh2s
Ай бұрын
wewe hovyo kabisa huna maana kibaraka wewe.
@user-ry4kx9hg7oАй бұрын
Mpina mungu akulinde.
@margarethpolepole743827 күн бұрын
Kuna nani hataki ridhiki mantashalla hao Chadema watazichukua tu
@abdallahkihanza48228 күн бұрын
Chamsingi ni katiba mpya tu, ndio sululisho, bila hivo wananchi tutaendelea kunyanyaswa na wenyewe mamlaka
@davidmeyasa823223 күн бұрын
Ina maana ninyi ndo mna akili kuliko watu wengine mtajua hamjui
@margarethpolepole7438Ай бұрын
Mpina haba kosa lolote ilq Viongozi wa Ccm hawataki kukosolewa hatufuati katiba inavyosemq ya Ccm Kiongozi qsiyekubali kukosolewa hastahili kuwa kiongozi soma katiba humo Bungeni unafiki umetawala sanaaaa wabunge ndiyo ni wengi sanaaaa wamuache Mpina na bado kila kitu kitakuwa hadharani
@margarethpolepole7438Ай бұрын
Muacheni Mpina Ccm mnamshtumu kwa kosa gani kusema ukweli
@margarethpolepole7438Ай бұрын
Kwa huduma hospitalini hamna kitu kabisa mahospitali mengi ya Serikali hovyo kabisa
@josephmakutano706729 күн бұрын
Watz tuondokane naushenzi tuchukuwe hatua tumuondowemwizi mkuu wanchihii hatakama watahonga mahelamengi lakini tusimame imara nchihii Inaenda kienyeji kienyeji
@RoseKimishabhalemi-oz9bn29 күн бұрын
Sisi wanawake hajatua ndoo kichwani hatumtaki
@lameckbalekere1962Ай бұрын
Hawa uwaziri anatakiwa kupelekwa kwa mwendo wangili kama huu wa Mpina
@adenmwakalobo760Ай бұрын
Hii ndiyo njia nzuri inayoshinikiza uwajibikaji serikalini. Madhali aliyoyaibua ni ya kweli, ni vizuri ameyaleta kwa wananchi ili waujue ufisadi uliomo serikalini! Isingelikuwa sahihi kwake kumsubiri spika auambie umma kwa vile inajulikana spika hatafanya hivyo, yupo pale kuilinda serikali hata ikifanya maovu! Na ushahidi wa hilo upo bayana!! Kumtaraji spika aliyewekwa na executive (ikulu) kusimama kidete na kuuambia umma wa waTZ ukweli ni kupoteza wakati kwa vile yeye anawajali waliompa u spika!
@margarethpolepole743827 күн бұрын
Sasa Mpina anahusika na nini hapo kwenye huo mtandao
@user-hu3bz3lv7sАй бұрын
Tozo ni kuwakamua wananchi ni ufisadi tu
@MusaOgwokoАй бұрын
Tz tumehamka sana umasikini. Toza hatari
@desiderihugo5704Ай бұрын
Basi uchaguzi usifanyike .
@davidmeyasa823223 күн бұрын
Kwani ninyi amtaki awe raisi
@georgempogomi7329Ай бұрын
Ufisadi ni dini kuu ya CCM na Bunge la Tulia Mpina hana hiyo dini ni Bora awaachie dini Yao na tuwaondoe kabisa
@adelinelyaruu3036
Ай бұрын
Mungu ibariki Tanzania
@user-tq4go3sn5bАй бұрын
Mungu akubariki mkuu
@widimaelimushi
Ай бұрын
Asante mpina, japo wajinga wengi hawaelewi mungu akubariki Sana wengine,hawajui Uma, hawajuii hanga chama,hawajui,serikali,wafundishe
@FosterBwalya-rh9lhАй бұрын
Pema sijapo pema ukipema SI pema Tena
@user-sl1ko9me7uАй бұрын
HUYU SPIKA WA BUNGE ANATUMIKA KUFICHA RUSHWA NA UFISADI KWENYE BIASHARA YA SUKARI KWA KUMFUNGA MDOGO MH. MPINA....WATANZANIA SIO WAJINGA.
@nsiamasawe4578Ай бұрын
Mpina wewe ni mzalendo
@rasnchimbiАй бұрын
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
@bakarimmbaga2344Ай бұрын
Mhe: Mpina mimi nimetokea kuwa shabiki wako pale ulipojitokeza kuchukuwa nafasi tuliyoikosa kutoka kwa wabunge wa upinzani, ila naanza kuwa na mashaka juu ya msemo niliokuwa nausikia ukisemwa "SIASA NI MCHEZO MCHAFU" Nisiwe mnafiki nahisi ni mpango mahususi wa chama chako!?? Ila kama ni msimamo wako nakushauri utoke huko uungane na wenye hoja hizo..!
@user-tq4go3sn5bАй бұрын
Mbowe kibaraka tu
@dhamirshariff9415Ай бұрын
watanzania ufahamu wetu wengi ni mdogo sana Mpina alikuwa na hoja ila alitakiwa awasilishe kwa taratibu zilizo wekwa hata kama una hoja fata taratibu tusiwe wajinga
@clarencehilary5588
Ай бұрын
Pumbavu mkubwa wewe msenge mkubwa
@adenmwakalobo760
Ай бұрын
Pale ambapo ni dhahir taratibu zimewekwa kimizengwe ili kuficha maovu ya serikali, ni bora kutozifuata taratibu za namna hiyo! Nahisi wewe usiyeng'amua hadi sasa kwamba hakuwezi kutokea uwajibikaji TZ kwa kufuata TARATIBU zilizopo, basi wewe ndiye mjinga na unatuchelewesha! Bila kuziruka taratibu hizi zilizojaa kulindana, huwezi kubadili chochote popote!
@allymusira2153
Ай бұрын
Bashe kaeleza vizuri sana kuhusu sukari
@MathewNathan-yb2bz
Ай бұрын
Kwanza bunge lenyewe ni haramu uwepo wake umetokana na kuvuruga uchaguzi 2020 kinyume cha katiba.je wale wale wabunge 19 wa chadema uwepo wao umefuata sheria?spika hovyo sana.
@MathewNathan-yb2bz
Ай бұрын
@@allymusira2153labda kaeleza vizuri kwako ww chawa wake
Пікірлер: 59
Mungu kwa neema yake akulinde.Amina.
Mmejipanga saana, hongereni, Muumini wenu atukane , akashifu, atoe shutuma za Uongo, lakini bado atatetewa tu , Hongereni saaana mko vizuri
@bcozhenry2698
14 күн бұрын
Unadhani akili za kujua hili unazo?
Mbunge Mpina ndiyo mtetezi wa wananchi wa taifa hili,
Mpina kamungu siyo mtoto kufa Kwa mkilisto ni sawa na hama duniani kwenda mbinguni usiogope wezi wazima Hana nguvu jitowe ccm uwa ukweli hawataki watu wa kweli wanataka wapiga makofi usikubali
@user-us4tk2tk3c
26 күн бұрын
Ni kama ninyi mnavyotaka mijitu miongo, mipotoshaji na miwakala ya ushoga na makuwadi wa mabeberu.
mpina big love to you our really mp,,,,work hard for our citizens
Huyu Mpina Anapaswa kuungwa mkono na watanzania wote. Lakini watanzania tusipoamka na kupinga mafisadi kama hawa ambao mpina amewafichua. Basi nchi yetu itazidi kuwa masikini kupindukia.
@AizackKalenge-ro5rc
Ай бұрын
Kama tunaipenda nchi yetu,Tupige ufisadi na wizi wa pesa za umma
@ezekieljacob5795
Ай бұрын
Siyo rahisi kutoka kwenye usingizi tulionao la sivyo tuwapate vitukuu wa mganga wa Nyerere watuelezee kile kifimbo cha Nyerere alichokuwa anatembea nacho, kinasemekana kuwa na nguvu za ajabu...na kifimbo hicho kilitumika kutupu..... hadi leo
Mungu awtangulie
Mungu akutunze
Mpina ni Mbunge wa Taifa! Mungu akulinde.
Aiseee hali ni ngumu sana . Pesa nyingi sana znapigwa nchi hii ndiyo maana tunazidi kuteseka . Mungu wa mbinguni tukuinulia macho tunaomba usikilize kilio chetu . Wewe Mungu uonae yanayo yanayofanyika gizani tunaomba ubatilishe mipango yote ya hawa maibilisi .
Watanzania wanahitaji kumtetea. Maana wengi hawana uthubutu wakuweka wazi madudu yanayoendelea maana kiukweli ye yote anayethubutu hupotezwa ama kupata kama yanayoyompata Mpina.
Tuta tembea na mpina
Magufuli ndio mwamba achana nae rip magu
Ni mtanzania tu ambaye hafikri vizuri ndo atamchagua ila Mimi siwezi hata kidogo
@Worldunite
Ай бұрын
Nani?
@ezekieljacob5795
Ай бұрын
Achana naye wagonga meza wengi tu
Hata kama mpina umesema kweli subiri utaratibu ukamulike. No a single tree can make a forest. Hao masikini unaotetea watakutosa, hawana maana kama hutumii utaratibu na sheria , si unakumbuka akina mrema alivyokua anabebwa, desi walipokusanyika nk. Mnyonge hana kinyongo mpina, mnyonge akipewa pesa anakutosa mheshimiwa mpina
@evelynmwaimu-vd9jo
Ай бұрын
Aaa si kweli
@user-jj7qv7kh2s
Ай бұрын
wewe hovyo kabisa huna maana kibaraka wewe.
Mpina mungu akulinde.
Kuna nani hataki ridhiki mantashalla hao Chadema watazichukua tu
Chamsingi ni katiba mpya tu, ndio sululisho, bila hivo wananchi tutaendelea kunyanyaswa na wenyewe mamlaka
Ina maana ninyi ndo mna akili kuliko watu wengine mtajua hamjui
Mpina haba kosa lolote ilq Viongozi wa Ccm hawataki kukosolewa hatufuati katiba inavyosemq ya Ccm Kiongozi qsiyekubali kukosolewa hastahili kuwa kiongozi soma katiba humo Bungeni unafiki umetawala sanaaaa wabunge ndiyo ni wengi sanaaaa wamuache Mpina na bado kila kitu kitakuwa hadharani
Muacheni Mpina Ccm mnamshtumu kwa kosa gani kusema ukweli
Kwa huduma hospitalini hamna kitu kabisa mahospitali mengi ya Serikali hovyo kabisa
Watz tuondokane naushenzi tuchukuwe hatua tumuondowemwizi mkuu wanchihii hatakama watahonga mahelamengi lakini tusimame imara nchihii Inaenda kienyeji kienyeji
Sisi wanawake hajatua ndoo kichwani hatumtaki
Hawa uwaziri anatakiwa kupelekwa kwa mwendo wangili kama huu wa Mpina
Hii ndiyo njia nzuri inayoshinikiza uwajibikaji serikalini. Madhali aliyoyaibua ni ya kweli, ni vizuri ameyaleta kwa wananchi ili waujue ufisadi uliomo serikalini! Isingelikuwa sahihi kwake kumsubiri spika auambie umma kwa vile inajulikana spika hatafanya hivyo, yupo pale kuilinda serikali hata ikifanya maovu! Na ushahidi wa hilo upo bayana!! Kumtaraji spika aliyewekwa na executive (ikulu) kusimama kidete na kuuambia umma wa waTZ ukweli ni kupoteza wakati kwa vile yeye anawajali waliompa u spika!
Sasa Mpina anahusika na nini hapo kwenye huo mtandao
Tozo ni kuwakamua wananchi ni ufisadi tu
Tz tumehamka sana umasikini. Toza hatari
Basi uchaguzi usifanyike .
Kwani ninyi amtaki awe raisi
Ufisadi ni dini kuu ya CCM na Bunge la Tulia Mpina hana hiyo dini ni Bora awaachie dini Yao na tuwaondoe kabisa
@adelinelyaruu3036
Ай бұрын
Mungu ibariki Tanzania
Mungu akubariki mkuu
@widimaelimushi
Ай бұрын
Asante mpina, japo wajinga wengi hawaelewi mungu akubariki Sana wengine,hawajui Uma, hawajuii hanga chama,hawajui,serikali,wafundishe
Pema sijapo pema ukipema SI pema Tena
HUYU SPIKA WA BUNGE ANATUMIKA KUFICHA RUSHWA NA UFISADI KWENYE BIASHARA YA SUKARI KWA KUMFUNGA MDOGO MH. MPINA....WATANZANIA SIO WAJINGA.
Mpina wewe ni mzalendo
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Mhe: Mpina mimi nimetokea kuwa shabiki wako pale ulipojitokeza kuchukuwa nafasi tuliyoikosa kutoka kwa wabunge wa upinzani, ila naanza kuwa na mashaka juu ya msemo niliokuwa nausikia ukisemwa "SIASA NI MCHEZO MCHAFU" Nisiwe mnafiki nahisi ni mpango mahususi wa chama chako!?? Ila kama ni msimamo wako nakushauri utoke huko uungane na wenye hoja hizo..!
Mbowe kibaraka tu
watanzania ufahamu wetu wengi ni mdogo sana Mpina alikuwa na hoja ila alitakiwa awasilishe kwa taratibu zilizo wekwa hata kama una hoja fata taratibu tusiwe wajinga
@clarencehilary5588
Ай бұрын
Pumbavu mkubwa wewe msenge mkubwa
@adenmwakalobo760
Ай бұрын
Pale ambapo ni dhahir taratibu zimewekwa kimizengwe ili kuficha maovu ya serikali, ni bora kutozifuata taratibu za namna hiyo! Nahisi wewe usiyeng'amua hadi sasa kwamba hakuwezi kutokea uwajibikaji TZ kwa kufuata TARATIBU zilizopo, basi wewe ndiye mjinga na unatuchelewesha! Bila kuziruka taratibu hizi zilizojaa kulindana, huwezi kubadili chochote popote!
@allymusira2153
Ай бұрын
Bashe kaeleza vizuri sana kuhusu sukari
@MathewNathan-yb2bz
Ай бұрын
Kwanza bunge lenyewe ni haramu uwepo wake umetokana na kuvuruga uchaguzi 2020 kinyume cha katiba.je wale wale wabunge 19 wa chadema uwepo wao umefuata sheria?spika hovyo sana.
@MathewNathan-yb2bz
Ай бұрын
@@allymusira2153labda kaeleza vizuri kwako ww chawa wake
Mpe mpina wizaraaa...mbona anatufaaa